02August

MIZIGO MIKUBWA MIKUBWA........ HAHAHHAHA

 

So, a friend of mine sent me this today, nilichekaaaaa mpaka nikahisi kaniharibia swaumu yangu walahi......lolest.....

VIJIMIZIGO VIDOGO VIDOGO ITABIDI TWENDE KWA WAZUNGU TU KWA MANTIKI HII......

 

m

Comments (63)

  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    02 August 2012 at 06:51 |
    Sijui kwa nini Chongo la office halionyeshi picha ahaaaaaa!cuss
    • Anonymous

      Anonymous

      02 August 2012 at 07:15 |
      Marichui mie ninayo kwenye simu if you want
    • BEAUTIFUL

      BEAUTIFUL

      02 August 2012 at 11:46 |
      Marichui poleee sie twafaidiiii
    • Anonymous

      Anonymous

      02 August 2012 at 16:34 |
      MINE TOO...THAT MEANS HIYO PIC U R VIOLATING OFFICE POLICIES. LINATUMIA BANDWIDTH KUBWA THATS WHY HAIONYESHI
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 07:03 |
    ukojuu walah mange baada ya ku-upgrade blog umenitia uvivu kucomment, lakini hii kali kuliko zote ulizowahi kutoa

    chaijaba
  • c's mum!

    c's mum!

    02 August 2012 at 07:52 |
    mange kucheka nako kwaharibu swaumu?? basi mawifi zangu hawafungi wallah, kutwa kuvunjika mbavu sittin rum! khaaaaaaaa, itabidi niwakanye! cheka mwaya, maisha yenyewe yako wapi??
  • maudodo

    maudodo

    02 August 2012 at 07:53 |
    pole marichui unakosaje uhondo wa videos na music anazotutumia ourceosorry
    • m a r i c h u i

      m a r i c h u i

      03 August 2012 at 06:49 |
      Maudodo ninakalaptop home ndio ninakoangalizia u-turn kwa nafasi hapa kwa Mashemeji wa Patel wameblog almost kila kitu
  • KIBONGE

    KIBONGE

    02 August 2012 at 08:30 |
    ndo mana mie nabaki kuwa kibonge hivihiv no diet na napendeza tu mana nmejazia jazia maeneo km anayosema hy sheikh
  • Mshamba

    Mshamba

    02 August 2012 at 08:35 |
    Yeye anapenda waliojaziajazia.laughing I honestly believe kwamba kila mwanaume ana preference yake na zinakuwa tofauti sana. Kuna wanaopenda wembamba wengine wanene wengine wa kati. Halafu kuna wale wanaopenda features fulani bila hivyo ni no go. Kuna wanaokufa pale wanapoona tako, wengine mguu wengine bila nyonyo mambo hayaendi kabisaaa. Mimi nimegundua kuwa kweli beauty is in the eye of the beholder unaweza ukamuona mtu ukafikiri mzuri mwingine wa pembeni yako akakuambia kuwa ni mbaya ile mbaya ndio hapo utakaposhangaa.
    • Mbeba maboxj

      Mbeba maboxj

      05 August 2012 at 00:28 |
      Ugly people always say this.
  • msema kweli

    msema kweli

    02 August 2012 at 08:49 |
    Shekhe anajua raha ya kuhump na mizigo iliyojazia jazia hahahahahaa
  • bella

    bella

    02 August 2012 at 08:53 |
    mange kimambi napenda sana mambo yako ambayo ni ya ukweli na hayana ubishi unachokisema ndio unachokifanya endelea vivyo hivyo na mungu akujalie na akuzidishie

    mm huwa sishiriki ku comment lakini nimevumilia nimeshindwa imenibidi leo nikwambie uko juu
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    02 August 2012 at 09:04 |
    MARICHUI KAMA KWANGU YANIII NASKIA HADI HASIRAAAmad
  • BEAUTIFUL ONYINYE

    BEAUTIFUL ONYINYE

    02 August 2012 at 09:11 |
    HAHAHAH MANGE UWIIIIII NIMECHAKAJE,MAANA SIJAMUELEWA HUYU SHEKHE POINT YAKE KABISA ILIKUA NINI YE ANAPENDA WALIOJAZIA TUUUU NDIO NINAYOSIKIA LOLEST KWEELIIII ALLAH AKHBARrolling on the floorrolling on the floor
  • Chaunabe

    Chaunabe

    02 August 2012 at 09:56 |
    HUYU MUHUNI TUUslapping
  • If Not Why Not.

    If Not Why Not.

    02 August 2012 at 10:57 |
  • anonymous

    anonymous

    02 August 2012 at 11:02 |
    ha ha ha, nimelipenda hiloo neno wanawake waleee waliojazia jazia ingawa sijajazia ila hata mi ningekuwa mwanaume ningempenda mwanamke angalau unaona tako lipo wapi? paja, akivaa kitenge kinaka mashallah sijawahi tamani mwanamke mwembambaaaaa,kidogo mwanamke wa kiafrica nyama nyama,ngoja nikazane kula nipate japo kijimwili labda sheik akiniona atameza matee. ha ha ha. mwili kama wa Kim Kardashian, beyonce, safi wengine kama kaukau hapana siwataki
  • koku

    koku

    02 August 2012 at 11:20 |
    ni kweli eti *wanawake wanene wengi wao wana FUNGUS * huko ktkt ya mapaja na makwapani??freedom
  • makerubi

    makerubi

    02 August 2012 at 11:22 |
    mh kazi kweli kweli! hapo ni msikitini? maana ameeleza kama hafurahishwi na uchangiaji wa uzinduzi wa umisi, wanawake wanaonyesha maumbo yao mazuri mazuri mh, lakini baadae anasifia tena maumbo ya ma miss bantu, naye anampenda mwanamke mwenye shepu ya kibantu (maumbo yaliyojaziwa kwa neema za allah)mwenye umbo la kimisi labda itokee tu kumpenda. huyu vipi? anakosoa wakati anapenda? unahaki ya kucheka mwaya, maana akisifia umbo la kibantu mate kama yanataka kumtoka vile kwa uchu alafu anamwambia sheh yeye anapenda waliojazwa jazwa nyama na mwenyezi Mungu.hahaha
  • anonimous

    anonimous

    02 August 2012 at 11:27 |
    sheikh km huna la kusema epuka laana ya Mungu kwa kuongea upuuzi na kuapia "ETI wALLAH" sijapendaomg
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 11:56 |
    Ahahhaha we Mange wewe. U made my day lol
  • 93

    93

    02 August 2012 at 12:26 |
    Walojazia neema za Allah( miss bantu) halooooo maana Sheikh alipofika hapo kasahau topic nzima ya mkutano na Pia kilichomleta. Topic imegeuka wanawake wenye mizigo mikubwa mikubwa kwa nyuma walopewa neema na Allah!!!
    Allah akbar!!!!!
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 12:48 |
    huyo shehe ni moudy washington?
  • SITAHARISHA

    SITAHARISHA

    02 August 2012 at 13:34 |
    HOLY CRAP! LOL, NA HAYO NI MAHUBIRI MSIKITINI TENA MWEZI UNAOITWA MTUKUFU. YAANI HUTAKAA USIKIE SUCH CRAP KANISANI LABDA MAKANISA YA BIASHARA YA SIKU HZ. SASA SI ANAHARIBIA SWAUM WAUMINI HAPO, ATI ANAPENDA WANAWAKE WALIOJAZIAJAZIA KIBANTU INAHUSU? NA NNAVOWAJUA NDUGU WAISLAM HAPO WANASIMAMISHA NA KUPRECUM TU.
    • Kijariba

      Kijariba

      03 August 2012 at 00:32 |
      Acha kashfa wewe msikilize tangu mwanzo anachosema ni kuwa watu hawataki kuchangia mambo ya dini lakini kwenye mambo ya mipira na mashindano ya urembo wako mbele mbele kutoa mapesa yao. Halafu amekuwa muwazi kuwa yeye hawezi kuoa mwanamke mwembamba hao mamiss kwa kuwa kwake yeye mwanamke mzuri ni miss bantu aliyejazia jazia. Na akasifu uumbaji wa muumba. Isitoshe mwanamke wa kiislamu anaolewa kwa sifa moja kati ya hizi; uzuri wake, mali yake, dini yake au ukoo wake. Kosa lake hapo nini? na hujaambiwa hiyo video imerekodiwa leo.

      Mwisho ndugu yangu haya mambo ya kusema eti watacum hapo msikitini je na wale wanaolawiti watoto wadogo unasemaje? Au wanaowapa mimba wasichana wadogo na kuzaa nao ilhali wanakiapo cha kutokuoa? Toa boriti kwanza jichoni mwako hakuna cha makanisa ya zamani wala mapya, hakuna cha msikiti wala kanisa mtu anapofanya udhaifu wake hatusemi msikiti au kanisa ndio limefanya learn to respect other religions.
      • SITAHARISHA

        SITAHARISHA

        03 August 2012 at 01:36 |
        sikuhitaji majibu yako kalio we. Nimetoa maoni yangu. Wanaolawiti watoto hawahubiri kulawiti kamisani, na pia wamejaa hata madrasa. Ati uumbaji wa wanawake, ndio ahubiri anapenda waliojazia na wenzie wenye wasiojazia wafanyeje au wa kwao hawajaumbwa na huyo muumbaji anaemsifia, crap na wewe. Na usinijibu ibuka kivyako na comment yako
        • Kijariba

          Kijariba

          03 August 2012 at 11:05 |
          Kumbe unajua umeandika pumba? Ungemsema huyo Sheikh peke yako na sio kusema waumini wengine wote walioko humo eti NINAVYOWAJUA NDUGU WAISLAMU HAPO WAMESIMAMISHA NA KUPRECUM; typical stereotype na pumba dot com. Waislamu gani unawajua wewe? Na watu wengine ambao kichwani ni zero kama wewe waje waseme NINAVYOWAJUA NDUGU ZANGU WAKRISTO HAPO WANGESHAKUWA WANATIANA WANAUME KWA WANAUME? I will never insult watu kwa sababu tu mtu mmoja kwenye dini au kabila lao amefanya kitu ambacho sikubaliani nacho au hata kama ni wrong. Nitamjudge huyo mtu tu. Your opinion was stupid na nimekujibu kwa sababu umetukana waislamu wote, na pia wakristo ambao sio wa madhehebu yako eti LABDA HAYO MADHEHEBU MAPYA.

          Unawatukana watu wa dini na madhehebu mengine simply kwa weakness ya mtu mmoja? Inaelekea una zero tolerance na hutaweza kuishi na watu tofauti na wewe! Mimi mwenyewe nina ndugu kibao wa damu wakristo na waislamu, na tumelelewa na baba mkristo na he never taught us to insult one another kwa sababu ya tofauti ya imani zetu. Ndani ya nyumba moja wako waliokuwa wanakwenda msikitini Ijumaa, wanaokwenda kanisani Jumamosi na wa Jumapili pia. SO LEARN TO RESPECT OTHER PEOPLE FAITH OR GO AND LEARN ABOUT THEIR FAITHS KULIKO KUMAKE STEREOTYPES COMMENTS!!
          • Anonymous

            Anonymous

            03 August 2012 at 19:56 |
            shosti ya kweli hayo unayosema kwamba unapenda dini zote? mbona msg zinaonyesha wazi kuwa unatetea uislam na ku insult wakristo kwa mifano yako? come on lady usitufanye wajinga umu ndani. umeandika gazeti lakini point zilizoonekana ni mbili tu..mwenzio sitaharisha kaongea machache lakini point za kumwaga. ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi ati..
        • Anonymous

          Anonymous

          03 August 2012 at 18:37 |
          duh...mnapashana adi raha..uturn hoyeeeeee..nyumba chafu sijsafisha but uturn sikosi kupita..MJ
  • folowa

    folowa

    02 August 2012 at 13:38 |
    mh hata mie mbona sijaona, kitu wala sio chogo
  • BEAUTIFUL

    BEAUTIFUL

    02 August 2012 at 14:08 |
    mhhh hawa wanaume wanatufanya tuende kwa wachina smtms but nawaambia wanawake wajiamini na kujikubali
    • kibonge

      kibonge

      03 August 2012 at 03:40 |
      we hushangai mchina mwnyw hawek hiyo af anatuuzia sie tuongeze makalio....,
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 14:41 |
    Mange picha hazifunguki bwana
  • Nakuaminia

    Nakuaminia

    02 August 2012 at 16:07 |
    Hata mie na kalaptop kangu ka kariakoo kamegoma kuonyesha hii picha please Mange do something
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 16:23 |
    latinas wa huko wote wamejazia halafu specialists kibao hapo,fanya mpango.
  • MISS KIJAMBIO

    MISS KIJAMBIO

    02 August 2012 at 16:38 |
    Hata hao wabongo wanataka vidogo dogo, kubwa sikumbuki hizi nah nah nah
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    02 August 2012 at 16:53 |
    heheheee halafu akamalizia allahakba lol


    baby usijali kuhusu hilo,,,
    i like the way urrrr....matiti
  • baby ya Mange

    baby ya Mange

    02 August 2012 at 16:55 |
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 18:39 |
      baby ya mange hapa naona pananuka nyeti tu lol.
      • baby ya Mange

        baby ya Mange

        03 August 2012 at 22:20 |
        lol tulia dogo we tookshower already na baby wangu,,,wasafiiii,we smell so sweet,, full kulicking saivi heheheheeehumpcheers ....u need to work on ur picture language hehehee
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 17:02 |
    Neema za allah shekhee.....aisee huyu noma atleast kama mkweli na anachopenda
  • Kimada wa baba kenzo

    Kimada wa baba kenzo

    02 August 2012 at 17:05 |
  • Mzee wa ttotoz

    Mzee wa ttotoz

    02 August 2012 at 17:09 |
    Me napenda wembamba lakini waliojazia hips I tako yani hasiwe mifupa
    tu
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 18:23 |
    huyo shehe nae mdhaifu sana atakuwa nouma,ila sheikh mzuri huwa anaongea mambo ya msingi hata kama kuchekesha huyo kazidi Mange mtafute sheikh mmoja anaitwa Othman Maalim au Hashim Rusaganya au hata Nurdin Kishki uwaskize watu na umakini wao lol
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 18:33 |
    hilarious!!!!!
  • BAMKUBWA

    BAMKUBWA

    02 August 2012 at 19:18 |
    hata mie kwangu picha haionekani tangu asubuhi
  • brother kay

    brother kay

    02 August 2012 at 19:36 |
    Hahahaha, Huyo Sheikh SHALOBARO la nguvu, yeye anapenda vitu vya akina CHEROKEE D'ass,shakebuttshakebutt
    • Anonymous

      Anonymous

      03 August 2012 at 00:20 |
      BROTHER KAY MBAVU ZANGUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUlickingshakebuttlaughing
  • m a r i c h u i

    m a r i c h u i

    02 August 2012 at 20:55 |
    laughinglaughing sasa Sheikh nimekupata heri ujisemee ukweli unachopenda .....Mizigo mikubwa mikubwa mashallah !tongue
  • Miss Bantu

    Miss Bantu

    02 August 2012 at 22:28 |
    Sheikh umenifurahisha sana. Mizigo mikubwa mikubwashakebutt lazima nije niwe kati ya wake zako if you are ready maana na mie nina zigo kubwa kubwa.love
  • Anonymous

    Anonymous

    02 August 2012 at 22:58 |
    WHAT IS HIS POINT???SHAME IN THIS RAMADHAN INSTEAD OF SPEAKING ALLAH'S WORD HE IS TALKING ABOUT WOMEN'S BODIES AND HOW HE PREFERRED THEM.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 00:20 |
    inallilah wainlah rajuun
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 00:44 |
    Hapo ilikuwa saalati Jumaa,Shekhe anasifu makalio ya mwanamke wake aliopo kwenye chumba cha wanawake ananijua.Alianza kulaani vizuri kitendo cha watu kuto kuchangia misikiti badala yake wana changia mamiss eg kariakoo,mtwara,lindi.mara akaanza miss bantu,hapo picha ya makalio aka mizigo ikamjia akilini na kupoteza mada yote.Shekhe kama huyu anafundisha au anapotosha?
  • Muke Ya Albino

    Muke Ya Albino

    03 August 2012 at 08:16 |
    Msema kweli mpenzi wa Mungu! Sheikh kajisemea ukweli binafsi anapenda mizigo mikubwa mikubwa... ...cheers ila mmmmh nadhani ana waumini wengi maana mahubiri yake mashalah huchoki kuyasiliza kama siku zote niya design hii.laughing
  • maudodo

    maudodo

    03 August 2012 at 08:32 |
    halafu alipofika hapo kwenye miss bantu kaongea kwa herufi kubwa mwisho akaamua kumwaga la moyoni eti anapenda mamiss bantu wallahi... afu akaonyesha lile tabasamu la kibwege wanaloonyeshaga wanaume wakiwa wanakodolea macho inyeeshakebutt ... huyo inaelekea akipita town akipishana na inye lazima rojo la chini limtoke maana anaonekana anapendahump nyuma huyoooo...shame on him...
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 18:56 |
    HAHAHAAA SHEKHE KANIVUNJA MBAVU..JAMANI SASA WANATUCHANGANYA WANAWAKE. UKIWA MNENE WAAMBIWA OVER WEIGHT PUNGUZA KILO. UKIWA MWEMBAMBA WENGINE HAWAKUTAKI WANASEMA TOO MUCH MIFUPA. NA WAEZA KUWA MNENE ILA UMEJAZIA OVYO OVYO, I MEAN UNAKUWA NA SHEPU KAMA TANGAWIZI KA AVOSEMA MDAU FULANI HUMU.. NAYO NDIO BALAA KABISAAA...MI NAONA MTU UJIANGALIE KWANZA UNAPENDA WEWE MWENYEWE UWEJE NA SIO UJIWEKE KAMA MWANAUME ANAVOTAKA..PIA KAMA HUNA TAKO NI BORA KUWA MWEMBAMBA, UKIWA MNENE SI VURUGUMECHI HILO LA MWILI. BUT UKIWA NA TAKO CHOICE NI NYINGI UKIPUNGUA UTAPENDEZA, UKINENEPA NDOKABISAA FURAHA KWA SHEKHE. TATIZO NI KWAMBA UKINENEPA NA TUMBO NALO HALITAKI KURUDI NYUMA..NDO UBAYA WAKE..ITS SO HARD KUWA MNENE BILA TUMBO THOUGH.
  • Mtoto wa kichagga Marekani

    Mtoto wa kichagga Marekani

    03 August 2012 at 23:40 |
    education Haha Mange yes sisi wanawake wa kiafrika tumebarikiwa.Yes hata mimi mchagga nimebarikiwa kweli kweli
  • brother kay

    brother kay

    05 August 2012 at 14:05 |
    TAKBIRR!!!!!!, Wallah! hata miye naungana na Sheikh wangu, wale wanawake wenye mizigo mikubwa mikubwa ile ya vifuanimatiti na kule uwanishakebutt wallah! hata miye nawapenda, nyie pendeni hao hao wembamba, TAKBIRR!!!!
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 22:43 |
    Kuna makanisa yana gay ministers na ndoa za jinsia moja zimeruhusiwa zinafungwa huko kwenye hayo makanisa lakini watu hatusemi kuwa wakristo wote wanapenda ndoa ya jinsia moja au wanafanya ndoa ya jinsia moja!! Kama ulikuwa hujaelewa.
  • Anonymous

    Anonymous

    03 August 2012 at 23:22 |
    What sense? Angekuwa anaelewa kuwa waislamu hawaruhusiwi kuingia msikitini bila tohara, asingesema hao wanaume wangesimamisha na kuprecum. That means wangesali na janaba? Mtu hata ukipata hisia tu ukatokwa na manii ni lazima ukoge tohara, na ukisex na mtu lazima ukoge tohara. Mwanamke akiwa kwenye hedhi haingii msikitini mpaka akoge tohara. Na yeye aliwaona wapi hao wanaume wanaomwaga kwa kusikia tu story?
  • SITAHARISHA

    SITAHARISHA

    04 August 2012 at 00:47 |
    MMMMMMMWAAAAAAAAA ANONYMOUS!

    na we mbishi KIJAMBIRO hapo juu dole la kati saizi yako
    • nainai

      nainai

      04 August 2012 at 18:52 |
      love u mange