|
BALOZI WA REDDS TAYARI AANZA KUTAFUTWA... |
|
Written by Mange
|
|
Sunday, 22 August 2010 20:55 |
|


Habari zenu!
Jana ilikuwa Redds day kwenye kambi ya Miss Tz 2010 iliyoko Giraffe hotel.
Meneja wa kinywaji cha Redds Ms. Kabula Nshindo aliwatangazia rasmi washiriki wa Miss TZ uvumbuzi waThe Search for Redds Fashion Ambassador
Ndani ya Miss Tz ambapo redds watatafuta balozi wa kinywaji hicho. Shughuli hii itafanyika tarehe 3 september 2010.
Balozi wa Redds ni taji la pili kwa ukubwa kwenye mashindano ya Miss Tanzania.
Nimeweka habari zaidi kuhusu taji hilo na picha kadhaa.
Asanteni kwa ushirikiano wenu.
Regards,
KIWIA, Irene E.
Managing Director,
Frontline management
|