08August

HUU WIMBO UNAITWAJWE??????

HEY GUYS, NAUTAFUTA HUU WIMBO... LIKE TITLE AND ARTIST NAME...... THANKS WAPENZI...

 

Comments (81)

  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    08 August 2012 at 22:05 |
    mwanamke mbeya utamjua kwa mdomo wake mweusi kama kunguru ...
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    08 August 2012 at 22:13 |
    Mnapitapita kusema msiyoyajua...mnazuazuazua kusema msiyoyajua.....Mjumbe uliniambia nikabisha katu katu....katika hii Dunia wengine Mazimwi watu....hao hao wajuaji wa kusema VIFUU TUNDU ....yahooyahoo uliona wapi nyumba ya udongo inapigwa deki.....kila mwenye chuki na mie ujumbe huu umfikie....wanaliwanalia ...kumbe ni choyoooodanbandanban
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      08 August 2012 at 23:42 |
      wtf is this baby plz!
    • mie

      mie

      09 August 2012 at 01:27 |
      kumbe mshkaji wako c's mum wakuja. mbona mpaka dakika hii hatujamsikia kutaja jina la wimbo?
      • c's mum!

        c's mum!

        09 August 2012 at 08:22 |
        hurlhurl nimetapika asubuhi ya leo, nilijua labda mimba changa, kumbe nimekutapika weye! lol, bora, ugonjwa sasa utapona mtimani mwangu!tea
        • m a r i c h u i

          m a r i c h u i

          09 August 2012 at 20:38 |
          Nimekumisije sasa C's mum ! pole na kutapika ....Bi Ngomanagwe naye anatia kichefuchefu...
        • Muke Ya Albino

          Muke Ya Albino

          09 August 2012 at 21:47 |
          Yaani nakupendaje na hivyo vijimaneno vyako!chase Wote... Walikua wanapima bahari kwa mguu, wameona sasa kina kilivyo kirefu.wakuacheblowkiss To C's mum
          • c's mum!

            c's mum!

            10 August 2012 at 09:25 |
            cheers waniacheeeeeeeee, tena wanipisheeeee, lol! khaaaaa!
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      09 August 2012 at 02:00 |
      hey baby,confused what is she on and about...woman plz!
    • c's mum!

      c's mum!

      09 August 2012 at 08:21 |
      shoga angu nakupendajeeeeeeee? umenikunajeeeeeeee??blowkissblowkiss wenye hasira kwa siye kuwa mabesteeeeee wakamate tambara la deki, wawahi mkondo wa nungwi wakapunguze maji!cheers
  • Anonymous

    Anonymous

    08 August 2012 at 22:21 |
    Vifuu Tundu - at feat mwa4
    • muddy washington

      muddy washington

      09 August 2012 at 08:05 |
      sioni video hapa kwangu ila kwakuwa mdau umetaja vifuu tundu nahisi naifahamu hiyo video na pia wimmbo wenyewe na chanzo chake.Kiukweli ni kwamba huu wimbo huyo AT alikua anawajibu wale wenzake aliokua nao mwanzo ambapo alipojitoa kwenye hilo kundi wenzake hawakupendezwa na kujitoa kwake wakaamua kumtungia wimbo na wakatengeza na video wakamtafuta mtu mrefu kama then wakamfanya kituko kwenye video yao wakimfananisha na kidudu mtu ndio nae akajibu mapigo kwa kuwatungia wimbo akiwaita vifuu tundu na akatengeneza video ambapo kuna watu watatu wanaume wawili akiwemo mmmoja mweupe na kilemba cha kiarabu na mdada mmoja ambapo kama unaelewa kinachoendelea utajua hao watatu akiwemo mdada ndio kundi lile lingine alilolihama ambalo lina wanaume wawili mmoja mweupe akivaa kilemba pamoja na mdada.Bofya hapo zitazame kwa makini video zote mbili na uskilize neno kwa neno uone kila neno linavyojibiwa mfano hao watatu wanasema mshumu mwa mwaaa!lakini kwenye vifuu tundu hilo linajibiwa kwa kuambiwa sawa mnajua kushumu lakini tatizo mnanuka midomo..na mengine mengi,na taarifa zilizopo jamaa hawajakubali wameingia tena studio kuujibu vifuu tundu na AT nae yuko mbio kujibu mapigo na sisi washabiki tunasubiri burudani,kweli zanzibar ni raha atakae na aje...wanasema wenyewe wanaa zanzibar,but mie na declare interest namkubali AT zaidi
      kazi ilianzia hapa..
      http://www.youtube.com/watch?v=_niW9kOIwM0&feature=related

      majibu yakapatikana hapa
      http://www.youtube.com/watch?v=v3OJJRnnsQs&feature=related
      • Anonymous

        Anonymous

        09 August 2012 at 11:29 |
        Du asante Muddy Washington kwa kutujuza me nlikua siyajui haya!
      • anony

        anony

        09 August 2012 at 17:48 |
        duh, interesting. Ila AT mkali, amewachanaje! hadi demu wao kajibiwa ati mwanamke mbea utamjua tu mbdomo mweusi kama kunguru. Ati unashangaa mi kula kwa mama ntilie? Ningekula kwa bi mkubwa wako tatizo hajui kupika, lol. Tena mkinijibu mi bwana wenu mkikaa kimya mnaniogopa, kudadeki wallahi, haya Mudi katuamsha wambea wa mji tunasubiri jibu la vifuu tundu
      • Fatuma Mtanga

        Fatuma Mtanga

        10 August 2012 at 07:03 |
        washington umetisha hizi nyimbo mimi nazikiliza kila siku but sikuwahi kufikiria zina interesting story kiivi.

        thanks muudy,ntakua mfuasi rasmi wa kufuatilia wataishia wapi hawa jirani zangu
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    08 August 2012 at 22:26 |
    Wimbo gani huo baby wangu?mihapa kwenye bb hauonekani labda mpk nikifika home I'm gonna check on my laptop.... Baby waambie mawaziri wako wakuambie hasa Cmum na Marikenge much know wanaojua kila kitu waambie hujawapa hivyo veo bure miskule ya miami wanabahati I'm driving back home I can't drop proper comment!how can umbeya.com mention them before me
    • Kijaruba

      Kijaruba

      09 August 2012 at 00:46 |
      Kumbe wewe ndio unatuita sisi Misukule ya Miami kule kwenye blogu ya cousin wake Mange? Mtazame kwanza mawani ka Bundi, na wewe wimbo huu unakuhusu. Halafu unakaa kutishia watu eti ntamwambia Baby yangu awafungie, hivi tukiacha kuingia humu, tukakuacha wewe na baby yako tu ndio muwe mnasoma hii blogu itakuwa hivi? Au mtakuwa mnajikomentia wenyewe kama cousin wake Mange?

      Shughuli ni watu wee mtoto na watu wenyewe ndio sie, tusingekuwepo ungemuita nani Misukule ya Miami! Nyambaff umeniuzi sana na huyo baby yako pia ameniuzi kututukana kwa kutuwekea comment yako. Mimi mtaniona mwezi ujao kichaa changu kikishatulia. Na siku nyingine ukirudia ninakuja kukufurusha huko huko kwenye kiapartment chako.

      Ngoja nikamalizie kuangalia kwanza mashindano ya Olympic kisha nitakutafutia maneno ya kukwambia mpaka siku nyingine utakoma kuita watu Misukule!!

      "Unakula nao unavaa nao na wabaya ni hao hao!
      Unalala nao unacheka nao na wabaya ni hao hao!

      Hiyo ni bashraf tu nitakurudia na utendi/utenzi/ wa mwanakupona nitajaza ukurusa mzima wa hapa kuhusu wewe!!
      • Mshamba

        Mshamba

        09 August 2012 at 07:50 |
        Kijaruba umeshasema siku za mfungo zimebaki 10, wewe endelea na sala zako na shughui zako zingine achana na watu wengine humu U-turn kwa sababu unaweza kukuta unatukana wakati wegine hatutakiwi kutukana.
      • c's mum!

        c's mum!

        09 August 2012 at 08:19 |
        adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe laaziz! nimekupenda bureeeeeeeee, huna makuu!blowkissblowkiss wanajifanya wao wajulia uuuuuuuu, kumbe siye twajulia huuuuuuuuu!
      • baby ya Mange

        baby ya Mange

        09 August 2012 at 13:46 |
        tulieni mbona mnapanic misukule ya Miami heheheheh,,,,mtuache na baby wangu hapa full mapenziiii mie kwa baby wangu sijiwezi na yeye vile vile,,,nikimwambia tu baby plz i dont wanna read Kijaruba comments mbona utatafuta jina lingine la kucomment humu hehehehe rahaaaaaa!!!so tulia usitake kukosana na asali ya Ceo ukablokiwa bure,,,
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        09 August 2012 at 20:42 |
        mawani ka Bundi, na wewe wimbo huu unakuhusu.waveswaves
    • Anonymous

      Anonymous

      09 August 2012 at 01:02 |
      Hasidi huna jipyakissmyass limekuganda mazafanta
      • BEAUTIFUL

        BEAUTIFUL

        09 August 2012 at 08:01 |
        bitchslappingshakebutt kumbe we ndo kifuuu tundu holar mtajileta tu leo tutawajua wote ...ukisikia paaa ujue limempatakissmyasskissmyass
        • MIRROR

          MIRROR

          09 August 2012 at 14:19 |
          misikule ni marichui na cmum
          • c's mum!

            c's mum!

            09 August 2012 at 17:02 |
            tena ni majini yake kabisaaaaaaa ya kumng'arishia nyota yake! tuma salamu, na chagua wimbo wa kusindikizia salamu zako!kissmyass
          • Anonymous

            Anonymous

            09 August 2012 at 17:35 |
            aaa msinambie!!!!
          • m a r i c h u i

            m a r i c h u i

            09 August 2012 at 20:44 |
            bitch nenda kahump
          • c's mum wakuja

            c's mum wakuja

            10 August 2012 at 02:21 |
            like mirror, like baby ya mange. raha ya mjini uje kabla ya chunusi kutoka usoni.
        • Anonymous

          Anonymous

          09 August 2012 at 15:37 |
          fuck you mwenzako anacheers Zzzzzzzzzzz
    • maudodo

      maudodo

      09 August 2012 at 08:19 |
      ckutegemea hata we baby ya mangee...!!, kweli nimeamini chawa anayekuwasha yupo mwilini mwako, we wa kuwaita wenzio misukule, kweli nyani aone kundule we si ndo kila cku unamganda mange na kumkissmyass me nafikiri we ndo ungekuwa msukule namba1 wengine wakifuata, nilikuwa nakuona mstaarabu kumbe zero kabisa..shukuru mungu nimefunga that's why nachamba kistaarabu..kijaruba ukirudi tena kuchamba ntakusaidiaje hope ntakuwa nimemaliza mfungo..blunt tena hilo jina misukule ya miami likome kutumika humu ndani mkatumie hukohuko ushenzini mazafanta..!!
      • baby ya Mange

        baby ya Mange

        09 August 2012 at 13:22 |
        hey sorry i dont talk to strangers!ur so new here to be talkn to baby ya Mangesorry by the way u dont own any title here so relax ur ass somewhere girl....do u think i care kwamba wakiniita msukule or something like that kwanza mindo nafurahiiii,,,minataka waseme baby kaniweka kwenye chupa..mnapanic,,,hey baby control me,,nikateze kila kitu Mange wangu naminakuskiliza minataka waseme umenipa limbwata,,,mimi na baby wangu milele kazi kwenu strangers na maneno maneno ya kienyeji sijui chawa sijui nini,,,eti ungekuwa hujafunga ungenichamba uchambane na baby ya Ceo unawazimu kisa?yani we kwaakili yako minaweza kufanya kitu cha kumhurt baby wangu wakati mie ndo nilikuwa wakwanza kuwa kataza kina cmum wasitumie ID zetu humu huko mashenzini we wawapi,,halafu wala sina haja ya kuonekana mstaarabu kwa mtu kama wewe...mina baby wangu miaka 8000000 im here to stay,,,,so chill out msukule mdogo hihihihi
    • c's mum!

      c's mum!

      09 August 2012 at 08:25 |
      mpana ka pazia la hekalu! hapo sili kwako hivyo, ningekuwa nala kwako si ungeniambia nikutawadhe mavi! hovyooooooooooooo, kaiulize google, unatuuliza cc kwani ndiyo google?? mzima weye bby ya mwenyewe??
      • ISIDINGO

        ISIDINGO

        09 August 2012 at 13:21 |
        he he heeeeeee baby ya mange umeua watu wana hasira kama wamekunywa maji ya betri.
        • c's mum!

          c's mum!

          09 August 2012 at 17:05 |
          we nawe huku haupo, kule haupo! nijichekee mie! mtchewwwwwwwww!kissmyass
          • Anonymous

            Anonymous

            10 August 2012 at 20:09 |
            tatizo lako ni kuja mjini ukiwa tayari umeshavunjwa ungo huko mashambani kwenu
      • baby ya Mange

        baby ya Mange

        09 August 2012 at 13:24 |
        mwaya Cmum never mind when i say msukule wa MIAMI,,,i just find it funny na kuowaonesha kuwa hatumind wao watuite vyovyote watakavo sie na CEO wetu kufa kuzikana au vipi muke ya mwarabu,,,,
        • c's mum!

          c's mum!

          09 August 2012 at 17:01 |
          ni kweli kabisa bby ya mange, muombe basi bby wako aweke beef humu naona umemiss mabeef, mi nakudharau siku nyingiiiiiiiiiiii! hunipi shida hata kidogo. kwani bby ya mange ukiliweka bandama kwenye fridge mpaka UK, likifika huko litabadilika na kuwa ini???? nisaidie kujibu plzzzzzzzz! mwahhhhhblowkiss
        • Mshamba

          Mshamba

          09 August 2012 at 17:17 |
          Yaani wewe baby ya Mange una vituko sana. Watu wameshakasirika wakijua kuwa uko serious na comment zako ulizotoa kumbe unatania?1?! Imebidi nianze kucheka mwenyewe baada ya kusoma comment yako.
    • mie

      mie

      09 August 2012 at 11:26 |
      like
  • Okwi Orijino

    Okwi Orijino

    08 August 2012 at 22:34 |
    unaitwa vifuu tundu by AT ft Mwanne
  • queen

    queen

    08 August 2012 at 22:51 |
    Unaitwa VIFUU TUNDU by AT FEAT MWA4
  • Anonymous

    Anonymous

    08 August 2012 at 23:02 |
    AT FEAT. MWA4 - VIFUU TUNDU [HQ]
  • Anonymous

    Anonymous

    08 August 2012 at 23:03 |
    Mama nipe radhi by aisha mashauzi
    • Anonymous

      Anonymous

      09 August 2012 at 00:16 |
      HAHAHAHAHA WEWE UTAKUA UMEMFUMBIA MANGE TU, WIMBO UNAITWA,MAMA NI MAMA JAPOKUA NI RIKWAMA .(MASHAUZI FAMILY)
  • NoName

    NoName

    08 August 2012 at 23:07 |
    Artists: Offside Trick, Song: Kidudumtu
  • Anonymous

    Anonymous

    08 August 2012 at 23:28 |
    vifuu tundu
  • malkia

    malkia

    09 August 2012 at 00:00 |
    Mduara nt taarab
  • TUNDA

    TUNDA

    09 August 2012 at 00:07 |
    Wa mtaa wa pili na wa tatu wanajua nyimbo kama hizi...
  • Mshamba

    Mshamba

    09 August 2012 at 00:09 |
    Sasa Mange kwenye taarab, sisi wengine washamba haswa. Hii ngoja niwaachie wataalam wa taarab.
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 00:30 |
    unaitwa MTAA WA PILI MTANIKOMA
  • HASARA SI AJABU

    HASARA SI AJABU

    09 August 2012 at 00:47 |
    HEHEHEEEE MANGE UNAJU KUSEMAA WATUU KIAINA NAFIKIRI UJUMBE UMESHA WAFIKIA HAO VIFUU TUNDU LKN PIA UKUMBE UJUMBE WAWEZA KUFIIKIA NA WEWEE PIAAAA. HASA WATE WENYE KUVAA UHUSIKA MBILI HUKU WAPO NA KULE WAPO ETI SIJATAJWA MIE KWANZA WE NANII MJINII MPAKA UTAJWE WEWE 1.

    JINA LA WIMBO -VIFUU TUNDU

    MAANA YA WIMBO- WANAOTOA MANENO HUKU KUPELEKA KULE, WANAOJIFANYA MARAFIKI KUMBE WANAFIK...........WANAO WAITWA MANGE'S FAN MISUKULE YA MI....... . SASA MANGE KAMA UNALIFURAHIA HILI LA FANS WAKO KUITWA MISUKULEEE MBONA UUSTAARABU WATU HAWANA NNA HII YOTE NI CHOYOOO KINAWAUMA KAA UKIJUA WANAITWA HIVYO KWA KUKUKINGIA KIFUA WEWE MANGEE
    • Mshamba

      Mshamba

      09 August 2012 at 07:55 |
      Ahsante mdau "hasara si ajabu" kwa sababu umetutoa matongotongo sisi wengine. Yaani Mange kama ni kweli wewe ni mchokozi sana tu. Yaani unajua kurusha makombora ya chini chini ukijifanya unataka kuelimishwa!!! Hats off mama!
    • Anonymous

      Anonymous

      09 August 2012 at 14:30 |
      mliombwa mkakinge kifua? kimbelembele kimewapeleka so na nyie muwe na thick skin mvumilie kuitwa vyovyote
  • Kijaruba

    Kijaruba

    09 August 2012 at 00:50 |
    Haya bibie yamekupataje na nyimbo za uswahilini za uzunguni hazina mashiko?

    Anyway mie siujui sana ila nasikia unaitwa sijui Vifuu Tundu. Ila ningekushauri hizi siku 10 zilizobaki kazana kufanya ibada, achana na miziki utaikuta baada ya Ramadan haiendi kokote. Concentrate kutafuta rehma za Mwenzi Mungu ili azidi kukufungulia milango ya kheri, dunia hii watu badala ya kutafuta pesa tunatafutana. Na hakuna wa kumuomba ni yeye Subhana. Mimi nina yangu yamenikaa shingoni aah wacha nitafute kheri na baraka tele zilizopo mwisho wa hizi siku 10 kwani ndio siku ambazo Quran ilishushwa. Ukiweza kuupata huo usiku mtukufu basi umeula hapa duniani na akhera.
    • Anonymous

      Anonymous

      09 August 2012 at 17:54 |
      sasa kwanini siku zote msizifanye kama hizo siku kumi zilizobakia? i think the world would have been a better place na uturn ingezidi kubarikiwa. sasa nyie mnakosea mnavopania kufanya ubaya pindi ramadhani itakapokwisha..i dont think its good..so plz nawaombeni hayo mawazo yenu muyafute coz dua zenu zaweza zisisikike kutokana na mawazo mabaya mlojiekea..b nice from now on okey!!!u rwelcome
  • cockburn

    cockburn

    09 August 2012 at 00:53 |
    lmao nimetoka kapa. mi mtu waMJ tuu
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 00:55 |
    waimbaji offside trick-wimbo vifuu tunduu
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 06:49 |
    Ulitumwaaaaa, usipokomenti wapo kibao wanakoment, kwani aliyekwambia traffic inajazwa na komenti zako za matusi nani? Tena usiingie baada ya mwezi wewe hama kabisa utuondolee mainzi hapa Uturn yetu
  • Muke Ya Albino

    Muke Ya Albino

    09 August 2012 at 07:41 |
    Makubwa leo Mange! Taarab tenashame on you no idea of neither the name nor the composer/singer. ungekua mtihani zeroooooooooo
  • BEAUTIFUL

    BEAUTIFUL

    09 August 2012 at 07:57 |
    Vifuu tunduu.umeimbwa na AT ...haha hao hao hao hao wajua jua kusema vifuuu tundu.mwenyewe naupendaje Mange
  • maudodo

    maudodo

    09 August 2012 at 08:09 |
    Vifuu Tundu by AT feat Mwa4
    tena me napenda pale anaposema "kila mwenye chuki na mie ujumbe huu umfikie wanaliawanalia kumbe ni choyokumbe ni choyo" kibwagizo.... "mwanamke mbea utamjua tu mdomo mweuuuuusi kama kunguru, mnajua kuchumu ila mnanuka midomo"....hahahahahaaaa mtajibebaaaaaaaaaaaa.....!!!
    • c's mum!

      c's mum!

      09 August 2012 at 08:31 |
      blowkissblowkiss mzima weye maudodo?
      • maudodo

        maudodo

        09 August 2012 at 19:32 |
        mzima waziri #1 wa uturn upo mpenzi...? uji wa kungu ushakunywa tayari...hahahaaaa lov u mingi peace & lovedanban
  • Mama Kijacho

    Mama Kijacho

    09 August 2012 at 08:14 |
    Vifuu Tundu kipenzi
  • muke ya jaluo

    muke ya jaluo

    09 August 2012 at 09:05 |
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 09:09 |
    Yani hapo umepiga bao la kisigino, na lililoenda shule "kila mwenye chuki na mie, ujumbe huu umfikie, wanalia wanalia hao, kumbe ni choyo zao" Tayari majibu wameshayapata. Mjinga dawa yake kumpotezea
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    09 August 2012 at 09:13 |
    JAMANI SI VIZURI WATU YA HUMU HUMU UTURN YAANI FAMILY KUWA NA MABEEF....KUSHUSHUANA, KUSUTANA,KUELIMISHANA SAWA LAKIN KUSIWEPO NA MANAYAMA (BEEF)..MANA CEO AMEPANGA FAMILIAR YOTE IYALIKWE MIAMI SIKU UTURN IKIFIKISHA 15YRS SASA SI MTAENDA PIGANA GUMI HUKO KWENYE MIAMI BEACH????..MMMWEEE.. MIE NAONA KAMA BABY YA MANGE HAIKUDHAMIRIA KUITA NYINYI MSEKULE BALI NASEMA KULE MNAITWA MSEKULE...AU MIMI HAIKUSOMA VIZURI...MSINISHAMBULIE NATAKA EPUSHA SHARI TU...
    • Anonymous

      Anonymous

      09 August 2012 at 18:08 |
      NI KWELI BABY YA MANGE ALIKUWA ANA MAANISHA HIVO LAKINI HAWAJAELEWA, WAO WAMEKURUPUKA KA MIPAKASHUME. TATIZO WANASAPOTIANA HATA PALE MMOJA ANAPOKOSEA. JAMANI MTU AKIKOSEA MREKEBISHENI KA MNAMPENDA, MSIKIMBILIE KUM DEFEND MKAZIDI KUMPOTEZA..NI HAYO TU. MKINITUKANA NAMIE YOU AREwelcome IM SO USED TO IT. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE NA MWENYE HASIRA AKANYWE SUPU YA VIWEMBE AU YA SINDANO AKITAKA BURDANI ZAIDI ASHUSHIE NA MAJI YA BETRI..cheers
      • mkosa sura shepu ninayo

        mkosa sura shepu ninayo

        10 August 2012 at 01:35 |
        Hili genge la watu wa manzese mange usipochunga litaiharibu blog na kuifanya mipasho blog badala ya u turn blog,watu wako busy kusapotiana mipasho utadhani wamama wa vipindi vya taarab maredioni!!!!!
  • kwatariq.com

    kwatariq.com

    09 August 2012 at 11:48 |
    wimbo unaitwa bao la KETE
  • TBL

    TBL

    09 August 2012 at 16:11 |
    so fun kuwa mmoja wa number 1 blog in TZZZZZZZZZZZ
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 18:09 |
    Kwani mwanamke mbea lazima awe na midomo myeusi?
    • c's mum wakuja

      c's mum wakuja

      10 August 2012 at 02:26 |
      kwani we mdomo wako rangi gani? mbona limekukereketa.
      • Anonymous

        Anonymous

        10 August 2012 at 19:16 |
        midomo yangu myeusiii ka tako lako..mie mwenyewe mweupeee..fuck you ndomana nkauliza ati. mwizi mkubwa wewe!!!
  • C's mum R.I.P.

    C's mum R.I.P.

    12 August 2012 at 20:46 |
    jamani sasa inatosha muacheni c's mum apumzike
  • c's mum!

    c's mum!

    10 August 2012 at 09:28 |
    we c's mum wakuja, tumia hilo jina litakung'arisha, naona umeona unataka kung'aa! mtchewwwwwww!
    • SBL

      SBL

      10 August 2012 at 16:48 |
      we nae acha uswaz kwan hilo jina linahusiana na nini
  • Anonymous

    Anonymous

    10 August 2012 at 20:10 |
    achaneni na c's mum na marichui,wanasagana hao hamuwezi kuwaachanisha washaonjana