Who's Online
We have 345 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6824
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6826
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53898
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933465
Login



SUMU KWAKO DAWA KWA MWENZIO....
Written by Mange   
Thursday, 22 April 2010 01:48

Guys, naona wengine mnatuma comments kwamba hii sio blog ya watu kuweka matatizo yao binafsi na matatizo yao ya mapenzi.

Well, one of the ideas behing uturn is to share our life experiences and be there for one another.Naamini hao wanaotuma story zao ni kwamba wanataka kujua watu wengine wanasemaje na labda wanahitaji ushauri wa watu wasiowajua ama wasioweza kuwajudge.

Kama wewe huzipendi hizo topics za personal life stories feel free not to read them……..hujalazimishwa kuzisoma au kuwapa ushauri,waache wanaoona hizo topic zinawa-interest wasome.

Humu ndani kila mtu ana chake anachokipenda na asichokipenda, so stop being selfish….



Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-04-21 21:02:27
well said nimeshangaa kwenye hiyo topic ya huyo dada mwenye bf anaependa
kutafuta wanawake kwenye internet comments zimetumwa etiwaache kutuma hizo topic
za matatizo binafsi.kama mwenye blog karuhusu kwanini wasitume.

nje ya
topic,mwanamke unapenda kuuza sula wewe
Anonymous   |2010-04-22 05:22:21
Usiache kuongea mbea we
Anonymous  - re:   |2010-04-21 21:32:42
Anonymous wrote:
well said nimeshangaa kwenye hiyo topic ya huyo dada mwenye bf anaependa
kutafuta wanawake kwenye internet comments zimetumwa etiwaache kutuma
hizo topic za matatizo binafsi.kama mwenye blog karuhusu kwanini
wasitume.

nje ya topic,mwanamke unapenda kuuza sula wewe
na we uza ya kwako si unayo?? na sio sula f...ck ni SURA
rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Maggie   |2010-04-21 21:42:40
Asante sana Mange, hata mimi sioni tatizo na sijui watu wanakereka na kitu gani,
kama wewe huna mchango basi wengine wanaweza kua msaada mkubwa kwa wengine, na
hata kama ni issue za mapenzi kwani tatizo ni nini? mapenzi pia si yana
matatizo, huwezi jua nani anaweza akatembelea hii blog na akawa a life saver kwa
huyo mtu, thanks Mange for being so content na muungwana kwenye hili swala , ni
uselfish tu na vijitabia vya ajabu ajabu watu wanavyo, let pple talk about
their problems, kuna wengine hawajui wapeleke wapi matatizo yao sababu ya
embarassment, huna la kujibu skip it, blog sio yako unataka kuitawala, luv u
babes, thanx for the clarifikcation, watu mnaingia facebook na myspace mnamwaga
matatizo yenu binafsi, mkija hapa mnajifanya eti sio blog ya ushauri alowaambia
nani?, msifungie wengine bahati zao, blog kwani yakoooo, akha watu wengine mna
hila kweli!
JUDITH   |2010-04-22 08:57:08
NDIO MANA YAKE SHOSTI,

MANGE ACHANA NA HAO TOOTHPIK KAZI YAO KUCHOKONOA MENO
THEN VINATUPWA NA HAVITUMIKI TENA, WEWE ULIMI BWANA UNAKAA MDOMONI MILELE
Anonymous   |2010-04-21 22:30:11
we mange acha matusi,kureply kama anonymus na kumtukana mwezio ndo nini acha
hizo wewe,kasema ukweli je unapenda kuuza LISULA!
Anonymous   |2010-04-22 07:12:08
UNAJUA KUSOMA KWELI?SABABU MIMI SIJAONA TUSI HAPO
JUDITH   |2010-04-22 08:54:57
WEWE UNAPENDA KUUZA NINI???WE HUONI KAMA SURA YAKE INAUZIKA ???TUMA HIYO SURA
YAKO TUIONE ILIVYOPANA KAMA UWANJA WA TAIFA
Anonymous   |2010-04-21 22:31:49
mangu ii picha haijakaa vizuri, itoe haaa, yaani hiyo angle iliyochukuliwa migu
yako inaonekana mwembamba sana
JUDITH   |2010-04-22 08:53:44
WEKA YAKO TUONE MIGUU YAKO KAMA MI SHIKIO YA NDOO
Anonymous   |2010-04-22 13:50:42
bora yeye ana confidence mange ataweka picha yoyote anavyoonekana vyovyote
inaiwta kujiamini sio nyie bila make up hamupigi picha aibu
Anonymous  - re:   |2010-04-22 16:00:17
Anonymous wrote:
mangu ii picha haijakaa vizuri, itoe haaa, yaani hiyo angle iliyochukuliwa
migu yako inaonekana mwembamba sana



Giiiirl!, puh leez!, be comfortable in your own skin, as long as she
feels good about what she's wearing, she's good to go, doesn't
matter what others think bout her. That's what we call International
standard, we kaa na ubongo wako while worrying bout what people think
of you....UTAKONDA!

Mange mwaya you look FIIIIIINE! GIRL!
Anonymous  - re:   |2010-04-22 16:04:44
Anonymous wrote:
TATIZO KWETU MBAGARAAAAAAAAAA,HATUNA BROG


LOL! ,LOL!,

I love U-Turn blog!
salama  - re:   |2010-04-22 16:18:32
JUDITH wrote:
WEKA YAKO TUONE MIGUU YAKO KAMA MI SHIKIO YA NDOO


LOL!, LOL!, (I don't know U but I love U already)

That mishikio ya
ndoo thang's brilliant girl!, ndio miguu yangu, kisha vitu vifupi kwa
kwenda mbele, am loving it and I enjoy every second of it, wasemao
waseme...
JUDITH   |2010-04-23 09:13:46
UMEJIKAKAMUA EEEH
Anonymous   |2010-04-22 00:13:09
BEHIND NOT BEHING..UWE UNA EDIT KABLA HUJAPOST!!!
JUDITH   |2010-04-22 08:52:57
A EDIT NINI???WEWE KILA KITU KWENYE MAISHA YAKO HUWA U NA EDIT???AU UNAMFUNDISHA
KAZI
disminder   |2010-04-22 10:24:03
WEEE JUDITH shut up! unaboa siku hizi, embu nenda katafute bwana akusugue vzuri,
naona unanyege za miaka...KHA!!!
JUDITH   |2010-04-23 05:18:17
HA HA HA HA HA HA UNANICHEKESHA ETI UNAKERA EEEEEH ZISIKUKERE FOLENI ZA BONGO
BARABARANI NIKUKERE MIMI NA KOMETI ZANGU HA HA HA HA HA HA HA HATA KUKEREKA WEWE
NISAWA NA KUMUUA TEMBO KWA PENSELI

HA HA HA HA HA HA
TENAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
JUDITH   |2010-04-23 05:19:54
SIKUOGEA MHOFUHOFU NIKUHOFIE WEWE NILIOGEA MWANA KUJIAMINI HUNIWEZI HA HA HA HA
HA HA HA HA HA HA HA HA HA MIKONO INA MIKATO KAMA VICHOCHORO VYA MWANANYAMALA
JUDITH   |2010-04-23 05:20:46
UMEKULA IDDI MBILI MJINI UNASEMA MWENYEJI HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA
POLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
EEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
EEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
JUDITH   |2010-04-23 05:22:13
ULINISHINDWA XMASS UTANIWEZA MAYMOSI?????????????????????????? HA HA HA A AH AH
AHA HA HA AH AH AHA HA AHA HA NAOGA BILA SABUI MIYE
JUDITH   |2010-04-23 05:24:05
UMEKOSA UMAARUFU BILLIKANAZI UNADHANI SANSIRO UTAUPA, HA HA HA HA HA HA HA HA HA
HA ANSKUSHANGA KAMA UMETUMWA MWAMBIE ALIYEKUTUMA NIPO NIMEJAA TELA NA ATANIONA U
TURN MPKA AKACHOKE

NAHAWEZI KUZUIA JUA KWA UNGO HATA SIKU MOJA
JUDITH   |2010-04-23 12:00:15
DISMINDER VIPI MBONA KIMYA JAMANI AU ULIKUWA UNATIKISA JENEZA KAMA INA MAITI
NDANI?????? HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA AH AH AH AH AHA HA HA
USIMTISHIE HONI KIZIWI DADA HAO HAO ULIOWAZOE MIMI KWANGU MPKA UPANDE NA NGAZI
UPO???? HA HAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA YE YA
JUDITH   |2010-04-23 12:14:20
WEEE JUDITH shut up! unaboa siku hizi, embu nenda katafute bwana akusugue
vzuri,
naona unanyege za miaka...KHA!!!

NABOA???LINI
NILIKUFURAHISHA?????EEEEEEEEEEEE??ANAYEKUBOA HUMJUI WEWE EEEEEEEEEEH ANAYEKUBOA
YUPO CHOONI NDIO MANA UNA MFLASH
Anonymous   |2010-04-22 00:32:54
I like the mixture in U-Turn blog, It's like soup. mh! sooo meaty!


Looking
goody girl in the pic!
Noela   |2010-04-22 04:03:23
Asante sana dada Mange waambie hao,kama unaona mada zinazotoka humu hazikufai
unasoma za nini?Tuache wenye kupenda tusome na kutoa mawazo yetu,Acha uselfish
wewe kama unaona wewe umefika, basi jua kunawenzako ambao nao wanatamani kufika
kama wewe,lakini kumbuka huwezi kufika bila kupiti katika bumps,Makongreshen
nk.Maisha ni safari ndefu ngugu kuna mengi tunayokutana nayo,ndiyo maana tupo
ktk hii glob inatusaidia wenzako na kutufundisha mengi katk huu
ulimwengu.Nakufagilia san dada Mange kwa ujasili wako unasaidia wengi am telling
u.Achana na hao wenye roho za kwanini wasiopenda wenzao kufanikiwa.
Nakuombea
maisha marefu na mafanikio
JUDITH   |2010-04-22 04:43:51
KAMA WEWE HUNA TATIZO WENGINE WANA MATATIZO NA SI LAZIMA MTU USOME FANYA
LILOKULETA ACHA WATU WANAO TUMA MATATIZO YAO WAJEEEEEH MNAJISHAUA HAMNA MATATIZO
KUMBE MNAMATATIZO MPAKA KWENYE NYWELE??BLOG YENU HII MPAKA MKASIRIKE WATU
WANAVYOTUMA EMAIL ZAO???MNATAKA TU MLETEWE UMBEYA SHENZI KABISA!!KAMA MTU UNAONA
U TURN NI YA UMBEYA KAA OFISINI FANYA KAZI ALIYE KUAMBIA MANGE AMEWAHI KUMPIGIA
MTU SIMU ANGALIE BLOG YAKE NI NANI??AU NI HAYO MACHO KAMA TAA ZA HIACE
Anonymous   |2010-04-22 07:23:57
eeeehe jamani Judith karudi, me namuogopaga akianza huyu hamalizi, kwi kwi
kwi..mtatupiwa mabomu hapa mbagara haioni ndani..taratibu Judith utapasua laptop
ya boss kwa hasira
Anonymous   |2010-04-22 07:36:06
Judith Darling ulipotelea wapi?
JUDITH   |2010-04-22 10:30:49
NIMEJAA TELE KAMA VITI VYA DIOMOND JUBILEE
Anonymous   |2010-04-22 05:38:25
another public seeker
Anonymous   |2010-04-22 06:05:27
acha mashauzi
JUDITH   |2010-04-22 08:51:34
MASHAUZI UNAYO KWENYE CHUPI YAKO
Anonymous   |2010-04-22 11:26:06
Judith wape vidonge
Anonymous   |2010-04-22 06:52:25
TATIZO KWETU MBAGARAAAAAAAAAA,HATUNA BROG
mademaday   |2010-04-22 09:51:53
LOL.....!!!
any  - mmmh kazi kweli kweli   |2010-04-22 15:12:50
inaonyesha hii blog ni ya kusutana maana kuna mambo humu ndani janani nikiboreka
ndo naingia.. jamani wabongo!
Anonymous   |2010-04-22 10:41:11
HAAAA Haaaaaaaaaaaaa..Yaaani wewe umenimaliza!!!!!!
KATARINE   |2010-04-22 08:19:00
NILIKUMISS SHOSTE JUDITH UPO ??

HEBU NISHAURI JAMA NITAPATA WAPI MUME NINA 32
WITH NO BOYFRIEND
JUDITH   |2010-04-22 10:33:12
SHOSTI HANGAIKA OOH HE HE HE HE MIAKA NDIO HIYO KUNA WATOTO WANAZALIWA
MWANANYAMALA KILA SIKU WAZURI UTAZEKA HATA WAKUMTUMA DUKANI UTAKOSA,TOKA OUT
MAMAM JICHANGANYE UKIJIFUNGIA NDANI NANI ATAKUONA LABDA BABA YAKO MZAZI
Anonymous   |2010-04-22 08:50:03
yea ni kweli kila mtu na intrest zake mi personally napenda kuingia huku kusoma
matatizo ya watu pia kwakuwa na mie nakuwaga na matatizo yangu and i relate to
some of them alafu kitu kingien watu wengine ni kuponda tu bila kutoa ushauri mi
naona kwenye segment ya ushauri uwe unazipotezea zile za kumuita mtumaji malaya
kumjudge na pumba zingine wakati mtu anatuma tatizo lake anakuwa so frustrated
and the least is to read some bullshit from commentators
Anonymous   |2010-04-22 09:02:08
on point Mange!!!!
sally   |2010-04-22 09:19:42
jamani its tru kila mtu ana kitu anachopendelea,ww unaesema watu wasiweke shida
zao humu kesho utapat athe same n u will b the one to write to u turn or apply
what u read in u turn and apply,guys lets b realistic nt everythin in ths world
ar within our interest some ar nt so ar menu/issue za u turn as long as hazimu
offend mtu..mama u turn zidi rusha matatizo ya watu wengine tunaelimika hile
wengine wanasaidiwa..
disminder   |2010-04-22 10:21:39
hili li JUDITH linakera siku hizi, yaani lenyewe linapenda kushushua wadau wa
u-turntuuuu...khaa!!! tumekuchoka ww JUDITH! rudisha hiyo laptop ya bosi wako.
F**K OFF.
Anonymous   |2010-04-22 12:30:55
YALE YALE.....SI USHAAMBIWA KAMA HUTAKI KUSOMA ACHA. WEWE UMEMCHOKA HUYO JUDITH
SIYO MIMI AU WENGINE.....WE ARE ALL ENTITLED TO OUR OWN OPINIONS......ni kama
vile wewe unavyopenda kuvaa thong na mie sipendi kwa sababu zangu binafsi, sasa
utanilazimisha!
JUDITH   |2010-04-23 04:24:20
NASHANGA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!HA HA HA
HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA AH AH AHA HA HA ROHO IMEKUNYONGOROTA KAMA RASTA YA
KIMASAI
JUDITH   |2010-04-23 12:05:17
hili li JUDITH linakera siku hizi, yaani lenyewe linapenda kushushua wadau
wa
u-turntuuuu...khaa!!! tumekuchoka ww JUDITH! rudisha hiyo laptop ya bosi
wako.
F**K OFF.


YANI NIKISOMA HII MSG NAKUONEA HURUMA SANA TENA NA HIVI
ULIVYONA SURA FUPI KAMA KARATA NDIO NAJISIKIA KUCHEKA SANA NINGEKUWA MIMI NDIO
WEWE NINGEKUA NAOGEA MAGADI HA HA HA HA TENA DADA SAMAHANI KAMA COMMENT ZANGU
ZINAKUKERA USISOME NA MIMI NAKOMMENT KAMA WATU WENGINE NTASHUSHUA KWENYE UJINGA
SI KWA WEWE DAKUDAKU MENO MENGI MDOMONI KAMA BISI
Anonymous  - re:   |2010-04-22 10:39:33
Anonymous wrote:
Judith Darling ulipotelea wapi?




KWENYE CHU...P YAKO!
Anonymous  - re:   |2010-04-22 10:42:04
disminder wrote:
hili li JUDITH linakera siku hizi, yaani lenyewe linapenda kushushua wadau
wa u-turntuuuu...khaa!!! tumekuchoka ww JUDITH! rudisha hiyo laptop ya
bosi wako. F**K OFF.
pumbafff hadi mjue kukatika yoriyori mwaka huu!
JUDITH   |2010-04-23 04:25:18
NA MTAIMBA OYOYO MPAKA MKOME
doreen   |2010-04-22 11:19:12
Anti Judtith,
Usipende Kutoa maneno machafu kwenye kinywa chako.wee ni mwanamke
try kuongea maneno yanayoelisha na sikutukana..Jua kuna mungu na mwanamke
hupambwa na maneno yenye Hekma na ubusara.
JUDITH   |2010-04-23 04:29:06
WEWE UNA HEKIMA OOOOOH REALY????KWELI KABISA SASA ALIYEKUAMBIA HAPA TUNAPIGA
INJILI NANI???MATUSI YAPI???UNAJUA MATUSI WEWE??UKIWA UNAOGA NDIO UTAONA MATUSI,
NTAKOMMENT NNAVYOJISIKIA MAADAM SI MKERI MWENYE BLOG NA MNAOKEREKA MTAKEREKA
SANA NDIO KWANZA NIPO NASARI,NA UKITAKA LIGI KARIPU HASA WALE WANAOTANGATANGA
KWENYE MA BLOG HUO NDIO UMBEYA SHOSTI
Anonymous   |2010-04-22 11:55:44
sikuzote unaongea majigambo ila hii umeongea point atleast
Anonymous   |2010-04-22 12:34:36
huyo judithi katumwa au??mbona anaropoka tu bila mpangilio
JUDITH   |2010-04-23 04:29:44
KANITUMA BWANA WAKO NIKOMESHE WEWE MCHAFU KUOGA
Anonymous   |2010-04-22 15:58:41
hahaha tatizo kwetu mbagaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...kwa kweli
umenichekesha,mange inabidi ucheze na hizi fonts ziwe kubwa kidogo...maandishi
ni madogo mno yanatia uvivu kusoma
bgd   |2010-04-23 06:33:24
jaman wewe Judith kwanini una mdomo mchafu hivyo duh wewe ni mwanamke kweli
punguza kauli chafuuuuuuuuu
JUDITH   |2010-04-23 09:11:58
KAULI KWANI HAPA NALEA BWANA AU KUNA BWANA HAPA EEEEEEEEEEEEEH UKITAKA KAULI
NZURI MSUBIRI MUMEO
Anonymous   |2010-04-23 07:24:17
judith u need to see a profession for the advice. Itakusaidia kupunguza whatever
stress u are having. Hizo ndo symptoms zake. Dont get personal,its just a
profession advice.

good day.
JUDITH   |2010-04-23 09:08:56
NAHITAJI NA KOZI YA ENGLISH COZ JAMANI MANA ENGLISH SIJUI DADA
Anonymous   |2010-04-23 10:14:27
i know u know English na umeelewa nilichoandika. U seriously need it Judith,
kama sio profession person basi tafuta mtu wako wa karibu sana ambaye pia
unamuamini halafu ongea nae. U are facing something serious,u need to talk to
someone.

I insist,dont get personal,its a profession advice.
anonymous   |2010-04-23 07:37:23
hahahah, yaani judith nakupendaga sana, unawakomesha vizabizabina humu ndani,
bila wewe sisomi blog, umenifurahisha sana, wapashe wapashe hao wanaojidai
wasomi kunuka.
karren   |2010-04-23 08:17:23
wadau huyo anaye jiita Judith ni feck mie namjuwa ni nani,ni Mange mwenyewe,mama
misifa
JUDITH   |2010-04-23 12:11:43
HA HA HA HA HA HA AUTAISHIA KUHISI MPAKA UKOME IPO SIKU UTASAHAU WEWE NI JINSIA
GANI MPAKA UINGIE CHOONI,,HUYO MANGE ANAWAUMA SANA MPAKA UMUHISI NA
WWE???AKITAKA KUSEMAKITU SI ANATOA WATU TUNA KOMMENT???SASA UNAHISI NI MANGE
ILI??HAYA MUHISI NA MUMEO ANATOKA NA SHANGAZI YAKO COZ HAKO NI KAUGOJWA,HA HA HA
HA HA HA HA HA HISI BASI NA YESU ANARUDI NINI MRS KUHISI EEEEEEEEEEEEEH!!!

MI
NAHISI WEWE UNATATIZO LA FANGASI MIGUUNI KAMA HUNA BASI SI MANGE ANAYEKOMMENT
HAPA
judith   |2010-05-04 09:31:08
WEWE NDIO BUYU BUYU TENA LILE LA DARASA LA TATU
Anonymous   |2010-04-23 11:23:21
me sijaelewa how comes huyu Judith kila comment kumhusu yeye inapopostiwa
itayofuata yeye ndio anajibu?? she must be so fast au kabla hazijawekwa
anataarifiwa yeye kwanza?? something fishy about huyu Judith!!!!
Anonymous   |2010-04-23 14:08:19
walaa mange mbona mnamnanga sana na anauchuna tu? si angebana msg asingewajibu
huwa judy yupo ni wa ukweli huwa akishapost msg anaclick kwenye reply anaendelea
mbele we unadhani kwa nini wadau wanashushuana ? hata wewe unaweza andika meseji
zako kumi zikafatana hata baada ya wadau mia kuandika ni ubunifu tu dada
eeenhhhhe iko nisoma eeenhhe
judith   |2010-05-04 09:27:46
UNA GARI AINA YA STALETI NINI MANA WATU WENYE STARLETI MJINI HUWA WANAJIFANYA
WANAJUA SANA KILA KITU ENDELEA KUHISI UKICHOKA MSUBIRIRI SERENGETI BOY WAKO
USIKU
judith   |2010-05-04 09:30:22
NA WEWE HUWA UNATAARIFIWA NINI??? MANA UNAJIFANYA UNAJUA,HASIDI WA
KUBUNI???MUMEO AKILALA NA MTU ANAKUPIGIA SIMU???AAU AKILI YAKO KAMA BANDA LA
CHIPS TANDIKA
kokorikoooo   |2010-04-23 12:27:15
we judith huna adabu kichwa chako eti unasema uwe na kauli nzuri kwani unalea
bwana muone vile kichwa kama kona ya Spacio,domo chafuuuuuuu kujibujibu watu tuu
lione kobe weeeeeeee
judith   |2010-05-04 09:26:24
WEWE NDIO UMEKOSA DABU KAMA MBWA WA SOKONI!! MUMEO ANAKAULI NZURI NA YALE
MASHARUBU YAKE MDOMO?? AU NI WALE WA MBELE MKAE WANYUMA TUPITE NYOOOO
Lily   |2010-04-23 13:02:35
Me mwenyewe na mashaka na hyu Judith!! Lakini whoever person who calls herself
Judith jitahidi kutumia tafsida au kama vp usitoe comment unatuzingua bwana!
watu wanaomba ushauri na si kukejeliana bwana. kuwa mstaarabu. ishakuwa kero
tena!!
judith   |2010-05-04 09:25:03
UNA MASHAKA NA MIMI NIMEKUCHUKULIA BWANA VIPI HUYO SHOGA YAKO HAPO PEMBENI HUNA
MASHAKA NAYE KILA SIKU YUPO NA MUMEO UNAMASHAKA NA MIMI NISIYE KUHUSU HA HA HA
HA HA HA HA DIRA LA KUAZIMA HUWEZI KUPITA NAYO KWENYE MIBA
Anonymous   |2010-04-23 16:40:46
umeanza kuboa Judith!!
sifikirii Mange anataka personal assistance mswahili na
mwenye mdomo mchafu kama amenyeshwa Togwa!!

si muda wako huu dada nenda kacheze
VANGA kWANZA!!
hATA UKIJIBU NA MANENO YAKO UTINGO WA DALADALA. SIJALI,
KAMA
UMEAMUA KUJIBU COMMENTS MAKE SENSE HATUKO KIMANZI CHANA HAPA!!
Anonymous  - re:   |2010-04-23 18:08:59
Anonymous wrote:
umeanza kuboa Judith!!
sifikirii Mange anataka personal assistance mswahili
na mwenye mdomo mchafu kama amenyeshwa Togwa!!

si muda wako huu dada
nenda kacheze VANGA kWANZA!!
hATA UKIJIBU NA MANENO YAKO UTINGO WA
DALADALA. SIJALI,
KAMA UMEAMUA KUJIBU COMMENTS MAKE SENSE HATUKO
KIMANZI CHANA HAPA!!





hahahaha!! dada umesema kweli, loh! Togwa hihihiii!!! hivi bado watu
wanakunjwa tu!!?????
judith   |2010-05-04 09:23:44
NDIO NIMEANZA KUBOA SASA UNATAKA NINI NIKUFURAHISHE NAKUJUA MIMI WEWE NIKOBOE
TUNAOGA WOTE MIMI NA WEWE AU UNAJISHAUA KAMA UMEVAA CHUPI MBICHI,KWA HUKU KWENYE
BLOG NAKUFUATA WEWE??UMENIZAA WEWE KWAMBA UKISEMA NAKUBOA NTALIA EEEEH JAMANI
MBONA MNAJICHETUA KAMA MNAOGEA MAJIVU HIYO MIDOMO YENU KAMA SI MICHAFU MBONA
MNAPAKA LIPSTICK JAMANI NAWAKERA MMENIUMBA NYIE

BASI MTAKEREKA SANA NA BADO
NYOOO
sonia   |2010-04-24 14:37:20
mie huyu judith namkumbuka sana nikisoma comment zake ndie yle mama
pekechapekecha kwenye ze utamu wadau kaamua kubadili jina tu,halafu huwa nahisi
ni mtangazaji fulani wa redio nae anablog yake
judith   |2010-05-04 09:21:00
ukimaliza kuhisi niambie shenzi nyie
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook