27July
IFTAR @ LINCOLN ROAD MALL....SOUTH BEACH - MIAMI
Kenzo and mommy @ lincoln road, south beach...
Mustapha Hasanali's Ramadhan Collection 2012......luvs it....
so many people on this road....cant wait to be here after Ramadhan.....This place is awesome......
Da Zenat and Kenzoki....
Mammy and Da Zenat having IFTAR and baby Kenzo akitusaidia kula....lolest....
Ramadan Kareem waislamu wenzangu.........












Comments (111)
c's mum!
ngosha
c's mum!
DESPERATE HOUSE WIFE
Anonymous
Anonymous
c's mum!
muddy washington
Kenzo mzungu naona hachezi mbali na kitu cha ftari utadhani mfungaji kweli,kumbe ni ile ya kufunga kichina
c's mum!
Anonymous
Angel Afro-Mdhungu
Anonymous
tonga
Anonymous
maudodo
parrot
parrot
maudodo feki plasi plasi
maudodo feki plasi plasi
Angel Afro-Mdhungu
Anonymous
m a r i c h u i
m a r i c h u i
valuvalu
Anonymous
muke ya jaluo
Mtu
Jessa
c's mum!
Anonymous
Mange wewe muslim vaa kama muslim ach u-modern!! mpe Mungu japo huu mwezi mmoja katika mwaka mzima.
Amekupa mengi na inshaAllah atazidi kukupa mengi, basi nawe mpe mwezi mmoja tu kama shukrani.
That is not Hijjab
Anonymous
If Not Why Not.
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
shem anashabahaaa mbona kama kitu na box?
chezea texan man..kudadadeekiii
c's mum!
siffah
Super model
Nai Nai
KIRUUU
BEAUTIFUL ONYINYE
BEAUTIFUL ONYINYE
Anonymous
Anonymous
koku
kuntuafro1
killer queen
SAPRAPASEN
ndebi
ndebi
MARINYAU
Kenzo's grandmaa
Benn Haidari
Annonny
Anonymous
mjuaji
c's mum!
Anonymous
Anonymous
c's mum!
Anonymous
baby ya Mange
MISS U TURN
Onyinye
Angel Afro-Mdhungu
ney
Butterfly
anoni fan
angevaa full ushungi na kujifunika kama ninja,ninauhakika bado wangelalamika kua ooh unamdanganya tu Mungu kila siku unavaaga kimalaya!!jamani, mwacheni mtu na maamuzi yake God only is the one to judge!!utakuta wanaojifunika hadi kucha ndo kwanza waovu zaidi wanaegesha tu badala ya kufunga!!it should come from the heart and i'm sure God knows who's meaning it from the heart!!
happie
Muke ya sharobaro
CSA
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Kijaruba
Nianze na weaving, kiufupi haziruhusiwi siku zote tu na si Ramadan peke yake; watu wanaweka kibishibishi tu. Isitoshe kama unalala na mumeo kila siku je unazikosha unapokoga janaba?
Kucha za kubandika ni yale yale; na rangi pia maana utakapotaka kuchukua udhu ili usali maji hayatafika. Ila kwa siku zile ambazo huwezi kusali kwa sababu ya mp waweza kupaka rangi ili mradi ukimaliza uzitoe kabla ya kuoga.
Waweza kusuka kwa uzi au kupaka rangi yoyote unayoitaka kwenye nwele zako isipokuwa rangi nyeusi pale unapokuwa na mvi!Na kufunika nywele ni siku zote si ramadan tu.
DESPERATE HOUSE WIFE
Anonymous
Kama mie Muongo wewe tafuta yale madhehebu bado hawajachakachua uone, au waangalie wasouth amerika tena utawaona wakatoliki na mashungi yao. Mie mwenyewe nishaganunua zile hijabu fulani za lesi lesi kibao kupeleka huko kwa marafiki zangu kipindi fulani.
Na wayahudi wao siku hizi badala ya kuvaa vilemba wamemodernize wanazifunika nywele zao kwa mawigi.
Amina
Amina
Toronto
papino
HITILAFU
mie nakupenda sana maisha yako lakini hapo umeharibu.acha kujishoo kuwa unafunga wakati unajua kabisa kuwa hujakamilisha masharti,hilo tuu.
Kijaruba
Halafu nijuze kufunga kwa mtu kuna uhusiano gani na futari? Au nyie ndio wale waislamu design ya siwezi kufunga sina wa kunipikia futari? Kwa taarifa yako kubwa ni kufunga tu, na kufungua ni maji au tende au maziwa, kile kitu mtu anachokula mwanzo basi. Hicho ni chakula tu kama mlo mwingine wowote na sidhani kama Mungu atamjaji kwa kula chakula baada ya kumaliza kufunga, bali atamjudge kuhusu matendo yake na ukamilifu wa saumu yake. Kwa mfano kama wewe ni muislam na ulikuwa umefunga leo itabidi uilipie!!
Mshamba
Anonymous
mama otieno
Anonymous
Anonymous
Kijaruba
Sasa kwa mfano mtu mwingine kwenda Marekani mpaka usubiri msafara wa serikali upate tiketi ya bure au ya kuhonga kwa bei ya chini; mwingine mpaka uzichange weee ndio uende utaacha kutokwa na maneno!!
Kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo eeh jamani!!
Anonymous
Mshamba
Anonymous
Anonymous
mama t
muke ya kibabu
Kijaruba
Huko atawaona mpaka watoto wakubwa wazima miaka 5 wako juu ya siturola!!
Anonymous
Mshamba
Jazline
Anonymous
Anonymous
mammy joseph
mchaga