Who's Online
We have 311 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday7009
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week7011
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month54083
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933650
Login



YALIYOMKUTA DADA ALIETEMBEA NA MUME WA MTU....
Written by Mange   
Thursday, 19 August 2010 18:58

Mwanamke umbea babu,halo halo.

Wanawake wenzangu kila siku mnaambiwa msiwe mnatembea na waume za watu hamsikii sasa labda leo mtajifunza kwa yaliyompata huyu bibie anaejidai ni superstar mji huu,

Basi huyu demu aliekuwa akiishi marekani ila alirudishwa kwa deportation mwaka jana (natamani kuweka jina ila nahisi mama uturn hatoweka article nikiweka jina lake,ila jina lake linaanza na R) alikuwa anatembea na mume wa mtu ,sasa badala hata awe na adabu au heshima kwa mkewe dada akawa kazi kumtukana huyo mke kwa meseji na kumwambia mumewe hatorudi tena kwamba yeye keshamshika.

Basi siku ya tarehe 10 may 2010 huyo dada alipotea ghafla baada ya kutekwa na mijaune minne yenye misuli, mijanaume hiyo ilitumwa na mke wa huyo jamaa aliekuwa anakula nae uroda,unaambiwa walimfanyia vitu vyote vichafu unavyoweza kufikiria wewe na pia walimpiga picha wakati wakimfanyia hivyo vitendo,

Baada ya hapo wakamtupa pembeni mwa barabara akaokotwa na mapolisi na kupelekwa hospitali,

Tena siku hiyo nakumbuka watu tulikuwa tunajirusha kwenye kiwanja kimoja hapa dar habari zilipoanza kusambaa kwenye kiwanja hicho kwamba R kafariki dunia wengine walianza na kulia wakidhani mdada kafariki kumbe habari zilifika vibaya alikuwa amelazwa hospital akiwa na hali mbaya sana.watu walipokwenda kumuona hospitali akawa anajidai kachanyanyikiwa hakumbuki kafanywa nini au hao watu walimpeleka wapi huku alikata kutoka hospitali siku hiyo hiyo akiogopa waandishi wa habari watafika hospitali.

Inasemekana huyu dada sasa hivi kaacha tabia yake ya story ya uongo ungo na kutembea na waume za watu, tena huyo mama aliemfanyizia amemwambia akimsogelea mume wake tu basi picha zitakwenda kwenye magazeti

Sasa nyinyi mliobaki na tabia hiyo jiangalieni sasa,watu tunawapenda waume zetu sasa endeleeni kujileta tutawatoa roho mwaka huu.

Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-08-19 17:03:35
Si R huyoooooo mbona story yenyewe imesha pita na wakat?? lakini asante
Anonymous   |2010-08-19 18:48:06
HUYO MUME NAYE ADHABU YAKE ????? NYINYI WANAWAKE ACHENI KUVUKA MIPAKA YA
UBINADAMU KWA AJILI YA MWANAUME, HAPO UNALALA USINGIZI NA FURAHA ROHONI AU??
WEWE ULIYELETA HII STORY GET A LIFE, NA MKE WA HUYO JAMAA AKAPIMWE AKILI
MIREMBE, PUMBAFF
Anonymous   |2010-08-19 18:48:38
Nauliza baada ya kufanyizia una uhakika gani kama amemuacha mume wako, unajuaje
kama mume ndio ametoa na hela ya matibabu??? na kosa liko pale pale halijafutika
dada MUMEO ANA NYUMBA NDOGO HUO NDIO UKWELI NOW WHAT NEXT UTAKATA UUME WAKE B)
Anonymous   |2010-08-19 18:54:43
Tutabanana humo humo tukale wapi sisi masingle? mume wa kugombea ni mtamu
usisikie, jaribu uone.
Anonymous   |2010-08-19 14:29:32
Tunashukuru kwa taarifa nzuri na yenye mafunzo uliyotoa. Naomba nieleze kuwa
inatakiwa na hao wanaume wa watu waache kufata mabinti. Mi nina mfano halisi
kuna jamaa moja mwenye jina kubwa tu hapa mjini, alimfatilia rafiki yangu kwa
miaka 2. huyo rafiki yangu alimtukana matusi yote duniani lkn jamaa akuchoka.
rafiki yangu kama binadamu akajikuta ameingia kwa uhusiano, mpaka leo wana
miaka 5 ktk relationship yao na wana watoto 2. Jamani jamaa amekufa kwa huyo
rafiki yangu. kwa hiyo tusilaumu tu wasichana wenzetu. Tuongee na waume zetu
waache hizo tabia. Kuna wanaume wanadai kabisa kuwa ye hakumpenda mkewe ila
alioa sababu alipata mimba. Na nyie mabinti ambao hamjaolewa muache kujibebesha
mimba ili mpate ndoa, ndio hayo mwanaume anaona mimba sio wewe. Nasubiri madogo
ya mavuvuzela. Mrs. JM
JIBEBE   |2010-08-19 14:30:06
Hhahahahahha toka na Mkwara wako hapa hatuachi ngo ! tukale wapi kama yeye
alikuwa anamtukana mke wa jamaa ujinga wake sisi wenzie tunawanunulia
hadi vitenge waume zao wawapelekeee

Loo Mume wa Mtu ulimzaa wewe ?
utawafanyizia wangapi Dunia hii ? 

Pole we
disminder   |2010-08-19 14:34:50
HUYO MWANAMKE ALIYEMFANYIA MWENZIO HIVYO HANA AKILI ILE KITU NI YA KUCHANGIA
HAINA MAKOMBO!!!
Anonymous   |2010-08-19 14:51:14
PELEKA UMBEA HUKO SWAUMU HII!! NA WEWE PIA CHORIIII VILE VILE WA WAUME ZA
WATU!!!
judith   |2010-08-25 08:09:25
endeleeni mkafe vizuri nyoo.mtu mwenyewe tumesha mjua na kweli ni mongo sana
kila siku anajifanya matawi nyoo wamekuweza mwaka huu R
kidawa   |2010-08-19 14:53:58
alishahojiwa mwenyewe na akakanusha yote hayo hata dadake alikanusha acha umbea
mbona wewe unabakwa kila siku husemi
judith   |2010-08-25 08:10:25
atakubali kwani ni sifa na wewe?? lazima akatae na ni kweli hii hat mimi
nilishuhudia nyoo he he he he he he ndio ukome shosti cha mtu sumu
Anonymous   |2010-08-19 17:00:30
Huyo dada ni mdogo wake nanii nini? Maana ndo alierudishwa toka US! Tena akome
alishawahi kujipeleka kwa mume wangu jamaa akamtosa akajitongozesha tena kwa one
of my hubby's staff ambae nae mtu wa totoz! Ingawa hawakudumu! Na ku na siku
nilipokutana nae kwe event moja town akawa meza moja na one of my frend mimi ni
mke wa fulani akajidai"u have a nyc husband jamani namfahamu mume wako,
hongera sana!" Nikampotezea ila nilimmind kinoma!
Anonymous   |2010-08-19 14:58:35
wakushikhikishwa adabu ni huyo mume na mke wake!!! sio hyo dadaa, mpaka mume
wako anatoka nje, ujue una kasoro aidha mchafu, unagubu au hujui
kukatikia.
wanawake TUJIFUNZENI KABLA KUWASHUTUMU WANAWAKE WENZETU!
Anonymous   |2010-08-19 17:45:02
SI kweli sanyingine mwanamke yuko perfect lakini huyo R kaja kumtongoza mume kwa
nguvu zote wanake wengine kama wamesomea ku-ugawa vile.hawana haya kabisa
akimtaka bwana wa mtu mpaka ampate ilimradi amrushe roho mke wa watu.ni mila na
desturi za kiswahili hizo.kama huyo R ndo naemdhania mimi kachoka kweli hata
mkorogo umemkataa.sio mdogo wa mis TZ
titi   |2010-08-19 22:51:37
nani amekudanganya? hata ujioshe na jiki wanaume hawaridhiki,ukiona kimya basi
ujue haujambamba,ila usidhanie hatoki nje eti sababu wewe ni msafi.
hawa viumbe
ni washenzi sana, mimi wangu nikimkamata baada ya kumfanyizia huyo mwanamke
mwenzangu nitamkodishia watu huyu mwanaume ili wamkate hiyo kichwa yake ili
tukose wote,maana ninavyojijua baada ya kumshika sitakuwa na mapenzi naye tena
DadaMkubwa   |2010-08-20 07:11:18
We uliesema mwanaume mpaka anatoka nje hujui kukatia ,mchafu or gubu,temea
chinin juu yatakurudia
Wanaume hawabebeki ni sawa na kapu la kinyesi
usipolitua kwa uzito utalitua kwa harufu,
Hasa wanaume wa Bongo,
Kama
hujaolewa kaa kimya kama umeolewa kuna siku utapata shock ya kuua mtu
Anonymous   |2010-08-20 15:55:03
Duh! We dada una maneno!
judith   |2010-08-25 08:11:24
na alishawahi hata kutembea na mume wa dada yake hatujasahau hilo he he he he he
he he nimefurahi saaaaaaaaaaaana
Anonymous   |2010-08-19 16:57:05
Kazoea huyo kulala na waume za watu. Alishalala na mume wa dadake hana haya
huyo.
Anonymous   |2010-08-19 17:37:20
Duh hafai kabisa naona ataacha sasa. mpaka wa dadake
kwanini hasitulie
na bwana mmoja wake mwenyewe . basi anakasoro ndo mana kutwa analala hovyo
isije ikawa kama huyu binti star wa ujerumani bure! SI BURE :whistle:
Roda   |2010-08-19 15:30:46
Hee, sasa huyo naye kisa cha kumtukana mwanamke mwenzie, kwani alikuwa na kosa
gani, kwanini kama kaamua kuwa na uhusiano na huyo kaka, asimheshimu tu huyo
mama wa watu? anyway, tunatofautiana....
Ila mdada uliyeleta mada umenichekesha
eti nyie mliobakia wenye tabia hiyo sijui jiangalieni tunawapenda sana waume
zetu,its true tunawapenda sana but mi naona kwa hali ya sasa mfano Dar
kilichobakia kuheshimiana tu,kwa ufupi staha ndo inayotakiwa kama situation kama
hii inamtokea mtu, maana falling in love tunaambiwa ni accident, ofcourse mtu
akifall in love na mume wa mtu anajua kabisa ni company tu, hakuna kuolewa,
labda kama awe muislamu labda kuna chances.Sasa badala ya kusema nyie mliobakia
jiangalieni, ungeongezea na kutilia mkazo zaidi kwa hao waume zetu tunaowapenda
kuwa WAFUNGE ZIPU ZAO WATULIE....maana siwezi sema eti hatuwatoshelezi ndo mana
wanatoka NO,ni tamaa zao tu na kutokutosheka, na kuoa haraka haraka au bibie
...
ras   |2010-08-19 16:00:44
I'm really shocked at reading this story - the one who has written it seems to
be happy. First of all if there was justice in Tanzania the wife of the man
would be held and prosecuted for causing harm to the woman.

