18August

FRIDAY PRAYERS @ THE MOSQUE.....

 

 

 

With Da Zenat at the mosque......

Ijumaa Kareem.......

Comments (57)

  • kibonge

    kibonge

    18 August 2012 at 07:22 |
    usije muambukiza tu da'zenat mashauz
    • Mbeba mabox

      Mbeba mabox

      18 August 2012 at 07:38 |
      Kibonge,
      You could not find something nicer to say.. I guess ur mama did not teach you if you don't have something nice to say, just don't say anything.

      Have great friday you too our CEO.
    • Mshamba

      Mshamba

      18 August 2012 at 07:43 |
      Ha ha Ha! Kibonge mi sitaki bwana!
      • Muke Ya Albino

        Muke Ya Albino

        18 August 2012 at 17:31 |
        Hahahahaha.... Kibonge yote maisha, mashauzi tena Mbona ndio yanayotuleta u turn. We are here to stay!! mpaka Kenzo akue na yeye tuone mashauzi yake maana ya Lance yameanza si tulimwona pale kwenye pochi mmmmh "maumivu ya kichwa huanza taratibu"
  • k0ku

    k0ku

    18 August 2012 at 07:34 |
    ceo uso umechokaaaaaaaa. hulali vizuri au ni makengeza yangu?
    • Muke Ya Albino

      Muke Ya Albino

      18 August 2012 at 17:24 |
      Labda kwaajili ya Kufunga maana hata ile advice ya water therapy uliyompa na hakika hakuweza kuifanya.
    • msukule wa miami

      msukule wa miami

      18 August 2012 at 19:03 |
      uso umechoka chezeya reality ya maisha marekani amekua mdogo kama piriton
      • DESPERATE HOUSE WIFE

        DESPERATE HOUSE WIFE

        18 August 2012 at 21:35 |
        TATIZO TUMEZOWEA KUMUONA NA MASK YA MAKE UP, ATA KAMA MTU NI MBAYA KULIKO WATU WOTE UKIPATIA MAKE UP YA UKAKIKA NA UJUE KUIPAKA NA MANYWELE WEEEE...biggrin
        ALTHOUGH SIONI KWAMBA CEO KACHOKA USO, SHE JUST LOOK A LITTLE DIFFERENT.. SHE'S GOT A SOFT SKIN.
        BY THE WAY KWANI MNAFUNGUA LINI? MI NIMECHOKA KUONA HIZI NGUO...
      • wewe kazi unayo

        wewe kazi unayo

        18 August 2012 at 21:52 |
      • Anonymous

        Anonymous

        18 August 2012 at 23:48 |
        Hahaaaa! umeamua kutufata kwetu. Haya karibu Sintah tunajua wewe ndie huyo msukule wa miami. Sisi huku hatujazoea shari, ingia taratibu
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    18 August 2012 at 07:38 |
    Msikiti wa Nguvu kama uko kwa wenyewe Dubai ...
    • msukule wa miami

      msukule wa miami

      18 August 2012 at 19:00 |
  • Mshamba

    Mshamba

    18 August 2012 at 07:47 |
    Kibonge you are right. Ngoja tusubiri Eid ije labda hata dada Zenat naye atatuonyesha viwalo ...another Mange spinoff...Dada Zenat in Miami Lol!
    • msukule wa miami

      msukule wa miami

      18 August 2012 at 19:04 |
      thumbs down uliambiwa kila post lazima ukoment
  • muke ya jaluo

    muke ya jaluo

    18 August 2012 at 09:07 |
  • Anonymous

    Anonymous

    18 August 2012 at 09:35 |
    Wapi mama bokenzo kwa raha zako loh
  • Anonymous

    Anonymous

    18 August 2012 at 10:26 |
    Naona US imekufanya muislam zaidi au ni Ramadhan, anyways I'm happy for the changes.
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    18 August 2012 at 11:24 |
    TUALIKANE EID JAMANI KWA WALE WOTE TUNAOWAKILISHA VUMBINI(BONGO.COM)HAHAHAHAHAH MANGE NAONA UMESHAFUMUA WEAVE UWII YANI NAONA IN 3D KAMA SIR GOD LOL......cheers
  • Mariam

    Mariam

    18 August 2012 at 11:31 |
    Jamani aliyepewa kapewa tu, Mange Mungu amekujalia mambo mazuri sana..hongera tena endelea kumuomba na kumshukuru kila siku
  • miss u turn

    miss u turn

    18 August 2012 at 11:36 |
    mange GOOD GIRL.. HAPO NDIYO UNANIFURAHISHA UMEPENDEZA KWELI... TENA UNA UNANURU YA MFUNGO MPENDWA MASHAALAH...hakunaga KAMAmange
  • Nai Nai

    Nai Nai

    18 August 2012 at 12:29 |
    Mashallah, msikiti mzuri mpaka raha!

    Mashallah wanawake mmependeza na mavazi yenu na saumu. Mange msiache kwenda kwenye friday prayers hata baada ya Ramadhani, na usiache kusali sala zako ili Mungu azidi kukupa ulinzi wake na rehma zake. Pamoja na kuwa huko ni kwa mumeo lakini bado ni ugenini, mtumainieni Allah kwa kila jambo lako!

    Kisses to baby Kenzo, mchukueni kwa Eid prayers na yeye jamani!
    • a

      a

      18 August 2012 at 20:44 |
      kenzo mkristo...Mungu wetu toooooofauti na allah
    • Anonymous

      Anonymous

      18 August 2012 at 23:39 |
      Nai nai welcome back.
  • Canada

    Canada

    18 August 2012 at 12:35 |
    Mashallah Mungu atuongoze wote kwenye njia iliyo nyooka,ijuma karim
  • Anonymous

    Anonymous

    18 August 2012 at 12:38 |
    Koku mbona Mange kapendeza hapo ni bila make up
    • k0ku

      k0ku

      18 August 2012 at 21:54 |
      kuna tofauti ya kupendeza na kuchoka! sikui mwenzangu unazitofautishaje..unaweza kupendeza hata kama macho yametumbukia ndani kwa dehydration,ila machoni pa watu watagundua kama jana yake ulikesha au ulilewa sana..hajachukiza bila make-ups,ila amechokaaafreedom
  • Anonymous

    Anonymous

    18 August 2012 at 12:46 |
    napenda unavomkaa na zenat humbagui yaani kila sehemu anayohitajika Kwnda unaenda nae hadi raha good relationship btw you guys sio kina nanihilii unavowafanya madada km ??.idd mubarrak
  • Nai Nai

    Nai Nai

    18 August 2012 at 12:56 |
    Kwa wale wote mliojaaliwa kufunga Ramadhani hii msisahau kutoa Zakat-fitri. Hii zaka ni lazima na wala si hiyari. Na tena inatakiwa itolewe mapema ili huyo utakaempa aweze kufurahia siku ya Eid na yeye.

    Kwa wale wanawake wote mliojaaliwa kufunga na kuna siku hamkufunga, msisahau kulipa hizo siku, mara nyingi watu huona uvivu anabakiwa na deni la siku 4, 5, 6 au 7 mpaka Ramadhani nyingine inamkuta. Kama hutaweza kufunga sita mfululizo baada ya Eid, unaweza kufunga siku moja moja ndani ya huo mwezi wa Shawali mpaka ukatimiza siku 6 au zaidi. The simplest way ni kufunga Jumatatu na Alhamisi, utajikuta ndani ya mwezi mmoja umemaliza madeni yako na umepata thawabu za kufunga sita. Otherwise una mwaka mzima wa kumalizia deni lako unaweza kuamua kila mwezi ukafunga siku 2 tu na deni likaisha kabla ya Ramadhani nyingine.

    Namuomba Mwenyezi Mungu azipokee saumu zetu, atusamehe na kutufutia madhambi yetu, apokee maombi yetu na atujaalie uhai na afya njema sisi na familia zetu AMIN YA RABIL-L-ALAMINA!!

    SAUM MAQBOOL na BARAKATUL-EID

    The one and only

    Nai Nai
    • a

      a

      18 August 2012 at 20:45 |
      una bidii unahitajika kuwa jembe la Yesu
      • Anonymous

        Anonymous

        19 August 2012 at 17:00 |
      • Anonymous

        Anonymous

        19 August 2012 at 17:07 |
      • Anonymous

        Anonymous

        19 August 2012 at 17:08 |
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      18 August 2012 at 22:55 |
      EID Njema kwako Nai Nai....stay blessed...
    • Anonymous

      Anonymous

      18 August 2012 at 23:40 |
      Amin
  • Anonymous

    Anonymous

    18 August 2012 at 13:48 |
  • U-Turn-Freak

    U-Turn-Freak

    18 August 2012 at 14:25 |
    Uso haujachoka KOKU nahisi ni swahumu hiyo..looks like ni noon time, sijui Mange hakula daku!!!! alafu no kujilemba lemba msikitini...
  • ummie

    ummie

    18 August 2012 at 16:51 |
    mashallah, Mungu akuzidishie imani Mama KENZO, lookin great as always.
  • parrotkasuku

    parrotkasuku

    18 August 2012 at 18:10 |
    Mashaallah
  • Msomaji Body Languaje

    Msomaji Body Languaje

    18 August 2012 at 18:24 |
    Mashallah mtoto wa kiislam shurti kuuheshim mwezi atii.Pendezamukeya keep it up!
  • TBL

    TBL

    18 August 2012 at 19:13 |
    Safi sana! Prayers ni mpango mzima.
  • maudodo

    maudodo

    18 August 2012 at 19:19 |
    jumaa maqbur mange, kibonge umeona eeh na da zenat nae naona anafuata nyayo, sasa kibonge hicho kipicha ni tumbo au kitu gani, ujue sijakusoma kabisa.....hahahahaaaaa..!
    • kibonge

      kibonge

      19 August 2012 at 05:31 |
      maudodo ndo hasara za kuwa kibonge hizo hilo ni tumbo
  • Mijjalicious

    Mijjalicious

    18 August 2012 at 20:22 |
    Kweli msukuleceo Uso umechoka punguza mawazo pia kumbuka nyumbani ni nyumbani nahisi kapamiss ndo mana.
  • c's mum!

    c's mum!

    18 August 2012 at 21:21 |
    eid mubarackceo wa ukweeeeeee! wengine wa china tu!
  • mukeyamuzungu

    mukeyamuzungu

    18 August 2012 at 21:24 |
    Umependeza CEO wetu me Lv u I can't wait after mfungo wambea na weenie wivu mtajibeba pandeni juu muende mkazibehakunaga kamamange
  • mukeyamuzungu

    mukeyamuzungu

    18 August 2012 at 21:28 |
  • sally

    sally

    18 August 2012 at 22:29 |
    saf sana...endelea ivyo ivyo da mange
  • jason

    jason

    18 August 2012 at 22:47 |
    nice
  • someone

    someone

    18 August 2012 at 22:55 |
    hee mange, mbona mbaya hivyo bila make up. unaonekana kama ndio leo umetoka bunju
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    18 August 2012 at 23:21 |
    @NAI NAI "AMINA"blowkiss .... EID MUBARAK TO ALL MUSLIMS AROUND THE WORLD,MUNGU ATULINDE SISI NA FAMILIA ZETU,ATUFUTIE MADHAMBI NA KUTUFIKISHA PEMA.....praying [-O
    • TMK

      TMK

      19 August 2012 at 13:52 |
  • Anonymous

    Anonymous

    19 August 2012 at 12:35 |
    wow what a nice mosque