HONEY SPRAY TAN HAIYEYUKI HIVI, WATU WANASPRAY WANAENDA KWENYE 100 DEGREE WEATHER AU BEACH, YESUUU JAMANI I FEEL FOR HER, KWANI INAMAANA ALISIMAMA HAPO MUDA GANI? SI ANGEONDOKA TU PIA? MAYBE NI KITU KINGINE? LORD HAVE MERCY
You wanna know how to make me smile
Take control, own me just for the night
And if I share my secret
You're gonna have to keep it...Moooooves like jagger baby!! I reckon she is bi-sexual what secret was she tryna say here with the other gay...Maroon 5 i mean,,,wasagaji mpo juuu
hapa ndo nakosaga raha kabisa kwenye kusagana. imagine unafanya shuguli yako alafu midamu hiyo mdomoni. ila kamani beby yangu mange ntameza tu jamani, i love mange to death, and miss her jamani, mange nakupendaje baby come home
BANDUGU TO BE HONEST SIO MIMI NIMEANDIKA HII COMMENT,,PLZ PEOPLE IF U WISH TO USE BABY YA MANGE AS UR SCREEN NAME TAFADHALI USIITUMIE VIBAYA...I DO RESPECT MANGE.
Swali langu ni dogo sana. je ina maana hakufeeel kama yuko wet...au mi damu yangu ina matatizo ikianza kutoka tuu huwa naskia kama sasa yeye mpaka inamchuruzika miguuni.........
wanasema hivi: unlikely--but cold it have just been a cut she got after maybe bumping into something while walking on to the stage? Who knows....and who cares
So long as its the usual thing from the moon and not something from the mars people will understand and feel sorry for her, lakini inaonekana kama amemiscarry vile.
its true inaweza kuwa mimba imeharibika ghafla au kaweka tampas imejaa bila kujuwa maana sisi wanawake mambo yana badilika any mwezii huu inakuja kidogo mwezi mingine kama bomba tena kama kaweka loop ndo kasheshe.
Du!! nimesisimka ile mbaya, najiuliza alikuwa asikii inavyotoka! dah je lingedondoka bonge na je kwani hajui siku zake zinakuja kuanzia lini.Pole zake kwakweli
This picture was photoshoped. I saw the original video and it doesnt have the
streaks.
nakubaliana na wewe kabisa. kwasababu ukiangalia hiyo michirizi miwili katika mguu wa kulia ni hiyo hiyo, hata haijabadilika wala kuendelea kushuka wala kuongezeka mingine.
nipicha tatu tofauti na nikatika muda tofauti basi hiyo michirizi miwili katika mguu mmoja ingeendelea kushuka chini. ni wameunganisha
washindwe walegee, kama hawana vya kutuambia wanyamaze kuliko kutunga
poor thing.......hata mie hua nina periods irregular sana na inaanzaga gafla tena kwa fujo.inaweza kua ndio kilichomtokea tina hapo.sio kitu cha kumcheka wala kumshangaa mtu wanawake wote tunalielewa hili.sidhani kuna mdada yoyote ambae hajawahi pata period gafla akachafuka even if sio kama ya christina but period kuanza in a place ambayo hauna pedi....its unfortunate for her yeye ni public figure na yamemkuta mbele ya watu but sio kitu cha ajabu kabisaaa,na kuvaa chupi hakusaidii kama mtu una period heavy kama yangu hata chupi mbili ingetililika hivyo hvyo....mpaka nivae pedi.so pole sana xtina
Its not something to laugh about yai i can really feel it whether ni mkojo tan what what sijui periods the fact it is on public ni mbaya sana bora masista wetu huwa wanatuambia tutembee na kanga because anything may unexpectedly happen as long as your a woman. ndio maana wengi on pub stages wana vaa tampoo for emergencies kama hizi uwii pole sana i can feel the embarassment
TATIZO HAPO NIKWAMBA ANATUMIA COIL CONTRACEPTION,ALL WOMEN WHO USE THAT MEANS OF CONTRACEPTION BLEED A LOT ,I MEAN TO THE EXCESS ON THEIR PERIODS,COILS ARE NOT GOOD,I USED TO WAKE UP ON MY BED FULL OF BLOOOD ALTHOUGH,I HAD TAM PACKS AND PAD WEARED OVER NIGHT,SHE NEED TO REMOVE THE COIL AND GET OTHER MEANS OF CONTRACEPTION OTHERWISE,SHE WILL KEEP BLEEDING ON PUBLIC,,,,i can feel her painxxxx
whats up Mange mbona umebania comments zangu... anyways i saw mwammy crib uwii ni ya kufa mtu this girl she is something else ni nouma hands down sijui up hata sijielewi nachoandika kudadadeki ni nouma ingekuwa yangu ningeomba likizo ya mwezi kwanza nalala naamka sitoki ndani ya nyumba hadi inizoee maana milango inaweza goma kunifungulia uwiii. bora umeitoa mange ni mateso ile nyumba too much unbearable pains. huyu dada uwiii nimechanganyikiwa uwiii acheni tu Mange ajipendekeze uwiii hata ningekuwa mimi uwiii Mange has all rights kujipendekeza uwii ni pana utukufu pale uwii. mange naomba usibanie hii comment bania nyingine not this one mkojo umenibana ila umegoma kutoka kabisa na ni mwingi nishajibeba tayari
Pole sana Christina, you are among my favourite artists. Hope this is not for the media attention.
Wewe anany hapo juu unavyosema Mange ana miguu kama sijui rainbow, NI YA KWAKE NA MUNGU NDIO ALIYEMPA. As human beings we got different shapes but as long as you can breath we should learn to be thankful and appreciate what God has given us. Hajaazima miguu ya mtu ni ya kwake, msheewww. Watu wengine bwana sijui mna matatizo gani
mange vipi umetoa harka bangaloo la mwamvita? yani huyo dada nimemzimia sigara looo!! anastahili pongezi hasa akiwa kama mwanamke na bado kijana mdogo safi sana
msisimko...pole zake!!! Mie huwa nkiwa anxious au nkisimama sana penye joto jasho laweza kunitiririka kutoka huku mapajani hadi kisiginoni kwaiyo labda ni jasho na iyo tani loh salaleee