I AM MISSING MY TEXAS FAMILY........
Early morning love mtu na Aunty yake....
So i got a big family i Texas, kuanzia my in laws mpaka marafiki ambao sasa wamekuwa ndugu zangu.....
Naona THANKSGIVING kama haifiki niende tena.....lol....
Vanessa is such a beautiful easy baby....yani hakalii mpaka kawe na sababu maalum....lol..
BLONDIE.....LOL...
The forehead kiss....
Auntie Happy and Shani
aaaaawwww, muke ya .5 ......hahahhahahahhahaha Muke ya Kenzo huyoooooooooooo......
tooo cute my mkwe....
Ledi Peti with a sleeping Vanessa....
Some of you have been asking about my relationship with Ledi Peti,
well Ledi Peti and i have been friends since we were 7yrs old....lol...
Like dis woman knowns me kinoma noma......hahahhahahahahhahaha......
aaaaawwwwwww,,,,,, Look at Vanessa eti kanasimamisha shingo hata mwezi hana...
kabishi....lolest....
uwiiiiii Vanessa acha kumtamanisha Auntie Mange kutafuta mtoto mwingine mzuri kama wewe.....
hahahhahahahha
Ledi Peti, Vanessa Akili and i...
BONGOLICIOUS...... VINTAGE COLLECTION....
(IN THE MARKET OCTOBER 2012)
Family Dinner @ Galleria......
I miss you guys sooooooooooooooooooooo much........
Chilling with Muke ya Kenzoki......lol
aaaawwwww.....






















Comments (78)
m a r i c h u i
muddy washington
Mama Lisa
Anonymous
LediPeti
anonymous
parrotkasuku
Anonymous
Mdau
muddy washington
funky
Uturn Addict
Espcly rangi zake,,,,
Uturn Addict
Utaja bondwa na miriam na theo usiamini macho yako.......lol
Mara mtoto wa odemba ndo mkweo,,,,,
Mara shani ndo mkweo,,,,,,
Shauri yako,,,, mi nakupenda lakini ngumi sijui wala siwezi
Mshamba
Cha kuchekesha wengi tu wanakuja, Watoto wa mujini mwaka huu wameamua kutotoa haswa na vitoto vizuri mpaka na sisi wengine tunatamani wakati tunao wa kutosha.
mama naah
ngosha
Uturn Addict
ngosha
m a r i c h u i
Anonymous
Mshamba
On a serious note, naona mliienjoy sana kukutana nyie wote watatu na kupata muda wa kuwa pamoja huku mkiwa mmepumzika. Good for you guys!
c's mum!
BEAUTIFUL
Leen
:mangefan:
ZARA
Isabell Arroyo
c's mum!
RUKIA BINTI KASRI
magrita
everything on point..very classy
maudodo
TBL
muke ya jaluo
Sensitive Samurai
LOVE YOU MANGE,
lusajo
Mammu
MASHA
Muke Ya Albino
ngosha
Uturn Addict
Cheerlicious Chick
Mungu akuponye kwa muda mfupi dear!
Mshamba
We hope and wish for your speedy recovery!
c's mum!
DESPERATE HOUSE WIFE
aNONYMOUS
Dee baibe
jency
picha nzuri though
Mamaa ya Joti
MAPENDO DAIMA
lolest
kayemba ney
kayemba ney
LOVE
EVE
MAMITOZ
SINA MAKUU MIE
Sinita
lucky
KILLER QUEEN
baby ya Mange
i like the floral print dress,,baby what about blazers?wish to have a blazer of that prints...
parrotkasuku
Mange unapendeza kila nguo unayovaa ila sasa basi hata siku moja moja basi uvae hata kihindi umfurahishe muke ya patel hahahaha
lynn
it is my first time commenting in your glob but am your fun, nikiingia humu nachekaje? you just made my dia.umependezaaaaaaa
Anonymous
wakongwe u know what i mean.......teacher wa marichui alokua anamfollow
m a r i c h u i
Anonymous
DESPERATE HOUSE WIFE
Mammu
maudodo
pebo da great
Nai Nai
Chichi
FAITH
nahisi hiyo Bongoliscious itakua hadithi ya Kitaa hasa kwa wapendao kupendeza. I love the coulor and the design of the dress.
mishono yake ni changia kote kwa wadada, hata wamama.
VALENTINA
TILALILA
Anonymous
Kijaruba
Kama umekatazwa na mumeo leo kakuruhusu uingie? Na ikiwa umekatazwa na mumeo na humu ndani huingii, ulijuaje kama havai au hatangazi nguo za Kiki, wakati huna access na hii blogu.
Muongo, mfitinishi na mnafiki mkubwa ndio maana kutwa macho kama guluguja kutwa uko kwenye hii blogu kurekodi kinachoendelea, ukitoka hapa unaenda kuandika utumbo wako kule uswazi kwa msazi mwenzio, sijakosea hilo neno kwa MSAZI mwenzio. Halafu mwenzio Mange anakuchora tu maana anakujua wewe ni nani.
Kisha punguza wivu mwanamke utakuua, kwenda Marekani ni kitu cha kawaida tu sio mbinguni mpaka ufe ndio uende, huko yeyote aweza kwenda.
Namalizia hivi, nyie wanawake mnaojiita watoto wa Mujini mna matatizo sana, hamna kazi za maana za kufanya ndio maana mnapata muda wa kuanza kufuatana matakoni. Kama kuna mtu alipitia matatizo kwenye ndoa yake, kitu ambacho ni cha kawaida na watu wengi wanapitia kisha akaanza kumlaumu ndugu au rafiki kwa matatizo hayo basi ujue huyo mtu yeye mwenyewe ndio tatizo.
Haya kaoge jasho na vumbi la Dar kisha ukojoe ulale!!
Muke Ya Albino
Mshamba
mama naah