Who's Online
We have 361 guests and 1 member online
  • Fleetaves
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6758
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6760
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53832
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933399
Login



NIMECHANGANYIKIWA JAMANI.....
Written by Mange   
Monday, 26 April 2010 00:48

Hi Mange, pole na kazi na asante sana kwa habari na entertainment tunazozipata kwenye blog yako pamoja na udaku, i love ur blog by the way am a huge fan.

Mimi leo niko radhi wadau wanishambulie lakini uzalendo umenishinda nataka ushauri maana nataabika. Mimi ni mwanamke wa miaka 31 ninaishi mwenyewe, nina elimu nzuri na nimebarikiwa kua na kazi nzuri sana, nipo single na nimetokea kumpenda mwanamke mwenzangu sana, ni mdada ana umri kama wangu. Yaani nikiwa nae naenjoy sana, we have so much fun, tunasaidiana na tunaenjoy sex mno, ananipa mapenzi ambayo sijawahi pata toka kwa mwanaume yeyote, i'm inlove with this woman so much. Hali hii sio kwamba imenianza leo wala jana, ni muda mrefu navutiwa na wanawake wenzangu, guess I'm a lesbian. Watu wananishangaa inakuaje dada mzuri hivi hana mwanaume??wangejua naumia kiasi gani. Sasa hivi nimetokea kumpenda huyu dada, nimempenda kwa mapenzi ya kweli kama mpenzi wangu na yeye ananipenda mno, tumekuwa wapenzi kwa muda wa mwaka mmoja sasa, najua kama binti wa kitanzania sitaweza kua nae milele, lazima ataolewa, nalia kila siku nikiwaza hilo na sina jinsi zaidi ya kukubali huo ukweli, nimejaribu kila njia ya kujibadilisha nimeshindwa, nimejaribu kudate wanaume nashindwa kua nao kwa muda mrefu maana navutiwa zaidi na wanawake. Sasa huyu dada ni majuzi tu ameniambia ananipenda sana lakini kijamii lazima awe na boyfriend ili aweze kuolewa maana familia yake sasa imeanza kumuulizia hiyo issue na tayari kuna mwanaume amemtaka urafiki, anadai hampendi coz moyo wake uko kwangu lakini hana budi, i believe her sababu naona anavyotaabika na suala hili pia, nimelia sana juzi alivyoniambia hivyo, na yeye anaumia mno hataki tutengane. Siju nifanyeje maana tunapendana sana na siko tayari kumpoteza, ni vigumu mtu kuelewa naumia kiasi gani mpaka uwe kwenye situation kama yangu, sasa hapa nilipo sijielewi nifanyeje, ye mwenyewe kachanganyikiwa, kwao wanamuuliza vipi unaolewa lini hana jibu, sasa sijui ni end vipi hii r'ship nae, jamani naogopa kuumia na yeye anaogopa kuniumiza but it looks kama hivyo ndivyo itakavokua, i don't wanna let go, i'm confused, help, nitashukuru kama wadau watanishauri, mkinijudge nitaelewa coz kwenye jamii ya kitanzania sikubaliki but i can't change who i am, i love women and there's nothing i can do about it.

Asanteni,

-Kathy-

Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-04-25 19:53:25
hii kama soap ya Eastenders UK
Anonymous   |2010-04-25 20:24:44
akikuacha mimi nipo, hata mimi natamani wanawake wenzangu, ila sijui nitaaanzia
wapi.
akishakuacha tu, tutamtumia mange kama kuwadi ili atuunganishe, unaonaje?
nitakupa moyo wangu wote na kila kitu utakachotaka.
sitaolewa na kwetu hamna
mwenye jeuri ya kuniuliza kwanini siolewi, tutaishi milele kwa raha mustarehe.
Anonymous   |2010-04-25 20:29:51
Kila mtu ana uhuru wakuishi anavyotaka kama huyo anataka akaolewe vuta subira
ipo siku utapata wako wa maisha kuwa mvumilivu.
Anonymous   |2010-04-25 21:54:22
anaeandika hivi vitu ni wewe mwenyewe mange unataka kuchangamsha kijiwe sio???
mume alipokua busy na kazi zake na wewe unajiandikia zako unasubiri jumapili
jioni uitundike hapa, hahhahhahhhahh nimekupata
Anonymous   |2010-04-25 23:11:18
HAHAHAHAH......AMA KWELI HUKU NI KUCHANGANYIKIWA.....HEMBU TUAMBIANE HIYO SEX YA
MKE NA MKE INAFANYWAJE?
Anonymous   |2010-04-26 00:16:56
ooohh mdau kathy nimekuonea huruma sana wakati ninapoisoma hii messege yako!Duu
kweli hali ni ngumu, ila ningependa kujua uko nchi gani, maana nchi za majuu no
body gives a shit-you can do whatever the hell u wanna do and marry whomever u
wanna marry!! But if u are in TZ then umekwisha mjukuu wanguu!! Jamii ya TZ
haiko tayari kukaribisha mambo hayo kabisa its still a taboo. sasa itabidi tu
utafute dawa za kuongeza nguvu ya mapenzi labda uanze kujizoeasha kutiana na
mwanaume, I know its hard but what do u want to do? or go visit a THERAPIST not
sure if its gonna work. POLE SANA!
mdau-Barafu.
Anonymous   |2010-04-26 00:42:39
hivi wewe unaesema mange anajitungia story umetokea sayari gani wewe, haya mambo
yapo na yanatokea kila siku, mwenzenu kaomba ushauri anataka asaidiwe unaanza
kuleta mdomo mchongoko hapa, ah mijitu mingine bwana.
vivi   |2010-04-26 02:05:00
hi hope ur ok ,jamani pole sana najua jinsi gani waumia , nitafute nikusaidie
tatizo lako , nakuja bongo june mwambie mamge akupe email yangu .
Anonymous   |2010-04-26 06:22:48
pole Dada but huoni unajipotezea muda wako na unafanya mambo kinyume na Jamii ya
kitanzania na Mungu pia unamkosea?
hilo ni pepo linakusumbua kua ukiona
wanaume usiwatamani uwatamani wanawake wenzako
kwa ushauri wangu go to the
church Muombe Mungu atakufungua na utapata hisia kwa wanaume na sio wanawake
mana it is not normal for what ur doing
wewe ni mwanamke unatakiwa uwe na
familia yako sasa kama unadate mwanamke mwenzako utapataje familia?
jaribu
kudate wanaume najua itakua ngumu mana hujazoe but ukizoea utafurahia i am sure
for that
Anonymous   |2010-04-26 07:07:36
Weh pumbavu tutolee ulokole wako hapa. Kapenda mtu wa jamii yake, kwani kakaba
mtu? We u ayejidai mcha mungu na jamii ndo mshirikina wa kwanza. Tutolee unafiki
hapa
Anonymous   |2010-04-26 15:28:44
watu wa manzese utawajua tu.. kwani huwezi kucritisize hadi utoe tusi?? unaweza
kumjibu mtu kistraarabu tu wala hutapungukiwa na kitu
Anonymous   |2010-04-26 06:58:40
its true i support aynomuose wa hapo ju ni kwamba u are going against god so plz
get a man n have a life hiyo ni akili yako tu unavyoisate just try n u will get
used to it sasa mwanamke mwenzio ana nini na mwanaume hana nini hebu jiulizeee
hata useme kuwa mwanamke ndio satisfy u????? ondoa wazo hiloo akilini mwako la
pepooooooo
Anonymous   |2010-04-26 07:51:43
kwani ukidate mwanamke ndio huwezi pata familia??? Adoptation is there for
what??Me i don't judge people like that. Nakuonea sana huruma but i think as a
grown up woman should have own control of life huyo mdada kama mwapendana kweli
then inabidi awaface wazazi wake although 400% hawatamkubalia but end of the day
ni mtoto wao na as parents have to be there no matter how their child turned out
to be. I'm a very straight woman who don't don't judge lesbians.
Pole mdada.
Anonymous   |2010-04-26 07:53:34
Acha ushakunaku Sex inafanywaje?? haikuhuu
Anonymous   |2010-04-26 21:23:24
kama haituhuu asituletee pumba zake hapa, kweli atwambie inafanywaje tujue
tunamshauri nini , maana hivi vitu kwetu havipo mnavipa publicity pengine uongo
hamna kitu kama hicho mnaidanganya jamii tu! Mnafanyajeeeeee? maana silaha hamna
vita mnapigana vipi? kwa mikono au majiti! kama kwa majiti au hayo madubwana
yenu msitudanganye hapa hampati raha yoyote shurti mtoto wa kike utiwe mtarimbo
orijino, kitu cha motoooo asilia, mpaka damu inchemka. acheni kuipotosha jamii
kwa mambo yenu ya kuiga iga! mbuzi nyiee!
doctorshabar     |2010-04-26 09:57:54
lisikuumize kichwa mnapendana mwambie aachane na huyo jamaa muoane
tu,inaruhusiwa sikuhizi,pole ama mnaweza pia kumuingiza na huyo jamaa kwenye
mchezo wenu,yaani mwenzio amueleze kuhusu wewe then yeye jamaa achague aingie au
aanze,ninavyojua mimi hakuna mwanaume atakataa hiyo chance,then mnakua three na
mnacheza gemu lenu pooowa,na akitosa wasilianeni namimi niko tayari kuwajoin
tuile raha duniani.
Anonymous   |2010-04-26 12:58:14
inabidi ukubali matokeo, kwa bahati nzuri unaelewa mwisho sio mzuri. Hivyo una
budi zaidi ya kuruka viuunzi na kuendelea mapenzi ya pay as you go. Allow ur
self to love, prepare urself to be heartbroken. Hila mpaka lini utaishi hivi
anza tu kuwachanulia akina kaka utazoea tu polepole.
Kissa   |2010-04-26 13:34:51
Jamani naheshimu mawazo ya kila mtu humu ndani ila mi nakereka na watu
wanaojifanya kuja kutoa mahubiri humu ndani, hivi unafikiri huyo dada haijui
biblia au hana dini, mwenzetu kishasema ni lesbian sasa mnamuhibiria kitu gani,
eti ooh unakiuka maadilili ya Mungu kwani wewe mbona una yako kibao je wewe ni
perfect, acheni kunukuu dini kwenye haya mambo, dini siku hizi zina utata sana
na Mungu anapenda kila mtu, nyie wenyewe, wazinzin na mnaiba mabwana za watu
kuchwa, msaidieni mwenzenu wekeni imani zenu pembeni.
Anonymous   |2010-04-26 14:33:17
wewe Kissa na wengine wote mnaosema kuwa anachofanya ni right ,nisawa hayo ni
mawazo yenu
yeye kaomba ushauri wewe mpe ushauri wako according to ur
perception .
kila mmoja ana maoni yake so usione maoni au ushauri wa mwingine
ni mbaya wakwako ndio mzuri
aliyeomba ushauri ndio ata chagua mwenyewe kazi
yako ni kumshauri na sio kukosoa ushauri alioutoa mtu mwingine
na hakuna aliye
mjudge huyo dada ni ushauri tu tunampa na offcose it is against God whether u
like or not huo ndio ukweli kama wewe mpagani kivyako mshauri kipagani
mimi ni
mkristo nitamshauri kikristo then atachagua mwenyewe chakufuata
achani
kumdanganya mwenzenu nawakati nyie mna wachumba na waume tayari na wengine mna
familia zenu then mnamshauri mwenzenu aendeleze ulesbin lol
acheni unafki
Kissa   |2010-04-26 15:24:49
Anonymous usikurupuke kama hujaelewa nazungumzia nini, ofcourse nimesema hivyo
kama maonii yangu lakini the bottom line is watu lazima wawe careful sana
mnapochangia mambo personal mkaanza kuchanganya na spiritual beliefs zenu, zina
utata huo ndio ukweli, if that's what you believe fine, lakini you need to be
careful mnapochanganya dini na experiences za watu wengine, dini ndugu yangu
zilikuwepo na zitaendelea kuwepo lakini ni Mungu peke yake ndie Hakimu wa
mwisho, nadhani wewe ndio unakosea unapomwambia Kathy eti anatenda dhambi who
the hell do you think you are, just because you are a Christian haimaanishi ndio
unaweza kutoa kauli kama hizo, yeye ndivyo alivyo keep your spiritual opinions
to yourself, hivi kwanini lakini???? she could be a nice humble kind Lesbian na
wewe ukawa mkiristo mkatili so keep dini kwenye mitazamo yenu na si kwa kila
mtu.
Anonymous   |2010-04-26 21:31:36
Sasa wewe unataka watu wamshauri nini? unachotaka wewe? kila mtu katoa mtazamo
wake, mwenyewe keshasema yuko tayari kushambuliwa sasa wewe unamtetea nini?
mwache mwenyewe apembue mchele na chuya aweke mbali!

Basi sasa mimi namshauri
nje ya dini yoyote:-

"KOROGA SUMU UNYWE!"
Anonymous   |2010-04-26 15:31:32
kula tano mdau!
Anonymous   |2010-04-26 14:35:49
matatizo mengine bana ... akikuacha kanunue DILDO!!... B)
chako changu   |2010-04-26 15:26:03
Kakwambia hana Dildo, watu wengine bwana, kila lesbian ana dildo, kasema hataki
kumpoteza mpenzi wake hakusema hataki kupoteza sex, upo hapo??
Anonymous   |2010-04-26 15:40:53
Sio Lesbian tu ndo wenye DILDO, hata wanawake straight/not lesbians have one
too...I have one to and love it kwa sanaa. Its stimulates my body and my brains
and makes me smile like a little girl in candy store. te te te ! and a lot of
men enjoy when their wives or girlfriend use it as a fantansy. there is nothing
wrong with TOYS at all. they have a sale now you buy one u get the second one
fureeee/freee. kitu na box. senkyu veri machi.
salama  - re:   |2010-04-26 17:07:40
Anonymous wrote:
Sio Lesbian tu ndo wenye DILDO, hata wanawake straight/not lesbians have
one too...I have one to and love it kwa sanaa. Its stimulates my body
and my brains and makes me smile like a little girl in candy store. te
te te ! and a lot of men enjoy when their wives or girlfriend use it as
a fantansy. there is nothing wrong with TOYS at all. they have a sale
now you buy one u get the second one fureeee/freee. kitu na box. senkyu
veri machi.


We ndo umesema!....senkyu tuu!
Anonymous   |2010-04-26 15:49:15
eti kila lesbian ana dildo!!!UMEJUAJE?
Anonymous   |2010-04-26 19:27:50
Jamani what i can say is that god doesn't allow this lesbian's business it's so
embarassing could you stop it pls.Haya mambo ya kuiga tamadanu za watu sio
vizuri shame on you girls.
mama kaundime   |2010-04-26 19:33:20
WE anony are you serious, eti shame on you girls, girls let me tell you one
thing kama huafiki jambo omba Mungu lisikutokee, siku utakapozaa mtoto lesbian
ndio uje hapa uongee hayo uliyoongea, guys pple go thru stuff na mengi ni juu ya
uwezo wao, hivi unadhania kama angekua anapenda wanaume si angewatafuta jamani,
eti kuiga tamaduni wakati bongo wamejaa mpaka wake za watu malesbian, acheni
unafiki, ni kwamba tu jamii yetu hairuhusu, siku itakayoruhusu nakwambia
watatoka wake za watu huko wasagajii wote, mpeni ushauri msimjudge, huyo sio
mwanao so don't judge plz, jeez guys!!!
Anonymous   |2010-04-26 20:19:51
Pole nilichokupendea Kathy unaonekana wewe ni mtaarabu na umekubali hali yako
pia upo tayari kuwa critisized ili usaidiwe, ushauri wangu mpz kama huyo dada
atakuacha kubali tu hiyo hali atatokea mwingine tu atakaekupenda kwa dhati,
mapenzi hayachagui ndugu yangu whether kwa malesbian au straight couples,
yaonekana umempenda sana mpk unaumia, pole, move on utapata mwingine.
peace   |2010-04-26 20:38:31
well, for sure what i can tell you Kathy, is to pray so hard, and ask God to
change you. coz he made you a woman for a reason, and i believe that every woman
in this world, God has a man for her. and your man is there already, hujaumbwa
kuwa lesbian atasiku moja. its something that is just built in you and needs to
come out. i know its hard, but naamini unaweza badilika. please try convince
urself that u can change and life will be all good..
Anonymous   |2010-04-26 21:21:57
mama kaundime i don't care who the hell ur, lesbian's business is not right it's
an evil spirit. wewe dada yangu mlilie mungu wako but iam against this things
seriously.Mungu akukuumba ww uwe lesbian u have got someone special out there n
is waiting 4 u my love.I will pray 4 u.U believe in God is more than faithfully
n also our helper crying on to him love.
Anonymous   |2010-04-26 21:22:39
Kissa
wewe ndio unakurupuka na kukosoa maoni ya watu na sijui na ni kakupa
kazi hiyo kazi yako ni kutoa ushauri kwa aliyeomba kama hilo limekushinda
changanya miguu mbele watu wengine ni maIdiot kweli
Anonymous   |2010-04-26 21:28:33
Kissa
wewe ndio mkurupukaji mkuu nani kakupa kazi yakukosoa maoni ya
watu au kiherehere?
aliyekwambia ni mambo personal nani ? umbea tu
nakujifanya mjuaji
mwenyewe kaleta hapa inamaana sio personal tena na kuleta
hapa uwanjani inamaana atapata maoni mbalimbali
nimeshakwambia kama wewe ni
mpagani mshauri according to Pagans ,
mimi ni mkristu na nimeamua kumshauri
according to crhistian way of life u don have any right to criticise me
and
in short there is no nice humble kind Lesbian achakupotosha watu hapa na ujinga
wako Idiot
Anonymous   |2010-04-26 21:29:25
Ur absolutely right peace i like ur idea.U people we should follow the Bible
rather than writting rubbish here , get it in ur thick head 4 god sake.Sometimes
i can be really crossed with some people.
kylie   |2010-04-27 07:00:45
kathy
pls nitafute for advice on kylie.johnson52@yahoo.com
trace   |2010-04-27 07:13:06
sali tu mami na Mungu atakusikia...ila ni ngumu,mi sijawahi kuwa na mahusiano
na mwanamke mwenzangu na nimeolewa ila hauwezi amini nawapenda sana wanawake na
nikimuangalia hivi najikuta mpaka nakua wet kabisa...yaani natamani kuwa na
mpenzi wa kike ila sijui naanzia wapi na pia naiheshimu ndoa yangu......mi
sidhani kama ni kuiga tamaduni za magharibi kwani nani anaushahidi kwamba
kumpenda mwanamke mwenzio kumeanzia huko,
pole mwaya ni kma naelewa
unavyojisikia.
Anonymous   |2010-04-27 07:24:56
huyo Kissa ni kuku kabisa.

Kathy huyo dada akikutosa mimi niko single, sex
and free na napenda wanawake wenzangu.

senk yu sir.
Anonymous   |2010-04-27 07:31:21
my dear pole sana kwa yanayokukuta
bu do u kno ur were not created by God to
be Lesbian?
that is an EVIL SPIRIT.
Mungu hakukuumba uwe Lesbian my dear Mungu
ana mpango mzuri na Maisha yako than ben a Lesbian
hiyo ni mind set tu jaribu
kuchange ur mind set and hung up with men utazoea
pole sana dear
achana na hao
wanaokwambia uendeleze huo ulesbian mbona wao hawafanyi wanakwambia wewe
ufanye?
u shouldn't do every thin because ur free to do anything
u have to
make choices of what to do and remember the choice u make today will affect u
some day
cecy   |2010-04-27 09:22:25
mimi pia napenda sana kudinywa na mwanamke mwenzangu, mara nyingi nimekuwa
nikitongozwa na wanawake wenzangu ila naogopa sana, unakuta napanga appointment
nae then naikwepa, sijui mie ndio nina tatizo au ni nini. Cathy embu nitafuta
kama upo dar tuwasiliane pls. toa email yako nikutafute faster.

Cecy
Anonymous   |2010-04-27 14:31:17
you people stop copying evil things... hata kama you dont believe in God, but
this thing is so evil.

shauri yenu,

aku me napenda kutiana na mme wangu
wenzangu
Anonymous   |2010-04-27 16:41:12
Mdada watu wanatofautiana, kama unapenda mboo well and good, wengine hawakuomba
kuzaliwa hivyo jamani, so mtu unapoita evil na wewe yakwako hakuna anae yaona
sio fair nadhani hata mbele za huyo Mungu ni kosa, kuna watu wanazaliwa na
hormones zaidi za kiume au wengine wamezaliwa hivyo tu na wanastruggle kila siku
kupata wanaume, kuwa na mwanaume akakutia si hoja, issue ni je unaridhika,
unampenda wakati moyo wako uko kwa mwanammke? so mi watu wasidhani wengine ni
kuiga kama mnavyodai wengine kweli kwenye nafsi zao wanataabika sana.
Anonymous  - re:   |2010-04-30 15:09:27
Anonymous wrote:
HAHAHAHAH......AMA KWELI HUKU NI KUCHANGANYIKIWA.....HEMBU TUAMBIANE HIYO
SEX YA MKE NA MKE INAFANYWAJE?

kwa kweli na mimi ningependa kujua, mnafanya nini maana mtarimbo wote
hamna, dah! kweli dunia tambara bovu.
Anonymous  - re:   |2010-04-30 15:12:38
mwisiki wrote:
Jamani ni wapi naweza nikapata dildo,sex toys,au vibrator hapa tz mimi na
mume wangu tunatafuta


zinauzwa kwa siri sana naogopa kuweka majina na contacts za wauzaji
hapa.
HELEN   |2010-05-05 10:01:18
ZINAUZWA WAPI JAMANI TUAMBIE
Anonymous  - re:   |2010-04-30 15:14:45
Anonymous wrote:
Mdada watu wanatofautiana, kama unapenda mboo well and good, wengine
hawakuomba kuzaliwa hivyo jamani, so mtu unapoita evil na wewe
yakwako hakuna anae yaona sio fair nadhani hata mbele za huyo Mungu ni
kosa, kuna watu wanazaliwa na hormones zaidi za kiume au wengine
wamezaliwa hivyo tu na wanastruggle kila siku kupata wanaume, kuwa na
mwanaume akakutia si hoja, issue ni je unaridhika, unampenda wakati moyo
wako uko kwa mwanammke? so mi watu wasidhani wengine ni kuiga kama
mnavyodai wengine kweli kwenye nafsi zao wanataabika sana.


hakuna aliyezaliwa hivyo, ni kuendekeza ujinga. mungu alimuumba adam na
eve na sio adam na peter au eve na martha.
Anonymous  - re:   |2010-04-30 15:16:24
Anonymous wrote:
my dear pole sana kwa yanayokukuta
bu do u kno ur were not created by God
to be Lesbian?
that is an EVIL SPIRIT.
Mungu hakukuumba uwe Lesbian
my dear Mungu ana mpango mzuri na Maisha yako than ben a Lesbian
hiyo
ni mind set tu jaribu kuchange ur mind set and hung up with men
utazoea
pole sana dear
achana na hao wanaokwambia uendeleze huo
ulesbian mbona wao hawafanyi wanakwambia wewe ufanye?
u shouldn't do
every thin because ur free to do anything
u have to make choices
of what to do and remember the choice u make today will affect u some
day

well spoken, thanks
ccyy   |2010-07-02 08:38:30
:woohoo: yaani mnanicheksha wote hahaha
pole kathy. sali sana mungu aakusaidia.
Gege   |2011-04-14 16:19:46
Watu wengine kama amjaenda shule si dhani hata kama Primary mlimaliza. KUNA
WATU WANAZALIWA WAKIWA MA-LESBIAN NA WENGINE MASHOGA. Tafadhali nunueni vitabu
vya Biology na msome kuhusu CHROMOSOMES in general.
Na nyie unaokimbilia dini
ktk kila kitu yaani kwa kuwa nyie mmekamilika mnaona wengine wanatenda sio
vizuri mnavyofanya. Hivi mnasemaje kuhusu watu wanaozaliwa na jinsia mbili au
mwanamke mwenye jinsi ya kiume?
Msijifananishe na Adam na Eve, jueni watu
hawafani :angry:
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook