30July

HOUSE HUNTING WITH MY FAMILY......

Jumapili ya leo we spent the whole day looking at houses.......its not fun aisee.....

nimechokajeeeee......I had asked my hubby not to buy a house mpaka nifike tuchague pamoja.....lol....

 

Hubby chatting with the owners of the house and our real estate agent, Hector taking notes,,,

Hector is awesome if u r looking for a house let me know....he listens na hatupotezei muda kuangalia nyumba ambazo hatuzitaki.....

 

I love the high roofs on this house.....

 

The pool is a must have since my son is a little fish....lol

 

 

 

heeeeeyyyyy.....

i have to admit the whole process of settling down is very very very tiring.....duh.....

Comments (164)

  • MJAMAICA WA LANCE

    MJAMAICA WA LANCE

    30 July 2012 at 03:14 |
    wapi sitaharisha, leo katuvalia CL zile za miaka 3 iliyopita kina beyonce walizivaaga sana tena zilikuwa zinauzwa 6,000 dollars. yani nimechekaje mwenzenu, jamani zile CL hata hazitengenezwi tena ,uwiiiiiiiiiiiii. Mange utamfanya huyu msichana akaibe benki ili awe na vitu vyako. kigari chake ni ki manual tena kinazimikaga njiani leo kwenda kujidai anavaa CL za dola elfu 6 ndo nini???


    all in all hongera mama.
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 03:43 |
      blog gani hiyo niende nikasafishe macho?
      • Muke Ya Albino

        Muke Ya Albino

        30 July 2012 at 07:55 |
        Hebu tupeni na sie tujione.
      • two bedroom apartment

        two bedroom apartment

        30 July 2012 at 08:22 |
        Walimu wa kuishi marekani anzeni kutiririka tusikie
        • Anonymous

          Anonymous

          30 July 2012 at 17:31 |
          wanabanana kwenye mageto wakitoka hapo hasira kama mbu wa malaria..chezeya nchi za wenyewe..mnanuna nini sasa kwani uongo?
      • Anonymous

        Anonymous

        30 July 2012 at 22:57 |
        jamani tuambieni na sisi hiyo blog hata kimafumbo tu
    • kuntuafro1

      kuntuafro1

      30 July 2012 at 05:02 |
      Teh teh teh teh anako shop ourceomukeya Saks fifth avenue and Neiman Marcus huweza kupata hiko kiatu. Nikiona hakina ile authentic signature nimekizoom tayari umbea shughuli.

      Labda atakua amenunua huku kwenye hii website http://www.milanoo.com/Shoes-c1399 wanauza red soles shoes lakini sio CL.
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        30 July 2012 at 06:38 |
        HAHAHAHAHHA KUNTU HAKI MWANAMKE UTASUTWA NA KUCHAMBWA SIKU MOJA, SIKUWEZI, IMEBIDI NIKAANGALIE VIATU LOLcheers
      • The hater

        The hater

        30 July 2012 at 07:08 |
        Lol hallo CEO please Tuwekee hii site wananchi. Du vitatu viatu vyake vyote vimo humu under $100. I wish ningemuadvice hizi mechs CEO kashinda.
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        30 July 2012 at 07:55 |
        slapping KUNTU UMEPINDA!yahoo NAPITA TU.

        UTURN FOREVER BABE!!
        • primrose

          primrose

          30 July 2012 at 17:20 |
          Kuntu sikuwezi kula tano yaani wana uturn si wa kuchezea,i'm literally laughing non stop
          napita tu
      • Anonymous

        Anonymous

        30 July 2012 at 12:05 |
      • Anonymous

        Anonymous

        30 July 2012 at 16:08 |
        slapping Speaking of huyo nimharisha na cl zake za rangi ya nyumba mie hazijahuu sana..kilichoniboa ni akijaribu kumwibia mtu mume akashindwa anatabia ya kuwachukia wanawake wa huyo mwanaume...then anajitai kutunga ki barua km huyo mwanamke alafu anaki post kwenye blog yake..sasa hivi ameamua kumchafulia jina msichana mmoja ambae ni mzuri sana kuliko huko mharisha..kaandika comment as if ni huyo beutiful NM na kuipost uchochori kwake..But watu tunaomjua NM hiyo stori ni yakupakaziwa na imetungwa na ST aka SITAHARISHA. Huyu msichana ana gonorhea ya ubongo..wacha ujinga wewe mama obesity tunajua unaishi kwa kujiuza, ukitiwa matako usipolipwa usiende kuharibia wenye heshima zao majina..kwani NM ndo aliku stick vibrator mkunduni....
        mama kenzo wapi icon ya MFYUUUUUUU nataka nitumie miee
        • Anonymous

          Anonymous

          31 July 2012 at 14:54 |
          basi anatia aibu sana huyo mwanamke..kwanza kisa cha kutaka wanaume wa wenzie? ana kasoro gani mpaka asipate wake mwenyewe? anahitaji maombi tena mbele ya kadamnasi naslapping juu
      • Nai Nai

        Nai Nai

        30 July 2012 at 19:03 |
        Ewee na mkanda wake wa polisi mwenyewe kapendeza!! Kuwa fashionista kazi lazima uende na fashion siku tumkanda twembamba sio mkanda mnene kama mzazi kafunga mkaja! Halafu anasema ataisoma! Uwiii kazi kweli kweli! Mjini kuna mambo. Ngoja niende huko huko nikamuone live!!
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      30 July 2012 at 16:46 |
      hehehhehe OMG the shoes are so ugly maviatu gani ya golden shine hayo yanavaliwa kama unaenda kuperform on stage sio kuvaa for outings,,,,yani baby dont even waste ur breath kumfikiria the girl got no class,she is just rubbish!!!how can u post a pic with a mid finger up hahaha jus behaving like a school girl hahaha saddist,,,,baby wangu ur so cool yani minakupenda Mange wangu we hauko kama wao hata kidogo ndo mana unazidi kunichanganya kila leo mpenzi wangu,,,uko juuu sana,, unajiheshimu,,,umebarikiwa saaana Mange,,,mash'allah!im gonna love u forever....
  • hannah

    hannah

    30 July 2012 at 03:21 |
    uko juu mama kenzo,hao wa mtaa wa pili watajijuuuuu,me love you soo..
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 16:13 |
      Mange watch the bills honey .let marriage life begins I'm luck my mortgage is paid off .i hate bills hate bills hate bills .
  • kuntuafro1

    kuntuafro1

    30 July 2012 at 03:46 |
    I KNOW INACHOSHA SANA,POLE MY DEAR,NDIO MAANA MIMI TANGU NIAMIE KWENYE KA APARTMENT KANGU SITAKI KUHAMA NA MIAKA 5 SASA. NAFANYA KUWAITA TUU WA UPGRADE IKI KILE BASI ILIMRADI SIKU ZINAENDA.

    THE FUN THING IS WAKIKUONYESHA MODEL ZAO NDIPO MTU UNAPOCHANGANYIKIWA ZAIDI, UKIANZA KUFANYA COMPARISON UNAONA YA PILI NZURI KULIKO YA KWANZA, UNAENDA NYINGINE UNAONA NAYO NZURI BASI UNASHINDWA UCHAGUE IPI!!!!
  • koku

    koku

    30 July 2012 at 03:47 |
    Heh! yenye kidimbwi hiyo nyumba!omg utafute dada mwingine wa kumlinda kenzo! hapa tungoje kuambiwa na wenyeji wa mange kuwa,kila nyumba miami ina pool kwa kujifanya wajuajilmao
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      30 July 2012 at 06:39 |
    • romiego

      romiego

      30 July 2012 at 06:47 |
      umeona eeh yan wanavyojifanya wanajua kila kitu utadhan malaya wa jolly wanavyojua type zote za dudu
      • ngosha

        ngosha

        30 July 2012 at 15:21 |
        wee romiego jamani mwezi wa toba huu.... but umenichekesha eti malay wa jollyyy hahaaaaa.....hump
      • m a r i c h u i

        m a r i c h u i

        30 July 2012 at 16:27 |
        laughinglaughing hii nayo kali Type zoote na vibamia ndani hahahaha!
      • Mshamba

        Mshamba

        31 July 2012 at 08:45 |
        Niimeikubali hii!laughingrolling on the floor
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 03:55 |
    kwasasa mnakaa wapi mange?
    • romiego

      romiego

      30 July 2012 at 06:49 |
      unataka upajue ili iweje? ukaombe chakula au kufua nguo za kenzo?ndo nyie wambea wa mji kufatilia watu..cheza na mambo yako ukishindwa jitapishe
      • baby ya Mange

        baby ya Mange

        30 July 2012 at 16:24 |
        hehehheheh dih!umenifurahisha jamani minammiss tu Judi jamani Judi rudi baby usikute unabania msg za judi jamani.....crying
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 10:37 |
      Kwenye nyumba. Jamani maswali mengine,unadhani wanakaa wapi, nje?
    • If Not Why Not.

      If Not Why Not.

      30 July 2012 at 12:04 |
      Kwako. We unafikiri wakakaa wapi?
  • romiego

    romiego

    30 July 2012 at 03:56 |
    wakuache chezea mtoto wa kipare,i try 2 sum up this 2 weeks umetumia sh.ngap mana expensive hair,ur new 3 babies CL'S,gratiae cosmetic,new car and now house? u rly chop ur hubby monie....i rememba ulivyosema this year u want 2 av ur own house,kenzo ajue kuongea kiswahili yan all umeyatimiza..ila angalia mana nahisi unawaua watu kwa kihoro cha wivu...hongera OUR classic CEO
    • Mshamba

      Mshamba

      30 July 2012 at 22:00 |
      Yaani Romiego, umeongea point haswa. Mimi nilikuwa nafikiria hayo mapesa yaliyotumika in the past 2 weeks alone. Jamani sio masihara ni some serious cash hata kama ni credit ingekuwa imashamax siku nyingi na payment zake za kila mwezi zingekuwa kimeo. Sasa baada ya mwezi si Mange atakuwa anatufanya tunaona maluwemaluwe tu humu ndani kwa vibao atakavyotuchapa?
  • Njokuno

    Njokuno

    30 July 2012 at 04:01 |
    tuonyeshe sehemu unayokaa sasa hivi basi.
    • romiego

      romiego

      30 July 2012 at 06:51 |
      ili iweje? haya yuko hapo matakon kwako umemuonaa?ovyooooooooooooooo
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      30 July 2012 at 07:19 |
      Halafu ukishaiona ?fuck you
    • Kijaruba

      Kijaruba

      30 July 2012 at 13:04 |
      Akuonyeshe anayokaa sasa hivi ili iweje? Mbona una kiherehere kama kuku mwali aliyeanza kutetea!!
      • slim

        slim

        30 July 2012 at 17:39 |
        kijaruba umenfanya ncheke eti kuku mwali alieanza kutetea lol..haha
    • Chaunabe

      Chaunabe

      30 July 2012 at 15:35 |
      Anakaa kwenye kiti./ wanakaa kwenye viti. Next questionsilly
  • ROMIEGO

    ROMIEGO

    30 July 2012 at 04:05 |
    then picha za leo hazina hadhi ya kimambi's blog..picha zimepauka kama umetumia simu ya kichina
    • mke mwenza

      mke mwenza

      30 July 2012 at 07:54 |
      Mange u deserve all ...anayenunu anune ila KILA MTU AMEPANGIWA RIZIKI YAKE....MANGE HATA MIMI NIMETAMANI INGEKUWA MIMI ILA SIJATAMANI USIWE WEWE..........ceo U ARE THE BESTEST ...LOVE YOUR HUBBY WITH ALL YOUR ENTIRE LIFE.....AND RESPECT HIM HATA AKITAKA TAKO MPE MAANA HE LOVES, HE CARES YOU, HE YAAANI I'M SPEECHLESS KWA KWELI ......'M VERY VERY VERY VERY......VE....RRY.....PROOF OF YOU. FURAHIA MAISHA MY DEAR ....na nyie roho zinazowatoka MSALI SIKUHIZI HIRIZI HAZINA NGUVU TENA .....(OMBEENI WAUME ZENU, WAPENI SUPPORT ILI WAFANYE KAZI KWA UFANISI) NA SIKU ZOTE MVUMILIVU HULA MBIVU. HONGERA MUM 2
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 04:28 |
    Da Mange hizi picha za iphone? quality yake sio nzuri..Anyway pole na kuchoka utapumzika soon CEO
  • Chaunabe

    Chaunabe

    30 July 2012 at 04:47 |
    Mange usisikie house hunting mie na my usband wangu tume hunt mpaka basiiiiiiii LOL!raised eyebrowswhew!whew! .

    hongera bibi kaza butii sasa tuone wakina adunje na wao wana hunt nyumba bongo.harolling on the floor
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 04:52 |
    the moment has come.....blowkiss Tia adabu mutoto ya kipare sasa mambo ya mjengo duh hakuna kmceo wetu.watanuna wengi mwaka huu.
  • Ti vancouver

    Ti vancouver

    30 July 2012 at 05:21 |
    Kuna picha moja imekutoa ile mbaya. Hongera mwaya utasikia wale tusio na nyumba tukisema oo ni mkopo kumbe rohoni twatamani. si unajua wengine tukitaka swiming pool mpaka tuchanje mbuga mtaani, hapo ni wewe na familia yako tu sisi tumezoe za kuwekewa mpaka wa kamba. Kama humuwezi kimaendeleo bora umfurahie kuliko kununa riziki haizibwi.
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 10:36 |
      Kweli dear, kuna watu hawapendi kila Mange anachopata. Lazima wataibuka na kusema ni mkopo. Ovyooooo!!! kama mkopo na wenyewe si wakope wakanunue.
  • MJAMAICA WA LANCE

    MJAMAICA WA LANCE

    30 July 2012 at 05:30 |
    CL ya sitaharisha inapatikana humu
    http://www.milanoo.com/Fashion-Pink-Glitter-Studded-Peep-Toe-Red-Bottom-Sandals-p177126.html

    dola 76 tu wanakutumia.hahahahahha. kushindana na mange kimambi huku tutachanika mikundu mwaka huu.
    • DESPERATE HOUSE WIFE

      DESPERATE HOUSE WIFE

      30 July 2012 at 07:51 |
    • koku

      koku

      30 July 2012 at 11:59 |
      duh mtu wangu umeuwa kabisa. kumbe hata vile vingine kanunua $40!! halafu anajidai eti hana mashauzi!! lazima azime na cl zake za kichina- ngoja namimi nitume order yangu. mbuta nanga kkiruuuuigaufe
    • If Not Why Not.

      If Not Why Not.

      30 July 2012 at 12:26 |
      MI anachonishangaza sitaharisha anatumia nguvu nyingi sana kuzielezea picha zake. Maskini ya Mungu.
    • Anoni Fan

      Anoni Fan

      30 July 2012 at 15:09 |
      rolling on the floorhahahaha

      yaani kwanza mie nlivoviona tu, nkaguna, nkajua mchina huyu!umeona soli ilivyokua na bad finishing!!cl za ukweli ukiziona dada utadhani zumechorwa, yaani finishing nzuriiii!!!

      watu bwana!!yaani ka mie yeye nngekua naona aibu!!
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      30 July 2012 at 16:58 |
      Hhahahaahah bei ya Makumbushoigaufe
    • SITAHARISHA

      SITAHARISHA

      30 July 2012 at 20:45 |
      Mbutaaaa!!uwiii we umeua. Kitu live bila chenga, kama lady Gaga mwanawane,lol. Hiyo Tsh ngapi wajameni huko kwenye vumbi bongo? inafika f 40 kweli? Wallahi umeniumbua. Kweli mashauzi yahitaji pesa.
    • uswazi.com

      uswazi.com

      30 July 2012 at 23:35 |
      letsparty shost uliyeleta hiii link mmmmh jamani ina vitu vizuri i cant wait kukomba hela zote uko na mimi nifanane naceolmao
  • Yousou

    Yousou

    30 July 2012 at 06:29 |
    Aaaaaaah Mange bado hujamaliza tu Kutukana?!me Nilijua Porsche Ndio mwisho Haya Wengine mliogea mpendwapendwa hahahaha.Haya wajuaji aw credit score mtuambie.Manake sidhani mpaka hapa bado kuna credit score hahaha.Tumia Pesa ikuzoee Wengi tunaishi kwenye apartment tena hata afford Tuko na maroom mate.
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 07:13 |
    Sitaharisha says "Natisha kila siku sio kwa msimu!!!!!!!! ndio maana madada wengi hawanipendi wananichukia tuu bila sababu" Anatisha kwa lipi mwenzetu??!! Vitu fake?!!
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    30 July 2012 at 07:15 |
    ceo Chapaaaaaaaaa! hahahahaahahfan
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    30 July 2012 at 07:19 |
    Shem Yupo juuapplauseapplause angekuwa Wakina nanilii aanze tu kukusubiri wewe mtafute Nyumba ! chezea angeshilikishwa Mama Yakeeeeee !
    • Anonymous

      Anonymous

      31 July 2012 at 07:47 |
      YAANI UMENENA! TENA MAMAKE KATOKA USHAGOO(KIJIJINI) HAJUI HATA MJI, BASI ANAJIKUTA KANUNUA SEHEMU MBAYAA KISA MAMA KASEMA. ndiyo ni vizuri kumsikiliza mama lakini maamuzi mengine ni ya mume na mke.
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    30 July 2012 at 07:30 |
    Kuna viatu vingine somewhere in this world hahahaha hata bure sivai lol ! Ushamba.com ...viatu kama msanii ?laughing Lady Gagashower bado sana
  • Oshin

    Oshin

    30 July 2012 at 07:35 |
    goodluck Hongera mange with all ur sucesses, nakuonea raha dear.. u've a great family. mungu azide kuwapa nguvu na afya kumlea mwananenu ana adumishe ndoa...
    i like ur life style dear..
  • Muke Ya Albino

    Muke Ya Albino

    30 July 2012 at 07:54 |
    Haya mliotaka nyumba hiyooooooooooooooooo! waliosema apartment ya vyumba viwili hayaaaa... waliosema nyumba ndogo hayaaaaa... tusubiri watalaam wa mambo ya credit watupe somo sasa.chase wote!!!! Usisahau Kumshukuru Muumba Wako Mange.
  • ngosha

    ngosha

    30 July 2012 at 08:05 |
    jamani Mange mbona unapenda kututendesha dhambi ya KUTAMANI ktk kipindi hiki kitakatifu cha mfungo??? mara gari ,mara nyumba, mara,,,,,, aaarrgh...... eeh mungu nisamehe kwa hii hali inayotaka kunikumba.... mweee
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 19:51 |
      yani nimecheka hii msg ya Ngosha!!! bora uliyejisemea ukweli kuliko wanaoungua kwa wivu.
    • Macho

      Macho

      31 July 2012 at 13:47 |
  • c's mum!

    c's mum!

    30 July 2012 at 08:08 |
    hivi minesotta ashafika miami?? lol! mange wetu upo juu, juu mbaya, congrats mpaka hapo ulipofika, na pole for house hunting!
  • maudodo

    maudodo

    30 July 2012 at 08:16 |
    ourceo wakimbize wakimbizeeeeeee duh mispeed uliyotoka nayo this week, i think wameshachoka kufollow now wanajiburuza tu coz umewaacha mbali, na wengine ndo wamekumbuka CL now...mange jiandae kupokea hati ya mashitaka unashtakiwa kwa kuwatia watu pressure na ugonjwa wa hasira...hahahaahheeeeeiyaaaaaaasonya
    • romiego

      romiego

      31 July 2012 at 03:13 |
      tena presha ya nyege kupandishwa mistimu bila kuona dudu
  • NOONE

    NOONE

    30 July 2012 at 08:23 |
  • Untouchable girl

    Untouchable girl

    30 July 2012 at 08:30 |
    Mshukuru sana Mungu dada yangu.
  • Dogo la Mange

    Dogo la Mange

    30 July 2012 at 08:31 |
    Aiseeeee Mangeee unamnyima Sintarishaaaa usingizi maana karibia ataenda kuvunja bank ili tu awe kama wewe anajisahau kuwa vidole avilingani hata siku moja.....Wakimbizeeeeee Mange Wakimbizeeee hao hao ..
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    30 July 2012 at 08:42 |
    BASI ILE MTU NAISHI HAPO US AMBAYO NATAMANI NA WAO VITU KAMA HIYO ILA HAINA UWEZO AU HAINA BANA YENYE UWEZO, TAANZA KUSEMA OOOOH KAMA NYUMBA US SIO DEAL KAMA NANUNUA BASKEL HUKU US NAONGEZWA NYUMBA, KAMA NANUNUA DRINKING WATER NAWEKEWA SWIMMING POOL, KUMBE ROHO NAWACHOMA....MWAKA HUU MTAKUFAA....MAJIBU YOTE NAPEWA WITHOUT CHENGACHENGA.
  • FENESI P. PATEL

    FENESI P. PATEL

    30 July 2012 at 08:42 |
    BASI ILE MTU NAISHI HAPO US AMBAYO NATAMANI NA WAO VITU KAMA HIYO ILA HAINA UWEZO AU HAINA BANA YENYE UWEZO, TAANZA KUSEMA OOOOH KAMA NYUMBA US SIO DEAL KAMA NANUNUA BASKEL HUKU US NAONGEZWA NYUMBA, KAMA NANUNUA DRINKING WATER NAWEKEWA SWIMMING POOL, KUMBE ROHO NAWACHOMA....MWAKA HUU MTAKUFAA....MAJIBU YOTE NAPEWA WITHOUT CHENGACHENGA.
    • anonymous

      anonymous

      30 July 2012 at 15:18 |
      lmao patel umenimaliza leo. i cant stop laughing
    • ngosha

      ngosha

      30 July 2012 at 15:27 |
      halafu wee mke wa patel mbona cku hzi umeadimika kama kalamu ya sensa,,,, au ndio umeenda india kuchukua futari za kihindi......... au ndio mna69 wakati wa lunchblowkiss
  • tifa

    tifa

    30 July 2012 at 08:47 |
    brokenheart mm penda ww sana
    igaufe
    sonya
    hakunaga kama MANGE KIMAMBI.
    kanuna mtaa wa pili
  • tifa

    tifa

    30 July 2012 at 08:50 |
    hongera mange kaza butkubwa
    mukeya
    :nanikanuna: mtaaa wa pili
    hakunaga kama MANGE KIMAMBI
  • tonga

    tonga

    30 July 2012 at 08:53 |
    CONGRATS FOR THE HOUSE CEO.. WERAAAAAAAAAAAA.....
  • ney

    ney

    30 July 2012 at 08:54 |
    kanuna Hii inaitwaigaufe
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 09:05 |
    mange mashauzi yako kidogo yanafanana na beyou blog kazi yenu kutuonyesha magari nyumba zenye pool, waume zenu, watoto, shule n ........ tofauti yenu mwenzako anakaulokole fulani na kaolewa na mweusi......kweli mmebarikiwa lkn sio kila kitu mtuambie wengine hawafurahii mtaharibiwa baraka zenu bure ni ushauri tuu......ila Hongereni kwa umri wenu na nafasi mlizonazo kweli Mungu kawabariki
  • BEUATFUL

    BEUATFUL

    30 July 2012 at 09:18 |
    jaman mange mimi mhhh nna raha hata kama maisha yangu hayako juuu hvyooo bt 4 u im so hppy unawawasha yani naweza sma umewamwagia upupu mamake wtajikuna mpaka kucha zitoke
  • asya

    asya

    30 July 2012 at 10:11 |
    WERAWERAAAAAAAAAAAAAAAAAA OURceo Watajibeba VISIKOROKWINYO!!!!!!NYOTA YAKO NI KALI BALAAA!!!Mwenyez Mungu akuangazie mwanga kila ufanyalo lifanikiwe!!!lv u snamangemukeya
  • ndebi

    ndebi

    30 July 2012 at 10:17 |
    kanuna hv bado tu mtu anataka shindana na mange...hahhhhhh.
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 16:19 |
      Mikopo noma
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 10:29 |
    Kuna mijitu kiamka hapa tutakoma. Maana inajifanya inajua kila kitu kuhusu Marekani, mara itaanza ooh! mkopo mara nini. Jamani hata hao watu wa Credit card hawatoi ovyo, na credit card zimetofautiana. Kwa hiyo mumkome mtoto wa Kiambi a.k.a mke wa Lance. Kama ni mikopo na nyie kakopeni mnunue. Halafu mkome kujifanya mnafundisha Mange jinsi ya kuishi Marekani, wakati yeye kaolewa na Mmarekani. Mkiona vinawachoma kakojoeni mlale.
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 10:35 |
    TO YOU HATERS,
    Kama hampendi Our CEO anachoweka kwenye blog yake, piteni kimya kimya. Msisahau kuwa hii blog ni ya Mange ' www.mangekimambi.com', pia nanukuu maneno yake hapo juu "my world, my way, my life". Sasa nyie msipende kumpangia CEO wetu cha kuweka. Haya mashauzi yake wengine ndio dawa yetu ya kuondoa stress, pia yana fanya tupite humu kutwa mara 10. Mkitaka blog za habari ipo blog nzuri sana ya ankal ina habari zote. Humu tuacheni na mashauzi yetu wenyewe tumeyazoea. UDUMU CEO wetu, the one and the Only MANGE KIMAMBI LOWREY. Nani kanuna?!!!
  • MISS U TURN

    MISS U TURN

    30 July 2012 at 10:41 |
    mange KWA MARA YA KWANZA LEO PICHA MMM UTADHANI ULUKUWA UNAIBIA BANA.... MANGE UNONEKANA UNA FUNGA KICHINAomg WHAY!WHAY!
  • Mdau

    Mdau

    30 July 2012 at 10:58 |
    gigaufe
  • murembo by nature

    murembo by nature

    30 July 2012 at 11:15 |
    mwehblowkiss
  • SAPRAPASEN

    SAPRAPASEN

    30 July 2012 at 11:17 |
    hongera my dada mangerezaaaaaaa kila la heri mola awe nawe lol
  • 93

    93

    30 July 2012 at 11:50 |
    Its not easy at all! Bado hamjabishana hiki anataka ww hutaki. But hakuna mbadala, u got to do it!
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    30 July 2012 at 11:54 |
    awww hongera mama,makesure the house should have a huge playground for kenzo n the other offspring's to come LOL...This is what am talking abt "development"sio mtaa wa pili maneno tuu yasiyo na maana...love u Mangelezablowkiss
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 12:08 |
    Ila Mange lakini why unapenda ku-expose your private life?...kama unacho unacho tu unless utuambie blog yako is about reality show kama show ya akina Kim Kardashians. My dear nakushauri upunguze japo kidogo tu.. mashauzi yamezidi mpenzi hayajengi walaaa
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 16:17 |
      Word
    • baby ya Mange

      baby ya Mange

      30 July 2012 at 16:31 |
      wait sasa hapo anajishauwa nini mbona sanyingine mnaongea tu??niachieni baby wangu kila kitu ye anajishauwa i reckon some of u doesnt even get the meaning of kujishauwa,,,my baby is jus leaving her life jamani anatafuta nyumba kaweka picha ooh unajishauwa,,,wivu tu.baby weka kila kitu baby hata ikiwezekena anzisha reality show yako my love,,,umezaliwa na bahati zako mahhusat wangu wala usiwajali wenye roho za kwanini kama hawa....binafsi napenda hayo wanayoyaita mashauziiii,,,,,na unayaweza Mange wangu keep on posting us we love uuuu our Ceo my babyyy....chukua busuuuuu...
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      30 July 2012 at 16:33 |
      Wa wa pi wewe ?mangeblog
    • romiego

      romiego

      31 July 2012 at 03:31 |
      watu wengine wana nyege za kwapa..si utoke umeitwa huku?our CEO kasema anaonesha maisha yake..kujitia kimbelembele kama bao la kuku..na huo uso ulivyokunjamana kwa roho mbaya kama ngozi ya pumbu
  • wa ukwee

    wa ukwee

    30 July 2012 at 12:23 |
    jaman hiyo blog yenye cl za kina beyonce za long time yaitwaje?
  • Tajibeba

    Tajibeba

    30 July 2012 at 12:27 |
    heiyaa that house on the pic is wow so our CEO have you decided which house you and our shemeji are buying au utashare na fans wako tukuchaghulie between the two or three houses that you want to decide amongst. anywai nakuaminia mama wa choices you will never dissapoint when it comes to living up to the high class society standards.goodluck
    • c's mum!

      c's mum!

      30 July 2012 at 16:12 |
      i mithd u! upo??blowkiss
      • Tajibeba

        Tajibeba

        31 July 2012 at 09:58 |
        i mithid you too C's Mum nipo mimejaa tele mwajiri ananibana huyu siku hizi sijui kanishtukia
  • coco

    coco

    30 July 2012 at 12:44 |
    Hongera mamaigaufe
  • Ann leys

    Ann leys

    30 July 2012 at 12:50 |
    kubwa wakuache kudadadeki heendo mana mjink purukushani za kuolewa na wazungu zilikuwa nyingi mara vichen pat mlimani city ili tu wawe kama Mange WAAPIIIIIII kwa sauti ya bi Chau hawakuwezi wawafate wazungu wao mkoank Chezea LANCE wewe waue kbs CEO Wetu jamani feza yafata mkondo kama ulizaliwa kwenye hela zitakuja tu sasa kama wa Kota hela umetafuta ya kuchuna na kuuza midosho ya China huwezi mfikia Mange hata ukaronge Iringa.hahahhahaha mkakojoe mkalale MANGE KIBOKO YENU SHENZY TYPE.
  • Kijaruba

    Kijaruba

    30 July 2012 at 12:53 |
    rolling on the floorrolling on the floorrolling on the floorhahahahahahahahaha Uwiiiiiii, yaani umenifanya nicheke hata jua la asubuhi halijatoka, nifanyeje sasa na mie kula kulala!!

    CEO please naomba na mimi uninunulie hicho kiatu kwenye hiyo website nataka nikamchome nacho mtu fudenge nikienda Bongo next month. Sasa hivi niko kwanza nashiriki Olympic kama athletic wa nchi fudenge!!! Halafu naomba mniambie huwa inakuwaje mtu anaalikwa kwenye sijui kitchen party, au kama kuna kitchen party ya mutoto wa mjini mwezi wa 8 au wa 9 naombeni mnialike nataka nikivae hicho kiatu najua by then CEO wangu wa ukweli atakuwa keshanitumia!! Chezea mjumbe wa nyumba kumi wa Mange blog lazima atokee kishua!! Na nikifika Bongo wala sitajificha ntaweka tangazo humu niliyemkera aje anione face to facehahaha nitakuwa nimevaa hizo CL za $50.

    Ni mimi ninaeiwakilisha nchi fudenge kwenye olympiki as a Wrestler!!hahahahahaha
    • ngosha

      ngosha

      30 July 2012 at 15:34 |
      slapping kijaruba umenichekeshaje,,, hadi nkajikuta nakupga kijikofi...... hahaaaa....
      karibu ktk kitchen party ya muke wa okwi, sept 9. kakaa kwenye ndoa kwa miaka 6 na mwaka huu ndio anafanyiwa kitchen party inahuuu....
  • Kijaruba

    Kijaruba

    30 July 2012 at 13:03 |
    Chagua nyumba CEO wabongo wanaogopa kuishi leo wanasubiri waje waishi uzeeni. Utasikia kila kitu mtu anakiweka kwa ajili ya uzeeni. Tena mbaya zaidi mtu ana vitu vyake vizuri mpaka sahani hatumii anasubiri uzeeni au wageni waje!! Huvai nguo au kiatu kizuri mpaka sikukuu!! Ni sawa kuweka akiba ya uzeeni lakini kama usipoishi sasa utaweza kuja kuishi wakati hata kunyanyua mkono na mguu huwezi?

    Ngoja tusubiri na wengine nao waanze kuchagua majumba huko Bongo, na kwingineko. Na nyie mnaochukia sijui kinawaleta nini humu ndani kama nzi kwenye soko la samaki au soko la utumbo!!

    Tena chagua yenye concrete fance kabisa wale wagagagigikoko waliokuwa wanakudiss huko club waliokosa kazi ya kufanya wasijekukuchungulia si unajua watu waliozoea umbea na udaku hawakawii kugeuka mapaparazi. Kukiwa na concrete fence hawawezi kuruka ukuta.

    Eti tunamchukia Mange kama nini, mnamchukia au mna M=envy? Leteni na nyie picha za magari yenu na picha za majumba yenu mbona hana hiyana atazirusha tu. Maweee!! badala ya kutafuta maisha na pesa mmekaa kutafutana, si bure muwe kama mimi ninaecheza mieleka tu mmjue moja!!
  • Independent Girl

    Independent Girl

    30 July 2012 at 13:11 |
    for sure settling down is such a hard job, especial in new country. I believe you will be fine as you always sound like a very positive person in life. and of course being a Pisces helps too..... good luck
    • Tajibeba

      Tajibeba

      31 July 2012 at 10:04 |
      umeona eeh achana na Pisces asikwambie mtu we are the luckiest creatures on earth proud Piscesshakebutt
      • Mshamba

        Mshamba

        31 July 2012 at 19:50 |
        Tajibeba you are a Piscean? You guys get away with murder kwa jinsi mnavyojua kujinasua kwenye matatizo. You also know how to bembeleza our men but are extremely sneaky! I have many members of my family who are piscean women and they always amaze how they get away with things!
        • Tajibeba

          Tajibeba

          01 August 2012 at 15:22 |
          yes my dear Mshamba im pisces for real ...i cant agree less that we are sneaky and bembeleza them men is also a credit to us because they always come back crying wanting us back .....but being murderers not sure until i kill one scrawny grumpy idiotbitch and see how i get away with it then i will confirmhahaha
  • Nai Nai

    Nai Nai

    30 July 2012 at 13:15 |
    Ngoja tusubiri tuwasikie mareal estate wa Kibongo walioko Marekani wanaojua kuliko hata hao mareal estate ulionao wakiamka watakavyoanza kukutoa makosa! Heheheeee heiyaaa!!!

    Mange ile pesa yako uliyoivuta kwa kuuza ile nyumba yako Bongo kwa huko Marekani unaweza kununua nyumba ya pili kubwa tu na nzuri yenye swimming pool ndani sehemu nyingine ukitaka na chenji inabaki! WINK!!lolwaves
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 13:18 |
    MI HUYO STAHARISHA ANANIUDHI ANAVOJISEMESHA WACHAGA WACHAGA KILA SAAsad SISI WACHAGA HATUNA MAMBO YALE BWANA ATUACHEwakuache AKAFIE MBALI HUKO NA USWAHILI WAKE!NA SI ALIJIFANYA KUOMBA MSAMAHA RAMADHANI HII SASA KUPIGA PICHA KANYENYUA DOLE LA KATI ANAMAANISHA NINI!OVYOOO
    • Anonymous

      Anonymous

      30 July 2012 at 18:08 |
      lisemwalo lipo kama halipo laja. wachaga tatizo lenu mnajiona sana. na mkiingia mjini ndo mnataka muabudiwe na kila mtu, hilo haliwezekani sorry. kwa wivu sasa hamjambo na kuparamia wanaume wakati kila mtu anajua kwa bed mko sifuri..na inasemekana hamna radha sijui ni kweli..mi nimeskia tu msinivamie uwiiii..heelp!!!ngoja nijiwaishotsfired
      • Mshamba

        Mshamba

        31 July 2012 at 08:53 |
        Sasa hapo anony unakosea. Kuna wachaga kibao wana hela za kufa mtu na wapo kila kona ya ulimwengu lakini hata siku moja huwezi kuwasikia wakitamba au kujionyesha. Ni hao wachache ambao hawajakulia navyo wakipata kidogo inakuwa shida. Wadada wakichaga sio kama zamani nao wameamua kujua mechi za kitandani zinaenda vioi na wamejifunza sasa sio kama zamani kwa hiyo hayo usemayo sio kweli kwa siku hizi.
        • Anonymous

          Anonymous

          01 August 2012 at 18:00 |
          mshamba kama na wewe mchaga nisamehe..nimekufatilia nkakuona ni mstaarabu sana..yani kapolee. afu una miakili kweli wewe. kwanini sa wajiita mshamba shosti?blowkiss
      • CL

        CL

        31 July 2012 at 18:33 |
        NAOMBA UOMBE RADHI FASTA KABLA HATUJATOLEWA KWENYE KIKAO CHA BUNGE
      • Tajibeba

        Tajibeba

        01 August 2012 at 15:38 |
        aisee bora huna jina sababu umeniuzi wewe anonymous wewe i tell you ungekuwa karibu yangu lazima ninge kushotsfired on theheadshot then udead na nikuRIP haya omba msamaha kwa wachagga fasta. im purely chagga woman and hiyo ya hatuna ladha kwanza delete from your Medula oblangata sababu as i speak hakuna mwanaume ambaye nime dinyana nae ajasifia k yangu na kila ninayemuacha lazima arudi kunililia wanting my k back, secondly kuhusu swala la bed niazime bwanako then aje akupe feedback ( If akirudi kukuaga hakutaki tena)chezeya wachagga wa mujini wewe mwisho dont generalise my dear huko tushatoka zamani be specific kama unamsema sitaharisha wa minessotta please refer to her cz she know she has got problems but not all wachagga have same personalities like hers. CIAO
        • Anonymous

          Anonymous

          01 August 2012 at 17:57 |
          tajibeba najua nawewe ni mchaga nilikusahau wakati naandika. then nikakumbuka na nikajua lazima utatupa makombora humu usingetupa ningeshangaa sana..sorry kwa kujeneralaizi though mbaya wangu nishampata..then sorry kwakuwa kwasasa sina bwana ila nikimpata akaniuzi nitamwambia aje kukuonja akinogewa zigo lakooo..akikataa tajaribu kukuonja mwenyewe..licking yamii
  • jane

    jane

    30 July 2012 at 13:42 |
    habari mama kenzo,
    mimi ni mara ya kwanza kucomment kwenye website yako,lakini kila siku lazima niingie humu, kwakweli mange unajivutia sana the way unavyoishi kikubwa sana unajali na kuheshimu sana ndoa yako, maana wengine kama wewe wengi ni hawajatulia na ndiyo maana mungu anakubariki kwanza kwa moyo wako wa upendo hasa kutoa kwa watoto yatima, na hao ndo wanakuombea kwa mungu ili maisha yako yaendelee kuwa mazuri wewe pamoja na familia yako, watanzania tumekuwa watu wa kuongelea sana watu mabaya mazuri wanayaacha,mumgu akubariki huko uliko na familia yako usiwasahau wahitaji kama unavyofanya. maisha mema mtegee sana mungu.
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 13:50 |
    mange upo juu
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    30 July 2012 at 14:33 |
  • wifi ya mange

    wifi ya mange

    30 July 2012 at 14:53 |
    wakuacheceo
    hapana chezeyaa
  • Mama maendeka

    Mama maendeka

    30 July 2012 at 14:58 |
    Me hoi! Hongera sana. sasaigaufe mdomo waziiiiiiii!!!!!thumbs upceopopchampgne
  • hakunaga kama MANGE

    hakunaga kama MANGE

    30 July 2012 at 15:08 |
    igaufe sitaharisha haya na wewe kesho piga picha nyumba yako utuonyeshe bora ata wenzio kina WOLPER wanaongwa magari na kunyanganywa wewe umeongwa nini hilooo sitahahirsha umuwezi MANGEwakuache MUKE YA LANCE...

    KAle michemsho HONGERA bar uongeze KITUMBO
    • Kijaruba

      Kijaruba

      30 July 2012 at 15:31 |
      Sitaharisha anakaa Minesota sasa huko Hongera bar kwenye michemsho ataenda lini? Labda michemsho ya kwa ndugu zangu wa kisomali!
  • SUNA

    SUNA

    30 July 2012 at 15:11 |
    MANGE PICHA MBAYA MAMA SIJUI NI HIYO NYUMBA KIUFUPI SIJAIPENDAlmao
  • bimkora

    bimkora

    30 July 2012 at 15:27 |
    hongeramukeyaletspartygoodluck mshukuru mungu kwa kila jambo.
  • folowa

    folowa

    30 July 2012 at 15:44 |
    jamani mnatuboa na nyie nahiyo sitaharisha yenu , na link hamtupi mbona sote tu abiria mbona matubania hiyo link ? , yani mange kwa nini mnatutena kila siku watu wanomba tip hatupatiwi vipi CEO au unamiogo ? tupeni nasisi tuone kama anaweza mbio au ?
    • Anonymous

      Anonymous

      31 July 2012 at 15:19 |
      HAWATAKI KUTOA COZ WATU WANAWEZA KUANZA KUJAZANA KULE NA KULETA UGOMBANISHI WA KHALI YA JUU PIA KUMPA UMAARUFU FULANI. UNAJUA WATU WAKIVAMIA BLOG YAKE HATA KWA MATUSI WANAMPANDISHA CHATI..MIE NAMSIKIA TU HUYO MWANADADA HUMU LAKINI WALA SIJISHUGHULISHI KUMTAFUTA, UTURN YANITOSHA..WAKIMLETA HUMU NDO HAPO TUNACHANGIA KWA KUMCHAMBA HASA KWA HIZO TABIA ZAKE MBAYA WANAZOSEMA ZA KUHARIBIA WENZIE NDOA NA MAISHA KWA UJUMLA..SO MDAU ENDELEA KUTAFITI WAWEZA MPATA..goodluck AU KA UKITAKA KUMPATA BANDIKA PICHA YA MMEO HAPA IM SURE ATAKUWA WA KWANZA KUTOA EMAIL YAKE ILI AMPATE HUYO BWANA HEHEHEE KAZI IPO..ALL DA BEST SHOSTI..drinkbeer
  • Natasha

    Natasha

    30 July 2012 at 16:49 |
    Sijawahi ku-comment humu, ila jamani Mange uko juuu, uko juu dada yangu na Mungu akuzidishie, wote huwa nawaangalia ila leo nimeshindwa kupita kimya kimya..
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    30 July 2012 at 16:59 |
    baby i dont know if its the picture color or what but i dont like that house the color inside looks so boring even the interior designs...nways may be bcoz i always dream of white house...but its okay...if baby baby Lance likes it n u likes it im okay with it...i love u my baby.
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    30 July 2012 at 16:59 |
    heheh eti mjamaica wa Lance....i like that name hihihihi
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 17:00 |
    thought ur hubby is an architecture he will design his own home! i bought mine brand new and picked whatever i wanted....and was cool that haijawahi kujambiwa wala kukujolewa na mtu!

    u bought a Porsche before house? unless u paid cash otherwise not a very good decision if u financed it and to plan to finance a house too....
    • romiego

      romiego

      31 July 2012 at 03:56 |
      umeombwa ushaur?awe acwe good planer we inakuhusu nini hebu kakisafishe huko usituchafulie hali ya hewa bure
  • MRS SOLIS

    MRS SOLIS

    30 July 2012 at 17:24 |
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 18:05 |
    nice
  • kuntuafro1

    kuntuafro1

    30 July 2012 at 18:33 |
    Nani Kanuna nani kanuna Staharisha. Prove Us Wrong kama hajanunua kwenye hiyo website niloyopost tuwekee kwenye blog yako sole ya hicho kiatu ulichovaa ukiwa umekivaa hivyo hivyo

    Kikiwa na sole like this one http://i.ebayimg.com/06/!!d3Dm(!!3M~$(KGrHqMOKjUEtlZnMF,DBLlchGmfzQ~~_2.JPG ujue hiyo ni fake.

    Na kama sole yake ni kama hii hapa http://i.ebayimg.com/22/!!d3DmVw!nM~$(KGrHqQOKjwEt8nE9T(CBLlccCLb,Q~~_2.JPG
    Kidogo tutakuheshem kama tunavyomuheshimu kamaceo kua uvai fake.
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 19:45 |
    sometimes mange u act so naive - if we are looking for a house to let u know utu-connect na huyo Hector assuming we all live in Miami area or? hata wa-TZ wapo wengi tu ma-real estate agents wazuri. ila wale wa DC kaa nao mbali maana watakuingiza matatizoni
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 20:08 |
    MUNGU AKUJALIE KILA LA KHERI INSHAALLAH.
  • mama otieno

    mama otieno

    30 July 2012 at 20:47 |
    oow jamani kumbe nimepitwa jamani,,hey hongera mwayapopchampgne nyumba ya ukweee.woohoo nimeipenda pool area..kweli uko juu CEO wetu.
  • mama otieno

    mama otieno

    30 July 2012 at 21:01 |
    teh CL zitatoa watu roho mungu wangu,.jamani kwani lazima CL kwa kila mtu, mbna- wako shoe designers kibao..ceo unatoa watu roho jamani.yani mijitu mengine kwa kucopy kweli mange uko juu..eti aangalia watu wanavyotaka kujifananisha..na badodrinkbeer u turn fanbirthdaydance
  • baikoko

    baikoko

    30 July 2012 at 21:06 |
    heheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wakuacheeeeeeeeeee
  • Anonymous

    Anonymous

    30 July 2012 at 22:58 |
    Mange tupe feedback bs ya nyumba ya watoto yatima.kukaa kimya sio fresh kabisa
    • Anonymous

      Anonymous

      31 July 2012 at 07:43 |
      hahahahah....binti wa kipare huyu ulifikiri nini!
  • muke ya kibabu

    muke ya kibabu

    30 July 2012 at 23:04 |
    de husband is trying ooooooooooh,nawaooooo
  • camila

    camila

    30 July 2012 at 23:53 |
    pole sana mamiii....... wanaosema mara mange hivi mange vile ndo waige sasa waone. mange uko juuuu kama mawingu ya blue......
  • Anonymous

    Anonymous

    31 July 2012 at 00:22 |
    mange hiyo handbag needs a break....hauna nyingine?
    • romiego

      romiego

      31 July 2012 at 03:37 |
      ovyoooooooooooooooo
      • Anonymous

        Anonymous

        31 July 2012 at 07:40 |
        mwenyewe
        • Anonymous

          Anonymous

          31 July 2012 at 15:24 |
          MWENYEWE MWENYEWE MKUND WA BATA UKISHIKA UNANATA..freedom
  • Anonymous

    Anonymous

    31 July 2012 at 09:28 |
    wewe uliesema wachaga wakiingia mjini tunaparamia wanaume ukome kama ulivokoma titi la mamako!au umechukuliwa bwana na mchaga nyau we!slapping na aliekwambia hatuna ladha atakuwa huyo mwanaume wako malaya anaelambalamba kila kabila.mwanga wee
    • Mshamba

      Mshamba

      31 July 2012 at 19:45 |
    • Anonymous

      Anonymous

      31 July 2012 at 21:31 |
    • Anonymous

      Anonymous

      31 July 2012 at 21:39 |
      mama taratibu hii ndio uturn utakufa na presha wenzio wanaendelea kublogua..kisa cha kujikakamua hivo mpaka unachafua chupi mh!!!kweli uturnhakunaga
      • Anonymous

        Anonymous

        01 August 2012 at 10:40 |
        hahhhaaa mdau unanivunja mbavu watu mna maneno mh..na kweli huyo mdada amejikakamua utazani yeye ndie mlengwa lolz..ni burdani kwa kweli
    • Anonymous

      Anonymous

      01 August 2012 at 10:36 |
      WEWE BORA ULIVOCHOMOZA NILIKUWA NIMEJIBANZA KISEHEMU NAKUSUBIRIA UJITOKEZE NA HIYO PUA YAKO BAPA KA SAMBUSA ZA KISOMALI. UMEKURUPUKA NA HIVO VIMIGUU VYAKO KA FIMBO ZA KUPIGIA NGOMA ETI KOMA, KOMA WEWE HAPO UNAETAKA KUPARAMIA MSAFARA WA RAISI WAKATI UNAJUA HATMA YAKE NI NINI. NA WALA HUJAKOSEA MMEO NDO ALIENAMBIA KUWA WEWE HUNA RADHA, KATIKA KULAMBALAMBA KWAKE AAM AAM KILA KABILA NA KILA RIKA NDO AKAKOSEA STEP AKAJA KWA KIMWANA MIE..NIVOONA ANA KIBAMIA NIKAMTOLEA NJE NDO KISA CHA KUANZA KULIA NA KULALAMIKA KUWA ETI WEWE MKEWE HUNA RADHA..SO KOMA TENA UKOMAE HASWA, USINITUNISHIE KIFUA CHAKO NA KUNIKOROMEA KA UNATAKA KUKATA ROHO. NA ZIWA LA MAMANGU ACHANA NALO KABISAAA TENA ULIKOME KA MIE NILIVOKOMA IKO KIBAMIA CHA MMEO. THEN MWANGA NI BABU YAKO NA WEWE NI MSAIDIZI WAKE..MBUZI KASORO MKIA WEWE!!NAKUSUBIRI TENA HAPA, SURA KA PEDI CHAFU..bitch
  • Anonymous

    Anonymous

    31 July 2012 at 13:10 |
    Mange upo juu, yaani nakupendaje.hakunaga msalimie kenzo
    • kuntuafro1

      kuntuafro1

      31 July 2012 at 17:20 |
      MDAU SPACE ukitaka kutumia hivyo vikatuni place your cursor where you would like hicho kikatuni kiwepo let's say unataka kuweka cheers click hicho kikatuni cheers itatokea like this :cheers:bila picha then post hiyo comment yako,ukishapost ndio hicho kikatuni cha cheers kitaonekana okay darling!cheers
  • MAPENDO DAIMA

    MAPENDO DAIMA

    31 July 2012 at 16:33 |
    seriously u doing the best darling,i like the way u live your life..watu wanaongeeeea weee upo kimya then u just kill an shut them with actions!!all in all umebarikiwa an u ll be blessed even more.wakuache
  • U-Turn-Freak

    U-Turn-Freak

    04 August 2012 at 19:08 |
    Inakuwaje fellas na mashosti? nimesoma hizi comments hadi my body temperature ikapanda, maana nimecheka, nakucheka, nakucheka hadi nikasweat kwa kucheka..kweli watu mnajua kujibiana, But life moves on kweye mwezi Mtukufu wa Ramadhani...Nice job wab-unge!!
    ))Leme guess, Mange atachagua nyumba yenye its own driveway, majani green mazuri mazuri tena yale ya kimayami(miamian), yenye kengere tena ya digital hivi, yenye security suv.(ili awakamate wanga(maana marekani wanaonyeshaga ghost hunt zile show, sasa kuna camera mpya ukiinstal zinakamata hata wanga wa mchana na wachawi wa usiku, mwishoni bungalow lake lazima litakuwa na dimbwi la kuoga na firiji ya silver au black yenye TWO DOORS, na atakuwa jirani wa yule nani anacheza NBA na anafuga midevu na anayale marangi rangi yakuchorwa kwenye arms, anachezea ile timu fulani kule M-Heat. mmh mange nahisi atakuwa na VIP passes to see his new hometown team, mayami! Miami! M-I-A. salimia Trina na Trick Dad yule rapper kibonge mwenye madevuuuuuuu....
    Wenu U-Turn-Freak