05July
NISHAURINI NIFANYEJE.....
Habari yako,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25,Ni Bikra,Nina mwezi mmoja tangu niolewe.Siku yetu ya ndoa sikuweza kufanya chochote na mume wangu kwa sababu nilipata period gafla,na kwa bahati mbaya honeymoon yote zile siku saba zote nilikua period na baada ya siku saba iliidi nisafiri kurudi DSM kuendelea na kazi coz mimi na mume wangu hatuishi mkoa mmoja na huku kazini nilipewa siku chache tu za likizo.
Nilijiskia vibaya sana.
Hivi karibuni mume wangu atakuja DSM kuja kunitembelea,lakin nimekua na uwoga sana wa kutolewa hio bikra coz nimeshasikia kwa watu wengi sana kua hua inauma sana,hata huyu mume wangu anajua mimi ni muoga sana coz kipindi cha uchumba wetu aliwahi kuniambia tufanye nikamkatalia sana na kumwambia ni bora tufunge ndoa kwanza.Sasa basi yan nakosa raha,nataman sana nifanye mapenzi huku naenjoy na mume wangu ila nikifikiria vile wanasema kua bikra inauma nakosa raha kabisa.
Had mume wangu amefikia hatua anasema "najua vile unahs utapata maumivu,ila nitajitahd kufanya polepole au kama kuna means nyngne ya kufanya maumivu yasiwepo nimwambie'
Sasa dada hebu nishauri je nawezaje kutolewa bikra bila maumivu?Je naweza kunywa valium nikasinzia kabisa ili aniingilie na nisisikie maumivu?hebu nisahuri nifanyaje?
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25,Ni Bikra,Nina mwezi mmoja tangu niolewe.Siku yetu ya ndoa sikuweza kufanya chochote na mume wangu kwa sababu nilipata period gafla,na kwa bahati mbaya honeymoon yote zile siku saba zote nilikua period na baada ya siku saba iliidi nisafiri kurudi DSM kuendelea na kazi coz mimi na mume wangu hatuishi mkoa mmoja na huku kazini nilipewa siku chache tu za likizo.
Nilijiskia vibaya sana.
Hivi karibuni mume wangu atakuja DSM kuja kunitembelea,lakin nimekua na uwoga sana wa kutolewa hio bikra coz nimeshasikia kwa watu wengi sana kua hua inauma sana,hata huyu mume wangu anajua mimi ni muoga sana coz kipindi cha uchumba wetu aliwahi kuniambia tufanye nikamkatalia sana na kumwambia ni bora tufunge ndoa kwanza.Sasa basi yan nakosa raha,nataman sana nifanye mapenzi huku naenjoy na mume wangu ila nikifikiria vile wanasema kua bikra inauma nakosa raha kabisa.
Had mume wangu amefikia hatua anasema "najua vile unahs utapata maumivu,ila nitajitahd kufanya polepole au kama kuna means nyngne ya kufanya maumivu yasiwepo nimwambie'
Sasa dada hebu nishauri je nawezaje kutolewa bikra bila maumivu?Je naweza kunywa valium nikasinzia kabisa ili aniingilie na nisisikie maumivu?hebu nisahuri nifanyaje?
mail adress yangu kapuni(tafadhali)
kuwasiliana nasi tuma email kwenda
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
Comments (189)
Nai Nai
Halafu ikifika huo wakati wa kuzaa utafanyaje huo uchungu wake ikiwa kitu kidogo kama hicho unaogopa? Na uliolewaje bila SOMO wee mwana?
Nai Nai
muddy washington
PaRrOt
kibonge
kwahiyo usiogope sanaaa hd uanze kumeza valium
FRANK RUTASHUBANYUMA
asante
DESPERATE HOUSE WIFE
WELCOME BACK, SASA WEWE MDADA MJIBU FRANK, YEYE NDO MAMBO YOTE, U WILL NEVER BE DISAPOINTED..
Tajibeba
Mama J.
Mlaini huweza kutoka wenyewe kwa bahati mbaya na wakati mwingine bila binti kujijua kupitia baadhi ya michezo, na binti asisikie maumivu wala kuona dalili yoyote.Kuna wakati hutoka damu kidogo sana inaweza kuchafua chupi ya binti au isionekane.
Mgumu hauwezi kutoka wenyewe mpaka kwa kujamiiana.Na hata hivyo maumivu yake huwa ya muda mfupi cku 1 ya 2 huwa ni sababu ya hofu/uoga tu.Hivyo usitishike na maneno ya watu.Hakuna mchezo mtamu kama huo na hasa ukiwa wa halali uliowekewa mkono na Muumba.Ukiuanza hutauacha.
Hayo maumivu si ya milele.
UKITAKA KUJUA UHONDO WA NGOMA INGIA UCHEZE MWARI WANGU!
Anonymous
Anonymous
Anonymous
lina
DESPERATE HOUSE WIFE
SASA BASI KUKUJIBU KAMA INAUMA AU LAA, NI KWAMBA INATEGEMEA ATAKAYE KUTOA ATAFANYAJE. KAMA MMEO ATAKUJALI NA KUKUANDAA VIZURI, YANI TAKING HIS TIME NA WEWE MWENYEWE UJIWEKE TAYARI, HONEY ONDOA MAWAZO KWAMBA ITAUMA. MIMI SIKUUMWA HATA KIDOGO, MY BF (HUSBAND NOW) WAS REALLY GOOD, ALTHOUGH WE HAD TO DO IT TWICE TO COMPLETE THE PROCESS LOL LAKINI ALINIVUMILIA NA MIMI NIKAONA WELL HE IS REALLY NOT GONNA HURT ME.ONDOA KABISA KICHWANI KWAKO MAWAZO YA KUUMIA HAPO UTAENJOY. WANAO SEMA WAMEUMWA NI KWASABABU WANAUME ZAO WALIKUWA EITHER NA PAPARA NA HAWAKUWAJALI WAO FEELINGS ZAO. AU BASI TU KILA MTU NI TOFAUTI PIA. USIMEZE VIDONGE BWANA THIS SHOULD BE A WONDERFUL EXPERIENCE FOR YOU AND YOUR HUSBAND. HAUTAUMIA, NA KAMA NI KUUMIA BASI ITAKUWA KIDOGO TU KAMA VILE UKITOGA MASIKIO, KWAHIYO JIANDAE TU MUMEO AKIJA, RELAX ONGEA NAYE PLAY TOGETHER AND HAVE FUN. GOOD LUCK.
Nashangaa!!
DESPERATE HOUSE WIFE
baby ya Mange
madame skyee
DESPERATE HOUSE WIFE
BY THE WAY MANGE I LOOOOVE THESE EMOTICONS, OH HOW FUNNY I LOVE THE SHAKE ASS AND KISS MY ASS LOL
Anonymous
baby ya baby ya Lamar bongo
lulu ibrahim
mpya
Anonymous
Classic
FENESI P. PATEL
DESPERATE HOUSE WIFE
Mshamba
Anonymous
Anonymous
Anonymous
DESPERATE HOUSE WIFE
Anonymous
ngosha
no name
Anonymous
kibonge
anonymous
Dina
Sasa unaogopa nini na wewe kama hujawahi kujaribu??
usinywe dawa ya aina yoyote
Loveness from ATOWN
Loveness from ATOWN
Loveness from ATOWN
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Butterfly
pretty
Anonymous
Anonymous
koku
Anonimas
msagaji mswahili
DESPERATE HOUSE WIFE
no name
mke wa mpopo
Anonymous
Anonymous
Mama J.
ULIYENAE HAKUTAYARISHI KWANZA ANAKUPARAMIA KAMA YALE MAKABILA YA WENZETU YA KUPIGANA MITAMA HATA KAMA NI MALAYA LAZIMA USIKIE MAUMIVU NA KUNA WATU WABINAFSI .
JUMONG
MANGE HIZI TOPIC BWANA KERO
MIE
KWANZA HONGERA KWA KUJITUNZA. HATA MIE NILIKUA KA WEYE, SASA USIWE NA WASIWASI, UTAWEZA TU,JUST RELAX AND LET YOUR MAN TAKE YOU THROUGH THE RIDE, COZ HATA YEYE ANAJUA KUA UKO BIKRA, SO HE WILL BE EASY ON YOU.
ALL THE BEST.............
fashion police
WOTE HUKU NDANI WANAOBOREKA WALITOBOLEWA MAPEMA SO WANAONA WIVU....
inauma ila sio sanaaa ya kuogopa mpenzi,,,mimi nilitolewa nikiwa 21 yrs old,,,nilikunywa pombe kidogo just to make me relax... jaribu,,yu will be fine.
mama alvn
FASHION POLICE
sexylicious
Anchiwela
bimkora
c's mum!
mke wa mpopo
If Not Why Not.
Anonymous
Muke Ya Albino
Anonymous
Anonymous
Mrs jimmy choo
mdau umenikumbusha my firt time!iliumaje!
Thank God my first bf alikuwa mnjanja kitandani,
alikuwa muhaya bibi we alinipiga katerero mpaka nilikuwa nalia kwa utamu!Baada ya good sex napiss hata mara nnee,uuwwwiii after that nilikuwa naenda mwenyewe kutia bila hata yeye kiniomba!Go for it gal,kuuma ni nature tu and you cant escape nature!it must take its course!
Anonymous
koku
lilii sexii
lulu ibrahim
mke wa mpopo
mama wa ilala
mke wa mpopo
Mrs. A
fashion police
Fatuma mtanga
Nawasilisha kimtindo.
Kijaruba
Kwa mfano huko uzunguni wako wazazi wanaoentertain mambo ya boyfriend na girlfriend; wakati kuna wazazi wa uswahilini ni marufuku hiyo kitu.
Kuna nyumba nyingine watoto wanakuwa abused na extended family members wanaokuja kulelewa humo ndani, wengine na watumishi wa kike na wakiume; uswahili atafanya wapi kwanza nyumba zenyewe hata privacy hakuna wakati kule mtoto anavutiwa servant quarter wakati wazazi wako kazini au mule mule ndani wakiwa wako safarini kwenye mikutano na semina.
Kingine wazazi wa uswahili enzi zetu wasichana tulikuwa tunakaguliwa au kutishiwa kukaguliwa na mabibi na mashangazi; siku hizi utandawazi kote kote.
Nikupe hofu tu, mwaka fulani mtoto mdogo wa kiume std 1 alikutwa kalawitiwa na watoto wenziwe wa shule moja iliyo ndani ya uwigo wa chuo kimoja kikubwa na cha zamani TZ. Mtoto alipoulizwa akasema kuwa wakati wa break huwa wanakwenda kuangalia mikanda ya xx nyumba ya mmojawao iliyo jirani na shule kisha wanapractice wenyewe kwa wenyewe.
Kwa hiyo usirelax eti kwa sababu unahisi unaishi katika mazingira ambayo unahisi ni salama. Mara nyingi watoto huwa abused na mtu ambaye ni very close kwake! Mimi nilishatoa warning siku nyingi kuwa nikimkuta mtu anamuabuse mtoto wangu sexually sitaangalia undugu wala nini nitachukua sheria mkononi!!
Adala
Fatuma mtanga
Anonymous
Anonymous
'ryn
lejam
mgosi
koku
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
mke wa mpopo
Anonymous
lulu ibrahim
grace
Anonymous
Anonymous
okonkwo
Anonymous
binti
tafadhali elewa, tena ni muhimu, kisheria ndoa inakamilika pale ambapo mtakapo fanya tendo la ndoa,,,kama mpaka sasa hamjaweza kufanya chochote basi inamaa ndoa haijakamilika. Nenda kwa shangazi zako,mama yako na ndugu yeyote,ongea naye atakupa ushauri.
Anonymous
sasha
primrose
Anonymous
ngomalee
Anonymous
Anonymous
suzette
Anonymous
Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange
Anonymous
kemi
sasha
Big mama
Anonymous
Anonimas
lulu ibrahim
Anonimas
Anonymous
Anonymous
Anonymous
ni kweli inauma sana nafikiri inategemea mtu na mtu mimi niliumia na nilimchukia yule kijana kwa miezi kadhaa lakini sasa hivi namtamani bcause he was so gentle na sijui yuko wapi......ooh poor me
Anonymous
Dush
mmbiki
mmbiki
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Mangaliso
Mwalimbichi@gmail.com
Kaz kwako mwanamwari,kila la kheri
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Kishanshuda
Anonymous
Anonymous
Anonymous
LABDA BADO NYUMA
Anonymous
Anonymous
Anonymous
lisilocheka
megan
ushauri wa bure huyo tayari ni mumeo na maana ya ndoa tendo la ndoa ni swala muhimu sana hivyo wala usiwe na woga
mimi mwenyewe siku ya kwanza kufanya mume wangu hatukuweza kufanya maana nilikuwa naogopa siku ya pili mambo yakawa safi hivyo ondoa shaka dada
princess
mmmm nawatu wamekushushua humu na hiyo yote ni wivu tu hakuna msichana asiyependa kuolewa bikra wote tunapenda ila ndio hivyo ukiherehere umetuponza,mabikra wapo sana kama yako ulitoa ukiwa vidudu jibebe
Anonymous
Uturn addict
Anonymous
Kanioligwe gwe
Anonymous
Kanioligwe gwe
Kanioligwe gwe
Maudodo
Anonymous
Anonymous
mke wa mpopo
Anonymous
Vancouver
Kuhusu bikra usiogope ni kama kauzi tu tena inawezekana kalishakatika ukiwa kwenye mazoezi au ukiwa unaendesha baiskeli. Pia nenda phamarcy nunua ile cream ya kulainisha ile sehemu kwani maumivu yanatokana na ukavu wa ile sehemu yetu ikilowana no maumivu utasikia kidogo tu akiingiza . Akishaingiza ndani kuna nafasi kubwa tu na raha utakayoipata ni haina mfano.
None
Anonymous
UNATAKA KUSOGEZA MDA KWA STORY TU ILA HAKUNA BIKRA KWA UMRI HUO.
HATA WATOTO WA GETI KALI WANATIWA NA WALINZI UCKU WA MANANE.
KAULIZE MASAKI NA BAHARI BEACH KA KUNA MTOTO MWERNYE BIKRA YA MBELE.
grace
Kijaruba
Kama ameingia kwenye ndoa bila ya kujua kilichompeleka huko au anatakiwa afanye au afanyiwe nini, basi ana tatizo kubwa kuliko hiyo bikra. Kwa sababu bikra itatolewa siku moja na ndio itakuwa imetoka hiyo, then what next?
Watu wamemuuliza maswali muhimu humu ameolewaje bila kupewa mafunzo ya ndoa? Maana angelipewa hayo mafunzo asingekuja kuuliza upuuzi humu kama bikra inauma au haiumi. Haya mambo haya ya kutofanyiwa maandalizi matokeo yake baada ya mwaka tu, mwanaume anatoka nje ya ndoa pamoja ya kuwa alikuoa na bikra yako. Rudi kwenu mtafute dada yako shangazi au bibi yake wakufunde mambo yote yahusuyo tendo la ndoa, lau unaona aibu basi tafuta makungwi au masomo wa kulipwa uwalipe pesa zao wakufundishe bikra inatolewaje na kama inauma au haiumi na ni nini ufanye baada ya hiyo bikra kutolewa ama sivyo utaishiwa kuwa housegirl wa kupika na kufagia na kufua wakati wenzio wanamhudumia mumeo.
Na ukiwa bikra sio kigezo cha kutoijua mizungu ya kitandani. Ndoa sio kupika na kufagia ndoa ni tendo la ndoa, na kama unaweza kuja uwanjani huku kuulizia kuhusu tendo la ndoa ufanyeje basi hukupaswa kuingia kwenye hiyo ndoa!
Anonymous
koku
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Anonymous
Prettyngina
totoz ya kenzo
Nashangaa!!
Nashangaa!!
mke wa mpopo
Anonymous
mama u.
Anonymous
irene
swaumu
lotalis
Sema vya kweli
Princess
Anonymous
Anonymous