Who's Online
We have 391 guests and 1 member online
  • Fleetaves
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6678
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6680
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53752
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933319
Login



PONGEZI KWA UTURN....
Written by Mange   
Sunday, 28 March 2010 22:01

Yes dada mambo vp?

kwanza nakupa pongezi za dhati kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuelimisha jamii, ki ukweli kwa hili unastahili BIG UP sana.

Jana nilikuwa naangalia ni kitu gani umetuwekea cha kuchangia, katika hayo kuna hili ulilouliza ni kwa nini Blogu yako imekuwa inapata watu wengi kila uchao.binafsi nina sababu nying tu lakini nitaelezea hizi chache ambazo mi naona ndo za msingi.

KWANZA: Mambo unayoweka humu yanaigusa jamii moja kwa moja na ni matukio yanayotokea kila siku;ama ndani au nje ya nchi bila woga wowote.

PILI:.umeweka uwanja mpana sana wa majadiliano au michango toka kwa wadau bila kuharibu mada iliyopo na hapa pia napenda kuwapongeza sana wadau wa blogu hii.kwangu mimi ubora wa blogu unaonekana kwa wingi wa comments tena karibu zote zikiwa zimekwenda shule.na pia ipo zaidi kwa matukio yanayowagusa hasa vijana kila siku.

Mwsho naomba nisaidie ni jinsi gani nami pia naweza kutoa comments kwani nimejaribu lakini naona sijafanikiwa.

NAKUTAKIA KAZI NJEMA

Mdau

James.

N/B nipo online.

Comments
Add New Search
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook