02July

JACKY MAFURU'S KIBAO KATA......

 

Decor by Paco decorations...

Herry Nasser 0652 909311

 

Bi harusi akiingia...

 

Bi harusi mtarajiwa, Jacky Mafuru...

 

aaawwww...mzurijeeee!!!

 

Bi harusi na mabesti zake...Devota,Ashura and Sarah

 

Mishi akiwa na Bi harusi...

 

Naskia Bi harusi alimwaga raziii...aliingia kati kama hivi na kukata mauno ya balaaaaa....

Hubby gonna have a really good time...lol..

 

guests shughulini....

 

Edna, Jacky and Edith....

 

Bijoux, Jacky and Devota wa Sweden....

 

Amina designs and Mishi...

 

Elinora and Mariam

 

 

Happy....umependezaje sasa shosti???

 

Aunt Lilly and friends...

 

Sarah, Ashura and friend.

 

 

Vivien, the bride and friend...

 

Zena and Gyver

 

Devota lookinh soooo pretty.....

 

My girl Saada,Philo and friend...

 

My girl Saada....mgongo sexyyyyyyyy.....lolest....

 

KIbao kata...watu walikataje sasa??

 

Nargis and friends

 

Masha, Mama Kibunju and friend...

 

Sintah, A.K.A JLO a.k.a unstoppable a.k.a nothing but confidence...lol...

 

Bea, Saada, Bijoux and friend...

Comments (89)

  • Anchiwela

    Anchiwela

    02 July 2012 at 23:47 |
    Mhhhh bongo kuna shughuli mi i could't keep up with that life style lo
    • muddy washington

      muddy washington

      03 July 2012 at 00:49 |
      Nilipoiona hii shughuli kule kwa watoto wa kariakoo wenzangu mashughuli blog nilijiuliza mara mbili mbili hapa niko u turn ama naota maana niliona wamejaa watu wa uturn kasoro mama bhokenzo na mama nani yule nimemsahau mwanae but namaanisha mwamvita yule binti mrembo wa makamba,ila tu nimejifunza kitu kimoja kwamba sasa hakuna mipaka ya utamaduni maana na jina jack na kibao kata huko mwanzo havikua na uhusiano sana,ila inaonekana kibao kilinoga mbaya,jack ana tumbo na kitovu kizuri sana,hongera kwa mwenye haki za kummiliki,atamuenjoy sana
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        03 July 2012 at 04:43 |
        MUDY UMEONA EE??? YANI HIZI PICHA ZIMEIPA ILE BLOG MTAZAMO TOFAUTI KABISAA! UNTILL U CONTINUE TO SCROLL DOWN ! GGGS
        • Anonymous

          Anonymous

          03 July 2012 at 18:01 |
          wenye hayo majina wapenda kuiga iga ya uswahili kaka muddy, wanayatami mambo fulani ya chumbani ambayo yanapatikana uswahilini tu,kibao kata cha kariakoo chaongozwa na makungwi masomo na kina bibi,hiki cha kuiga kimegeuka dotikomu wenyewe watupu sisemi mengi komenti ikabanwa
      • utajiju

        utajiju

        03 July 2012 at 12:17 |
        Umeona Muddy ehee
  • Nai Nai

    Nai Nai

    03 July 2012 at 00:17 |
    Mange unatutegaaaa!!! Aaah mie sicomment leo humu nawaachia wanawari na vijana!! Watu wazima kama sie tunakaa pembeni kama hivi, si unajua mdomo wangu wa Kitwashi ulivyo, nikianza kuteremsha kingwana humu ndani patachimbika!!
    • ngosha

      ngosha

      03 July 2012 at 08:08 |
      haeheeeehh.... nai umeona mange leo katutega eeeh...,,, hata mimi leo na shut up my mouth.......
  • DESPERATE HOUSE WIFE

    DESPERATE HOUSE WIFE

    03 July 2012 at 00:20 |
    LOOKING GOOD LADIES! LAKINI KIBAO KATA NDO NINI? WANAFANYA KITU GANI?
    • fatuma mtanga

      fatuma mtanga

      03 July 2012 at 00:54 |
      nenda mashughuli blog utakijua kibao ni nini na mabalaa yake
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        03 July 2012 at 04:38 |
        NASHUKURU SANA FATUMAKWA KUNISABABISHA NIKOSE USINGIZI USIKU WA LEO! GIRL!!! NIMEENDA KUCHEKI KAMA ULIVYONIAMBIA NA TOBAA NILICHOONA NI PICHA ZA WATU WAKUUUBWA PWATAPWATA TINGISHAAA AND A LOT OF TERRYFING WOMEN WITH THE UGLIEST SKIN IV EVER SEEN KWA MATOKEO YA KUJICHUBUA! LORD HAVE MERCY WANAWAKE WENZANGU ACHENI KUJICHUBUA MATOKEO YAKE BAADAE SI MAZURI!!! NIMESHTUSHWA NA MA MAKE UP WATU WENGINE UTAFIKIRI MAJINI KABISA JAMANI JAMANI!!!!!! HII SHUGHULI INAONESHA TOFAUTI KABISA! WATU WAMEPENDEZAAAA! UTAJUA TU NI KINANANI WALIALIKWA! EEEH NIMECHOKA KABISA!!!!! HADI HUBBY WANGU KANISAIDIA KUSHANGAA LOL!!!!
        • The Evil HR Lady

          The Evil HR Lady

          03 July 2012 at 14:43 |
          bwahahahah hey Desparate HW, yaani u saw ugly skin i wish ningekuwa na viicon vya kucheka... hahahaha ...jamani i will check it out
          • DESPERATE HOUSE WIFE

            DESPERATE HOUSE WIFE

            03 July 2012 at 16:59 |
            SIKUTANII EVIL, JUST GO CHECK WITH CAUTION LOL!! YANI UNAJUA ZILE NGOZI ZILIZO CHUBULIWA ZIKAISHIA KUJAA MA STRETCH MARKS YA RANGI RANGI MIKONONI NA MIGONGONI? ZIKALEGEAAA JUST UGLY, AFU ZINGINE ZIMEKUWA NYEUPEEEE KAMA MAJIVU VILE JUST PALE AS HELL!! MAKE UP NDO ZIMENISHTUA ZAIDI MAANA KILA MTU ANAJARIBU KU MECHISHA EYE SHADOWS NA BLUSH NA RANGI YA NGUO YA SHUGHULI, PICTURE MWENYEWE. MH MH...
      • Megan

        Megan

        03 July 2012 at 06:08 |
        Hahahahhaa u turn raha sana
      • Anonymous

        Anonymous

        03 July 2012 at 16:04 |
        Hivi Fatuma Mtanga ni wewe yule tuliyesoma wote Enaboishu Secondary Arusha kwa Mr. Nkini? Long tm nakuonaga hapa kwa Mange......!!
        • koku

          koku

          03 July 2012 at 18:52 |
          unamuonaga!?sasa hujamtambua tuu?? sema nakusoma
        • Fatuma mtanga

          Fatuma mtanga

          04 July 2012 at 01:51 |
          Ndo mie shostito,vile vile kama zamani,nani mwenzangu lakini?sitalisahau lile camp la mr.nkini,those were the days bwana acheni tu
    • Nai Nai

      Nai Nai

      03 July 2012 at 01:22 |
      Mie simoooo!!
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      03 July 2012 at 17:07 |
      HUYO HAPPY ANA KA CUTE FACE KWELI, AMEFANANA NA YULE ACTRESS KWENYE MOVIE YA WHY DID I GET MARRIED, YULE MKE WA TYLER PERRY. DO U GUYS THINK SO TOO?
    • Tajibeba

      Tajibeba

      03 July 2012 at 18:10 |
      ukirudi bongo nitafute DHW nitakupeleka kwenye mashughuli yake uzuri ujionee na sio usimuliwe na inanoga hasa ukipractise hope pata mie sana
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        04 July 2012 at 06:04 |
        NITASHUKURU TAJIBEBA! YANI MI NILIJUA LABDA NI JINA LINGINE TU LA SEND OFF LOL THAT WILL BE INTERESTING
  • liz d'ass

    liz d'ass

    03 July 2012 at 00:45 |
    the colour was so real.. black n red.. i loved that.. Ila Mange we mchokozi kwelii na mtunduu saanaa... mie simoo... lol
  • Megan

    Megan

    03 July 2012 at 00:52 |
    Wamependeza wadada,na bibi harusi mashallah..Mi nimependa sana gauni la Bijoux..Limempendeza,na limeshonwa vizuri haswa.
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      03 July 2012 at 04:41 |
      I LOVE SAADA'S DRESS TOO! I NALIPA NO ONE KABISA!!!! MWANAMKE MUGONGO! SHE IS REALLY BEAUTIFUL?? WE MANGE MBONA HUJAENDA? NA MADHOSTITO WAKO FULANI?? LOL AU HAMKUALIKWA NINI?
  • muddy washington

    muddy washington

    03 July 2012 at 01:02 |
    Aaaaah nimefurahi sana kumuona Amina Plummer a.k.a.amina designs hapa kwetu u turn,namkubali sana huyu bi dada,ana bonge la shepu na pia reception mashallah,watoto wa kiswahili wazuri sana na mapenzi wanayajua pia
  • melisaa

    melisaa

    03 July 2012 at 01:06 |
    wabongo vichuna kweli kweli..wasio na makaratasi kweli watajibebea wapi sijui..mgongon au tumboni kazi kwenu..bora sie tuliolewa na wzungu mapaper sio ishuu kabisa full kushuka bongo anytime we feel like..im just saying..
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      03 July 2012 at 17:03 |
      ACHA AKILI MGANDO, KWAHIYO TICKET YA KUPATA MAPAPER NI MPAKA UOLEWE NA MZUNGU.. SI KILA MTU ANATAKA WADHUNGU BIBIE, NA KUNA WENYE MAKARATASI YAO TU KWA JUHUDI ZAO BILA KUTESEKA NA VIJIZEE VYA KIDHUNGU, KAZI KWENU SASA.. NA KUNA WENYE HAO WAZUNGU WAO NA MAKARATASI JUU LAKINI ATA NAULI YA KUSHUKA BONGO HAMUNA, MH HAYA BWANA
    • Anonymous

      Anonymous

      03 July 2012 at 18:01 |
      Wewe fala kabisa, kwani tz hawana makaratasi, asha ubaguzi wewe penda rangi yako acha utumwa wa kuona wazungu bora kuliko wewe nyama wewee.
  • melisaa

    melisaa

    03 July 2012 at 01:07 |
    wabongo vichuna kweli kweli..wasio na makaratasi kweli watajibebea wapi sijui..mgongon au tumboni kazi kwenu..bora sie tuliolewa na wzungu mapaper sio ishuu kabisa full kushuka bongo anytime we feel like..im just saying..
    • Anonymous

      Anonymous

      03 July 2012 at 08:38 |
      yaaani we zero zero zero hahahaaaaaa!!! napita tu
      • Anonymous

        Anonymous

        05 July 2012 at 01:28 |
        zero cccccccccceo wenu aliyeanzisha mashauzi ya wazungu
  • koku

    koku

    03 July 2012 at 01:15 |
    shiiiiiiiiiiiit!! umebania comment yangu mangereza..ndio maana hukualikwa. lol.....watoto wa ulaya kwa kupenda minuso!!halafu mnajifanya hamtaki kuzoeana na watanzania huko mnakoishi. umbea tuu unawasumbua...
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      03 July 2012 at 17:05 |
      KWASABABU BONGO WANAONEKANA NI MA CELEBRITIES, HUKU MAJUU, THEY ARE JUST LIKE EVERYBODY ELSE...NAPITAAAAAA MBIOOOOOO
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      03 July 2012 at 17:05 |
      KWASABABU BONGO WANAONEKANA NI MA CELEBRITIES, HUKU MAJUU, THEY ARE JUST LIKE EVERYBODY ELSE...NAPITAAAAAA MBIOOOOOO
  • nyAaaaaa

    nyAaaaaa

    03 July 2012 at 01:15 |
    Wanawake wazuri wanaolewa kama Ww mzuri hujaolewa basi jiulize mara mbili hahahahaahaloooooooooooo
    • Tajibeba

      Tajibeba

      03 July 2012 at 18:18 |
      washajiuliza mara kumi mbili tu watabaki ujichebedua na vibao kata sijui kitchen party na toilet party za wenzao
  • Muke ya Muchina

    Muke ya Muchina

    03 July 2012 at 01:20 |
    Haya haya tenaaaa vibao kata, vibao chinja, vibao vunjika, vibao vya mbuzi na vya ng'ombe loooooooool!. Leo ntakaaa mtaa wa gray na shemeji zangu wa chinaaa maaanaa mawe yatakayo rushwa hapa wakati wa kulishusha JOKA la MDIMU kwenye mti yasije tupata na siye wa darajani manzese,mie simoooo. Mkimaliza ntawaomba mteme hizo Big G niwape karanga za kuonja ila lamba lamba mtalipia, mjini kuna kazi kweli kweliiii.
    by the way mtarajiwa kapendeza xana tuuu
  • Dragon

    Dragon

    03 July 2012 at 01:23 |
    Mmependeza wadada wa mujini
  • Nai Nai

    Nai Nai

    03 July 2012 at 01:25 |
    Jamani bi harusi mtarajiwa kapendeza, na wageni wote wamependeza, wametokelezeaaa, wapi my sister muke ya muchina uje uone mambo sio kila siku kukaa Manzese darajani unauza karanga na I screaam!! I want to screaaam, I want I screeeeem!!

    Weee muweke tu huyo long time and old friend of JG humu unatafuta watu wale I screeeeem!!
  • Ti Vancouver

    Ti Vancouver

    03 July 2012 at 01:33 |
    Wamependeza mno. Kibao kata ni nini kwani kwetu hatuijui hiyo. Naomba somo mtwara unijuze au Nainai . Ni sawa na mwali kuchezwa ngoma??
    • Marinyau

      Marinyau

      03 July 2012 at 09:24 |
      Mashallah wamependeza wadada wa mujini!!
    • Nai Nai

      Nai Nai

      03 July 2012 at 10:29 |
      Kibao kata sio kufundwa au unyago, maana hapo unaona wako wapiga ngoma wanaume na unyagoni wanaume marufuku hata awe gay. Kibao kata ni ngoma ya waswahili wa Tanga ambayo huchezwa uwani na si uwanjani, si unajua nyumba za kiswahii zilivyo, zina baraza mbele ambako hukaa wanaume na uwa ambako wanawake hufanya shughuli zao. Sasa hiki kibao kata huchezwa siku ya mkesha wa harusi yaani usiku wa kuamkia siku ya ndoa, hapo tena bi harusi huonyesha kidogo tu alichokipata unyagoni na si mizungu yote maana mizungu ya unyagoni ni siri. Na waalikwa pia hucheza kuonyesha furaha zao.

      Kama alivyosema kaka yangu wa kwetu mwisho wa reli, kibao kata ni ngoma ya waswahili wa pwani, kule bara kuna ngoma ya warumba, na nyinginezo. Mimi nakumbuka cousin wangu wakati anaolewa mwaka 1992 Manzese darajani, tulicheza kibao kata usiku kucha. Sasa hivi kibao kata kimekuwa fashion kinachezwa mpaka uzunguni na wazungu pori na uwepo wa blogs unafanya kionekane.

      Ila kitu kimoja nataka kusema hapa, ustaarabu wa waswahili na mambo yao including vyakula, na tamaduni na desturi zao mnavipenda na mnaviiga lakini ikifika kwenye kila jambo baya mko mbele mbele kusema kuwa huo ni uswahili. SASA LEO NASEMA WAZI HII MAMBO YA KIBAO KATA NDIO USWAHILI WENYEWE HASA!! sio kusema mabaya mazuri yake hamsemi kama ni uswahili.

      Nai Nai
      • Anonymous

        Anonymous

        03 July 2012 at 13:31 |
        bora umetoa maelezo yanayojitosheleza na watu wasiwe wagumu kuelewa kwamba si kila baya ni 'uswahili' big up!
      • WA MIGO MIGO

        WA MIGO MIGO

        03 July 2012 at 16:36 |
        Mdada shost nimekupenda sana..watu wamezidi kitu kidogo uswahili..Waswahili wapo juu..wazungu bila miuno ya kiswaz wanakaaa..mnapenda ila mnajishaua
      • Anonymous

        Anonymous

        03 July 2012 at 17:51 |
        swadakta Nai Nai wazungu pori wamevamia uswahili kushinda hata wenyewe, mapenzi kupetipeti ndio mila na desturi minimini za wazungu pori mtaishia magazetini na mtadivisiwa kwa text mesegi
      • Tajibeba

        Tajibeba

        03 July 2012 at 18:32 |
        Nai Nai kula mia kwanza yani you cracked it well wanabore sana wanaojifanya wazungu pori wakati ukitrace maisha yao ya nyuma wameishi huko wanakoita uswazi sijui wamepata exposure kidogo basi wanajishebedua utafikiri wao ndio wameumba dunia. why cant people be proud of their originality lo salale
      • Marinyau

        Marinyau

        04 July 2012 at 11:19 |
        Thanks Nai nai at least sasa nimeelewa
  • Anonymous

    Anonymous

    03 July 2012 at 02:10 |
    Baby umenibore na kujipendekeza.com sasa umeweka hizi picha za nini wakati hukualikwa?
    • Anonymous

      Anonymous

      03 July 2012 at 10:24 |
      baby ya Mange toka lini umewahi kumuona Mange kwenye shughuli za hawa wadada? Mange yeye shughuli za kina Mwamvita au Killy wenye mapesa .nicheke mie.hapa hata angepewa kadi 100 sidhani kama angeenda. kwanza sijaona hata shoga mmoja wa mange kwenye hii shughuli angeendaje?wajifanya baby ya Mange kumbe hata tabia za baby wako huzijui.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 July 2012 at 04:04 |
    wooow bibi harusi mchichaaa kichiziiii! halafu ana rangi ya fanta, safiii sana. wewe Mange kwani mwana mke kujua kukata kiuno ndo deal au ? mie kiuno changu kigumu kama jabali ila nina mautundu ya kitandani yaaani mchumba wangu haendi popote hata wana wake wampanulie hali ng'oo! Looolest! mwanamke mautundu tu, huna haja ya kujikakamua mauno kihivyooo.
    • Tajibeba

      Tajibeba

      03 July 2012 at 18:35 |
      Jipe moyo utashinda
      • Maudodo

        Maudodo

        03 July 2012 at 23:56 |
        hahahaaaa tajibeba umempatiaje, hata me kirohoroho nilimjibu hivyohivyo mwenzangu umeshout out loh...mange huyo mwenye ma A.K.A kibao umesahau kumpa moja a.k.a CEO naona anaivutia kasi imzoee...bi harusi mtarajiwa mash'allah kiuno swaaaafi laiiini kama changu....!!!
      • ndalandefu

        ndalandefu

        05 July 2012 at 17:19 |
        hahahaaa, mpe ukweli huyo. mautundu anayoyafanya sijui niyapi..au ya kuchafua hewaaaa(kutoa ushuzi)laughinglaughinglaughing
  • Anonymous

    Anonymous

    03 July 2012 at 08:13 |
    Maryam hongeraaaa naona mambo safiii
  • Anonymous

    Anonymous

    03 July 2012 at 08:44 |
    Mama u-turn hukualikwa nini, sijakuona. Pili, sarah mjamimba tena nini, hongera yake.

    Philo, I am dying for that afro, provided its real. Bi harusi, duuuh aunt wewe mzuri balaa naomba huyo kaka asikufuje tu
    • utajiju

      utajiju

      03 July 2012 at 12:25 |
      We ulialikwa? hembu peleke sura yako kam nzi huko. huyo sara kama ni mjamimba inahuuuu si ni ya kwake na mume wake.
  • mdau

    mdau

    03 July 2012 at 08:48 |
    Yaani wewe mange unachukua picha mashughuli blog halafu hata usemi sio vinzuri, maana siku moja ulichkua picha kwake ukasema hamtaki kuappreciate kazi yake??? japkuwa umechanganya na umechukua sintah lakini picha za sintah giza tupu, nyie bloggers mbona mnaonenakana kama hampendani? sio vinzuri bwana sema picha umetoa wapi acha mashauzi huyu dada ana ugomvi na mtu na mtu poa sana mpe compliments zake bwana
  • sushi puppet

    sushi puppet

    03 July 2012 at 08:58 |
    but mange kama ckuoni vile
  • JUMONG

    JUMONG

    03 July 2012 at 10:08 |
    lile gauni la saada mamuuuuuuuuuuuuuuuu
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    03 July 2012 at 10:49 |
    YAANI HUMU NDANI KUNA SURA MOJA MIMI HAIPENDI ONA HUMU NDANI ILA MANGE YEYE NAPENDA LELTA HIYO TOTO HUMU ATI NA YEYE KWENYE BLOG YAKE NAJIITA KUBWA YA MAADAUI..YEYE NI KUBWA YA KUSAKA MAADUI KINGUVU ILA MANGE AUTOMATICAL WATU NATOKEA KUCHUKUA YEYE HATA KAMA HAIJAWAFANYIA KITU BAYA...SASA AACHE KUIGA YEYE NANI NTAMCHUKIA??? YEYE NAFANZISHA WATU IMCHUKIE KWAHIYO HAIWEZI JIITA KUBWA YA MAADAU KAMA MAMA U TURN...MAMA UTURN HAICHOKOZI MTU WALA HAIMFANYII MTU UNAFIKI BALI HAINA BAHATI WATU NASEMA VIBAYA YEYE, NACHUKIA YEYE BILA SABABU....WATU IACHE KUIBA MANENO YETU NA ACTION YETU LOLS....U TURN FOREVER
    • Cherokee D'ass

      Cherokee D'ass

      03 July 2012 at 20:21 |
      Hauipendi lakini kwenye blog yake veve naenda kila siku!!!kweli baniani baya lakini kiatu yake iko dawa

      unafiki@work.com
  • Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange

    Muke ya Mpare a.k.a wifi ya Mange

    03 July 2012 at 11:36 |
    Mumkome wifi yangu,hajaalikwa kawaambia? Bi harusi mashallah kapendeza sana
  • MUKE YA MUNGONI

    MUKE YA MUNGONI

    03 July 2012 at 13:55 |
    KIBAO KATA SIYO NGOMA YA KITANGA NI YA HAPO DAR TENA YA MAHANISI.NGOMA YA TANGA NI NGOMA YA NDANI,SORRY NAINAI
    • Cherokee D'ass

      Cherokee D'ass

      03 July 2012 at 20:23 |
      Naona anachanganya na ile baikoko huyo mkigoma
    • Nai Nai

      Nai Nai

      03 July 2012 at 23:06 |
      Usinibishie bure, hii Baikoko nayo jinsi inavyokolea Dar na hao magay wanavyoipenda, itafika wakati watu watabisha kuwa sio ngoma kutoka Tanga wala asili yake sio Tanga.

      Zamani kabisa kina marehemu Farouk walikuwa wanacheza NACHI, sisi tukiwa wadogo tulikuwa tunawaona siku za sikukuu tu tukienda kwenye viwanja vya Temeke pale mbele ya Chang'ombe polisi walipojenga kanisa sijui nyumba za SDA ndio palikuwa viwanja vya sikukuu kwa watu wa Temeke, kwa mjini ilikuwa ni Kidongo chekundu tunakwenda kuwaangalia marehemu Farouk na wenziwe wanacheza NACHI ukumbi umezibwa magunia. Na kunakuwa na ngoma na kinanda fulani hivi kile cha kusukuma na mikono, hiyo ndio ilikuwa ngoma ya magay.

      Ngoma ya kibao kata kama ilivyo Baikoko ni ya kuchezesha nyonga na imetokea tanga kwa hiyo hao magay lazima wanapenda kwenye hizo ngoma kuonesha uhodari wao. Isitoshe makabila ya pwani ya mkoa wa Pwani, na Morogoro hawana ngoma ya kuchezesha nyonga zaidi ya unyago na kinyantindili cha wandengereko. Pwani ya Lindi kwa wamwera ukitoa unyago ngoma yao kubwa ya kutingisha shingo na vichwa.

      Kiufupi tu ni hivi Kibao kata cha siku hizi kimebadilika kama ambavyo Baikoko itabadilika. Kulikuwa hakuna mambo ya kukatika mpaka watu wanagalagala chini, kulikuwa hakuna makeke yote unayoyaona siku hizi, it was just simple kukata viuno basi, hakuna tofauti na wanavyochezawarumba. Ila uchezaji wa kibao kata siku hizi ni balaa hatakwenye Dictionary haupo na wala hauna vocabulary. Na si kibao kata tu yaani kuna evolution ya aina yake kwenye kucheza taarabu, na ngoma watu wanaoversexualize uchezaji mpaka ngoma yenyewe inakosa thamani. Mtu huhitaji kutumia maguvu kuonyesha uhodari wako, huhitaji kugalagala wala sijui kufanya nini, kiuno tu chenyewe peke yake chatosha kuonyesha wewe mkali tena bila kutafuta support kwa kushikilia kitu au kunyanyua mikono juu, kule kwetu Lubumbashi utakuta wanaume wanakatika na hawanyanyui mikono juu kutafuta support!!
      • muddy washington

        muddy washington

        04 July 2012 at 02:18 |
        Halafu wewe kama dadangu vile unawajua mpaka warumba bila shaka msondo umeucheza,ila uliposema kwenu lubumbashi tena ndo umeniacha hoi,maana lubumbashi kule mbali,japo dugu moya,mie mwana maniema(manyema)province na kati ya zaire,tanzania kwetu ujiji,burundi kwetu buyenzi,rwanda kuna jamaa zetu pale nyamirambo,ukirudi dar kwetu kariakoo.
        • Anonimas

          Anonimas

          05 July 2012 at 02:53 |
          Yaani wewe kumbe kaka yangu kabisa, duh Buyenzi bara bara ya ngapi? Pale kwa zero ya 19? Sisi tulipokuwa wadogo tulikaa Kariakoo nyumba ya shangazi yetu marehemu, almaarufu alikuwa, nyumba nyuma ya Mnadani mtaa wa Mafia lol!!

          Mie Nyamirambo nimekaa siku chache tu nina ndugu zangu huko, Buyenzi uswahilini usipime; lakini siku hizi waswahili wengi wamehamia Cibitoke nako nina ndugu zangu kibao. Huko Lubumbashi ndio usipime, nikienda Uganda napo sikosi pakukaa, Mombasa ndio kabisa. Mahali mimi mgeni sina ndugu ni Nairobi kwa kweli nikienda kwa mikutano ya weekend inabidi nikae kwa hotelrolling on the floor .

          Wajua sisi wengine tumechanganyika sana makabila na hii intermarriages ndio usiseme unajikuta mwisho wa siku lugha kibao unaongea!!
          • muddy washington

            muddy washington

            05 July 2012 at 08:30 |
            kwa hiyo wewe ni mmanyema au umeolewa tu umanyemani?all in all yaelekea wamanyema unawajua uzuri sana ndio mana naamini wewe ni ndugu yangu wa kwanza humu ndani.
    • Nai Nai

      Nai Nai

      03 July 2012 at 23:09 |
      Kibao kata sio ngoma ya kuchezwa barabarani au uwanjani kama wanavyofanya siku hizi jamani, Dar wameharibu kila kitu. Subirini imebaki unyago au kinyantindili na chenyewe kuchezwa uwanjani au barabarani.
      • Muke Ya Albino

        Muke Ya Albino

        04 July 2012 at 23:25 |
        NaiNai nimekupenda!!!big hug >:D
  • BODABODA Girl

    BODABODA Girl

    03 July 2012 at 14:24 |
    He he heeeeeeee.....u turn blog love much much
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    03 July 2012 at 16:59 |
    Well all is good!,,I like when Mange behave this way as a real celeb!ur giving ur fans more reasons to respect u and love u...a real celeb hatakiwi kujichanganya changanya na watu na kuonekana kila sehemu keep ur standard baby ur our Ceo our superstar n we looooooove uuuu big time!

    Manake bongo bwana starehe haziishi I mean kila wknd its happening sasa ukisema kila event uwepo unaweza ukashindwa kumaintain ur standard yako kuhusu mavazi,hair,shoes etc n u don't have to force anything n its not like huwezi kufanya hivyo no pia tu ile respect kwa watu wasipokuzoea zoea machoni..so our Ceo rockkkkk!!!
  • wifi ya mange

    wifi ya mange

    03 July 2012 at 19:23 |
    wamependeza sana> bi harusi ni mzuri kweli
  • kenzos grandma

    kenzos grandma

    03 July 2012 at 19:51 |
    duu gauni la saada limebeba sherehe,sa umemuweka wa nn huyo mkunja miguu wkt ye mfupi,kuharibu u turn yetu nyooo wapi mafatuma.
  • Joan Rivers

    Joan Rivers

    03 July 2012 at 21:52 |
    i love the decor and the choice of colour.
    bi harusi ni mzuri sana but mavazi bigi nooo. i love saadaqa dress wish huo mshono ndo angeshona bi harusi.

    haya na wewe nothing but confident sijakuelewa na hilo shart.
  • SUPER WOMAN

    SUPER WOMAN

    04 July 2012 at 08:42 |
    Ilinoga hyooo,bi harusi ka muhindi! Lol
    on the phone
  • Anonymous

    Anonymous

    04 July 2012 at 11:49 |
    Devotha Chuwa look pretty as always,what a decent and polite lady she is?she is the one to look up too.
  • Anonymous

    Anonymous

    04 July 2012 at 13:06 |
    nashidwa ata kusoma comment haziachani space!!!!yuckthumbs downthumbs downthumbs down
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    04 July 2012 at 14:07 |
    Hooray
  • Married But Available

    Married But Available

    04 July 2012 at 19:38 |
    jamani tunaiga mno
  • Maudodo

    Maudodo

    04 July 2012 at 21:57 |
    weraaaaa weraaaaaa vikatuni vimerudi......tena vimerudi kwa kasi ya ajabu...hiki kinaniacha hoi na swaga zakenot worthy na hiki natamani nikakipaste kwa joka la mdimu hahahahaaa X_X.....mweeee vidude vimenichanginyi mpaka nimesahau kilichonileta....bi harusi mtarajiwa mashallaaah kiuno swaaaafi laini kama changu.....!
  • Anonymous

    Anonymous

    04 July 2012 at 22:15 |
    Devota look pretty as always.what a classy ,polite and decent lady.she is the one to look up to .i real admire her
    • muke ya red indian

      muke ya red indian

      05 July 2012 at 17:49 |
      Devota becomes more n more beautiful as the days pass..her muzungu must be taking good care of her..she real is admireble. i envy her. i like her short hair too.
  • Anonimas

    Anonimas

    05 July 2012 at 02:28 |
    Hilo sinia la kijani la kutunza jeupee! I bet hawakwenda na chenji, kingekuwa uswahili hicho kibao kata ungeona jinsi sinia lilivyojaa chenji na noti, chezea watoto wa mujini wa ukweli.

    Mjini kwa Dar ni Kuanzia Kariakoo mpaka Kivukoni basi, wanaotoka maeneo hayo peke yake ndio watoto wa mujini, wengine wote wa Sinza, sijui Mikocheni sijui Osterbay, Masaki, Kinondoni kamwe hawawezi kuwa watoto wa mujini.
    • muddy washington

      muddy washington

      05 July 2012 at 08:43 |
      Habari ndio hiyo mwenye kununa anune mwenye kucheka acheke wengine hapo magomeni tu tulikua tunapaona shamba kutokana na historia kwamba zamani sehemu hiyo yalikuwa ni mashamba ya wakazi wa kariakoo,wengine mpaka leo imetukaa hiyo japo badae jamaa zetu wengi waliouza nyumba kariakoo walihamia magomeni
  • Ti Vancouver

    Ti Vancouver

    05 July 2012 at 02:32 |
    Thanks Nainai kwa ufafanuzi wa kibao kata. Pia nimegundua una kipaji kizuri cha uandishi na kuelezea kiufasaha kama mange.
    Bora kuuliza kuliko kuitikia kitu hukijui. lov u all.
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 13:45 |
    Sinta nae kwa kuiga, hivi ni lazima avae kama mama kenzo?! hahaha ataiga vingi sana mwaka huu ila mzungu kijana hupati ng'oooooshame on you
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 17:38 |
    DEVOTA WA SWEDEN KAPENDEZAJE. SO NATURAL N VERY ATTRACTIVE LADY..I LOVE THIS WOMAN FROM DEEP DOWN MY HEART...MWAAA
  • Anonymous

    Anonymous

    05 July 2012 at 17:51 |
    jamani hizi nguo kama aliyovaa devota zinapatikana wapi?want one
  • totoz ya kenzo

    totoz ya kenzo

    06 July 2012 at 19:03 |
    mmh jaman sasa joka la mdimu limefata nini hukuu...kenzoz grandma em nipe manati yangu nilipopoe hili joka litoke mtini