|
NIMCHAGUE YUPI AWE MUME WANGU??? |
|
Written by Mange
|
|
Hi Mangi,
Jaman pole as now itabidi tukuite mama ushauri but ndo hivyo tuvumilie sie wanawake matatizo yetu mengi. Well dia nisaidie to post this in your blog nipate ushauri though i know its not possible kumshauri mtu to choose a partner in life but atleast maoni na ushauri unaweza ukakupanua mawazo na kuona mbali ambapo ulikua huoni. Ni hivi wapenzi, mimi naona nimefikia umri sahihi wa kuingia kwenye marriage atleast i have achieved all that i planned for and now i am ready to settle for it tatizo ni kwamba i have 3 choices in mind na sijui nani nimchague awe mume wangu. Kati ya hawa watatu mmoja ndo nipo kwenye relationship nae tatizo i do not feel him to be my lifetime partner, nadhani nilifanya mistake kumkubali mapema kabla sijajua if realy i was in love!nilikua nimetoka kwenye heartbreak so sikufikiria ila nikamkubali fasta kupunguza machungu japo yeye anaonekana yupo seriously committed to me! Kaka number two hayupo hapa nchini ila anategemea kurudi rasmi next month huyu yeye alinifatilia siku nyingi sana before hata huyu wa kwanza but nikawa namtolea nje then akaondoka nchini tukapoteza mawasiliano. Last year alirudi for likizo fupi akafanya jitihada kuntafuta hatimae akafanikiwa yan kwa hizo siku alizokua hapa tuli enjoy sana na mpaka he managed to convince me kumpenda sasa tatizo yeye hajajijenga kabisa ina maana akirudi i have to give him another two years before he settles down for marriage. Sasa na sie wanawake tunavozeeka haraka si nitakua kizee na mbaya zaidi wanaume hawatabiriki waweza msubiri afu baadae akaingia mitini ukakosa hata wa kukusalimia!!Kaka number 3 yeye yupo tayari kunioa hata kesho, shida ni kwamba i dont trust him maana kuna siku nilipigiwa simu saa kumi na moja alfajiri na mdada through his own phone akinambia jamaa ni wake lakini nilipomuuliza jamaa akakana kabisa nikamuuliza inakuaje basi huyo dada kunipigia simu asubuhi ile tena na simu yake jamaa kama sio kweli walilala wote jamaa bado akawa anakataa baada ya kumbana sana ndo akakubali!nilimnunia for like 4 months without taking his calls or msgs,tatizo alikua anapafahamu kwetu so akawa kila siku anakuja kunivizia home ili aongee namie,akawa anaomba msamaha sanasema iweje Yesu alisamehe 7*70 mie nishindwe kumsamehe?hatimae siku moja nikaone niende nimsikilize tu ndipo aliponambia alikosea na sasa yuko tayari kwenda kunitambulisha kwao na anytime tufunge ndoa. Mtihani upo hapo sasa...wadau naomba ushauri na sio kunizodoa jaman haya mambo yanachanganya mwe!!
Taty.
Kuwasiliana nasi tuma email kwenye
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
|