|
JAMII FORUM YANICHAMBUA VILIVYO...LOL |
|
Written by Mange
|
|
Wednesday, 31 March 2010 00:29 |
|

Hawa wanaojiita ‘wasomi’ wa jamiiforums inaonyesha wameelimika kwa kweli.lol..
Sasa wametuma comments page 22 kudiscuss kama Mange Kimambi ni celebrity au sio.
u-celebrity bongo??? Who cares kwanza???u-celebrity gani wakati macelebrity wenyewe tunapigana nao vikumbo kwenye madaladala?kha!
Ingia humu kuona wanaojiita ‘wasomi’ walivyotumia muda na nguvu zao kunijadili kiundani….
http://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/57153-celebrity-mange-lowrey-kupata-mtoto-muda-si-mrefu.html
|