nabadirisha jina kuanzia leo . nitajulikana kama *cockburn* kizungu zaidi . naona mtaa wa pili wananichafulia hali ya hewa,ngoja wao wabaki na hilo jina la nyumbani kaishozi
Usibadili jina lako kwa ajili ya kuwaogopa au kuwafurahisha watu; wanaweza kujiita Koku mara 50, lakini kamwe hawataweza kucoment kama wewe, kwa sababu kila mtu ana style yake ya kuandika au kuongea. So dont let those trolls who cant think beyond their ages wakuendeshe.
Ukitaka kutofautisha Koku wa Kichina na Koku original weke signature yako i.e kapicha. Kama hutaki kumtumia CEO fungua new email account ibandika hapa kisha mie nitakuelekeza namna ya kufanya kwa email. Kwa sababu utakapocomment popote pale kwa kutumia email yako picha na jina itatokea tu.
Ndio maana mimi sina wasi wasi, Nai Nai ni jina langu la ukweli mtu mwenye kubabaika na kulicopy kanizimia au ananifia au ananiadmire ndio maana anataka jina langu!! Kitu ambacho hawataweza kucopy ni my brain or my intelligency hata nikimpa papers zangu asome hataelewa nimeandika nini humo.
watu wengine bwana kwa kupenda attention sasa kama unabadilisha jina si ubadilishe tu kimya kimya kwani mpaka utoe taarifa na kuutangazia ulimwengu hata haukufahamu unafananaje..!kweli mhaya ni mhaya tu hata akiwa ulaya,hilo jina imekua trade mark kwamba u gonna lose ur customer au basi tu ni misifa jazz band
best mbona we kigeugeu kama kifurumbwidu mtaa wa uswazi? Sio wewe ulitupostia unatamani Prezzo atoke wiki za mwanzo kisa anaabuse mademu mjengoni?
acha hizo bana hujui un wafuasi wanafuata kila usemalo? ukitaka kubadilika uwe unakaa na wadau kama kamati tutoe kauli 1
WEEK ONE Aliniboa sana kumwambia Barbz ni mzee she needs to get married and have kids etc...as a woman, i was really pissed, yani nilimchukia Prezzo vibaya mno, coz i know jinsi wanawake wanavyokuwa pressured kuolewa sababu ya umri etc and its not fair.
but mie ni mtu wa kusamehe sana. Kesho yake asubuhi na mapema Prezzo alimuomba Barbz msamaha, as a matter of fact yani aliona aibu sana asubuhi baada ya mapombe kumuisha, yani alimuomba msamaha mpaka mie mwenyewe nililegea....hahahhaha.....and he meant it coz he never ever said anything like that to Barbz again. Nilimpenda sana Prezzo baadae although that grudge holding Barbz never forgave him......
Got ya! Good kusamehe na kujishusha, kuna kufa mwisho wa siku. Uguza pole halafu na mie nahitaji msamaha wako, dole la kati nashusha chini, nainua gumba kwajili yako. Lakini tafadhali shauriana na C's mum na Marichui wasijekununia. Mi lav yuu CEO hakunaga!!
mi mwenyewe nilimchukia mwanzo na pale alipom nominate Gold nikachukia kweli ila badae nikarudisha moyo fasta nimempigiaje kula,
anyway hata hivyo ni mshindi wa africa one kama prezidaa
Mie naona huyo dada wa mtaa pili mnapaisha buree na anavyowachora na mnamvyomsifia eti ana Masters! Anawachekaa, mwenzenu yuko kwenye movie anaact na sio reality nyie kutwa eti, msomi gani, au sijui wasomi hawawi hivyoo. Sasa leo ngoja nipasue jipu humu, hivi mmeshawahi kumuuliza amesoma shule gani? Au ameshawahi kuwaonyesha vyeti vyake?
Iko hivi, mwaka jana mwezi September alipost kwenye blogu yake kuwa yeye kasomea Population studies. Kabla hata mwezi haujaisha akasahau kuwa alisema kasoma Populations studies October (tarehe ninaiminya) akapost kuwa yeye ana BA na PG; siitaji alisema BA na PG ya nini ila akaweka mtungo kuwa amepata scholarship ya nchi fulani (hakuitaja jina) karibu ataanza kusoma Masters and that was mid October 2011. Na tangu amesema amepata hiyo scholarship ndio akaanza vijisafari vya UN ghafla akageuka Diplomat Ambassador wa UNAMID. Na Mange alivyoanza kusema mambo ya graduation alivyorudi tu kutoka kwenye graduation yake na yeye akaanza kupost kuwa ana MA hiyo ya International Relations na Diplomacy (iko siku nitawaambia amecopy kwa nani hiyo tittle ya MA course yake.
Ninachotaka kuwauliza hivi Masters siku hizi inachukua less than 6 months kushinda certificates? Kwanini watanzania mnapenda sana mambo ya kudanganya kuwa mmesoma ilhali hata darasani hamjaingia? Poleni wote mnaomsherehekea kuwa kasoma, the girl is taking you for a ride!!!
Since I discovered that she is taking people for a ride, I never take anything she says seriously; nafikiri she has multiple personality disorder! Haa haaa haa, at one time she think she is Mange Kimambi and sometime she return back to herself. Ndio maana kila afanyacho Mange na yeye anafanya, mbona hafanyi vya huyo namesake wake? Na wafuasi wake badala ya kumsaidia ndio kwanza wanamzidishia. Siku moja ataamka aseme yeye ni Malkia Elizabeth au Michelle Obama, shauri yenuu!!
mwaga mtama out of topic! mie binafsi niliona alipopost amepata sponsor wa masomo ya Masters na atamtangaza soon, ilikuwa mwaka jana mwishoni,sikuingia kitambo nikapita baaa ya kama miezi 6 hv yaani mapema mwaka huu baada ya kauli mbiu ya CEO Education is sexy nikakuta kapost ana Master pia nnlijiuliza hiyo Masters kachukua muda gani na wapi maana BA alitutangazia kaipata Uganda, anavotafuta sifa kwa nguvu angetuambia alipopata MA yake na sponsa alietuahidi kuturushia,.kazi anayo bi kifurumbwidu. Sasa katupostia mjengo wa BayZ ati serengeti boy wake ananunua, ama kweli. Mie hujiuliza tu Masters na utangazaji (sijui anatangaza mipasho au nn sijawahimsikia)wapi na wapi si akawe tutorial chuoni huko. Ni kama kachanganyikiwa flani hv
Kwa kupost picha za majengo siziendana na uhalisia hajambo!! Kama ile picha ya majengo ya kihistoria ya Roma, ambako alijidai kuwa ndie anakofanyia kazi. Kuna watu 2 wanapenda kujisifia wao ni wazuri na wote walikuwa MaCEO huko. Mmoja akipeleka taarifa za kutoka Bongo, mwingine akifanya stupid stuff. Mimi yote hayo nayaona ni upuuzi ila hili la kudanganya kila siku ana Masters, ndio kituko cha mwaka. Nina wasi wasi hana hata hiyo BA kwa sababu sijawahi kusikia hata siku moja mtu anacomment kuwa ni kweli walikuwa class moja. Hivi BA usome for 3 or 4 years ukose hata classmate mmoja? Au school mate wa miaka mingine? Hiyo course alikuwa yeye na mwalimu tu? Au?
Wanawake ambao hawataki kusoma kujiendeleza kisha wanabaki kununua vyeti feki na kujitapa kuwa wamesoma wanadhalilisha sana wanawake wenzao.
I RESPECT SANA WANAWAKE WA DARASA LA 7 AMBAO HAWAJASOMA Kutokana na sababu mbali mbali au hata waliomaliza form 4 wakafeli (kwa sababu chances za mwanamke kufeli ni kubwa kutokana na mazingira)lakini wanajiamini na hawadanganyi kuhusu elimu yao.
I dont respect mwanamke anaedanganya amesoma ilhali hajasoma kwani sio mfano mzuri kwa wasichana wadogo wanaomzunguka!! Tangu muda alioanza kuimba anasoma Masters angeingia darasani kweli angekuwa anaelekea kufikisha mwaka sasa, kwa shule za UK angekuwa anasubmit dissertation yake; kwa shule za US angekuwa anaingia second year soon, na kwa shule za Bongo angekuwa anafanya research yake kwani Masters Bongo ni 18 months!
Kitu ambacho wengi wanasahau kuwa hata academicians hupita kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii. Wanajua wanafunzi wa Bongo wanapenda kudesa, lakini hii ya Masters ya 6 months? Tena bila kuingia darasani? Hata kama ni distance learning angekuwa ndio kwanza yuko nusu au robo ya shule!! Nenda shule wewe binti unatia aibu tasnia ya elimu!!
out of topic whats wrong with you? umetumwa kuleta risala za mashenzini humu? kama ana masters au hana who cares, that her life, hauna power ya kuchange anybody's life except yours take a chill pill wewe na kifurumwidu sugarmammy mnakera sio siri
Guyz give us the break,we really tired na story za watu wa mitaa ya pili,we need our things,tukitaka kuyajua ya huko kama tuko interested(mungu apishie mbali tutakwenda wenyewe)we don't need kuwapa cheap popurarity hao watu wenu wa mtaa wa pili mliowakazania kama mnagombea nao bwana
Mi nilicheka siku moja alivyoonyesha yupo kwenye ndege anaenda kwa Bibi,alipofika kwa Bibi hakupiga hata picha.Makubwa au picha zilipotea?Mjini kunavichekesho sasa ametangaza ndoa na mme wa mtu,Ipo siku atachukuliwa na yeye.Baby wake-up.
am new in commenting but am no 1 fan of u mange and yo u-turn i love the creativity u put on guys lets be on this side of lol coz it worths i love u mange . she ain't you oooops i mean ps hahaha mswahili i petty her
mange don' waste your time writting abt dat sorry example of a woman she knows that she ain't u 1000000kms u know most losers endes up haters .anyways iron woman am on the front line praying for our kenzo we love him xo much he'll be fyn in no time
Comments (35)
koku
bella
Anonymous
koku
Anonymous
Nai Nai
Ukitaka kutofautisha Koku wa Kichina na Koku original weke signature yako i.e kapicha. Kama hutaki kumtumia CEO fungua new email account ibandika hapa kisha mie nitakuelekeza namna ya kufanya kwa email. Kwa sababu utakapocomment popote pale kwa kutumia email yako picha na jina itatokea tu.
Ndio maana mimi sina wasi wasi, Nai Nai ni jina langu la ukweli mtu mwenye kubabaika na kulicopy kanizimia au ananifia au ananiadmire ndio maana anataka jina langu!! Kitu ambacho hawataweza kucopy ni my brain or my intelligency hata nikimpa papers zangu asome hataelewa nimeandika nini humo.
mdau wa "mitaa ya pili"
Dee
Anonymous
SITAHARISHA
acha hizo bana hujui un wafuasi wanafuata kila usemalo? ukitaka kubadilika uwe unakaa na wadau kama kamati tutoe kauli 1
mange kimambi
but mie ni mtu wa kusamehe sana. Kesho yake asubuhi na mapema Prezzo alimuomba Barbz msamaha, as a matter of fact yani aliona aibu sana asubuhi baada ya mapombe kumuisha, yani alimuomba msamaha mpaka mie mwenyewe nililegea....hahahhaha.....and he meant it coz he never ever said anything like that to Barbz again. Nilimpenda sana Prezzo baadae although that grudge holding Barbz never forgave him......
SITAHARISHA
mange kimambi
KIBONGE
anyway hata hivyo ni mshindi wa africa one
Anonymous
miss u turn
Muke Ya Albino
Out of topic
Iko hivi, mwaka jana mwezi September alipost kwenye blogu yake kuwa yeye kasomea Population studies. Kabla hata mwezi haujaisha akasahau kuwa alisema kasoma Populations studies October (tarehe ninaiminya) akapost kuwa yeye ana BA na PG; siitaji alisema BA na PG ya nini ila akaweka mtungo kuwa amepata scholarship ya nchi fulani (hakuitaja jina) karibu ataanza kusoma Masters and that was mid October 2011. Na tangu amesema amepata hiyo scholarship ndio akaanza vijisafari vya UN ghafla akageuka Diplomat Ambassador wa UNAMID. Na Mange alivyoanza kusema mambo ya graduation alivyorudi tu kutoka kwenye graduation yake na yeye akaanza kupost kuwa ana MA hiyo ya International Relations na Diplomacy (iko siku nitawaambia amecopy kwa nani hiyo tittle ya MA course yake.
Ninachotaka kuwauliza hivi Masters siku hizi inachukua less than 6 months kushinda certificates? Kwanini watanzania mnapenda sana mambo ya kudanganya kuwa mmesoma ilhali hata darasani hamjaingia? Poleni wote mnaomsherehekea kuwa kasoma, the girl is taking you for a ride!!!
Since I discovered that she is taking people for a ride, I never take anything she says seriously; nafikiri she has multiple personality disorder! Haa haaa haa, at one time she think she is Mange Kimambi and sometime she return back to herself. Ndio maana kila afanyacho Mange na yeye anafanya, mbona hafanyi vya huyo namesake wake? Na wafuasi wake badala ya kumsaidia ndio kwanza wanamzidishia. Siku moja ataamka aseme yeye ni Malkia Elizabeth au Michelle Obama, shauri yenuu!!
Kifurumwidu sugarmummy ya OK
Out of topic
Wanawake ambao hawataki kusoma kujiendeleza kisha wanabaki kununua vyeti feki na kujitapa kuwa wamesoma wanadhalilisha sana wanawake wenzao.
I RESPECT SANA WANAWAKE WA DARASA LA 7 AMBAO HAWAJASOMA Kutokana na sababu mbali mbali au hata waliomaliza form 4 wakafeli (kwa sababu chances za mwanamke kufeli ni kubwa kutokana na mazingira)lakini wanajiamini na hawadanganyi kuhusu elimu yao.
I dont respect mwanamke anaedanganya amesoma ilhali hajasoma kwani sio mfano mzuri kwa wasichana wadogo wanaomzunguka!! Tangu muda alioanza kuimba anasoma Masters angeingia darasani kweli angekuwa anaelekea kufikisha mwaka sasa, kwa shule za UK angekuwa anasubmit dissertation yake; kwa shule za US angekuwa anaingia second year soon, na kwa shule za Bongo angekuwa anafanya research yake kwani Masters Bongo ni 18 months!
Kitu ambacho wengi wanasahau kuwa hata academicians hupita kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii. Wanajua wanafunzi wa Bongo wanapenda kudesa, lakini hii ya Masters ya 6 months? Tena bila kuingia darasani? Hata kama ni distance learning angekuwa ndio kwanza yuko nusu au robo ya shule!! Nenda shule wewe binti unatia aibu tasnia ya elimu!!
Anonymous
9ja Girl
u turner muasisi
Anonymous
Anonymous
BEAUTIFUL ONYINYE
anonymous
Mrs Jimmy Choo
hat kimambi
hat kimambi
Anonymous
Anonymous
ney rowland
happy dat he took 't...
ney rowland
happy he did!
Anonymous