USAGAJI BONGO...EMBU TUELIMISHANE LEO??
Written by Mange   
Monday, 15 March 2010 00:02


Talk show host, Ellen DeGeneres (ni mwanamke) na mke wake Portia


Haya leo, lets discuss a taboo subject , USAGAJI….

Kwanza kuna anaejua hili neno usagaji limeanzia wapi ama limetokea wapi?na kwanini wakaitwa wasagaji?wanasaga nini?? Hahahahhahaha????

Hivi ni kwanini usagaji umepamba moto Dar es Salaam kwa sasa? Ni katika kuwaiga wazungu au ni kwamba wanaume wetu wanatunyanyasa sana mpaka tunaona bora tuwe na wanawake wenzetu kwenye mapenzi? Au ni katika kutaka kujaribisha mambo tu?? Mambo ya kuwa CURIOUS????

Nimesikia sana sana high school and college students ndio wanaao-experiment sana na haya mambo??

Mdau have u tried it?why did u try it? What did u think of it?

Ellen na Portia siku ya harusi yao

Kwa hapa Tanzania mie naona imekuwa ni rahisi zaidi kwa wanaume ma-gay kujitoa hadharani than wasagani kujitoa hadharani? Je ni kwanini wasagaji wengi bado wanaona noma kujitoa

Mie mpaka sasa nawajua malesbian wawili tu ambao wao wamejitoa hadharani na hawajali if people judge them, na wao ni hardcore lesbians?yani ni wale ambao wako wako wanaume,wanatembea kiume,wanavaa kiume na wanatongoza mademu kupita wanaume.

Hivi sasa kuna story imeenea mjini kuhusu madada wawili ambao ni warembo mno kwamba walifumwa toilet waki.......
huwa natamani sana kuwauliza wao wameamua kufanya hivyo kwasababu wameboreka au ni kweli wapo -in love, au wamechoka kuwa na wanaume au vipi???yani im really curious, so many questions to ask , ila sijui nitaulizaje without offending anybody or hurting anyone's feelings. Mtihani...

Hivi malesbian wanaweza kuambukizana ukimwi??? Na kama wanaweza kuambukizana ukimwi je ni jinsi gani wanaweza kujikinga wasiambukizane ngoma???

Mie navyoona ni kwamba ni frustrations to za wanaume zinawafanya wanawake waamue kufanya mapenzi na wanawake wake wenzao, na kwa wale ma-lesbian underage mie naona ni mambo ya kuiga uzungu uliopitiliza…wewe unaonaje mdau?

Just read in an American Blog kwamba Kwamba Mel B wa spice girls nae yupo penzini na Leona lewis…


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-03-14 19:43:23
Mimi navyoona ni kuiga uzungu kama ulivyosema, kama wanawake wengi wanasingizia
relationship ndio zinawafanya wawe wasagani.Lakini mimi siamini sio wanaume wote
wanatabia mbaya ukishindwa kwa huyu nenda kwa mwengine. Nikija kwa upande
wanaume wao kama huku nje wanavyodai wamezaliwa hivyo to be honest i hate those
poeple kama uko kwetu Africa watu tunaiga sana mambo mengine tungiwaachia
wazungu wenyewe jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii .
UK   |2010-03-14 19:49:05
Mange lesbian is been in Africa for the decade its just its never been open like
wenzetu wazungu,but now wanawake lots they travel they become more exposed and
curious about what is all about Lesbian.like now in Dar and gal to gal action is
everywhwere and people they are not ashamed of it,things like 3some lot of gals
practice this everyday, everynight na hawa hawa makaka zetu wakibongo
wanarequest hizo 3somes,
i dont think its a big deal anymore,It should have
been accepted as wasenge walivoacceptiwa mbona tunawapenda tu,lol
maria   |2010-03-14 19:51:17
Watu wamechoka wanaume bora uwe na mwanamke mwenzio,jamani
Anonymous   |2010-03-15 11:05:56
Maria mie natafuta wa kujaribu nae, can we?
Anonymous   |2010-04-08 18:49:49
lets try my email add is aikamasawe@hotmail.com
u know who it is   |2010-03-14 20:00:17
i been in relationship wit mtanzania mwenzangu for three yrswe both girls and
im happy about it!!i love eveything about my
woman!!haloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo oooooooooooooooo
fcuk   |2010-03-14 20:47:38
nyoooo eti mel b and leona lewis ni lesbians just cos they hold hands she is
married with 3 kids and leona lewis has a long term bf so its not true
corrrrect that
Anonymous   |2010-03-15 07:33:36
Mel B ana 2 kids
Anonymous   |2010-03-15 20:57:40
wajina, usibishe sana labda mmoja kazaa nae yeye fcuk.
maana anaonyesha kama
anamjua juu chini halafu labda yeye ndo akina hao tena sasa imeuma kusikia kuna
mwengine mpaka tusi juu!
mmbongo - uk   |2010-03-14 21:33:04
duh... hii kali huyu leona mzuri na alikuwa na boyfriend mzuri sasa kulikoni...
mwenzake ana watoto sasa yeye itakuaje? nani atampa watoto? jamani kweli dunia
kwishnei........
im thinging strait   |2010-03-14 23:30:39
jamani haya mambo yalianza zamani sana lakini sasa yamezidi ili maandiko yatimie
tunafika siku zamwisho na shetani kashaingia duniani,kwa mfano tatoooes Dini
inakataza. kwa TZ lets say 10 yrs ago ulikuwa unakutana na mtu mmoja mmoja na
tatooo lakini sasa kila kona wake kwa waume vijana kwa watoto hata wamama
wanafanya zile zanyusi hizo pia ni tatooo na parmanent.as im writing i have 1
niliweka 1994 nilivyo maliza my high school na Mungu anisamehee niko njiani
kuitoa kwa leiser. all the best.mdau Sweeden
judth   |2010-03-15 03:37:27
mimi nnaona kama wanaume wamekuwa wasumbufu sana kipindi hichi

ndio mana
wana wake wengi siku hizi wana fanya haya mambo na ukiwa na mwanamke mwenzio una
enjoy sana kuliwa mwanaume habari ndio hiyo
gloria   |2010-03-15 03:41:26
well mange hii kitu ilianza mda kidogo hapa africa mi nakumbuka enzi zile nipo
in one of the girl's boarding school in kenya nilikua naona waadada
wakizungushia vitanda vyao na shuka then unasikia tu miguno ya mahaba by then
ilikua miaka ya 93 nami nilikua mdogo sikua naelewa kinachoendelea sasa hivi ndo
napata picha kumbe watu walikua wakisagana!hii ina maanisha huu mchezo ulianza
long sana!!kumbukeni ile story ya sodoma na gomola,haya mambo yalikuwepo
jaman.kwa kweli mi naweza nikaita hizi ni dalili za mwisho wapenzi tumuogope
Mungu.
Anonymous   |2010-03-15 04:53:34
Mie nadhani zote kuna sababu nyingi mtu anaamua kua lesbian,kama ulivosema
wengine ni kweli wameumizwa sana na wanaume,wengine ni curiosity tu ya kutaka
kujua how it feels(kama wengine wanavyojaribu tigo,3some etc)na kwenye mashule
esp boarding schools za gals peke yao naona maybe ni ashki tu mtu amekaa bila
kuguswa muda mrefu inakua matatizo,I have seen it ktk shule zote nilizosoma,gal
schools.ila hizi mara nyingi huwa haziendelei wanapoondoka shule,nadhani zinakua
feelings za muda tu sio ndo kwamba mtu ashakua lesbian.well kwa upande wa kuiga
kwa wazungu mimi I don't believe in that,yaani mtu uamue tu kuwa lesbian kisa tu
umemuona Ellen ni lesbian!sidhani
Anonymous   |2010-03-15 05:44:28
Mel B ana mme na Leona Lewis ana boyfriend wake
Anonymous   |2010-03-15 06:00:18
hasikwambie mtu, raha sana kuwa na mwanamke mwenzio kuliko limwanaume, wanaume
strees tu. niliamua bora niwe na my woman mwenzangu tupeane raha za dunia, kuwa
na mwanamke mwenzio ni raha tofauti na mnavyofikili, mwanzoni nilikua nalipinga
sana hilo ila nilipojaribu nikadogewa mpaka leo hii nina miaka mitatu niko na
mwanamke mwenzangu, nasikia raha kuliko nilivyokua na mwanaume kipindi cha
nyuma. kwanza ukiwa na mwanamke mwenzio unakojoa haraka, anakutekenya kisimi
mpaka ninawaka moto, basi hapo hapo unakojoa kama huna akili nzuri, anakunyonya
kisimi mpaka unasikia raha duniani, maana mwanaume wangu niliyekua nae kipindi
cha nyuma alikua ajui kunikojoza, mwanamke mwenzangu niliyempata ananikuna
kisimi mpaka siwezi kumwacha maishani, na yeye kanogewa na mimi ninavyojua
kumlilia wakati nakojoa, nachanua miguu yote miwili anaingiza kidole chake na
uku akiwa ananivyonza kuma yangu, hahahahaa laha utamu kupita kiaasi, nanyegeka
k...
mrs jerry moro   |2010-03-15 07:38:45
Mhhhn Duniani kuna mambo
mim   |2010-03-15 08:15:23
Hata mimi jinsi hii miyanaume ilivyoniboa yaani natamani sana tu kupata mwanamke
lakini nadhani....my state of mind inanishinda, nashindwa kupata picha nikiwa na
mwanamke mwenzangu...yaani najisikia kama nitatapika...(samahani simaanishi
vibaya kwa wasagaji) maana hata kwenda kwa doctor wa wanawake nikimkuta ni
mwanamke roho inaniuma sana, hata kwenye massage palour ninachagua mwanamme
kuliko mwanamke....labda kweli wasagaji wanazaliwa na hisia hizo....maana naona
nitakuwa wa ovyo kweli nikijaribu. Na hawa makaka zetu japo sio wote ni matapeli
lakini jamani sijapata bahati ya kupata asiye tapeli....inaonekana itabidi
niendelee kusota nao tu.
Anonymous   |2010-03-15 08:48:37
Halafu na yeye anapata nini kutoka kwako? au na wewe unamkojoza kama
alivyokufanyia yeye? au hivo ukilia unavyokojoa ndo basi na yeye kashafika? AU
NINI HASA UNAMPATIA ANACHOFAIDIKA KWAKO?

aulizae hutaka kujua!
nana   |2010-03-15 09:41:35
Yaani umepinda kupita maelezo!! kwa raha zako bi mdogo!!
Anonymous   |2010-03-15 10:45:59
DAMN.........
Anonymous   |2010-03-15 20:17:22
mbwa wee unaependa kutiwa vidole na jike lenzako na yeye pia ni dog ur not
bitches mana mabitch wanapenda mboo.mmelaniwa nyie .
lana yenyewe ni
mmekoseshwa feelings za kutamani mboo.hiyo ni lana mbaya sana its the last thing
a woman will wish for.
Anonymous   |2010-03-15 06:56:08
mel b and leona are just bff s...
Anonymous   |2010-03-15 07:23:22
haya mnaona kama ni fashion watu wakiona kwenye tv kama uvaaji wanaiga, nyewele
wanaiga hivyo mtu akiwa na mpenzi wake anataka iwe kama tv life style magari na
kadhalika wanataka wawe kama ma celebrity hivyo siku hizi ukiangalia tv mara
nyingi wanaonyesha gay relationships na watu bila kujijuwa na wao pia wanaanza
kuiga au kuwa bisexual n.k wanaona its cool hata huo mtindo wa kunyoa upande
mmoja na kuachia wa rihana hamjui ni kuonyesha kuwa wewe ni nusu mwanamke nusu
mwanaume nanyie mnaiga tu.
Anonymous   |2010-03-15 07:24:49
hiyo video ya lady gaga hapo mwanzo unaonyesha wanawake lesbians basi inaingia
akilini basi bila kujua mmetoa wapi mnafikiri nyie ndiyo mnapenda kumbe
mmeonyeshwa kupita kiasi mpaka na nyie mnaona normal mnafanya vile vile hapo
miaka ya nyuma wakati tz kulikuwa hamna tv watu waliotoka nje ya nchi tu ndiyo
walkuwa wanafanya fashion fulani ila siku hizi tv, internet zinamfanya mtu aone
mengi basi anaanza kuishi kama vile anavyoona wengine wanaishi.
Anonymous   |2010-03-15 07:26:38
ukitafakari sana maisha yako yote unafanya vitu kwa vile unaiga unachoambiwa
kuwa ni "cool" au maendeleo basi siku hizi wanaonyesha wanawake lesbians
basi watu wanaiga huku wakifikiri ni mawazo yao wenyewe
Anonymous   |2010-03-15 07:52:57
Jamani kuna sababu nyingi za kuwa lesbian lakini kwa upande wangu wanaume wasiku
hizi hawajui kumfikisha mwanamke, i tried once kuchezewa na mwanamke mwenzangu,
may god siwezi kusahau it was hot coz alininyonya vibaya mno nadhani nilipiga
bao 3 mfululizo, b4 sikuwahi kuelewa maana ya kukojoa licha ya kuwa na
relationship tofauti lakini nilipompata huyo demu ambaye alikuwa ni rafiki yangu
alinishawishi na by that time nilikuwa nakunywa sasa nlikuwa nikilewa mwenzangu
nataka ukuni, that day nilialala kwake as rafiki and my boyfriend was out of the
city, akanishika kiuno duh si nkaanza kukatika akajua ndio hapo naye akaongeza
ufundi kuninyonya mmh mhmh, yani ilikuwa tamu balaa na for the 1st time ndio
nlikojoa basi ikawa kamchezo baadae nikahama mji na nikawa siwataki wanaume
tena. miaka kama 2 baadae nilipata mwanaume anayejua kukojoza mwanamke, ni
rijali anajua kucheza na kisimi vibaya mno ananyonya mpaka mkundu, ooh sitaki
...
Anonymous   |2010-03-15 20:22:31
kumbe ulikuwa hujapata lijali ndo ukaona mwanamke mwenzio mtamu.
sometimes watu
wana date na hawana chemistry ndo mana tabu kusikia raha.
huyu mwanamke
aliekulamba na yeye pia hajawai tombwa kisawa sawa mana asingelamba mwamke
mwenzie yak eeew.
Anonymous  - re:   |2010-03-15 08:13:49
MMMMMMMMMMMMMhhhhhhhh kazii kwei kwei .......
Anonymous  - re:   |2010-03-15 08:15:20
jamani mwisho wa dunia!!!!!!!! mungu tusamehe lakini hawa wanaume wetu hawa ndio
wanaosababisha yoooooote haya
disminder   |2010-03-15 08:16:01
Mh labda Tanzania ya huko kwenu Dar!!! Lakini huku kwetu pwani, Wasagaji wazi
wazi na kila mtu anawajua, na wao wanajisifia hasaaaaaaa.
Ni juzi tu CCM bar
wasagaji wamegombania mwanamke na mpaka kupelekana Madema.
Nilliipata jana
nikiwa salon michenzani.


Mungu awanusuru watoto wetu.


disminder.
Anonymous   |2010-03-15 08:17:34
sasa huu nu uchafu
Anonymous   |2010-03-15 16:59:07
pole bibi tukupe ndoo utapike??u definately havent travel
around.poleeeeeeeeeeeeeeeeee
Anonymous   |2010-03-15 20:29:08
POLE WEWE UNAEONA UCHAFU NDO KUTEMBEA AROUND.TENA POLE HASWA UMENYIMWA RAHA ZA
MBOO ,HA HA HAAAAA,halooooo wasagaji poleniiiii.
Anonymous   |2010-03-15 08:34:53
mhh mdau wa |2010-03-15 030:18
thats is too much info....kuna na watoto
hupita humu jamani.
Anonymous   |2010-03-15 09:58:51
wee anony wa |2010-03-15 030:18, acha hayo maneno, unaanza kutupa sisi wengine
minyege hapa. mie mwenzio hapa chupi imechaloa vibaya alafu niko kazini, sasa
unataka niende wapi saizi.. looh
Me   |2010-03-15 11:25:19
Jamani kuwa na mume na watoto haimaanishi chochote. Personally nina watoto
wawili na nina mume but niko na mwanamke mwenzangu tunapeana raha! Jamani ni
starehe ya ajabu! Na kuwa msagaji hakumaanishi wewe ni lesbian! Mie nikiwa na
mume wangu nakula ukuni vizuri na nikiwa na shoga yangu tunakulana vizuri so am
not a lesbian am a bisexual rather!
Anonymous   |2010-03-16 06:17:08
sasa wewe..kati ya mme wako na rafiki yako yupi umpendaye?? mme wako anafahamu
unayoyafanya au ndio anataka 3some? na what do you expect hao watoto wako to
do? wakiwa wakubwa? maana mama yao anachanganya tu. Jamani halafu mnakuwa
shocked mkipata ukimwi wewe unachanganya mmeo naye hapa akichanganya mtaleteana
magonjwa hauogopi? maana huyo msichana wako naye bisexual? naye anatembea na
wengine pia?
Justice   |2010-03-15 14:54:41
Mange mi sijawahi kutoa comment kwenye blog yako japo naingia almost everday
lakini leo nimeona niongee tu, kuna wanaofanya usagaji kwa curiousity tu ili
weridhike na sex sababu wanaume wanaboa, lakini kuna watu kama mimi ambao
honestly speaking nimekuwa na hisia hizo tangu msichana mdogo kuwa na mwanamke
mwenzangu na ilinichanganya sana, I love a womans touch and i enjoy having sex
with a woman, sasa I'm 30 lakini bado napenda wanawake, to me pamoja na sex
nainjoy kushare feelings na mapenzi na mwanamke, kumake love na sio kusagana
tu,kushare nae affection pia.Nilikua na boyfriend and I called it quits sababu
ni kama nilikua nalazimisha, watu wanasema inakuaje dada mzuri hivi hana
boyfriend siri naijua mwenyewe, i guess I'm officially a lesbian even though
kwenye culture yetu ya kitanzania sitakaa nikubalike, I'm going through hell, i
see a beautiful woman na namtamani so believe me usije ukamjudge mtu kama hujawa
kwenye...
mh  - ahahaha   |2010-03-15 14:58:11
mange yaani leo umenichekesha na hivi nilikuja kazini wakaniuzi basi acha tu
yaani raha tupu im not stressed any more..u know i have been curious natamani
kufanya sijapata tu mtu ,na kila wakati huwa nauliza kwa trick but nashindwa
,,,nimeshawahi kuwa aprached na wasagaji but nashindwa kuwakubali ,,kuna yule
demu mnee wa arusha when i was there alishaniaproach but i was with my boyfriend
,now im living kwenye usagaji kweupe bbut im scared natafuta the right person if
i get trust me i will maana i just wanna know..sio nitaganda buit i wanna try



hook me up if you know somebbody anayeishi us nitamfuata akinipa emeil
will do that..i real wanna try it so baaad
Anonymous   |2010-03-15 16:27:12
mh ahaha, tooo bad nipo Canada tungwaslliana lol, anways give me a shout though
at kathykk23@yahoo.ca.
justicie   |2010-03-15 16:06:05
...so believe me usije ukamjudge mtu kama hujawa kwenye hiyo situation,
namwelewa sana Ellen na Portia cause I'm going through exactly the same thing
sio rahisi kujicontrol kama watu wengine wanavyodhani, I'm only attracted to
women na nikimpenda mwanamke nampenda sana sio kubabaisha, so usagaji sio
usagaji tu, there is more to that kuna feelings zinakua involved na unadevelop
mapenzi hasa, so plz watu wasifanye kama ku experiment, kuna ambao deep inside
of them ndivyo walivyozaliwa, mi ni mmoja wapo, Thanks.
lilian   |2010-03-15 16:10:16
Pole justice, i hear ya, naomba email yako tuwasiliane.
nursat r   |2010-03-16 06:40:18
hey justice and lilian let keep intouch come at tagged and look for nusrat rahim
let us meet please
Evarist     |2010-03-15 16:56:44
Kwa uelewa wangu mdogo,homosexuality ina maelezo ya aina mbili
yanayopingana.Kwanza,ni sababu za kibaiolojia,yaani wingi wa homoni za jinsia ya
kike kwa mwanaume au homoni za kiume kwa mwanamke.Pili,ni kile wanachoita
rational choice,yaani maamuzi yanayofanywa na binadamu baada ya kupima faida na
hasara (cost and benefit analysis).Na kuna maelezo ya tatu ya kiimani ambayo ni
maarufu sana katika jamii nyingi duniani (esp in non-Westen societies) kwamba
homosexuality ni laana ya Muumba.Kusema wanawake wanaosagana wanafanya hivyo
kutokana na kuchoshwa na wanaume zao ni kutoa jibu rahisi kwenye swali
gumu.Kwanini iwe wanawake tu na si wanaume ?(I mean sijaskia kuwa mwanaume
amekuwa gay baada ya disappointment ktk relations na wanawake).Na kwanini
mwanamke "anayezinguliwa" asichukue solution ya mwanaume mwingine?Most
gays in the West tend to claim it's a matter of choice and right and the legal
frameworks in some countri...
Mrembo asilia.   |2010-03-15 17:32:11
Dunia kweli inakwisha, hivi hawa waliojieleza hivi ni kweli ama!! Mie naona kama
wanatania, hivi kweli hapa bongo kuna usagaji wa jinsi kama walivyoeleza wadau
hapo juu.

Kama ni kweli basi inasikitisha, Mungu aliumba mtu mke na mume ili
wafurahie sex na sio watu wa jinsia moja. Hii ni laana jamani mtu kumpenda
mwanamke mwenzio kimapenzi.
Anonymous   |2010-03-15 20:33:41
hawatanii wamelaniwa hao tena wanasikitisha mno.hao wana nyuso nzitooo kisa
kulamba nyuchi za wanake wenzao.na wanaochezewa na wenzao vile vile
hawana noor
kabisa hamna kitu tamu kama mboo.kama hawasikii hamu ya kuwa na mboo ni sawasawa
na maiti.
Anonymous   |2010-03-15 18:10:27
Dont blame the man if ur msagaji, check ur status on urself not a man, so u wan
tell me all the men(s) has done u wrong thas why u decided to be a lesbo?. Hell
no, Kma moja amekushidna nenda kwa mwingine. Kifupi TANZANIA MEZIDI KUIGA YA
ULAYA NA MNATAKE TO THE EXTREME LEVEL.
mama Ima   |2010-03-15 18:11:02
Mrembo asilia, usije ukahamaki hivyo kama huna mtoto ambae ni gay, hao
walioeleza hapo juu kuna wanaofanya tu kama fasion lakini naona wengine nikweli
wanazaliwa hivyo, kama justice, nina jirani yangu ana mtoto gay yaani anasema
alikua anasema vibaya sana wasagaji mpaka alipopata mtoto wa jinsia hiyo, ni
bora kusali kuliko kujaji mtu. Dini ina utata sana ikija kwenye haya mambo,
yaani kuna utata sana kwenye hili jambo, acha Mungu mwenyewe ndio awe hakimu wa
hilo, lakini tuwapende na tusiwatenge maana wengi hawakupenda kua kama hivyo,
isitoshe who are we to judge wakati tuna maovu kibao tumeficha??
Anonymous   |2010-03-15 18:50:11
Kwa uelewa wangu mdogo,homosexuality ina maelezo ya aina mbili
yanayopingana.Kwanza,ni sababu za kibaiolojia,yaani wingi wa homoni za jinsia ya
kike kwa mwanaume au homoni za kiume kwa mwanamke.Pili,ni kile wanachoita
rational choice,yaani maamuzi yanayofanywa na binadamu baada ya kupima faida na
hasara (cost and benefit analysis).Na kuna maelezo ya tatu ya kiimani ambayo ni
maarufu sana katika jamii nyingi duniani (esp in non-Westen societies) kwamba
homosexuality ni laana ya Muumba.Kusema wanawake wanaosagana wanafanya hivyo
kutokana na kuchoshwa na wanaume zao kwanini iwe wanawake tu na si wanaume ?(I
mean sijaskia kuwa mwanaume amekuwa gay baada ya disappointment ktk relations na
wanawake).Na kwanini mwanamke "anayezinguliwa" asichukue solution ya
kuwa na mwanaume mwingine?Most gays in the West tend to claim it's a matter of
choice and right and the legal frameworks in most Western countries seem to
agree.Howeve...
Anonymous   |2010-03-15 18:52:48
However,my Christian faith tells me otherwise though it's being branded as
prejudicial or bigot.

Regards,

Evarist

http://chahali.blogspot.com
jitu   |2010-03-15 19:57:38
Hivi jamani embu wacheni mbona usagaji upo tangu enzi za zamani sema sasa ndio
watu wanjitokeza zaidi tangu enzi na enzi kwa kweli sioni sababu ya kumukumu
mtu yoyote kama unakojoa kwa mwanamke basi ndio starehe yake so what??napia
hamjui kuwa maana ya lesbian ni hivi yule ambae yeye hataki mwanaume na mtu
anetiwa na mwanaume na antiana na wanawake anaitwa bysexul mimi nwapende wale
wanaukula kote kote yaani dume jike sawa tuu nadhani ni starehe jamani
ninawambiaeni wakina dada laha kwelikweli kutiana na mwanamke kama ujawahi
usiwahi hiyo laha yake uwezi kuacha
makande   |2010-03-15 21:31:36
JAMANI TUSUBIRI HUKUMU YA MWENYEZI MUNGU .DUNIA IKO PABAYA WACHENI DHAMBI NA
KUPOTOSHANA KWAMBA NI RAHA NI SHETANI NA FANTASIES ZAKE .FUATENI YALIYO SAWA
Anonymous   |2010-03-15 22:11:48
MOTO UNAWASUBIRI ...YEAH YOU KNOW AM TALKING ABOUT YOU. Better change your ways
soon
machi   |2010-03-16 03:16:27
jamani mimi nilikuwa sina mawazo ya kufanya hivi but jinsi nnavyozidi kukuwa
ndio natamani sana kufanya usagaji yani nnavyosoma vitabu au blogs yani natamani
sana,kuna saa natamani mpaka naishia kujichezea mwenyewe,lakini nawaza
nntaanzaje kumpata mtu wa kufanya naye,pls kama kuna mtu anaweza kufanya anipe
email yake i want to try it
Anonymous   |2010-03-16 04:07:13
Sioni tatizo la mtu kuwa lesbian au hata kama mtu siyo lesbian ila anataka kuwa
ma mahusiano na mwanamke mwenzake yote sawa, just do what makes you happy.
Niliwahi kuongea na rafiki yangu ambae ni bisexual anatumia mwanaume na mwanamke
alinieleza kuwa she preferred a woman to a man, cos a woman knew exactly what to
do with her body, how to play with her, jinsi mikono ya mwanamke ilivyo tender
na laini jinsi mwanamke anavyotaka kufanyiwa mdivyo alivyomfanyia huyo mdada
then my friend was very, very, very happy na service aliyopewa na huyo mdada.
Sisi hatuwezi kusema sana sababu hatujawahi jaribu ila waliojaribu walifaidi
sana. Wanaotaka kujaribu nawatakia mafanikio mema sana na raha mustarehe.
Anonymous   |2010-03-16 04:48:01
Jamani me wanna try - any volunteers?
amina  - haa   |2010-03-16 05:34:41
masikini poleni laiti mngejua raha yake hata msingesema kichefuchefu wengine but
honest ukianza huwezi kuacha nimeanza hiii issue toka nipo mtoto mpka sasa sina
mwanaume nado na gal. you can nicheck kwenye hi5 naenda kwa jina la Amiqute let
meet there

tchaooooooooo
Anonymous   |2010-03-16 05:58:23
Amiqute uko wapi? mi nishapagawa hapa nilipo
amina haa   |2010-03-16 06:19:15
niko bongo maeneo ya kawe vipi wewe upo wapi???????
Anonymous   |2010-03-17 05:37:42
amiquite tuwasiliane bwana, mie nataka kujaribu pia. kwani kitu gani bwana, we
need to try new things. lol
amina haa   |2010-03-17 07:54:20
lets keep in touch come and visit me there will talk more

take care...
Anonymous   |2010-03-16 06:24:52
Pia haya mavyakula watu wanakula siku hizi yenye chemical, genetic modified, na
mahormone yanachangia hormone kujichanganya na watu kuwa confused chemically
ndio maana hao wanaosema wanakuwa na hormone inbalance sababu inaweza kuwa hiyo.
Anonymous   |2010-03-16 06:29:39
Nyie mnaosema wanaume hawawafikishi mnakotaka kufikishwa mpaka mwanamke kwani
hamuwezi kuwafundisha wanaume wenu ili wajue jinsi ya kuwafikisha kama
mnavyotaka au mnasingizia tu ili mpate sababu ya kutoka na wanawake wenzenu
mrembo   |2010-03-16 08:27:04
Mwanaume wa kibongo kufundishika ni Issue,
mimi sishabikii usagaji na sipendi
kabisa,
Lakini wanaume wetu wa Bongo wako selfish sana utakuta mwanaume akifika
anakupanda kama mnyama hata hakuandai hakunyonyi chini,maana raha bwana uusikie
ulimi huko chini,na utakuta mwingine hata kukushika hakushiki.
Jamani wakaka
kama mnasoma hii please jaribuni kubadilika Ngono sio Mtinange tu,Ngono ni
romance ya hali ya Juu,
sparkle   |2010-03-17 08:49:17
na kweli haipendezi kufanya sex bila kuchezeana na mwanamke ili mambo yanoge
lazima umpagawishe, kunyonywa sana na kuchezewa na vidole kabla ya kuanza
shughuli yenyewe
sparkle   |2010-03-17 08:59:34
mrembo inaonyesha una bad experience ya wanaume wasiojuwa shughuli vyema. pole
sana
Anonymous   |2010-03-16 10:43:23
Amiqute will look for you!
amina haa   |2010-03-16 13:00:03
ok you can check me on this email nusratr57@gmail.com,
tukutane pale but i
dont like waongo please and no mannnnnnnnnnnnnnn
Anonymous   |2010-03-16 17:04:46
duh i wish ningekuwa invisible nikaja wachapa bakola.
lakini may be nisiwalani
kwani lana mliopewa inatosha.
kwanini usikii utamu mkiwa na wanaume yani hamko
tofauti na vilema ulemavu sio lazima viwete tuu.nyinyi ni vilema wa kuma hazina
feelings na mboo poleni sana.
mnanifanya nimshukuru mungu zaidi.mana navopenda
mume wangu ndevu zake mboo ina vens akiwa anakojowa veins Zinadundadunda yani
zina blink raha mnooooo hapo hata kana nilikojoa mara 10 wakati anakojowa lazima
nikojoe nae.MAsikini kumbe kuna wanake hawana raha kama hiyo?
kwakweli mwenyezi
alinipendelea.
Anonymous   |2010-03-17 09:14:04
shostito mbona hi5 haupo?
amina haa   |2010-03-18 05:08:46
mbona nimetoa email add yangu u nitumie email then tutaongea zaidi
Anonymous   |2010-03-16 11:04:55
yaani mm mwenzenu nawapenda wanawake mpaka basi! YAANI NAMPIGIA MAHESABU RAY C!
NIKIMSHIKA NTAHAKIKISHA ANPZ MARA 7.
maria  - IT'S NORMAL   |2010-03-16 12:17:27
INothing strange to me cause i have seen it before.You know what it is men's are
no good nowadays cause they cheats a lot. My boyfriend leave on lies, i have
recently find out he has 4 women's excluding myself. But being a lesbians its
not a best option for me i would rather look for another men out there.
Anonymous   |2010-03-16 17:15:13
amen MARIA dont do it.wanaume wanacheet ni kwasababu wanake zao wanakasoro
tayari, mwanamme akipata mwanamke LIJARI hatoki nje ng'o. wanakasoro hao au
wanawanaume wengi sasa akija kwa ampendae anakuwa hana nyege, zote zimeshaisha
kupunga mabuzi ,matokeo yake bwana umpendae anatafuta nje akipata mwanamke
machachari ndo imetoka akirudi kwako hakutii vizuri matokeo yake eti ana cheet
wanake hamcheet????.mtu ukiishi kwa kumwogopa mungu mabalaa kama hayo
hayatokupata.mwogopeni mungu ndo mana mnapata mabalaa.
Anonymous   |2010-03-16 21:25:13
Damn hata mimi nikimpata Ray C mwanangu lol naona siku hiyo itakuwa hakuna
kulala demu mtamu yule....usipime
Anonymous   |2010-03-16 22:53:42
Jamani mimi niliwahi kujaribu mara2 mpaka leo,natamani tena lakini sijui wapi
nitapata willing lady tukafanya,sema mimi ni bi-curious.Miti napenda kama kazi
lakini pia I find some women very attractive hasa wenye nice bum na matiti
mazuri.Nimevutiwa na wanawake wenzangu na wanaume pia.Jamani mimi mpaka naota
natembea na mwanamke mwenzangu lol tena unakuta huyo demu namtamani au nilikuwa
namtamani
Anonymous   |2010-03-17 11:19:09
usagaji na ushoga ni kuonyesha kua dunia imefika ukingoni. hakuna cha
kufrastratiwa wala nini, ni uchafu uliokithiri. kwani akiku frustrate mmoja ndio
mwisho wa dunia. si msahau na usonge mbele, hesabu haikupangwa, sioni kulambwa
kisimi na mwanamke mwenzio vina uhusiano gani na kuachwa na mwanamme. eti
mwanamke mwenzio anakonga nyoyo, hata huyo mwanaume pia ndio zaidi, mwambia tu
unataka nini na kipi unafurahia. mungu alimuumba adam akamuumba hawa, kwa sababu
maalum, hakumuumba adam na peter au hawa na grace. achane uzinzi uliopitiliza na
kuiga yasiyoigwa. waliosupport hapa hata aibu hamna. wanaume wana maudhi au nyie
ndo mna maudhi. mtasagana hadi lini, hamzai? mkizeeka ina maana mtajifungia
ndani wanawake wawili, hata sijui mtaongea nini. hebu acheni ujinga! wazungu sio
binadamu wale ni nusu wanyama, Mange samahani, lakini ndio ukweli, sasa mnyama
akifanya ya ajabu na wewe unaiga maana tuna imani wazungu wana maendeleo na ndio...
Anonymous   |2010-03-17 15:15:59
so Nusrat,Lillian and justice....u wanna do 3some...
Mungu na aturehemu.
amina haa   |2010-03-18 05:09:22
yesssssss
and how about you?????
Anonymous   |2010-03-18 02:55:15
Jamani mapenzi ni kutamani toka rohoni, sasa nyie mnaosema mkutane tu hamjuani
mradi janamke lenzio tu? Mnaanza kulambana tu??? Fyuu Lol we differ otherwise
mnafurahisha baraza hapa, mi nafikiri wengi wanafanya baada ya mazoea ya karibu
marafiki kupita kiasi na si malesbo hao, mana they go on with their lives sema
wengine ndo cjui kuzaliwa hivo na kuiga wanataka kuoana du!! Point kwamba
wanaume wanasababisha sidhani kama is that much strong!!
Anonymous   |2010-03-18 06:25:07
omg..disgusting! but kuna watu wengi sana tena wengine wanajulikana na
kuheshimika ambao wengine wana watoto na wanajulikana sana tu hapa mjini ni ma
lesbo yani wengine nikiwaangalia hata siamini ila ndio hivo.very disgusting
majestic  - TAZAMENI MOVIE YA LOST GIRLS     |2010-04-08 13:09:15
Kushamiri kwa vitendo vya kisagaji kuna mshitua kijana Chris ambaye
anapoteza dada yake pamoja na mke wake kutokana na usagaji. Chris
anaamua kufanya utafiti na kuibuka na SIRI MOJA NZITO SANA ILIYOPO
NYUMA YA MAPENZI YA KISAGAJI.NI SIRI GANI HIYO? TAZAMA FILAMU YA "
LOST GIRLS" mwanzo mwisho.

. Wadau mada hii imekuja katika wakati
muafaka kabisa kwani kusema ukweli suala la usagaji linazidi kushamiri
hapa bongo. Kufuatia hali hiyo mimi na kampuni ya N'GWALUN'GWALU
ENTERTAINMENT PROMOTION tupo jikoni tunapika filamu kali sana
inayokwenda kwa jina la "LOST GIRLS". Katika filamu hiyo
inayochezwa na wahusika wa kike zaidi ya thelathini tumeonyesha sababu na
chanzo halisi cha akina dada kujiingiza katika usagaji na kubwa
kuliko yoye tumefunua SIRI MOJA NZITO SANA ILIYOPO NYUMA YA KUWEPO KWA
USAGAJI /USHO...
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:angry::0:confused::cheer:B):evil::silly::dry::lol::kiss::D:pinch:
:(:shock::X:side::):P:unsure::woohoo::huh::whistle:;):s
:!::?::idea::arrow:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
U Turn Polls
Wangapi mnapenda U-tun ibaki hivi hata kama Mama u turn akifungasha Virago?
 
ADS Only