Who's Online
We have 383 guests online
MOMMY SHIDA YA MAJI BONGO ITAISHA LINI???
Written by Mange   
Tuesday, 31 January 2012 20:24

 

Spotted,Kenzoki akielekea bombani kupanga foleni ya kuchota maji….LOLEST….


Comments
Add New Search
mkwe   |2012-01-31 14:33:28
Nimeshindwa kucheka.
By the way kenzo akikua nimeshamuwahi.
Anonymous   |2012-01-31 19:14:35
karibu bongo dogo..hapo bado umeme.
Anonymous   |2012-01-31 14:37:33
Jamani mtoto wa kizungu huyo hemu mrudishe kwao jamani ,rangi yake ishaanza
kupauka kwa jua letu lisilokuwa na vipimo, babake akiiona hii ataijiwa na
mapolisi LOL
kicheko   |2012-01-31 14:49:00




. NIMEIPENDA HII
PICHA MPK BASI. MANGE IKUZE UMUWEKEE. WAT A LOVELY BOY ANAONYESHA MAPEMAAAAAAAAA
KM ATAKUWA HARD WORKING
Anonymous  - baba ya kenzo   |2012-01-31 15:04:35
loh mwanangu nakuja kukuchukua shida ya maji bongo haitaisha uwiii usijekuwa
bounsa buree
Anonymous   |2012-01-31 16:12:20
MANGEEE NAPENDA UNAVYOMUACHIA MTOTO AJICHANGANYE NA HALI HALISI YA KWAO,SI
UZUNGUNI TU MAMA YAKE KAKULIA MBAGALA SASA SHIDA IKO WAPI......KENZOOOOOOO LOVE
U HUN
LANCE LOWREY   |2012-01-31 16:21:40
Kenzo jembe langu ni lazima uzoee maisha ya hali zote,leo tunacho kesho hatuna
utakuwa unamsaidia mama yako kuchota maji,wewe kweli jembe la ukwee kijana
wangu,mama yako anakulea vzr sana,lkn nimewamiss sana.
koku   |2012-01-31 16:28:36
hahahaaa mange acheni kumkomaza mtoto. tayari na ndoo
ya maji. kenzo utajutajeeeeee na maisha ya uswaziii
Anonymous   |2012-01-31 16:34:41
Mange mange usinichekeshe mie loooooooooooo huyu mtoto jamani na ndoo ya maji
wamarekani wakikuona unafanya hivi hii ni abuse dear,but you know what napenda
unavyomuachia Kenzo azoee maisha ya bongo,mie mwanangu kama kenzo mix nilikuja
naye bongo loooooo hakutaka kuondoka freedom sio huku ulaya tunawafungia kama
kuku,enjoy baby Kenzo kabla ujaondoka bongo,and for you Mange well done kwakazi
nzri unayofanya endelea na upendo huo achana na cl siumejionea,.
Anonymous   |2012-01-31 17:38:17
Jamani baby Kenzo amekuwa mkubwa mashallah!

Hivi Mange jamani umefanyaje mpaka
viatu vimekaa mguuni kwa Kenzo? Mie baby wangu ana miezi 22 lakini kandambili
haikai kabisa, ukimvisha anatupa labda viatu vya kutumbukiza. Yaani nimecheka na
hivyo viatu vilivyokaa mguuni kama mtu mzima na ndoo alivyoibeba jamani
utafikiri anakwenda kisimani.

Kenzo wasikuzingue hao kwa kuwa wamekuona wewe
Mzungu hebu waulize wakuonyeshe wanaume wengine wanaochota maji wako wapi?
Wanaume wa Bongo hawachoti maji bombani wanasubiri wake zao au dada/mama zao
wachote maji wao waoge, sasa viweje leo wakuchoteshe maji? Aku babu wakutue tupe
kule hiyo ndoo yao! Waambie nitafanya kazi za ndani nikifika huko ambako wanaume
wanafanya kazi za ndani bila wasi wasi hapa mnataka kuniita "Bushoke"!!
mdau  - mmmh   |2012-01-31 17:54:21
Jamani kama unavyo jua watoto point 5 huwaga hawataki shida kabisa dah! huyu
atakuja kua kama P funk majani au Mwisho walah tena fanya mrudi Mtoni.
baby ya Mange   |2012-01-31 19:09:00
aw,wat an adventure...baby i really like this kind of life jamoniiii,,,i find it
sweeet sijui hata kwanini,,baby minataka siku utuoneshe unapika ugali or mboga
like mnanyonyoa kuku halafu mnapika kwenye kuni sijui umejifunga kanga yani
other side of the world ntafurahi saaana...plz baby!!bby wallahi natamani
ningekuwa bongoooo kababy Kenzo kako shooo cutie jamani kanaamani zake kenyewe
yani wala hataki hata mambo ya dubai tena kesha sahau so sweet..
baby ya Mange   |2012-01-31 19:14:10
baby the more i get to know u the more i keep on fallin in love with u...trust
me baby ur so cool and so real i swear to my living God..which is so nice..i
just feel so comfotable with u..now!!aww...i can even dare taking u to my
village huko morogoro ndani ndani same as me baby take me anywher u want sijui
huko upareni kula makande yani i just dont care as long as i wil be with u
bebe...baby let do this..aw,I loooooove u baby!
Mpita njia   |2012-02-01 08:05:59
Baby ya mange u sound like a lesbian,on the other hand u sound nuts.get help as
tumechoka comments zako humu. Mx
Anonymous   |2012-02-01 11:22:27
Mpita njia, Nakuunga mkono. huyu baby ya Mange is obsessed and he can turn into
a stalker kama Mange atamshit. Watch him/her!!
Anonymous   |2012-02-04 02:54:02
sawa dazipozi
Anonymous   |2012-01-31 20:25:00
PICTURE OF THE MONTH
Anonymous   |2012-01-31 20:32:11
HE IS ADORABLEEE!!! yani kucheza/kusaidia kazi bongo si mchezo! Im sure he
sleeps like a baby bc ya uchovu!
mda usa   |2012-01-31 22:18:44
Kenzo hiyo ndio bongo mwana hilo tatizo sifikirii kama litaisha
Pwagu   |2012-02-01 01:37:26
MANGE TU
PICHA HII IMENI TOUCH HASWA NAFIKIRI UIPELEKE
UNESCO OR UN KWA
MASHIRIKA YANOYA SAIDIA MAJI AFICA NA DUNIA YA TA
doreen  - duh!   |2012-02-01 02:50:37
yani si mchezo, inaonekana baby kenzo yuko serious na anachotaka kukifanya, ndoo
mkononi, step tena za haraka kuwahi foleni! it is so funny kwa kweli! asante kwa
kutuongezea siku za kuishi Mange, kucheka ni afya!!!! comments za posts
zilizotangulia zimebaniwa...i dont know where i went wrong!
Tajibeba   |2012-02-01 03:52:51
heheheh Kenzo anaonekana anashughuli sana huyu mtoto nice one. Mange ushampeleka
Kenzo Tandika kusalimia nduguze na acheze na watoto wa mtaani? just asking
c's mum!   |2012-02-01 03:54:16
hivi we baby ya mange umelogwa??????? mmh hata hivyo napita tu! nitabaki tu
kukutolea mimacho maana unatia kinyaa!
muke ya muchina   |2012-02-01 04:54:55
waoh Perfect baby kenzo, Its better unavo mchanganya na maisha tofauti
Anonymous   |2012-02-01 05:14:23
nimecheka hadi basi mtoto kashakuwa mmatumbi haya
mpeleke akapande na milima ya upareni kweli Mange ww kiboko ila malezi mazuri
acha mzungu ajichanganye na wabongo NIMEIPENDA
mashauzi.com  - KENZO - kibongo bongo style..   |2012-02-01 06:15:44
Aaahhahaahaaaaaaaaaaa Kenzo made my day...

yani Mange una fujoo.. ila ni kitu kizuri kumwachia mtoto azoee mazingira
yote..manake kuna baadhi ya watoto kugusa tu mchanga wanaona kama
wanachafuka.....tatizo la maji kuisha will take ages..kenzo steps on mchanga na
kubeba ndoo ya maji..nimependa ktk picha hii..
lynah   |2012-02-01 07:25:11
jamani ka Kenzoki kamenoga na jindoo lake mkononi m sure baba yake kacheka
nusu afe alivyoona hiyo picha........................ama kwa hakika nyumbani ni
nyumbani
Anonymous   |2012-02-01 07:33:26
Huyu mtoto ni noumeeeeerrrr alooo, yani kama yuko field work Nachingwea
loool
Anonymous   |2012-02-01 11:26:33
hahaha nachingweaaaa
FRAN  - baby ya mange plzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz     |2012-02-01 10:25:03
baby ya mange plz give us a break, kah yani u tiring my mind kishenzi, the gal
is married for pityz sake, and sidhani kama amewahi kukupa indication yoyote kua
anapenda wanawake zaidi ya ile kiss aliokupa zamani, ingekua majuu ungekuwa
umerepotiwa kama stalker. mwanzoni tulikuelewa but too much of something is
harmful kah, tafuta maresbo wenzako uwasumbue
Anonymous   |2012-02-01 11:18:36
humu kuna baby ya Mange kama watatu ninao wafahamu na wote wanajiita baby ya
Mange sasa sijui unamuongelea yupi hasa.chill out comment tu hizi za kwenye blog
usiwe na presha manake nahisi umeandika kwa kukereka mpaka jasho limekutoka pole
mwaya.
Anonymous   |2012-02-01 11:25:08
Yaa point! kama mpita njia alivyosema...Manges stalker in the making atoke humu.
Anonymous   |2012-02-01 10:58:58
mfundishe kusema anataka kujisaidia uachane na pempers amekuwa sasa na dar joto
sana to put on pampers muda mrefu. pampers unamvalisha akilala tu
Anonymous   |2012-02-01 11:23:46
Mange mwenyewe anaenjoy manake katulia kimyaaa anafanya kulike comment za baby
yake pressure unapata wewe atiiii.... heheheh hutaki saga chupa
unyweeeee!!baby ya Mange uko juu harooooo.
Anonymous   |2012-02-01 17:04:00
kweli huyu baby ya mange amezidi sasa. mie nina mimba changa nikisoma post zake
huwa natapika right away. she is so nasty n disgusting. anamchafua mwenzie.
mheshimu basi hata mme wake kama ujiheshimu we mwenyewe. na usitmie jina la mola
wako kwenye upuuzi unaoandika
Anonymous   |2012-02-04 02:56:05
kimimba hiko hakikuwi???????halafu mbona unakunywa chai mimi ya kwangu haitaki
chai wala kahawa
monalisa   |2012-02-02 03:36:46
This foto is priceless, simply beutiful.
Mama D   |2012-02-02 04:48:38
Saafi mtoto.
Anonymous   |2012-02-04 04:51:55
ndio bongo hiyo,sio maji hadi umeme........
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Follow Mange on Twitter
Find U turn Blog on facebook