|
BREAKING NEEEEWS...LOL... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 04 February 2010 23:45 |
|
Haya wadau wa u-turn story hii fresh out of the oven dakika tatu haina
Kigogo mmoja (jina kapuni) anaejulikana vizuri mjini hivi sasa yupo njiani kummwaga mke wake mpya aliemuoa mwaka jana baada ya kumfumania laivu akifanya mapenzi na kijana mdogo (jina kapuni) anaefanya kazi kwenye kampuni ya mgodi nchini.
Kigogo huyo alikuwa amempandisha chati mke wake baada ya kumtoa kwenye shida na kumweka kwenye jumba la dhamani na kumnunulia vitu vya dhamani na kumlelea wanae.
Binti aliendelea kula uroda na kijana huyo wa mgodi mmoja maarufu (jina kapuni) bila kujua kwamba Kigogo huyo anae mueka mjini amemuekea security kali ya kumfatilia .
Kina dada acheni tamaa, mnapenda kuwa na vijana wa umri wenu sasa kinachowapeleka kwa vibabu vizee visivyoweza kuwaridhisha ni nini?
Mie namsubiri kwa hamu huyu dada arudi mtaani ,bora yamemkuta ya kumkuta manake amekuwa na dharau sana na alisahau alipotoka.
MDAU, MASAKI
|