jamani mbona huyu atanifanya nitamani kumuache baby yangu kabla sijamuonja jamanani, baby yangu jamani. natamani matako mazuri kama haya, uwwiiiiiiii bebi nikufanyie nini ?????? black berry? nadhani nina suprise nzuri zaidi ya blackberry. najua hauna usafiri nitakuletea e-vogue mtoto wa kipare,, na mtoto wetu kenzo tutamtafutia dada mwingine akisubiri kwend akwa baba yake,
offtopic,
naskia kuna shangingi fulani la manchester limeanza kufuata mabwana za watu houston marekani, anaambiwa akome, akirudi tena huko kufata mabwana za watu atakatwa miguu,
LOL KOKU. MI MWENYEWE NILIDHANI LABDA SIONI VIZURI. SIJAONA PHOTO OF THE DAY" SIKU NYINGI AU WATU HAWATUMI TENA PICHA ZAO, NAONA UTUNERS MNACHAMBA WATU MPAKA WANAOGOPA LOL
HOUSTON KUNAWANAUME GANI WAKUWASAFIRIA. WANAUME WA HOUSTON WANALELEWA NA HAWANA HESHIMA HATA KIDOGO . KUNA MKAKA KAFA NA UKIMWI ALIKUWA ANAKAA HOUSTON ALITEMBEA NA WANAWAKE KIBAOOO . AKARUDI BONGO NA AMEKUFA JUZI . HOUSTON WANAWAKE WAMEBAKI HAAAA
i am so horny today baby, i dont know what to do, i need you so bad, with kenzo besides us. i guess your hubby atatuma mtu tena atupige picha na sura yako ikiwa imependeza huku nikikukumbatia my aby jamani, you are the best hing ambayo nimewahi kushika jamani, napandwaje na nyege woooooohh, ngojeni niende bafuni nikajitolee nyege zangu,, $2000 na gari ipi unapenda zaidi?
This is rather ridiculous, I mean are you turning this blog in to a porn site or what?? I mean there is nothing wrong mtu kua na nyege ni kitu cha kawaida kwa binadamu, kwa sababu kila mtu mzima ana nyege. ila sasa kila mtu akianza kuandika nyege zake humu na anaenda bafuni kuzitoa au kufanyana na bwana ake sasa patatosha hapa kweli, hii blog si itakua porn site!!
Plus hiki ni kipindi cha kwaresma jamani.
inawezekana kuwa kweli si baby ya Mange kaandika hapo.hata mimi nimegundua kuna watu humu wanatumia majina ya watu kutuma comments,mfano mi niliandika rafiki ya mke wa mzungu kwenye Theo's mahari kesho yake nakuta micomments kutoka kwa rafiki ya mke wa mzungu wakati haikuwa mimi!kwa nini usubiri mtu aanzishe jina lake humu alafu wewe ulitumie kuandikia umbea wako?kama huwezi kuwa anonymous basi buni jina lingine.
BABY YA MANGE NA VIHEREHERE WENGINE SASA HIVI DAWA YENU TUMEIPATA,MTU UKIWA KIMBELEMBELE DAWA NI KUTUMIA JINA LAKO KU POST COMMENT ILI KUKUPOTEZA...NADHANI NIMESOMEKA ENDELEENI.
MANGE USIBANE HILI TANGAZO KWA VIHERE HERE WA HUMU
hata Obagi zina hydriquinone up to 4 percent.kwa hiyo anayetumia Obagi na carolight mambo ni yale yale ya skin whitening kama Mange anavyozidi kuwa mweupe kwa hayo ma hydroquinone
kweli mange kama usemavyo education is sex hata Trya Banks na ubusy wote na pesa alizonazo bado kaweza pata mda wa kusoma na kugraduate Harvard business school.endelea kuwapa moyo wasichana wa kitz
mstaarabu
- Ushauri wa bure kwa the true baby ya mange
|2012-02-23 22:46:38
Kusema kweli watu wanaboa sana wanavyofeki identity za wezao kupost comment. Kama umeshindwa kuwa creative kunywa maji ulale sio lazima uposti humu.
Baby ya Mange mi nakushauri umtumie Mange email na umpe secret code yako akiona comment yenye jina lako bila hiyo secret code asiposti. Huyu mtu anayekuiga ni mpuuzi sana hata andika yake tu tunajua sio wewe.
Kuwa mstaarabu mwanadamu.
hahahah !! wear push up bra, I think u don know what r push up bras !! coz hiyo "blauz" siyo ya kuvalia push up bra mwanakwetu....!! but I think u meant bra ya kufanya maziwa yasimame !!
utajibeba kwani we unatakaje, atoke nayo au asitoke nayo, mwenzio yuko ulaya we unaungua na jua si la wapi kwa hapa TZ. mwone kwanza ndio nyie kufatilia nani kavaa nini na wapi. IDIOT
KUNA KAKA MMOJA NAMJUA ANAISHI HOUSTON MAREKANI NI MTANZANIA AMEMUOA MTOTO WA KICHAGA BOMBA LAKINI KUNA WAKATI WEMA ALIKWENDA MAREKANI AKATEMBEA NAYE ATA KWENYE MITANDAO WALIWEKA HABARI ZAKE !!!!!CHEZEA HANDSOME BOY!!!!
wee uliejifanya kunijibu wakati hujui lolote u better shut up,bra yoyote inatakiwa kufanya nyonyoz zisilale, push up bra zina nguo zake za kuvalia sio everything, kama hujui uliza kiustarabu ueleweshwe, hujui alafu unajifanya unajua!!
Mange kwa kujipendekeza kwa watoto wa wazito hujamabo.Mange bora mumtaftie Debbie mzungu na yeye na umshauri arudi shule maskini waliletwa London wadogo yani wazazi wengine wanapesa za mchezo kweli mtoto mwenyewe shule hajamaliza kashazalishwa bora angebakia tu huko bongo
mh mpangilio uko fine ila hcho kidude cha chinni kama sio mahala pake as in material yake sio cz imechora poonani kichizi i think material flani ngumu kidodo would make it right na hilo nyonyo nalo mh mh
MANGE SAWA TUMESHAMUONA BABY WAKO BASI TUWEKEE UPDATE NYINGINE,,,YANI MAPENZI YENU NYIE WAWILI NDO HATUPUMUI KILA NIKIINGIA HUMU MAMA JOJO BABY YA MANGE PLZ GIVE US A BREAK