MPUUZI MKUBWA WEWE, KWANI KAMA HUNA LA KUCOMMENT LAZIMA UANDIKE KITU HAPA? KAMA WANANUKA UCHI HATA WEWE ULINUKA UCHI LAKINI MAMAKO ALIKUSHIKA,MSONYOOOOOOOOOOOOOO,WENGINE WANAWATAFUTA WAWAPATE WEWE UNAANDIKA UPUUZI HAPA.
MWACHENI TU AONGEE! UNAJUA NDUGU KWA KINTWA TUNA BARIKI NA PIA KUAANI? MUOMBE MUNGU. YAELEKEA BADO HUNAN WAKWAKO, MIMI NILIKUA NSOGOPA KUWASHIKA NIKIDHANI NITAWANYOFOA KIUNGO VILE NI WALAINI! LAKINI SIKU NILIMUONA WAKWANGU NILI DEMAND NIMSHIKE KABLA HATA HAJASAFISHWA! UKISHAMUONA MWANAO DEAR HUTAONA ICHO KINYAA?? NA KAMA WEWE NI MWANAUME! WANAUME WENZAKO WANAANGUAGA VILIO...... THAT IS THE BEST DAY OF EVERY PARENT'S DAY. MI NAKUOMBEA UPATE WAKO NA USAMEHEWE KWA MANENO YAKO.
Hongera Adelina, sio wengi ambao wako na roho ya uvumilivu au sijui niite roho ngumu??? yaani kama mimi ningezimia kwa wasiwasi, nina uoga wa ajabu.Naamini mungu ndio aliyempa Ade ujasiri katika hiyo dakika.
Mungu na aendelee kukutumia Ade,
MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU, WACHENI MUNGU ATUONYESHE MAMBO KUPITIA KWA HUYU MDADA, TULIMSEMA MABAYA MNOOOO, SASA MWENYEZI MUNGU ANATUONYESHA KUWA ANAMPENDA NA AMEMCHAGUA,NA ATAFANYA MAKUBWA YA AJABU HATA ZAIDI YA HILI.
MIMI NI ASSISTANT NURSE ILA I AM SORRY TO SAY INGETOKEA SITUATION KAMA HIYO (NJE YA HOSPITALI) NINGECHANGANYIKIWA.
Oooh jamani Adelina mungu anataka kukuambia nini? jana umelia sana kwenye msiba wa mtoto wa miaka 6, umesikitika sana, jana hiyohiyo ukaenda kumzalisha mtu.Nafikiri mungu anataka kukuambia usikate tamaa kwenye maisha, tunapopotelewa na wapendwa wetu sio mwisho, ni kujikaza na kusonga mbele, yote tumuachie mungu.
Jambo kama hilo haliwatokei wengi.UBARIKIWE,mana nasikia huyo uliyemzalisha ni jirani tu anakaa nyumba ya bati.HIYO NDIO DINI ILIYOSAFI MAMA.INGEKUWA MWINGINE WALA ASINGEGONGEWA HODI KWA MARINGO YAKE AU ANGEGONGEWA ANGECHUNGULIA DIRISHANI AKIMUONA MASIKINI ASINGERESPOND.
We kikojozi unaedai vichanga vinanuka uchi we ulitokea kwenye mku**u? hebu kanyoe mavu** yako kwanza, tibu majipu, tibu fangazi zako then unaweza kuongea watu wazima.
MALAYA MBWA WEWE UNAZANI WE ULIZALIWA MTU MZIMA ALIYEKUAMBIA WANANUKA NANI??AU NI HOU UCHI WAKO UNAVYONUKA UNAJUA ATAKAYETOKA HUMO ATANUKA FALA WEWE!! AU ULITOKE MKNDN???CHUKIA HILO LISIMI LAKO LEFU KAMA KAMBA YA KUANIKIA NGUO
WE TUNU MAVI ACHA ROHO MBAYA, MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI, ADELINE AMEFANYA KITENDO CHA KIJASIRI SANA, WALA SIO KUSEMA WANATAFUTA SIFA.
UNASEMA TUONE WATAFIKIWA WAPI, HAYA WEWE ENDELEA NA ULE UJINGA WA ALIYE JUU MNGOJE CHINI, UTANGOJEA HAPO HADI UZEEKE MWENZIO ANAZIDI TU KUPANDA JUU.
Wow Adeline, congrats for having such a strong will and doing what you had to do! Such a remarkable story...jamani, I hope the parents will name him "Adolf" LOL, something close to "Adeline" hahahaha, this was an awesome story!! I hope there is more media publicity about this act of heroism!
Duh hongera mno tena sana..maana mwanamke akiwa kwenye hiyo situation ni balaa...mie binafsi sitaki hata kuisikia i prefer kujifungua kwa operation..sasa wewe sijui uliwezaje kum-handle mama mwenye hali hiyo..Hongera kwakeli..na Mwenyezi Mungu akuzidishie kwakweli ni wachache wenye Moyo kama wako..!!
that is typical "kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani! miss english dictionary, did u get the message? to me looks like u did, that is why u even commented...but why could someone be so naive to point some weakness forgetting abt heroic act on set?in some cases to dis someone is an awkward thing! English is not our mother tongue, if you are very good in English why didnt you comment in english fully? dont u think as third language to many, (to me it is 4th language) we are likely to make mistakes since the language is foreign.
BTW, HONGERA ADELINE. WE HAVE LEARNT SOMETHING. YAKIKUFIKA, WOGA UNAKUTOKA, YANI MUNGU NI WA AJABU NA NDO MANA ULIPATA UJASIRI.
Thats amazing..Wow! U did something that anyone wud be scared to do it out of hospital..
The new baby is cute n healthy..God bless him..Ade if u gonna have a boy they will be true friends with the new one,coz it like u n ur lil angel did this job..
Mbona mwazuzuka na kuweweseka bure na lugha? Kipi cha ajabu? Mbona hao mnaowababaikia hawajui lugha yetu ya Kiswahili na hamuwacheki? (We sail in the same boat guys!) Mishipa ya shingo imewasimamaaaaaaaaa khaaaaaaaaaaa
Take it easy..........
jamani ade sikujui hunijui but u amaizing mm jamani ningezimia kwanza yaani mtu akishikwa na uchungu ile kumpeleka tu hospital huwa naogopa na siendi peke yangu lazima nitafute escot na kama kuna rafiki au ndugu yangu anakaribia kujifungua mm ndo huwa nakosa usingizi kwa uoga Ade u r a HERO koz kusema kweli ss watoto wa mjini mambo kama haya huwa hatuyawezi kabisa lakini huu ujasiri ni Mungu kakukirimia be blessed more n more na umtukuze Mungu ili aendelee kukuweka juu mamito
Hongera Ade yani i was imagining if i was faced with a similar situation ningereact vipi uwii maybe ningekimbia maybe ningelia maybe ningeduwaa uwii maybe Mungu angenipa nguvu ningemdeliver thou i dnt know how. so in short it takes a courageously person to do that and it was also by the will of God Adeline was able to do that so for me i give all praises to GOD for giving Adeline such courage and strength to help a fellow woman deliver
huyo aliyesema watoto wachanga wananuka uchi, akafirane huko! anadhani ye alivyotokea mkunduni ndio wote tulitokea huko! nyoooooooooooooooooooo msonyo uwe na adabu mwana kuwashwa wewe mchambia upupu! pumbavu zako, umeniharibia cku! ungekuwa karibu yangu ningeku kwanza nani alikwambia uchi huwa unanuka, au we una utoko mwenye nyapu ka banio la ugali. umenikera sana!
Anayesema vichanga vinanuka uchi labda yeye alipozaliwa mama yake alikuwa ananuka uchi na ninahisi mpaka leo bado ananuka uchi, mjinga mkubwa. Hongera Ade na hali yako lakini hukukaa nyuma. Mfano wa kuigwa wa kibinaadamu
Baby ya Mange thats all you could see ni kingereza cha work report kwenye post ya Adeline? watu mnavituko. haya bwana wenye vingereza vyao rekebishaneni. i dont see a problem ya mtu kwa na language preferences akiamua kuandika getto language sijui report language au atumie any other form for that matter kwa lugha yeyote kichina, kighana, kichagga, kingereza, kiswahili whether broken, complicated or not thats someones choice hujaelewa tafuta interpreter.
nilimalizia sana hadi nikauliza kama alishawahi kuwa midwife na nikampa hongera zake ila nashangaa comment imekatwa baby wangu anawivuuuuu saaaaana anafikiri minaweza kumpenda ADE
Hongera Ade kwa Ujasiri ..Yalinikuta kama hayo kwa namna nyingine Mdogo wangu alishikwa na uchungu halafu mdogo yaani nilikuwa nalia na kutetemeka mimi mpaka namfikisha Hospitali nalia Wauguzi wananishangaa niliogopa mno sikuwa na Ujasili wowote kabisa ..Du wewe umezalisha Big up Mama
There are some people here their mind is so full of fu*****
shit,who do you think you are to say babies smells and so full of other stupid shit,That's God creation you are talking about,what are you going to do with your own baby????
And you ! another "IDIOT" what different does It make,"boy"or "man" the point is you understood the whole story and don't try be grammar checker,coz English is not our Language ,we just learned it and we like using it,people tuache chuki binasfi kama mtu kafanya kitu cha msingi haina haja ya kucomment ujinga,pia fikiri kabla ya kutenda,
JAMNI HUYO ANAENDIKA MTOTO ANANUKA UCHI ANA AKILI TIMAMU? MANGE HUKUSISIMKA ULIVYOIONA HIYO COMMENT? HUYU MTU ANAFIRWA KWA SIKU MARA SABA YE KATOKEA WAPI LABDA? ANAMTUKANA MAMA AKE HAPO HAJUI...ULAANIWE NA KAMA NI MWANAMKE HUJAZAA MUNGU AKULAANI USIZAE SI UNATUKANA WANAWAKE....KAMA NI MWANAUME UPATE MAJIPU KWENYE ZOMBO ISISMAME HADI UFE..NA UWE SHOGA UMKONYEZE HADI BABA AKO...SHWAAAIN WE ULIESEMA MTOTO ANANUKA UCHI WE UKE WAKO WANUKIA GUCCI RASH?samahanini kwa maneno makali nimepata hasira na huyo mtu....japo si mjui..
Huyo shetani anayesema watoto sijui wananuka nini wakizaliwa, yeye alitokea wapi?ashindwe kabisa pepo hilo, siku nyingine Mange comments za kisjetani kama hizo usituwekee kaniudhi sana ukizingatia miye mama wa watoto wawili. Pambafu zake
We unayesema mtoto mchanga ananuka kuma huna akili mshenzi kabisa we ulitokea mdomoni??????????? hivi kuna ulazima wa ku comment??????? na usipoangalia kwa maneno haya mungu anaweza kukunyima mtoto ukahangaika mpaka ufe. mjinga sana mxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
WOW MANGE TXS FOR ACKNOWLEDGING WHAT I DID BUT NAPENDA PIA KUSEMA KUA SIO MIMI NIMEFANYA NI KAZI YA MUNGU MAANA NILIKUJA KUJITAMBUA BAADAE SANA KITU KILICHOTOKEA, NAOMBA NIWAPE STORY ILIVOKUA.
MIMI NILIKUA NIMETOKA MSIBANI KAMA MLIVOONA KWENYE FACEBOOK YANGU,NA HUO MSIBA ULINIGUSA SANA SANA NILIKUA SINA NGUVU NA NILIKUA NATAKA TU NIMUWAHI MWANANGU NYUMBANI.
NILIPOKARIBIA NYUMBANI NIKAPISHANA NA KIJANA MMOJA ANALIJUA GARI LANGU AKANIITA "DADA LINA NAOMBA UNISAIDIE", BASI NIKASIMAMA MAANA HICHO KILIO HAKIKUA CHA KAWAIDA. AKAJA AKASEMA MKEWE MJAMZITO ANAUMWA UCHUNGU, NIKAMUULIZA UNAENDA WAPI, AKASEMA NILIKUA NAENDA BARABARANI NIKAITE BAJAJ, NILISKIA MWILI UNANISISIMKA MAANA UCHUNGU ALAFU UPELEKWE NA BAJAJ? JAMANI HAPANA!! NIKARUDI HOME NIKAMWELEZA MUME WANGU AMBAE ALISHAURI TUWAITIE TAXI TUWAPE NA PESA, NIKAONA NI SAWA MAANA NILIVOKUA NIMECHOKA. BASI NIKAITA TAXI NIKAMWAMBIA AJE KWANGU, MIE NIKAENDA NA HUYO KAKA MPAK...
he! mama yani mtu amekusimamisha barabarani kuwa mkewe anaumwa uchungu ukaona ufike kwanza kwako umuage mumeo halafu ndo uende kumuona huyo mama alieshikwa uchungu??we simzazi unajua uchungu unashika vipi?hhhm makubwa kwanini usingeenda kumuona kwanza au usinge mkimbiza hospitali kwa gari yako...na kumpigia mumeo simu u have jus put smthing else on my mind nways its so risky kwakweli kumzalisha mtu nyumbani minaona hapo wakumshukuru ni Mungu.
ACTUALLY NILIENDA HOME ILI MUME WANGU NAE AJE NA SIE HUKO MWANANYAMALA MAANA MTU MWENYE UCHUNGU NIENDESHE MWENYEWE MPAKA MWANANYAMALA SIKUJUA KAMA TUNGEFIKA, NILIKUA SIENDI KUOMBA RUHUSA MAANA MUME WANGU LAZIMA ANGEELEWA TU ILE HALI ALAFU PIA HATA MIMI NILICHANGANYIKIWA SO NILITAKA ADVISE TOKA KWAKE PIA
nanukuu baadhi ya maneno yako kwenye facebook:-
1.) nyumba ya mabati
2.) ukaenda nyumbani kwanza kumwambia mume mkaona bora muwalipie taxi manake ulikuwa umechoka
*ila yote tisa lakini kumi ulijirudi ukaingia ndani na kufanya ukunga.
We nyambafu aliyekuambia uchi unanuka ni nani? Uchi wako wewe ndo unanuka na unatakiwa ukaonane na daktari wa magonjwa ya zinaa. Tangu nimezaliwa sijanuka uchi, sana sana wakati wa MP ni ile damu tu na kwa kuwa najisafi hata huwezi kusikia hata mimi binafsi sisikii. Na nikimaliza tu najisafi na wala hakuna harufu mbaya, naa wala sijawahi kutumia ndimu wala eti sabuni maalum za kuosha lulu yangu. Sasa wewe badala ya kufurahia ujasiri wa Adeline kuokoa maisha ya huyu mama na mtoto kwa kipindi hiki kigumu cha mgomo wewe unaleta mambo ya ukware. Huna akili wewe, ubongo wako kama wa konokono, nenda milembe ukaishi kwa vichaa. Keep up mama S-Rose. Mungu akujalie utakapojifungua awe ni kudume tena usisikie uchungu kabisa, no complications mama. You made my day gal.
Adeline naomba umalizie story space ya u turn haijatosha kuchukua maelezo yako yote nahamu ya kujua mwisho wake.... Hongera na kwa Mumeo Ken pia kumbe ni wote milishauriana your such a blesed family watu walisema sana watajicarrije ni Mungu huyo anawatumia aisee God is great twendeni mbele turudi nyuma our god is so so so very great.
Mange kama wewe hukati comment mwambie Administrator wako afanye editing kwenye hii software atoe limit aiweke iwe open hata mtu akitaka kujaza page kuliko kuweka limit.....Ndio maana comment zinakuja nusu!
mnakazana wamwite ken sijui adel upuuzi mtupu mnadhani hao wazazi wa huyo mtoto wanaisoma u-turn au huko facebook!!! au adelina ameombwa awachagulie jina???
Kwa wale wote ambao mnacheka Kijichi kwa taarifa yenu kuna nyumba ziko karibu na bahari, kumejitenga vizuri na watu wamejenga mabangalow. Viwanja vimepimwa na kuna hata nyumba za Bank huko. Kama hamjui sehemu nyamazeni kimya, inawezekana huyo kijana anakaa nyumba ya mabati akilinda kiwanja cha mtu mwenyewe bado hajajenga. Na kama sehemu nyingine ziko nyumba bado za wenyeji ambao walijenga mapema kabla watu hawajajua kuwa Kijichi ni kuzuri. Tatizo mkishafika Ubungo au Relwe Stesheni mnaishia kwa jamaa zenu hata mji hamuujui.
Next time Adeline usikurupuke, ulikumbuka kuvaa gloves au ndo imani tu hali mbaya aisee. Lakini hongera kwa kazi uliyofanya. Usisahau kumfanyia na shopping kidogo.
Hongereni kwa kumzalisha mama huyu, hila jamanii mngetumia ustaarabu, mngemuogesha kwanza huyu mtoto ndio mumpige picha, hivyo mnamdhalilisha sana, hapa anaonekana wazi kuwa mtoto bado mchafu, msifanye hivyo plsssss.......na huyo anayesema mtoto wa cku tatu ananuka uchi akome akome kama alivyokoma kumchungulia mama yake na baba yake wakilala. Tena narudia akome, kama yeye alinuka sio wote wanaonuka harufu ya kitu kama hicho....koma... Carren
we nawe hunatofauti na huyo aliyesema anaogopa watoto aliyekwambia mtoto akitoka kuzaliwa anaogeshwa nani??mtoto huwa anafutwa futwa tu then watu wanaendelea
I see Ade nimesoma stori yako yote,kwa kweli inabidi kumshukuru Mungu saaaana maana ingetokea tatizo u would have been in for it!! I wish nijue mtoto na mama wanaendeleaje !! duh !!