02May

MY DAY IN A NUTSHELL.....

Nani anataka kuona my house???? hehehhehehe

kaeni mkao wa kula maana msije shangaa siku nkawaonyesha alafu muanze oooh hapo sio kwako, ooh you are showing off...

hehehehheheheh......

 

Bongolicious African print Blazer,

available for sale now

www.mybongolicious.com

 

 

Chic casual look....

 

In love with my hair, Virgin Remy.... Nywele ya pesa ndefuuuu.....lol...

 

 

Mama Bongolicious...

Leo i woke up super late coz jana nilichelewa sana kulala naandaa order za wangu...

 

 

Huyoo posta na viloba vyangu kutumia wangu mizigo yao....

Hawa mauzo ya Etsy na moja from Ebay... yani jana ndo nimeuza ebay for the

very first time... God is great guys....

Alhamdullilah

 

 

Today i picked my son very early from day care maana leo babake kamdrop shule saa moja maskini coz he

had to be at work very early today....

Basi nikifikaga kwanza namchungulia mlangoni....lol..

Leo nimevikuta gym vinaangalia some cartoon....

 

This is the best time of my day...

kakiniona kanatoaje mbio, yani anaweza kuanguka... hahahhaah

 

Uwiii kidogo ajingoje kwenye piano anavyomkimbilia mamake...

 

Awwww, kakasema bye toto.... ...too cute..

Basi the kids in Kenzo's class wanaongeaje kiswahili? jamani nachekaga

eti na wao wakiona mdudu wanasema 'dudu' kama Kenzo, wanasema 'bayaaaa' if they dont like something,

when they are mad wnasema 'toto nuna' toooo cute...

mwanangu anafundisha wenzie kiswahili badala ajifunze english...hehehehhe

Me and my lil' soldier ,love him mad....

 

 

OMG, THIS IS WHAT I CAME HOME TO,,,,,,,Nilimkuta Bhoke keshafika home ananisubiri kwa hamu anionyeshe hee..

Leo during assembly walikuwa wanatoa certificated to the kids who did well in the last exams, uwiii na kitoto changu cha kikuria kikaitwa juu kupata certificate...

Uwiii im the proudest mommy ever today, nina rahaje leo sasa......

Jamani mwanangu ndo kwanza kaanza grade 6 January huko Tanzania, kaja huku March  akajoin hiyo hiyo Grade 6 alafu huku US  hii ndo semester ya mwisho ya Grade 6

wakati maskini yeye ndo kwanza alikuwa kaanza Grade 6, imagine ame catch up na anawapiga mabao watoto wa kizungu left and right....

Ila anakomaje wazazi wake wakalije, ana time table ya kusoma ya hatareee utasema kapo college, na babake huko whatsapp anaongezea ukali..... Nashkurujeee.....

Tumemwambie next time tunataka 'A' honor. hahaahahahaha.....

Jamani kumbe elimu ya bongo ni nzuri tu jamani mbona mwanangu anawakimbiza mchakamchaka huku na wakati hata hakusoma hiyo grade 6.

 

 

Hii ndo zawadi aliyopewa shule... uwiii katanenepaje mwezi huu...

ni lots and lots of free coups za kwenda kula restaurants and some to go parks and play areas.

mpaka azimalize hizi coupons tutakoma na safari....

 

PS: A few people wamenitumia emails wananiuliza mbona sijaacha jina la shule ya mwanangu kwenye hiko cheti wangependa kujua anaposoma au naogopa watu watasema anasoma public school??? hehehehhe

Guys in the US watoto wanaosoma private school wanavaa school uniforms, ukiona wamepiga majeans kama mwanangu usiulize. Sijaweka jina la shule just for the safety ya mwanangu....lol.....Si unajua mamamtu navyochukiwa na vichaa.

Although this is her last semester at the school ila bado mamake sina amani.

Msikisie kisie anasoma wapi hamtoweza kujua. Ila akishahama ntawaambia alikuwa anasoma wapi labda mtakuwa mmepatia au mmkosea. Kuweni na subira kidogo.

 

Love you all.....

02May

MTOTO HULELEWA NA KIJIJI KIZIMA........ WHAT DO WE DO NOW????

 

 

Ok, this is getting out of hand now. Wakati naweka ile post juzi i didnt think it will

affect Linda's mental state at all. Maana yeye huwa anatukana sana watu , i really thought she can handle it.

i swear if at all i knews she was going to completely lose her mind and abuse her kids even more i wasnt going to put that post.

Jamani ndugu za Linda au Mr. Kimesera mliopo marekani we really need you to fly to ATL and  take care of Linda during this difficult time till when

she regains her sanity. Im worried sick about the safety of the children.

Jamani its sad,nilichopost hapa is only 1% of what she has posted huko FB.

Linda pls calm down and say your prayers like you told us you always do mpaka ukapata sijida kwenye kisigino and not utosini like other muslims.

Pls  Linda, relax i  thought na wewe unaweza kuhandle matusi kama unavyotutukanaga sisi.

Mbona wenzio tunaendeleaga na maisha yetu ya kawaida no matter how much you curse us???

Have you finally found out how  it feels to be cursed by others????

Hopefully this has taught you to mind your own business and leave other people alone.

Now pls take only a very small dose of propofol kama alopewa Michael Jackson, it will help you sleep.....

Goodnight.

Haya mama we see you were almost our first lady... Mungu katuepushaje watanzania na balaaa.

Kweli Mungu anaipenda Tanzania nimeamini leo.

 

 

Uwiiii, *instagram cant watch sign....

Dah, if anyone can reach her husband pls tell him to go home now and be with his wife now before

he finds a house full of butchered children. i swear haya ndo mambo tunaonaga kwenye tv maana kadrown watoto sijui nini

watu wanaanza kusema kweli she was acting weird few days before. Guys we can stop this, we can help huyu dada yetu asiendelee kuchanganyikiwa.

I swear, i thought she was strong kumbe i was wrong. Angalau someone pls call Linda on the phone and tell her it's ok. She only needs to stop abusing others on fb and this

will never happen to her again.

Tell her to concentrate on her 'talent' and leave the untalented kina mange alone.

 

 

 

OMG, THIS SHOCKED ME.....

 

Ndio tunatamani kuhagiwa na ma bilionea but we don't wish for our little girls tuliowabeba tumboni for 9 months kuhagiwa na mababu hata wawe matrilionea

thats the difference between sane mothers and insane mothers Linda.

 

 

 

KIRUUUUUU....

 

Mamaa wa ma priveti jeti...

 

 

Mamaa wa mapriveti jeti 1 yr after kuolewa mume akafilisika....lol..

Kutwa kinitukana Mange Kimambi anaishi fake life.....lolest...

Kwa vile at this moment kichaa chako kipo kwenye peak pale penyewe , yani kwenye kilele cha mlima Everest

pls naomba utuelezee hii bankruptcy ya mumeo maana supposedly he doesnt have a cent to his name.lol...

Hivi kwanini wanaojua kusema kama kasuku  kwenye fb huwa hawasemagi ya kwao???

Mnatufanya watu tugoogle mpaka macho yanauma sasa ndo tupate information zenu.loest....

 

 

UPDATE....

Jamani hata kimba changu cha mwarabu unanikutukana , sawa.  Ok nakubali ni cha mwarabu. sasa ngoja nkupe somo la KIMBA cha mwanarabu.

Unadai sababu ya recession so matajiri wana file bankruptcy to save their money??? hehehhe...

Yes they do ila guess what? wana bankrupt makampuni yao. Hii ya mumeo ni personal bankruptcy sio ya kampuni. Personal bankruptcy mamii means huna hata bank account yenye

senti moja bank?? GET IT???? MBA ya mwarabu hiyo.....

And personal bankrumptcy haunts a person for life hata ukimake dollar moja wadai wa zamani wana haki ya kufile law suit kudai madeni ya zamani sababu sasa una pesa.

Na credit ya mumeo is bad as sijui nini ndo maana huna na kuhangaika kote ufungue website kama mange, huna merchant service coz no bank will gives merchant service

to people with bad credit. LOL.

Shukuru kuna pay pal.

So unavyosema mumeo alidanganya tu kufile bankruptcy ila bado ana hela kaficha usije mletea matatizo akaja kukidwa kwa mara pili, tulia mama, stop panicking.

Matusi ya nini? Matusi yenyewe hayo hayo miaka na miaka hayana kichwa wala miguu. Lete jipya kama ulivyoletewa jipya humu.

Leo Utafungua account elfu moja fb za kukupa support mwisho wa siku watz wamechoka maneno wanataka evidence.

HATUDANGANYIKIIIIIIIIIII........

Now go cook lunch for the kids, usije waacha na njaa kisa kumtukana Mange Kimambi,

Na nna kuonya tena stop ssaying your husband lied when he filed for bankruptcy so he can escape debts maana usije kuwa unapelekea mumeo chakuja jela kwa mdomo wako mrefu.

You just admitted on fb kuwa your husband committed bankruptcy fraud.....which is crime by theway.

Uwiii Mali angejua leo haki ya nani angekutandika talaka tatu...


 

INGIA HUMU USOME about bankruptcy

 

CHAPTER 7 BANKRUPTCY


01May

BONGOLICIOUS ON ETSY........

Huu ndo muonekano wa duka la Bongolicious kwenye ETSY.....

So, i must say this has been kind of a major breakthrough into a none Tanzanian Market.

Hubby had been bugging me for months to start selling Bongolicious on ETSY nikawa naona kama huko nani atanunua nguo zangu,

Boy was i wrong!!!

 

Hivi ndo vitu nilivyouza mpaka leo, yani ukiingia dukani kwangu unaweza kuona nimeuza nini,

so inawapa wateja wengine moyo kununua coz they know im professional...I cant wait for them to start posting feedback about my clothes.


I started selling on ETSY on the 11 on April and to this this day i have sold 6 items,,,

Ofcourse 6 sounds like a tiny number but uki compare na competition iliyopo on ETSY and how picky the American Market is

aisee this is major for me. The latest sale which was mchana huu ilikuwa ni hiyo Blazer, yani mpaka

hasira za kina Bedui zikaniisha kidogo nitoe post zao kwa furaha....lol....

Anyways, guys, God is good......

For me kuuza chochote kwa mmarekani is a freaking big deal......lol.. i feel like im exposing myself to another market.

6 items in 2 weeks, not bad at all.Hapo ukiacha mauzo ya kwenye website. I cant imagine nikiongeza vitu vingine itakuwaje....

Im so happy today, nataka ku scream kwa furaha.....

 

 

jamani etsy kuna maelfu ya African Print stuff, ila Ukiingia ETSY uka search Africanprint

uwiiiiiii front page nzima inajaaaa nguo zA Bongolicious. so apparently wanachagua nguo za kuwa front page kutoka na likes

watu wanazokupa kwenye duka lako na wanaoamua kukuweka kwenye favorite shop yako na pia admirers....

 

Hii ndo front page ya Africanprint kwenye etsy, OMG Zimejaa nguo zangu tuuu...

jamani im soooooooooo happy , i cant believe this.....lol...

 

So watu wakiwa wanakupa malikes hivi ndo items zako zinaenda page ya kwanza.....

 

what i love the most about ETSY are the shipping rates....

uwiii they have a special deal with USPS, yani naship vitu vyangu kwa dola 2 around USA,

wakati vitu navyouza kwenye website yangu natuma kwa around 5 Dolllars...

 


ETSY is the 4th largest online boutique in the US  so this is freaking major for me....lol...


 


YOYOTE ULIENIKOSEA NIMEKUSAMEHE GOD IS BLESSING ME IN EVERYWAY SO NAWASAMEHENI WOOOOOOTE MNAONISIMINGA DAILY.......

KUANZIA LEO NAFANYA YANGU SIMJIBU MTOTO WA MTU HATA KAMA  ANIPUSH VIPI, NTAJIKAZA AISEE....

NAJUA NYIE HAMUWEZI KUFANYA YENU MTABAKIA KUNIFATILIA NA YANGU.....


 


WATANZANIA WENZANGU KAMA NA WEWE UNA NGUO UNAUZA HATA KAMA NI AFRICAN PRINT KAMA ZANGU KAJARIBU KUUZA ETSY HUWEZI KUJUA LABDA UTAFANIKIWA KAJARIBISHE.... KIZURI SHARE NA MWENZIO KILA MTU MUNGU KAMWANDIKIA

RIZKI YAKE HUKO ETSY KUNA MAELFU YA AFRICANPRINT NA BADO NGUO ZA MTOTO WA KIPARE ZIMETOKEA FRONT PAGE.

......... USIJEKUOGOPA KUFUNGUA DUKA LAKO ETSY ETI MANGE ATALALAMIKA UMEMGEZA,,,,,, SINA USHAMBA HUYO....

TUPIGE KAZI WANDUGU.....


PS: THANK YOU GUYS FOR SUPPORTING BONGOLICIOUS, THIS IS WHERE BONGOLICIOUS STARTED.......

30April

BLACK SHEEP.....

kondoo mweusi....

 

 

Uwiii nisameheni jamani, najua this week nimekuwa mswazi kupitiliza... Jamani huyu ndo wamwisho.... Wanasemaga save the best for last....

Yani kati ya ya watu wanaonifyatilia issue zangu nawachunia huyu ndo number moja. Alafu hachoki miaka na miaka.

 

Anayway to cut the story short, rachel alinikosea back in 2008 ila akaniomba msahama vizuri nkamsehe. Enzi hizo 2008 mie nilikuwa sijazoea kutukanwa yani kidogo nife na presha jinsi alivyonitukana nilikuwa very sensitive yani. Ila nikamsamehe.

 

Alivyoniomba msamaha tu nikamsamehe.......

 

 

Yani nilikuwaga kapole sana and very sensitive..... Nikamsamehe kwa roho safi ila kila mtu aende kivyake...

kumbe mwenzangu kaniwekea chuki sababu ya kusema staki tena kujuana nae.

 

 

Rachel the reason sikujibu matusi yako FB sio kwamba sioni au nakuogopa, ila Dada yako Hoyce aliniomba sana. Na huwa anakuombea msamaha unapotukana watu facebook.  Ungejua unngeacha unamtesa dadako ambae ni msomi na katulia na familia yake. Unapotukana inabidia aanze kutafuta waliotukanwa akuombee msamaha atuarifu wewe ni mwendawazimu tukuache tu. That's why tunakuacha, we respect your sister. MTu hadi unamtukana dadako Facebook unadhani mzima wewe.

Hoyce I am really sorry for publishing the emails that you wrote to me in confidence ila huyu mdogo wako amenipush sana this time. Ngoja tu ajue kwanini watu hatumjibu . Ni kwa heshma yako tu.

 

Kuna wakati bibie alitumwagia mitusi mimi na yoyote aliekuwa rafiki yangu kipindi hiko, hakutuchagulia tusi.

So dadake akatu forwadia emails alizokuwa anamkanya mdogo wake. Ikabidi mpaka atag na ndugu wengine ili wajue hamuonei huyu black sheep wa family...

si mnajua kila family lazma kuna mmoja atatokea ambae lazma awe hasara au laana kwa family.Kwa familia ya Temu ni Recho.

 

 

 

Ndo hivyo dadake anani forwardia email ili tu nijikaze nisitukanane na mwendawazimu wa familia.

 

 

 

Imagine dadake kamaliza kumkanya tu akaweka status anamtukana dada yake...hehehe,...hivi huyu mzima? SI wa kumsamehe?

Imagine dadake wa tumbo moja anamtukana hadharani, kama hana huruma na dadake sasa kina Mange si ndo atatumaliza kabisa?

Mie huyo nkamtumia dadake hayo matusi ya facebook , maana dadake alikuwa hayupo huko facebook.

 

Baada ya dadake kuona yale matusi aliyotukanwa na mdogo wake akaishiwa na nguvu...

Ila aliendelea kutusihi mdogo wake ni mwendawazimu tusimjibu.

 

Haya mambo yake ya kutukana facebook mpaka dadake akamtupia nguo nje, ikabidi arudi kukaa kwa mamake....

Na hapo akimuuzi mamake atupiwe tena nguo nje arudi kwa dadake. Yani ana maisha yakutanga tanga yule mwanamke..

 

 

 

Rachel apart form kukukalia kimya sababu dadako kaniomba, ila pia nakukalia kimya sababu  i dont deal na international criminals.

 

Mwanamke ana criminal record ya kutosha huku Marekani.

Uliletwa USA Na foundation ya Mama Ana Mkapa kwa mambo yenu ya kusaidiana Wachaga kwa wachaga. Badala waangalie who really deserves kuletwa huku

wanaangalia kabila. Mwisho wake umerudi Tanzania na PhD ya matusi.

Haya kabila likakusaidia ukapelekwa kusoma ,badala usome, sababu umeletwa kwa pesa za msaada kutwa michambo facebook.

Mtu umefika US kwa msaada kwanini usitulie ukasoma??? Ungetuacha kina Mange tuliokuja na pesa za baba zetu ndo tucheze...hehehehehehhe

Matokeo yake ulirudi Tanzania na pingu mkononi.... Alafu kutwa kuongea mambo ya watu mbona huongelei yako??

 

Kutwa kuongea ya watu MBONA yaha yako husemi?Ntakuona wamaana siku ukiweka status fb ukasema

jamani oneni im a convicted thief. Nilideportiwa usiku usiku na pingu mikononi..

Hivi ulikuwa unaenda shule saa ngapi na mahakamani saa ngapi??? it seems u spent all ur time mahakamani as a defendant.

You are a careeer criminal mama.....

 

 

Mwanamke you are over 30 yrs old, huna  bwana, huna mume, yule mpishi wa kihindi umemua advertise facebook weeeee kanawa mikono, huna elimu zaidi ya cheti chako cha form 6 from makongo, kutwa kufukuzwa kazi, Ulianzia kempinski wakakutimua ,

ukatafutiwa kazi Grumeti maana dadako aliona huwezi kuishi na binadamu basi ukajaribu kuishi na wanyama porini, ukaenda kuwa Afisa  Chunga wanyama porini huko. Tukapumzika kidogo na matusi facebook

maana kule porini network hadi utegeshee kwenye kimlima, Huko nako huku last wanyama wenyewe waligoma wakataka kuvuka mpaka waende Kenya jinsi unavyoboa.

Umerudi mjini sijui unajishikza wapi sasa hivi, ila huko nako utatimuliwa kwa tabia zako.

Sijui wanajua kwanza una crimina record marekani ndefu hivi???? Do they know they have hired a convicted thief????

 

Anyways Rachel naamini wala hanichukiii, kinachomuuzi ni kwambia who do i think i am mpaka staki kupatana nae? thats all. Maana last yr, 2 weeks before i came to the US, Cynthis Masasi called me, sasa sijui Huyu chizi fresh ndo alimpigia kumwomba atupatanishe au Cynthia mweneywe thought of it sijui, Ila She called me akasema kaongea na Rachel, Rachel kasema yupo tayari tukae tuongee, tusameheane, akasema yeye alikuwa ananitukana sababu sijui niliweka comments za kumtukana humu, i just thought wewe mastatus yale ya kunitukana you thought sitokujibu. Akasema Rachel yupo tayari ku forgive and forget , tukae chini tuyaongee, mkutano ulitakiwa kuwa sea cliff if i remmber right. Yani it didnt even take me a minute to tell Cynthia what my stand was . Nkamwambia Cynthia huyu mwanamke just 3 days ago kaweka status ingine ya kunitukana, today she is ready kupatana na mimi is she ok?? Nkamwmabia mwambie naomba tusameheane kwa mbali, sina kinyongo nae nimemsamehe, ila staki kukutana wala kuongea kila mtu aendelee na life yake. Cynthia akajaribu kunisihi, Mama Max wa watu she was very diplomatic, nkamwmabia Mama Max namjua RACHEL fika she was my friend before and i know we can't be friends wala nini, mi naomba tu tusameheane kwa mbali. kila mtu amweshimu mwenzie,. Bidada huko sasa sijui Mama Max alimjibu nini, nahisi alikuwa keshavaa zile skin tight na mabuti yake ya mwakae 47  anaeda sea cliff kupatanishwa na Mange Kimambi. hehehhhehehhe...... Sijui kilichoendelea pande hizo kwa kweli baada ya mimi kutoa jibu, all i know is alikaa 1 good month bila kunitukana wala kunitaja, akawa anatukana watu wa media sijui kina nani, ghafla been vup mwaka huu kaanza tena upyaaaaaaaaa.... Naona hata Cynthia huko anashangaa ile cease fire iliishia wapi...lol.... Na matusi yote aliyotukana hata siku moja hajawahi kuongelea hili jambo  Cynthia kutupatanisha, kumbe kichaa chako sio cha full time??? unajifanya unajua kutukana mbona hili hujasema????? Sababu watajua deep down unatamani kuwa na mimi? Naomba uache kuning'ang'ania kama mie mwanamke wako, im not a lesbian, usinifananishe na Devota (Sio devota Diva, anamjua mwenyewe Devota nani).  Nna baby yangu ananifundisha taratibu, Uwiiii wapi baby ya Mange,??? hehehhe

Huyu mwnaamke last yr ndo alikuwa anweka status facebook ' hivi inakuwaje mange kaolewa na mzungu analafu kanyimwa visa ya kwenda marekani"  Mie nakaa kimya nkasema huyu ngoja atapata surpise yake soon. Tatizo Rachel anaonaa marekani kama mbiguni. Maisha popote wewe, Tatizo wewe ulitolewa marekani na mbingu mikononi hamu yako bado ilikuwa haijaisha ndo maana unaona marekani ndo mbiguni. Ungejua kama ningeweza ningeishi bongo ningekaa bongo nipo huku sababu ya ndoa tu.

Rachel kama unadhani utanitukana matusi mpaka ni surrender tupatane tuwe mashoga, you are soooooo wrong. We will neevr be friends, hata umtume nani, All i can do is forgive you and wish you the best in life.  But friends hell no. Get that???? Kama wewe kichaa kweli kaandike status facebook  kuhusu issue ya Cynthia kutupanisha ukavaa na skin tights zako ukapatane na the great Mange Kimambi nikakunyali??? Utaota hiyo siku ya kukaa chini na mimi hadi kifo chako, it will never happen. All you can do is stay bitter, utukaneeeeee. It must  hurt really bad mpaka dada yako mzazi ana side na outsiders kwa jinsi ulivyo hauko normal.

kuna wakati alisema home wameanza maombi once a week kukuombea akili itulie, naona Mungu hayuko tayari kupokea sala, Si haba naamini kuna siku Mungu atasikia sala za familia yako na atakupa utulivu wa akili.


Jamani naumwa mgongo, vidole, shingo, kila kitu, nimeandikajeeeeeee..... nisameheni, leo ndo mwisho... nilitaka tu ajue sababu 2 muhimu kwanini simjibu.

1. Sababu ya Heshma ya dadake Hoyce Temu, alieniomba niistiri familia yao kwa kumu ignore huyu black sheep wao.

2. Sababu ni Criminal - I can not associate myself with a person with such a long criminal record, Yani huyu angeendelea kuishi US angefungwa kwa jinsi alivyo mwizi.


30April

OUT DANCING WITH THE HUBBY......

Mama Bhokenzo...

 

The skirt itakuwepo kwenye Bongolicious in Bongo end of July kaeni mlo wa kula...

 

Original Muke ya Muzungu ......

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

With my hubby....

 

Awwww.....

 

Half caste la Kipare na Kimakonde....lol..

Me and my hubby...

 

Jana hubby took me dancing, nilikuwa sija dance muda mrefu sana...

Blue Martini rocks everytime...

 

 

My God given husband....hehehehhe

 

Dancing with my babe....

29April

MANGE KIMAMBI NDO MDHALILISHAJI AU MAMA MTU NDO MDHALILISHAJI? NISAIDIENI TAFADHALI....

 

1 YR AFTER MARRYING LINDA A.K.A Mama wa nuksi MUME AKAFILISIKA....LOL......

Alafu naambiwa Mange Kimambi anaishi maisha feki. lolest.....

Linda unavyojua kuongelea mambo ya watu daily na mitusi, mbona hili hukutumbia???

kutwa kututukana watu wameolewa na maskini we mume wako tajiri, haya matajiri wana file for bankruptcy since when?????

Haya mama endelea kurusha matusi huko facebook... mie matusi yangu ndo haya.....

GOODNIGHT.

 

 

Yule mlala hoi wa Sinza naomba tuachane nae tafadhali , naomba msitume comments zinazomuhusu in my blog, yani

abakie huko huko na balaa lake. Ya jana yamemtosha. Jamani unapoamua kuweka mambo ya watu hadharani make sure ya kwako masafi au na yako weka hadharani.

Kutwa unahangaika na ndoa ya Mange  kumbe wewe yako ilikushinda, kutwa kusema wenzio hawajasoma kumbe wewe nawao hamchekani, kusema watoto wa wenzio wabaya kumbe wako unajua mwneyewe.

kusema wenzio malaya unawaweka kumbe wewe ndo mwalimu, kuanika wanawake wenzio unawaita wezi kumbe we mwenyewe ni mwizi tena wa kampuni. EEEISH.....

Leo nimetumiwa mpaka picha za mamake watu wanataka nimuweke humu eti watu waone alivyochoka wanafanya nae kazi airport.Nimekataa kuziweka ,Mama wa watu hajanikosea kitu sitaki,

kutafuta laana bure, sorry kwa kuwadisappoint.

Anyways, it's official nimesha close that chapter ya yule low life wa Kaole. Naomba tumove on , staki kusikia anything abiut her humu.

akahaingaike na dunia sasa.....


Unajua kuna watu wanasemaga Mange mgomvi sana. Mie sio mgomvi , tena nikitaka mie huwa ni mvumilivuu mno.

Ila tatizo binadamu wengine wanamazoea mabaya, ukimkalia kimya anapata bichwa anajua umemwogopa, hajui umedharau.

Yani anakuchokonoa mpaka anataka kukuingiza kidole machoni.Huyu Linda Bedui leo namjibu only because kaniuzi kuniita mdhalilishaji wa wanawake.

Matusi yooote anayonitukanaga kwneye facebook yake huwa  naignore sina hata time nae. Namwonaga Bibi jinga tu. Mwanamke unamiaka zaidi ya 40, watoto wanne,

ndoa ya tatu sasa sijui ya nne bado unatime ya kutukana watu facebook daily???

Yani nahisi ana ratiba kabandika nyumbani kwake.

jumatatu nimtukane Mange Kimambi, Jumanne nimtukane  Missy Temeke, Jumatano nimtukane Loveness Mamuya,

Alhamisi Nimtukane Jakaya Kikwete, Ijumaa niitukane CCM nzima, Jumamosi niwakumbushe kuwa nilikuwaga muuza unga,

hivi mmeshwahi kuona mtu yupo proud kusema alikuwaga muuuza unga??? hivi huyu mtu mzima kweli??


Anyways, waache kina Miss temeke, kina Loveness , wamekukalia kimya ila huachi, hawakuogopi ila wenzio wana akili timamu

hawataki facebook wall zao zijao mitusi kama wewe. Hivi wewe mwanamke unapata baraka kwa MUNGU saa ngapi? You are full of hate.

Myo wako umejaa chuki , naona hata usiku hulali unawaza tu ukiamka ufungue facebook uanze kutukana. Yani lazma upate wa kumtukana kila siku. Kila siku kuchambana.

Embu nenda hata holiday kidogo upumzike. Kha, ubongo wako hauchoki kuwaza mitusi ya kutakana watu facebook.


Unanitukana kila siku nakaa kimya sikuogopi ila nna mambo ya maana zaidi ya kufanya na maisha yangu.

Nimekujibu leo ili tu ujue sikuogopi ila staki tu kulumbana humu 24/7, especially na mtu mzima. Naona kama naweza pata laana kutukanana na mtu mzima kama wewe.


Haya turudi kwenye point iliyonifanya leo nikaongea, Unasema mie mdhalilishaji wanawake sababu nilimdhalilisha mwanao Leila in my blog. Linda ,sijawahi kumdhalilisha mwanao

sijawahi kuweka post nikamtaja mwanao wala mimi kama Mange nikamsema mwanao vibaya. Kama niliachia comments za kumsema mwanao vibaya  it's because wewe ulikuwa

unatukana wanangu na familia yangu on your facebook.

We mwanamke mwenzio nahitaji support ya wanawake 2015 kugombea ubunge naomba uache kusema nadhalilisha wanawake.


Kwanza kabisa hakuna mtu anaemdhalilisha mwanao Leila zaidi yako wewe Linda. That's just the truth. Linda mimi nimekujua last yr na 1st thing  nimejua about you is that

mwanao Leila was sexually molested. Wewe ni mama gani unaandika facebook kuwa mwanao alikuwa sexually molested??? wewe ni mama gani unajirekodi kwneye video, (nimetumiwa clip)

ukihadisia binti yako alivyobakwa alafu unaweka video facebook? madai yako unamwaibisha the person who molested your child??? yani una akili finyu na ujinga wa mashindano kiasi kwamba uko tayari kumdhalilisha mwanao

dunia nzima ijue mwanao wa sexually molested just because unataka kumfix huyo aliem molest mwanao? ARE YOU REALLY A MOTHER LINDA? Huyo mwanao unadhani aanapenda dunia nzima ijue she was sexually molested???

Linda wamama wengine uwaga wapo tayari hata mahakamani asiende ili mradi watu wasijue kitendo cha aibu alichofanyiwa mwanae, ila wewe unahadithia daily on facebook. Uko tayari kudestory life ya huyo molester at any cost including

destroying you own child's life in the process.


Mimi kama Mange Binti yangu akifanyiwa kitu alichofanyiwa Leyla hata mahamani sidhani kama ningeweza kumpeleka huyo mtu, sababu I wouldnt want to put my child through that pain over and over again.

Yani ningemprotect mwanangu kwanza na hiyo aibu hata kama ingebidi huyo molestor asihukumiwe. Ningejitahidi kufanya mwanangu asahau hicho kitu na sio mimi mamake kumkumbusha kila siku kuwa aliwahi kuwa molested.

Huyo aliemmolest mwanangu mahakamni nisingempeleka ila angewish bora ningempeleka mahamani, maana hata bongolicious ningefungilia mbali maana mtaji woooooooooooote ningeutumia kumpa street justice.

Na nisingekuja kwenye blog au facebook kutangaza jamani wmanangu kawa molested na so and so and so because THAT would only mess up my child.

Unadhani sababu huyo mwanao ana smile inside she is not suffering?? uliza watu waliokuwa molested utotoni ina wahaunt mmpaka ukubwani na wewe kama mama yake kumtangazia dunia nzima alikuwa molested inauma zaidi.

Wewe ndo unaemdhalilisha mwanao sio Mange.

 

 

Nimeweka picha ili tu kujitetea na kuweka facts, nani anaemdhalilisha mwanao mie au wewe?

unaweka facebook makalio ya mwanao mdogo unaona sio udhalilishaji huu???

Unawaambia watu ana round butt sasa unataka wayashike na wao ama???

Kutwa kumsifia mwanao mzuri, sawa kila mama anamwona mwanae mzuri sana, ila wewe unamsifia mwanao kwa kumdhalilisha sio kama

wanawake wengine wanavyosifia watoto wao. Kutwa kuweka viungo vya mwili wa mwanao facebook unavisifia.  Hata siku moja hujaweka  status kusema

jamani mwanangu kapasi shule, au mwanangu ana perform  kwneye school play, wewe ni viungo tu mwanao na kuongelea alivyokuwa molested. Alafu unanipakazia mie ndo namzalilisha.Hivi hii dunia ya leo

kweli ni dunia ya mama kumpa mwanao wa kike bichwa kuwa yeye ni mzuri sana? Dunia ya leo hakuna mwanaume anaoa mwanamke eti sababu ana shepu au sura nzuri

Dunia ya leo Elimu na tabia ndo vinavyofanya mwanamke akaonekana mzuri. Hujioni wewe mama mtu, Mshukuru Mungu alikupa uzuri wa sura (Mwili ngoja nkae kimya) je mpaka leo hii huo uzuri wako wa sura umekusaidia nini?

na uzuri wote unaojitamba nao umeishia kubebeshwa madawa ya kulevya ukiwa mdogo, kila mwaka una mume mpya, umemaliza wanaume wa mataifa yote,watoto utitiri, kila mtoto na baba yake, Hakuna mwanaume kaweza kuishia na wewe kwa  jinsi ulivyo na tabia mbaya, yani uzaramo umekukaa hata ukae US miaka mingapi uzaramo haukutoki, mdomo na matusi ya kizaramo yamekujaa.

unakaribia miaka 50 ndo unastuka una talent ya kudesign nguo, unaanza kusutana na watu facebook. Age hii bado unahangaika na vihela vya kula.

Huoni kama wewe ndo mfano tosha kwa mtoto wako kuwa uzuri peke yake haumsaidii mwanamke kwenye dunia ya leo.

 

Linda sijui umekulia wapi wewe mwanamke...... Ndo maana mtoto alikataliwa kugraduate high school.

alafu unasema walimu walimuonea, walimu hawakumuonea tatizo wewe umekuwa shosti wa mwanao na sio mzazi.

I tell my daughter everyday, i would love to be your friend but the most important thing to me is to be your mother hayo ya urafiki baadae sana.

Unaweka facebook picha za mwanao anakatikiana na wanaume then unasema mnage anakudhalilishia mtoto?

Wewe kama unaweza kukatikiana na wanaume mbele ya mwanao unadhani later unaweza kumkanya mwanao????

Then watu wakisema ,ooh Mange anamdhalilisha mwanangu.....

 

Unaweka picha mwanao anatongozwa , eti madai yako watu waone mwanao kaombwa number  ya simu na Mzungu.

huu sasa ndo udhalilishaji.......

Kweli nimeamini kuzaa watoto msururu sio kuwa mama,,,,,

Hivi kuna mama anaweza kuweka picha ya mwanae wa miaka 18 facebook eti anatongozwa???

Alafu alivyotaahira siku nyingine anaandika status kuwa Leila bado ni bikra alimpeleka kwa Gyno

,Gyno akamcheki huko chini akasema mtoto bado kigoli. Imagine mama mtu anaandika ushenzi kama huu on facebook.

and still she doesnt see this as child abuse au kumdhalilisha mwanae.

What kind of a mother tells the public about the status ya ubikira wa mwanae kwenye facebook?

Really hata kama ndo ulikuwaga unakula na kuuza madawa ya kulevya hizo effects haziwezi kulast this long jamani..

You can't be normal Linda.Yani wewe sio mzima, mpaka naishiwa maneno.

Future ya huu mtoto ipo mikononi kwa Mungu sio kwa taahira kama wewe.

 

Ukaona haitoshi , ukaweka na hii picha ya kitovu cha mwanao facebook, wanaume wamtamani sijui, unajua mwenyewe

sasa naomba tuwaulize wananchi jamani huyu Leila anadhalilishwa na Mama yake mzazi au anazalilishwa na Mange Kimambi?????

sababu msiwe mnaniharibia jina langu kwa utaahira wenu wenyewe.

 

Hivi kuna mama mnamjua dunia hii ambae amewahi kuweka picha kama hii ya binti yake wa 18yrs old kwenye facebook?

Tena very proudly. Linda you are not giving this beautiful young lady a chance in life. Mwache aje afanye mistakes zake mweneyewe kama msichana,

sio apate akili zake akute tayari mamake keshamfanyia hizo mistakes. Anapiga hizi picha sasa hivi sababu ni mtoto hajui alitendalo im sure

akifika in her 30s hatotaka mumewe aone when she was 18 she was already katikiaring wanaume kwenye dancefloor, au mumewe aone at 18

she was already exchanging numbers with men in night clubs, au at 18yrs old tayari alikuwa mapepe na pia im sure angetaka yeye mwenyewe ndo amwadisie mumewe kuwa

she was molested na sio ayasome kwenye ma internet huko sababu mamake alikuwa taahira anaanika mambi yake private kwenye internet.

Uninyooshea mie kidole kwa kumdhalilisha mwanao badala ya kuangalia jinsi wewe unavyomdhalilisha mwanao.

Kama ndo unataka kuonyesha watu familia yako mnaishi maisha ya kizungu, chief huu uzungu wako umewazidi hata wazungu wenyewe.

Mange kimambi picha zangu za 18yrs utaniona nimevaa kimini na ki just because nimesimama kwneye ngazi nyumbani kwetu,

Au nipo kwenye beauty pageant ucharwa za shule zimbabwe, ila hutokaa kuona picha za Mange Kimambi akiwa na miaka 18 eti nakatikiana na wanaume

au eti natongozwa na wanaume au uone picha nimebong'oa matako sijui najibashia. Picha zangu za ajabu ajabu basi ni za uzeeni huko tena nishaolewa najiachia na mume wangu.




Kutwa kunisema nimekugeza idea zako, sijui nguo zako, mara jana unasema sijui Diamond kasema sina talent ya kudesign.

wew mwanamke unakazi kweli huko facebook. sawa mie sijui kudesign wala sijali, nachojali ni kwamba nguo zangu ZINANUNULIWA.

Wewe unaejiona ni designer wa maana sana umewahi kuuza hata chupi????  Kama uantaka kushindana na mie naomba tushindane kwa sales receipt sio maneno,

weka hapa umelipa how much tax this yr kwa hizo nguo zako na mie niweke tax zangu. Ndo utajijua wewe ni designer au ni Mshona magwanda ya Chadema???

Designer huuzi hata chupi????? acha kunifatilia na kazi yangu. fanya kazi yako achana na yangu.

kama sijui kudizaini juu yangu, wewe unaejua sana embu uza sasa tukuone. Kama hutoishia kutoa nguo bure ushindane na mimi. Mfyuuuuu.... na hata ukitoa bure hakuna atakaevaa nguo za Haloween.

 

Unashadia mambo ya Diamond wakati mwanao unashindwa kumsomesha. Eti watu walijaa kwenye show , ajiulize alikosa viingilio vya watu wangapi? angepata watu mara 5 ya waliofika kama sio tabia zake za udhalilishaji.

hao wanawake waliokwenda kwanza ni wale ambao hawana computer wala internet nyumbani, wale waliozamia UK miaka 20 iliyopita, umeona mtoto wa kishua kwenye ile show pale??????? Usiwe unaongea ongea.

Kina dada mlioenda tumewasamehe tunajua hamkusikia tangazo, next time tutawarushia tangazo BBC naamini hata kama hamna lap top ,TV mnazo... Wale mliotikia wito thank you.....

 

Jana ukanitukana tena facebook, Hardcore Mange fans wakakugeukia huko huko...

Mamaa, utaishia kufuta na kublock watu wote facebook sababu yangu, usidhani sababu u hate me then kila mtu hates me.

Wanakushangaa mwanamke mzee ka wewe hukai ukafanya yako,kutwa Mange Kimambi.

 

 

PS: Kusema ukweli leo im super ashamed of myself, yani sijatuma order za watu hadi saa tano hii  Nimekaa hapa nalijibu hili mama lililoshindikana,ngoja niwahi posta