Who's Online
We have 284 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday7076
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week7078
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month54150
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933717
Login



BOYFRIEND WANGU ANAANGALIA SANA UTURN.NFANYEJE????HEHEHEHHEHEHE
Written by Mange   
Tuesday, 24 August 2010 19:17

hi mange na wana u-turn

Natumai unaendelea vizuri na kitumbo,,kwa ufupi naomba

nishee na hili nililonalo na wana uturn na kupata ushauri ambao

naona utaweza kunisaidia,ni hivi mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28

nina ishi na boyfriend wangu ndani ya 2yrs now,Na nimekuwa kidogo addicted na hii

uturn,Sasa basi ni Huyu mpenzi wangu ananikosesha raha ya kujiuliza mimi mwenyewe maswali zaidi ya 100?ni hivi anajua mimi ni mpenzi sana wa uturn,lakini nahisi sasa yeye

amekuwa mpezi zaidi ya kwangu kwenye hii blog,mara nyingi huwa nambamba,yupo kwenye

u-turn,kila baada ya saa namuona kwenye pc!nikimchungulia nini anafanya yupo kwenye u-turn,ooh??najiuliza kwa nini anapenda sana kuangalia hii blog???? nasijui nimfanyaje aache kuwa anachungulia kwenye hii u-turn

plzzzz wadau wa hii u-turn nisaidieni,na cha kushangaza sio mwafrika ni MZUNGUUUUUUUUU?nimfanyajeeeeee,

Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-08-24 14:27:11
wewe unafikiri ni nini anachokifuata kama sio umbeya? ndo nini kuishi na boy
friend miaka miwili si uolewe tu ndo uwe na haki za kumkataza husiyo penda? wewe
mwenyewe uko kwenye huusiano haramu unanungunika nini kama yuko anangalia vimini
vya AISHA SENKORO utamzuiaje???
Lulu   |2010-08-25 05:09:29
Pole mdada wala usiwe na hofu, kaona wewe unatazama nayeye kapenda
kufuatilia,acha kutokujiamini.
Kingine nataka nimjibu huyo Anon hapo juu
anayedai kwanini unaishi naye miaka 2 bila kuowana, mie ninaishi ulaya mwaka wa
15 sasa, nimeishi na mzungu miaka 7 tukazaa watoto 2 ndo tukaamua kufunga
ndoa.Wazungu hawamind mambo ya kuowana harakaharaka kama bongo, wapo ndio
wanaoowana wakiwa wadogo, wengi wanaishia kwenye kuachana mapemaa.So utakuta
wengi wanapenda mkae mfahamiane, later mkiamua mnaowana.Kuna wengine mnaishi
milele amina hadi kifo bila ndoa.Mtakavyoamua wenyewe,so kama kwenu
ushawataarifu na wako ok with that, why not? Usipende zile za kishamba
kung'ang'aniza ndoa , mtu anakuoa, baada ya miezi 3 yuko Mlimani city pete havai
anatongoza tuuuu.Kutokukimbilia kwenye ndoa inasaidia mambo mengi sana, hata
mkiamua kuachana mapema, its easier haswa kwa ulaya.
Kuishi pamoja kabla ya
ndoa a.k.a Cohabitation, kuna nchi huku...
Anonymous   |2010-08-25 15:11:30
duh yani pole sana .yani wewe unaongea kama mtu asiye na dini kabisa ZINAA.COM
thats ur nick name balaah tupu kama mtu ataki kukuowa ya nini kukuzehesha
kukuongezea miles si unaondoka kutafuta wakuoana wewe unaona poa tu kama
hamuowani hata mkizeeka uogopi amri za mungu! eeeeh bwana kunawatu duniani
wanaishi kinyume kabisa na kutogunduwa.eti wazungu hawamind mambo ya kuoana
halaka kama wabongo ULIMPACHIKA WATOTO NDO AKAKUOWA.fullstop!
Lucy   |2010-08-26 19:59:00
Lulu big up, nimekuelewa point yako sana tu.
Wewe anon ndio MJIMA.COM au sijui
niseme MSHAMBA.COM kwa taarifa yako mzungu hata umpachike watoto 7 kama hajawa
tayari kukuowa, HAKUOI, so futa fikira zako hizo, hapo unaongelea kwa hali ya
kibongo.Open your eyes, kuowana haraka sio vizuri, inaleta shida nyingi
mno.
Wewe nahisi ndio walewale walazimishaji wa ndoa, juu chini lazima anioe,
hanioi natafuta mwingine namdenda hadi anioe..hahaaa lol!!! you are so old
fashioned,ndio mana wanawake hatuishi kunyanyaswa, kutafutiwa nyumba
ndogo,kuchekwa na ndugu za mume n.k kama ndio tunakuwa that desperate basi
kazi.Pole we, katibiwe.
Anonymous   |2010-08-26 10:10:09
AHSANTE SANA DADA LULU,
judith   |2010-08-25 08:56:17
dada mwanamke kujiamini ndugu la sivyo utalala umeifunga roho na kamba kwwani
akiangalia kunana nini jamani,atawatongoza???basi naona huyo bwana hata magazeti
hasomi,umemuumba wewe mpaka asiwe free jamani,u turn taifa kubwa labda tumbo la
mange linamvutia???acha wivu wewe ungeza mvuto kwa bwana awe anakuangalia wewe
basi eeeh utahemea maji siku moja
Anonymous   |2010-08-24 14:42:39
mzungu muhuni huyo,utakuta keshapewa stori ofisini na washkaji kwamba kuna picha
za mademu sana humu, angali hizo picha za aisha hapo chini unadhani ataacha
kukesha humu?haha
mie mwenyewe nilidhani hii blog ya mademu tu ila nashangaa
boyfriend wangu anajua story zote za humu ndani sijui anaangaliaga saa ngapi
Anonymous   |2010-08-24 14:57:32
Hii ni blog ya wote wala si mademu tu.Mimi ni mwanaume lakini kila siku lazima
nipitie hapa kuona mashauzi ya mademu.

Kwa wewe muomba ushauri bila shaka wewe
ndiye chanzo kikubwa cha kumfanya huyo mlimbwende wako aduwaie humu kwani wewe
umesema ni mpenzi mkuu hasa wa blog hii.Kama wewe umekuwa ddicted dosari ni nini
sasa kama huyo mlimbwende wako naye kajikita humo??? umanza kupata uoga tena
ulidhani mazuri??

Sidhani kama kuna cha kukushauri, zaidi ya kukwambia kuwa
safari ya mapenzi yenu karibu inafikia ukingoni.Wewe unapenda mwenzio unataka
asipende huo ni uhusiano gani tena??wivu mbaya huo.

Leo nimekutana na picha za
Aisha nimeziangalia mara mbili zaidi na kupagawa nazo!! hahahahahahahahahaaa
humu mtamu wee achasne naye la sivyo atakukacha.
Anonymous   |2010-08-24 15:54:53
lol sasa anajua kusoma kiswahili? si atakujua umekuja kuomba ushauri? labda
anakuja kutazama totoz. unamkuta huku kila saa maana labda anaangalia picha zote
tangia blog ianze hiyo itamchukua muda lazima lol
Anonymous   |2010-08-24 18:41:07
u can translate the whole site to english mwenzangu...
Anonymous   |2010-08-24 18:44:14
mdau ajui kiswahili bali sometime mange huwa anaandika kiiengeleza,then nahisi
vichwa vya habari,ana google kwa transrater,dooh jamani miee mbona nnaloo
Anonymous   |2010-08-24 21:08:30
kiingereza sio KIINGELEZA
Anonymous   |2010-08-24 16:26:45
Jamani humu wanaumw wanaoingia wengi mnoooooooooo! Mimi wangu pia huingia
kimtindo nnajua ila cjawahi muuliza wala cjali! Mtu mpe uhuru wake jamani!
Halafu kwako bibi uloomba ushauri mi nakushauri uanze kujiandaa kubwagwa maana
hizi ni dalili za wazi kakuona werwe sie maana kila akiangalia totoz humu
anagundua aliharakisha sana kukuweka ndani sasa ndo anapagawa na warembo! Alafu
na wewe kujiweka kinyumba mtt mdg hivyo ni nini? Mzungu tu au ana heraaaaaaaa?
Utajibeba ngoja aanze kumtumia mama u turn email akiomba kukutanishwa nao na
kama ana mijidola miyuro anza kuugulia maumivu ya kuachwa!
Anonymous   |2010-08-24 16:28:55
Unaonekana hujiamini kabisaaaaaa!
Anonymous   |2010-08-24 16:32:11
Hata midume ya Jamii forum iko humu, ukikaa nao wanajifanya wa2 wa elimu ila
wanatelezaga wanaanza kuongelea mambo ya u-turn nakuponda sasa sijui wanakujaga
kufanya nini huku. U-turn uko juuu.
Anonymous   |2010-08-24 16:33:00
ukute amwshaambiwa u-turn kuna wapenda wazungu sasa wewe keshakuchoka he's
looking for a new flavor of the month haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
utajibeba
mimi     |2010-08-24 16:37:51
hehehehehe kumbe hata wazungu wambea?au anacheck totoz kibongo
Anonymous   |2010-08-24 16:39:00
Wala usiwe na wasiwasi Mdau.

Anaingia humu katika kujaribu kukujua zaidi, na
pia kujua wewe unafuata nini humu. Mbona mambo ya kawaida tu? Usitie hofu
Anonymous   |2010-08-24 19:39:24
AHSSANTE SANA MDAU..NIPENDA USHAURI WAKO MFUPI
VUVUZELA ORIGINAL   |2010-08-25 04:42:41
MHHHHHHHHHHHHHHHHHH UNAPENDA KUPAMBWA EHHHH!!!!!! HAKUNA KITU HAPO WEWE ANZA
KUCKILIZIA MAUMIVU UTAACHWA SOON,,, AU WEWE SIO MZURI NINI???????????? MAANA
KUTWA HUYO HAWARA YAKO YUKO U TURN ANACHEKI FLAVOUR....

MBONA UTAJITUNDIKA
MAMA TENA KA NDIO DEPENDANT NAKUSHAURI UMUIBIE KAMA ANA MIJIHELAAA ULALE
MBEREEEEEEEEEEEEEEEEE
Anonymous   |2010-08-24 17:01:01
bwabwa anataka ajifananishe nao kina dada nani anakimbiza!!! :)
Anonymous   |2010-08-24 21:04:22
HEEEEEEEEEEEEEEEEEEE NAPITA MAVUVUZELA MSIANZE
anony   |2010-08-25 05:48:24
we naye si upite kimya kimya!
Anonymous   |2010-08-25 15:36:16
nimekupata shosti basi CHICHEMI heeeeee kumbe nishasema
MWAJUMA NGALANDEFU MDOGOAKE AS   |2010-08-24 21:07:21
VERY SIMPO MDAU; UKIMKUTA SIKU NYINGINE WEWE NENDA BARABARANI CHUKUA MAJI YALE
MACHAFU YA MTARONI HALAFU VUNDIKA UKOKO WIKI NZIMA KISHA MCHEMSHIE ANYWE SAWA
ENHEEEEEEEE AU CHUKUA MAZIWA YA NJUSI CHANGANYA NA MAJI YA KUCHAMBIA HALAFU
MPAKE MWILI MZIMA SAWA ENHEEEEEE MZXXXXXXXXXXXXXXXXXXXY
Anonymous   |2010-08-25 03:20:45
atakua pusty
Nancy   |2010-08-25 03:46:04
Kwa upande wa mie sioni kabisa tatizo kwa yeye kuangalia U-turn kama
inavyokuvutia wewe ndio na yeye inamvuti ,..mwache awe free maisha yenyewe
mafupi ya nini kunyimana uhuru..
Pia naona hujiamini shost
yai   |2010-08-25 07:09:35
We nawe wacha kujihashua hovyoooooo utafikiri ushuzi wa mayai.
We
unaonekana hujiamini unadhani akija huku atapata vichenchede.
Jiamini mtoto
wa kike adi mmevutana karibu we bado tu unawasiwasi kama unajisaidia
kichakani?
:woohoo: Na siku nyingine usilete mijadala yako ya kitoto humu au ulitaka
tujue tu kuwa na WEWE UNAMDHUNGU? HOVYO!
KINYAMANA   |2010-08-25 07:24:42
BOY FRIEND 4 2 YRS? WEWE UTAKUWA UMEDODA TENA UNA UMRI WA MIAKA 28, WEWE SIYO
MSICHANA NI MAMA. USHAURI KWANI INAONYESHA UNAMPENDA HUYU MAN MUOMBE AKUOE
VINGINEVYO ATAKUTOSA
Anonymous   |2010-08-25 07:37:25
mh! kwani imeandikwa wapi niya anawake tu? pia mm cpendi kubanwa, mwache
mwenzio ajinafasi. au unahofia vile mzungu? c ndo mana umeamia huko kiharamu?
utajibeba...
Anonymous  - re:   |2010-08-25 09:05:53
Anonymous wrote:
mh! kwani imeandikwa wapi niya anawake tu? pia mm cpendi kubanwa,
mwache mwenzio ajinafasi. au unahofia vile mzungu? c ndo mana umeamia
huko kiharamu? utajibeba...



tena atajiba na mfuko wa rambo!
Anonymous  - re:   |2010-08-25 09:07:44
VUVUZELA ORIGINAL wrote:
MHHHHHHHHHHHHHHHHHH UNAPENDA KUPAMBWA EHHHH!!!!!! HAKUNA KITU HAPO WEWE
ANZA KUCKILIZIA MAUMIVU UTAACHWA SOON,,, AU WEWE SIO
MZURI NINI???????????? MAANA KUTWA HUYO HAWARA YAKO  YUKO U TURN
ANACHEKI FLAVOUR....

MBONA UTAJITUNDIKA MAMA TENA KA NDIO
DEPENDANT NAKUSHAURI UMUIBIE KAMA ANA MIJIHELAAA
ULALE MBEREEEEEEEEEEEEEEEEE




heeeee! nafwa weee kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Anonymous   |2010-08-25 10:45:08
HAHAHAHAAAAA YEUUWIIIIIIIIIIIII
DU KAZI KWELI KWELI

NAPENDA SANA COMMENTS
ZA WADU MAANA BADALA YA KUCHANGIA WANAANZA KJIBIZANA

HAAAAAAA
Anonymous   |2010-08-25 15:40:05
uturn oyee MOLA atuekee Mange wetu AMEEN
utu   |2010-08-26 04:20:11
we acha kutuzingu kwan akiangalia kuna nn,embu jiamini na uache kumchunguza kila
mara utakufa na presha buleeeeeeeeee
Anonymous   |2010-08-26 10:11:50
utakufa wewe kwanza
Emmy.   |2010-08-26 06:42:41
Dont worry ma dear. Hiyo ni kawaida. Wala usjari kabisa. Jiamini na jihesabu uko
peke yako. kuangalia humu ni mapenzi ya mtu. Usifatilie michango mingine ya
wadau humu utaumia bure. Zaidi mpende mmeo na mpe uhuru zaidi juu ya
hilo.

Emmy.
Anonymous  - binti   |2010-08-26 09:29:21
Mmmmh!! huyo atakuwa mzungu pori...teh teh
Anonymous   |2010-08-26 09:56:36
halafu anakuacha mwenyewe na mtumbo huo yeye anaingia uturn kuangalia totoz,
hana adabu sana huyo mzungu lol
mama tatu   |2010-08-26 10:14:03
Shosti pole hata wangu alianza hivyo hivyo..sio wako tuu wapo kibaooo,mi wangu
ninae ughaibuni lakini amekuwa addicted na u-turn hahah
halooooooooooooooooooooo...u-turn itatufanywa tuachweeeeeeeeeeeee
Anonymous   |2010-08-31 10:32:03
hi wana u- turn
testing
Anonymous   |2010-10-12 01:19:57
natafuta mwanamke wa kumira au kumtomba. Nitamfira na kumtomba haswa. nipo darr.
mimi pia ni msiri. aliyetayari anitafute kupitia mfiramikundu@gmail.com
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook