Mange who was the co-MC at your send-off, there was Adeline and guy. The 2 MC's complimented each other very well. Ni ngumu kama MC wao 2 na sio kawaida kufanya pamoja kuweza kuwa na "flawless flow" kutoka MC mmoja kwenda mwingine na ngumu zaidi ikiwa mmoja ana lugha nyingine na mwingine ingine. Inabidi asije akawa anatafsiri tu watu wanaojua lugha zote mbili huwa wanaboreka lakini Adeline na MC mwenzake kwenye hiyo clip wameifanya vizuri wakati wa kuwatambulisha wewe na matron wako.
It was absolutely gorgeous. Kila kitu kwenye mpangilio bora. Furaha uliyo nayo hapo Mungu akutie nguvu kila ulipo na mumeo uwe na tabasamu tamu ninaloliona hapo.
I like they way you behave at your wedding, very classy, kama nawaona vile kina Nonino wangejishauje na mzungu wao, but not no you, you just smile and smile.. beautiful beautiful.
Mnyaazi mungu aendelee kukulindia ndoa yako, awape maisha marefu pamoja na awatunzie watoto and keep making your parents proud...
alafu wazungu wengine siku hizi choka mbaya badala wahamishe wake zao wanahamia ndani ya vijichumba vya kushare vya council sifa kuu enzi zangu zile nilipompata huyu wangu tulienda kuishi country side nasio uchochoroni na wengine kutwa kupanga vitabu library wanasema mume wangu mzungu akirudi nyumbani anagoma kuoga tabu pole zao heri mie mambo yakujitakia sikatai penzi halina pesa ilakujishaua mtu achie sie akina fulani harusi zenu michango kusumbuana kila pakikucha mmmmh aibu tupu kazi mgogoro vijicent vya kuchanjiwa vitu na kushoplift kwa saana tu
kila mtu anaishi anavyopenda ,kwani mzungu siyo mtu kwamba hawezi kuwa na shida .mbona wewe unaishi kwenye ndoto za alinacha .wacha dharau ,wabongo wangapi waolewa na waafrika na wanakaa kwenye hizo nyumba za council za kushea mbona ushangai.wakipanga vitabu library yanakuhusu nini kwani unawalisha .Ulaya hakuna vichochoroni bwana .nimeolewa na mzungu na tunaishi kwenye nyumba yetu wenyewe ambao tulinunua zamani kidogo pia tuna campany yetu binafsi .lakini siwezi kumcheka mtu asiyenacho .nikimuona mbongo mwenzangu anashida na msaidia hata kwa kumuongoza kimawazo lakini siyo kumcheka .wewe dada unatia aibu by the way Mange uliopendeza kweli
baby when was ur send off again?,,,,i bet u rented that Limo from the late sheikh Yakhya sijui Yahaya manake nakumbuka miaka hiyo 90Z-2000 yeye tu ndo alikuwa na white Limo Daslam nzima
baby when was ur send off again?,,,,i bet u rented that Limo from the late sheikh Yakhya sijui Yahaya manake nakumbuka miaka hiyo 90Z-2000 yeye tu ndo alikuwa na white Limo Daslam nzima
Yes Marichui wengine HATUVUMI LAKINI TUMO hahahaha! Ngoja nipeleke application latter ya uwaziri kwa wapiga kura Naona vigezo sasa ninavyo au vipi shotst?
umependeza jamani mwili wangu wote ulikuwa unanisisimka i wish nami siku moja niwe mke wa flani, nimependa tabasamu lako mungu ailinde ndoa yako, uzae watoto wema uje upate wajukuu na vitukuu inshallan.
sijawahi kucomment but leo imebidi..yani Dada Mange you had a very beautiful skin, yani hapo umependeza hadi basi.. i just hope you stop using that obagi thingy.. otherwise the send off was really nice..
ENZI HIZO hujatumia obagi, beautiful and natural beauty! was no need to start obagi, ukizeeka ngozi yako itakuwa kama yule dada D anayepamba.. maana ni hurumaa. mazara ya kujichubua hayo..
Mange ukicheka unapendeza sana..cheka kwenda mbele na ukizingatia mambo yako kwenye mstari..umebarikiwa...just mshukuru sana Mungu..try to be stress free as soon as possible...jiepushe na shari na watu wanaokuletea majungu na kukusababishia ugomvi na watu..just be happy enjoy life and mshukuru Mungu kwa kila jambo....ubarikiwe mdada.
this goes to KOKU, C'MUMS and KIBONGE....jamani hizo profile picha zenu zinatuletea matatizo siye tunaotumia computer za kazini...kitumbua changu kitaingia mchanga!
my next cubicle neighbour Mr. Paul Smith haishi kupita akikazia macho my screen, with a smile. si unajua wazungu hawachelewi kukuchongea. anyway i found a way to tilt my computer, but shingo inauma sometimes....ama kweli mange umetuchota!
ee uturn kiboko huyo aliempata mzungu akahamia nae country side nimemfagilia sana maisha nikuchange fomula one to another ee ukweli unauma siku zote kasheshe sijaona alichohate kawa muwazi nani jinsia ipi ujishaue kumpachika dada inahu au we mgeni humu mipasho oyee uturn juu mtambo wa kurekebisha mashauzi zero
Inakuaje wenzangu?
Kila nikikaa nawashwa kuja U-turn kwa Mange, hivi kuna wenzangu mie mnaofurukutwa kuja hapa? i could be in the mid of something but akili nusu inawaz uturn,this blog imedatisha sana...it remends me of ile hotwire site ilivyoaanzishwa miaka ile, used to chat w SHEDAFA, wapi Shedafa sasa?
Comments (90)
Mshamba
kibonge
m a r i c h u i
c's mum!
m a r i c h u i
kibonge
DESPERATE HOUSE WIFE
YANI ILE NIMEFUNGUA TU SIJAWEZA ATA KUSOMA COMMENT YA KWENZA NIKAONA PICHA YAKO LOL
MWANAMKE MWILI.
Anonymous
mama kayaii
Kankuni
Miss independent
Miss independent
kuntuafro1
Ti Vancouver
NEW-FAN
mbeba mabox
I like they way you behave at your wedding, very classy, kama nawaona vile kina Nonino wangejishauje na mzungu wao, but not no you, you just smile and smile.. beautiful beautiful.
Mnyaazi mungu aendelee kukulindia ndoa yako, awape maisha marefu pamoja na awatunzie watoto and keep making your parents proud...
mahips
c's mum!
Anonymous
ngosha
muke ya jaluo
muke ya jaluo
muke ya jaluo
muke ya jaluo
m a r i c h u i
muke ya jaluo
binyakomba
Anonymous
Anonymous
BEAUTIFUL ONYINYE
m a r i c h u i
choka
m a r i c h u i
Anonymous
Anonymous
tasha
mke ya ngosha
mke ya ngosha
parrotkasuku
shani
baby ya Mange
baby u loooked so pretty i like ur dress,,it colors n design jus perfect!!!
baby ya Mange
Mshamba
baby ya Mange
baby ya Mange
tifa
Anonymous
Muke Ya Albino
m a r i c h u i
Muke Ya Albino
m a r i c h u i
kipapai
nakshi
Anonymous
BEAUTIFUL ONYINYE
c's mum!
maudodo
Gina
diva la washamba
bahati
beuty
Anonymous
k0ku
c's mum!
Anonymous
Anonymous
Mjukuu wa malkia
Tukinaoooo wa Bibi Bomba
Anonymous
Anonymous
BEAUTIFUL ONYINYE
Anonymous
BEAUTIFUL ONYINYE
c's mum!
BEAUTIFUL ONYINYE
Kijaruba
baby ya Mange
shasha
Anonymous
U-Turn-Freak
Kila nikikaa nawashwa kuja U-turn kwa Mange, hivi kuna wenzangu mie mnaofurukutwa kuja hapa? i could be in the mid of something but akili nusu inawaz uturn,this blog imedatisha sana...it remends me of ile hotwire site ilivyoaanzishwa miaka ile, used to chat w SHEDAFA, wapi Shedafa sasa?
Anonymous
muke ya jaluo
Anonymous
m a r i c h u i
c's mum!
maudodo