|
Niaje mama U-turn? wadau wa u-turn naomba mnisaidie katika hili Ni kawaida kuwasikia watu wakianisha tabia za baadi ya jamii fulani,utasikia kabila fulani bwn wahuni,au wachoyo n.k.japo inakuwa si kweli kwa wote.Hasa hasa katika mapenzi nimeshawahi kusoma humu watu wakieleza tabia za waswahili na wazungu.Mm sasa shida yangu ni kujua tabia za wanaume wa kiarabu na tena akiwa anatoka na msichana mswahili..
Uturn
Ntakusaidi kidogo hapo kwa vile nimeshaishi uarabuni kidogo…kwa miaka michache niliyoishi huku sijawahi kumuona mwarabu na msichana mweusi…ukweli ndio huyo…sio mall wala sio barabarani wala sio kwenye hoteli sijawahi kuona…
Wanaume wa kiarabu hawadate wanawake weusi openly.sana sana anaweza kukudate kisirisiri akakupa kila kitu unachokitaka ila hawezi kwenda na wewe popote au kumwambia mtu yoyote…
Mwarabu akiwa na mwanamke ambae sio mwarabu ni mara chache sana tena maran nyingi wanachukua wazungu, wale mablond kabisa, I have seen a couple of arabs hapa at dinner with Caucasian blonde women….
Labda kama unaongelea waarabu wa bongo.ila waarabu wenyewe wa urabuni umkute na mwanake mweusi…sijuiiiiii
Ila wako very attracted to black women,kuna shogangu flani alikujaga kunitembelea huku kipindi flani mbona palikuwa hapatoshi yani walikuwa wanamshangaa huyo rafiki yangu wanatamani wamfate ila wanashindwa,huyo shogangu kafungasha kweli kweli,mambo ya serious junk in the trank…lol …yani walikuwa hawaaamini kuwa yote yak wake…that was the first them niliona mwanaume wa kiarabu totally mesmerized by a black woman and still hawakuweza kusogea kumuomba hata number ya simu…
|