U Turn Blog
BREAAAKIING NEEEWWWSSS.......ELIZABETH GUPTA AVALISHWA PETE YA UCHUMBA NA KEVIN PAM....
Written by Mange   
Monday, 23 August 2010 19:12

NA PETE NDIIO HIYOOOOOO...iking'aa kwenye mkono wa Elizabeth...

diamond ya ukweli......REMEMBER U SAW IT HERE FIRST...LOL

 

 

 

Kumbe ilikuwa true love all along…haya mtoto wa kibongo bidada Elizabeth Gupta mshiriki wa big brother Africa 4 got engaged to Big Brother Africa 4 winner ,Kevin Pam huko Nigeria a few days ago….

Kama mnakumbuka Elizabeth alikuwa hamtaki kabisa Kevin walipokuwa ndani ya big brother house, sijui what changed her mind, ila nasikia familia ya Kevin imempenda sana Elizabeth….

Congrats guys…very very happy for u

 


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
PARTYING IT UP IN NEW YORK......
Written by Mange   
Monday, 23 August 2010 18:56

Kisa and Jennifer...

jen,Kisa,Millen and a friend...

beautiful women....millen,kisa and Jen

 

 

 

 

 

 

 


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
BELLA'S SUMMER VACATION IN BONGO....
Written by Mange   
Monday, 23 August 2010 18:41

 

 

 

 

 

 

 

 


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
LOOK OF THE DAY...JAMILLA E-mail
Written by Mange   
Sunday, 22 August 2010 20:00

 


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
BALOZI WA REDDS TAYARI AANZA KUTAFUTWA...
Written by Mange   
Sunday, 22 August 2010 19:55

 

 

Habari zenu!

Jana ilikuwa Redds day kwenye kambi ya Miss Tz 2010 iliyoko Giraffe hotel.

Meneja wa kinywaji cha Redds Ms. Kabula Nshindo aliwatangazia rasmi washiriki wa Miss TZ uvumbuzi waThe Search for  Redds Fashion Ambassador

Ndani ya Miss Tz ambapo redds watatafuta balozi wa kinywaji hicho. Shughuli hii itafanyika tarehe 3 september 2010.

Balozi wa Redds ni taji la pili kwa ukubwa kwenye mashindano ya Miss Tanzania.

Nimeweka habari zaidi kuhusu taji hilo na picha kadhaa.

Asanteni kwa ushirikiano wenu.

Regards,

KIWIA, Irene E.

Managing Director,

Frontline management


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
ETI UKIZAA NA MWANAUME MKAACHANA BABA WATOTO HARUHUSIWI KUTAFUTA TOTOZ NYINGINE???
Written by Mange   
Sunday, 22 August 2010 19:43

Hodi Hodi Shake well before use

Mwanamke umbeya babu kusutwa ndio mwake ile story ya mabwana za watu imenikumbusha stori nyingine ila hii ni kinyumenyume

Eti mtu ukizaa na mwanaume mkiachana baba watoto haruhusiwi kutafuta totoz nyingine Hii inapatikana live huku scandanavia  Jamani kuna dada jina laanziwa na B amemkaa rohoni rafiki yangu kama kitu gani sijui

story yenyewe ni hivi huyo kijana alikua anaishi na huyo mama watoto wake sasa katika maisha yao jamani si unajua mahusiano wakatengana mwanaume huyo akajipatia totoz nyingine ya ukweli lakini mtoto malezi full na matumizi full ku supply na wakionana na mwanamke(mama mtoto) ni mtoto tu mapenzi hamna kingine

sasa zogo limekuja kuibuka huyu mwanadada alipogundua kaka ana totoz nyingine ni yaleee yaliyotokea kichenchele imekua tafrani mtindo mmoja anamshutumu shosty kamnyang'anya bwana bwana akiulizwa anasema wao walishamaliza zamani ni mtoto tu tena wana kidume cha ukweli(mtoto) shosty wangu mie mstaarabu akaona labda kweli inawezekana yule mwanaume labda ndio walewale akampiga kibuti kijana unaambiwa kaka alimwaga chozi hilo kafa kazikwa kwa bidada anaapa anampenda yeye na hata ndoa atatangaza basi na kwa vile bi shosty kakolea kiaina akaona isiwe tabu akarudisha mapenzi kwa handsome na karibuni wanaanza kuishi wote huyo B anataka kupasuka kila siku anatangaza visasi na maneno ya vitisho kwa kusema ana hela anaweza kumdestroy mtu na kwa vile baba watoto ana pesa basi akajua msichana kazimika kisa mkwanja kumbe binti naye kwao mambo safi baba tycoon mama anakula pesa za nchi na huo usafiri wake balaa na vilevile ana proffession yake nzuri analipwa mshiko mzuri na amenunua apartment wiki iliyopita tena cash hamna cha morgage hata huyo mwanaume hamfikii kwa huo mkwanja wake anafanya masters yake aunge jina na ni mzuri balaa huyo kinaga u.... hampati hata kwa ukucha

Jamani akina mama na wasichana tujifunze kuachwa kama umeachwa na wewe subiri wako uliyepangiwa mbona viroho juu kama break za fusso wewe B waache waenjoy na ukizaa na mtu akikuacha usitumie mtoto kama kigezo mapenzi hayalazimishwi shoga utaumia sasa rafiki yangu anataka ahame nchi waende zao europe na kaka shoga akiipata hii atajimeza na walienda Tanzania kutambulishana wewe aunt meza topaz au mikasi ya china unaleta ujuzi wa makobazi kwenye jimmy choos unalo mwaka huu ndio maana eating disorder handsome anataka nyama

wananiita kiruka njia kizabizabina niliyekosa mshipa wa haya sina hiyana

Mange usiweke email yangu na asante kwa Blog yako inaleta raha mpaka kunako siku hizi hata mume akiniudhi nikiingia huku full burudani


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
MISS UNIVERSE NI KESHO....GOOD LUCK HELLEN DAUSEN....
Written by Mange   
Sunday, 22 August 2010 19:35

 

 

 

 

 

 

 


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
FINALLY FOUND THE LAST THING I WAS LOOKING FOR...A CUTE MOSES BASKET...LOL
Written by Mange   
Thursday, 19 August 2010 21:31

Mama k getting a cute moses basket from mamas & papas....the last thing i had to buy....

 

I have decided to buy most of my kids stuff from good stores like chicco ,mama & papas or mothercare etc ili hata nikimaliza kuvitumia viwe na hali nzuri niweze kumpa mwingine kama zawadi…(sidhani kama nitazaa tena,lol)


mnisamehe kuhusu hizo nywele....nimejichokea naona tabu hata kubrush nywele...lol...

 


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
YALIYOMKUTA DADA ALIETEMBEA NA MUME WA MTU....
Written by Mange   
Thursday, 19 August 2010 17:58

Mwanamke umbea babu,halo halo.

Wanawake wenzangu kila siku mnaambiwa msiwe mnatembea na waume za watu hamsikii sasa labda leo mtajifunza kwa yaliyompata huyu bibie anaejidai ni superstar mji huu,

Basi huyu demu aliekuwa akiishi marekani ila alirudishwa kwa deportation mwaka jana (natamani kuweka jina ila nahisi mama uturn hatoweka article nikiweka jina lake,ila jina lake linaanza na R) alikuwa anatembea na mume wa mtu ,sasa badala hata awe na adabu au heshima kwa mkewe dada akawa kazi kumtukana huyo mke kwa meseji na kumwambia mumewe hatorudi tena kwamba yeye keshamshika.

Basi siku ya tarehe 10 may 2010 huyo dada alipotea ghafla baada ya kutekwa na mijaune minne yenye misuli, mijanaume hiyo ilitumwa na mke wa huyo jamaa aliekuwa anakula nae uroda,unaambiwa walimfanyia vitu vyote vichafu unavyoweza kufikiria wewe na pia walimpiga picha wakati wakimfanyia hivyo vitendo,

Baada ya hapo wakamtupa pembeni mwa barabara akaokotwa na mapolisi na kupelekwa hospitali,

Tena siku hiyo nakumbuka watu tulikuwa tunajirusha kwenye kiwanja kimoja hapa dar habari zilipoanza kusambaa kwenye kiwanja hicho kwamba R kafariki dunia wengine walianza na kulia wakidhani mdada kafariki kumbe habari zilifika vibaya alikuwa amelazwa hospital akiwa na hali mbaya sana.watu walipokwenda kumuona hospitali akawa anajidai kachanyanyikiwa hakumbuki kafanywa nini au hao watu walimpeleka wapi huku alikata kutoka hospitali siku hiyo hiyo akiogopa waandishi wa habari watafika hospitali.

Inasemekana huyu dada sasa hivi kaacha tabia yake ya story ya uongo ungo na kutembea na waume za watu, tena huyo mama aliemfanyizia amemwambia akimsogelea mume wake tu basi picha zitakwenda kwenye magazeti

Sasa nyinyi mliobaki na tabia hiyo jiangalieni sasa,watu tunawapenda waume zetu sasa endeleeni kujileta tutawatoa roho mwaka huu.


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
KUELEKEA UCHAGUZI 2010.....
Written by Mange   
Thursday, 19 August 2010 17:36

 


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
 
<< Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>

Page 3 of 102
 
U Turn Polls
Wangapi mnapenda U-tun ibaki hivi hata kama Mama u turn akifungasha Virago?
 
ADS Only