|
MAMA UTURN AENDA MATERNITY LEAVE...LOL... |
|
Written by Mange
|
|
Friday, 03 September 2010 21:58 |
|
Hey guys,
Im gonna take a break from blogging, just so I can catch my breathe, and concentrate on the new baby….
Will be back nitakapokuwa fit…
Mshindi wa milioni moja ilileta utata sana manake mpaka sasa tunawashindia kama 20 hivi, administrator anasema kuna issue ya time synchronization na kwamba ni kweli all these people walikuta the 1,000,000 count.
Sasa anachofanya administrator now ni kutafuta who was the first kukuta hiyo 1,000,000 mark.
Also kwa wale washindi mliosema kwamba hamtaki kutangazwa kwenye blog kama umeshinda na hutaKi jina lako litajwe ,samahani sana ila itabidi tuku disqualify,manake sasa watu wataaminije kulikuwa na mshindi kama tusipomtaja humu?
Mshindi atatangazwa soon….

|