Who's Online
We have 328 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6900
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6902
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53974
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933541
Login



JAMII FORUM YANICHAMBUA VILIVYO...LOL
Written by Mange   
Wednesday, 31 March 2010 00:29



Hawa wanaojiita ‘wasomi’ wa jamiiforums inaonyesha wameelimika kwa kweli.lol..

Sasa wametuma comments page 22 kudiscuss kama Mange Kimambi ni celebrity au sio.

u-celebrity bongo??? Who cares kwanza???u-celebrity gani wakati macelebrity wenyewe tunapigana nao vikumbo kwenye madaladala?kha!

Ingia humu kuona wanaojiita ‘wasomi’ walivyotumia muda na nguvu zao kunijadili kiundani….

http://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/57153-celebrity-mange-lowrey-kupata-mtoto-muda-si-mrefu.html

Comments
Add New Search
disminder   |2010-04-01 10:18:01
Inawakera eeeeh.
Nadhani wewe ndiye celebrity wa kufuatilia maisha ya watu.
Pole sana huwezi kucheza na hobby ya mtu.
Ben  - Pole   |2011-04-26 11:37:15
Mwembe unaopopolewa na mawe kwa sana ndio mtamu! :D
Jamiii na U-turn   |2010-04-01 10:43:48
.....Jamii Forums 4 LIFE.... U-turn 4 LIFE....
Anonymous   |2010-04-01 10:45:29
kwani wewe una tobo??alaa..kila mtu anamdomo je



ahahahahahaaha hebu nikabebe
boxi mieeeee nitamalizia kucheka baadae kwi kwi kwi kwi kwi kwi
jack pemba  - vice president     |2010-04-01 14:15:20
mange sikia dada angu unajua wewe huko juu sasa watu lazima wakutukane na
kukusakama hila ignore watu kama hao aliye juu ni waju tu na wa chini we subili
huko huko mpaka na wewe upande simple as that hahaha
Anonymous   |2010-04-03 06:00:49
WEWE NA WEEEEEE HEBU TUPISHE HAPA! PRESIDENT WA CHUPI ZA KINA NANIIIIIIIII??????
Anonymous   |2010-04-01 19:32:36
ETI WATU WA MIKOANI...MIKOANI MY FOOT! DAR AIN'T ALL THAT...I CAN'T STAND THAT
PLACE!

mimi siyo mpenzi wa jamii forum, ila habari ya kututukana siye watu wa
mikoani nani kawaambia siye tuna shida ya kuishi Dar. dar watu wana-struggle na
maisha mbona sana tu. i went to visit a relative dar kila akitaka kusonga ugali
anakimbia dukani kununua unga wakati siye kwetu mkoani kuna store imejaa magunia
ya mahindi, mchele, sukari etc. dar kila kitu unapimiwa kwenye kibaba, kila
mwanamke kajichubua, hewa mbaya, pollution kila sehemu.

U SHOULD BE GLAD KUNA
HIYO UBUNGO NA RELI YA KATI MAANA INCOME YA UBUNGO STAND ALONE IS ENOUGH TO FEED
YALL DAR HUNGRY PEOPLE PLUS KUWAGHARIMIA HIYO MIKOROGO....
Anonymous   |2010-04-03 06:20:11
U MADE MY DAY! WANGEJUA TUNAVYOKULA RAHA, WASINGE SEMA..... DAR KWANZA MJI
KUNUKA! YAANI MWZ NI BABUUUUU KUBWAAAAAA... KARIBUNI JAMANI MJIONEE WENYEWE. MM
DAR SIRUDI NG'OOOOOO
Aah   |2011-05-11 13:11:02
jaman eeh hata mim pia si mzaliwa wa hapa dar but nasema hv Dar is everythng,if
we have nothng to say abt we beta kip kwayat,kama kuna ndugu yako ulifka dar
akawa anafata unga kdogo kdogo dukan hyo n lfestyle yake.
Anonymous   |2010-04-02 09:15:41
mtu mzima jack pemba upo bizeeeeeeeeee unampa kichwa embu tulia kwanza nawe
hatukusikii sikuizi sijui uliishia wapi
Anonymous   |2010-04-02 09:21:09
nimefurahi sana naona huyo wa mkoani ameamua kuwatolea uvivu ila ni kweli
nakuunga mkono na mguu wanakumbuka kujichubua wakati hali ya hewa hairuhusu
matokeo yake wanashia kubadilika rani,,hivyo bsi ni vyema muwe mnachangia mada
husika nasikuwashambulia waklazi wa mikoani loh
Anonymous   |2010-04-02 09:23:42
pemba kafufuka na spd 120 kujitangaza upya
nkong'onta  - watu wa mikoani   |2011-08-09 13:16:47
jamani hata hao wanaojiita watu wa mjini walitokea mikoani
jamaniiiiiiiiiiiiiiiiii
aaai  - re:   |2010-04-02 15:53:51
Jamiii na U-turn wrote:
.....Jamii Forums 4 LIFE.... U-turn 4 LIFE....

u-turn 4 death!
Anonymous   |2010-04-02 21:27:24
mdau hapo juu umenena,

hivi kumbe kuishi Dar ni big deal eeh! mie nilikuwa
sijui.

hivi, have u ever landed Dar airport from overseas ukapokelewa na lile
fukuto, na vikwapa etc. yaani linavyokujaga ile ghafla unatamani urudi kwa
ndege.

mie nikishuka pale dar wala sikai, yaani napitiliza kwetu mkoani
where the real fun is, au sometimes nashukia KIA kabisaa....

after all wasomi
majority walioko Dar wanatokea mikoani, nani anabisha?
Anonymous   |2010-04-09 11:05:02
HAKUNA ANAEBISHAAAAAAAAAA SISI WASOMI WOTEEEEEE TUMETOKEA MIKOANI ESPECIALLY
MWANZA , KILIMANJARO NA KAGERAAAAAAA ; NA OLE WAKO UBISHE :angry:
Anonymous   |2010-04-03 12:45:35
MHHHHH
Anonymous   |2010-04-03 12:46:17
:cheer:
BOSS  - mhh   |2010-04-03 12:48:22
mhhhhhh :cheer:
Maggie   |2010-04-03 15:56:41
Mimi hapa ni born and raised in Arusha, I promised myself I will never ever
live in Dar hata iweje, naenda kusalimia ndugu na marafiki lakini i cannot
imagine kuishi huko, the weather is terrible, vurumai, halafu ni kitu gani cha
ajabu ambacho huku hakuna?? So to ya'll folks ambao mnaona kuishi Dar ni dili
sana nawaonea huruma sababu hamjawa exposed kwenye mikoa mingine mkajua mnakosa
nini. Niko Canada kwa muda sasa na kila siku naitangaza nchi yangu huku lakini
cha kwanza naufagilia mji wangu mtukufu A-town, as small as it may look, that's
a beautiful city right there, tena na ile accent yetu ya kimeru na kichagga we
ndio chati inapanda kwa kwenda mbele, nadhani watu watembee wajionee how big
poeople live kwenye mikoa mingine.
Anonymous   |2010-04-03 16:40:02
ME NEITHER, THANK YOU MAGGIE, NAWAKILISHA MY PEOPLE IN ROCK CITY. AFTER LIVING
IN THE USA FOR QUITE SOME TIME, I STILL DON'T SEE MYSELF LIVING IN DAR. YAANI
NIKISHUKAGA PALE DAR NAUNGANISHA SIKU HIYO HIYO MAENDA ZANGU MKOANI WHERE WE
DON'T NEED MIKOROGO TO BE ACCEPTED IN THE SOCIETY....
Anonymous   |2010-04-09 11:10:38
I AGREE WITH YOU 1000% EVARIST , THE BEST CITY IN TZ IS THE ROCK CITY WITH OUR
HUMBLE AND SALLING ACCENT WHICH ATRACTS ALOT OF TOURISTS, THE LAKE SHORE, THE
CREATIVE STONES, GOOD WEATHER, THE HOSPITALITY, UNIQUI HOTELS, HOT I MEAN IT HOT
CHICS, HONDSOME DUDES OMG
Evarist     |2010-04-05 18:25:37
Kwanza,pole dada.Pili,ukijadiliwa na kundi la watu ujue 'una-matter' kwao.A
nonentity would never attract a discussion about what they did/do.Tatu,Jamii
Forums ni mkusanyiko wa forums (za siasa,michezo,celebrity,nk).Japo waswahili
husema samaki mmoja akioza basi wote wameoza lakini pale JF kuna mkusanyiko wa
kila aina,tofauti na mahala kama bloguni.However,hiyo sio kusema naafiki
mijadala kuhusu watu badala ya ishu za muhimu.My point is,katika mkusanyiko kama
huo wa JF lazima kutakuwa na silika na tabia tofauti.
Just keep on
going,dada.You're doing a great job!
Anonymous   |2010-09-25 13:32:51
hahahaha wanakuchuza tuu,, wewe hauna lolote,, you are just Girl
thomas   |2011-03-04 03:06:14
mwanza ni mji mzuri sana ukifuatiwa na mbeya dar si kitu bwana asikudanganye mtu
lugelos  - kikwete na umeme ni mkakati wa kuiua tanzania     |2011-07-27 10:52:58
unajua ni kwanini wakenya walimpa kikwete phd. yeye ni bwege mtozeni in east
africa hajui kuwa akivuruga mfumo wa kugawa umeme tz anawafaidisha kenyans and
other east africans. hili ni shamba la bibi ndio maana wamalawi warundi,
wanyarwanda na wakenya na hata wazambia wanawezakupata uwaziri hadi ktk secta
nyeti kama fedha. kuna kitu hapa?
Hizbullah  - nyote wasenge   |2011-10-11 20:16:27
nyote wasenge :angry:
albert  - le gremah     |2011-11-16 11:27:47
albert  - MAIMU     |2011-11-16 11:29:10
never say never in this life
Babu Jinga  - jamii forum yanichambua vilivyo   |2012-02-05 14:34:44
Bongo nini bwana life iko Mikoani zaidi sana njoo KGM uone tunavyo
blingbling asikudanganye Mtu Dae ilikuwa enzi za UDA
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook