|
MAFASHIONISTA KAENI MKAO WA KULA...MZIGO MPYA WAJA KIKIS FASHION BOUTIQUE... |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 00:25 |
|



Fashionista wa ukweli na owner of kikis fashion boutique yupo Los Angeles ,Marekani akiwakusanyia viwalo vya ukweli…
All the latest trends zinakuja....
Will update you mzigo ukifika bongo….
|
|
NIWEKE LACEWIG KWENYE HARUSI YANGU?? |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 00:23 |
|
habari,
nategemea kuolewa harusi mwezi wa 11 mwaka 2010,ila nina nywele chache sn pia zimekatika mbele,nahisi kama lace wig linaweza kunifaa ili hiyo siku yangu ya harusi nikaiona ya tofauti,
naombeni ushauri wenu,
Sisy M
naomba email yangu usiianike
|
|
MAMA U-TURN IN SOHAR-OMAN.... |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 00:13 |
|

Abaya shopping...mwezi mtukufu ndo huoo....hope my baby
will be born during Ramadan...what a blessed baby he will be!!

trying out a few......

my favorite time of the day....

staying at the crown plaza....classy hotel....

so arabic right about now...

Arabic nite...
|
|
DEBBIE'S BABY SHOWER..... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 10 August 2010 23:52 |
|
EVENT::DEBBIE'S BABY SHOWER VENUE::THE PLAY ARK- London COLOR:baby blue,royal blue and white THEME::RUBBER DUCK


















|
|
ZALI LA MENTALI KUMPATA JUMA NATURE???? |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 10 August 2010 00:28 |
|

Sir nature akilisakata na lil’ kim wakati wa fiesta..i bet he was in 7th heaven…lol
|
|
UTAMADUNI WA MTANZANIA NI UPI??? |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 10 August 2010 00:17 |
|

Hello mamii,
Mambo...?mimi ni mdau wa u turn na huwa sikosi kupitia na kuingalia blogu yako angalao mara moja kila siku..kwa ufupi i am very addicted to it...
Kumekuwa na mjadala kwa muda mrefu katika sehemu mbalilmbali kuhusu ni upi hasa utamaduni wa mtanzania/mu-afrika na hasa linapokuja suala la mavazi...kumekuwa na mabishano makali mara tu picha na hasa zetu wanwake nzinapojitokeza katika mavazi ambayo kwa maoni fulani ni ya kizungu mnoo...sasa hapo mi ndio huwa kila siku siachi kujiuliza maswali...hivi tuna khakika kweli na hicho tunachokisema au kukijadili...utamaduni wetu ni upi hasa? kuvaa nguo fupi ni utamaduni wa kitanzania/kiafrika au wa kizungu?
Mange hii ni picha ya ilipigwa wakati wa enzi za ukoloni katika mkoa mmoja Tanganyika ya enzi hizo na hawa katika picha ni wake za machifu wakiwa na mmoja wa wamisionari wakati huo....sasa wadau tuingalie picha hii na tujadili...naamini wadau watatoa mchango wao ili kuweka sawa the perspective kuhusu utamaduni wa mtanzania/muafrika na hasa linapokuja suala la mavazi
Picha kwa hisani ya blog ya swahilitime
Nakutakia kila la heri katika safari yako ya umama. be blessed mamii.
Yours Mama Jo.
P.S TAFADHALI ISIICHAPE ANUANI YANGU YA E-MAIL HEWANI.
|
|
Written by Mange
|
|
Monday, 09 August 2010 23:53 |
|

ok, guys lunch is over,,,,lets go to my house...

uncle lance i didnt invite u here to tickle me....

hihihihi...stoooooppp.....

Aunt mange come join us pls...

yes, im very tired these days...kuchana nywele tu matatizo...nimesarenda...

me and my mommy are soo pretty...

oooh cute!!! a gift for the baby from Aseel and her mom Marnie...

cant wait to see whats inside..im so excited...

Marnie trying to explain the gift...i love it,its a lovely baby picture frame
from pottery barn kids..

Aseel has the same frame...soo cute..u can put pics of the baby from the month
they are born up to a yr old...love the foot and hand prints..cant wait to use it..

Aseel showing off her little silver sofa and tent...she is too cute...
|
|
NIKO OMAN....FACEBOOK IS BLOCKED...HATUTAKI USHETANI HUKU...HEHEHE... |
|
Written by Mange
|
|
Monday, 09 August 2010 23:18 |
|
Hey guys,
Im in OMAN, in a small little beach town called sohar. Hubby is pitching for a project here so I got to come along, the place is just awesome…
Ila sijui vipi but internet yao iko very very slow, and guess what? FACEBOOK IS BLOCKED IN THIS COUNTRY….hahahha hawataki ushetani wa facebook huku….hehehhe, sasa nilikuwa sijajua basi nakwambia nimejaribu kuaccess facebook karibia nusu saa nikidhani labda ni connection kumbe wameiblock….
Mambo ya nchi za kiislam hizo…in dubai(uae) I know wameblock HI5, but again who uses hi5???
Anyways,will try to upload whatever I can, nikishindwa see you when I go back to United Arab Emirates…
|
|
CONGRATULATIONS MY DEAR FRIENDS LILLY AND BESHA...KARIBUNI KWENYE MAISHA YA NDOA!!! |
|
Written by Mange
|
|
Sunday, 08 August 2010 23:39 |
|

|
|
FEW MORE WEEKS TO GO...GETTING BABY READY....LOL |
|
Written by Mange
|
|
Sunday, 08 August 2010 20:08 |
|

This is meant to be daddy's job i guess but this daddy is too busy...lol

great group of guys, very patient, manake mara weka hapa,mara leta huku...lol..
transforming a guest room into a nursery is gonna be a challenge...

then i had them put the playpen in the living room....

thanks guys...great job....

isnt this the cutest playpen ever???

decided to go with a quinny stroller,its so high tech i love it...

car seat...he is almost set...

the cutest little baby swing from mamas and papas...

his toy stash is growing already...lol



ok , somebody stop us..manake sasa nanunua vitu sijui hata kazi yake...lol..

too cute winnie the pooh bath...
|
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
|
Page 7 of 102 |