05July

NISHAURINI NIFANYEJE.....

Habari yako,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25,Ni Bikra,Nina mwezi mmoja tangu niolewe.Siku yetu ya ndoa sikuweza kufanya chochote na mume wangu kwa sababu nilipata period gafla,na kwa bahati mbaya honeymoon yote zile siku saba zote nilikua period na baada ya siku saba iliidi nisafiri kurudi DSM kuendelea na kazi coz mimi na mume wangu hatuishi mkoa mmoja na huku kazini nilipewa siku chache tu za likizo.
Nilijiskia vibaya sana.
Hivi karibuni mume wangu atakuja DSM kuja kunitembelea,lakin nimekua na uwoga sana wa kutolewa hio bikra coz nimeshasikia kwa watu wengi sana kua hua inauma sana,hata huyu mume wangu anajua mimi ni muoga sana coz kipindi cha uchumba wetu aliwahi kuniambia tufanye nikamkatalia sana na kumwambia ni bora tufunge ndoa kwanza.Sasa basi yan nakosa raha,nataman sana nifanye mapenzi huku naenjoy na mume wangu ila nikifikiria vile wanasema kua bikra inauma nakosa raha kabisa.

Had mume wangu amefikia hatua anasema "najua vile unahs utapata maumivu,ila nitajitahd kufanya polepole au kama kuna means nyngne ya kufanya maumivu yasiwepo nimwambie'

Sasa dada hebu nishauri je nawezaje kutolewa bikra bila maumivu?Je naweza kunywa valium nikasinzia kabisa ili aniingilie na nisisikie maumivu?hebu nisahuri nifanyaje?
mail adress yangu kapuni(tafadhali)

kuwasiliana nasi tuma email kwenda This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it

Comments (189)

  • Nai Nai

    Nai Nai

    05 July 2012 at 03:03 |
    rolling on the floorrolling on the floorrolling on the floor Makubwa haya; kama ingekuwa inauma nafikiri wanawari walioko mashuleni wangekaa wakasubiri mpaka wawe watu wazima. Hebu nenda kawaulize watoto wa secondary watakwambia kama inauma au la! lol mada nyingine ni vituko, ingekuwa inauma kihivyo mpaka ufikie kuandika barua wanawake wote wangebana mapaja!

    Halafu ikifika huo wakati wa kuzaa utafanyaje huo uchungu wake ikiwa kitu kidogo kama hicho unaogopa? Na uliolewaje bila SOMO wee mwana?

    Nai Nai
    • muddy washington

      muddy washington

      05 July 2012 at 05:12 |
      Mleta mada pole.Ni rahisi sana kutoa ubwabwa wa shingo kuliko wanaume wengi wanavyofikiria,mleta mada nitafute kwa muda wako hapa 616 334 3260,ila najua watajitokeza watoa mada kibao,poa tu nimejiandaa kuwakabili mmoja baada ya mungine.
    • PaRrOt

      PaRrOt

      05 July 2012 at 08:09 |
      Nimependa last sentence... kaolewaje bila somooo? au somo kigego!surprise
    • kibonge

      kibonge

      05 July 2012 at 08:13 |
      we mwana mwali wewe maumivu yapo ila sio ya kuyawazia hivyo hd unakosa aman, utazoea na ukizoea wewe ndo utakua unaililia sasa,
      kwahiyo usiogope sanaaa hd uanze kumeza valium
    • FRANK RUTASHUBANYUMA

      FRANK RUTASHUBANYUMA

      05 July 2012 at 20:27 |
      Naona kuna kitu naweza kusaidia hapa,lakini kwanza ungekua specific cuz kuna aina mbili za Bikira moja ni ile yenye "utandu" ambayo huendelea kubaki pale hasa kama mtoto wa kike husika ni mtu wa kutofanya shughuli ngumu na nyingine ni ile ambayo haina "utandu" ambayo nadhani mabinti wengi miaka hii ndio wanayo,yako ni ipi?

      asante
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        06 July 2012 at 04:53 |
        LOL FRANK NILIKUMISIJE?
        WELCOME BACK, SASA WEWE MDADA MJIBU FRANK, YEYE NDO MAMBO YOTE, U WILL NEVER BE DISAPOINTED..
      • Tajibeba

        Tajibeba

        09 July 2012 at 11:33 |
        Frak uwiii nimekumisijee sasa lol karibu kijiweni utulelee mambo ya chumbani
      • Mama J.

        Mama J.

        13 July 2012 at 13:19 |
        Tusidanganyane BIKIRA ni utandu wa ngozi ambao mtoto wa kike huzaliwa nao. Utandu huo huwa laini na mgumu hutokana na maumbile ya mtu alivyoumbwa na Muumba.
        Mlaini huweza kutoka wenyewe kwa bahati mbaya na wakati mwingine bila binti kujijua kupitia baadhi ya michezo, na binti asisikie maumivu wala kuona dalili yoyote.Kuna wakati hutoka damu kidogo sana inaweza kuchafua chupi ya binti au isionekane.
        Mgumu hauwezi kutoka wenyewe mpaka kwa kujamiiana.Na hata hivyo maumivu yake huwa ya muda mfupi cku 1 ya 2 huwa ni sababu ya hofu/uoga tu.Hivyo usitishike na maneno ya watu.Hakuna mchezo mtamu kama huo na hasa ukiwa wa halali uliowekewa mkono na Muumba.Ukiuanza hutauacha.
        Hayo maumivu si ya milele.
        UKITAKA KUJUA UHONDO WA NGOMA INGIA UCHEZE MWARI WANGU!
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 04:08 |
    inauma mara ya kwanza ila baada ya apo *utamuuuu* Lolll!!!
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 04:11 |
    kwakweli people tuambieni first experience yenu ilikuwaje ...straight facesad , mi mwenyewe muoga nahisi iyo siku natolewa bikra itakuwa fujo...adi mtaa wa pili wataskia.I dont want to seeI dont want to see
    • Anonymous

      Anonymous

      05 July 2012 at 09:01 |
      Wewe muhuni tuu utaombaje ushauri kama huo in public nafikiri hata mume wako akifahamu atakuona waajabu sana coz hiyo ni siri yako ya mwilini kwako. No one will advice you such thing ask your other.
    • lina

      lina

      12 July 2012 at 09:58 |
      Haaa, makubwa haya wala si kidogo, kila mtu mbona atasema anaiwazia yake siku ya kutolewa?
  • DESPERATE HOUSE WIFE

    DESPERATE HOUSE WIFE

    05 July 2012 at 04:49 |
    HONEY FIRST OF ALL NAKUPA HONGERA SANA KWA KUJITUNZA MPAKA UMEFIKIA MIAKA YAKO HII UKIWA BADO BIKIRA NA KUOLEWA. NA PILI NAMPONGEZA MUMEO HUYO MAANA ANAKUPENDA KWA DHATI, ITS OBVIOUS, WANAUME WENGI SIKUHIZI WAMEJAA AKILI ZA NGONO TU UKIMWAMBIA UNATAKA KUSUBIRI ANAKUACHA YEYE KAKUVUMILIA, THE GUY LOVES YOU A LOT.

    SASA BASI KUKUJIBU KAMA INAUMA AU LAA, NI KWAMBA INATEGEMEA ATAKAYE KUTOA ATAFANYAJE. KAMA MMEO ATAKUJALI NA KUKUANDAA VIZURI, YANI TAKING HIS TIME NA WEWE MWENYEWE UJIWEKE TAYARI, HONEY ONDOA MAWAZO KWAMBA ITAUMA. MIMI SIKUUMWA HATA KIDOGO, MY BF (HUSBAND NOW) WAS REALLY GOOD, ALTHOUGH WE HAD TO DO IT TWICE TO COMPLETE THE PROCESS LOL LAKINI ALINIVUMILIA NA MIMI NIKAONA WELL HE IS REALLY NOT GONNA HURT ME.ONDOA KABISA KICHWANI KWAKO MAWAZO YA KUUMIA HAPO UTAENJOY. WANAO SEMA WAMEUMWA NI KWASABABU WANAUME ZAO WALIKUWA EITHER NA PAPARA NA HAWAKUWAJALI WAO FEELINGS ZAO. AU BASI TU KILA MTU NI TOFAUTI PIA. USIMEZE VIDONGE BWANA THIS SHOULD BE A WONDERFUL EXPERIENCE FOR YOU AND YOUR HUSBAND. HAUTAUMIA, NA KAMA NI KUUMIA BASI ITAKUWA KIDOGO TU KAMA VILE UKITOGA MASIKIO, KWAHIYO JIANDAE TU MUMEO AKIJA, RELAX ONGEA NAYE PLAY TOGETHER AND HAVE FUN. GOOD LUCK.
  • Nashangaa!!

    Nashangaa!!

    05 July 2012 at 05:48 |
    Kazi kweli!! Ulikubalije kuolewa na hali ukijua kuna kuumia? yaani watu wote huku duniani wameolewa na kuzaa na wana wapenzi, wewe unalia na kuumia?Ulikuwa unataka mume ulidhani atakuwa anakuchomekea mdomoni? Napiga picha jinsi ulivyo na naona kama hakuna jambo unaloweza kulimudu katika maisha.Hata hiyo period uliopata siku mnafunga ndoa ilitokea kwa sababu ya wasiwasi na woga wako.Haikuwa period ya kawaida unayopata.Siku saba zote, wewe uliamua tu kumgandisha jamaa.Inaelekea na yeye si mtundu utakuwa umemuokota mahali ambako hawajachangamka.Kwa mwanaume wa siku hizi hawezi kukubali angojee harusi, labda kama ni uchumba wa kudumu mwezi mmoja tu.
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      06 July 2012 at 17:06 |
      sad REALLY!! KAMA UMEZOWEZ KUKUTANA NA WANAUME VIRUKA NJIA KILA MARA POLE KWAKO NA USI GENERALIZE ALL THE MEN. TRUST ME KUNA WANAUME BADO AROUND AMBAO DESPITE KWAMBA NI NGUMU KUSUBIRI MWANAMKE AWE TAYARI, THEY DO THAT, WITH RESPECT. AND TRUST ME WAMECHANGAMKA BALAA. NITAKUPA MFANO MMOJA TU "TIM TEBOW" DAMN THAT MAN...happy
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    05 July 2012 at 06:05 |
    silly mwambie tu apakae mate Ya kutosha
  • madame skyee

    madame skyee

    05 July 2012 at 06:26 |
    i suggest the following jonny (mtembezi) jack daniels, jim beam au simple moscato/chardoney tsk tsk best way i saywinking pole my dear
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      06 July 2012 at 17:09 |
      KWELI KABISA, A GLASS OF WINE ITAKUCHANGAMSHA KABISAA MDADA,, JUST DO IT LAKINI SI KUZIMIA KIMOJAAA

      BY THE WAY MANGE I LOOOOVE THESE EMOTICONS, OH HOW FUNNY I LOVE THE SHAKE ASS AND KISS MY ASS LOL
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 06:34 |
    Kwanza nimecheka we mpaka. Hivi Hadi umeolewa unataka kusema Hakuna mtu aliekwambia kuwa kila mtu ana experience yake. kwani wewe hukufundishwa huko ndani wakati wa harusi kungwi wako alikuwa hajui Kama wewe Bikira? Bi dada inategemea na huyo mume wako atakavyo kuandaa sio akifika tu mnatiana Hapana mna takiwa mfanye intimacy kwanza tianeni nyege mpaka mkianza kufanya mapenzi maumivu Hakuna maana utakuwa ushatayarishwa. Maumivu yanakuja pale mtu anapotiwa kwa nguvu bila kuandaliwa pale mwanamme anapotia Kama anatwanga kahawa ndio unasikia mtu katoka damu Ni kwa sababu hajaandaliwa na katiwa Hadi kachubuliwa. Haya sasa kazi kwako. Mwambie mfanye romance kwanza na usifikirie mambo ya kuwa utaumia sijui nini enjoy romance first Hadi ujisikie kuwa huwezi tena kuvumilia unautaka uboo ndani basi wewe utaona tu.
  • baby ya baby ya Lamar bongo

    baby ya baby ya Lamar bongo

    05 July 2012 at 06:42 |
    d'oh aiseeeee bikra ya miaka 25 itauma yani utaskilizia maumivu kama mwezi hivi halafu ukija kujaribu tena nikama mnaanza upya,bora tu uwe sister mwaya manake inauma zaidi ya kuzaa halafu ukisema utumie dawa za usingizi ukijakustuka itauma sana yani itakuwa kama umebakwa so bora ukiwa normal ukishikana shikana na huyo hubby wak akakupaka na mate vaseline kay-y halafu ukanyegeka hiyo kitu ikawa wet itasaidia kupunguza maumivu mwambie mnaanza taratibu siku ya kwanza kichwa siku ya pili shingo tatu kichwa na shingo nne wigo hahaha
    • lulu ibrahim

      lulu ibrahim

      06 July 2012 at 10:59 |
      jamani wewe dada mbona umeniua mbavu zangu mboo ina shingo hahahah
  • mpya

    mpya

    05 July 2012 at 06:43 |
    hi hi hi, umenichekesha, hata haiumi labda ubakwe, ila mtu akikutayarisha vizuri wala haiumi, kumbe bado watu wanaolewa mabikira ha ha ha, safi sana ukionja tamu wewe utagawa mpaka kwa bosi wako mbona, sasa huyu mwanaume akiwa hi hi hi ila sababu hujui hutaweza jua kasoro,aisee mi najaribisha kiatu ndio nanunua maana niende nacho mbali kumbe hakinitoshi au kinapwayaaa
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 07:06 |
    Huyu si mzima au hana nyege...haiwezekani uulize mambo km haya kwa kweli. Au humpendi huyo mumeo.
  • Classic

    Classic

    05 July 2012 at 07:10 |
    Wapi wewe utamu hua hau umi, we fanya kwa hisia zote na utapata raha kua na yeye. Watoto wa darasa la kwanza wanafanya sembuse wewe. Sasa na kuza si ndo utalia na kulia!!!
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    05 July 2012 at 07:23 |
    HONGERA DUGU YANGU KWA KUWEKA TUNZA ILA NI KWELI BIKRA INAUMA NINAVYOSIKIA...ENDAPO ITATOLEWA KWA NGUVU NA VISHINDO....MIMI BANA YANGU ALIITOA KIDOGO DOGO SI LAZIMA SIKU YA KWANZA TU AINGIZE DUDE YOTE...MAMBIE BANA YAKO SIKU YA KWANZA MFANYE ROMANCE KWA SANA AKUNYONYE MAZIWA MPAKA UROE AKUPAPASA HIYO NEMBE YAKO HUKO CHINI KWAKO HALAF AJARIBU KUINGIZA KICHWA TU (SIO KICHWA YAKE YA KUWAZIA/YENYE MACHO NA NYWELE NOOOPE NI KICHWA YA MB**O)YAANI KAMA VILE ANAKUPIGA BRUSH HALAFU AACHE...HALAF JIONI TENA AKUPIGE BRUSH TENA HUKU AKIENDELEA KUSUKUMA NDANI BADALA YA KICHWA SASA AONGEZE KIDOGO AINGIZE NA KUTOA AINGIZE NA KUTOA HALAFU AACHE NINA UHAKIKA KAMA ATAFANYA MCHEZO HUO KWA MUDA WA WEEK HATA HIYO BIKRA HUTAIONA ILA KILA BAADA YA TENDO UKISHAOGA NAKUVAA CHUPI UTAONA VIJIDAMU ASUBUH YAKE ILA MAUMIVU HAKUNA KABSAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA..SI LAZIMA HIYO SIKU YA KWANZA IANZE KWA KUTIA DUDE YOTEEE HAPO LAZIMA TASIKIA MAUMIVU NA MAUMIVU YENYEWE SI YA MUDA MREFU SIKU YA KWANZA YA PILI NA YA 3 ITAKUWA PAMEPOA..NA BAADA YA HAPO USIIACHE PAKA IZOEE HIYO URITHI YA BABU......laughinglaughinglaughinglaughing
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      06 July 2012 at 04:58 |
      rolling on the floorrolling on the floorrolling on the floor KWIKWIIIII FENESI MBAVU ZANGU, YEUUWI
    • Mshamba

      Mshamba

      06 July 2012 at 17:12 |
      Fenesi, umenikumbusha mbali sana. Hata mimi bikira yangu nilitolewa in my twenties. Tena hivo hivyo kwa kudanganywa kuwa anaingiza kichwa tu sio wote. kwa sababu hata na romance yote nilikuwa nina wasiwasi kuwa itauma sana kwa hiyo hata akili ya kuromansiwa kichwa kikawa kinakataa. alipoingiza kichwa akaendelea kdogo si akanogewa mpaka akaingiza yote. Nilumwa wiki nzima nikawa natembea kama nimebakwa.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 07:29 |
    poleeee
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 07:30 |
    we kabila gani uliyeozeshwa bila somo? muulize somo yako kama unae, kama huna pole.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 07:32 |
    Kama inauma so what??swali la kitoto no wonder ure 25yrs hujawahi tiwa umejaa ujinga tu na mimi ningekua nndo mmeo ningekutia kwa nguvu shwine kabisa
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      06 July 2012 at 17:11 |
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 08:16 |
    happy acheni ujinga, wekeni mada zinazoeleweka
  • ngosha

    ngosha

    05 July 2012 at 08:16 |
    mie hata sikumbuki kwani nlotolewa nkiwa darasa la tatu m/ m/
  • no name

    no name

    05 July 2012 at 08:17 |
    MH DUNIAN KUNA MAKUBWA KUZAA ITAKUAJE MANA MAUMIVU YA BIKRA NAHS NI MARA MIA YA UCHUNGU SHOGA HEBU MPE MUMEO RAHA ILA SHOST HONGERA UMEJITAHID KWA UMRI WAKO KUWA NA BIKRA KWA KARNE YA SASA NI WACHACHE WENZAKO TUSHATOLEWAGA NA HAO WAUME WAKUTUWEKA NDAN HATUJAWAPATA.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 08:17 |
    kunywa pombe utasikia maumivu kidogo LOL
  • kibonge

    kibonge

    05 July 2012 at 08:20 |
    unajua hadi sasahivi hauna ndoa,?ndoa ni mpaka ufanye hiyo kitu ndo itaitwa ndoa,
  • anonymous

    anonymous

    05 July 2012 at 08:45 |
  • Dina

    Dina

    05 July 2012 at 08:46 |
    thumbs upapplause
    Sasa unaogopa nini na wewe kama hujawahi kujaribu??
    rolling on the floorrolling on the floorrolling on the floor
    usinywe dawa ya aina yoyote
  • Loveness from ATOWN

    Loveness from ATOWN

    05 July 2012 at 08:58 |
    wala haiumi shoga ndio utamu utausikia mpaka kisogoni nakwapia vile, lakini hizi bikira ni Original au za Kichina??????? Hongera kama ni original
  • Loveness from ATOWN

    Loveness from ATOWN

    05 July 2012 at 08:58 |
    wala haiumi shoga ndio utamu utausikia mpaka kisogoni nakwapia vile, lakini hizi bikira ni Original au za Kichina??????? Hongera kama ni original
  • Loveness from ATOWN

    Loveness from ATOWN

    05 July 2012 at 08:58 |
    wala haiumi shoga ndio utamu utausikia mpaka kisogoni nakwapia vile, lakini hizi bikira ni Original au za Kichina??????? Hongera kama ni original
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 09:06 |
    Inauma usifanyeeeeeeeeee kabisaaaaaaaa.oh go on
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 09:19 |
    SASA NA WEWE UKINYWA DAWA UKILALA SI UTAKUWA UBEBAKWA YAANI UNATAKA UWE NA KUMBUKMBU YA KUWA RAPED SIKU YAKO YA KWANZA? MI NINA SHAKA NA WEWE
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 09:21 |
    laughinglaughinglaughinglaughinglaughinglaughinglaughinglaughingsadsadsadsadsadsadsadsadsadsadsadsadsurprisesurprisesurprisesurprisesurprisesurprisesurprisesurprisesurprisesurprisesurprisenerdrolling on the floorrolling on the floorrolling on the floorrolling on the floorrolling on the floorrolling on the floorrolling on the floorrolling on the floor =)liarliarliarliarliarliarliarliarliarshame on youshame on youshame on youshame on youshame on youshame on youshame on youshame on youshame on you
  • Butterfly

    Butterfly

    05 July 2012 at 09:28 |
    Sasa ukilala usingizi usisikie maumivu ya kutolea bikra yako, kuzaa itakuwaje?? Maana hata ukifanyiwa operation ukiamka utakutana na maumivu ya mshono. Ina maana wewe hujawahi kuumia hata kwa kujikata ukiwa unakata vitunguu???? Kama unaona bikra yako mali si ukae nayo mume wa nini sasa? Waachie mume wanaotaka hayo maumivu.
  • pretty

    pretty

    05 July 2012 at 09:28 |
    laughing Huyo nae anampelekea kaka wa watu shuhuli alikua wapi hzo siku zote mxiiiiiiiuuuuuuu
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 09:29 |
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 09:30 |
    Mada zingine bwana, Mange nasikia Jestina Goege blog yake imeshinda na yako mbona hutuambii?
    • koku

      koku

      05 July 2012 at 14:11 |
      mashindano ya copy & paste, ataachaje kushinda!! u-turn haihusiki. hapa unapata kitu live na exclusive.love strucklove struck
    • Anonimas

      Anonimas

      06 July 2012 at 01:32 |
      Huwa hatushiriki mashindano yasiyoeleweka! Kwani ushasikia hata siku moja umeambiwa uipigie kura hii blogu ili ishinde?
      • msagaji mswahili

        msagaji mswahili

        06 July 2012 at 04:00 |
        Kweli hayo mambo ya mashindano ni ya kule mtaa wa pili uswahilini united blog kule kwa "chief judge" wa miss uswazi a.k.a.mamaa juma nature na genge lake la blog za dizaini ile hapana hapa
        • DESPERATE HOUSE WIFE

          DESPERATE HOUSE WIFE

          06 July 2012 at 17:34 |
          JUST WANNA SAY NA MIMI DESPERATE NITAKUWA "CHIEF JUDGE" MASHINDANO YA MISS MINNESOTA, NA MNAO TAKA KUJUA NITAVAA NINI? I WILL BE WEARING MY RED DRESS TOO. CHEZEYA CHIEF JUDGE, IM UN STOPPABLE BABY, NIPIGENI TU MAWE HAYATA NIPATA NG'OO. AND OH IF U WONDER BOUT HAIR, NITAKUWA NA SHORT CURLY HAIR JUST LIKE MANGE'S. BLONDE IMESHAPITWA NA WAKATI, U KNOW ME, KITU AKIANZISHA MANGE.. IM NEXT!! MTAJIJU..d'oh
  • no name

    no name

    05 July 2012 at 09:32 |
    mwenzenu mimi toka hiyo siku nitolewe mpaka leo yapita miaka minne sijawahi kusikia raha ni maumivu tu...
    • mke wa mpopo

      mke wa mpopo

      05 July 2012 at 22:19 |
      mwambie awe anapitisha ulimi kabla ya ku-do. tatizo wanaume wetu wa wa ki-TZ suala la ulimi hawalipi kipaumbele sijui ni aje? my naija man shurti apitishe ulimi kwanza yaani kanizoezaje vibaya siku nikikutana na njemba ya kibongo akaniparamia bila break nitajutaaa!
      • Anonymous

        Anonymous

        06 July 2012 at 04:04 |
        dada naona ulikua unakutana na wabongo pori,wabongo niwajuao mimi wanajua kuipa k shurba na ulimi mpaka unajuta kuzaliwa
    • Anonymous

      Anonymous

      06 July 2012 at 02:01 |
      pole sana
    • Mama J.

      Mama J.

      13 July 2012 at 13:24 |
      POLE MDOGO WANGU.
      ULIYENAE HAKUTAYARISHI KWANZA ANAKUPARAMIA KAMA YALE MAKABILA YA WENZETU YA KUPIGANA MITAMA HATA KAMA NI MALAYA LAZIMA USIKIE MAUMIVU NA KUNA WATU WABINAFSI .
  • JUMONG

    JUMONG

    05 July 2012 at 09:33 |
    TOPIC NYINGINE BWANA, ALOKWAMBIA INAUMA KAKUDANYANGA MPE MUMEO RAHA ZA DUNIA EBOOOO, SASA KAMA UNAONA KUTOLEWA BIKRA KUNAUMA JE KUZAA SI NDO UTAZIMIA???????

    MANGE HIZI TOPIC BWANA KERO
    • MIE

      MIE

      05 July 2012 at 14:44 |
      WAPUUZI ACHENI KUJIBU VIBAYA, KAMA TOPIC INAKUBOA TOKA HAMA BLOG COZ INAELEKEA WE YAKO ULIGAWA TOKA DARASA LA PILI THATS WHY UNONA ANABOA.

      KWANZA HONGERA KWA KUJITUNZA. HATA MIE NILIKUA KA WEYE, SASA USIWE NA WASIWASI, UTAWEZA TU,JUST RELAX AND LET YOUR MAN TAKE YOU THROUGH THE RIDE, COZ HATA YEYE ANAJUA KUA UKO BIKRA, SO HE WILL BE EASY ON YOU.

      ALL THE BEST.............
      • fashion police

        fashion police

        05 July 2012 at 19:41 |
        at last ametokea mtu mwenye akili timamu humu ndani,,,asante kwa ushauri mzuri MIE....
        WOTE HUKU NDANI WANAOBOREKA WALITOBOLEWA MAPEMA SO WANAONA WIVU....
        inauma ila sio sanaaa ya kuogopa mpenzi,,,mimi nilitolewa nikiwa 21 yrs old,,,nilikunywa pombe kidogo just to make me relax... jaribu,,yu will be fine.
      • mama alvn

        mama alvn

        06 July 2012 at 09:12 |
        Mpuuzi wewe na huyo mtoa mada, kilichomfanya aje aulize blogin ni nini....kabla ya harusi kulikuwa na kpat na meeting na mashangazi na madada kama anao kwa nini alishindwa kuuliza hayo, mumewe akilijua hili unadhani atapendezewa nalo, hiyo sio heshima kabisa laiti angemuuliza mhusika mkuu labda angempa hata mbinu za kufanya ili kupunguza maumivu, hapa sio mahali pake kwa kweli
        • FASHION POLICE

          FASHION POLICE

          07 July 2012 at 17:43 |
          devildevil mpuuzi hata wewe,,,unajifanya hujawahi kusema mambo ya mumeo hadharani??? tena kwa mashosti na jinsi anavyokufanya!!! halafu kinachokufanya ufikirie kuwa mumewake atajua ninini?/?kwani ni yeye pekeyake bikira tanzania nzima?? nyoooo,,,,,watu wengine bwana,,,liar
  • sexylicious

    sexylicious

    05 July 2012 at 09:33 |
    girls can be BIG BIG liars jamani! I remember how my friends scared me off...i took me a whole year of trying before i finally got it done and over with. yes inauma, but kidogo tu jamani sio kama hivyo unavyoambiwa. And u guys msimshushue, I've been there na najua how much we girls tunajua kuambiana story za kutunga ili kutishana lo!raised eyebrows
  • Anchiwela

    Anchiwela

    05 July 2012 at 09:51 |
    Mhhh kazi kweli kweli ingekuwa inauma wanawake tungekuwa tunalilia wanaume? Kama unaogopa hako ka abdala kichwa wazi utaweza kweli kuwa mama maana hilo sekeseke la kupush maumivu ambayo haya explainiki, ebu mpe mumeo acha visingizio
  • bimkora

    bimkora

    05 July 2012 at 09:57 |
    mi haiukuuma kihivyo kama unavyohisi wewe maumivu try it.
  • c's mum!

    c's mum!

    05 July 2012 at 10:02 |
    chatterboxchatterboxchatterbox we dada hizi ni blaa, blaa sasa unaogopa nini?? mbona vingi vya kuumiza na vya kuogopesha vipo mbele yako??? utaiweza ndoa wewe kweli kama unaogopa mboo tu? ukute mboo yenyewe siza ya bamia halau uko hapa kutunyima kunywa chai, nenda kamanue ushughulikiwe usitutie shombo la maumivu asubuhi hii! mange mzima wewe??
    • mke wa mpopo

      mke wa mpopo

      05 July 2012 at 22:20 |
      hahahahah...kibamia tu usikute kimbilimbi!
    • If Not Why Not.

      If Not Why Not.

      11 July 2012 at 10:36 |
      Duuu C's mum huwa unnikosha sana hujui tu. salute.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 10:03 |
    kwanza hongera kwa kujitunza,maana maisha ya sasa,bikira ni chache.wasikutishe,hao wanaume zao hawako gentle.experience yangu sikuumia kabisa.ni kuwa akienda chumvini,raha utaisikia rah tu,na wakati wa kuingiza,ahakikishe kupo wet na aingize taratibu mno,asiende kwa kutumia nguvu,akitumia nguvu,utaumia.aende taratibu,astop,aende taratibu tena,halafu astop,anyonye k.afanye hivyo hivyo hivyo,kwa muda kama wa siku 3.baadae mambo yatajipa
  • Muke Ya Albino

    Muke Ya Albino

    05 July 2012 at 10:11 |
    Inauma ni balaaa mwaya endelea tu kukaa na bikra yako.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 10:15 |
    love struck jamani ila kweli me pia ni kama huyo dada hapo juu nanimuoga..halafu mbaya zaidi mwezi wa nane na mimi nakuja kuolewa halafu bado ni bikra..je itakuaje 2pungukiwe na haya maumivu??crying
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 10:25 |
    jamani mi nachoona hapa ni kumsaidia mwezetu sio kumzodoa na kumfanya mjinga, kwanza nakupongeza my dia hadi umri huu kuwa mwanamwali. kufanya mapz kwa siku ya kwanza wala hakuna maumivu km unavyozani ni kawaida tu ni vile utakavyo tune mind yako na huyo atakayekuwa anakushughulikia ni mjanja vp. Muhimu ni kurelax na kupunguza hofu ili uweze kumridhisha mume wako, uoga ukizidi utaaribu ndoa yako kwani utakuwa unamchosha mwenzio na ataona ujinga sn ataenda nje. Mapz matamu my dia hasa umpate anayeyajulia maandalizi.
  • Mrs jimmy choo

    Mrs jimmy choo

    05 July 2012 at 10:26 |
    sicksicksick UUUUWI!
    mdau umenikumbusha my firt time!iliumaje!
    Thank God my first bf alikuwa mnjanja kitandani,
    alikuwa muhaya bibi we alinipiga katerero mpaka nilikuwa nalia kwa utamu!Baada ya good sex napiss hata mara nnee,uuwwwiii after that nilikuwa naenda mwenyewe kutia bila hata yeye kiniomba!Go for it gal,kuuma ni nature tu and you cant escape nature!it must take its course!rolling on the floorrolling on the floorrolling on the floorlaughing
    • Anonymous

      Anonymous

      05 July 2012 at 14:47 |
      WE HIO KATERERO NDIYO NINI?
      • koku

        koku

        05 July 2012 at 18:02 |
        duka la nyanya na vitunguu. inshort guliocoolcool
      • lilii sexii

        lilii sexii

        06 July 2012 at 02:00 |
        muuliza katerero umezaliwa mwaka gani?inawezekana hapa si mahali salama sana kwako kutokana na hako kaumri kako,kama huijui katerero sasa sijui unajua kitu gani kitamu zaidi duniani,pole sana.
      • lulu ibrahim

        lulu ibrahim

        06 July 2012 at 11:02 |
        haaaaaaaaaa pole mdada ujuei katero ni nini mtafute muhaya kama ukumtaja bibi mzaa bibi yake hahahah
    • mke wa mpopo

      mke wa mpopo

      05 July 2012 at 22:22 |
      huyo atakuwa alikuwa muhaya aliyekulia bukoba. hawa wahaya waliokulia Dar hiyo service hawaijui wanafanya kuotea tu sijui ndo hivi au ni hivi?
      • mama wa ilala

        mama wa ilala

        06 July 2012 at 04:08 |
        we mke wa mpopo yaelekea bado hujafika,bado unatanga tanga na njia,hayo ya wahaya wa bukoba na wa dar umeyajuaje na wewe umedai huyo mpopo wako anakushikisha adabu mkitanda???wizi mtupu
        • mke wa mpopo

          mke wa mpopo

          06 July 2012 at 17:01 |
          been around the block
  • Mrs. A

    Mrs. A

    05 July 2012 at 10:36 |
    WE BINTI MUONGO..TENA KISONOKO...UPEKEPEKE WA MABLOG UMEUJUAJE ETI UWE BIKRA..KADANGANYE WAJINGA WENZAKO...ZAIDI ZAIDI UNIAMBIE NI BIKRA YA KUTENGENEZA..
    • fashion police

      fashion police

      05 July 2012 at 19:42 |
      we kama hukuzaliwa na bikira,,,,,shauri yako,,,mfyuuuuuuuuuuu
    • Fatuma mtanga

      Fatuma mtanga

      06 July 2012 at 02:11 |
      waliotolewa bikra wakiwa chini ya miaka 11 utawajua tu kutokana na ukali wa comment zao,sasa hasira za nini kama yako ilitolewa mapema wengine wamezitunza zao,watu tuko tofauti na tumekulia makuzi na mazingira tofauti,mtu aliekulia uwanja wa fisi hawezi kuwa sawa na aliekulia line police au masaki,hii lazima tuikubali mazingira ya kuwepo ama kutokuwepo kwa bikra(nazungumzia ya mbele ya nyuma sijui)yanategemea pia na mitaa uliyokulia.

      Nawasilisha kimtindo.
      • Kijaruba

        Kijaruba

        06 July 2012 at 12:39 |
        Kakudanganya nani kuwa wa geti kali ndio wanakuwa na bikra muda mrefu? Bikra haina formula unakaa wapi ni jinsi msichana mwenyewe atakavyojitunza, aina ya watu wanaomzunguka, aina ya malezi, mila na desturi vinachangia.

        Kwa mfano huko uzunguni wako wazazi wanaoentertain mambo ya boyfriend na girlfriend; wakati kuna wazazi wa uswahilini ni marufuku hiyo kitu.

        Kuna nyumba nyingine watoto wanakuwa abused na extended family members wanaokuja kulelewa humo ndani, wengine na watumishi wa kike na wakiume; uswahili atafanya wapi kwanza nyumba zenyewe hata privacy hakuna wakati kule mtoto anavutiwa servant quarter wakati wazazi wako kazini au mule mule ndani wakiwa wako safarini kwenye mikutano na semina.

        Kingine wazazi wa uswahili enzi zetu wasichana tulikuwa tunakaguliwa au kutishiwa kukaguliwa na mabibi na mashangazi; siku hizi utandawazi kote kote.

        Nikupe hofu tu, mwaka fulani mtoto mdogo wa kiume std 1 alikutwa kalawitiwa na watoto wenziwe wa shule moja iliyo ndani ya uwigo wa chuo kimoja kikubwa na cha zamani TZ. Mtoto alipoulizwa akasema kuwa wakati wa break huwa wanakwenda kuangalia mikanda ya xx nyumba ya mmojawao iliyo jirani na shule kisha wanapractice wenyewe kwa wenyewe.

        Kwa hiyo usirelax eti kwa sababu unahisi unaishi katika mazingira ambayo unahisi ni salama. Mara nyingi watoto huwa abused na mtu ambaye ni very close kwake! Mimi nilishatoa warning siku nyingi kuwa nikimkuta mtu anamuabuse mtoto wangu sexually sitaangalia undugu wala nini nitachukua sheria mkononi!!
  • Adala

    Adala

    05 July 2012 at 10:37 |
    Ingekuwa inauma tunge du bwanaaaaaa.Tendo la ndoa ni utamu utupu em kafanye alafu uje utuambie. ingekuwa inauma tusingerudia ng'ooooo
    • Fatuma mtanga

      Fatuma mtanga

      06 July 2012 at 02:13 |
      we nawe unazungumzia tendo la ndoa ama ngono emu weka wazi
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 10:37 |
    Khaa mdada wa miaka 25. Unaogopa kutolewa bikra. Tena na mumeo?haya endelea kuogopa!dah halafu story yako sijaiamin amin!anyway inauma kwa mwwanzo ila baada ya hapo ni shwariii!
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 10:39 |
    acha uzuzu huna somo wewe, unamtia aibu somo wako, shauriyowe bana tu kuna watu wanaachia hao na ivo uko mbali halooooo
  • 'ryn

    'ryn

    05 July 2012 at 10:44 |
    Khee!! Hvi kumbe kuna watto bado cku izi!! Eti unywe valium ili ucnzie ucckie maumivulaughing Na ukikuta hauna??? Ama unafkir bikra inatolewa kwa mapenzi tuu? U luck exposure lol!!shame on you
  • lejam

    lejam

    05 July 2012 at 10:55 |
    Ujinga mwingine??? crap
  • mgosi

    mgosi

    05 July 2012 at 10:57 |
    crying yaaaaaaaaaaaani umenichekesha kweli we mdada mwe kweli waulize wanafunzi wa secondary wakupe jibu mweee
  • koku

    koku

    05 July 2012 at 11:18 |
    hahaaaa! we dada unanichekesha. unaogopa kuumia au kuna jingine?hebu acha kututania hapa, mi ninavyowajua wanaume walivyo wakware!!hata kama unableed huwa hawana kinyaa cha kusokomeza hiyoi mishokobaro yao.huyo wako labda ana maradhi anaogopa kukuambukiza... na anayebisha kuwa hajawahi kutombana akiwa (period) mwezini asemeI dont want to seeI dont want to see
    • Anonymous

      Anonymous

      05 July 2012 at 14:15 |
      me cjawahi kutombwa nkiwa period na ctegemei.......!
    • Anonymous

      Anonymous

      05 July 2012 at 14:59 |
      dah,kweli aisee....kwanza kutombana kipindi cha period ni tamu balaa.....watu hawajui tu....mimi nishagonga demu wangu kwenye siku zake mara kibao tu...asikwambie mtu cha msingi condom ziwepo tu.....koku umenikumbusha mbali
      • Anonymous

        Anonymous

        05 July 2012 at 22:22 |
        He he hivi wanaume wanaingia umu makubwa
        • Anonymous

          Anonymous

          06 July 2012 at 18:33 |
          tukiwa pekeetu haitanoga mwaya,acha waje tupashane joto
      • mke wa mpopo

        mke wa mpopo

        05 July 2012 at 22:27 |
        haina hata haja ya condom. my mpopo yeye namuoshea kabisa halafu kama ilivyo routine anapitisha kwanza ulimi shwaaaa!, ila siku ya period anaupitisha kwenye kinena tu...huyu baba simwachi! he is a very considerate motherf***** sijawahi kuwa na mwanaume mtamu kama huyu, six years and i still get wet for him every nite!
        • Anonymous

          Anonymous

          06 July 2012 at 04:35 |
          Huyu nae na mpopo wake,bibi weee huachi
        • lulu ibrahim

          lulu ibrahim

          06 July 2012 at 11:07 |
          sasa huku tunapoelekea idadi ya mabusha itazidi kuongezeka mhmhmh hadi kwenye damu
        • grace

          grace

          06 July 2012 at 11:37 |
          hahahaha Mke wa Mpopo ulinistua kidogo ulivyosema anapitisha ulimi shwaaa nilifikiri hata kipindi cha per........ ila hongera sn inaonekana unaenjoy sn na huby wako
        • Anonymous

          Anonymous

          06 July 2012 at 18:37 |
          Amekuoa lakini au anakutumia tu kama anavyowatumia wengine na huo ulimi wake,maana six years si haba ati
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 11:27 |
    loh.... u dont know what ur missing, n what u have been missing
  • okonkwo

    okonkwo

    05 July 2012 at 11:28 |
    mie naweza kuitoa bila ww kupata maumivunerd ...ila una mume sijui nimuite anakueshimu sana?Je amejuaje kwamba bado ipo?...worriedworried nilitegemea pamoja na kwamba ulikua unavuja angeweza at akukufanyia vimichezo vya hapa na pale..no talkingno talking kama kukuchezea kinena,kukunyonya matiti,masikio na kila kitu..my point is...ww unauoga tu wa kuingiliwa..lakini akitumia muda wake vizuri kukuandaa..wewe mwenyewe utajikuta unaishika unaingiza hata km is ur first tme..big grin uyo mumeo ni mshamba wa mapenzi..tena get prepared atakuingiza kichwa tu mara tayar ashamaliza..time out sasa siku ya siku nitokee mimi kijana wa mujini mnyonya k mzuri napiga hadi 30 minutes..utajuta kuolewa!!!!!!!!!!!on the phoneon the phone
    • Anonymous

      Anonymous

      05 July 2012 at 14:40 |
      Heheheheh mnyonya kinena umenufurahisha. Huyo mwanaume nae jingaaa! Sasa mbele panakushinda tigo je si utakufa? Kale raha mwanamke dudu tamuuuu.
  • binti

    binti

    05 July 2012 at 11:38 |
    usiogope sana, ni shukuru umepata mume muelewa.

    tafadhali elewa, tena ni muhimu, kisheria ndoa inakamilika pale ambapo mtakapo fanya tendo la ndoa,,,kama mpaka sasa hamjaweza kufanya chochote basi inamaa ndoa haijakamilika. Nenda kwa shangazi zako,mama yako na ndugu yeyote,ongea naye atakupa ushauri.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 11:40 |
    makubwa, nasubiri comments za wengine
  • sasha

    sasha

    05 July 2012 at 11:46 |
    Hongera kwa umri huo na bado bikra, usiwaze sana kama ulimpenda toka moyoni, nguso wake wake utatepetsha kila kitu, na baadae utakuwa wamwita mwenyewe. Ajue utaratibu tu na sie akurupuke kama mwizi. Mume anauvumilivu huyo mwezi kaoa hajapata mzigo lo.
  • primrose

    primrose

    05 July 2012 at 11:53 |
    hehehe Mange naona umeweka optional comments links,there is no way nitaomment humu kupitia faebook or twitter,wana uturn tunajijua wenyewe kwa mashumbulizi na kuzodoana,anyway keep improving the site...thumbs up
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 11:53 |
    loldrooling
  • ngomalee

    ngomalee

    05 July 2012 at 11:54 |
    kwa umri huo huna tena bikira, ni kwamba hujaingiliwa tu kimwili, utapata maumivu kidogo sana after nje ndani mbili tatu utaona utamuuuuuuuuu
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 11:56 |
    thumbs downthumbs downthumbs downthumbs downthumbs down ujinga mtupu mbuzi wa sikukuu wewe hapo ulipo labda utuambia bikra ya nyuma kaya ya mbele huna mama acha kumdanganya huyo kaka pia na sie hapa. 25fucken years na mwanaume gani anaoa sikuhizi bila kuonja kama mzigo shughuli unaiweza ahaha bibie wadanganye watotowave hapawave
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 11:59 |
    KAMA UTAPATIWA MAANDALIZI MAZURI, MAUMIVU HAYATAKUWEPO. INABIDI JAMAA ACHUKUWE MUDA MREFU KUKULAINISHA KWA NJIA YA ROMANCE. HONGERA SANA KWA KUJITUNZA HADI KUFIKIA UMRI HU. ALL THE BEST.
  • suzette

    suzette

    05 July 2012 at 12:07 |
    mwanamke mjinga wewe sijapata kuona!! napita tu..eti vallium..jinga wa mwisho
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 12:10 |
    Hivi kweli watu wengine ni manyambu sana kwanini uliolewa kama ulijua inauma? usijishaue. unataka kuoga shart uvue nguo.na pia ungebaki na hyo bikra yako mpaka ufe kama unaogopa,mana sio lazima kuolewa,wannaoolewa niwale wanao weza kuucheza huo mziki,ww huwez ungekaa kwenu
  • Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange

    Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange

    05 July 2012 at 12:11 |
    Ni kweli inauma, lakini sio kihivyo hlf sio countinuosly inauma na karaha kidogo unakasikia, muhimu mwambie mumeo mfanye romance ya kutosha, ikiwezekana akunyonye sana kunako, hapo kidogo itakua rahisi kidogo. Usiogope sana maana kumbuka Bikra lazima itolewe tu
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 12:12 |
    mwenzangu inauma kweli kweli,rudi kwenu doooh,usiporudi ni kwamba unawezathumbs up
  • kemi

    kemi

    05 July 2012 at 12:17 |
    we mapatie mumeo,utampa nani zaidi ya huyo.
  • sasha

    sasha

    05 July 2012 at 12:23 |
    thumbs up Hangera bbie kwa kuwa bikra mpaka miaka hiyo, mpe nafasi mume akushike ipasavyo. Na kama moyo uradhi nae, vitu vitakuwa lainiiiiiiiiiiii kama unanawaaaaa
  • Big mama

    Big mama

    05 July 2012 at 12:26 |
    Msijishaue hapa hakuna kinacho umma hayo maumivu niyakawaida sana, bas ww dada ujiandae wakati wa kuzaa maana huko ndo kunafainali yote hebu mpe mwenzio utamu huo usimbanie hakuna maumivu hapo ni raha mpaka basi.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 12:31 |
    kuna maumiv kias na kama una dam nying jiandae mi nilibleed kwa siku kama 20. lkn badae utamuuuuuu na hakuna njia tofaut hata umwambie aingie polepole ni vgum coz ana ham na iyo k yako
    • Anonimas

      Anonimas

      06 July 2012 at 01:41 |
      20 days na ulikaa nyumbani? Makubwa, nenda kafanyiwe checkup isijekuwa una tatizo jingine!!
  • lulu ibrahim

    lulu ibrahim

    05 July 2012 at 12:35 |
    mhhh jamani mdada kwani wewe hukufundwa na somo yako ufanye nini mbona hata haiumi mwambie mume wako aikojolee kwanza ndio haiingize kwa taratibu na hapo awe alisha anza kuiingiza kidole kwa taratibu yani wala utasikia maumivu ntajikuta unakata viuno mwenyewe hahahaha
    • Anonimas

      Anonimas

      06 July 2012 at 01:44 |
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 12:44 |
    haya Bora NAI NAI umenena, hutu mtu kaolewa bila somo? mambo mengine wala hayahusu kuyaleta humu, hovyooooo
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 12:54 |
    Nitafute mimi fundi wa kutoa bikira hata uwe umekomaa vipi hutosikia maumivu.....yaan ni sawasawa na kunywa soda kwa mrija.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:03 |
    tumeingiliwa uturn leo

    ni kweli inauma sana nafikiri inategemea mtu na mtu mimi niliumia na nilimchukia yule kijana kwa miezi kadhaa lakini sasa hivi namtamani bcause he was so gentle na sijui yuko wapi......ooh poor me
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:11 |
    ebu muwe mnaandika vitu vya maana sio upuuzi kama huu.
  • Dush

    Dush

    05 July 2012 at 13:21 |
    go and ask your the one and only mother.
  • mmbiki

    mmbiki

    05 July 2012 at 13:22 |
    hahahahah>yani umenichekesha sana eti umeze valiam lol..hii mpya sijawahi kusikia..my dear usisikilize ya watu.just go and have ur on experience mwachie mumeo afaidi..as long as anajua ww ni muoga na anakupenda hutapata maumivu kabisa kama maumivu fikiria maumivu ya kujikata na kisu bahati mbaya wakati wakata nyanya au kitunguu....enjoy raha ya dunia mwana......ushauri wa bure make it so romantic and sweet,passionate.....kwani hii experience yako ya kwanza ikiwa mbaya its will affect ur future sex life..try to make the most of it fikiria utamu si maumivu..
  • mmbiki

    mmbiki

    05 July 2012 at 13:24 |
    u tamuuuuuuuuuu.usibane pajaaaa
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:24 |
    nimeshangaa sna,ilikuaje ukaolewa?labda kuna kingine unachoogopa hujataka kukisema lakin sio kutolewa bikra.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:25 |
    • Anonymous

      Anonymous

      05 July 2012 at 14:03 |
      huyo mwnaume vuvuzela
    • Anonymous

      Anonymous

      05 July 2012 at 15:31 |
      Jamani bikira kutoka sio lazima mbooo tu kuna mambo mengi yanachangia bikira kutoka mfano kama mtu anapenda endesha baiskeli mara kwa mara ,mtu anayependa tumia O.b na hata mazoezi magumu.so inawezekana kabisa ukawa hujakutana na mwanaume na husiwe na bikira vilevile au ukawa nayo na kuuma inategemea na huyo mtoaji inaweza kuuma au hisiiume vilevile na kama unaogopa kwa nini unaolewa? endelea kutunza tuu pengine utapata zawadi mwisho wa dunia.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:40 |
    Makubwa!!u turn inasomwa na watoto pia,mi hata sikumbuki kama niliumiaga lol
  • Mangaliso

    Mangaliso

    05 July 2012 at 13:40 |
    laughing Wewe kweli kiboko me nahisi we si bikira wala nini, ulimdanganya mwenzako sasa umefika wakati wa ukiona ndo unachoogopa wewe. Jamaa atakuchapa asipo ikuta akakuta ni shimo la soko kuu.applauseapplause
  • Mwalimbichi@gmail.com

    Mwalimbichi@gmail.com

    05 July 2012 at 13:41 |
    We bnt wkt unaolewa somo hajakwambia huko waenda kufanya nn?na km unaogopa kutolewa hyo bikra je utaweza kuwa mama ww?inauma lkn c km unavyoiskia kwa kusimuliwa,na uhondo wa ngoma............
    Kaz kwako mwanamwari,kila la kheri
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:46 |
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:47 |
    huyu dada anachekesha kweli eti val...... kanywe
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 14:46 |
    Angalia picha za ex zitasaidia kuona utami wa sex. Siku hizi zimejaa kibao kwenye mitandao hadi katuni zipo za kijapani. Tafuta kitu kinaitwa hentai kwenye google. Sex tamu mama ndo mana watu wanakonda na mawazo wakiachika.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 14:46 |
    Angalia picha za ex zitasaidia kuona utami wa sex. Siku hizi zimejaa kibao kwenye mitandao hadi katuni zipo za kijapani. Tafuta kitu kinaitwa hentai kwenye google. Sex tamu mama ndo mana watu wanakonda na mawazo wakiachika.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 14:59 |
    raised eyebrowsI don't knownot listening aende zake huko huyo atakuwa alishotombwa hadi kwapani anatu enjoy hapa.... na huyo mwanaume wako nae senge au hasimamishi?????
  • Kishanshuda

    Kishanshuda

    05 July 2012 at 15:35 |
    ukiendelea na tabia hii mumeo atakuwa anatia wanawake huko nje halafu akija kwako anajidai muelewa,shauri yako....unakibanabana kitaliwa na nyenyere!!!hurry up!
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 15:58 |
    kwa kupunguza maumivu mwambie jamaa kabla haja du apake mafuta ya vaseline kwy nanii then ale mzigo.
    • Anonymous

      Anonymous

      06 July 2012 at 02:24 |
      mafuta ya vaseline tena? kifilo@work nakiona kileee
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 16:17 |
    HAKUNA BIKRA HAPO.WE USHATIWA SANA.
    LABDA BADO NYUMA
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 16:29 |
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 16:43 |
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 16:43 |
  • lisilocheka

    lisilocheka

    05 July 2012 at 17:13 |
    nail bitingnail bitingnail bitingnail biting acha acha kabisaaaa. inaumaje??? oooohhhooo utakoma.. kwanini hukuuliza kwanza kabla ya kufunga ndoa ili uendelee kuitunza hyo bikira yako??? ila pole, na kuvunjwa bikira si mbaya, mbaya kumtoa mtoto inauma hyooooooooooooo..
  • megan

    megan

    05 July 2012 at 17:42 |
    kwanza hongera kwa kujitunza dada na pia umeshajijengea kwenye fikra yako kwamba bikra inauma ndo maana unakuwa unaogopa kila wakati hata wakati mwingine unakosa raha.Huyo mume wako inaonekana ni mwanaume anayekupenda sana kama uliweza kukaa naye wakati wa uchumba na hamkufanya basi ni mwanaume muelewa.

    ushauri wa bure huyo tayari ni mumeo na maana ya ndoa tendo la ndoa ni swala muhimu sana hivyo wala usiwe na woga

    mimi mwenyewe siku ya kwanza kufanya mume wangu hatukuweza kufanya maana nilikuwa naogopa siku ya pili mambo yakawa safi hivyo ondoa shaka dada
  • princess

    princess

    05 July 2012 at 18:33 |
    mimi mwenyewe nimetolewa bikra nikiwa na miaka 24 wala haiumi kama story tunazodanganyana chini ya mti na inategemea na mwanaume mwenyewe likiwa sio gentleman linaingiza tuuu bila matayarisho hata kama sio bikra utaumia tu so we kajiachie tu ila akikisha kijana anakuwa mstaarabu
    mmmm nawatu wamekushushua humu na hiyo yote ni wivu tu hakuna msichana asiyependa kuolewa bikra wote tunapenda ila ndio hivyo ukiherehere umetuponza,mabikra wapo sana kama yako ulitoa ukiwa vidudu jibebe
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 18:50 |
    uwe na bikra weye si mpaka? macho juu juu namna hiyo!!!umekurupuka usingizini nini ndo ukaandika hapa..come back to reality lady YOU R NOT A VIRGIN..PERIOD. ushatobolewa enzi hizooo unatuzingua tu sie. alaaaa..eti inauma..hujawai umia wewe..subiri mumeo akale kwa waliowazi ndo utajua maumivu ni nini.
  • Uturn addict

    Uturn addict

    05 July 2012 at 19:25 |
    Mhmm mi leo napita tuu
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 19:52 |
    Kweli nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe! Sasa ameomba mummshushue au ameomba ushauri? Jaribuni kuwa wastarabu, ni bora kutochangia kuliko kumkejeli dada wa watu! Hongera dada, usijali mummy, anachotakiwa kukupa ni maandalizi ya kutosha na pia wewe utoe akilin kwako fikra kuwa hiyo kitu inauma, mkifanya hivyo na uhakika hakutakuwa na maumivu. Wish you all the best!
  • Kanioligwe gwe

    Kanioligwe gwe

    05 July 2012 at 21:13 |
    UBikira maana yake mboo haijachungulia huko kwenye K.Nadhani wengi mnafikiri kuwa bikira ni kutotolewa ule utandu,la hasha maana yake mboo haijatua hapo.Kwa hiyo hata kama utandu umeondoka lakini hakijaingia kitu cha kufanya friction na ndicho huyo bibie anakiogopa.Kwanza angekuwa mjanja siku anapopata nyege angejaribu mwenyewe kujiingiza kidole halafu vidole na kujaribu kufanya kama vile jamaa anapampu.Bibie unataka kuandikia mate na wino upo vipi weweee?Ila namshangaa huyo mumeo kama kweli zinamtosha.haingii akilini mtu umeoa mwezi hujamwingilia mke kimwili.Hii inabidi iandikwe historia kabisaa.Nadhani haijawahi kutokea duniani.Yaani hata kama mko mbali bado sioni kama inavumilika kihivyo,la sivyo mumeo kuna mahali anajibinafasi manaa hata katika uchumba ulipomkatalia alikuacha kirahisi kwa sababu alijua kuna mahali mbadala anakokula hivyo hakuwa na sababu ya kung'amg'ania kwako.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 21:26 |
    mh...kweli tumefikia hatua kwamba mtu akiolewa bikra au kufika miaka 25 na bikra yake ni aibu?.Lord have mercyprayingprayingpraying . Hongera mpenzi, tena hongera sana. Kama unaona huelewi kabisa jaribu kuonana na gyno akuelezee kiutalaamu zaidi. Knowledge is power, once you understand everything it will be much easier for you. Once again, hongera sana mdia...be proud luvieapplauseapplauseapplause ...
  • Kanioligwe gwe

    Kanioligwe gwe

    05 July 2012 at 21:34 |
    Umenitia nyege wewe bibie du yaani hiyo K haijaguswaaaaaaaa?Nasisimkajeeeeee mieeeeeeeeee?bahati nzuri sijajua ulipo ningefanya chini juu nikufikie kwa gharama zote.
  • Kanioligwe gwe

    Kanioligwe gwe

    05 July 2012 at 21:34 |
    Umenitia nyege wewe bibie du yaani hiyo K haijaguswaaaaaaaa?Nasisimkajeeeeee mieeeeeeeeee?bahati nzuri sijajua ulipo ningefanya chini juu nikufikie kwa gharama zote.
  • Maudodo

    Maudodo

    05 July 2012 at 21:56 |
    wala usiogope shost inauma but not kiviilee, cha muhimu mwambie tu akuandae vizuri na we uache hayo mawazo ya kuumia fikiria raha tu utazokuwa unazisikia, we mwenyewe utaomba round ya 2...chezea mchakabwengo weye....all the best, na kikijibu uje utuze shost.....!!!love struck
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 22:23 |
    Weka pili pili hautaumia
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 22:29 |
    Uwii wabongo kiboko yanimlivyomchamba huyu mdada wawatu sizani kama ataludia kuweka comments humu
  • mke wa mpopo

    mke wa mpopo

    05 July 2012 at 22:30 |
    usishangae siku ya ku-do unakuta ilishatoka yenyewe siku nyiiingi.....NITACHEKAJEEE! usipoikuta tujulishe please! sawa mamii!
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 22:33 |
    seriously sijawahi kusikia mtu anaogopa kutolewa bikira, yaani sijawahi!
  • Vancouver

    Vancouver

    06 July 2012 at 02:34 |
    Hongera kwa kujitunza mwaya. Ulipoolewa ulikuwa angalau na kungwi wa kukufunda mambo ya chumbani au uliolewa tu ? Kwani unatakiwa ujiandae kwa stail zote kuingia kwenye ndoa huyo jamaa siyo utamridhisha kwa sura nzuri tu ila hayo unayaogopa na style tofauti.
    Kuhusu bikra usiogope ni kama kauzi tu tena inawezekana kalishakatika ukiwa kwenye mazoezi au ukiwa unaendesha baiskeli. Pia nenda phamarcy nunua ile cream ya kulainisha ile sehemu kwani maumivu yanatokana na ukavu wa ile sehemu yetu ikilowana no maumivu utasikia kidogo tu akiingiza . Akishaingiza ndani kuna nafasi kubwa tu na raha utakayoipata ni haina mfano.
  • None

    None

    06 July 2012 at 04:25 |
    Huyo msanii tu. Na wengi wenu mnachoteka kama vile hamjui ametunga yote haya. Wee, leta story za kueleweka, toa usanii wako hapa! Inauma inauma, kama umesikia tu na ulikuwa na nyege ukambusu mumeo all this time na kamboo kakachongoka wakati mnakumbatiana unataka kuniambia hujawahi kuvua chupi? Acha mama acha! Basi hujui mapenzi ondoka kwenye ndoa!!!
  • Anonymous

    Anonymous

    06 July 2012 at 09:48 |
    HUNA LOLOTE WEWE.
    UNATAKA KUSOGEZA MDA KWA STORY TU ILA HAKUNA BIKRA KWA UMRI HUO.
    HATA WATOTO WA GETI KALI WANATIWA NA WALINZI UCKU WA MANANE.
    KAULIZE MASAKI NA BAHARI BEACH KA KUNA MTOTO MWERNYE BIKRA YA MBELE.
  • grace

    grace

    06 July 2012 at 11:41 |
    huyu binti mimi nimemshutukia anaogopa kutolewa bikira ya ti....express urself hahahaha.
  • Kijaruba

    Kijaruba

    06 July 2012 at 12:58 |
    Kwa nyie ambao mnasema watu wamemponda huyu dada kwa sababu labda ya kumuonea wivu, nadhani hamlioni tatizo la huyu dada, nalo ni hili,

    Kama ameingia kwenye ndoa bila ya kujua kilichompeleka huko au anatakiwa afanye au afanyiwe nini, basi ana tatizo kubwa kuliko hiyo bikra. Kwa sababu bikra itatolewa siku moja na ndio itakuwa imetoka hiyo, then what next?

    Watu wamemuuliza maswali muhimu humu ameolewaje bila kupewa mafunzo ya ndoa? Maana angelipewa hayo mafunzo asingekuja kuuliza upuuzi humu kama bikra inauma au haiumi. Haya mambo haya ya kutofanyiwa maandalizi matokeo yake baada ya mwaka tu, mwanaume anatoka nje ya ndoa pamoja ya kuwa alikuoa na bikra yako. Rudi kwenu mtafute dada yako shangazi au bibi yake wakufunde mambo yote yahusuyo tendo la ndoa, lau unaona aibu basi tafuta makungwi au masomo wa kulipwa uwalipe pesa zao wakufundishe bikra inatolewaje na kama inauma au haiumi na ni nini ufanye baada ya hiyo bikra kutolewa ama sivyo utaishiwa kuwa housegirl wa kupika na kufagia na kufua wakati wenzio wanamhudumia mumeo.

    Na ukiwa bikra sio kigezo cha kutoijua mizungu ya kitandani. Ndoa sio kupika na kufagia ndoa ni tendo la ndoa, na kama unaweza kuja uwanjani huku kuulizia kuhusu tendo la ndoa ufanyeje basi hukupaswa kuingia kwenye hiyo ndoa!
    • Anonymous

      Anonymous

      04 March 2013 at 16:59 |
      Acha ujinga.
  • koku

    koku

    06 July 2012 at 14:31 |
    oliverd'oh oliverd'oh sebenebring it on sebenebring it on i love this newblushing
  • Anonymous

    Anonymous

    06 July 2012 at 15:27 |
  • Anonymous

    Anonymous

    06 July 2012 at 15:32 |
  • Anonymous

    Anonymous

    06 July 2012 at 16:25 |
    uwii me nilitolewa bk nikiwa nabrdbring it onliar
  • Anonymous

    Anonymous

    06 July 2012 at 16:36 |
    rolling eyes pole dada,ila i bliv kama huyo hubby wako anakupenda will make u hapyyyyyyyyyyyyy and utaenjoy achana na hao wasema ovyo wana mastress yao ya kuwatosha....
  • Prettyngina

    Prettyngina

    06 July 2012 at 16:56 |
    crying hongera bidada kwa kujitunza. but hapa sio mahala pake au unataka ku-enjoy watu? huna wakubwa zako kwenu ukauliza hilo swali? au hukufundishwa kabla ya kuolewa? acha hizo bwana.. binti wa kiafrica wewe unatuabisha.. watu kama nyinyi mnasahau mila na desturi.. kafunze na shangazi zako kwanza au nduguzo waliolewa... unatupotezea wakati bwana.. mambo ya chumbani hayo na mwili wako... Ebo!
  • totoz ya kenzo

    totoz ya kenzo

    06 July 2012 at 19:12 |
    asikwambie mtu iyo kitu ni tamu bwana...pata bapa moja maumivu kushneywaiting yaan issue ni kukuandaa tu ila ndo kama atakua anaingia kama anaingia vitanapplause huo utakua mtihani
  • Nashangaa!!

    Nashangaa!!

    06 July 2012 at 19:42 |
    Wenye bikira hawatangaziii mtu kwani ni siri yake na yule atakayemtoboa.Hongera kwa kujitunza hadi ingawa imekutia ujinga sasa wakati ambao ni mwafaka.
  • Nashangaa!!

    Nashangaa!!

    06 July 2012 at 19:42 |
    Wenye bikira hawatangaziii mtu kwani ni siri yake na yule atakayemtoboa.Hongera kwa kujitunza hadi ingawa imekutia ujinga sasa wakati ambao ni mwafaka.
  • mke wa mpopo

    mke wa mpopo

    06 July 2012 at 23:42 |
    been married to him for 5 years. 2 boys (junior and Oladimeji) and working on a girl now. i came to realize siyo wanaija wote ni wabaya, they are very good people
  • Anonymous

    Anonymous

    09 July 2012 at 10:25 |
    maumivu yanategemea ugumu wa bikra yako. Bikra nyingine ni rahisi kuzitoboa ni kama unatoboa toilet paper. kuna nyingine ni really ngumu mpaka mboro inauma na ukicheza unaweza ukatumia siku zaidi ya moja kuibanjua
  • mama    u.

    mama u.

    12 July 2012 at 14:15 |
    we acha mambo yako ya ushamba,nenda katombwe,mpe mumeo vitu vyake unajidai unaogopa,, hamna cha kuuma wala nini,taaamu hiyo we jaribu uone raha yakethumbs up ,mshamba nini somo yako yuko wapi.
  • Anonymous

    Anonymous

    15 July 2012 at 16:37 |
    omgrolling on the floor u have killed me..who knew,mama hata google huna uangalie,acha utani..dont make tht man go out there and look for some other woman..jikaze.other wise get a drink and u wont remember...waves
  • irene

    irene

    30 August 2012 at 13:15 |
  • swaumu

    swaumu

    23 October 2012 at 15:43 |
    hongera sana kwa kujitunza mpaka umefiki wakati wako. hapa kila mtu atakuambia lake ni bora ukajiaribu uone kama inauma au la.hapo ndipo utapata jibu sahihi. usiogope just do it............
  • lotalis

    lotalis

    09 January 2013 at 14:36 |
    Huo ni uongo wako. Wala siyo bikira na wala hujaolewa. Unakoleza mazungumzo tu.

    Sema vya kweli
  • Princess

    Princess

    14 February 2013 at 09:23 |
    jaman mm nina suali kwamba ukifanya kitendo mara moja tu na kwa hafla unaweza kuotk kwa bikra yako
  • Anonymous

    Anonymous

    04 March 2013 at 16:56 |
    Huo ni ulimbukeni na kukosa mada za kuongea kwenye public. Inaonekana huyo binti mshamba sana, kwanza ningekuwa mume wake ningemuacha huyo maana atatangazia hata udhaifu wa mumewe kwa majirani. Mambo ya chumbani ataanika hadharani huyo..kama yuko hivyo, inatuhusu! asingeolewa basi.
  • Anonymous

    Anonymous

    13 April 2013 at 16:41 |
    Maumivu huwa ni makali hata mimi ninao bwana