U Turn Blog
|
MISS TANZANIA AFIWA NA BABA YAKE MZAZI.... |
|
Written by Mange
|
|
Monday, 26 April 2010 20:05 |
|

Mange,
Ningependa kuwatangazia watanzania kuwa Miriam Gerald amefiwa na baba yake mzazi jana.
naomba wadau wote wa uturn tuungane kumuombea miss Tanzania wetu Mwenyezi Mungu ampe subra katika kipindi hiki kigumu.
Pole sana Miriam watanzania tunalia na wewe.
|
|
HAPPY BIRTHDAY SUBIRA.... |
|
Written by Mange
|
|
Monday, 26 April 2010 19:52 |
 Subira and her son Louis..... so cute...
 subira and her mom at graduation
Subira ,a beautiful mother,wife,daughter and sister is celebrating her birthday today…
Happy Birthday sweetie…much love..
|
|
HELLEN DAUSE AIBUKA KIDEDEA MISS UNIVERSE TANZANIA 2010... |
|
Written by Mange
|
|
Monday, 26 April 2010 18:25 |
 Malkia wa miss Universe Tanzania 2010 ,Hellen Dausen kutoka Arusha...
.jpg) hiyo ndio ilikuwa top 5.... Hongereni warembo..
 Hellen Dausen alipokuwa crowned miss Universe Tanzania 2010..
 hiyo ndio ilikuwa opening show... iliongonzwa na Nakaaya Sumari...
 Top 3 hiyo...
|
|
Written by Mange
|
|
Monday, 26 April 2010 01:26 |
 hubby enjoying his last few months of smoking before baby comes...lol
 Beautiful Tanzania...

 zamani Kempinski zanzibar...what a love nest...loved it..
 smile....
 my birthday gift..MAC BOOK PRO...funny how i can only browse the internet and nothig else....
 Babes...
 wow.....im in love,,,
 heavenly ha?
 Good times...before we start running around with a baby...lols...
 coolest couple ever ha?lol
 Lunch on the beach.....life can be so good!
 ujanja wangu unaishia hapa,baharini huniingizi walahi..kuna majini humo yanakuvuta chini...lol
 1st class treatment gotta love zamani kempinski...
 love birds...
 can i live here??
 sweetest times...
 Dinner for 2?
 TILL DEATH DO US PART....
|
|
WAGS & Widows.. |
|
|
Written by Mange
|
|
Monday, 26 April 2010 00:39 |
|

WAG’s & Widows
Sorry to have disappeared for a while – had to devote lots of time to some family issues. Anyway I’m back with another relationship article…
I’ve only cried in public on two occasions. One occasion was in the corridor of the Aga Khan hospital in Nairobi when my first held my newborn son and pressed my lips gently against his head. The other time was at Taylor’s Avenue, the home ground of Carrick Rangers Football Club….
…it was a warm evening in June and a good crowd had turned out to watch the N.Ireland Youth Cup semi-final. I should have been at home studying for an A-Level in Geography which I had the next morning, but my team needed me. We were playing well, in control of the game and I was enjoying myself… but just as I was letting the ball run safely through to our goalkeeper an opposition player ran into me…before I really took in what was happening, the other team had scored a penalty. Fifteen minutes later as the referee blew the final whistle on our 0 v 1 loss to controversy, the hurt was unbearable…and I cried.
I love football - there is nothing that fires the emotion quite like it. That incident was 18 years ago, yet as I celebrate my 37th birthday I’m still addicted to the adrenalin and testosterone powered passion that football gives. I train with my club 2 nights each week have gym sessions in between and play league matches every Saturday. My girlfriend doesn’t complain, but I know she’s thinking that a man of my age should know better.
On June 14th 2010 the inspirational, artistic and scientific ‘beautiful game’ also known as football, will be celebrated on the continent where arguably it’s most fervent and passionate supporters live. Our news bulletins, magazines and TV ad’s will be full of pictures of football’s global superstars and superrich, and of course, their beautiful wife’s and girlfriends.
One half of the world’s media will be focusing on the players form and fitness, the teams strengths and strategies…while the other half will be focusing on Colleen Rooney’s new Louis Vuitton handbag, whether or not Victoria Beckham’s latest Armani dress does her figure justice…and OMG what kind of shades is she wearing now! (To be honest I think that my girlfriend enjoys the gossip just as much as I enjoy the games).
The World Cup paints a glamorous but unreal picture; it portrays the lifestyle of only a chosen few. So what is it really like for those poor WAG’s whose men play week in week out for unknown teams, mostly for no money and often for no glory?
ü Being a WAG is like sitting on the bench – no attention:
It’s no fun being a substitute. The feeling of disappointment, even rejection at being left out the team hurts. Being a WAG is like being a substitute. On Tuesday and Thursday nights, when we want to cuddle up with our man, a take-away and a DVD, he’s at football training….he goes there straight from the office, stays out for a while with his mates and comes home late. Why is being part of a team more important than being part of relationship?
ü Being a WAG is like being the kitman – no appreciation:
He eventually does come home. You wake up to greet him and find a bag lying on the kitchen floor – is it a present? Nope. Of course not, it’s got muddy shorts, a sweaty shirt and wet towel inside, all waiting to be lovingly washed and ironed! And why does he have to wear that stupid Arsenal shirt anyway, it makes his belly look too big?!
ü Being a WAG when he’s too tired to shag – no sex:
So you’ve been feeling a little bit lonely and a little bit rejected, but now your man is home. He’s showered and shaved, smelling nice and looking good and you’re ready for some real passion. Nope. Instead of words of love you hear “That was a tough training session tonight honey, I’ve never run so much and I’m so tired…better get some sleep”
Or even if he does get aroused it’s either going to be like make love to a sack of potatoes, or he’s going pull a hamstring when the action really starts.
ü Being a WAG is like being an accounts manager – no money:
You have some annual leave coming up and have in mind a few dream holidays – Dubai, Paris, New York? You’ve been saving your money to go and see a new place and do some shopping - So do you get that dream holiday? You guessed it girl!
He needs money to buy new football boots for next season, and Arsenal will have a new shirt out soon, and he’s promised his mates he’ll go on a weekend football tour with them next month and…and…and…
So as the World Cup looms large, are you living the live of a real WAG? Are you dreading the prospect of being a football widow for the next few weeks? Please let us know your experiences and your suggestions.
Andrew..
|
|
NIMECHANGANYIKIWA JAMANI..... |
|
Written by Mange
|
|
Sunday, 25 April 2010 23:48 |
|
Hi Mange, pole na kazi na asante sana kwa habari na entertainment tunazozipata kwenye blog yako pamoja na udaku, i love ur blog by the way am a huge fan.
Mimi leo niko radhi wadau wanishambulie lakini uzalendo umenishinda nataka ushauri maana nataabika. Mimi ni mwanamke wa miaka 31 ninaishi mwenyewe, nina elimu nzuri na nimebarikiwa kua na kazi nzuri sana, nipo single na nimetokea kumpenda mwanamke mwenzangu sana, ni mdada ana umri kama wangu. Yaani nikiwa nae naenjoy sana, we have so much fun, tunasaidiana na tunaenjoy sex mno, ananipa mapenzi ambayo sijawahi pata toka kwa mwanaume yeyote, i'm inlove with this woman so much. Hali hii sio kwamba imenianza leo wala jana, ni muda mrefu navutiwa na wanawake wenzangu, guess I'm a lesbian. Watu wananishangaa inakuaje dada mzuri hivi hana mwanaume??wangejua naumia kiasi gani. Sasa hivi nimetokea kumpenda huyu dada, nimempenda kwa mapenzi ya kweli kama mpenzi wangu na yeye ananipenda mno, tumekuwa wapenzi kwa muda wa mwaka mmoja sasa, najua kama binti wa kitanzania sitaweza kua nae milele, lazima ataolewa, nalia kila siku nikiwaza hilo na sina jinsi zaidi ya kukubali huo ukweli, nimejaribu kila njia ya kujibadilisha nimeshindwa, nimejaribu kudate wanaume nashindwa kua nao kwa muda mrefu maana navutiwa zaidi na wanawake. Sasa huyu dada ni majuzi tu ameniambia ananipenda sana lakini kijamii lazima awe na boyfriend ili aweze kuolewa maana familia yake sasa imeanza kumuulizia hiyo issue na tayari kuna mwanaume amemtaka urafiki, anadai hampendi coz moyo wake uko kwangu lakini hana budi, i believe her sababu naona anavyotaabika na suala hili pia, nimelia sana juzi alivyoniambia hivyo, na yeye anaumia mno hataki tutengane. Siju nifanyeje maana tunapendana sana na siko tayari kumpoteza, ni vigumu mtu kuelewa naumia kiasi gani mpaka uwe kwenye situation kama yangu, sasa hapa nilipo sijielewi nifanyeje, ye mwenyewe kachanganyikiwa, kwao wanamuuliza vipi unaolewa lini hana jibu, sasa sijui ni end vipi hii r'ship nae, jamani naogopa kuumia na yeye anaogopa kuniumiza but it looks kama hivyo ndivyo itakavokua, i don't wanna let go, i'm confused, help, nitashukuru kama wadau watanishauri, mkinijudge nitaelewa coz kwenye jamii ya kitanzania sikubaliki but i can't change who i am, i love women and there's nothing i can do about it.
Asanteni,
-Kathy-
|
|
DO WE REALLY HAVE TO SAY TANZANIA IS CLOSE TO KENYA??? |
|
Written by Mange
|
|
Sunday, 25 April 2010 23:45 |
|
Mange ill be more than happy if post this and the reason why i came out with topic is because of your last couple posts about Tanzania not being well know abroad. First, this is not true we are known abroad. Ngoja nikamue kiswahili ili wadau wengi waninyake.
Sio kweli kuwa Tanzania haijulikani nje, Tanzania inajulikana nje na mara nyingi ukiwauliza ama ukiulizwa na watu wanalioenda shule watajua unaongelea nchi gani. Ni kweli ukimuliza mtu ambaye never bother to learn about the world surrounding them hawezi kujua Tanzania iko wapi na watu kama hao tunawaita ma idiot na hawawezi kutuumiza vichwa..mfano mzuri ni Sarah palin mgombea mwenza wa urais marekani ambaye alikuwa hata hajui kama africa ni bara na siku zote alikuwa anajua Africa ni nchi moja.
Sasa nikija kwenye mada kuu ya post hii ni kuwa Hivi kuna haja kweli ya sisi waTanzania kusema im from Tanzania and Tanzania is close to Kenya? Mtazamo wangu ni kuwa watu wengi wana Obama fever kwamba kwa vile baba yake Obama anatoka Kenya basi wataeleweka wakisema Tanzania is close to Kenya. Why most of us Tanzanians abroad cant express ourselves well? Instead of taking our time and use the opportunity to tell people abroad that Tanzania is in East Africa and refer to great attractions within it such as Kilimanjaro mountain most people will jump to a shortcut and say Tanzania is close Kenya. This is totally Wrong.
The act of telling people that Tanzania is close to Kenya does not help at all to make Tanzania known abroad. Instead, it makes Kenya even more popular without you guys noticing. For instance if you asked a stranger where she/he was from and their response was im from United states and united states in close to Canada...Would you be satisfied with that answer?
Lastly, Sometime we mispronounce The name of our beautiful country. There is a way we pronounced the name of our country back when we were in primary school (the Tanzanian way) Thats not how they pronounce it and if you pronounce that way they might not understand what you talking about. The bottom line here is Tanzanians abroads need to learn how to express themselves well especially when it comes to expressing about Tanzania. Take ur time and tell what do we have in Tanzania and not the way y'all been saying Tanzania is close to Kenya.
Mdau wa USA.
|
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 22 April 2010 21:02 |
|

SORRY GUYS,
I won’t be blogging till Sunday evening…..
Lets just say I’m so happy right about now…
|
|
MISS TANZANIA AFUTIWA MASHTAKA.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 22 April 2010 14:16 |
|

MAHAKAMA ya Wilaya Kinondoni, imemfutia mashitaka Mrembo wa Tanzania, Miriam Gerald, baada ya mlalamikaji kuiambia mahakama kuwa hana mpango wa kuendelea na kesi aliyofungua.
Miriam pamoja na rafiki yake wa kiume, Kennedy Victor wamefutiwa mashitaka yaliyokuwa yanawakabili ya kumshambulia Shaaban Moshi kwa vitu vyenye ncha kali wakati shitaka la pili, ni kufanya uharibifu wa mali yenye thamani ya Sh720,000.
Hakimu waliyekuwa akisikiliza kesi hiyo, Kwey Lusemwa aliwaambia washtakiwa kuwa wako huru baada ya mlalamikaji kuonyesha kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Awali, Mwendesha Mashtaka Mrakibu wa Polisi, David Mafwimbo alisema mahakamani hapo kuwa mlalamikaji ametoa taarifa ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi na akaagiza iondolewe.
Mrembo huyo alitwaa taji hilo, Oktoba 2, 2009 kwenye Ukumbi wa Mlimani City lakini alifanya vibaya kwenye mashindano ya dunia yaliyofanyika Afrika Kusini mwishoni mwa mwaka jana.
Akizungumza jana, Mratibu wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga alisema: "Niliwaambia Watanzania tuiachie mahakama ifanya kazi yake na leo hii ukweli umeonekana.
"Mimi siamini kama hili lilikuwa na ukweli ndani yake, ni mambo ya kupandikiza lakini tuyaache imeshaamriwa hivyo...," alisema Lundenga.
"Watu wanahukumu Miss Tanzania, lakini sivyo, sisi tunakaa na warembo muda mfupi sana, akitwaa taji, tunamtumia pale tunapomuhitaji na baada ya hapo anaendelea na maisha yake hatuwezi kumbana muda wote, sasa ni akili za wao wenyewe wajitambue nafasi yao.
Lundenga ambaye alirejea kuwataka radhi mashabiki wa urembo, aliwataka warembo kujitambua nafasi yao badala ya kufanya mambo yasiyokuwa na maana na kuharibu taswira nzima ya mashindano ya urembo
Source : http://www.mwananchi.co.tz/michezo/18-michezo-mingine/927-miss-tanzania-afutiwa-mashitaka
|
|
SUMU KWAKO DAWA KWA MWENZIO.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 22 April 2010 00:48 |
|
Guys, naona wengine mnatuma comments kwamba hii sio blog ya watu kuweka matatizo yao binafsi na matatizo yao ya mapenzi.
Well, one of the ideas behing uturn is to share our life experiences and be there for one another.Naamini hao wanaotuma story zao ni kwamba wanataka kujua watu wengine wanasemaje na labda wanahitaji ushauri wa watu wasiowajua ama wasioweza kuwajudge.
Kama wewe huzipendi hizo topics za personal life stories feel free not to read them……..hujalazimishwa kuzisoma au kuwapa ushauri,waache wanaoona hizo topic zinawa-interest wasome.
Humu ndani kila mtu ana chake anachokipenda na asichokipenda, so stop being selfish….

|
|
|
|
|
<< Start < Prev 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 Next > End >>
|
|
Page 39 of 102 |
|
|
|