U Turn Blog
|
MTV BASE AND CLOUDS FM PARTNERSHIP LAUNCH.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 12 August 2010 18:52 |
|

Seven and vanessa

ngwea....

shaa...

my favourite bongo artist...diamond

Shadee- clouds tv

Clouds entertainment crew

Rita Paulsen-bongo star search

Hannah and Ruge Mutahaba- clouds fm entertainment....

Ally Remtullah,Raqey and Sarah

Ali kiba and Juma nature..

MTV VJ Vanessa Mdee and Clouds tv vj DJ Romeo

Tandi of choice fm

nasreen miss tanzania 2008 and her sister Renata

Stella shubi of clouds tv

Joseph mara and wifey monica...
|
|
COUPLE OF THE DAY...TID AND KINANA |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 12 August 2010 18:37 |
|

|
|
FAMILY VACATION, MALAGA- SPAIN..SUMMER 2009... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 12 August 2010 18:07 |
|

Proud parents with their first born.....Mr&Mrs lowrey and hubby....

with their daughter in law on a shopping street in spain....

hubby and i....

Nicest,kindest family i have ever know..Lance,his sister Tate and their parents...

on a narrow street in malaga my sis-in law,mother in law and i...

where we stayed, its a gated community place called la quinta..mdau kama unapanga
kwenda malaga-spain for a vacation u should stay here its just breathtaking...

the view from our window...

more view


hubby and i...

ok, the beach was weird..girls and older women were walking around topless,
i was there with my in-laws so u can imagine how awkward that was...lol

enjoying the beach in malaga...


we ate so much i put on 2kgs in a week...lol

dinner time...was kinda weird reminded me of california...i mean this was 11pm na
bado mwanga huoooo....

hubby and i are experts in finding bars in the middle of nowhere...lol

with my beautiful mother-in law sherry...

sherry,Tate and i

Fred,Sherry and i...

on a malaga street....cant wait for next summer, to go somewhere really cool...
|
|
HELLEN DAUSEN IN LAS VEGAS...AKIWANIA TAJI LA MISS UNIVERSE 2010...GOODLUCK!!! |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 22:18 |
|




|
|
LOOK OF THE DAY...ROSEMARY MLEKWA.... |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 20:06 |
|

|
|
NANCY'S 24TH BIRTHDAY.... |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 19:47 |
|


bday gal..

mabosi wa frontline management...Nancy,Hellen and Irene...

Sophie,Mwammy,Nancy and irene...

Sophie with the champagne...

Nancy ,her mom and cousin...

ever attended a morning birthday bash??? i loved this one!!!

Nancy and mwammy
|
|
MJUE CAROLINE,MREMBO ALIETUWAKILISHA KWENYE MISS AFRICA-AUSTRALIA.... |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 19:19 |
|





|
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 19:14 |
|
Hii dada mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 nina tatizo na mpenzi wangu tunaka siku mbili tunagombana je nikwwanini inakuwa ivi naomba ushauri nifanyaje ili tusigombane
Kuwasilina na uturn tuma email kwenda
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
|
|
ETI ZANZIBAR KUWA NCHI KUANZIA OCTOBER????? NYERERE MUST BE TURNING IN HIS GRAVE!!! MAONI???? |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 19:06 |
|

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inafanya marekebisho ya katiba ya mwaka 1984, ambayo yanaipa Zanzibar hadhi kamili kama nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano.
Marekebisho hayo ya katiba yanatarajiwa kuwasilishwa katika kikao cha Baraza la Wawakilishi kinachoanza leo Zanzibar, ambapo pia yataruhusu kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa baada ya uchaguzi wa Oktoba mwaka huu.
Kwa mujibu wa rasimu ya marekebisho ya katiba hiyo, sura ya kwanza ibara ya kwanza iliyokuwa ikisomeka, Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefutwa chini ya marekebisho hayo.
Rasimu hiyo ambayo itawasilishwa na Mwanasheria Mkuu, Idd Pandu Hassan, inapendekeza kifungu hicho sasa kisomeke ‘Zanzibar ni nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na visiwa vidogo vilivyoizunguuka na bahari yake, ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliitwa Jamhuri ya watu wa Zanzibar’.
Aidha, marekebisho hayo ya katiba yamegusa kifungu cha pili na kueleza kuwa Zanzibar ni miongoni mwa nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Marekebisho hayo pia yamegusa mamlaka ya rais katika kuigawa Zanzibar katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
Kabla ya marekebisho hayo kifungu cha pili cha Katiba ya Zanzibar kilikuwa kikisomeka ‘kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za serikali, Rais wa Jamhuri ya Muungano akishauriana na rais anaweza kuigawa Zanzibar katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa’.
Kwa habari zaidi ingia humu
|
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 11 August 2010 18:57 |
|
Ze matez
Nimeona comments nyingi zikiulizia kikopo…hehehehe…
Well, Mungu hakupi more than you can handle siku zote, manake sometimes huwa na complain sana inakuwaje mie bado nna tema mate mpaka leo,wakati kuna rafiki yangu wakati mimba zetu changa tulikuwa tunatema wote mate, mwenzangu ameacha zamani sana mimi sina hata dalili,as a matter of fact jinsi navyokaribia due date date yangu ndio jinsi yanavyozidi….
Nikajiambia nisikmkufuru mwenyezi Mungu manake kuna wengine naongea nao wananiambia wanasumbuliwa sana na CONSTIPATION sasa mdau kutema mate na constipation mara mia kutema mate manake haileti maumivu yoyote….
Anywaysm my 2 biggest problems through my pregnancy have been kutema mate na heartburnm,heartburn imepungua sana baada ya kufika abu dhabi nilipata doctor mzuri sana akanipa dawa nzuri ya kupunguza heartburn , kwa kweli nashukuru,manake nilikuwa silali kwa heartburn….
Mdau mmoja kauliza nalalaje je natema nikiwa nimelala?? Well, yes, nalala na kOpo next to me…hahahhaha…REALLY DISGUSTING I KNOW….ITS PURE TORTURE…
But Napata moyo sana napoongea na watu na wananiambia mara nitakapo jifungua na mate yanakatika hapo hapo….na nina ndugu yangu mmoja na yeye yupo in her last few weeks na bado anasumbuliwa na mate…
My biggest fear ni kuzaa alafu yasikatike…sijui ntaishije…another fear i had was how would i hubby handle it? but he is been wonderfully supportive,,
Mimba yangu ya kwanza sikuwahi kutema mate,wala kuumwa heartburn,yani I just cruised through it,was expecting the same thing this time…lol…anyways mimba za ukiwa in ur early 20s wanasema huwa nirahisi sana the older u get the more difficult it becomes……

|
|
|
|
|
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
|
|
Page 6 of 102 |
|
|
|