23July

RAMADAN KAREEM

 

NOW THAT IM DONE WITH THE BAPTISM NA NIMESHAFIKA KWANGU NAUANZA MFUNGO RASMI....

 

POLENI KWA MTAKAO BOREKA, NO BATA FOR ME FOR THE NEXT 1 MONTH NI KUFUNGA NA KUSWALI TU....

 

RAMADAN KAREEN WAISLAM WENZANGU.....

Comments (167)

  • Muke ya sharobaro

    Muke ya sharobaro

    23 July 2012 at 09:47 |
    Inshallah Mwenyezi Mungu azidi kukuzidishia Mange!Ramadhan Kareem nawe pia Mange Pamoja na U Turners wotee..Salaat na Sadakat muhimu kwenye mfungo huu.Ya Allah pokea dua zetu na funga zetu wote wana uturners.Amina
  • maudodo

    maudodo

    23 July 2012 at 10:30 |
    hurry up! Sawa mange no bata basi tupostie japo futari zako tuu na maabaya tafadhali, life bila uturn cjui litasongaje walaahi
    • maudodowayue@gmail.com

      maudodowayue@gmail.com

      23 July 2012 at 23:10 |
      naona umekazana kutumia jina la mwanaume hahahaaaa.....swaumu maqbul mange
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    23 July 2012 at 10:38 |
    All the Best ..Mfungo Mwemaprayingprayingprayingpraying [-O
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 10:45 |
    kabisa mange hakuna zaidi ya kumshukuru mwenyezi mungu kwani yeye ndie muweza wa kila kitu mshukuru mungu kwa kila jaala. mungu akuzidishie akuondoshee husda na hasad.
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 10:49 |
    Mange kuna mtu anakuwekea picha na post u turn au ni wewe sababu kwanza nakupa pongezi una nguvu kama ni wewe mwenyewe ndio unafanya hii kazi, unalala late sana na early in the morning uko mitaani unawezaje maana saa hizi ni saa nane za usiku Usa na unatuma posti. Mmmh mwaya ndio mambo ya kuwa CEO....!!!!!ndio maana una maendeleo hongera .
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 11:04 |
    Kwani marekani ramadhani imeanza leo?
  • sweet

    sweet

    23 July 2012 at 11:05 |
    Mabrook Inshala Allah atujaalie sote na kutusamehe
  • PaRrOt

    PaRrOt

    23 July 2012 at 11:26 |
    Nakutakia mfungo mwema Mangeblowkiss , ila ftari ya pekee hainogi maskini polee, au dada Zenat nae anafunga?goodluck

    Sasa kuchangamsha genge uwe unatuwekea picha za mapishi ya maakuli utakayokua unajipikia ftari lol.

    Au utuwekee pics za Kenzo, hata akiwa anacheza tu tumuone, sio lazma za bata. soon unampeleka play group watamkoma wa huko wataitwaje BAYAAAA HEHEHE
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 11:35 |
    blowkiss kwa mambo uliyofanya na ukichanganya na kufunga Inshaaallah Allah atakupa daraja! Mwenyezimungu akutangulie katika funga yako. najua watakao sema anafunga nini yuko na mwanaume mkristo. Mungu ndiye anayejua ndani ya nafsi zetu.
  • Mama Lisa

    Mama Lisa

    23 July 2012 at 11:44 |
    Haya mama.. ila usipotee humu.
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 12:17 |
  • asya

    asya

    23 July 2012 at 12:24 |
    RAMADHAN MUBARAQ!!INSHALLAH MWENYEZ MUNGU APOKEE DUA ZETU KTK MFUNGO HUU WA MWEZ MTUKUFU WA RAMADHAN.....SWALA NI MUHMU KTK MWEZ HUU RAMADHAN.
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 12:26 |
    goodluck kwa mfugo we gonna miss ur blg dia
  • MISS U TURN

    MISS U TURN

    23 July 2012 at 12:56 |
    mange AMEEN NA MOLA ATUWEZESHE SOTE... LAKIN MANGE KM NDIYO UMEMBATIZA MTOTO KULIKIONI????????NADHANI UMESOMA MADRASA UNAJUA WHAT I MEAN..
    • Angel Mdhungu

      Angel Mdhungu

      23 July 2012 at 19:07 |
      Dunya! Ni hatari sana...
    • Jino kwa jino

      Jino kwa jino

      23 July 2012 at 23:49 |
      Narrow mind! Kunywaaa juice ya omo! Madrasa ndo inakupeleka kwa Mungu??? Minjitu mingine bwana!
      • If Not Why Not.

        If Not Why Not.

        24 July 2012 at 10:40 |
        Mi naona mpatie juisi ya upupu. Dozi kutwa mara 3. ashushie na maji ya betri kwa wingi. bralkenge.
        • siffah

          siffah

          25 July 2012 at 15:24 |
          @if not en jino kwa jina..................cjawah kuona watu wajinga kama nyinyi.dear mange endelea na moyo huo huo mungu atakuzidishia
    • Anonymous

      Anonymous

      24 July 2012 at 18:39 |
      LALA MBELE KULE..HAJUI WHAT U MEAN..KINAKUUMA KUBATIZA MTOTO HALAFU SIO MTOTO WAKO SASA..TUTOKEE NA UNAFIKI WAKO HUMU..SPEAK FOR URSELF YA WENGINE WAACHIE WENYEWE..ANZA KWANZA NA KUTOA MISAADA KWA YATIMA SIO UNABUGIA TU VYAKULA KIVYAKO NA FAMILIA YAKO..
  • Kijaruba

    Kijaruba

    23 July 2012 at 13:00 |
    Ramadhan Kareem, wote humu ndani, bora mwaya tufunge kwanza, na tuheshimu mfungo otherwise watu watakuwa wanatukana humu ilhali wamefunga!!
  • koku

    koku

    23 July 2012 at 13:03 |
    mfungo mwema mange! utuswalie na sisi wadhambi..ila hata ukitoka we piga picha zihifadhi, mfungo ukiisha tuwekee tuu hatutashtukia kama ulienda kula wakati wa mfungo. lol...goodluck
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    23 July 2012 at 13:04 |
    RAMADHAN MUBARAK!! UNAFUNGA LAKIN AU NATEGEA???.......ISIJE IKAWA IKIWA PEKE YAKO NAPIGA MICOOKIES KIMYA KIMYA LOLS...MANGE HIYO DADA ZENAT NDO TAKUWA NALEA KENZO?????????
    • muddy washington

      muddy washington

      23 July 2012 at 19:43 |
      HIYO NDIO KUFUNGA KICHINA INAITWAGA BUT MUISLAM HUYU NAMUAMINIA ANATOKA KATIKA UKOO WA KISHARIFF PALE KAHE KWAO WOTE WAFUNGAJI WAZURI TU HASA DADA AMINA KIMAMBI,KUNA MWAKA NIMEWAHI KUWA NAE KARIBU ALMOST RAMADHAN NZIMA,HAFUNGI KICHINA ANAFUNGA KIKWELI KWELI,NA KILA KITU ANASIMAMISHA,YULE MUNGINE MREMBO ALIKUA NA DUKA PALE MWENGE NIMEMSAHAU KIDOGO JINA LAKE BUT NAE KIMAMBI PIA NI MFUNGAJI MZURI OR DADA ALMA KIMAMBI KIDOGO MTATA LAKINI AKIAMUA KUFUNGA NAE ANAFUNGA KIKWELI.

      INSHALLAH RAMADHAN KAREEM KWA BLOGGER NA KWENU WOTE
      • Anonny Mom

        Anonny Mom

        25 July 2012 at 15:31 |
        Utashangaa pengine sala za Alma ndio Mungu anazipokea.. inategemea anavyotubu. Ukitubu kwa dhati MUNGU husamehe saba mara sabini.

        But well said Muddy.. nia yako ni kuonyesha kwamba ni familia inayomwogopa Mungu.

        Mfungo mwema!

        Anonny Mom!
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 13:08 |
    Amaa humuogopi muumba kwa jinsi unavyojua kudhalilisha dini ya kiislam.ubatizo kisha sawm baadae hutudanganyi sie ia muumba.
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      23 July 2012 at 17:49 |
      Wote tuko chini ya Jua na wote ni Viumbe wa Mungu ...Dini ni utaratibu tu umewekwa Duniani so acha maneno ya Kipuuzi eheeee ....haikuhusu atinononononono
      • anonymous

        anonymous

        23 July 2012 at 19:56 |
        Acheni unafiki, kwani kuolewa na mkristo Mange wa kwanza? Na wengine mlioko mamtoni nguruwe kila sehemu mbona hamrudi bongo. Mnajilipua; unafiki tu
    • Anonymous

      Anonymous

      23 July 2012 at 21:18 |
      mnapenda sana kulalamika cha ajabu ni nn hpo na mungu ni mmoja?
      • l

        l

        25 July 2012 at 15:41 |
        nop....Mungu anayeabudiwa na waislam ni tofautikabisa na Mungu wetu Yehova,Mungu baba,Muumba mbingu na dunia,Alpha na Omega uliza ustaadhi yeyote atakwambia au maulamaa waliosoma quran mpaka ngazi ya juu kabisa......na ndio maana wanaojua wanashangaa Mange kumbatiza mtoto.....Kenzo yuko kwenye fungu bora zaidi.
        • Anonny Mom

          Anonny Mom

          25 July 2012 at 17:25 |
          Mange post za kinaa kama hii hapa nilikushauri usizipost. Unaposikia Blogger anachuja ni kwa sababu kama hizi. Wee unaruhusu tuanze kulumbana kidini kupitia familia yako ya kiislam na kikristo.

          Shetani atokomee hana nafasi U-turn. Mungu ni yule yule hakuna miungu wengi.!!!!!!
    • Jino kwa jino

      Jino kwa jino

      23 July 2012 at 23:46 |
      Nyie watu huwa mna matatizo sana, mbona hamjiamini???. Hamnaga upendo nyie watu ndo maana nchi zenu zinapenda kupigana ovyo. Mfyuuuuuuuu.
    • Mgeni

      Mgeni

      24 July 2012 at 09:45 |
      Ila nyie kwa kuhukumu wenzenu hamjambo, mie nashauri kazana kuswali kwa nafsi yako kwani kuingia peponi utaingia peke yako. Kwa nini u-rule out kuwa wenzio wanamkosea muumba ili hali unayasahau yote uliyofanya wewe kwenye uso huu wa dunia? What makes u think kwamba wewe humuongopei muumba kwa matendo yako? Au ndio yale ya kuchagua nini dhambi na nini si dhambi?
    • Anonymous

      Anonymous

      24 July 2012 at 18:32 |
      wewe ni nani kumuhukumu mwenzio? ungekuwa perfect usingeingia humu kabisaa..kilichokuleta humu ndani ni nini? wabongo tunapenda sana kuzidisha mambo lol..waarabu na waislam pure uko irak na israeli wanapitishiana vipigo saizi kwa raha zao bila kujali mwezi mtukufu wewe unatuletea pointless judgements zako..kapike ftari uko usije ukaachika baada ya ramadhan..haya changanya magulu..
  • muke ya jaluo

    muke ya jaluo

    23 July 2012 at 13:15 |
    all the best mange kwenye mfungo mwenyezi Mungu akuzidishie palipopungua.
  • mchaga

    mchaga

    23 July 2012 at 13:37 |
    yani sikujua kabisa kama mwislam. duhhhhhshower
    • muddy washington

      muddy washington

      24 July 2012 at 07:12 |
      una hakika unachoKINENA???
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        24 July 2012 at 17:44 |
        lmao NASTY MUDDY.. ETI UNACHO "KINENA" AFU UKA "TIA" MSISITIZO KWA HILO NENO....
        • muddy washington

          muddy washington

          25 July 2012 at 07:58 |
          Hamna Desperate,mwezi mtukufu huu mwanangu mwenyewe "Sijatia" wala nini,ni mzuka tu wa ku type nikajikuta nimeweka dole kwenye cap lock ndio yakaja hayo maherufi makubwa,but i meant alikua na uhakika na anayonena kwamba eti hakujua mama kenzo ni muislam!!!
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 14:35 |
    Ramadan Karim mama Kenzo
  • SAPRAPASEN

    SAPRAPASEN

    23 July 2012 at 15:15 |
  • Super model

    Super model

    23 July 2012 at 15:58 |
    Allah Ibarik InshaAllah Mwenyezi mungu atubariki tufanye ibada na kutoa sadaka kadri ya uwezo wetu... Ramadhan kareem Mange na wana U-Turn wote
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 16:09 |
    RAMADHAN KAREEM to u 2,I was worries about u if am honestly don 4get where u from wich made to be u r ryt now once again ramadhan mubarak
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    23 July 2012 at 16:22 |
    RAMADAN MUBARAK HUNNIE PIE.blowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 16:24 |
    NI VIZURI KUSALI DADA YANGU,ILA DA MANGE NAHISI UMEKOSEA SPELLING ZA RAMADHANI.
    • Jino kwa jino

      Jino kwa jino

      23 July 2012 at 23:55 |
      Hajakosea ila wewe ndo hujui kidhungu!
      • Anonymous

        Anonymous

        24 July 2012 at 16:59 |
        OKAY, WELL NOTED.
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 16:24 |
    swaum maqbul
  • Daisy Daniel

    Daisy Daniel

    23 July 2012 at 16:29 |
    mfungo mwema mamy
  • Mammu

    Mammu

    23 July 2012 at 17:14 |
    Ramadhan Kareem kwako pia, kila la kheri katika mfungo huu wa Ramadhan.
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    23 July 2012 at 17:46 |
    He kweli Mungu Mkubwa na Watu kweli Wanatubu Ramadhani hii Ahsante sitaharishaaaa kwa kuondoa Blog yako iliyokuwa inamsakama CEO Wetu.....Kwa hilo chukua tanothumbs upthumbs upthumbs up ...Karibu U-turn ...c's Mum. & uturners mmeona ?...waveswaveswaves no more ze nanihiii kulebirthdaydancebirthdaydance
    • c's mum!

      c's mum!

      23 July 2012 at 21:18 |
      mbombo ngafu! ramadhan ikiisha anarudisha!lmao
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        24 July 2012 at 07:03 |
        hahahahaah c's mum hiyo kali sasa ndio atakuwa kasali nini ? si kucheza na Mungu tu
        • Uturn Addict

          Uturn Addict

          25 July 2012 at 00:26 |
          cheers

          heeeeyyyyya got back my id mana nlivoanza kutumia pinky mhmmmm kama nilisahau;ika vileeee
        • maudodo

          maudodo

          25 July 2012 at 08:10 |
          c's mum, u turn addicdt, marichui name nimeweza kuweka kapicha kukomesha wezi wa majina ya watu...picha yangu ndo hiyo mahalatitooo mkiona MAUDODO hana picha mjue huyo fake hahahaa...tukutane kilimani sesamiii...c'mum na u turn addict inabidi tumpeleke marichui kule kwa joka mana cmuoni...
          • c's mum!

            c's mum!

            25 July 2012 at 18:14 |
            ukienda kule badilisha jina! anajipa kichwa sana kuona wa NASA tunatembelea TAZARA! LOL!
          • m a r i c h u i

            m a r i c h u i

            25 July 2012 at 23:22 |
            U turn addict huwa napitaga mara moja moja ila mimi sioni mvuto kule kabisaaaaa, kunaniboa fulani dizaini ....utoto mwingiii...watu tunamiaka 54 bado mmoja tudai NSSF Zetu !
      • ngosha

        ngosha

        24 July 2012 at 18:48 |
        c's mum jamani hyo pcha yako..... uuuuwiiii,,,,,,,, no comment shostie
        • c's mum!

          c's mum!

          25 July 2012 at 07:42 |
          nimekumisije bidada?? mbona sikusomi nowdays? lol! ni vijimambo tu, usishtuke wala nini!blowkiss
  • kuntuafro1

    kuntuafro1

    23 July 2012 at 17:54 |
    Mwezi mtukufu ni mwezi wa toba,kuwaomba msamaha waliotukosea na wote tuliowakosea. Tuombeana wapendwa Ramadan Kareem.
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 19:01 |
  • koku

    koku

    23 July 2012 at 19:10 |
    HIVI NYIE wambea inawahusu nini mange kumbatiza mwanaye!? hayo ni makubaliano ya wao wawili,yeye na mumewe for the sake of mtoto wao. hebu acheni ushankupe wa yasiyowahusu. tazameni picha,wekeni comment za kusifia au kukosoa,hayo mengine sio njia ya nyie kwenda mbinguni. IDIOTS!!kanuna
    • Muke Ya Albino

      Muke Ya Albino

      24 July 2012 at 08:21 |
      Umeona eeeeeh Koku! wanasahau matendo yako ndio yatakayohesabiwa siku ikifika, wanasahau pia Mungu wetu ni huyohuyo hizi dini ni majina tu tofautitofauti ila wote tunamwomba Mungu mmoja.

      Nawatakia Ramadhan Kareem wana U-turn wote wenye mapenzi mema. AMEN.
  • koku

    koku

    23 July 2012 at 20:11 |
    NA NYIE MNAOENDA KWENYE BLOG YA mtaliki WA MAC ANTHONY KUMTUKANISHA MANGE SIO COOL AT ALLhappy HEBU JARIBUNI KUMUEPUSHA DADA WA WATU NA HIZO SHARI NA MATUSI. NAJUA MNAMPENDA SANA MANGE,ILA MNAPOTIA VIJIMANENO HATERS NAO wanapata nafasi humo humo. kuweni wastaarabu eeh!!!
    • Mamaa Ims

      Mamaa Ims

      24 July 2012 at 10:11 |
      blowkiss Well said Kokublowkiss
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      24 July 2012 at 16:10 |
      omg nimepita leo huko jamani Cmum na wenzako u need to chill out bana halafu kunacomment nimeona mtu anatumia jina langu halafu cmum kafikiri nimimi eti sijui nini baby ya mwenyewe,,thats not me,halafu haipendezi tena kama mnakuwa mnacomment kwa j lo everytime na id zetu za uturn yani its like all commenters wa hapa mmehamia kule....haipendezi
      • c's mum!

        c's mum!

        25 July 2012 at 07:45 |
        got u luv, mi nimeacha jana! tena nimekoma kabisaaaaaaa, sitaki kuwaudhi ndugu zangu! ila kuna mtu anaitwa chantell, huyo ni kiboko, we mdada hebu tuliza munkari, lol! nilikuwa nimemiss ugomvi tu, sifanyi tena wallah, labda watuchokoze, lol! peace basi jamaniblowkissblowkiss
        • DESPERATE HOUSE WIFE

          DESPERATE HOUSE WIFE

          25 July 2012 at 17:24 |
        • kuntuafro1

          kuntuafro1

          25 July 2012 at 18:09 |
          Thank you C'S MUM kwa maamuzi yako ya kumsikiliza BABY YA MANGE na wengine ambao mnafanya hivyo it is so annoying please acheni haipendenz.
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        25 July 2012 at 17:22 |
        WELL SAID BABY YA MANGE!! NILITAKA KUSEMA THE SAME THING, IRONICALLY JANA NIMEJIKUTA NIMEENDA KULE,(KWA YULE MTUMZIMA ALIYE MBIKIRI MTOTO WA KIUME HAHAHAHHHA) NAONA SIKUHIZI AMEWEKA NA LIVE CHART HALAFU I GUESS HACHUJI COMMENTS, (SO DESPERATE KUPANDA CHART) NYIE UTURN ADDICTS NA BIG NAMES MSIENDE KABISA.. ACHANENI NAO. MJUE MNAOPOENDA ATAKAMA NI KUMTUKANA LAKINI MNAPO COMMENT KULE NA MAJINA YENU MNAMPANDISHIA TU CHART AND NOTHING ELSE, AND SHE LOOOVES THAT GIRLS.. MI DESPERATE HOUSE WIFE SINTACOMMENT KWA MTU MWINGINGE, IM JUST FOR U TURN UNLESS OTHERWISE NI NECCESSARY, NAPITAGA PITAGA SOMEDAYS, THATS IT. C'S MUM, UTURN ADDICTS, MAUDODO NA WENGINEO MNAMAJINA MAKUBWA HUKU UTURN, EVEYONE KNOWS U, LETS JUST STAY HERE, KULE KWINGINE ATA CLASS HAKUNA, JUST BORING.. KAMA NI KUWACHAMBA ATA HUKU UNAWEZA KUWEKA KA COMMENT INCLUDING NA KULEE AMBAPO NAONA WAMESHAISHIWA, MI SIRUDI TEEENA!!
        teammangemangeblogblowkiss
        • Uturn Addict

          Uturn Addict

          25 July 2012 at 22:45 |
          aunt c's mum mi ntajiita okwi huhuhuhuhuhuh

          word DHW mi kule thendi tena...??...??...??
          Ntapitaga tu siku moja moja
    • Nai Nai

      Nai Nai

      24 July 2012 at 16:35 |
      Kweli Koku, waambie, maana kwanza mwenyewe anafurahia mnavyomjazia traffic, mkimtukana yeye anaingiza pesa zake kilaini.

      Jamani Ramadhani hii msifanye mzaha na Mungu, kama yeye hafungi au haimuhusu msiende kufungua saumu zenu au kujishindisha na njaa bure. Maana kufunga sio kuacha kula tu, ni pamoja na kuacha kila limchukizalo Mungu na wanadamu wenzio pia. Juu ya nini kugombana na Ramadhani hii.

      Ramadhani Kareem wote waliojaliwa kufunga na ambao bado wanajishauri, Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi wafunge. Sie wenzenu leo ni Ramadhani ya 5, tunaanza kufunga saa 9 usiku kufungua saa 3 usiku, Mungu Mkubwa na Mwenye Rehma yaani ninajisikia powa kabisa. Tutakutana siku ya Eid wapendwa!!
      • muddy washington

        muddy washington

        25 July 2012 at 08:08 |
        Dadangu na wewe mbona waanza nitia shaka,na wewe unafunga kichina nini?ni wapi huko uliko katika dunia hii ambako mnafuturu/mnafungulia saa tatu usiku?!!! yote kwa yote swaum njema mama
        • bimkora

          bimkora

          25 July 2012 at 16:57 |
          kaka muddy uko wapi? uk na ireland ndo saa zetu hizo.
  • Pinky

    Pinky

    23 July 2012 at 20:51 |
    ramadhan mubarak to all muslims..............
    aunt c's mum nlikubamba unakazia pale mwengeeee

    mangeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeceoceoceoceoceo wa ukweeee
    • c's mum!

      c's mum!

      24 July 2012 at 16:48 |
      blowkiss mwahhhhhh! nilikupungiaje sasa mdogo wangu lol! huku ndio home kwa kweli! lol
    • ngosha

      ngosha

      24 July 2012 at 18:51 |
      hahahahaaa... pinky upo likizo au upo field??? huonekaani bwana
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 21:04 |
    wewe mamnge ni freemason nini maana huu si uislamu ndugu
  • Anonymous

    Anonymous

    23 July 2012 at 22:51 |
    Mbona ujaweka picha za nyumbani kwako,maana tumeona kwa wakwe.
    • Anonymous

      Anonymous

      24 July 2012 at 09:00 |
      gosh! amekuambia ataenda MIAMI ndo atakuwa anaishi hapo ni kwa wakwe zake "HTown" sasa ataonyeshaje nyumba yake na yy yupo Houston au unadhani Houston na MIAMI ni mji moja?
      • Anonymous

        Anonymous

        24 July 2012 at 20:26 |
        Wewe tunajuA anapokaa anakaa mtaa Mohammed na sada shaha.
  • :shower:

    :shower:

    23 July 2012 at 22:58 |
    Hi Mrs Lowry, are u open for a new friend...I live in Toronto, i have iphone4s too. i live in one bedroom apartment which i have a balcony where I can see CNtower, it is about two hours to get to CNtower which is downtwn TO...so when you come to TO don't hesisated to I msg me....Have great Ramadan...keep my email kapuni and my phone pls....your new friend
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    23 July 2012 at 23:13 |
    Mfungo mwema mamy!!applause
    • maudodo

      maudodo

      25 July 2012 at 13:10 |
      hilo pozi lako hapo kwenye picha me hoooiii, unatunyaliiii...hahahahahaaaaaa. picha kama copyright hapa akitokea beautiful onyinye fake lazima tumkimbizeee, swaumu maqbul shostisto...
    • muke ya okwi

      muke ya okwi

      25 July 2012 at 14:38 |
      hahaha beautiful onyinye umetisheeerrrr lol. nimependa piclol
      • c's mum!

        c's mum!

        25 July 2012 at 18:16 |
        kwi kwi kwi! eti muke ya OKWI! Uwiiiiiiiiiiii my ribs, nimecheka sana! okwi leo kanyonya au umekuja tu NASA kutembea!
        • muke ya okwi

          muke ya okwi

          26 July 2012 at 17:18 |
          hahha cmum leo nimemvalisha nepi after mazoezi makali
  • TI Vancouver

    TI Vancouver

    24 July 2012 at 03:56 |
    Hongera Mange nimekufurahia kwa kuungana na familia yako.Wakwe wanaonekana ni watu wenye hekima mno. Mungu angekuwa hasamehi watu wangekabwa kwa maneno .Waliotaka ndoa hii ivunjike wapate funzo kwamba ndoa iliyounganishwa na Mungu mwanadamu hawezi kuitenganisha .Tena naona mna maelewano mazuri mno kwani ilipo nguvu ya mapenzi hakuna cha udini wala rangi. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
  • Anonymous

    Anonymous

    24 July 2012 at 04:41 |
  • Angel Mdhungu

    Angel Mdhungu

    24 July 2012 at 06:01 |
    blowkiss That's so nice Mange;)
    Ramadhan Kareem.
  • tinas

    tinas

    24 July 2012 at 08:12 |
    Mfungo mwema mumy
  • kivespa

    kivespa

    24 July 2012 at 09:22 |
    haya mama funga salama ila ukimaliza uje tucheers naletsparty
    good luck baby mange
  • Dogo mange

    Dogo mange

    24 July 2012 at 09:38 |
    RAMADHANI MAQBUR MOMMY
  • Anonymous

    Anonymous

    24 July 2012 at 10:37 |
    hebu muachen mdada wa watu ina mana yy kumbatza mtoto imekuwa kosa hamuwez jua makubaliano yao.........mbona nyie hamsem ya kwenu mnabak midomo mirefu km chupa..........ndio mana hamna mafankio kaz kusema ya watu....hlf mnajfanya wazungu kumbe waswahl mpaka mnabore............
  • Sensitive Samurai

    Sensitive Samurai

    24 July 2012 at 12:15 |
    haters utawajuaslapping tu kuolewa na mkristo nini cha ajabu mnapendwa kuchase nyagua nyie vinyuso vimechakaaa kwa

    kutopenda yawenzenushame on you alaaaaaa :


    Keep moving ourceoblowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    24 July 2012 at 12:30 |
  • Rachel

    Rachel

    24 July 2012 at 12:50 |
    Ramadhan kareem. Nataka kuwakumbusha wana uturn usichukue jukumu la mungu la kuhukumu kila mja atalipwa kwa amali zake so muache mtu na maisha yake kwani mungu ndio anayejua zaidi. Na la pili mm nampenda sasa dada Mange kwa hiyo naomba msimtaje kwenye blog za watu na kumshirikisha kwenye bifu za kijinga. Kwani kila mtu anajua hakuna kama Mange.
    • c's mum!

      c's mum!

      24 July 2012 at 16:54 |
      dear friend ukiona tumesema ni kutokana na wao kulianzisha! na ukiona kwenye hiyo blog tumemchamba ni kwasababu toka zamani tulikuwa tunamchamba ila tu, tulikuwa hatuweki ID! wakiacha hata cc tutakuwa kimyaaaaaaaaaaaaaaaaa! so i respect wazo lako, ila tunaangalia upepo unavyovuma, ramadhan kareem my friend!
      • maudodo

        maudodo

        25 July 2012 at 08:04 |
        ni kweli kabisa c's mum ukichokozwa lazima ujibu mashambulizi, akikakaa kimya nasi tutapiga kimya...zamani tulikuwa tunabonyeza kianonny but now tumefungukaaaa ili ajue tumejipanga...Ramadhani karim shost....
      • Anonymous

        Anonymous

        25 July 2012 at 10:27 |
        but will be nice just to ignore them as the more you comment and mention her name in those other blog you give them more traffic and kind of make on Mange name since she is a brand .Ramadan kareem
  • MUKE YA  PEDESHEE

    MUKE YA PEDESHEE

    24 July 2012 at 14:12 |
    Na kwako pia mange,,,
  • Beauty

    Beauty

    24 July 2012 at 14:46 |
    Yani Mange unamchezea mungu, kufunga na kulala na mwanaume ambae si muisilam hata kama ni mume wako ni sawa? hiyo ni kushinda njaa tu manake unazini at the end of the day. Si kila kitu ulazimishe vingine achana navyo.
    • Nai Nai

      Nai Nai

      24 July 2012 at 16:41 |
      Usihukumu ili na wewe usijehukumiwa, funga ni baina ya mja na muumba wake. Kama ulitaka kumpa mawaidha au wasaa ungetumia njia nzuri lakini si ya kumkataza ibada, vile vile mwenzio ukiona kakosea muombee kheri ili Mungu amuongoze. Maana kuna makosa makubwa kuliko hili la Mange, kwa mfano mwanaume au mwanamke aliye ndani ya ndoa kisha anaenda kulala nje ya ndoa yake, hao mbona hatuwaambii eti wasifanye ibada kwa sababu wanatoka nje za ndoa zao?
    • Anonymous

      Anonymous

      24 July 2012 at 16:49 |
      Ukiambiwa upelekwe kuishi Saudia utajinyonga, mnang'ang'ania nchi za kikristo afu mnamponda Mange
    • Kiruuu

      Kiruuu

      24 July 2012 at 18:30 |
      yanakuhusu?.....funga bakuli lakoo huko
    • Anonymous

      Anonymous

      24 July 2012 at 18:46 |
      KWANI KAKWAMBIA ANALALA NAE? KAKAA BONGO MIEZI NANE BILA KUFANYA UTAMSHINDA MWEZI MMOJA? HONGERA ZAKO WEWE ULOOLEWA NA MUISLAM MWENZAKO..TULIA SASA USIINGIE HUMU COZ SIZANI KAMA MUMEO WA KIISLAMU ATAPENDA KUSIKIA UNAANDIKA HAPA..
    • Anonymous

      Anonymous

      24 July 2012 at 20:04 |
      huyo mume ni waserikali kwa muislamu anajua kama huyo anakua hawara tu nikujitoa fahamu kwa binaadamu lakini ukweli anaujua muache aendelee tu kutengeneza mwili lakini sikufunga kwa ajili ya ramadhan..
      • Anonymous

        Anonymous

        25 July 2012 at 14:14 |
        wewe uliefunga huku unatafta nini bdala yakufanya toba uwe na funga thabit embu acheni kujifanya mlikaa na mungu mkatunga nae sheris mwacheni yeye ndo atakae ttolea hukum
    • Anonymous

      Anonymous

      24 July 2012 at 23:44 |
      wewe hebu acha kutuharishia hapa? wewe ni mungu umjudge mange kisa mumewe mkristo? what do you mean anatenda dhambi kulala na mwanaume sio mwislamu? mimi mkristo nikilala na mume wangu mwislamu pia natenda dhambi au kwa kuwa ni wa dini yako inakua sawa? you're not God so shut the fuck up na endelea kufunga tuone kama wewe utaingia mbinguni Mange abakie....people like you make my blood boil
    • Anonymous

      Anonymous

      25 July 2012 at 14:09 |
      wewe unaesema mange analala la mwnaume wakikristo wakati anafunga nani alikwambia asipo funga ndo sahihi ana lala na mwanaume lakin anafanya ibada haimanishi kua ndo asifanye ibada ya kufunga kisa analala na mwanaume je wewe kuna maovu mangapi unayo ya fanya na ukaliona hili la mwenzako ndoo kuubwa kuliko yote hakuna zambi ndogo ndigu yangu so usimuhukumu mange mwache afanye ibada yake kama wengine wanao sengenya lakin bdo wanafanya ibada ya kufunga zote hizo zambi kwahiyo swala hilo tu mwachie allah atatuhukumu sikuhiyo mwenyewe ajuavo na wala sio binadamu yeyote mwenye mamlaka yakuhukum
  • bigmama

    bigmama

    24 July 2012 at 14:46 |
    tupe tuu mambo ya ramadhan, tutaenjoy
  • mkweli

    mkweli

    24 July 2012 at 15:06 |
    Kaolewa na mkristu kakeep dini yake na kama kawaida mtoto anafuata kwa baba yake kama wewe kinakuuma shauri yako i'll say leave everything to Mwenyezi Mungu to judge who are you to judge her, nobody absolutely nobody.
  • maudodo

    maudodo

    24 July 2012 at 15:09 |
    RAMADHANI MAQBULmange
  • Anonymous

    Anonymous

    24 July 2012 at 18:06 |
    Waislam tumeambiwa tukumbushane unapomuona mwenzio anakisea lazima umwwmbie na sisi Kama waislam tuna system yetu ya maisha uliowekwa wazi na Allah.na mungu wetu ni Allah Hana mshirika hatuna baba wala mwana wala roho mtakatifu kwa hiyo nyinyi ni nyinyi na sisi ni sisi.uislam uko wazi unakwambia wapi uko wrong na what is write ukitaka ndio hivyo usipotaka ndio hivyo na umpendae lazima umwwmbie ukweli.na mange tunamwambia according to uislam na sio kwamba tunamjaji.ukweli ni kwamba haiswihi kuweka nywele bandia, kuolewa na Dini nyengine, kutoswali, kutovaa hijabu, Kula haram, kusengenya,kuzini etc. Hata Kama watu wanafanya sio kwamba ukweli usisemwe. Ujumbe umefika
    • mkweli

      mkweli

      25 July 2012 at 13:28 |
      sasa unafikiri Mange hajui Quran inasema nini? she is not a 4yr old gal na ni muislamu maisha yake yote kabla hajaolewa aliyajua haya na kamake decision kuolewa na mkristu, I still insist let Allah judge her.
    • Anonymous

      Anonymous

      25 July 2012 at 14:18 |
      je we unafanya vyote hivyo'kama ndio tunashkuru kwa ushauri
    • l

      l

      25 July 2012 at 16:01 |
      du umenifurahishaje sasa mdau....u r very right mimi ni mkristo na ni kweli Mungu wetu si mungu wenu,......(mimi naam, mimi ndiye wala hapana Mungu mwingine ila mimi”. Kumbukumbu la Torati 32:39. “Mimi ni wa kwanza na mimi ni wa mwisho, zaidi yangu mimi)...... ahsante ahsante saaana mdau mwaaaaaaaaaaaaaaaa!
      • neyy

        neyy

        25 July 2012 at 16:48 |
        Kweli nimeamini Allah is not Equal to God..
        • Muke ya mnaija.

          Muke ya mnaija.

          29 July 2012 at 17:17 |
          yaani siku zote hizo ulikuwa hujui basi uko nyuma kweli wenzako tumejua siku nyingi.
      • Elyc

        Elyc

        25 July 2012 at 16:58 |
        Mungu wetu ni Mungu wa Upendo na Upendo wake ni wa Agape (Hauna Mwisho,hauana Masharti,ni upendo mkuu mnooo nashindwa kuuelezea.(Wakristo wenzangu waujua Upendo huu), Mange WE Love U...Upendo wa Mungu wetu ukufunike..na akuepushe na dhambi. Wanadamu wanapita tu..
    • Anonymous

      Anonymous

      25 July 2012 at 17:41 |
      wewe ntakuslapping watu ka nyie mnatia hasira sana..tena wewe tunakuombea mwanao aje kupenda mkristo na aoe au aolewe uko tuone utamfanya nini. eti muislamu haruhusiwi kuolewa au kuoa dini nyingine. wote sisi ni binadamu tuko sawa na dini zote tumeletewa tu. lets have peace..dini safi ni kusaidia yatima, wajane na kujiepusha na mabaya ya dunia..ramadhan kareem
      • MGENI

        MGENI

        26 July 2012 at 09:50 |
        Umeona eeh mdau? Sijui kwa nini watu tu hodari kuhukumu wenzetu as if sisi ndio tumewekeana mikataba na Mungu ya kwenda kukaa mkono wake wa kuume pale itakapotimu siku ya mwisho. Hapo maneno mengi wakati jirani yake mtaa wa tatu analala njaa na wala hajajigusa kumsaidia chochote. Dini ni daraja tu la kutuunganisha na Mungu, sasa kama hatuna jema tutendalo hapa duniani ila tumeng'ang'ania mistari inasemaje, sina uhakika kama huo ufalme wa Mungu tutasikia hata harufu yake.
  • Anonymous

    Anonymous

    24 July 2012 at 18:52 |
    mie mwanangu babake muislamu na tulimbatiza. waislamu walipiga kelele wee, wakamtukana mpaka mate yakawakauka midomoni..now ukiwaangalia hao waliokuwa wanapiga kelele maisha yao yako shagalabagala..wanatamani ardhi ipasuke watumbukie jinsi maisha yanavowapeleka puta..sie na mtoto wetu aah tumetulia tu..kanisani twaenda, na kukitokea maulidi sijui hitma tunatinga kwa miraha yetu..dini zote tunaziheshimu..
  • koku

    koku

    24 July 2012 at 19:25 |
    please. kuna koku mwingine anayecomment huko kwa mac antony's ex... mi siko huko..argue
  • valu valu

    valu valu

    24 July 2012 at 19:55 |
    tuwekee picha za ftari shori
  • Anonymous

    Anonymous

    24 July 2012 at 20:28 |
    Haha kenzo Christian.
  • muke ya muchaga

    muke ya muchaga

    24 July 2012 at 21:23 |
    he kumbe mange muislam ckujua,ramadhan njema mama kubwa la maadui.jamani onyinye ananifurahishakanuna
  • Anonymous

    Anonymous

    24 July 2012 at 23:15 |
    Si afadhali huyu kaolewa, lakini amchukui bwana wa watu, ndoa, si kuaralisha tu, ya kwamba bwana na bibi mnamilikiana na kiapo, cha wawili, sio waume za watu au wake za watu, kwa hiyo akifunga ni sawa, huyu ni mume wake harali, na kila mtu na imani yake, mradi upendo.cheer
  • NamyCage

    NamyCage

    25 July 2012 at 00:40 |
    CEO trend setter na unywele wako naona upo na joggar lako mwenyewe yaani watu si roho kuwauma wanashindwa kuelewa inakuwaje Mwa...na wewe ni close hivyo,ndio hapo wajue kuwa you have good heart,angalia dada Zenat una mtreat poa sana watu wengine wakichukua wadada hata picha hawawapigi wala kula nao pamoja hakuna roho mbaya tu
  • DESPERATE HOUSE WIFE

    DESPERATE HOUSE WIFE

    25 July 2012 at 01:49 |
    CEO JAMANI MBONA KIMYA HIVI ATA KA UPDATE? AU LEO NDO MNAENDAZENU MIAMI?sadyawn

    UTURN FOREVER BABE!
    • muddy washington

      muddy washington

      25 July 2012 at 08:03 |
      Jamanihivi nani anam mudu C's tafadhali mwambieni ajihifadhi na iko kichupi chake angalau kwa mwezi huu tu,then ataendelea kukivaa mwezi ukiisha,anazitoboa swaum zetu kaka zake,semeni nae nyie wadada wenzake labda atawasikiliza na kuacha kujimanua mwezi huu
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        25 July 2012 at 17:43 |
        lmao C'S MUM UMESIKIA? TAFADHALI GIRL, KUMBE UNAHARIBU MFUNGO WA WENZIO LOL POLE MUDDY.UKIFIKA KWENYE JINA LAKE SCROLL DOWN FASTA FASTA LABDA ITASAIDIA.
      • c's mum!

        c's mum!

        25 July 2012 at 17:47 |
        astagafurullahi muddy! fumba macho ukiona kiumbe kimejichanua, lol! pole mwaya ila vumilia tu, ni vijimambo, nimekuanikia kabisa upate best view, lol! eti nani ananimudu?? kwani mie ebola?? lol! peace my kakablowkiss
        • baby ya Mange

          baby ya Mange

          27 July 2012 at 02:13 |
          hehehhe wat is ebola again hahahha yani we mama unavituko,,,unatoa wapi maneno ya zamani hivo?
    • kwaito

      kwaito

      25 July 2012 at 08:08 |
      Mie watu wananiacha hoi, wanapenda waume wa kizungu ila hamtaki wakristo.Hebu tuuilzane tu wazungu na uislam wapi na wapi? na waarabu ambao ndo size yenu wanaroho mbaya na ndo wabaguz vibayaaaa!
      • Uturn Addict

        Uturn Addict

        25 July 2012 at 22:55 |
        stop racism mfyuuuu
    • siffah

      siffah

      25 July 2012 at 15:40 |
      ftali tu inatosha mangeblowkissigaufekubwaceomangeblogmukeya
  • shivaughn

    shivaughn

    25 July 2012 at 01:50 |
    kweli Mange unajishindisha njaa tu. Kufunga gani wakati unalala na mwanaume mkristo?? na pia minywele ya bandia..puuhheeleeeseee, soma quran vizuri ujue what to do and when na sio kufunga bora liende! mimi ni muislam na nimeolewa na mzungu. sifungi vile najua haiswihi. bora utoe sadaka na zaka otherwise bora uwe tu mkristo! nufsaid#
    • neyy

      neyy

      25 July 2012 at 16:44 |
      HAta sadaka zako hazipokelewi soma vizuri kurwani..
      • Muke ya mnaija.

        Muke ya mnaija.

        29 July 2012 at 17:10 |
        shivaughn na neyy ujumbe umefika sasa sijui mnataka kusema mara ngapi ujumbe kaupata akitaka kuufanyia kazi ataufanyia asipotaka hamuwezi kumlazimisha now shut your big mouths and leave the rest to Mwenyezi Mungu yeye ndio atakejudge siku ya kiyama nyie ni wapita njia tu aaarrrrrgh!!!
    • Anonymous

      Anonymous

      25 July 2012 at 20:01 |
      wewe mbona hujawa mkristo?na kwanini hukuolewa na huyo mwislam mwenzako kama unaijua quraan vizuri.usimnyooshe vidole mwenzio kwa sababu jamii inamwangalia kumbuka mume upangwa na mungu .usitukane wakunga wakati uzazi ungalipo.wewe siyo mungu kwa hiyo ujui kama inaswii au lah.umeamua kutokufunga hayo ni matatizo yako binafsi .Mwache Mange afunge bwana.
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      27 July 2012 at 02:19 |
      skuzote nimekuwa nasoma jinsi watu wanavolumbana kuhusu baby wangu na dini yake ila wewe ndo umeongea point...basi kama ni kweli maandiko yenu haya ruhusu haya Mange anayofanya bora basi baby ubadili dini uwe mkristo tu mpenzi wangu kwani Mungu wetu ni mmoja haimaanishi ukiwa mkristo unapotea hapana yani naona itakusaidia manake sisi katika dini ya kikristo hakuna masharti kama hayo imani yenu ya kiislamu inamambo mengii...nway mihata sijui bwana
  • Butterfly

    Butterfly

    25 July 2012 at 08:57 |
    Ina maanaceo hautuhabarishi mpaka mwezi Ramadhani uishe
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    25 July 2012 at 09:47 |
    ceo nakumisijeeeecryingcrying
  • NamyCage

    NamyCage

    25 July 2012 at 12:37 |
    Dini zote zingekuwa na flexibility maana mtu hujui nani utakutana nae na utampenda wa kutoka dini gani,dini create struggle za dunia na za kibinadamu,mimi naamini dini zililetwa ili watu tuwe na muelekeo tusifanye mabaya au kufanyiana mabaya kama ilivyowekwa justice system, in fact dini ni muongozo tu wa maisha i'm sure you can make religion flexible for you and it can work,kwani naamini sio kila mtu anafuata yote yalioandikwa kwenye vitabu vya dini most of us we choose and pick what suit us,
    • Anonymous

      Anonymous

      25 July 2012 at 17:32 |
      Super true. Dini mi nishazishtukia long time. Huricane Katrina wagesema Mungu kakasirika.
  • Shose

    Shose

    25 July 2012 at 13:39 |
    Nakutakia Ramadhani Njema Mange. BE BLEESSED
  • new version

    new version

    25 July 2012 at 14:17 |
    jamani hivi vikatuni hadi rahahurlfartinface ...only God can judge, ramadan kareem people!!
  • MissRemy

    MissRemy

    25 July 2012 at 17:20 |
    ramadhan kareeem bibiecheersnewbie
  • Anonymous

    Anonymous

    25 July 2012 at 21:33 |
    Mkubali mkatae uislam haunegotiate na matakwa ya binaadamu. Mnajifanya kumtetea mange Leo kaburini ambako atakwenda anytime peke yake hamtakuwepo na Siku ya qiyama kila mtu ataitetea nafsi yake hata mama hata Iona mwanae Siku hiyo. Deep down nafsi yake inamsuta na kumwambia what ur doing is wrong ni kwasababu ya kutaka maisha ya kidunya ndio maana wengi wanajikuta ktk position Kama Yake. Tunapenda short cut lkn tunasahau kuwa kifo tunatembea nacho kila Dakika.
  • shivaughn

    shivaughn

    26 July 2012 at 01:01 |
    watu wanajidai wabishi lakini ukweli unabaki pale pale bora atoe sadaka kuliko kushinda na njaa. swaum na weaving wapi na wapi?? hata mkijidai anaosha nywele daily, still ni zero work..mtabisha sana lkn habari ndo hiyo. chagua mzungu/mkristo au uislam. labda umsilimishe mzungu wako. hivi vitu havichanganyiki unless huo uislam wenu ni wa kichina!
    • MGENI

      MGENI

      26 July 2012 at 10:01 |
      Kama nimekuelewa vizuri, wewe pia unaangukia kwenye kundi la akina Mange, sasa mbona naona ndio uko mstari wa mbele kumnyooshea kidole? Ya kwako umerekebisha au ndio kichina china hivyo hivyo?

      Usichukie rafiki, ni kwa roho safi tu......
  • Anonymous

    Anonymous

    26 July 2012 at 01:58 |
    yani skuizi majitu kibao yanakomment humu sijui beautifull onyinye sijui marikenge sijui marisimba sijui muke ya matako matako gani boring kishenzi yani hata blog hainogi tena tulishajizoelea kumsoma Koku,desperate,tajibeba,marichui,bby ya Mange na wengioe ila saivi imekuwa fujo majina kibao mpk uchafu...mxiiiiiiiiwtffuck you
    • Anonymous

      Anonymous

      26 July 2012 at 15:43 |
      NAWEWE JIITE MARINYOKO BASI..SURA KA MAKALIO
  • Ahmed

    Ahmed

    26 July 2012 at 11:14 |
    Ahsante sana. Nami nawaombea wasomaji wote wa u-turn Ramadhani njema. Tukumbushane kuwa huu ni mwezi wa mfungo na mwezi wa kumwabudu Muumba wetu, kutenda mema, kusaidiana na kuwapenda majirani zetu na kuacha maovu (chuki, kusengenya, kudanganya n.k.)
  • Quchi

    Quchi

    27 July 2012 at 11:41 |
    hongera mwaya sis mange... Mungu akulinde daima!
  • nakshi

    nakshi

    27 July 2012 at 16:12 |
    asalaam alykhum da mange japo msg zangu huwa unaziban sijuhi kosa langu au kipi ninachokiandika kibaya but bado nakupenda na nakutakia ramadhan njema nawe pia
  • Ahmed

    Ahmed

    29 July 2012 at 17:43 |
    Ramadhani njema kwa wote. Only Allah (God) can judge us. Mange endelea na ibada zako. Moja ya majina ya Mwenyezi Mungu (SWT) ni Hakim.
    • Muke ya mnaija

      Muke ya mnaija

      05 August 2012 at 15:50 |
      Word