|
MISS TANZANIA AFIWA NA BABA YAKE MZAZI.... |
|
Written by Mange
|
|
Monday, 26 April 2010 21:05 |
|

Mange,
Ningependa kuwatangazia watanzania kuwa Miriam Gerald amefiwa na baba yake mzazi jana.
naomba wadau wote wa uturn tuungane kumuombea miss Tanzania wetu Mwenyezi Mungu ampe subra katika kipindi hiki kigumu.
Pole sana Miriam watanzania tunalia na wewe.
|