|
MWAMVITA MAKAMBA AHIMIZA WANAWAKE.... |
|
Written by Mange
|
|
Thursday, 01 March 2012 23:15 |
|

Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba,akiongea na wakina mama wa Kijiji cha Mererani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mara alipofika kijijini hapo kutoa mikopo ya kifedha kwa vikundi mbalimbali vya kinamama,ambapo urudishwa kwa njia ya m-pesa bila riba,Mikopo hiyo huendeshwa na Mfuko wa kampuni hiyo MWEI kupitia Vodacom Foundation,zaidi ya kinamama 108 walifaidika na Mkopo huo wa kiasi cha Shilingi Milioni tisa na laki saba,(9,700,000)

My girl Mwamvita,akimshuhudia Glory Muro, wa Kijiji cha Mererani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,akisaini nyaraka za kupewa mkopo wa kifedha inayolenga kuwakomboa wakinamama hapa nchini, Huduma hiyo

Mwamvita akiwa na kina mama waliofaidika na mradi wa Mwei..
aaawww, im super proud of u my girl...hugs..

wanawake tunawezaa....
|