Who's Online
We have 307 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday7010
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week7012
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month54084
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933651
Login



WEEKLY JUICE WITH ENINKA: TATIZO NDANI YA NDOA....
Written by Mange   
Wednesday, 04 November 2009 13:30




Nimeshasikia sana kwamba kuna wanawake wengine baada ya kujifungua huwa hawataki tena kuwa karibu na waume zao kimwili ama kufanya tendo la ndoa. Na kuna Ndoa Nyingi ambazo huwa zinakufa kwasababu ya mabadiliko kama haya ndani ya ndoa na unakuta mwanaume anaamua kutoka nje ya ndoa ili kujikidhi kwa hili.

Je ni kitu gani kinapelekea mwanamke kubadilika na kufanya asitake tena kufanya hivi? Je ni Stress ya kuwa na mtoto? Ama ni stress anazopewa na mumuwe ama ni uzee ni kitu gani??

Na nimesikia hata wanawake wengine inabidi wafanye tendo la ndoa kwa kuwa anaogopa kumpoteza mume wake.Hili tatizo linatokana na nini?? Je huu ni ugonjwa na ka ni ugonjwa je unaweza kutibika?

ENINKA - CANADA

Comments
Add New Search
Anonymous     |2009-11-04 13:16:46
mwanaume akiamua kutoka nje huwezi kumstopisha,hata kama unampa punani kila siku
atatoka tu,marriage sio sex tu kuna mambo mengi yako involved,kuhusu mwanamke
kukosa hamu ya mamboz baada ya kujifungua ni tatizo la wanawake wengi .that time
mwanamke anaita
Anonymous   |2009-11-04 13:30:06
Am afraid its totally true. I have spoken to many friends and they say they
didnt feel like having sex after having a baby!!

Mi nafikiri ni hormones, koz
mimi mwenyewe sasa hv ni mjamzito na sijisikii kabisa kufanya mapenzi, cha
kustaajabisha ni kuwa kab
Anonymous     |2009-11-04 21:13:53
mdau wa ulaya ukishazaa hakikisha umepiga sana misuri ya punani hili i
tight,kamaa utazaa kwa njia ya kawaida,ma ana swala lingine niliona program
wanamume wanakuwa off sex kwa wake zao kwa sababu punani hiko loose,seems like
women will never hey,gudluk
Deseree   |2009-11-05 21:22:20
make sure unafanya pelvic floor exs kwani muscles zako unawezakuzifanyisha
mazoezi hata ukiwa unaangalia Jerry Springer
Deseree   |2009-11-05 21:20:27
Hakikisha unamwambia mumeo how you feel ukishajifungua kwani hawa wanaume zetu
hawaelewi hbari ya Postnatal changes and depressions. Also kama unaona hutapenda
tendo hilo ni normal kabisa kwani your hormons will be fighting to adjust back
to normality na
Anonymous   |2009-11-04 16:16:15
it could be true kuhusu hili swala but that doessnt mean that the
husband/boyfriend/partner atoke nje ya relationship na kwenda for sex.afterall
hamko pamoja just for sex.having a baby is one hell of a job that men need to
appreciate and give a helping h
Anonymous   |2009-11-04 17:06:58
im married,24,have 2 kids na sex bado mzukkkaaaaa hii inawatokea wanaozaa umri
mkubwa zaidi
Anonymous   |2009-11-04 21:01:10
i luv african women.the bodies so delicious
Deseree   |2009-11-05 21:23:52
AMEN
Anonymous   |2009-11-05 06:08:59
Anon 13:53 ningependa kujibu comment yako!!

Hiyo ni belief yako kwani nimeongea
na watu wengi ambao wamezaa na inasemekana kuzaa haimaanishi kuwa u will be
loose! Kuwa loose ni maumbile ya mtu kwani wapo watu ambao hawajazaa na bado ni
loose. Kwahiyo kuz
Anonymous     |2009-11-05 08:08:25
mdau wa ulaya,sorry kama hukunielewa yap mimi ni dume na naongelea through
experience ya girlfriend wangu baada ya kujifungua misuri haikukaza ,dk alisema
kuna some muscles huko ndani ya nanii ,zilisukumwa during the birth na pia
mazoezi yangesaidia,na kw
Deseree   |2009-11-05 21:27:08
I hope anasubiri ya kwenda kwa Physio na je alionwa na Birth Injuries
specialists kwani saa nyingine kama alipata internal rapture (am talking on
assumption level) inabidi aonwe na birth injury team yenye psychologists pia.
Anonymous     |2009-11-06 21:03:57
Des,nafikili huku tulipo maspecialist wote wapo ,yes walimfanyia check up
zote,kwahiyo surgery ndio ikawa conclusion,
Anonymous   |2009-11-05 07:58:31
its called postpartum depression
Anonymous   |2009-11-06 16:54:09
Kaka nimekuelewa ila i have never heard of that and that kind scary!

I still
think i will go for a natural birth if it will happen. Ila ulivyosema mwanzoni
kuwa ni nipige misuri sana ya vagina(best scientific word) kivipi? Labda
ungenielewesha zaidi maan
happy  - women problem   |2011-02-28 11:47:40
kwa kweli nimependa hii mada lakini ni ukweli wanawake tunashida sana, kwani
unaweza fanya hv ukifikiri unamfikisha mwenzio kumbe wala yy hayupo na
unapojitahidi kwa sbbu umsha jielewa pia hatosheki wafanyeje waliona tatizo kama
hilo
Anonymous   |2011-12-12 07:05:50
Thanks for posting this! i really had good time reading this. 03)
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook