Who's Online
We have 275 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday7113
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week7115
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month54187
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933754
Login



ETI UKIZAA NA MWANAUME MKAACHANA BABA WATOTO HARUHUSIWI KUTAFUTA TOTOZ NYINGINE???
Written by Mange   
Sunday, 22 August 2010 20:43

Hodi Hodi Shake well before use

Mwanamke umbeya babu kusutwa ndio mwake ile story ya mabwana za watu imenikumbusha stori nyingine ila hii ni kinyumenyume

Eti mtu ukizaa na mwanaume mkiachana baba watoto haruhusiwi kutafuta totoz nyingine Hii inapatikana live huku scandanavia  Jamani kuna dada jina laanziwa na B amemkaa rohoni rafiki yangu kama kitu gani sijui

story yenyewe ni hivi huyo kijana alikua anaishi na huyo mama watoto wake sasa katika maisha yao jamani si unajua mahusiano wakatengana mwanaume huyo akajipatia totoz nyingine ya ukweli lakini mtoto malezi full na matumizi full ku supply na wakionana na mwanamke(mama mtoto) ni mtoto tu mapenzi hamna kingine

sasa zogo limekuja kuibuka huyu mwanadada alipogundua kaka ana totoz nyingine ni yaleee yaliyotokea kichenchele imekua tafrani mtindo mmoja anamshutumu shosty kamnyang'anya bwana bwana akiulizwa anasema wao walishamaliza zamani ni mtoto tu tena wana kidume cha ukweli(mtoto) shosty wangu mie mstaarabu akaona labda kweli inawezekana yule mwanaume labda ndio walewale akampiga kibuti kijana unaambiwa kaka alimwaga chozi hilo kafa kazikwa kwa bidada anaapa anampenda yeye na hata ndoa atatangaza basi na kwa vile bi shosty kakolea kiaina akaona isiwe tabu akarudisha mapenzi kwa handsome na karibuni wanaanza kuishi wote huyo B anataka kupasuka kila siku anatangaza visasi na maneno ya vitisho kwa kusema ana hela anaweza kumdestroy mtu na kwa vile baba watoto ana pesa basi akajua msichana kazimika kisa mkwanja kumbe binti naye kwao mambo safi baba tycoon mama anakula pesa za nchi na huo usafiri wake balaa na vilevile ana proffession yake nzuri analipwa mshiko mzuri na amenunua apartment wiki iliyopita tena cash hamna cha morgage hata huyo mwanaume hamfikii kwa huo mkwanja wake anafanya masters yake aunge jina na ni mzuri balaa huyo kinaga u.... hampati hata kwa ukucha

Jamani akina mama na wasichana tujifunze kuachwa kama umeachwa na wewe subiri wako uliyepangiwa mbona viroho juu kama break za fusso wewe B waache waenjoy na ukizaa na mtu akikuacha usitumie mtoto kama kigezo mapenzi hayalazimishwi shoga utaumia sasa rafiki yangu anataka ahame nchi waende zao europe na kaka shoga akiipata hii atajimeza na walienda Tanzania kutambulishana wewe aunt meza topaz au mikasi ya china unaleta ujuzi wa makobazi kwenye jimmy choos unalo mwaka huu ndio maana eating disorder handsome anataka nyama

wananiita kiruka njia kizabizabina niliyekosa mshipa wa haya sina hiyana

Mange usiweke email yangu na asante kwa Blog yako inaleta raha mpaka kunako siku hizi hata mume akiniudhi nikiingia huku full burudani

Comments
Add New Search
Anonymous  - kole   |2010-08-22 16:16:29
jamani ni kweli kuna watu wakizaa na watu huwa hawataki kukubali matokeo,
nimependa story yako kwani naishi na mwanaume alizaaga na mtu huwa sipumui ila
inabidi wanawake tuamke jamani someni sio kuzaa msubiri kuingiziwa hela bank lol
kibao kata   |2010-08-22 17:20:21
yaani hata mimi mwenzangu ninaishi na mwanaume aliyezaa na mdada fulani
hivi..kazi kwelikweli kuna wanawake wengine ving'ang;anizi akishazaa anajiona
mke mimi namlia timing kuna siku nitamshushia varangati kesi mahakama ya dunia
me namnyamazia kwa sababu mtoto mdogo tu
BIKIDAWA   |2010-08-23 08:30:39
[b]msimsakame dada wa watu mwacheni ang'ang'anie mnakua ka hamjui uchungu
nyie,,,,,mwaaya wewe dada ulieachwa(KAMA UNAINGIAGA U-TURN nitafute) njoo huku
kama una nauli ya kurudi Bongo! Asikusumbue huyo anayejidai msomi na ana
mijihela,,,, dawa yake ndogo saaaaaaana!! yaani kiduchuuuu!!! mimi mwenzio
yalinikuta hayo hayo nikazaa nikaanza mipango ya ndoa na maandalizi jamaa
akaniacha pabaya na mtoto tena akaenda kwa rafiki yangu wamefunga ndoa
nikawatazama tu wamedumu kwenye ndoa yao miezi 4 tu mwanaume kafa gafla bin vuu
no malaria no nini,,, kakutwa chumbani anatoa damu puani, mdomoni masikioni
basiii!! Safari yake na vishindo kwishney,,,,, bibie kaachwa na kijimimba
kichanga!!! KIFUPI WOTE TUMEKOSA
Anonymous   |2010-08-22 16:21:01
Jamani,umbea umefika Scandinavia!!!Badi tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Anonymous   |2010-08-22 16:41:39
YAANI WEWE DADA MWANDISHI UNA MANENO, NIMECHEKA SANA HII STORY
ULIVYOIMWAGA..SASA KWANI UNALIPWA MAANA ULIVYOMPAMBA HUYO SHOSTI WAKO NI HATARI
TUPU, POLE DADA ULIYEACHWA, ILA NDIO MAISHA, MTOTO SI SABABU YA KUNGANGANIA
MWANAUME, MOVE ON!
Anonymous   |2010-08-22 17:11:27
Huyo B anakaa Scandnavia nchi gani maana Scandnavia kuna Norway, Sweden, Finland
na Denmark sasa mtuelezee vizuri.. umbea mtamu..
Anonymous   |2010-08-22 17:27:00
huyo dada tangu yuko na huyo mwanaume kila mwanamke anayemuona yuko na huyo
mwanaume basi atasema anatembea na bwana wake hallo halllllo kapatikana mwaka hu
halafu maskini huyo kaka hata sio mhuni kamvuruga tu na kweli mwandishi ameze
mikasi ya china ..we dada uliyeandika hii ni mswahili huku scandanavia ulipataje
visa.na huyo mume wako mbona kazi anayo
Anonymous   |2010-08-23 08:43:14
kwi kwi kwi kwi Du umeniacha hoi teti ulipataje VISA?
VUVUZELA 2   |2010-08-22 17:29:47
mwenzangu mie mwenyewe nimezaa na mwanaume halafu sasahivi ananiletea za kuleta
nikimjua huyo anayemzuzua mbona atanitambua mie nimeshazaa kama alikua hanitaki
asingenizalisha angeniacha mie niendelee na maisha yangu MIMI NASEMA SIACHIKI
ama zangu ama zake huyo malaya atakayeingia anga zangu
Anonymous   |2010-08-22 19:43:45
ndio nyie mnaopuliza vuvuzela kwa kutumia miuwazi wakati wenzenu wapuliza
midomoni wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii umechunda mwanawani URODA UMEGAWA
MTOTO UMEPEWA NA malipo mwisho wa mwezi hakuna...SOMA::HANGAIKA MTOT WA KIKE
JIKWAMUE OVYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO wenzio wanapuliza vuvuzela baada ya
kazi itakuwa wewe unapuliza vuvuzela huku huna pakustaftahi
mmsonyooooooooooooooooooooooooooooo
Anonymous   |2010-08-23 07:03:05
kwiiii kwiiii...kulaaalek wallah!!!
Anonymous   |2010-08-22 17:30:48
MAKUBWAA DADA MWENYE STORY HII UNA MANENO NAOMBA NIKUKODI
Anonymous   |2010-08-22 19:44:55
KARIBUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU alamba alamba tena anhaaaaaaaa anhaaaaaaaaaa alamba
alamba tena anhaaaaaaa anhaaaaaaaaa
chai jabba     |2010-08-22 17:56:05
WE DADA MMBEYA, AU KAMA SI MMBEYA BASI UNASPEED YA KUONGEA KULIKO HATA SPEED YA
COMPUTER. MANENO ULIVYOYAPANGA BILA NUKTA WALA KOMA, DUUUH!!! KWELI WEWE
CHEREHANI.
Anonymous   |2010-08-22 19:45:32
KWA HIYO ULIKUWA UNASEMAJE
Anonymous   |2010-08-22 18:25:22
huna tafauti na MWAJUMA VUZI KWA USWAHILI!!! LEO MCHIRIKU WAPIIIIIII?????
Anonymous   |2010-08-22 19:10:11
UWANI KWAKO MZXXXXXXXXXXXXXXXY
Anonymous   |2010-08-23 07:19:55
shost umezidi lakini huna hata comma au kituo katika sentensi ako!! watu wengine
wambea mpaka mnatisha!!
Anonymous   |2010-08-23 12:52:10
ASANTE KWA SIE KUTISHA kama lile nyago lako linalokukumbatia LIKIWA LIMELEWA
Anonymous   |2010-08-22 19:09:18
tunawaja tunawastahi tuu, mnashishawaaaaaa sana yamewashinda mnapigwa
kib.....halafu mnaachwa eti maefika ungehangaika kuja kwenye mablogu angeshikwa
angeshikamana mwanfanyala mkazi wa mwanayamala usie haya wala kupigwa kipapai
ukapata wako mwana..heri hao wa nje we wa kwako yuko wapi.....nimekujibu
officially maana mie niko kivyangu mnajishtukia mpaka kukodi majeshi
OVYOOOOOOOOOOO mvaa chupi iliyotoboka we ukaacha VUVUTU wazi kila apitaye
akaonja ukadhani wamefika kumbe wenzio wanapita wala hawakukumbuki mpaka UCHI
uloota SUGU mfyonzoooooooooo usichezee moto ntakufwata wewe kizabizabina mpaka
mlangoni kwako nikupe NDONGA za haja..unajijua sina haja ya kukutaja..VUVUZELA
ukavaa sarawili zisikukae eti madai yako DIET wapiiiiii uso umekupalama kama
choo cha mazense uwanja wa fisi kwa mdogo wake mwajuma ngalandefu shogake asha
ngedere sasa hapa umekutana na hayawani MLA MAJANI WE MCHAMBIA GILIGILANI weka
kidomo next wana U-TU...
Anonymous   |2010-08-22 19:39:30
waone ulivyotolewa ndonga kwa kuchezea kichapo...mkaanga sumu wewe muuza poison
usie na haya ikakukaa usoni..mwanamjalana mwana fifana usie balana weeee
mzxxxxxxxxyxxxxxx eti B tajaaaaaaaaaa pambafu weee mlala uchi usie sshumizi wala
gagulo la kushindania U-MISS mchambia gunzi wewe usie na uchi bali uwazi ulokuwa
kama makazi yao sisimizi pambafuuuuuuuuuuuuu
Anonymous  - re:   |2010-08-23 07:07:05
Mmmhhh!Cheche!!!
Anonymous  - re:   |2010-08-22 20:31:51
Anonymous wrote:
tunawaja tunawastahi tuu, mnashishawaaaaaa sana yamewashinda mnapigwa
kib.....halafu mnaachwa eti maefika ungehangaika kuja kwenye
mablogu angeshikwa angeshikamana mwanfanyala mkazi wa mwanayamala usie
haya wala kupigwa kipapai ukapata wako mwana..heri hao wa nje we wa kwako
yuko wapi.....nimekujibu officially maana mie niko kivyangu
mnajishtukia mpaka kukodi majeshi OVYOOOOOOOOOOO mvaa chupi iliyotoboka we
ukaacha VUVUTU wazi kila apitaye akaonja ukadhani wamefika kumbe
wenzio wanapita wala hawakukumbuki mpaka UCHI uloota SUGU mfyonzoooooooooo
usichezee moto ntakufwata wewe kizabizabina mpaka mlangoni
kwako nikupe NDONGA za haja..unajijua sina haja ya kukutaja..VUVUZELA
ukavaa sarawili zisikukae eti madai yako DIET wapiiiiii uso umekupalama
kama choo cha mazense uwanja wa fisi kwa mdogo wake mwajuma ngalandefu
shogake asha...
Anonymous   |2010-08-22 20:40:37
humu ndani,mbona kuna vituko jamani.Muandishi wa hii habari,unatakiwa ukodiwe
kwenye kitchen party
Anonymous   |2010-08-23 12:59:24
TANGAZA DAU...NTASAMBUA MPAKA VUZI
Anonymous   |2010-08-22 21:02:52
mdau wa leo saa 18:09:18

yap hicho kiswahili kweli kigumu embu andika vizuri
tuelewe mwaa umeniacha hoi
kama wamekugusa humu wataje tu majina.

mleta
story mboma shosti huyo akwambii kuwa alimuona mmeo zaidi ya mara 3 na
kidada?

rafiki ni nduguyo maana damu yaweza saidia mkasameheana

jifunze
kupambia watu kama hauelewani na mama mtoto wewe hasirfa za nini wakati mumeo
anavulia nguo wengine

mjifunze wenzangu kuleta habari zinazowahusu tuu na sio
kushabikiaaaa pesa hiyo baba mtoto anajua anachotaka kwa rafiki yako hiyo
inajulikana na wanaojua

mind your own business woman,
NYANI AONI KUNDULE
Anonymous  - mmh   |2010-08-22 21:20:08
Hivi watu mnalipwa kuandika mataka taka yenu humu?
Anonymous   |2010-08-23 12:54:41
WE UNALIPWA KUINGIA HUMU MZXXXXXYYYYYYYYY MATAKTAKA YULE WA NYUMBANI KWAKO ASIE
CREDIT CARD HATA YA KUNUNUA DAIPER MZXXXYYYYYYYY LAKO HILO, cha kunuka mdomo
ukajifanya mwezi kumbe huna lolote mdomo kuvunda wapiiiiiiiiiiiiiiii
Anonymous   |2010-08-22 21:28:33
:woohoo: :woohoo: :woohoo: :silly: :0 :shock:
:) :) :) :) :) :)
Anonymous  - re:   |2010-08-23 00:06:58
Anonymous wrote:
Huyo B anakaa Scandnavia nchi gani maana Scandnavia kuna Norway, Sweden,
Finland na Denmark sasa mtuelezee vizuri.. umbea mtamu..


nahisi ni norway manake ndo wanaroho za kwanini katika nchi zote za
scandnavia wafuatiwa kidedea na sweden!
MAIMUNA   |2010-08-23 03:22:14
Mwenzangu stiry imenigusa na kunibadilisha mawazo ninamwanaume alishazaa na
mdada na kuishi naye ..hivyo hivyo jamaa kafika bei na kutangaza
ndoa sasa huyo mzazi mwenzie anajiita Mke yaani mpaka last week
niliamua kumwambia huyu Bwana basi nimechemsha yeye mwanaume hakubali
hata kidogo

Kumbe ndivyo walivyo ahsante U-Turn ngoja nirudi tu kwa
Jamaa .KWELI UKIACHWA USITUMIE WATOTO KAMA NGAO LOOHH WANAWAKE
Anonymous   |2010-08-23 12:19:18
wewe nawe unamatatizo uamuzi uliochukua ni wa busara achana naeee tafuta wako
asie na purukushani ukifuata mambo ya u-turn utauwawa haya ya humu yana wenyewe,
bibie katafute wako na wewe ujiite wife kwa confidence, after all hauna uhakika
kama kamuacha mama watoto na kifupi kumuacha hawezi akisema anaenda kumsalimia
mtoto lazima aonje kidogo shost.. yanini kuchangia tafuta wako mambo ya u-turn
achana nayo..
MAIMUNA   |2010-08-24 04:45:50
NAKUSHUKURU MDAU WALA HATA SITHUBUTU NILIKUWA NAJIFARIJI TU KWA KUWA JAMAA
NILIMPENDA HATA HIVYO NAENDELEA NA MSIMAMO WANGU

KWANZA WATOTO
WA KAMBO WANAMATATIZO YAO BEST

CHEERS
Katarine   |2010-08-23 03:24:17
Tatizo letu wanawake tunapenda kujilazimishia na Mimba ili tuolewe lazima
tutofautishe pale mtu anavyotafuta pa kumwaga shahawa zake na pale
mtu anapoamua kuungana na mwenzie kwa ajili ya life time

TUWE TUNAWAULIZA WANAUME KABLA YA KUVUA CHUPI HAPA TUNAFURAHISHANA AU
TUNAZAA??
kula tano   |2010-08-23 09:21:44
kula tano mdau mimi wangu huwa namvalisha condom mwenyewe kwa kuwa najua
tunastarehe tu
Anonymous   |2010-08-23 04:41:30
dada ulietoa story nimekukubali ..inaonekana unajua kusuta vibaya mno..sasa hapa
umeandika...ingekua kuongea ..LOLL..natamani kukufaham..
ila thanks..nimecheka
kweli..
..
wewe ulieachwa kubali matokeo ...watu wanakula raha kwa
nafasi...utajibeba mbona .!!
Anonymous  - re:   |2010-08-23 04:43:15
Anonymous wrote:
tunawaja tunawastahi tuu, mnashishawaaaaaa sana yamewashinda mnapigwa
kib.....halafu mnaachwa eti maefika ungehangaika kuja kwenye
mablogu angeshikwa angeshikamana mwanfanyala mkazi wa mwanayamala usie
haya wala kupigwa kipapai ukapata wako mwana..heri hao wa nje we wa kwako
yuko wapi.....nimekujibu officially maana mie niko kivyangu
mnajishtukia mpaka kukodi majeshi OVYOOOOOOOOOOO mvaa chupi iliyotoboka we
ukaacha VUVUTU wazi kila apitaye akaonja ukadhani wamefika kumbe
wenzio wanapita wala hawakukumbuki mpaka UCHI uloota SUGU mfyonzoooooooooo
usichezee moto ntakufwata wewe kizabizabina mpaka mlangoni
kwako nikupe NDONGA za haja..unajijua sina haja ya kukutaja..VUVUZELA
ukavaa sarawili zisikukae eti madai yako DIET wapiiiiii uso umekupalama
kama choo cha mazense uwanja wa fisi kwa mdogo wake mwajuma ngalandefu
shogake asha...
Anonymous   |2010-08-23 08:20:43
mh cjaambulia kitu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa anaongelea nini??? haya weeee
Kipepeo   |2010-08-23 06:43:39
mwenzenu hata sijaelewa
Anonymous   |2010-08-23 07:13:23
Yaaani haka kama ka-vita fulani hivi!!!Hii mwisho wa safari...U-TURN...KILA LEO
KUNA JIPYA.
Anonymous  - re: mmh   |2010-08-23 07:28:28
Anonymous wrote:
Hivi watu mnalipwa kuandika mataka taka yenu humu?


...NDIO TUNALIPWA..UKITAKA NA WEWE LETA HABARI YAKO !!
Anonymous  - re:   |2010-08-23 07:52:37
VUVUZELA 2 wrote:
mwenzangu mie mwenyewe nimezaa na mwanaume halafu sasahivi ananiletea za
kuleta nikimjua huyo anayemzuzua mbona atanitambua mie nimeshazaa
kama alikua hanitaki asingenizalisha angeniacha mie niendelee na
maisha yangu MIMI NASEMA SIACHIKI ama zangu ama zake huyo malaya
atakayeingia anga zangu


Na wewe kwani alikulazimisha kuzaa ? mie nawashangaa kina dada
mnaolalamika kanizalisha kanizalisha..kwani mlikuwa hamjui kujikinga
na mimba sizizotarajiwa ??
Mrembo   |2010-08-23 07:54:37
Dada mtoa Mada naomba uje unisaidie kumshushua dada mmoja ananifata sana stepu
zangu..kila kukicha anchonga mie na maneno wapi na wapi
Anonymous   |2010-08-23 08:00:33
Na wewe dada badala uzungumzie maswala ya maana mabwana mabwana khaaaaaaaaaa
unaonekana ni mmbea kwanza huna hata bwana maana story imekukolea sanaaa huna
kazi inaonekana ushambenga mjini ongea vitu vya maana
Anonymous   |2010-08-23 12:56:38
KWELI KABISA KWANI WEWE ULIKUWA UNASEMAJE
Anonymous  - re:   |2010-08-23 08:03:17
Katarine wrote:
Tatizo letu wanawake tunapenda kujilazimishia na Mimba ili tuolewe lazima
tutofautishe pale mtu anavyotafuta pa kumwaga shahawa zake na pale
mtu anapoamua kuungana na mwenzie kwa ajili ya life time

TUWE TUNAWAULIZA WANAUME KABLA YA KUVUA CHUPI HAPA TUNAFURAHISHANA AU
TUNAZAA??





mdau umeniacha hoi.kwikwikwiiiiii
Anonymous  - re: mmh   |2010-08-23 08:04:40
Anonymous wrote:
Hivi watu mnalipwa kuandika mataka taka yenu humu?





sema wewe mdau,nahisi tumevamiwa humu.
ushuzi mtupuuuuuuuuuuuuuu
Anonymous   |2010-08-23 13:02:09
UVAMIWE UNA NINI WEWE NDIO MANGE MAU MWENYE BLOGU ANGEONA AMEVAMIWA ANGEBANDIKA
HAPO....WEWE NDIO UNAVAMIA USIPOPAJUA USIJE UKAVAMIA JITI UKAJUA........VUTU
BIBI LAKO HILO TATATATATATATATATATATATATTAATTATA :woohoo:
Anonymous   |2010-08-23 08:52:45
hehehehehehe Hallo hallooooooooo kinaga ushuzii huo JAMAN IHIZO NYODO LETE KAMA
UMEOLEWA ME NAMUHITAJI KWELI HUYO B PESA SINA NA BADO ANGEKIONA CHA MTEMA KUNI
KWANGU MIE NAHESHIMU SANA WAUME ZA WATU LAKINI MTU TU KISA MMEZAA NAE ETI
NISIJINAFASI KISAA?? HATA KAMA MLIKAA PAMOJA MIAKA 20 HAIHUUU wanawake acheni
ung'ang'anizi utamlazimisha akuoe lakini mwisho wa siku ataenda kwa aliyempenda
WE AUNT ULIYEPENDWA KULA MAISHA DADA kwa raha zako na wewe ukizalishwa akija
mwingine tukucheke ila hamna kuachia ngazi me nipo na mwanaume amezaa na mtu
watoto 3 na bado napeta kwa raha zangu na mama watoto akija salamu na heshima
mtoto mmoja ila jamani huyo B kama namjua vileee
Anonymous   |2010-08-23 09:24:59
wananwake wengine bwana wanavichekesho eti anadhani akimzalia ndio atatulia ama
hatamuacha ehe wanaume kama kunguru hawafugiki.
Mijitu mingine inataka
kushindana eti fulani kazaa hata me lazima nizae matokeo yake inabaki kulea peke
yake na kuwashupalia wengine. Hata vijijini siku hivi washambuka macho.
Anonymous  - re: re:   |2010-08-23 10:01:31
Anonymous wrote:
VUVUZELA 2 wrote:
mwenzangu mie mwenyewe nimezaa na mwanaume halafu sasahivi ananiletea za
kuleta nikimjua huyo anayemzuzua mbona atanitambua mie nimeshazaa
kama alikua hanitaki asingenizalisha angeniacha mie niendelee na
maisha yangu MIMI NASEMA SIACHIKI ama zangu ama zake huyo malaya
atakayeingia anga zangu


Na wewe kwani alikulazimisha kuzaa ? mie nawashangaa kina dada
mnaolalamika kanizalisha kanizalisha..kwani mlikuwa hamjui kujikinga
na mimba sizizotarajiwa ??




wanategeshea makusudi ili waolewe kwani hamjui siku za hatari? mtajiju
mtakuwa single mother kwa ujinga wenu na sio mzibie wenzenu bahati zao
na kigezo mtoto ovyo sana
Anonymous  - re: re: mmh   |2010-08-23 10:43:11
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
Hivi watu mnalipwa kuandika mataka taka yenu humu?





sema wewe mdau,nahisi tumevamiwa humu.
ushuzi mtupuuuuuuuuuuuuuu


,....
kama ni mataka taka mbona mnasoma na kukucomment..hebu ondekeni
hapa..mkisikia washambenga ndio nyie...mmelazimishwa kusoma ??? unajua
ushuzi wewe ??
unao huko matakoni !!
Anonymous   |2010-08-23 14:04:11
kwi kwi kiw kwi kwi
Anonymous   |2010-08-23 10:44:37
jaman mtajeni jina..mturahisishie kazi ya kumjua !!! heeh
mwanamke umbea babu
!!
Anonymous   |2010-08-23 11:30:48
jamani wadada kwa umbeya ushambenga na ushakunaku hamjambo! haya mambo ndio mimi
yalinishinda kuhusu... yaani kutwa kufuatilia mambo ya watu!
Anonymous   |2010-08-23 11:45:57
Jamani wewe uliesema ulifanya dawa mwanaume akafa sijui kama ni kweli ama uongo
BUT UNA ROHO MBAYA NA NGUMU Hata kama ni comment tu kuchangamsha genge unaonyeha
una roho mbaya kama kivuli cha shetani how could you think of such thing?kwamba
ulimuua mtu?guys nadhani humu ndani kuna mashetani yana-comment.
Anonymous   |2010-08-23 12:58:18
mhhhhhhhhhhhhhhh sema wewe shosti hatari TOBAAAAAAAAAAAAAAAA
KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Anonymous   |2010-08-23 14:20:50
DUU MI NDIO MAANA NAOGOPA KURUDI BONGO WATU WACHAWI HIVYO HATA WATOTO WA PRIMARY
WANAENDA KWA WAGANGA KUROGA!!!!!!!!!!!
BIKIDAWA   |2010-08-23 15:00:56
WACHA NIKUJIBU KWA HERUFI KUBWA WEWE NA WENZIO.......

SHETANI WEWE HAPO
USIYEJUA MAANA YA KUPORWA MCHUMBA, TENA 1ST LOVE NA KISHA KUTUKANWA MATUSI YA
NGUONI YALOSHIBA,,,,,,, KILA UKIKATIZA!!! KWELI NINA ROHO MBAYA AT CERTAIN
POINT WEN IT KAMS TO MASLAHI YANGU!!!! I LOVED THAT MAN,,,,ALICHEZA NA FEELINGS
ZANGU VYA KUTOSHA NA SIKUWAHI INUA MDOMO JUU KUJIBU HATA NENO MOJA KWA MABEZO
NILIYOPATA,,,,NILILIA NIKAUMIA NIKANUNG'UNIKA NIKAINGIA MSITUNI KWA MARA YA
KWANZAI!!!! HAPO KUNA KOSA GANI!!! SASA HIVI GUMZO KILA KONA NATAJWA
TUUUUUUUUUUUU ILA HESHIMA KWA WAPENDA VYA WATU NINA MTU WANGU SASA HIVI
NIMETULIA ROHO!!! CKUWEZA KUMPATA MTU YYT KIPINDI KILEEEE CHA MAUMIVU........
SASA U KEN KOL MI ANYTHING UNDER THE SUN AND I DONT REGRET, NA CKUMUUA ALIKUFA
PEKEAKE NDANI KWAKE....MWENYEWE

MIVUVUZELA DOMIKENII WEEEEEEEE HADI MIDOMO
INUKE ILA THATS MY STORY!!!!!!!!!!
BIKIDAWA   |2010-08-23 15:04:53
WEWE NAWE KWANI NANI KAKWAMBIA BONGO NDO IJE TU UPIGWE MAMBO BILA KOSA,,,, IBA
CHA MTU ALAFU KIMBILIA HUKO CJUI ULAYA AU AMERIKA UTAJUA SAYANSI ZA WATU.
Anonymous   |2010-08-23 17:11:59
Mhhhh! God 4bid jamani!
Anonymous   |2010-08-23 18:07:30
hivi mnaua kisa nini???MSHOMBONGE?
NAUJUA NI MTAMU UKIUPATIA ILA SIJAJUA
BADO!!!

KAMA UMEZAA NA UMETOSWA, SASA UNANGANGANIANA NINI??? SI USHUKURU MUNGU
UMEACHIWA MTOTO ATAKAEKUFAA MAISHANI! SI BORA WEWE UMEACHIWA MBEGU TAKATIFU
KULIKO HAO WALIOACHIWA MBEGU WAKISHAZIFUTA NA TISSUE WAMESAHAU,

ILA USITEGEEMEE
KUZAA NDIO KUMBANA MWANAMMNE UWE NA KIPATO CHAKO HUTOADHIRIKA TUAMKENI
WANAWAKE!!!!!
Anonymous   |2010-08-24 07:35:54
Hata kama ni 1st love NO JUSTIFICATION FOR KILLLING HIM?!
Narudia tena
kukwambia wewe ni zaidi ya shetani na mpaka shetani anakuogopa ,how could U Kill
some one?
Na umesema hata hu-feel guilt then kweli wewe ni mnyama wa ajabu
.
Sasa huyo mtot ulozalishwa ushamwambia baba yake ulimuua?!
NA WEWE UKIFA
UTAFUNGWA JIWE SHINGONI
Anonymous   |2010-08-24 11:07:22
SHOSTI TUOMBE MUNGU WENGINE TUNAISHI NAO SIO WATU MIJINI, MISHETANI ILIYO KATIKA
MIILI YA KIBINADAMU YAANI MTU PIA AWEZA KUINGIWA NA ROHO YA UMAUTI NDIO HAO
BI KIDAWA   |2010-08-24 13:10:02
HAYA MFATE KUZIMU KA UNAMHURUMIA SANA!!! nYaU WEWE!!
Anonymous   |2010-08-26 07:03:04
Viumbe wengine mna roho ngumu mweh! hivi huyo mkaka ulimpenda kweli na pendo
hilo kubadilika kuwa chuki hadi mauti maana hata sasa amekufa bado wafanya
sherehe dada "ADUI YAKO MUOMBEE AISHI SIKU NYINGI ILI AONE MAFANIKIO
YAKO"
mTuKuTu  - re:   |2010-08-24 14:33:29
Anonymous wrote:
tunawaja tunawastahi tuu, mnashishawaaaaaa sana yamewashinda mnapigwa
kib.....halafu mnaachwa eti maefika ungehangaika kuja kwenye
mablogu angeshikwa angeshikamana mwanfanyala mkazi wa mwanayamala usie
haya wala kupigwa kipapai ukapata wako mwana..heri hao wa nje we wa kwako
yuko wapi.....nimekujibu officially maana mie niko kivyangu
mnajishtukia mpaka kukodi majeshi OVYOOOOOOOOOOO mvaa chupi iliyotoboka we
ukaacha VUVUTU wazi kila apitaye akaonja ukadhani wamefika kumbe
wenzio wanapita wala hawakukumbuki mpaka UCHI uloota SUGU mfyonzoooooooooo
usichezee moto ntakufwata wewe kizabizabina mpaka mlangoni
kwako nikupe NDONGA za haja..unajijua sina haja ya kukutaja..VUVUZELA
ukavaa sarawili zisikukae eti madai yako DIET wapiiiiii uso umekupalama
kama choo cha mazense uwanja wa fisi kwa mdogo wake mwajuma ngalandefu
shogake asha...
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook