Who's Online
We have 373 guests and 1 member online
  • Fleetaves
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6638
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6640
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53712
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933279
Login



NATAFUTA MZUNGU....
Written by Mange   
Thursday, 01 April 2010 00:18

Mimi ni msichana wenye miaka 27. Kwenye maisha yangu nimekuwa na mahusiano na wananaume watano wa kitanzania. Ukweli ni kwamba tabia zao ni mbaya sana kwa mfano, wananume wa kitanzania hawajui kuthamini mwanamke, wanadhani kuwa na mwanamke zaidi na mmoja ni haki yao.

Kwa kweli nimemua kuwa serious kutafuta mwanaume wa kizungu kwa sababu nimeona walioolewa na wazungu wana amani sana na ndoa zao. Tatizo likakuja kwamba sehemu zote za starehe wanazokwenda wazungu kwa hapa dare s salaam zimejaa machangudo (Malaya) mpaka naingiwa na wasiwasi kwamba mzungu atakae kutana na mimi sehemu kama hiyo anaweza kudhani na mimi ni wale wale.

Je, mnaweza kunishauri ni sehemu gani za maana Dar es salaam na weza kwenda ili nikutane na mzungu mwenye heshima zake, bila kujikuta nipo katikati ya machangudoa?

Kuwasiliana na uturn tuma email kwenda This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it


Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-04-01 09:52:08
jamani ee tukubaliane hawa wanaume zetu wameharibiwa toka wakiwa wadogo. hivi
bado wanaenda Jandoni kweli?? i wonder what they teach them there. Ss wanawake
twafundishwa jinsi ya kumtukuza mwanaume hadi majumbani unakuta eti kuna kiti
cha baba mwingine hawezi kukikalia i hate that. Ulaya wote wako sawa na hata
ukizaa mnapeana siku za kulea watoto. Mbongo utathubutu kumuachia mtoto??? All
in all Wazungu they are much better in treating a woman right. hawako perfect ..
who is but i prefer them than chausiku. And am gonna marry 1 of them.
Anonymous   |2010-04-01 09:53:04
We mdada njoo ulaya ujichagulie hao wa bongo full pressure.
Anonymous   |2010-04-01 10:04:18
The truth should be heard!!! Me ni witness ila msinifunge
nikiwa bongo jamani
nilikuwa nachukia wazungu na ni kutokana na historia kwamba wanatuona kama
manyani so nilikuwa nikiona mtu na Mzungu naboreka sana. and I swore that i will
never date a mzungu. ehe nikaja ulaya headache niliyopata na hawa wabongo mhh
hamu sina. wavivu, wanapenda vya bure na hata mapenzi hawana. then nikajipa
ma2maini hebu nijaribu going white.. ehe i got love and care yaani moyo wangu
haustuki hata akienda out na mafriends wake. leo mwaka wa 4 nina na am
getting married soon. ana mapungufu yake so do I. Culture nayo yachangia but end
of the day am very happy.
lightness  - Afadhali     |2011-05-13 09:13:09
helow witness hujambo ? nimesoma your message and i do like this, hebu niambie
jisni yakufanya hadi nami nimpate huyo mzungu nami naona wabongo miyeyusho tupu
Anonymous   |2010-04-01 10:55:22
Embu kwendeni zenu uko..Kuna wapenda TIGo duniani kama wa tanzania?!!!
Angela   |2010-04-01 11:59:14
Wewe anonymous hapo juu usitudanganye. Mimi nilikuwa na bf mzungu alikuwa
anaomba t.i.g.o, mimi nikamkatalia. Halafu wazungu wana mambo mengine ambayo
hatujayazoea, k.m, oral sex. Mimi sipendi na sitapenda kudhalilishwa kiasi
hicho. Just imagine unyonye vitu vingine mpaka vinatia kinyaa. Je, akikuoa
itakuwaje.
Halafu, culture tofauti. Sie tuna extended families, ndugu zako
wakiwa na shida, wazungu wachache wako considerate.
Dada, angalia sana kabla ya
kujidanganya kuwa afadhali wazungu.
Hiyo mifano ya successful marriages mbona
ni michache sana. Mbona wazazi wetu wamekaa miaka mingi sana, matatizo
yalikuwepo lkn walikuwa wanayatatua.
Tuangalie sie wenyewe wadada
tuna-contribute vipi kwenye matatizo kwenye relationships zetu.
Anonymous   |2010-04-01 16:06:56
dada hupo dunia gani oral sex ni muhimu kwenye mapenzi sio weusi wala weupe,kwa
hili umechemsha
Anonymous   |2010-04-01 18:42:41
yaani wewe inabidi ufanyiwe kitchen party, yaani unataka kuniambia kuwa huwezi
kumpa mume wako oral sex......?? hiiiiiiiiii..... mbona utaibiwa mama, awe
mbongo au mzungu dada wanaume wanapenda oral.....sasa wewe kataa kumpa oral
wengine huko nje watampa tu.
wewe uko dunia gani....nyie ndio mnawapa waume
zenu mapenzi yale yale kila siku paka inakuwa boring....try new things
dada..........
anonymous   |2010-04-02 10:05:07
Siyo lazima kila mwanamke atoe t.i.g.o au anyonye koni. Hiyo ni choice mtu. Kama
wewe unafanya hivyo, fine. Wengine tunaona kinayaa. Huwezi ku-judge kusema
mapenzi fulani ni ya kizamani na aina nyingine ni ya kisasa.
Halafu sio
wanaume wote waTz wanapenda mapenzi ya aina hiyo.
After all, nimekutana na
wadada waliolazimishwa kufanya oral, wanasema wanamwagiwa mpaka kinywani.
Wanasema hayo mauji uji smell like rotten fish.
Msitulazimishe na hayo mapenzi
yenu mnayoyaita ya kizungu.
Anonymous   |2010-04-03 13:45:44
KWIKWI KWIIIII...DADA...HAVE YOU EVER HEARD OF UVINZA?
Anonymous   |2010-04-01 12:05:52
nyie mliopata wazungu koko mnanyanyasika kimpango wenu hiyo imo hata kwenye ndoa
za kiafrika ebu nendeni kule "harusi yangu.com" muone kilio cha
wanawake kwenye ndoa zao na hao pia wanaishi ulaya? ni hulka tu ya wanaume
narudia tena afadhali ya wanaume wa kizungu kuliko wabongo mwenzangu akikuchoka
anakupa black and white kinakuuma wee lakini umejua ukweli hii minyang'au yetu
inacheat hadi na marafiki zako wote mimbeyaaa ka wakaa vibarazani kutwa antena
za masikio ziko juu umbea tuu na vikwapa vyenu mara mnanuka midomo yani
mnatuudhiii na mingine inataka inyonywe koni wakati yenyewe kwenda chumvini
haramu hamjui mapenzi ni uchafu eenhhe! mzungu hapo anashuka analamba bakuli
kama hana akili nzuri
Anonymous   |2010-04-02 09:54:56
Hahahahaha dada umenikuna.
Anonymous   |2010-04-01 12:27:18
Kama wazungu hawacheat, hayo maporno, na matangazo yaliyojaa wazi wazi kila kona
ya Malaya yanafanyiwa nani? Namaanisha hivi ina maana biashara ya ukahabam,
madanguro, ma club ya kucheza uchi usiku, wateja wao ni kina nani?

Pili hiyo
red street ya Netherlands ambako Malaya wanajiweka uchi madirishani
wanamtangazia nani hiyo biashara kama sio hao hao wanaume waume za watu?

Na
call girls wanaojiuza kwa kutumia simu je wanamuuzia nani?

Kama wazungu ni
waaminifu sana mbona hizi biashara za ukahaba hazijafa kwa kukosa wateja? Tena
nchi nyingine zimehalalishwa kabisa. Mbona maskandali hayaishi kuandikwa
magazetini mpaka kwenye talk shows za kina Jerry Springer, Maury, kipindi cha
"Cheaters" na nyinginezo, za nini hizo na wao waaminifu?

Wanaume
woote duniani baba mmoja, mama mmoja, upate bahati tu asiwe cheater au afanye
siri sana usijue. Na huu msemo wa "one night stand" umetoka Afrika?
Anonymous   |2010-04-01 12:43:27
Wazungu hamuwajui wengi wenu.Wachache sana wanawajua.Mzungu atakupa hela akiwa
Africa.Tena sio nyingi,ila ukipata mbongo muhongaji...duh hatari.Mimi nimeolewa
na mzungu na nina bwana ,muafrica wa kunifanya hata nimkumbuke mama
yangu.Muafrica ukiwa mae hasa Ulaya ata kuenzi ukitokea tu anauliza vipi bongo
mama anaendeleaje?Vipi shangazi kuumwa kwake vipi wewe mamaa.Mzungu umpe
tigo,icecream ulambe etc wapi mama yako hamkumbuki wala kwenu nyie manyani
hakumbuki.
Anonymous   |2010-04-01 13:49:34
wewe dada unaependa wazungu mbona simple, weka fake tits, nenda Zanzibar
vacation kama bwejuu or nungwi, around June , July utawapata tele halafu
utachagua mwenyewe,
wala hakuna machangu kule, uwanja wako.

kila la kheri
Anonymous   |2010-04-01 13:50:31
dubai cassinos, wapo wazungu wa kumwaga,
fika tu dubai kila kitu kitakua poa.
Anonymous   |2010-04-01 13:52:15
wazunguuuuuuuu!! unafikiri mchezo, unawaona hapo wengine hawataki kwenda kwa
wanaume zao, wakienda siku mbili tu, wamekimbia,
waulize wakupe ukweli, halafu
utachagua mwenyewe
Anonymous  - re:   |2010-04-01 15:15:00
Anonymous wrote:
sio wazungu wote wanamatatizo dada, mimi nimeolewa na mzungu sasa 10 years
and I am the happiest married woman in the world, na nini marafiki
kibao wameolewa na wazungu and they are so happy and having time of
their lives, so kama ndoa yako haiku work out I am sorry, but kumtisha dada
wa watu eti kuolewa na mzungu atajuta sio kweli....kuna wengine
waliolewa na wanaume weusi nao pia wamepata divorce na pia wanasema
hawana hamu na wanaume weusi so Marriage is a blessing from God and
you have to work at it, uwe umeolewa na mzungu au mwafrika au muhindi,
mjapani etc.....


it seems you are the happiest than Michelle Obama...hongera kama ndo
hivyo. hata wanaume wa kiswahili sio wote wabaya. huyu ana matatizo yake.
Anonymous   |2010-04-01 15:15:19
MIE BWANA WA KIBONGO KANITOA MVI KABLA YA TIME SINA HAMU.....SASA HIVI NATAFUTA
MWARABU HATA KAMA NI USAMI....
guess   |2010-04-07 12:48:30
heheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke ninenepe lol
Memoi'   |2010-04-01 15:21:19
Nyie mnaosema wazungu wana mambo mabaya sijui mmeolewa na wazungu gani?? mimi
nimeolewa na mzungu and all I can say is I have a fantastic life which some can
only dream of, Mume wangu ni mtu mzuri, I go to bed happy and I wake up happy,
he takes good care of me, and he adores me......hayo mambo mnayosema sijui
wazungu wabaili wa hela eti wanavaa socks zimechanika, labda kama umeolewa na
mzungu masikini. na kwa nini sasa ukaolewa na mzungu masikini ???wakati kuna
wazungu kibao wenye hela zao na wamesoma wanapenda sana wasichana
weusi....Tatizo wasichana wengi wa kibongo wakipata wazungu wanajifanyaga kwao
matajiri halafu baadaye wanaanza kuomba hela za kupeleka nyumbani, .....sasa
unakuta mzungu anashangaa. wazungu wanapenda sana ukweli.... kwa hiyo dada kuna
wazungu wazuri sana na wema sana.....I am married to one and I have no
regrets

Memoi'
London
Kaungame menas  - RE;salamu   |2011-05-04 05:08:12
Mambo?tuwasiliane :huh:
Anonymous   |2010-04-01 17:09:19
Mie nina mume mzungu kanishinda, kama unamtaka naweza kukupa.
Anonymous   |2010-04-01 17:59:21
Wewe dada
Tafuta hela nenda Dubai, Zanzibar, Mombasa, kwenye migodi k.m Kahama,
Buzwagi, Bulyanhulu. Wazungu wako kibao.
Tafuta kuanzia 5 hadi 10, halafu fanya
selection. Lakini angalia nao ni chovya chovya vile vile. Tumia kinga. Suala la
kuombwa t.i.g.o, kunyonya koni ni vitu vya kawaida kabisa. Kama unaona kinyaa,
basi achana na hiyo project ya kutafuta wazungu.
Kuhusu cheating, asikudanganye
mtu. Hawana cha uaminifu wo wote. Mifano iko mingi. David Beckham, John Terry,
Prince Charles, Sarkozy (Rais wa Ufaransa), mawaziri, wabunge wazungu etc
wana-cheat wake zao. Wengine wana-cheat na kwenda kumega t.i.g.o za wanaume
wenzao.
Angalia hizo comments za wadau wanaosema kuwa wameolewa na wazungu na
wako happy, wanatuzuga tu. Hamna kitu waganga njaa tu hao.
Good luck katika
kutafuta mzungu.
Anonymous   |2010-04-01 18:43:42
Hata mseme mumeolewa na wazungu na mna raha zenu, hiyo si mifano tosha ya kusema
wazungu ni wema.Mimi ni mwanaume mbona mke wangu ana raha ya ajabu sana.Na mimi
nina raha sana naye.

Binadamu ni binadamu tu kama amezoea kula nyoka atakula
tu hata awe ni wa rangi gani.Ukibahatika mshukru Mungu lakini si kutukanana humu
na kuwaenzi hao wazungu mlioolewa nao kama vile ndivyo walivyo wanaume wote wa
kizungu.
Mfano mimi dada yangu aliolewa na mzungu hapa US lakini ndoa hata
miaka miwili haikuisha jnsi alivyokuwa anamtendea jeuri na ukoo wake mzima
kumnyanyasa sana mpaka my sister kaamua kujiengua.Hata hivyo siwezi kusema
ndivyo walivyo wazungu wote na yamkini si waafrika wote wako vile
mnavyowakandia.Tatizo ni ulimbukeni wa dada zetu na kutaka masifa tu
basi.

Mungu akikupa mzungu haya, mwafrica haya, muitalian haya,mhindi haya
kwani ndoa ya majaaliwa haina utabiri wa aina yoyote.

Hata matusi mengi humu
ya wanaume wangap...
Anonymous   |2010-04-01 18:54:50
Kwa kina dada wote mnaoandika kwa furaha kwamba mnaachia wanaume wawachezee
miili yenu kinyume na maumbile naona mnaita TIGO, muache hiyo tabia heshimuni
miili yenu na muheshimu wazazi waliowafunza maadili mema. Mwili ni wako
usiruhusu mwanaume apange anataka kukuingilia kinyume na maumbile ni uchafu
usiosemeka na wewe na huyo mwanaume ni wagonjwa wa akili. Mlambe lambe yote
lakini msiingiliwe kinyume na maumbile, mwanaume yoyote anayekuambia habari ya
TIGO AMEKUDHARAU AMEKUONA KAMA SIO BINADAMU BALI NI MNYAMA, MWANAUME
ANAYEKUHESHIMU HATA SIKU MOJA HANA MAWAZO MACHAFU KAMA HAYO AWE MBONGO AU
MZUNGU. KOMENI KABISA KUANDIKA KAMA VILE HUNA MAMLAKA YA KUZUIA HUU UCHAFU.
natamani hata kutapika hivi ninavyoandika
Anonymous   |2010-04-02 13:02:57
Waeleze ukweli, mapenzi sio udhalilishaji
anayeudharau mwili wako kwa pesa
sio
mpenzi wako
anonymous   |2010-04-01 19:08:03
Nimesoma comments za wadau, lakini kuna vitu hiviko clear kwa wale ndugu zetu
walio na ma-bf au waume wazungu:
1. Je, ni kweli mmeshawahi kuombwa au kutoa
t.i.g.o?
2. Je, kunyonya koni ni jambo la kawaida na, wakati mwingine, koni
inamwaga kinywani?
3. Je, ni kweli wazungu wengi ni mtarimbo doro, ndiyo maana
inabidi isimamishwe kwa kunyonywa?
Ndugu zangu, haya ni mambo ya maana sana.
Sisi wengine, wazungu no no no no kabisa. Mambo niliyoyaona kwenye sinema X,
sina hamu kabisa.
Tuwe wakweli.
anonymous   |2010-04-01 19:14:05
Tuache utani jamani.
Wazungu ni watu wa Sodoma na Gomora kwenda mbele.

Wazungu expatriates hasa wanaokuja Tz wanafanyia vitu vibaya sana dada zetu.
Utamkuta mwanaume wa kizungu anatamba wazi wazi jinsi alivyokuwa anamega t.i.g.
o ya dada yetu usiku uliopita
Pole sana akina dada. The solution, ukipata
nafasi soma kwa bidii siyo kuwa na ndoto za Alinacha za kupata good life kwa
mdhungu.
Ciao
Anonymous   |2010-04-02 12:50:51
Shosti hiyo Sodoma na Gomora wanaifanya
Africa kwa wanawake wajinga, mbona

hawaifanyi kwa wanawake wao wazungu?
Unaowaona kwenye movie za X wako
kazini
wanalipwa dola kwa malaki. Inasikitisha sana
kuona wanawake wa kibongo
tunaruhusu
watudharau kiasi hiki
Anonymous   |2010-04-01 19:35:40
Dada hat usiangaike nenda kwenye www.snglenet.com wamejaa tele na magovi yao,
maana awakatwi hao sijui mnawapendea nini .
Anonymous   |2010-04-02 12:08:04
unaishi dunia ya ngapi mbona weusi wengi hawajatairiwa?tena kuna baadhi ya
makabila tanzania hawatairiwi ,mie ex wangu alikuwa mnyakyusa wala halikuwa
hajatairiwa makabila mengi tu,
Anonymous   |2010-04-02 03:42:58
WOTE MSOMENI ANN 11.27,18 HUYO KASEMA UKWELI WOTE NA MWENYE MASIKIO YA KUSIKIA
ASIKIE MWENYE KUJITETEA KWA KUWA AMEOLEWA NA MZUNGU AKAE HIVYO LAKINI UKWELI UPO
PALEPALE.SISI WENGINE TUKO NA WAZUNGU MIZENGWE YOTE TUNAIONA NA NASHANGAA HAO
WANSEMA WAKO NA FURAHA KATIKA NDOA ZA KUOLEWA NA MZUNGU!! POLE SANA!!
NINGEWAELEWA KAMA MNGESEMA HIVI:

MNAVUMILIA KASHIKASHI ZOTE KWA SABABU NI
WANAWAKE WA KIAFRIKA MLIOFUNDWA KUVUMILIA TAABU.LAKINI KUSEMA ETI NI AFADHALI
MUME WA KIZUNGU KULIKO MTANZANIA, NAKUHURUMIA SANA MAANA WENZAKO WAMEOLEWA NA
WATANZANIA WANA NDOA ZENYE FURAHA.

PIA MKO NA WAZUNGU KWA SABABU MLIWAKIMBIA
KAKA ZENU NA MNAOGOPA KUTOKA HUKO KWANI MTAKUWA WAGENI WA NANI?AIBU NI KUBWA
MAANA ULIKOFIKIRI KUNA USALAMA NDO KWANZA KUNA MWIBA MKALI.SO UFANYEJE NA KARAHA
ZOTE UNAZOTENDEWA NA UZUNGU?NI KUVUMILIA TU NA KWENDA MBELE.

BINAFSI
NISINGEKOMALIA KUDHARAU KAKA ZETU KWANI ZIMWI LIKUJUALO HALIKULI LIKAKWISHA.ZILE
DHARA...
Anonymous   |2010-04-03 08:00:58
KWELI HIYO NDIYO HALI HALISI WANDUGU ZANGU TUKATAE TUKUBALI HABARI NDIO TEYARI
TUMEIPATA

AHSANTE DADA KWA KUTUPA UKWELI OTHERWISE MNAOONA MMETOKA BASI
ENDELEENI KUFEDHEHEKA.

SIKUKUU NJEMA
Neema   |2010-04-02 10:15:01
Kuna mchangiaji hapo juu anasema kuwa mlambe mwanaume kila kitu, ila usimpe
tigo.
Kwani nani kakwambia kulamba ni mapenzi ya kawaida? Kwa nini umlambe mtu
mauchafu yake? Kwa taarifa yako hata kulamba ni kufanya mapenzi kinyume cha
maumbile. Huo ndiyo ukweli. Mungu aliumba sehemu special za kufanyia mapenzi.

Hata iweje sitamlamba mtu na wala asijaribu kabisa kuomba hiyo mnayoita tigo.
Na kama wazungu ndiyo wataalamu kwenye mambo hayo, basi wazungu NO NO NO. Siwezi
kudhalilishwa kiasi hicho eti kwa sababu wazungu wana hela, eti
tuta-enjoy.
Poleni mnaofanyiwa uchafu na udhalilishaji huo.
Anonymous   |2010-04-02 11:36:44
speak for ur self dada,99 percent ya binadamu wanapenda oral sex si
wazungu,waafrica wachina,waharabu kama wewe hupendi kaa kimya
Anonymous   |2010-04-02 12:55:40
BIG UP NEEMA, HAPA TUNAELEWANA
Anonymous   |2010-04-02 12:58:04
Dada umesema kweli kabisa
Anonymous   |2010-04-03 08:02:59
MASIKINI HUYU HANA CHA KUONGEA HUENDA HUYU NDIO NITAMUIBIA MUME WAKE.

KAA
CHONJO DADA SIJUI MAMA FAGIO LINAKUJA
farida  - jibu   |2010-09-17 07:11:33
angalia usije ukafagia hadi ukimwi na kama unao unataka kuusambaza usifanye
hivyo kwani siyo vizuri ukiwashwa tumia hata gunzi
Anonymous   |2010-04-02 10:16:56
nilikataa kuolewa na shomile mmoja tena ana mihela kedekede jamani kaka anapenda
tigo yule nikawaza nikiolewa si ndo ntapewa talaka baada ya wiki kisa nimekataa
kutoa tigo lol! waume za watu weeeeeengi nao ni tigo tuu sijui hata kama wake
zao wanajua huku mnajidai mna ndoa takatifu makalio yangu! kama ni tigo kuna
wazungu walaji na kuna waafika walaji huo ndo ukweli wa mambo na wanaume wa
kibongo wameibuka sana kwenye ishu ya tigo asilimia 90 ni tigo tuu huwezi amini
ni balaa kubwa sitaki hata kuwaona wmafirauni wakubwa na nyinyi si mfanyiwe kama
tigo tamu sana?
Anonymous   |2010-04-02 10:40:19
Teh tih tah kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiii (nacheka hapa).
Kuna mchangiaji ametoa ya
mwaka kwa huyu dada anaweza kuwapata wazungu kwenye Internet, WAMEJAA KIBAO NA
MAGOVI YAO! My Gawd! Hivi hawatahiriwi kweli?
Sasa, unanyonyaje koni yenye
govi? Huu sio mwanzo wa kupata magonjwa yasiyotibika kweli.
Jamani mwisho wa
dunia unakaribia. Tutubu.
Anonymous   |2010-04-02 10:51:02
We unayesema wana magovi aliyekwambia weusi wote wametairiwa nani??? tembea
uyaone.
Anonymous   |2010-04-02 11:28:52
Unakubalije kuingiliwa na mwanaume mwenye govi? Kwani akivua nguo si utamwona,
unakataa.
Msifanyaje mapenzi wakati wa giza, mtanyonya magovi shauri yenu
Anonymous   |2010-04-02 13:21:26
Kuhusu TIGO, Huku ninakobeba box kuna siku coworker aliomba kuniuliza swali
akasema sina maana ya kukuofend lakini ni maneno huwa tunayasikia kwa wenzetu
wanaosafiri kwenda Africa na Philipines, kwamba wanawake wa Africa ukiwapa hela
unawafanya kinyume na maumbile,unachotaka ukimwambia anafanya? akasema kuna
wenzagu wanasevu hela mwaka mzima wafanye trip ya kwenda Africa au Philipines
nao wakayaone na kuyajaribu huo ufirauni, huku wanawake wa kwao iko off limit
huwezi hata kutamka hilo neno. Nilishikwa hasira, aibu, nikamjibu kwa sifa sio
Tanzania labda Africa nyingine. Kuja humu U turn naona watu wanasifiana
TIGO.HIvi kweli wanawake wa bongo ndio tumekua hivyo?? Siamini kabisa
ndombolo  - re:   |2010-04-02 15:38:21
:
Anonymous wrote:
We unayesema wana magovi aliyekwambia weusi wote wametairiwa nani??? tembea
uyaone.

usinambie???? :(
ndombolo  - re:   |2010-04-02 15:39:29
Anonymous wrote:
Teh tih tah kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiii (nacheka hapa).
Kuna mchangiaji
ametoa ya mwaka kwa huyu dada anaweza kuwapata wazungu kwenye
Internet, WAMEJAA KIBAO NA MAGOVI YAO! My Gawd! Hivi hawatahiriwi
kweli?
Sasa, unanyonyaje koni yenye govi? Huu sio mwanzo wa kupata
magonjwa yasiyotibika kweli.
Jamani mwisho wa dunia unakaribia. Tutubu.


wacha wee!
Anonymous   |2010-04-03 08:07:06
kutailiwa ni nadra sana aslimia kubwa MAGOVI

kengele mbili testi tofauti full
kuzalilishwa MWANAWANE ILA KIBINTI CHA KIBONGO KINAJIONA KIMETOKA KWELI KUMBE
MADHILA ANAYOYAPATA NI MUNGU ANAJUA
ndombolo  - re:   |2010-04-02 15:41:06
Neema wrote:
Kuna mchangiaji hapo juu anasema kuwa mlambe mwanaume kila kitu, ila usimpe
tigo.
Kwani nani kakwambia kulamba ni mapenzi ya kawaida? Kwa
nini umlambe mtu mauchafu yake? Kwa taarifa yako hata kulamba ni
kufanya mapenzi kinyume cha maumbile. Huo ndiyo ukweli. Mungu aliumba
sehemu special za kufanyia mapenzi.
Hata iweje sitamlamba mtu
na wala asijaribu kabisa kuomba hiyo mnayoita tigo. Na kama wazungu
ndiyo wataalamu kwenye mambo hayo, basi wazungu NO NO NO. Siwezi
kudhalilishwa kiasi hicho eti kwa sababu wazungu wana hela,
eti tuta-enjoy.
Poleni mnaofanyiwa uchafu na udhalilishaji huo.

:( :(
Anonymous   |2010-04-02 16:06:12
MANGE NAOMBA UWEKE TOPIC KUHUSU UBAYA WA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE (TIGO)
TUIJADILI NA KUELEWESHANA UDHALILISHWAJI WA MIILI. NAOMBA SANA MANGE UIPE UZITO
HII TOPIC. NATANGULIZA SHUKURANI
Anonymous   |2010-04-02 17:04:47
Aisifuye mvua imemnyeshea!! waliolizwa na wazungu ndo wanaowakandia, na
waliolizwa na waafrika ndo wanaowakandia.Kwa hiyo huyo mleta maada kalizwa na
wanaume 5 kwa nini asione watanzania wenzake/weusi hawamfai. Ana haki ya kugeuza
shillingi kwa upande mwingine wa pili.Kulizwa na wanaume watano si mchezo yaani
wote wamekula na kukimbilia mitini.

Ukipata zungu lala nalo dada lakini kama
walivyosema wengine kama ni mjuzi wa kusearch nenda kwa hiyo website ya single
utawapata wenzio huko wanalandalanda, bip unayemtaka kufuatana na masifa
unayoyataka maana si wazungu wote wana sifa za kufaa.Tuulize tulio huku
ughaibuni tutakupa ukweli usiofichika.
Anonymous   |2010-04-02 19:28:29
jamani mwacheni mwenzenu atimize ndoto zake,kifikra ameshajiwekea kuwa akiolewa
namzungundo atafaidi maisha ya ndoa, kwa maana hiyo hata akimpata mweusi mwenye
nia ya kumuoa na mwenye tabia nzuri bado hatotosheka. kwa wale mliosoma
saikolojia mtanielewa vizuri zaidi
Anonymous   |2010-04-02 20:11:13
Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeewe
Anonymous   |2010-04-02 20:19:34
Sasa nimepata
Wazungu TIGO kwa wanawake wao MARUFUKU, labda kwa machangudoa
ambao wanalipwa dola nyingi kupata hudumu hiyo.
Kwamba wakija Afrika k.m
Tanzania, wanawamega wadada TIGO kwa kwenda mbele. Kwa kifupi wanaweza kupata
huduma yo yote, kuliwa koni. Kisa: shida zetu za kifedha, kujirusha kwenye
clubs, misifa, kutaka urahisi wa maisha etc
Sasa hawa watu wakikuoa si itakuwa
unatoa TIGO kila siku au unalamba koni kila siku. Jamani kinyaa na unaweza
kupata kansa ya koo.
Jamani watoto wa kike tujithamini. Tusijishushe kiasi
hicho hata kama tuko maskini.
Anonymous   |2010-04-03 01:59:56
Dada wewe na mdau Neema hapo juu
asante sana kwa busara zenu.
Anonymous   |2010-04-03 02:06:13
Mwanamke wa kizungu kama hamjuani
ukamkonyeza unaenda jela, ukimpeleka
motel
hata kama wote mmeshavua nguo
akabadili mawazo akasema NO, inabidi
umwache
uvae suruali yako utoke, sasa
huo ufirauni wanaume zao watauanza wapi
Anonymous   |2010-04-03 02:13:37
Ulaya mwanamke mfalme,
Stripers wa kizungu unamtunza hela
hakuna kumshika,
unabaki unadondosha
mate.
Anonymous   |2010-04-02 20:34:41
Kwani ukiwa ughaibuni ndio una degree ya kuwajua wazungu?? wengi wako huko kazi
umbea tu na waswahili wenzetu hata muda wa kuwajua wazungu hamna.
Anonymous   |2010-04-03 12:18:56
acheni hizo magovi sio wazungu wote kuna ambao wametairiwa mbona wajita
hawatahiriwi wanadunda na soksi zao hao hamuwaoni sio eeh, na wanaume wa south
afrika nao wanaongoza kwa magovi so msijidai hamjui kuwa kuna waafrika wenye
magovi, na kama kula koni hata waswahili mtindo mmoja misenema ya x wanaiangalia
weee wakitoka huko wanataka na wao wafanywe ki x x mambo ya utandawazi hakuna
cha blacks ati hawafanyi vile sijui nini wao ndo mafirauni wakubwa wameibuka na
tigo utadhani wanalipwa yani ukiwaona hutodhania lakini ni wafiraji nambari wani
ni kuomba tu mungu akuepushie mwanamme mla tigo awe mweusi mweupe wote wana dudu
Anonymous   |2010-04-03 12:33:30
mdau hapo juu umenena watu waliopo ughaibuni kujifanya wanawajua wazungu kuliko
wazungu wanavyojijua wakati hawajawahi kujichanganya kwenye shughuli na hao
wazungu labda kupiga boksi na kurudi hm na mkiwa majirani hakuna anaekwenda kwa
mwenzie kila mtu na kwake sasa kujifanya ooh tunaishi nao nyoo kivipi??
kupanda nao treni au basi haitoshi sio mrushe watu roho kutwa mko na waswazz
wenzenu hamna lolote nimeona saaana hata miparty yenu wazungu hawajagi mna
madisco yenu ya blacks sasa kujidai mnawajua wazungu sio kivile sema
manafahamiana na wapopoo na sio wazungu
Grace   |2010-04-03 13:18:59
Hapa tusidanganyane. Kukaa UK, US haina maana mnawafahamu wazungu zaidi kuliko
watu wengine. Hapa watu wanataka kuonyesha mashauzi ambayo hayana mpango wo
wote.
Kuhusu TIGO au KULAMBA KONI, wadada waTZ wengi waliotoka au wanaotoka na
wazungu wanasema wanafanya michezo hiyo michafu.
Mwanamke anayejiheshimu, aliye
na msimamo, aliye huru hawezi kulamba koni wala kutoa tigo. Huo ndiyo ukweli
hata kama utawauma. Tamaa zenu au kujifanya kutaka kufanya mnataka mapenzi ya
kisasa mnayoyaona kwenye sinema za ngono ndiyo zinawafanya wadada wenzetu
mlambishwe hizo koni au mliwe tigo.
Mimi sitalamba koni ya mtu au kutoa tigo
labda niwe nimekuleweshwa au kufa.
Anonymous   |2010-04-05 16:34:07
hujui unachokisema dada ,funga tu bakuri lako
Anonymous   |2010-04-05 18:14:02
Unaonekana umeku-touched na aliyosema nini? Kama unafanya michezo hiyo, sema.

Kila mtu ana msimamo wake, hata mimi NO koni, NO tigo hata kama iweje. Lazima
niuheshimu mwili wangu. That's the fact.
farida  - jibu   |2010-09-17 07:36:36
na wewe funga kama unajua sana si unyamaze au utoe ushauri tu
Anonymous   |2010-04-03 13:27:24
Mimi namshauri huyu dada asitafute mzungu. Maana nimezisoma comments nyingi
zinaonyesha wazungu wengi (especially wanaokuja huko Bongo) si watu wazuri.
Wana-take advantage ya umasikini wa dada zetu na kuwadhalilisha. Inavyoonekana
huyu muomba ushauri kipato chake si kizuri, kwa hiyo wanaweza kumdhalilisha
halafu wakamwacha vile vile.
Halafu dada, kwani ni lazima uwe kwenye
relationship kama za huko nyuma haziku-work? Fikiria kuwa single. Labda Mungu
anakuepusha na majanga mabaya kabisa.
Fikiria kuwa single. Kuna watu wengi wako
single na wako happy. Sijasikia mtu amekufa kwa kukosa mwanamume. Watu hufa kwa
kukosa chakula, maji, hewa.
Hao wazungu watakuambukiza magonjwa yasiyotibika.
Anonymous   |2010-04-03 13:35:05
Kumbe tatizo la udhalilishaji kwa wasichana ni kubwa kuliko tunalolifikiria?
Lakini mbona baado wasichana tunakimbilia huko huko kwa wazungu? Nilikwenda
Zanzibar, Bwawani Hotel wakati wa usiku, ilikuwa ni aibu. Jinsi akina dada
walivyokuwa wanashikwa shikwa na wazungu. Jamani hapana.
Kuhusu kufanya mapenzi
kinyume cha maumbile, labda ndiyo maana wadada tuko bize kufanya kila liwezekalo
kuongeza ukubwa wa makalio. Mimi nafikiri haya mambo wakati mwingine
tunayatafuta siye wenyewe.
Mimi sidhani huyu dada anaweza kupata mzungu
anayejiheshimu kama anavyotaka. Utajuwaje siku za nyuma alikuwa wapi au alikuwa
anafanya nini?
Angalia sana
Anonymous   |2010-04-03 17:56:14
Wewe dada mleta zogo la kutaka mzungu umeleta kizazaa kwenye blog maana naona
watu wanamwaga radhi hasa humu hadi matusi pasipo sababu kisa kufikwa na yale
wachangiaji wametoa vitu halisia vifanywavyo na wazungu.

Leta nyingine watu
wazidi kuchanganyikiwa.Wenye kuolewa na wazungu ruksa, na wenye kuolewa na
waafrica ruksa, muhimu maisha tu basi.
Anonymous   |2010-04-03 19:22:23
Jamani hii mada ya wazungu imezidi humu ni kisa Da mange kaolewa na Mzungu au ni
nini???
kwanini hamna anayemtafuta mwarabu au mhindi au mchina kwani wao sio
wanaume????
au ni kwasababu hamna watanzania waliojulikana kuolewa na waarabu
au wachina???

Dada unayetafuta mzungu mpigie Muumba wako magoti akusaidie hapa
hapa utapata ushari na kupewa njia ya kuwapata hao wazungu but ukweli kuja
kuwapata ni kazi ndugu yangu kama hamna mkono wa Mungu hapo humpati nooo
utaendelea kulandaa wee hadi unashangaa umekuwa kibibi ukiwa nasubiri
wazungu

Pole sana kwa kutendwa lakini kumbuka wanaume wote ni sawa usipopata
right one atakutenda na kuumiza moyo wako tuuu

ushauri wangu muombe Mungu sana
akuongoze upate mwanaume right pasipokujali black, yellow, red, or white


nakutakia all the best
Anonymous   |2010-04-03 21:59:37
Wadau
Mimi nafikiri huyu dada atakuwa amepata ushauri wa kutosha sana. Sasa
akae chini aamue anafanya uchaguzi gani.
Ila comments nyingi zimeonyesha ni
jinsi gani wadada wenzetu wanaotoka na wazungu vitendo wanavyofanyiwa. Kuna
uhalisia wa vitendo vichafu baadhi yetu tunakubali kufanyiwa kwa kuendekeza
dhiki. Vitendo vingi vilivyoelezwa wazungu hawawafanyii wake au girlfriends wao.
Wanavifanya kwa machangudoa wa kizungu ambao wanalipwa fedha nyingi.
Sasa
iweje wakija Tz wawafanyie ufirauni wadada wenzetu? Jamaani tuwe wakweli kama
mwanaume anakupenda hatakuomba tigo au kukulazimisha kulamba koni while you
don't feel doing so.
Waswahili wanasema AISIFIAYE MVUA IMEMNYEA. Wadada wengi
humu wamedhalilishwa na wataendelea kudhalilishwa kwa taama za kupata
wazungu.
Pasaka njema
mathew  - natafuta mzungu     |2010-04-05 08:42:21
nilitaka kusema kwamba hao wasichana ambao wanasem wazungu ni wazuri
wanajidanganya. mimi pia ni mzungu, mtu ambay anakupenda nakukuheshimu hawezi
kuutenda vitu vibaya. we do all this sheet your are saying becoz this girls
makes themselves very cheap. wanataka pesa. what i would like to say is that you
have wait for the right time dont put urselves into rush and am lelling the
truth tanzania wanongoza kwakujiuza kwa wazung kuliko inchi nyingine katika
africa. when a white person marries a black ni kwamba anasababu zake, wengine
wanataka kupata vibali, wengine wanpenda kridhisha miili zao, wengine ni kuwa
chezea tu hao wasichana akimaliza shida zake anaondoka nakuwacha. jirekebisheni
wa dada. :whistle:
Anonymous   |2010-04-05 18:20:23
Mathew, baelezee.
Kumbe wadada wako cheap kwa ngozi nyeupe? That's the world.
There's no free lunch. If they want cash from the white men, they've to accept
doing the shit. No respectable woman or gal will do the shit these sisterz are
doing. That's cost of being lazy and wanting free riding.
mathew     |2010-04-05 08:43:24
GOT U LOL:
Anonymous   |2010-04-05 18:33:32
mhhh kumbe kulamba koni ni vibaya??? duh ama kweli!! me basi nimetengewa sehemu
special jehanam ... me siachi kulamba koni hata iweje maana me mwenyewe napenda
kulambwa nyapu... ila Tigo NO! niko na mzungu na hata siku moja hajawahi nitaka
nyuma ya maumbile. Kuna picha za X even blacks wanagawa nyuma so plz don't judge
the mzungus only!! kuhusu govi?? ni mtu awe msafi tu wala halisumbui..
Anonymous   |2010-04-05 18:35:09
JAMANIII ehee me wangu ana govi na halinisumbui hata kidogo. Infact he has the
best mojo i've ever seen
Anonymous   |2010-04-05 20:02:46
Hapa sikubali.
Tigo BIG NO. Kulamba koni NO WAY. Govi HAPANA. Mzungu SITAKI
KUSIKIA KABISA.
Tusizugane hapa hakuna mtoto hapa.
chausiku   |2010-04-05 20:10:56
Ruksaaaaaaaaaaaaa.
Anataka koni, nyonya. Anayetaka govi, endelea nalo. Anayetoa
tigo, gawa tu.
Tusitishane hapa sijui mimi niko UK, US. Uzushi mtupu
usioeleweka.
Tumieni kinga basi.
Mchungaji   |2010-04-05 22:27:41
Biblia imenena kuwa wanaume wabidi watahiriwe. Koran ndiyo kabisa hairuhusu
magovi.
Nyie mmaosema kuwa waume zenu wana magovi hamuoni aibu ni dini gani?
Lakini afadhali nyinyi mmekuwa wakweli. Mbona mlioliwa tigo hamjitokezi?
Acheni
tabia mbaya ya kugawa makalio. Ndiyo mnakwenda kwa wachina kununua dawa za
kuongeza tigo.
stellah  - stacey   |2010-04-16 07:19:12
omba tu Mwenyezi Mungu akupe Mume mwema unaweza ukapata huyo mzungu na akawa
CHAKA vilevile
Anonymous   |2011-01-15 18:04:40
niandikie natafuta demu mtanzania,nitakuwa africa karibuni
mdavid2@yahoo.com
oresta mallya  - replay nquate   |2011-06-07 16:18:11
:unsure: mmmh pole ila jaribu kuingia kwenye mitandao kama badoo tagdee na
kathalika uta wapata wazungu ni wengi ila jicheki na tabia ya
ko usikute unatabia mbaya pia mzungu akaishidwa poa
MercadoHannah  - respond this post     |2011-10-23 07:08:59
Make your life time easier get the personal loans and everything you require.
site submission services  - reply this topic     |2011-10-30 01:35:29
Manual web site submission supposes to be complicated. Hence, businessmen select
the website submission service. Experts are able to optimize your speed.
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook