06August

STAKI STORI ZA MTAA WA PILI WALA MTAA WA TATU HUMU

Guys naombeni sana muache kutuma comments about mtaa wa pili sijui mtaa watatu...... hawatuhusu sisi hao losers.

please please.... najikuta nimeachia comments zao about mitaa ya pili sijui ya tatu sababu sina muda wa kusoma comments zote word by word.

 

please tuendelee na story zetu za humu zinatutosha. Hao wenye masters kama ya Mange achaneni nao tafadhali na hao vimada vya wapopo ndo kabisaaaaa msiwaongeleee humu, please please please......

 

im sure tuna mengi ya kuongelea zaidi ya watu hao first of all mnawapa wanachokitaka which is kuongelewa........ i mean reallly tukae hapa tunaongelea watu hata kwenye kiganja hawajai...what for?????

 

Lets move on please, and nimetoa ruhusa ya mtu yoyote anaejisikia kuniiga aniige , labda mie ndo role model wao wafanyaje sasa??????

mi naona kama wao wanapenda kuonekana wana ugomvi na mimi sababu wanakuwa wamepanda chati ila kwa mimi kuonenaka na ugomvi na uchafu kama ule ni aibu kwangu sana tena sana, so please naomba tuache kabisa, siku nikiwa na ugomvi na mwanamke wa maana huko TZ kama Emelda wa Bang au Mwamvita Makamba  hivi hapo kweli ntaweka bifu la live live, huo uchafu mwingine , im sorry ntawapotezea tu.....

 

haya lets move on.....PLEASEEEEEE.........No more comments za mtaa pili wala watatu soma huko huko sutana nao huko huko usilete huku habari and remember not to use jina lako unalotumia humu staki link yoyote kati ya blog yangu na blog za ushenzini.....

 

Comments (239)

  • prettyme

    prettyme

    06 August 2012 at 08:12 |
    word!!!! nachafukaje nikiona mtu anasema hiyo mitaa, we are to classy to start mingling with locality!!! tuko zetu miamiiiii utafananisha na hiyo mitaa, hebu tufanye adabu tukiwa miamii...lol
    • KIBONGE

      KIBONGE

      06 August 2012 at 10:03 |
      ni kweli mange tuachane nao maana wanapanda chat kupitia wewe,na hm ndan kuna watu wamekazana kuwapaisha wacha waigeee weeee maana ni VILAZA wameanzisha blog hawana cha kufurahisha kwahiyo WANACOPY NA KUPASTE. yakiwashinda zaidi ndo wanaanzisha bif zao za kijinga
    • Kweli

      Kweli

      06 August 2012 at 10:20 |
      kichupi umesikia?
    • Mama Lisa

      Mama Lisa

      06 August 2012 at 13:19 |
      AMEN!blowkiss
    • Sensitive Samurai

      Sensitive Samurai

      06 August 2012 at 14:49 |
      HELP PLS HELP nataka kuweka picha before mtu hajakopi jina langu lote mhhhhsad
    • Tajibeba

      Tajibeba

      06 August 2012 at 14:54 |
      Thanksceo tumekusoma sana mama Kenzo hopefully vijimambo vitaisha huku U trn ingawa na wewe umewapiga madongo kiaina ila ni diplomatic madongo hahahah ya hutaki nataka kubutua sort of
    • Anonymous

      Anonymous

      06 August 2012 at 17:38 |
      umeona eeh zinaboa kishenzi..hasa hawa mawaziri wako uliowaweka. kinachoboa zaidi ni kama wanawasisitizia watu wa humu wawatafute hao wa hiyo mitaa mingine. halafu sikuizi hao mawaziri wanasapotiana wenyewe kwa wenyewe wengine wakitoa comments wao wanaona haziwahusu. jamani uturn mie najua wote tu wamoja. lakini wenzetu hawa kutwa ohh fulani umechungulia kule? ohh umekunywa uji wa kungu? ooh sijui umepiga deki bahari, umefuta vumbi mawingu? mambo ya maana hawa comment..fan
      • Anonymous

        Anonymous

        06 August 2012 at 19:15 |
        Sasa kutwa mnawananga wataacha kusaportiana? Tatizo nyinyi mmekremu Csmum, mbona hao wameacha kwenda huko kitambo, mpaka wanauliziwa na kutukanwa kuwa wao ni Misukule ya Miami kwa sababu wanamsikiliza Mange. Mpaka watu wanakopi majina yao ili kumchokoza tu Mange.

        Isitoshe sisi binadamu wanafiki leo unakuja kumsema Csmum huku, kwa kuwa anasifia kila kitu cha Mange; ukienda mtaa wa pili mnamtukana Csmum, mnamtukana Mange; na mawaziri wake. Si baada ya mawaziri kuna makatibu wakuu na wakurugenzi, wakuu wa mikoa, wa wilaya, si mjipe tu hivyo vyeo, kwani wao walipewa officially na Mange
        • maudodo

          maudodo

          07 August 2012 at 10:41 |
          mange mange rudisha midole jamaniiiiii....!!! hy comment hapo juu ningeipaje midole ya kijani sasaa....hahahahaaaa... dogo umenifurahisha nakupa offer ya iftar leo kwangu... wapi mawaziri wote wa u turn, love u sana.blowkiss
      • c's mum!

        c's mum!

        06 August 2012 at 20:42 |
        uji wangu wa kungu, kufuta mavumbi mawingu na kudeki bahari havikuhusu mzandiki wewe! achana na mimi, toka bby ya mange sijarudia kukomenti kule wala kuongelea hizo habari sijui za mitaa! malabuku yako majinuni wewe, unikomeeeeeee!
        • Sensitive Samurai

          Sensitive Samurai

          07 August 2012 at 11:38 |
          rolling on the floorblowkiss dis for u C's mum wamekuona wewe tu.nono wakati wao ndo wa kwanza kwenda huko na kujifanya ma anoy, wanywaji wa gongo utawajua tu kwa uzandiki wao :chase:

          mangeblog
          • c's mum!

            c's mum!

            08 August 2012 at 07:59 |
        • Anonymous

          Anonymous

          07 August 2012 at 16:00 |
          kalambe pasi ya moto kama una hasira..MJ
          • c's mum!

            c's mum!

            08 August 2012 at 07:59 |
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        06 August 2012 at 21:20 |
        huu sasa ni WWW.WIVU.COM Kwani umekataliwa kuwa waziri na wewe ! mtu mwenyewe Anony acha majungu lol !
        • DESPERATE HOUSE WIFE

          DESPERATE HOUSE WIFE

          07 August 2012 at 03:13 |
          OK NOW IM GONNA SUPPORT MY GIRL MARICHUI... NIMEGUNDUA WATU WENGI WANACHUKI NA MAWAZIRI WA MANGE, KWANI NININI JAMANI? AT THE SAME TIME MNASEMA OH WE ARE HERE TO HAVE FUN. REALLY? TUNAPEANA SUPPORT MAANA SIKUCHACHE HIZI NI MAWAZIRI HIVI MAWAZIRI HIVI.. KHA KWELI KUNAWATU WANACHUKIWA HUMU NDANI. NA WEWE ANONI HAPO JUU UNAPOSEMA TUNASAPOTIANA TU HATUKOMENT KWENYE VITU VYA MAANA SI KWELI. TAFADHALI KAMA REJEA TOPIC ZOOOTE ZA ANZIA KALE UTAONA NINAMAANISHA NINI. THIS IS RIDICULOUS. TUMESHAKUBALIANA HAKUNA TENA WATU FULANI FULANI KWENDA KUTUKANA KWA WATU BASI NA IWE HIVYO.. SASA NAONA INAKUWA ABOUT MAWAZIRI MAWAZIRI MAWAZIRI....

          mangeblog LETS ALL HAVE FUN. USIMCHUKIE MTU AMBAYE ATA HUMJUI YUKO TU HAPA TO HAVE FUN KWA KUTUMIA JINA FAKE. UKO KWA BLOGS ZINGINE KUNA WATU IM SURE SASA HIVI WANATUMIA MAJINA YA MAWAZIRI BUT WE SHOULD ALL KNOW THAT HATUENDI TENA NA HAWATATAJWA TENA HUMU.
          • c's mum!

            c's mum!

            07 August 2012 at 07:53 |
            cheers to u DHW!
          • u turner muasisi

            u turner muasisi

            07 August 2012 at 09:05 |
            Na nyie muache kwenda kwenye blog za wa za watu na kuja hapa ku create biff na watu ambao wala hawawajui mnafananaje,All in all muache kwenda kutanga tanga na kuchokoza watu kwenye mablog ya watu halafu mnakimbilia kuja kujificha u turn kwa kisingizio cha kumpigania mange,hiki sio kichaka,rudini kwenye mstari heshima zenu za uwaziri zitarudi pale pale otherwise mtaendelea kudharaulika na uwaziri wenu juu,
          • Tajibeba

            Tajibeba

            07 August 2012 at 11:45 |
            ceo naomba utume post ya hawa commenters wengine watukome mawaziri yani inakera kweli kweli humu ndani hakuna aliyenyimwa kumsupport mwenzake but watu sijui kinawauma nini jamani we are all one family kushushuana humu its a cup of coffee but lets not kereka na mawaziri we waziri au commenter yeyote akiongea pumba shushua tu hujanyimwaceo akibania comment yako we lalama nae ili awe anaziachia sometimes. ukikereka sana basi hama blogmangeblog
    • umbea.com

      umbea.com

      07 August 2012 at 07:25 |
      Waziri Mkuu Koku, Mambo ya ndani c'smum, Mambo ya Nje Marichui,Fedha Mudy Washington,Mahusiano Baby ya Mange,Uwekezaje Desperate,u-turn Mipaka Tajibeba,Elimu ya Juu Nai Nai,Haki za Binadamu Muke ya Albino,Nishati na madini Mshamba na Ngosha,Sanaa na wasanii Maudodo na Marikenge,Maji Kuntuafro na Anchiwela

      sonya
      • baby ya Mange

        baby ya Mange

        08 August 2012 at 04:04 |
        stupid woman,now listen listen to me very careful from today i dont want any kind of stupid rubbish nonsense leadership here,,,i repeat again i dont want,,how dare u put my name after CMUM,MARICHUI N MUDDY???do u know how long i have been here?now listen fuck all ur uwaziri sitaki cheo chochote peaneni vyeo vyenu wenyewe kwa wenyewe,,minicommenter tu wa kawaida,,,hope tumeelewana.eti koku waziri mkuu nyokooo hata akiwa rais,,,IDGAF...n baby sorry about it but sitaki mambo ya uwaziri,kama CMUM na Marichui wanaonekana wamaana zaidi kuliko mimi eishhh,,,for how long wameanza kucomment hapa?watu wenyewe ni full of maugomvi like huyo Cmum n today this stupid woman is mention her infront of me, fine...bakieni na mavyeo yenu.
        • c's mum!

          c's mum!

          08 August 2012 at 07:57 |
          utakuwa unaumwa! kisa cha kutoka povu hivyo??? kwani kuna chochote hapa serious! hata wangemuita yeyote OBAMA kwani ndio mtu atakuwa obama kweli! seriously nimeshangaa, yaani unagombaaaa kwanza utadhani tunajuana?? wakati hakuna amjuaye mwenzake humu ndani! tuachani utoto na tupendane tu! yuko wapi kanumba na wengine wengiiiiiiii???blowkissblowkiss kwako bby ya mange! na wote mnaonichukia bila sababu, mi nawashangaeni tu! poleni aisee!cheerscheers
          • baby ya Mange

            baby ya Mange

            08 August 2012 at 22:15 |
            If u hit me,,,hit me hard sio ooh unanihit halafu unanipooza kuwa kama marikenge nipekitu live hivo viwine kamnyweshe mwarabu koko wako ili akukune sawa swa usiku umenipata,,,kiukweli nimeskitika sana nyie before me wakati nakumbuka hadi siku ya kwanza umeanza kucomment humu
        • Mshamba

          Mshamba

          08 August 2012 at 10:04 |
          Baby ya Mange vipi mpaka imekuwa vita namna hiyo? Jinsi ulivyogomba na kumsema c's mum kwamba ni mgomvi mbona hata wewe hapa umekuwa mgomvi tena sana tu. Umbea.com kajisemea tu kuchangamsha genge, vipi tena kikuume namna hii mpaka umtukane dada wa watu namna hii?
        • Muke Ya Albino

          Muke Ya Albino

          08 August 2012 at 10:04 |
          Baby ya Mange usikasirike me I thought ni utani, jamani we are here to have fun na ku-exchange ideas some of us kuna mambo Mengi tunajifunza from other people's comments humu ndani. Wana u turn tuishi kwa upendo, mambo ya mabifu bifu achieni wengine. Ni hayo tu kwa leo.
        • Chaunabe

          Chaunabe

          08 August 2012 at 11:59 |
          slapping WE NAWE HUWA NAKUANGALIAGA SANAA UNAJINA WA MAANA SAANAAAA, SASA HUTAKI CHEO NA HICHO ULICHOJIPA CHA BABY YA MANGE NINI MAVIA YAKO NDIO NYIE NYIE 2 IN 1 MAZAFANTA COKA COLA YA BLUE WEE!!! KWANI UKIWA WA KWANZA KU-COMMENT HUMU NDIO NINI. KWANI HAO KINA C'MUM WAMEANZA JANA AU KWAVILE HAWAKUTILIA MAANANI KUTUMIA MAJINA. MSHAMBA MWALI WEEH!! ETI SITAKI CHEO/CHEYO KUWA LIPUMBA BASI/PUMBA WEE!chase
          • baby ya Mange

            baby ya Mange

            08 August 2012 at 22:50 |
            Mimi ndo baby ya Mange orginal jina langu linajitosheleza hivo vyeo vingine chukueni nyie misukule ya Miami au mnataka nimwambie baby wangu azuie comment zenu we na wenzio cmum na Maritako hehehe
        • Anonymous

          Anonymous

          08 August 2012 at 16:11 |
          BEBI YA MANGE NIMEKUPENDAJE LEOblowkiss ..HAHAHAA UMBEA.COM UMESUSHUKAJE SHOSTI. HIVI UKOMI KUSUTWA UMU NDANI WEWE? SASA LEO UMEINGIA CHOO CHA KIKE UMEAIBIKAJEslapping NILIWAI KWAMBIA PUNGUZA UMBEA WE MWANAMKE UTAJASUTWA HADHARANI UKAWA USIKII..HAYA SASA LEO YAMEKUKUTA UTALIA NA NANI NA SURA HIYO UTAIWEKA WAPI? SIO WATU WOTE WANAPENDA HIVO VYEO VYENU KAA UFAHAMU FROM NOW ON..U FEEL ME? U FEEL ME?drinkbeer
        • m a r i c h u i

          m a r i c h u i

          08 August 2012 at 20:28 |
          Ndiyo mimi niwamaana kwa Taarifa yako ushuzi huu wangekuwa wameandika wanawake wa maana u-turn kama C's mum, Mshamba, Tajibeba,Ngosha, Nai Nai, TI , DHW, na wengine ningekondaje lakini wewe ushuuuziiii .....wapi Mamushka nakumisije sasa ...long time kitambo
          • DESPERATE HOUSE WIFE

            DESPERATE HOUSE WIFE

            08 August 2012 at 20:43 |
            lmao NAPITA MBIO KABISAA NAACHA TU VUMBI........mangeblogpeace
    • umbea.com

      umbea.com

      07 August 2012 at 07:32 |
      Uchukuzi U-turn addict na Jacquie, TI Vancover Balozi wa u-tun, Waziri wa Muungano Kijaruba ,Beautiful Onyinye Spika wa Bunge,Uzalishaji Patel na Muchina,Mwachuki Katibu Tarafa, Brother Kay, Mama Lisa, Mrs Solis, Sensitive Samurai,killer queen Wabunge, If Not Why not , sitaharisha,miss u-tun, Isidindo Makatibu wakuu,Mama Otieno, Camila,Malaika Wakuu wa Mikoa ya U-turn

      Endeleenikanuna
      • Anonymous

        Anonymous

        08 August 2012 at 16:13 |
        UMENUNA WEWE HAPOletspartyMJ
  • c's mum!

    c's mum!

    06 August 2012 at 08:35 |
    uko juu CEO! no mo uchafu here! hawana class yako! vp kenzoki anaendeleaje???
  • anchiwela

    anchiwela

    06 August 2012 at 08:43 |
    mangebloghakunaga big up our CEO, unakuwaga na point wewewakuache
  • Mshamba

    Mshamba

    06 August 2012 at 08:45 |
    applauseapplause Finally, you have said something regarding this issue. I was wondering when you were going to say this to stop fueling the negativity within your blog but with other bloggers as well. At one point, I thought you liked the status quo and that is why you continued allowing those comments through and still did not say anything about it. It was long overdue but at last it has been said!
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      08 August 2012 at 05:12 |
      hahahhahahahhahaharolling on the floor mshamba bwana,,, eti status quo,over due! heheheh umenikumbusha mwalimu wangu mmoja hivi alikuwa anapenda kuongea mamisamiati huyo i mean mavocabulary hayo wakati kingereza hajui hahahhahaha,,,,au zile za kutumia ma vocabulary ili uonekane unamapoint heheheh dih!halafu mshamba design wanigambire stupid infront of my wife hahahahshakebutt *OKAY,BYE!
      • Mshamba

        Mshamba

        08 August 2012 at 09:01 |
        Baby ya Mange umekosea mimi sio mhaya lakini marafki wangu wengi wahaya. Jamani mimi wa kanda ya kaskazini lakini hiyo isiwe sababu ya kupigwa mawe huku.
  • kitumburee

    kitumburee

    06 August 2012 at 09:06 |
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    06 August 2012 at 09:09 |
    HA HA HA HA HA HA HA HA HA MYRI BEHEN TUMEKUSOMA, ILE YOTE NAWAPA UMAARUFU WAO IACHE MARA MOJA, IKO MENGI YA KUFANYA HAPA LOLS...ILA MANGE MADONGO LAZIM JAPO KIDOGO.
  • SOMO MTWARA

    SOMO MTWARA

    06 August 2012 at 09:10 |
    LOL! MANGE UMEKUWA MKUBWAAA MWALI WANGU KM UWANJA WA MPIRA KILA TEAM INAINGIA KUCHEZA HAHAHAAapplause , EMBU NIUGUZIE MJUKUU WANGU KWANZA. ACHANA NA HIZI HABARI.
    NITARUDI BADAE NAENDA KUMPIKIA DAKU ANANIWEKA MJINIwave
  • u turner muasisi

    u turner muasisi

    06 August 2012 at 09:22 |
    Bora mimi sijasema,umesema wewe maana tumevamiwa humu ndani,tunaletewa mpaka habari za mademu wa wachezaji wa timu za mpira wa bongo,inahuuu,hayo sio mambo yetu,tuna standards hapa lazima zizingatiwe whether u like it or not,hatuko hapa ku win applause bali kuambiana ukweli,we are tired na story za mitaa ya pili tunataka story za mtaa huu tu anaetaka za mtaa wa pili aende zake mwenyewe huko akasutane bila kukimbilia kuja kujificha huku yakimshinda ya kule na wasutani wenzie,mnatuharibia blog narudia tena,rudi kwenye mstari tutaheshimiana otherwise mimi mtaniona mbaya kila siku na nyie tu mpaka nihakikishe mmeach kuleta mambo ya mitaani humu,hatuko watu wa mitaani sisi,ebooo...
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 09:23 |
    HIVI KWA NINI WASICHANA WA KIBONGO HATUPENDANI HIVI????
    JHAKI YA MUNGU NINGEKUWA FIRST LADY NYIE MNGENIKOMA!!! NINGEWACHAMBAAA KWEUPEEE

    HEBU ACHENI KUDHARAURIANA, KUHARIBIANA (WHAT FOR) WENGINE MNA BEEF HATAA HAMJAHI KUONANA
    NI NINI???? MNA RADHI NYIE WADADA?

    HAYO MAISHA YASHAPITWA NA WAKATI WAACHIENI TEEENAGERS PLSSSSSSSSS
    TUPENDANEEEE JAMANIIII

    MIE MNANIUDHI WASICHANA WAZURI NA MAUGOMVI YASIO NA KICHWA WALA MIGUU..

    TATIZO WOTE WAJUAJI , INATAKIWA MMOJA AFUNGE MJADALA AACHANE NA HUU UPUUZI ..

    MANGE WEWE NI BULLY LKN HUWA UNAJIRUDI NDO MAANA MI HUWA NAKUSAMEHE.

    HEBU ACHANE JAMANI MMOJA WENU AJIFANY MJINGA APOTEZEE MWENZIWE

    MANGE USHAWAHI KUWEKA POST THAT "YOU ARE RAY CHARLES TO BULLSHIT"
    HEBU BASI KUWA NA STEVE WONDER PLSSSSSS

    NA ELIMU ZENU MNAWEKA WAPI?
    MIE JANA TU NILIJUA BINTI KIMAMBI HAWEZI KUKAA KIMYA LZM ATARUSHA BOMU

    MIE NIMEINGIA OFCN NIKASEMA NACOMENT KABISA

    MANGE WW MIE SIKUJUI LKN NAKUADMIRE SABABU UNAJIRI
    NA KTK HILI SIMSUPPORT MTU MAANA NAJUA KESHO MTAKUWA FRIENDS ..COZ I USED TO HATE U LKN KWA KUWA UNAJIRUDI SIKU IZI HUWA SIPOTEZI MUDA KUCOMMENT MATUSI

    ACHANE JAMANI ISHINI KWA STAREHE NA SIO KUSUBIRI MTU KAPOST KITU FLANI NIMJIBU

    NAWAPENDA WOTEEEEE
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 09:25 |
    HIVI KWA NINI WASICHANA WA KIBONGO HATUPENDANI HIVI????
    JHAKI YA MUNGU NINGEKUWA FIRST LADY NYIE MNGENIKOMA!!! NINGEWACHAMBAAA KWEUPEEE

    HEBU ACHENI KUDHARAURIANA, KUHARIBIANA (WHAT FOR) WENGINE MNA BEEF HATAA HAMJAHI KUONANA
    NI NINI???? MNA RADHI NYIE WADADA?

    HAYO MAISHA YASHAPITWA NA WAKATI WAACHIENI TEEENAGERS PLSSSSSSSSS
    TUPENDANEEEE JAMANIIII

    MIE MNANIUDHI WASICHANA WAZURI NA MAUGOMVI YASIO NA KICHWA WALA MIGUU..

    TATIZO WOTE WAJUAJI , INATAKIWA MMOJA AFUNGE MJADALA AACHANE NA HUU UPUUZI ..

    MANGE WEWE NI BULLY LKN HUWA UNAJIRUDI NDO MAANA MI HUWA NAKUSAMEHE.

    HEBU ACHANE JAMANI MMOJA WENU AJIFANY MJINGA APOTEZEE MWENZIWE

    MANGE USHAWAHI KUWEKA POST THAT "YOU ARE RAY CHARLES TO BULLSHIT"
    HEBU BASI KUWA NA STEVE WONDER PLSSSSSS

    NA ELIMU ZENU MNAWEKA WAPI?
    MIE JANA TU NILIJUA BINTI KIMAMBI HAWEZI KUKAA KIMYA LZM ATARUSHA BOMU

    MIE NIMEINGIA OFCN NIKASEMA NACOMENT KABISA

    MANGE WW MIE SIKUJUI LKN NAKUADMIRE SABABU UNAJIRI
    NA KTK HILI SIMSUPPORT MTU MAANA NAJUA KESHO MTAKUWA FRIENDS ..COZ I USED TO HATE U LKN KWA KUWA UNAJIRUDI SIKU IZI HUWA SIPOTEZI MUDA KUCOMMENT MATUSI

    ACHANE JAMANI ISHINI KWA STAREHE NA SIO KUSUBIRI MTU KAPOST KITU FLANI NIMJIBU
  • Fatuma Mtanga

    Fatuma Mtanga

    06 August 2012 at 09:34 |
    mama C's mum na genge lako tunatumai ujumbe mmeusoma na kuulewa na tunaamnini sasa mtabadilika,la kama hamuwezi mjivue gamba wenyewe,we don't need mambo ya watu wa huko mitaani nani kaachwa na nani sijui nani anachakachuana na nani au sijui fulani na na yule wa mtaa wa pili wanachakachuana hiyo si kazi yetu hapa,hayo yana wenyewe waachieni waicheze ngoma yao msituchezeshe ngoma tusiyoijua
    • c's mum!

      c's mum!

      08 August 2012 at 08:06 |
      umetumwaaaaaa?? vua utu wangu uuvae basi! naona kutwa csmum, csmum! jama ni mnikomeeeeeeeeee! sili kwa mtu hapa, hunijui sikujui, mtu mzima unajitoa ufahamu, eti na genge langu, nilikuja na mtu hapa? marichui, DHW, TAJIBEBA, MAUDODO, na wengine wengi tumejuana hapa, na tunaachana hapa, kama sisi ni marafiki hapa, tafuta wako na wewe hapa, kwani umenyimwa! majinuni wewe! unikomeeeeeeee!
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        08 August 2012 at 21:41 |
        hao vilaza c's mum wivu hadi kwenye kutoa comment u-turn ! ama kweli Wa Tz kazi ipo
    • c's mum!

      c's mum!

      08 August 2012 at 08:06 |
      umetumwaaaaaa?? vua utu wangu uuvae basi! naona kutwa csmum, csmum! jama ni mnikomeeeeeeeeee! sili kwa mtu hapa, hunijui sikujui, mtu mzima unajitoa ufahamu, eti na genge langu, nilikuja na mtu hapa? marichui, DHW, TAJIBEBA, MAUDODO, na wengine wengi tumejuana hapa, na tunaachana hapa, kama sisi ni marafiki hapa, tafuta wako na wewe hapa, kwani umenyimwa! majinuni wewe! unikomeeeeeeee!
      • flower

        flower

        09 August 2012 at 02:36 |
        inaelekea jamaa hakufiri vizuri we mwanamke.sio kosa lako kosa la kibamia cha mwarab
        • Tajibeba

          Tajibeba

          09 August 2012 at 14:14 |
          your stupid maza and faza fanta wewe leave c's mum alone i think she is always in some peoples heads mnalala nae mnaamka ane why cant you pipo leave her alone? accept her for who she is guys take it easy she is here to have fun she has no bad intentions with anyone.Mnaniuzi sana viumbe nyie
  • muke ya jaluo

    muke ya jaluo

    06 August 2012 at 09:34 |
    kweli kabisaceo
  • Parrot

    Parrot

    06 August 2012 at 09:35 |
  • mzanzibari halisi

    mzanzibari halisi

    06 August 2012 at 09:38 |
    C's mum a.k.a. RIP umeisoma hiyo,haina mpango bwana tafuta story nyingine za kutoka nazo sasa,mliesema mnampigania ndio huyu sasa hahitaji tena kupiganiwa mpaka mtakapojulishwa vinginevyo sawasawa?
    • c's mum!

      c's mum!

      08 August 2012 at 08:08 |
      eatme thenkissmyass hovyooooooo! na siachi ng'o!
  • Mrs Jimmy Choo

    Mrs Jimmy Choo

    06 August 2012 at 09:39 |
    NENO a.k.a WORD!!!!!Muishie huko huko na huyo muathirika wa bangi za Nature!Nafikiri yeye ndiye anahitaji rehab instead ya Nature!Siyo mzima kabisa kichwani!
  • LILII SEXII MWANA KINONDONI

    LILII SEXII MWANA KINONDONI

    06 August 2012 at 09:46 |
    HONGERA ZA KIPEKEE KWAKO BLOGGER KWA KUSIKILIZA KILIO CHA WAKONGWE HUMU,KAMWE HATUTAKUBALI U TURN ICHAFULIWE UNDER OUR WATCH HATA KAMA SIKU HIZI TUMEKUWA WASTAAFU NA KUWAACHIA VIJANA TUNAENDELEA KUSHIRIKI KILA TUNAPOPATA MUDA KWA NJIA YA KUSOMA LAKINI TUNAPOONA VIJANA TULIOWAKABIDHI GURUDUMU WALIENDELEZE WANATELEZA HATUTASITA KUIBUKA HUMU ILI KUWEKANA SAWA THEN TUNASEPA MAMBO YAKIKAA SAWA NA KURUDI BENCHI KUENDELEA KUBURUDIKA KWA KUWA WASOMAJI TU WA NINI WANACHOANDIKA VIJANA WA SASA WA U TURN NA WAKONGWE WACHACHE AMBAO WAMEENDELEA KUWEMO KUTOKANA NA KUWA NA MUDA.
    • Mshamba

      Mshamba

      08 August 2012 at 09:11 |
      Umenichekesha sana ...wastaafu mtarudi benchi. Aisee, watu mna vijembe humu ndani kwelikweli. Tumewasikieni wastaafu na tutabehave jamani duuhh!
    • Anonymous

      Anonymous

      08 August 2012 at 16:21 |
      WE LILI HUJATULIA LOL..
  • LILII SEXII MWANA KINONDONI

    LILII SEXII MWANA KINONDONI

    06 August 2012 at 09:46 |
    HONGERA ZA KIPEKEE KWAKO BLOGGER KWA KUSIKILIZA KILIO CHA WAKONGWE HUMU,KAMWE HATUTAKUBALI U TURN ICHAFULIWE UNDER OUR WATCH HATA KAMA SIKU HIZI TUMEKUWA WASTAAFU NA KUWAACHIA VIJANA TUNAENDELEA KUSHIRIKI KILA TUNAPOPATA MUDA KWA NJIA YA KUSOMA LAKINI TUNAPOONA VIJANA TULIOWAKABIDHI GURUDUMU WALIENDELEZE WANATELEZA HATUTASITA KUIBUKA HUMU ILI KUWEKANA SAWA THEN TUNASEPA MAMBO YAKIKAA SAWA NA KURUDI BENCHI KUENDELEA KUBURUDIKA KWA KUWA WASOMAJI TU WA NINI WANACHOANDIKA VIJANA WA SASA WA U TURN NA WAKONGWE WACHACHE AMBAO WAMEENDELEA KUWEMO KUTOKANA NA KUWA NA MUDA.
  • mahips

    mahips

    06 August 2012 at 09:50 |
    my sisy nimekupendajeeee............
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 09:56 |
    yaani afadhali Marichui na C'Mum mmesikia maana kila baada ya neno kumetajwa... umenifurahisha.

    Inshallah M.Mungu akuongezee furaha na maisha Mema..
  • SINTALICIOUShttp://www.u-turn.co.tz/media/zoo/assets/images/smileyz/groups/default/ceo.png

    SINTALICIOUShttp://www.u-turn.co.tz/media/zoo/assets/images/smileyz/groups/default/ceo.png

    06 August 2012 at 10:05 |
    Education is sexy ukikaa na watu wenye master na wewe unafanania au siyo dogo MIAMI OYEEEEEEEEEEEEEEE
  • katyuska cardona

    katyuska cardona

    06 August 2012 at 10:05 |
    word my gurl...you nailed it. love you mange.
  • Jessa

    Jessa

    06 August 2012 at 10:28 |
    Kazi ipo, kweli we CEO, hadi unachagulia watu kucoment. kazi ipo mdada.
    • BEAUTIFUL

      BEAUTIFUL

      07 August 2012 at 08:31 |
      sio anachagulia hapana ila anataka tuwe wasomi si majungu yasio kua na maana .humu nyumbani kwetu basi tufanye yetu
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    06 August 2012 at 10:29 |
    MANGE MCHOKOZIII HAHAHAHAH BUT NI KWELI WE CAN STICK WITH WHAT IS IN HERE KWANZA HUKU KUKO MORE AWSOME MORE THAN ANY BLOG IVE EVER BEEN..blowkiss FOR U MANGE AND I AMfan USHENZINIkissass ANDheadshot TATAAAAcheers
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 10:39 |
    Point mange!kwanza kabisa wanatafta bif na wewe kwa lazima pili hawakuwezi na wanaona kupitia wewe na wenyewe watakua juu ndo mana wanafanya kila njia. Ili watu wa coment tuuu huku ili wapande chati!
  • maudodo

    maudodo

    06 August 2012 at 10:46 |
    problem itakuja wale watu wa kutoka ushenzini watakuja humu kucomment story za huko makusudi coz washaona hautaki, tujiandae tu kuwafurusha humu mpaka warudi huko huko na ushenzi wao
    • mama t

      mama t

      08 August 2012 at 20:00 |
      maudodo dear ni lazma watazuru huku kwetu maana hapa ndo wanapojfunzia kila iitwapo leo.cha msing ni kuwakalia kimya hata wakikoment tuunapiga kimya cku zote jbu la mjinga ni kunyamaza
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 10:48 |
    Na huwezi kuwa na mabifu na hao kina Mwamy au Emelda, or any educated woman out there kwa sababueducation

    Sasa huko mitaa ya pili na ya tatu lazima watafute mabifu kwa nguvu na wewe, na utaona jinsi watu watakavyotukanwa na kuitwa ndondocha sijui misukule, simply tu kwao wao SEXY IS EDUCATION, so everything will be taken out of proportion once again. Wapotezee tu kuliko kuweka post kwa ajili ya comments 5 au 10 out of more than 200 comments unazozipata!! Wao wanaweza kufikiri kuwa out of 200 comments labda comments 50 zinawazungumzia wao kumbe ni less than 1% ya comments.
    • Anonymous

      Anonymous

      07 August 2012 at 12:57 |
      laughingrolling on the floor UWIIIII UMENIVUNJA MBAVU ETI SEXY IS EDUCATION SIO SEX IS EDUCATION KABISA......
    • Mshamba

      Mshamba

      08 August 2012 at 14:50 |
      Ha ha ha ha ...Sexy is education! Kweli ndio maana wengine lazima tupitie U-turn kuangalia kinachoendelea kwa sababu u-turners ni kiboko!! Nimeipenda hiyo sana.
  • murembo by nature

    murembo by nature

    06 August 2012 at 10:56 |
    Hiyo mitaa ndo inatuweka mjini jamani wacha tuwashushue69
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 11:09 |
    ushajiona beyonceeeeeee hata hii blog ni ushezini too
    • BEAUTIFUL

      BEAUTIFUL

      07 August 2012 at 08:34 |
      Nashukuru we mwenyewe umekubali ni Beyonceee,Tajibebeba na kijiti chako cha kuchokoa rohoni utakufa nalo/........mimi penda Mange karusha jiwe gizani anaepiga keleeee yaani limempataaaa Hureeeeeeeeeeeeewe hater
    • Anonymous

      Anonymous

      07 August 2012 at 11:22 |
      POINT
    • Anonymous

      Anonymous

      07 August 2012 at 17:20 |
      WORD...
    • NAME

      NAME

      08 August 2012 at 07:24 |
      YAAANI! USHUZI.COM
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    06 August 2012 at 11:21 |
    WORDceo
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    06 August 2012 at 11:22 |
    ceo UMESAHAU KIMOJA HATA KUTUMIA MAJINA YAO WATU WAACHE , HATA ZILE A.K.A ZAO KAMA MTALAKA AND SO ON
  • mie

    mie

    06 August 2012 at 11:27 |
    mtume, kwahiyo c's mum ndio hana kazi tena!
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      07 August 2012 at 07:12 |
    • c's mum!

      c's mum!

      07 August 2012 at 07:51 |
      unanipendajeeeeeee?? unaniwangiajeeeeeeeee?? majinuni we!!
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    06 August 2012 at 11:44 |
    The leading Blog in and out Tanzania

    mangeblog
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    06 August 2012 at 11:47 |
    siku nikiwa na ugomvi na mwanamke wa maana huko TZ kama Emelda wa Bang au Mwamvita Makamba uwiiiiiiiisonya
  • bella

    bella

    06 August 2012 at 11:50 |
    Uko juu,i like the way you live
  • killer queen

    killer queen

    06 August 2012 at 11:52 |
    yes mange wape wape hao ! wanaochukua maneno huku wanapeleka kule pili ma blog zingine wivu tu! wanataka wakufikie lakini wapi watasubiri miaka 100000000
  • If Not Why Not.

    If Not Why Not.

    06 August 2012 at 11:58 |
    Hapo Umenena. Tumeshawaacha miaka 100 wa nini sasa.
  • miss u turn

    miss u turn

    06 August 2012 at 12:00 |
  • ISIDINGO

    ISIDINGO

    06 August 2012 at 12:56 |
    senkyu CEO, maana hao uliowapa vyeo ndo walikua wanajidai wana uchungu sana kila siku mtaa wa kumi ng'wee ng'wee, tukiwasema wanajidai kuteteana na kuja juu. na nilishawaambia mnawapaisha hao watu bure kila siku humu ndani na hata wasiowajua wanakuwa na shauku ya kutaka kujua ni kina nani hao, kumbe hawajui wanawaongezea traffic tu! yaani hizi mtu zilitaka kuaribu hiki kijiwe maana ukiweka chochote wao tayari hater mtaa wa kumi umeona sijui upuuzi gani, sasa naona ile burudani ya u turn itarudi, tushushuane wenyewe ilikuwa inaleta raha na vicheko.
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    06 August 2012 at 13:09 |
    baby ur so beautiful...aww! what are u saying again?day dreaming
  • mkweli

    mkweli

    06 August 2012 at 13:19 |
    hahahahha, nimechekajeceo ??? yaani nimekukubali am speechless, ni kweli kabisa wanakuwa wanataka kupaishwa kijanja ni full uswahilifan
  • MISS KIJAMBIO

    MISS KIJAMBIO

    06 August 2012 at 13:22 |
    Kweli jamani Miami mnafananisha na kimara sijui mbezi! Ebu msimpe bichwa mtu mwenyewe hajijuwi wala hajitambui! Kadata na kachanganyikiwa na life la bongo!
  • BAMKUBWA

    BAMKUBWA

    06 August 2012 at 13:22 |
    umesomekaceo , blog yetu iko juu tusiichafue na mambo ya uswazi
  • Nai Nai

    Nai Nai

    06 August 2012 at 13:23 |
    Copy and paste mbona ni janga la kitaifa kama mlikuwa hamjui kwanini tuko nyuma kwenye innovations ukilinganisha na Wakenya ambao wanaongoza kwenye innovation duniani, ni hiyo copy and paste of old stuff. Utawakuta wanafunzi wana materials au papers za zamani na wanacopy word to word including outdated references mpaka anasahau kuwa tangu hiyo paper imeandikwa ishapita miaka 20 na new thoughts na ideas zimesha evolve. Hawajali pliagiarism wala nini ni kucopy na kupaste kwa kwenda mbele kila sekta. Kwa hiyo sioni haja ya kushangaa au kwenda kugombana na mtu anaecopy na kupaste kwa sababu she is just part of the system.

    Ila kinachonishangaza kwanini sisi Watanzania hatuwi kama Wachina? Tucopy na kupaste kwetu vitu kibao na sisi tuwauzie watu waje kutoka nchi mbali mbali kuja kununua kwetu kama sisi tunavyokwenda kununua huko China. Tutengeneze kuanzia magari yetu wenyewe, electronics na kadhalika tubadili majina tu!! Lolest just my 5 cents on the issue.
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      07 August 2012 at 07:17 |
      applause word Nani Nai , umenikumbusha the way tulivyokuwa tumekazana na old papers za form four kweli copy and paste iko kwenye Damu Watanzania,ila nadhani Mfumo wa ufundishaji ni Bomu hapa kwetu, Maana hata walimu wanategemeaga Past Papers !
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      07 August 2012 at 13:17 |
      Omg TMI
      • Nai Nai

        Nai Nai

        08 August 2012 at 08:59 |
        Are you MWI? DWI!

        Najua baby yako atakuprotect ataibania because she is SPRUNG with you. But she knows nini wanafunzi wanafanya pale kwenye Mdegeree, walimu wanauchukia huo mti!!!
  • Muke ya sharobaro

    Muke ya sharobaro

    06 August 2012 at 13:31 |
    WORD!!!mangeblog
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 13:33 |
    mkataa kwao mtumwa, wee Pretyme unayejifanya uko miami, bongo bado kwenu tu.

    halafu mambo ya kubagua watu kulingana na madaraja ni jambo baya sana. Mange unajifanya kufunga huku binadamu wengine unawaona takataka. Suluhisho la 'ugomvi' na adui unayemuona si 'daraja' lako si kumtolea kauli za ufedhuli na dharau maana hizo zinakufanya uonekane low class hata zaidi yake.
    kama huna muda na watu wa low class wapotezee tu, huna haja ya kuanza kashfa na dharau.
    • Anonymous

      Anonymous

      07 August 2012 at 16:00 |
      WORD!
    • NAME

      NAME

      08 August 2012 at 07:31 |
      ASANTE, PREEEEACH!!!
  • THE TRUTH

    THE TRUTH

    06 August 2012 at 14:01 |
    Finally umerudiiiii! Nilishaanza kuboreka na ukosefu wa habari.

    Kweli hata mi nimeona ni uchafu! Ukiugusa utachafuka.dead Bora ulivohurl Manake wamewhitch wee wameona ahayakupati, Damn watu wenyeweshakebutt Na tumefartinface

    Naomba uniwekee bango la BOSS OF ALL BOSSES na la THE DON si wajua tena sasa tuko MIAMIpopchampgnecheers tuwe tunashangilia kithungu zaidi.graduationbluntpeace sign

    Ila its pathetic mtu kukutafta ugomvi bila sababu ili apande chatiii!? Damn! watakissmyass sana tuuchase shenzi zao.
  • kwatariq.com

    kwatariq.com

    06 August 2012 at 14:15 |
    yaani mama kenzo umesema dada ananikera yule anataka umaharufu kwa nguvu mtu mwenyewe mbele hachezi nyuma hatingishiki.tuache kumuongelea humu tunampa chat na yy ndo anaitaka.
  • kwatariq.com

    kwatariq.com

    06 August 2012 at 14:17 |
    anavyokuiga sasa Adelina mushi anasema dada yake,kiki cjui nani wake,mwamvita makamba shoga yake yaani yule kibuyu sijui vp.ulivyoweka nyumba huku naye kaweka eti baby wangu anataka nyumba kama hii.mfyuuuuuuuuuuuuu
  • JUMONG

    JUMONG

    06 August 2012 at 14:26 |
    safi sana mitaa ya kumi sijui ya ishirini waende zao hukoooooo

    kubwa
  • Muke Ya Albino

    Muke Ya Albino

    06 August 2012 at 14:43 |
    Mwenye masikio na Asikie.
  • Diana

    Diana

    06 August 2012 at 14:54 |
    mukeya mimi nadhani kuna watu wanatumia majina ya watu wa huku kwenye hizo blog zingine sidhani kama mtu anaweza akatumia jina lake la huku kule..nilitafuta hadi nikajua ni blog gani hakuna jipya nilichokiona ni CHUKI binafsi tuwakuache na inawezekana kuna watu wanatumia majina ya watu wa huku..we love you Mangeceo mpe Kenzo pole
  • TBL

    TBL

    06 August 2012 at 14:56 |
    fan my dear am so proud of you, yaani nasomaga tuu tena ni mfuailiaji mzuri sana wa blog yako kwa ujumla mimi ni teja wa u turn,huwa nacomment kama annony lkn sasa nitaanza tu coz am ur big fun na sitaacha kuingia hapa ni nyumbani hata iweje. asante sana pia ni vizuri hata watu tukaelewa tufanye na tuyajali mambo yetu ya uchochoroni tuwaachie wenyewe.
    uguza pole.
    U TURN FOREVER BABYmangeblogfanukojuu nitafanya utaratibu nami niwe ktk hemaya yako japo ujumbe wa kamati ndogondogo.
  • cockburn

    cockburn

    06 August 2012 at 15:05 |
    yes mom!!!ceolicking
  • SITAHARISHA

    SITAHARISHA

    06 August 2012 at 15:37 |
    WERAAAAAAA CEO WA UKWELI, WANATUPANDA KICHWANI SASA LOL, HAYA ZIDUMU FIKRA ZAKO MWENYEKITI,HUMU TUNAWA R.I.P HAWAPATI AIR TIME TENAAAA ACHA WAJITANUE NA KUJIASHUA HUKOHUKO USHENZINI NA MASTERS ZAO ZA MIEZI 6
  • Tukinaoooo wa Bibi Bomba

    Tukinaoooo wa Bibi Bomba

    06 August 2012 at 15:50 |
    hapa mjuuku yngua naongea kila kitu kabichaaaaaaa, maana china hata haya ya kuongecha kitu hapa mjukuu yangu, yaaan mie bibi yanu nahuchunika chana nikiona watu wanaingiza habari ja mtaaa ya huko vichochoroni naumia chanaaa, maana wanataka kukutia lawama kama mie nilivyoambia niwataje wenjangu wawili machale yakanicheza.
    chacha ni hv naomba tuwe tunazungumza ya humu humu ndani kwetu yanayotuhusu chie na chio hao mastaaa uchwara wanaolazimisha uchitaaa hawaoni mie bibi yenu aaaa china makuu na mtu kwa kweli na wala sitaki kuona shari kati ya mtu na mtu.
    naombeni munipigie kura ili nichinde kwenye chindano la bibi bomba haya Tukinaoooooooooooooooooooo
  • Tukinaoooo wa Bibi Bomba

    Tukinaoooo wa Bibi Bomba

    06 August 2012 at 15:55 |
    ila jamani tuchipende kukwaza watu naombeni tu tuendelee na mambo yetu habari cha kuwa na mabeef na watu wajinga wajinga wa low class kiukweli tunajishusha kabisaaaaaa
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 16:00 |
    ila kweli jamani embu acheni kabisa kuiongele humu maana leo by accident nimepita katika blog moja nusu nitapike sijui wau wengine wanafikiria kwa makalio kha!bitch
  • mama otieno

    mama otieno

    06 August 2012 at 16:31 |
    yes boss..not worthy [-O
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 16:41 |
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 16:52 |
    i hate to be controlled...so AM OUT!
    • Tajibeba

      Tajibeba

      07 August 2012 at 12:14 |
      you were never in by the way because you were and still anonymous.
    • Anonymous

      Anonymous

      07 August 2012 at 16:04 |
      OUT Salamabye
  • camila

    camila

    06 August 2012 at 16:53 |
    jamani hivi watu bado wanaendelea na hiyo tabia na wakati tumeshakubaliana tuachane nao....... wana u turn wote ni wastaarabu jamani,, tuachane na hizo blog za wengine... vitu vya humu vinatutoshaaa....
    • Anonymous

      Anonymous

      07 August 2012 at 15:25 |
      HAHAHAA LOL ETI VITA VYA HUMU VINATUTOSHA KUMBE TUKO VITANI DUH!!KAZI KWELI KWELI
  • MALAIKA

    MALAIKA

    06 August 2012 at 16:54 |
    sonya KWELI MANGE WANGU
  • MALAIKA

    MALAIKA

    06 August 2012 at 16:56 |
    cheers NAKUPENDAJE SASA.
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    06 August 2012 at 17:07 |
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    06 August 2012 at 17:09 |
    • c's mum!

      c's mum!

      07 August 2012 at 08:00 |
      lmao we nawe una vituko na hizo tutuni zako, lol! (twins wanaita kartoons tutuni) lol
    • Tajibeba

      Tajibeba

      07 August 2012 at 12:17 |
      laughinglaughing that kachase was meant for minessotta soRIP Minessotta
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    06 August 2012 at 17:10 |
  • toto ya kipare

    toto ya kipare

    06 August 2012 at 17:46 |
    Werawera........., i lyk ur confidence Mange, mwanamke kujiamin from ur head to the toe sio kujishtukia shtukia as if u stole somebody's husband lol....inahusu?!! 2pe raha sie, wew unayejidai ku2letea vistory vyako vya kipuuz ishia hukohuko, 2meridhika na mastory ya Miami, NANI KANUNA!? NAN KANUNA?!!!
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 17:49 |
    cmum umeskiaaaaa????
    • c's mum!

      c's mum!

      06 August 2012 at 20:39 |
      naona ukilala unaniota! unikome, tena uzikomaze hizo akili zako kama nazi za msibani! hovyooooo!
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        07 August 2012 at 07:04 |
        Watu vinganganizi lol ! Honorable Minister of U-turn Home affairs achana naooooo hao wakina Ngomanagwe ...
      • Kachero

        Kachero

        07 August 2012 at 10:46 |
        hahahahahahahahaaaaaaa eti nazi za msibani watu wana maneno hahahahaaa..
      • Anonymous

        Anonymous

        07 August 2012 at 11:05 |
        heheee mtumwa wewe, yaani unavaa ugomvi wa wenzio kaa unalipwa bana. na JF nilikuona siku moja ulivokomalia kumsema dada wa watu.

        unless she has some kind of 'beef' na wewe, usipende kuingilia ya watu. ww kama fun wa humu stick to wat your boss Mange is giving your to chew. mwisho upoteze 'kibarua' chako...rofl!!shakebutt
        • c's mum!

          c's mum!

          08 August 2012 at 08:26 |
          jiheshimu utaheshimiwa, sijawahi kanyaga hiyo forum kwa hao wavaa nadera, na sina mpango! jamani nikomeeeeee, mbona umekuwa mwanga, kunifuatilia nyuma kama fisi! mbona mi sina tym na mtu! nyama zako za chini!hovyooooooo!
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 17:54 |
    the way I hate the low life ownwers wa hizo blog Mungu ndo anajua.....I think its about time we wipe them from the face of Mr Earth...aaarrrggghhh no more them in our classy forum....viblog vya ushenziiiiiii hapana humu plsss.nono
  • baikoko

    baikoko

    06 August 2012 at 18:11 |
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 18:24 |
    Kweli mi ni mswazi ila mtaa wa pili a.k.a kuiga dot com ni mswaziiiiiiiiii hadi anakera yani ansonyesha live she is competing with u, as u said kuiga sio kubaya everyone anaiga in one way or another the best way is to acknowledge unaemuiga hapobhautaonekana mshamba. Plagiarism hadi kwenye blogs lolest
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 18:42 |
    khaaaaaaaaaa.....kazi kwelikweli, eti blog ya ushenzini
    • Afro-Mdhungu

      Afro-Mdhungu

      06 August 2012 at 21:01 |
      Ulikuwa hujuwi...laughing
  • diva la washamba

    diva la washamba

    06 August 2012 at 18:51 |
    We ndo shamba aka diva la washamba aka mswazi.. na audience yako yote ya kiswaz.com. hakuna hata cha maana humu, kazi majishauo wenzenu wamekazana ku win olympic nyie mmekalia majungu na kujishaua sijui mko juu, sijui nini wakati nchi yenu iko kumi bora kwa umaskin dunian. fyuuuuuuuuuuuuuuuu wa tz bado bongolala sana.
    • kitumburee

      kitumburee

      07 August 2012 at 08:52 |
      AS IF WEWE SIO MBONGO.dontbebitchy
    • BEAUTIFUL

      BEAUTIFUL

      07 August 2012 at 09:11 |
      naona ndo unaamka .haujambo habari za asubuh??? itakua tabu kuelewa mjini kunani .so kosa lako
    • Mshamba

      Mshamba

      07 August 2012 at 10:43 |
      Mimi sikatai kwamba ni mshamba na umetuita bongolala (watz bongolala), sasa wewe kama hupendi vyote unavyovisema kuhusu hii blog, unafanya nini huku?
    • Tukinaoooo wa Bibi Bomba

      Tukinaoooo wa Bibi Bomba

      07 August 2012 at 11:42 |
      heeee binti jinangalie eeeeh! sasa kama nchi masikini ndo ulitaka aanze kulia au???
    • Tajibeba

      Tajibeba

      07 August 2012 at 12:21 |
      thant includes you idiotkissmyass because your mazafanta no business to our mazaandfazafanta miami blog
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 19:16 |
    NOW YOU ARE TALKING LIKE A MBA GRADUATE!!

    Mama. M
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 19:20 |
    Na wewe acha upuuzi kuita wenzio wa ushenzini.grow up gal kuwa na respect.kumbuka mawaziri wako ndio walianza kuchokoza hz blog nyingine
  • Kijaruba

    Kijaruba

    06 August 2012 at 19:33 |
    Watu mnazunguruka kama pia, lakini ndio mambo ya mjini kote kote mpo na wala hamgombwi ila ya ngoswe muachieni ngoswe. Na huyo Csmum sijui kwanini mnamuonea wakati mnakwenda huko nyie wenyewe mnabeba ya huku mnayapeleka kule, kisha mnayabeba ya kule mnayaleta huku. Kazi yenu kubwa kucopy majina ya watu wa humu kisha mnacomment. Nafikiri hili la watu kutumia majina humu linawachoma sana, si na nyie tungeni majina yenu? Hamjiamini nini mngekuwa mnajiamini mngejiwekea majina yenu. Acheni uchonganishi, eti mawaziri ndio wanakwenda huko, mie sio waziri wala sina status humu nilijipa mwenyewe ujumbe wa nyumba 10, just for the sake of having fun. Lakini naona hii ishu ya mawaziri imekuwa serious utafikiri kuna election au selection ilitokea kumbe ni just kuchangamsha baraza na kuhave fun.

    Haya seriously mwenye kutaka hili jina langu na alichukue maana mmezidi sasa au kama mtu ana tatizo hawezi kutunga jina semeni niweke list ya majina hapa kila mtu achague lake. Na huu ujumbe wa nyumba 10, mtu mwingine akitaka na yeye aweza pia mjumbe wa nyumba 10 after all kwenye mji mmoja kunaweza kuwa na wajumbe wa nyumba 10 hata mia; nothing special!!

    The problem of TZs you dont know how to have virtual lives, virtual fun, you take everything seriously by the book; ujamaa mbaya kila kitu mnataka mfanane mpaka sura kama wachina!!
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      07 August 2012 at 03:17 |
      • c's mum!

        c's mum!

        07 August 2012 at 08:23 |
        naomba kujiunga nanyi kwenye cheerspopchampgnecheers lol!
        • muke ya jaluo

          muke ya jaluo

          08 August 2012 at 10:11 |
          NA MIMI PIAcheers
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      07 August 2012 at 07:10 |
    • Tukinaoooo wa Bibi Bomba

      Tukinaoooo wa Bibi Bomba

      07 August 2012 at 11:49 |
      Kijaruba nimekupenda bureeeeeeeeeeeeeeeeeeee
    • Kijaruba

      Kijaruba

      07 August 2012 at 15:17 |
      Tena ni heri kwenu mkaacha kukoment mkawafanya wenzenu kama vile wana ugomvi, mtakuja shangaa mkikuta kumbe ni jamaa au ndugu kwenye clan. Acheni hamsikii? Ila lile la elimu wangu naona lilikuwa kali Masters ya miezi 6 mhh!! No wonder tumepigwa ribit tusiseme kitu.

      Now coming back to the ones who need names or virtual names, here is the list

      1. Jalada
      2. Jaladia
      3. Kopi kopi
      4. Kwapu
      5. Kichuna
      6. Mchuchu
      7. Totoo ya ... (utajaza mwenyewe unayemtaka awe baby yako)
      8. Kichwa maji
      9. Kifyagio
      10. Kishada
      11. Mapigo
      12. Kisonoko
      13. Binti Majivuni
      14. Binti Majivu
      15. Kafa Ulaya (Mtumba huu)
      16. Kijini
      17. Muwasho
      18. Bukedde
      19. Kikunio
      20. Mucky
      21. Amata

      Haya tumieni hayo majina kucoment, mkitaka majina ya kizungu pia naweza kuwawekea lakini itabidi mnilipe!!
      • Mshamba

        Mshamba

        08 August 2012 at 09:22 |
        You are absolutely crazy and you have absolutely made my day with your choice of names!
      • Sensitive Samurai

        Sensitive Samurai

        09 August 2012 at 15:24 |
        waves KIJARUBA SIKUONA HIIlol
    • Newbie

      Newbie

      07 August 2012 at 15:39 |
      hakunaga brain kama yako kijarubalicking
    • mie

      mie

      08 August 2012 at 12:59 |
      c's mum alikuwa kila aki-comment lazima aongelee ya jirani. kwakweli alituchosha.
  • Husband snatcher

    Husband snatcher

    06 August 2012 at 19:37 |
    M new here.....sperm
  • MSEMAKWELI

    MSEMAKWELI

    06 August 2012 at 20:09 |
    Mange na wewe ueleweki,wewe ndio uliokua uanawaambia watu story za mtaa wa pili waje ku comment huko,mara ghafla oooh sitaki story za mtaa wa pili au watatu mzilete humu what's wrong with you? I used to be:mangefan: lakini sasa i'm out this is bullshit, I don't wanna deal with retarded people!!! MWANAMKE UNATUENDESHA KAMA GARI BOVU BWANA PLEASEEEEEEE!!
    • Queen Nzinga

      Queen Nzinga

      07 August 2012 at 06:23 |
      Hata mm namshangaa...atatupangiaje maisha???? Mwishowe atatuambia tulale na mabwana zetu saa ngapi. This is just a blog my dear..do not sweat small stuff. Naingia blog nayotaka na na comment blog nayotaka
      • Anonymous

        Anonymous

        09 August 2012 at 21:36 |
        sure
  • Afro-Mdhungu

    Afro-Mdhungu

    06 August 2012 at 20:49 |
    Nimeipenda iyi saaaaana:" mi naona kama wao wanapenda kuonekana wana ugomvi na mimi sababu wanakuwa wamepanda chati ila kwa mimi kuonenaka na ugomvi na uchafu kama ule ni aibu kwangu sana tena sana"
    Yaani that's so true...Ku iga kawaida lakini ku iga mtuu hupendi inamaanisha nini???? I hate those vultures yaani wamekaa ku iga mtu alafu hawam'respect???!!! Mambo gani hayo? Kama siwhitch !!! Wana tiya nyumba ya vacation ya Beyonce eti na wawo mansion....thumbs down wanawaza kila mtu mjingalmao awo ni wa COPY CATS.
    I always said that:" PUNDA UKIMPA THAMANI ANAWAZA AMEKUWA FARASI".THEY ARE UR NUMBER ONE FAN just frustated fans. Wana penda iga haya wa ende waka MIAMING tuone!!!Roho ya tama na ya wivu inageuza watu kuwa WEHU. they are fool, nonsense peaple. They dream while u're living ur life...stress zita uwa wengi mwaka huu...HAHAHAHA
  • cockburn

    cockburn

    06 August 2012 at 20:53 |
    mange hao wajinga wanaiga majina, sasa kama hutaki tucomment ni sawa pia. ila kaa ukijua wanaingia humu na kusoma comment then wanaenda kujifanya wao ndio kina cockburn. nilishakwambia watachafua hali ya hewa. ukiamua kunipoteza ni poa pia kwani hakuna ninachofaidika kuja humu na kucomment, naweza kuwa msomaji tuu inatosha.freedom
    • Muke Ya Albino

      Muke Ya Albino

      07 August 2012 at 08:26 |
      Thats very true Cockburn, maana hata jina lako jipya liko huko tayari!! me nadhani hii iwe ni mada ya mwisho kujadili mambo ya mtaa usokua na jina, wapili sijui wanne WATAJIJU... hebu jamani tuongelee mambo ya maendeleo sasa NAI NAI mama ushauri lete mada watu tujadili hapa na kupeana mawaidha mazuri mazuri sio kutukanana na kusutana huku tuko kisomi zaidi jamani naomba tusijishushe hadhi pasipo na sababueducation
      CEO naomba kutoa hoja
  • MRS SOLIS

    MRS SOLIS

    06 August 2012 at 21:07 |
    HAYA MAMA WAMEKUSIKIA.
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 21:15 |
    No comment.. because I do not even know where that mtaa wa pili na watatu ulipo. Hebu tuendelee tulikuwa wapi vile?


    Anonny Mom
  • Anonymous

    Anonymous

    06 August 2012 at 22:13 |
    hahahahahahahahahahahlmaowakuachegoodluckmangeukojuu
  • Byela

    Byela

    06 August 2012 at 22:15 |
    Mambo Mange,

    Uko juu,
  • bimkora

    bimkora

    06 August 2012 at 22:17 |
  • pacha wa mange

    pacha wa mange

    06 August 2012 at 22:45 |
    yani MANGE UMEJUAJE DADA YANGU, MIMI SIWAPENDI WALE WATU JAMANI, NA HASA HUYO MWENYE MASTERS KAMA YAKO HUYO TENA SISI WANA UTURN NDO TUMEMPANDISHA CHAT,MANAKE HATA HIZO COMMENT ZINAZOJAA KWAKE NI ZA WANACHAMA WETU, YANI MANGE KIMAMBI WE SIZE YAKO NI MWAMVITA SIO WACHAMBIA MAJANI HAWA UNAOWEZA KUWALISHA NA KUWAVISHA KWA MIAKA YAO YOTE ILIYOBAKI DUNIANI
  • nitaharisha kesho

    nitaharisha kesho

    06 August 2012 at 23:02 |
    lmao napita tu na haka kaujumbe kangu...

    DIAMOND
    Jamaa alianzia kwa Rehema Fabian, wakafuatia Pendo Mushi wa Maisha Plus, Jacqueline Wolper, Natasha, Wema, Jokate Mwegelo na sasa yupo kwa Wema tena
  • tigo pesa

    tigo pesa

    06 August 2012 at 23:05 |
    igaufe jamani hujakosea ushenzini blog ni kunakera balaa yani mmm jamani me sitaki kusema sana ila blog yako mange ni number 1 yani isipofunguka hata dakika 1 huwa naumwa
  • Anonymous

    Anonymous

    07 August 2012 at 00:10 |
    Good for U mange afadhali umesema, it was really degrading ur blog, dumbness was starting to crow to ur blog, hata km ni ufan bt it dont hurt to try and be a lil smart once in a while!, haipendezi kwa homeplace ya blog kuwa Miami then commts views za matakono.

    Yummie! yummie! Ah! Miami!MJ
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    07 August 2012 at 02:13 |
    C's mum wapi wewe??
    • c's mum!

      c's mum!

      07 August 2012 at 08:45 |
      blowkiss nipo my dear! mzima wewe?
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    07 August 2012 at 02:15 |
    with all what you wrote CEO watu lazima waheadshotdead
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    07 August 2012 at 02:15 |
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    07 August 2012 at 02:32 |
    Hmm uko ushenziniii they use MANGE BLOG'S MAWAZIRI NAMES HALAFU HUKU WANAFIKIRIA KAMA THEY GO COMMENT KULE PLZZZ YOU GUYZ UNDERSTAND KWABA,THERE IS USWAHILINI SO THEY CAN DO WHATEVER JUST TO MAKE THING FALL APART WHICH WILL NEVER HAPPEN "I LOVE THE CONFIDENCEceo " ....NAWACHUKIAJEEE SASA,mangeblogcheers
  • Someone's Princess

    Someone's Princess

    07 August 2012 at 07:29 |
    jamani CEO jina langu hilo naomba usajili kabla halijaporwa pia ili niweze weka picha.
  • space

    space

    07 August 2012 at 08:06 |
    well saidteammange
  • muke ya jaluo

    muke ya jaluo

    07 August 2012 at 08:13 |
  • BEAUTIFUL

    BEAUTIFUL

    07 August 2012 at 08:25 |
    Yap ila mjue wadau wa Mange kule mtaa 100000 kuna watu wanatumia majina ya watu humu ndani ili kuleta chuki .blowkisskubwa mimi kuna siku nimekuta mtu katmia jina langu.pia kuna c's mum,koku na mengine.kitu ambacho si kizuri.kwa ukweli huuku kwa Mange tupo juuu tukae na yetu ili wapate timua vumbi kutupata
  • HUNIJUI SIKUJUI

    HUNIJUI SIKUJUI

    07 August 2012 at 09:00 |
  • KADADAA

    KADADAA

    07 August 2012 at 09:51 |
    mukeya hahahahaaaaaaaaaaaaaaa asante kwa hili
  • KADADAA

    KADADAA

    07 August 2012 at 10:05 |
    teammange MIMI NAKUBALIANA NA WEWE CEO WETU % ILA NINA KUSHAURI KIDOGO KAMA IFUATAVYO :ILI KUKOMESHA HILI SWALA > 1.NASHAURI TUBADILISHE MADA UWEKE ZILE POST ZA WATU WANAOOMBA USHAURI KAMA ZAMANI LABDA MTU AMEUMIZWA AU MTU ANATAKA KUFANYA BIASHARA ILI AJIONGEZEE KIPATO AANZEJE ,TUFAFUTA WACHUMBA etc.

    2.PIA KAMA KUNA MWANAMKE AMEJIWEZESHA NA AMEFANIKIWA ATUPE NA SISI NJIA ILI TUCHANGIE AU TUIGE

    3.KAMA UNA KITU UNAWAZA UNASHINDWA KUTOA MAAMUZI LILITWE HAPA TUCHANGIE YAANI VITU NI VINGI SANA VYA KUDISCUS HUMU NA VIKATUSAIDIA WANAWAKE SISI MAANA NAAMINI NDIO WENGI HUME KULIKO WANAUME.

    4. LABDA MTU ANATAFUTA CHUO GANI KIZURI AU SHULE ZA WATOTO WETU VITU KAMA HIVO TUBADILI MTAZAMO KIDOGO KUNOGESHA GENGE LETU LA STRESS JAMANI MAANA HUMU NDIO KILA KITU .

    5. USISAHAU KUTUWEKEA VITU VIZURI ZAIDI VYA MIAMI KUTUTOA MATONGOTONGO TULIO WENGI CEO WE LOVE U FOR REAL.AU VIPI MAWAZIRI WENZANGU?remebereducation nahakunaga kamamangeblog
    • Mshamba

      Mshamba

      08 August 2012 at 15:09 |
      Kadadaa una point nzuri sana lakini hawa u-turners akijiweka mtu kwamba yeye amejiwezesha mbona atatukanwa mtu mpaka utamuonea huruma jamani. Mange, yeye keshawazoea hawa watu na ameshakuwa na "thick skin" hata watu waseme vipi sasa hao wengine watakaowekwa humu ndani wanauwezo ya kuyaacha hayo matusi na maneno ya dharau na kejeli humu?
  • pamelii

    pamelii

    07 August 2012 at 10:14 |
  • responsible woman

    responsible woman

    07 August 2012 at 10:46 |
    a bigblowkisskanuna hahaahhaah
    omg well said mangereza
  • Muke ya Muchina

    Muke ya Muchina

    07 August 2012 at 11:18 |
    Embu tukumbushane kwani yoooooooooteeeee haya yalianzia wapi, maana msianze kulaumu watu bila kufukiria yameanzaje???..argue au Mange alipokuwa Bongo, Enheeeee! alafu alafu ikawajeeee?on the phonemad halafu halafuchatterbox

    Msikose kuja Darajani kesho kuna futari za kichina made in Saudialaughingrolling on the floorrolling on the floor C'mum
  • Muke ya Muchina

    Muke ya Muchina

    07 August 2012 at 11:20 |
    C'mum unawakimbiza bila viatu lolchasechase
    • c's mum!

      c's mum!

      08 August 2012 at 08:34 |
      umeona eeeeee?? sijui wanga, wametumwa?? nawatapikahurl , wanikomeeeeeeeeeee!
    • Anonymous

      Anonymous

      08 August 2012 at 16:45 |
      Anawakimbiza bila viatu na kichupi chake na ramadhani yote hii. ka namuona. sasa hivi watapita hapo darajani uku vumbi likitimka.
      • Muke ya Muchina

        Muke ya Muchina

        09 August 2012 at 00:19 |
        Na wakipita daraji labda wasimkute mchina wangu atapa KARATEkaratekarate za nguvu hadi wasahau njia walotokea hahahahaa!! Ramadhani ikiisha baby ya mwarabu a.k.a c'mum naona bakuli mbili za uji wa ngukuuuuudrinkbeer , ntamuangaliajee mchina wangu siku hiyooohypnotizedhypnotized shurti jicho kurembuaaa!!
  • TIGHEST PUM PUM

    TIGHEST PUM PUM

    07 August 2012 at 11:24 |
    BORA UMESEMA MANGE.... INAKUSHUSHA HATHI NA KUKUWEKA ON THE SAME LEVEL AS THOSE SCUM.
  • jency

    jency

    07 August 2012 at 12:06 |
    mmmmmmmmheducation
  • BAM BAM

    BAM BAM

    07 August 2012 at 12:14 |
    HEHEIYAAAAAAAAAAAblowkissmangeblog
  • i love to diss yah

    i love to diss yah

    07 August 2012 at 12:50 |
    bitch PLEASE dont be such an attention seeking whore and give those other ?? Blogs?? air play here..chica you are gone make me move on to someting credible. This Shit here is just for our entertainment
    cheers
  • MAPENISHOW

    MAPENISHOW

    07 August 2012 at 14:52 |
    kenzoki hajambo?tulete story nyingine dont bother to tok about those pple is wastage of time,lov u mange u have a heart nilipenda ulivyokua unasaidia orphans ukiwa bongo.
    • Mshamba

      Mshamba

      08 August 2012 at 15:17 |
      Mange, how is Kenzo doing these two days? Has his puffiness gone down? I am hoping "tumbo nauuma" has stopped. Give us updates on his progress.
  • Anoy

    Anoy

    07 August 2012 at 15:14 |
    Mange mi nakupenda coz u r so open, kule mtaa wa pili yule ni chizi tena point of correction ile sio masters alionayo wenye nazo hawawi vile...Letspopchampgnecheersigaufe
  • Anonymous

    Anonymous

    07 August 2012 at 16:10 |
    Samurai says:
    August 7, 2012 at 8:44 am

    Ndio hao kina Asha Migiro tunashindana nao sisi hatupotezi muda wa kushindana na wauza matako kwa wazungu. Haya kawape taarifa na waambie kama sisi wa mashenzini alitujuaje wakati waarabu wa Pemba wajuana kwa vilemba
  • Anonymous

    Anonymous

    07 August 2012 at 16:12 |
    blogu za ushenzini na Sweden zipo..shame on you..super star myshakebutt
  • mpz

    mpz

    07 August 2012 at 16:19 |
    mimi mgeni humu,but mbona naona kama unawaburuza wasomaji wako kama gari bovu,hizi ni social networks tu kila mtu ana uhuru wake,kama hutaki funga blog soma wewe na mkweo na huyo mzungu pori wako
    • muke ya jaluo

      muke ya jaluo

      08 August 2012 at 10:22 |
      KILICHOKULETA NI NINI
  • Anonymous

    Anonymous

    07 August 2012 at 17:29 |
    yaani unataka kusema hii ya kwako ni ya masaki zaidi au? huwezi amini my hubby blocked u-turn kwenye my laptop anasema ni blog ya ugomvi na kusutana in other words ni ya ushenzini...so inabidi tu ni-access from work or nikienda kwa shosti wangu
    • muke ya jaluo

      muke ya jaluo

      08 August 2012 at 10:21 |
      HA HA HA AHA AHA POLE MDAU SASA KINACHOKULETA HUKU NI NINI WAKATI MMEO AMESEMA HUKU NI USHENZINI?????
    • Mshamba

      Mshamba

      08 August 2012 at 15:53 |
      Samahani anonymous kwa haya nitakayoyasema na siyasemi kwa nia mbaya lakini ni kutaka kupata uelewa zaidi. Inakuwaje mtu umeeolewa halafu mume anakunyima kuangalia kitu kwenye laptop yako mwenyewe? Hata kama ingekuwa sio yako binafsi si yenu yote kama mume na mke? Wewe hapo ni mtoto unayetakiwa kuangaliwa ni kitu gani cha kuangalia au cha kufanya au ni mtu mzima mwenye akili yako ambaye unatakiwa ujue kizuri au kibaya cha kufanya? Hii ni ndoa inayojumuisha watu wawili ambao watatoa uamuzi wa familia pamoja au ni mmoja tu mwenye nguvu na kuamua kila kitu cha familia? Nimejaribu sana kutafakari lakini sipati jibu nikasema labda uelewa wangu ni mdogo na wewe unaweza kunielimisha kwenye hili.
      • Kijaruba

        Kijaruba

        08 August 2012 at 19:49 |
        Hebu nipashe na mie Mshamba mwenzio niyajue. Maana ndoa za kibongo bongo zimenifanya mpaka nimekuwa spinster maana kila sehemu unasikia viroja vipya.

        Wengine tukisema ukweli huwa tunaonekana wabaya au tunataka kuvunja ndoa za watu, huyo dada yuko kwenye abusive relationship na mumewe ni bonge la abuser. Na anachokifanya huyo mume ni kumuabuse mkewe kisaikolojia, na yote hayo ni matokeo ya vicheni party hayo.

        Natamani nikifika bongo angalau muda mfupi nitakaokaa nifanye semina tena ya bure, tuongee na wanawake waseme why are they allowing their partners/spouses to abuse them physically and psychologically? Utakuta mtu hapigwi ila kila siku anaambukizwa magonjwa ya zinaa; hapigwi ila anaanyimwa haki zake za msingi kama mwanadamu. Je baadhi yenu mnapoolewa mnaambiwa kuwa ndio mwisho wenu kuwa na decision making? Nashangaa sipati majibu, labda humu mwaweza nisaidia majibu!!


        Heri mie nungayembe sijaolewa,
        • Mshamba

          Mshamba

          08 August 2012 at 23:36 |
          Kijaruba, kwa bahati mbaya siwezi kukupasha kwa sababu hata mimi sielewi kabisaaa haya yanaoendelea hapa. Kwangu mimi kuna tatizo kwenye hiyo ndoa (haya ni maoni yangu na yanaweza kabisa kuwa sio sahihi). Kama mtu unakatazwa kusoma tovuti fulani si ina maana pia hata kinachoonyeshwa kwenye luninga pia kinatakiwa kichujwe na mumeo anaweza kukukataza kukiangalia? Kama kwenye vitu vidogo kama hivyo kuna uangalizi wa namna hiyo, je kwenye vitu vikubwa kama hela na mali za familia, muda wa kurudi nyumbani unaowapa shida wanaume wengi inakuwaje? Sitaki kusema sana kwa sababu sitaki kumkwaza mtu na pia ningependa kusikia upande wake kwanza kabla sijaongea zaidi. Ningependa kumjulisha mdau hapo juu kuwa hili halijazungumziwa kiumgomvi bali ni kwa kubadilishana mawazo tu.
  • Husband snatcher

    Husband snatcher

    07 August 2012 at 17:59 |
    Mmmmh watu Mbona hamnikaribishi? Bas najikaribisha na kujipa cheo cha Deputy CEO, kha!!! CEO wetu uko juuuu:bottom line u turn blog uncomparablecheers
    • Mshamba

      Mshamba

      08 August 2012 at 09:58 |
      Tuliogopa kukubarisha kwa ajili ya jina lako ulilotumia.
      • Muke Ya Albino

        Muke Ya Albino

        08 August 2012 at 21:38 |
        Mshamba umetishajeeeeeee..... Yaani una manenoblowkiss
  • Ti  Vancouver

    Ti Vancouver

    08 August 2012 at 02:49 |
    Nakupongeza kwa hili najua ni njia ya kukataa malumbano. Ukiona mtu anakupekechua bila sababu jua kuna vitu umemzidi anavitamani.siyo mabinti wote wa mujini wanafurahia maisha yako kwani nao wanatamani lakini hawana bahati.

    Unajua mtu kama anakupenda akienda kule akikuta mtu kakusema vibaya anaona bora ajibu mapigo kwani hakuna blogu yeyote tz ina walinzi na wapenzi wengi kama hii. Na walikuwa wanafurahia kujibiwa ili nao waonekane wana comment nyingi. kuwapuuza ni njia nzuri ya kuwaua kimyakimya.
  • marikenge

    marikenge

    08 August 2012 at 23:33 |
    ha ha haaaa doooh nimekosa mengi kwa uchelewaji wangu. but on a serious note sijaons sababu ya sisi kugombana wenyewe kwa wenyewe.. Though kuna watu vishanshusa poo humu ndani nawavutia kasi tuu. Blog za ushenzini msiendeee jamanii. haaa bidada kazadi ashukuru mzungu kuleta weaving, laa si hivyo angeaibika na bichwa lake kama ngalawa. mscheeeew
    najipitisha tu mie
  • marikenge

    marikenge

    08 August 2012 at 23:33 |
    ha ha haaaa doooh nimekosa mengi kwa uchelewaji wangu. but on a serious note sijaons sababu ya sisi kugombana wenyewe kwa wenyewe.. Though kuna watu vishanshusa poo humu ndani nawavutia kasi tuu. Blog za ushenzini msiendeee jamanii. haaa bidada kazadi ashukuru mzungu kuleta weaving, laa si hivyo angeaibika na bichwa lake kama ngalawa. mscheeeew
    najipitisha tu mie
  • KADADAA

    KADADAA

    09 August 2012 at 10:19 |
  • TOTO YA KIPARE

    TOTO YA KIPARE

    09 August 2012 at 20:14 |
    KWIKWIKWIIII......MBAVU ZANGU MIE UWIII..... C'S MUM 2PE RAHA CE WENYE CHUKI WANUNE, MI NAKUPENDAGA WEW BAS 2, MANGE ANGEJUA UNAVYO2FURAHISHA LOL, UKIONA WA2 WANAKUTAJATAJA UJUE WANAKUPENDA THEN THEY WANT A WORD FRM U ILI DAY YAO IENDE VIZUR AU WANATAKA WAKUSHUSHE THEN WAPANDE WAO NAWAKAT HAWANA KISMART KAMA CHAKO, NAKUONA WEWE MWENYE CHUKI UNAVYOSONYA DOMO UMELIVUTA KAMA UMEIBIWA MUME
  • TOTO YA KIPARE

    TOTO YA KIPARE

    09 August 2012 at 20:52 |
    KWIKWIKWIIII......MBAVU ZANGU MIE UWIII..... C'S MUM 2PE RAHA CE WENYE CHUKI WANUNE, MI NAKUPENDAGA WEW BAS 2, MANGE ANGEJUA UNAVYO2FURAHISHA LOL, UKIONA WA2 WANAKUTAJATAJA UJUE WANAKUPENDA THEN THEY WANT A WORD FRM U ILI DAY YAO IENDE VIZUR AU WANATAKA WAKUSHUSHE THEN WAPANDE WAO NAWAKAT HAWANA KISMART KAMA CHAKO, NAKUONA WEWE MWENYE CHUKI UNAVYOSONYA DOMO UMELIVUTA KAMA UMEIBIWA MUME
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    09 August 2012 at 22:57 |
    Dih! Cmum msukule wa ukweeee unasuta balaaaa,,,halafu mamisamiati tu sijui manyimbo ya taarab hehehe sijaelewa hata mstari mmoja next time jus use simple swahili baby ya Marichui usijitoe ufahamu na maneno makubwa makubwa,BTW nilikuwa na wazo,,,Oi baby kwanini tusimpe Cmum urais wa miskule anafaa sana siumecheki verse alivozishuka hehehe Cmum aka rais wa mipasho na misuto uturn aka rais wa miskule ya Miami baby help!heeelp,,,let me go watch racing Usain Bolt n Yohan Blake are my on n they are ma favorite hey cmum try watch Olympic sometimes n refresh mind
  • Anonymous

    Anonymous

    08 August 2012 at 15:52 |
    blowkiss yutana muasisi
  • Anonymous

    Anonymous

    08 August 2012 at 16:00 |
    ahami mtu yoyote umu ndani. nazani we mwenyewe wajua kama once u r in here its hard to get out. wote humu tuko addicted kama wewe. sasa mambo ya kuhama blog yametokea wapi? unataka tuhame ili iweje..tutabanana humu humu adi kieleweke ..ka kuhama uhame wewe na ujibebe mbele ya safari kama jina lako..chase
    • Anonymous

      Anonymous

      09 August 2012 at 17:04 |
      mange hii comment yangu nilimjibu marichui sehemu fulani uko juu. mbona imekuja kujitegemea hapa chini?..kweli kuna haja ya kurudisha uturn ya zamani..
  • Chaunabe

    Chaunabe

    09 August 2012 at 00:05 |
    MWAMBIE HUYO CEO WAKO AZUIE COMMENTS. WE ARE JUST HAVING FUN HERE HATA AKIZUIA SISI SIO KAMA WEWE UNAEISHI KWA BENEFIT NA UNATEGEMEA KUOMBA OMBA HEHEEE HEIYAAAAA!! MALKIA AKIKASIRIKA AU OLYMPIC IKIISHA MSAKO NYUMBA KWA NYUMBAlaughingchase WAPI MJUMBE WA NYUMBA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA UTURN. TUNAKUGONJEA TUKALE MIHOGO COCO BEACH. NYIE NDIO NGURUMBILI MKO HUKU NA HUKU. NYUMANI WAKE/WAUME MKITOKA WAKE ZA WATUsillysilly TUPISHE SIE HUKOO
  • Chaunabe

    Chaunabe

    09 August 2012 at 00:05 |
    MWAMBIE HUYO CEO WAKO AZUIE COMMENTS. WE ARE JUST HAVING FUN HERE HATA AKIZUIA SISI SIO KAMA WEWE UNAEISHI KWA BENEFIT NA UNATEGEMEA KUOMBA OMBA HEHEEE HEIYAAAAA!! MALKIA AKIKASIRIKA AU OLYMPIC IKIISHA MSAKO NYUMBA KWA NYUMBAlaughingchase WAPI MJUMBE WA NYUMBA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA UTURN. TUNAKUGONJEA TUKALE MIHOGO COCO BEACH. NYIE NDIO NGURUMBILI MKO HUKU NA HUKU. NYUMANI WAKE/WAUME MKITOKA WAKE ZA WATUsillysilly TUPISHE SIE HUKOO
    • MIE

      MIE

      09 August 2012 at 07:00 |
      Yaani sio tu azuie cmmnt zetu afunge kabisa na blog awe ana text msg tu na mtoto wake, anajidai wa maana. tuje kula mihogo coco beach na urojorolling on the floor Olympic ikiisha...................!!!????????birthdaydance
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    09 August 2012 at 02:30 |
    thumbs down its not funny!
  • u turner muasisi

    u turner muasisi

    09 August 2012 at 07:45 |
    c's mum a.k.a. RIP bado umo tu,huachii bibi wewe
  • c's mum!

    c's mum!

    09 August 2012 at 08:37 |
    mwarabu koko, lakini alishafira ukoo wenu huna taarifa? tugombane mimi na wewe achana na mume wangu hapa, maanina zako bby ya mange! umkomeeeeeeee mume wangu!
    • muke ya muchina

      muke ya muchina

      09 August 2012 at 09:22 |
      hypnotizedhypnotized Mama wawili nimeoda uji wa kuku bakuli mbili baada ramadhani shemeji yako mchina anataka anione babya yake jicho jicho bibii wewee sio akina mwafulani kunya barazani kuchamba kwa jiranichatterbox loool! nitakulipa madorali sio za kichina wapi wajumbe na madiwanimangeblog
    • muke ya muchina

      muke ya muchina

      09 August 2012 at 09:23 |
      hypnotizedhypnotized Mama wawili nimeoda uji wa kuku bakuli mbili baada ramadhani shemeji yako mchina anataka anione babya yake jicho jicho bibii wewee sio akina mwafulani kunya barazani kuchamba kwa jiranichatterbox loool! nitakulipa madorali sio za kichina wapi wajumbe na madiwanimangeblog
      • c's mum!

        c's mum!

        09 August 2012 at 17:18 |
        nitakuja my dear! watu wengine naona walizaliwa kwa bahati mbaya, na wanaishi kwa makusudi! ndio kubwa tatizo! malabuku zao!
  • c's mum!

    c's mum!

    09 August 2012 at 08:41 |
    wewe ushasengenyeka hata kwenye chujio hukwami! mrahisiiiiiiii, mteremko kuliko kitonga! eti bby ya mange original, peleka ufirauni wako mbele huko! nimekuwa kimya muda mrefu, nakuona unanichokonoa kupita maelezo, hayawani we! tena achana na mimi kabisa, akili zimekomaa ka nazi za msibani! majinuni we!
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      10 August 2012 at 02:40 |
      Dih! Cmum msukule wa ukweeee unasuta balaaaa,,,halafu mamisamiati tu sijui manyimbo ya taarab hehehe sijaelewa hata mstari mmoja next time jus use simple swahili baby ya Marichui usijitoe ufahamu na maneno makubwa makubwa,BTW nilikuwa na wazo,,,Oi baby kwanini tusimpe Cmum urais wa miskule anafaa sana siumecheki verse alivozishuka hehehe Cmum aka rais wa mipasho na misuto uturn aka rais wa miskule ya Miami baby help!heeelp,,,let me go watch racing Usain Bolt n Yohan Blake are my on n they are ma favorite hey cmum try watch Olympic sometimes n refresh mind
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 17:07 |
    ile comment ilitakiwa kuwa hapa..nashangaa iko ukooo chini khee
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 17:12 |
  • Anonymous

    Anonymous

    09 August 2012 at 17:15 |
    blowkiss you passed gas, damn it smells umekula nini we mwanamke kha!!!