15August
NAOMBA MSITUME COMMENT ZENYE MAJINA YA WATU TAFADHALI.....
Guys nilishawaambiaga toka zamani kwamba naomba msiwe mnatuma comments zenye majina ya watu naomba mmeanza tena. jamani i dont have the time to read all those comments.
yani mnaniweka kwenye beef na watu ambao sina beef nao at all.... na zaidi ya hapo mnanipa kazi ya kuanza kutafuta hizo comment ili niweze kuzi delete.....
nawaomba sana msiweke majina ya watu humu. Mwenzenu nikipigwa wanted huko bongo, holiday ntaenda wapi mie????

Comments (150)
DESPERATE HOUSE WIFE
kuntuafro1
mukeyamuzungu
k0ku
Anonymous
DESPERATE HOUSE WIFE
MH LAKINI CEO KAMA HUSOMAGI COMMENTS MBONA KUNAWATU WENGINE UNAKUJAGA KUWACHAMBA LIVE? AU UNASOMA CHACHE CHACHE TU LOLZZZ
m a r i c h u i
mukeyamuzungu
Anonymous
Anonymous
Mag
lee
choka
Dee
BIBI NYAKOMBA
Muke Ya Albino
Babie CL
Anonymous
Dee
GreaterDaisy
Mshamba
Anonymous
SIMPLY
choka
Anonymous
k0ku
Nothing but confidence
riwe90
miss u turn
Anonymous
miss u turn
miss u turn
miss u turn
baby ya Mange
umbeya ndo unanogesha bana,,,,basi umbeya uletwe lakini watupe hata vi initial vya majina sio jina lote kabisa hahahahahah au vipi mpenzi wangu?
NSHOMILE
Tajibeba
Mshamba
Anonymous
marikenge
Anonymous
shani
wewe kazi unayo
NSHOMILE
Muke Ya Albino
Mshamba
Anonymous
Muke Ya Albino
Anonymous
Muke Ya Albino
wewe kazi unayo
DESPERATE HOUSE WIFE
WAMAREKANI WENYEWE WANAWASIFU NA KU WA WORSHIP WATU KAMA KINA KIM K KILA DAKIKA... CHA AJABU NININI? HATUSHANGAI MAISHA YA MANGE, TUNAENJOY KUMUONA HUMU, SHE SIMPLY ENTERTAIN US. TRUST ME, KUNA WATU WANAMAISHA YA JUU KULIKO MANGE LAKINI WAPO HUMU PIA KWA RAHA ZAO.
GET A LIFE OR USE YOUR EDUCATION IN A BETTER WAY!!!!
Anonymous
NSHOMILE
Alafu wewe unaepasema Columbus, wewe uko wapi? Too late now, usije ukatudanganya uko level za kina Mange Miami, kitu one bedroom apartment kwa week sii chini ya dollar $525...sasa kama mie mbeba box na mwosha vyoo naweza kuweka hata username yangu na nachingia point kuhusika, ssmbuse wewe anoy uliekurupuka kuchangia kama 'wewe kazi unayo'?
Anonymous
NSHOMILE
NSHOMILE
wewe kazi unayo
BEAUTIFUL
Mdomo nyumba ya maneno hata ukiweza tukana na uweke bango amstadm,mwalm nyererr kila mtu akifika pale apte jua.utakufa nalo bibi linakuchokoa rohon.Mange wajaze wajae weraaaaaaaaaaaaaa
Point five wa kizaramo
TUNDA
wewe kazi unayo
DESPERATE HOUSE WIFE
kayemba ney
SEYDOU
wewe kazi unayo
Sensitive Samurai
riwe90
Andunje
Kijaruba
Kwanza hapa hata Mange mwenyewe anajifunza vitu kibao kutoka kwetu na sisi tunajifunza vitu kibao kutoka kwa watu mbali mbali.
Ngoja nikwambie hivi
"Knowledge is three hand spans, the first breeds arrogance, the second breeds humility and in the third, you realise you know nothing." [Sufyan ath-Thawri]
Sasa wewe shosti uko kwenye FIRST CATEGORY, wenzio tuko kwenye Third category ndio maana tunakuja huku kujumuika na Wabongo wenzetu walioko Nyumbani na kokote duniani ili tujifunze kwa sababu in this world you cant know everything!!
wewe kazi unayo
Anony
Kijaruba
NENDA SHULE ANGALAU UVUKE HIYO CATEGORY YA ARROGANCE!!
Ni kweli KAZI UNAYO, maana unavyokazana kuhangaika na watu huwajui hawakujui, kama sio ujinga ni nini? Eti washamba sijui wanalipwa Euro 800 sijui nini, hata kama hawana senti 5 wewe inakuhusu nini? Wanakula kwako, wanakuomba uwalipie internet?
Anyway naona stress za maisha zinakupelekesha kiasi ukimuona mtu ana raha zake unakasirika. Unaweza kusema shida zako tukakusaidia humu? Nini mbaya? Una shida ya plot nikupe Kigamboni? Au unashida ya shamba nikakutie eka 10? Ni nini mbaya? kodi ya nyumba inasumbua nikuweke kwenye bangalow langu Kunduchi miaka 2 ukae bure upumzishe akili yako? My house is empty nimemtoa mtu juzi baada ya kukaa miaka 2 bure, namalizia kufanya finishing na ina umeme nitakulipia mpaka umeme. Nini mbaya? Uko ulipo hauna makaratasi? Sema nikuunganishie upate AMNESTY upewe makaratasi. Nini mbaya? Bwana uko nae anasumbua kichwa chako? Sema tumwambie Nai Nai akushushie dua ya nguvu bwana wako atulie nyumbani? Ni nini mbaya hujapata lunch leo mchana au bills zinasumbua? Weka Bank details zako hapa tukutumie pesa kwenye akaunti yako kwa SWIFT umalize matatizo yako madogo madogo!! Hapa umefika, sie hatujui kutukana kama wewe unaetutukana kila siku kwenye blogu yako tunakuangalia tu kwa sababu mtu mwenyewe CHOKA MBAYAAA!!!
Mshamba
mahips
wewe kazi unayo
Tajibeba
mbeba mabox
Bangkok will be happy to have you back 24/7.
Well walisema huwezi kuja marekani, so now it will be new topic huwezi kurudi bongo.. kwi kwi..
Stay blessed honey..
Chaumbea
c's mum!
kuntuafro1
DESPERATE HOUSE WIFE
Tajibeba
jumeirah Beach
Mshamba
TBL
Not Hater:
c's mum!
Dee
Anonymous
riwe90
Jitu
c's mum!
Mshamba
c's mum!
riwe90
Kijaruba
Mahoka mama mbavu zangu weee hahahahahaaaaa Uwiii, WE ARE HERE TO STAY!!
riwe90
Anonymous
c's mum!
Anonymous
Anonymous
c's mum!
mankajuu
mankajuu
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
murembo by nature
mabifu yapo tu hata ukijifungia ndani
halo ya supu ya pweza kuongeza nguvu
baby ya Mange
matem
makubwa haya
alaf
Anonymous
Anonymous
Anonymous
c's mum!
SITAHARISHA
c's mum!
Kijaruba
Wape wape hao wameiga majina yetuu wee ola! wammtutukana weee olaa sasa wanakuja kujicomentia huku ili tuende tukaone, hatuendi ng'ooo.
Na nyie wabishi ngoja niwaambie kitu, siku moja za nyuma huko wakati issue iko hot hot Mange anaelezea humu, si nikajitia kiranga kwenye kuchungulia huko? Mama weee si minyoo hiyo niliyotoka nayo, computer yangu ikawa infected inatuma email pasina kutumwa tayari MINYOO!!Faster nikaeclean lakini hapo tayari nimeshatuma tule tuemail sijui open this link. Aibu sasa nikawa natamani email nyingine nizizuie zinaenda mpaka kwa watu ambao yaani hata kusema humu siwezi. Nyie nendeni tu mkazoe minyoo na virusi huko ndio mtakoma kama mie nilivyokoma!! SIDANGANYIKIIII
Anonymous
Anonymous
HAHAAAAAA NICHEKE MIE
muke ya jaluo
MUKE YA JUMA NATURE
kamuacha huko Uganda, sasa mbona anasema wanajua kuolewa tu hawajui
kutoka? anajiashua nini na katelekeza mtoto wake huko Uganda au
anafikiri hatujui? Mpyuuuu. Tafadhali usiweke jina langu.
TMK
MISS U TURN
riwe90
kiruu
domokaya
Anonymous
prettysasha
Anonymous
Kijaruba
Nimeipenda interviews yake; ni sawa na humu mbona kuna majina mengi tu yakujicomentia humu yetu wenyewe? Why bring other people's name here!! Naunga mguu hoja!!
baby ya Mange
Mshamba
Mshamba
Marichui uliuliza hilo swali jibu ndio hilo.
Anonny Mom
Baya kufungiwa Blogg lakini huko ni mbali sana u turn haitafika maana porojo za humu ni very light haziwezi kumkera mtu sana. mablog mengi yanataja majina kila saa na hayafungwi wala wenyewe hawazuiwi kuingia TZ. Usiwe na presha.
muke ya H.B
Mshamba
Karcy
Muke Ya Albino
Muke Ya Albino
Kijaruba
Hunikuti wala watu wa humu huwakuti kama USAIN BOLT!!
Acha nikwambie, hapa pesa tatizo ni jinsi ya kuitumia. Nilianza kazi kama Senior staff 1997 wakati hujajua kufua chupi yako na nilikuwa nikilipwa $$$$, sasa wee wa mshahara wa redioni wa laki 3 leo hii utanikuta wapi?
Anonymous