Nyie wanawake lini
mtaelewa kwamba mme wako akitembea na msichana nje ya ndoa tabia chafu inatokana
na mme wako. Who got married to whom wasn't it your husband who promised for
better or worse kwahiyo why not deal with your husband.
Wanawake wengine
wajinga.
Anonymous   |2010-08-19 17:09:57
Kweli kabisa ni hilo li mume la watu ndo limemshushia hadhi mkewe sanyingine
akiwa na huyo R anamponda mkewe hajui kitu....... ndo mana R kapata fulsa ya
kumtumia msg za kumtukana.ilitakiwa mume ndo afanyiziwe sio binti!/R.

na hao
midume minne iliomfanya vibaya mtoto wa watu ipelekwe jela halaka sana
ikipatikana. :X
Anonymous   |2010-10-18 13:54:31
mwenzenu aliliwa mtungooo....bila shaka alifurahi sana maana wanne
wote.lazima alifikishwa kunakp
na jinsi mnasema anapenda ngono, basi hii adhabu
haikustahili..lol

ila huyo husband ndio wa kuchapa bakora.
ndio huyo dada
alikosa heshima na kudiliki mtukana mwenye mali yake,naye angeshea adhabu, ila
janamume ndio la kuliadhibu halafu unaliitia kikao cha familia
ila ni kama
unajali
maana isije kuwa ,unatoa tu adhabu kukomoa
lol
Anonymous   |2010-08-19 18:41:02
ras well said, wanawake wa bongo wanaabudu wanaume kama mungu zao akisikia mume
kacheat anaacha hata kwenda kazini anakusanya akiba ya hela yote kumdhuru
mwanamke mwenzie, huu ujinga sijui umetokea wapi hata enzi za mama zetu
sijausikia
Anonymous   |2010-08-19 18:43:43
Ukosefu wa shughuli ni kitu kibaya duniani, hivi kweli ukiwa mtu wa professional
yako uko busy na kupanga mipango ya maana huu muda wa haya mawazo utautoa
wapi???? hiki ni kichefuchefu
Anonymous   |2010-08-20 01:30:26
Kwa wadau hapo juu... mimi nawakubali swala la kudeal na mumeo maana yeye ndie
aliye take vows. so deal with him. However, I am not saying this woman was right
to do this to her fellow woman but I understand. More often we see these stories
of infedelities na often time ni mwanamke ataenda kumuattack mwanaume mwenzie au
mwanaume atamdunda mwaname mwenzie kwa kumchukulia bibi yake.... nimefikiria
hili jambo sana kwanini binadamu tunareact hivi.. I came to this conclusion.. in
our mind our spouse is our property weather you like it or not. ni kama bustani.
umekuta pori ukakata magego,ukalima, ukapalilia, ukamwagilia mbegu ikachepua
then mtu mwingine anakuja kuvuna.... again am not saying its right but I
understand....
judith   |2010-08-25 08:12:27
toka hapa na wewe hebu nenda kaoche hayo madole yako shenzi wewe
mbea   |2010-08-19 16:22:23
jamai ebu limwage hilo jina tumjue na sie...
Anonymous   |2010-08-20 17:28:00
nenda google andika binti atekwa
Anonymous   |2010-08-19 16:27:23
for all those women who mess with other girls
BOYFRIENDS OR HUSBAND. Get your own stupid ass because if i catch you with my
booooo u will pay a price you can never forget. I repeat IF I CATCH YOU WITH MY
MAN OH LORD HAVE MERCY ON YOU.
Anonymous   |2010-08-19 17:05:27
And if you catch ur man with a woman? I got my own husband but your man
keeps following me and his not my type.ha ha ha haaaaaaa halo halo
Anonymous   |2010-08-19 18:52:19
YOU BETTER FAK WITH YOUR BOO FIRST, DON'T PLAY WITH US BITCHES WE ARE GOING TO
FAKE YOUR ASS UP!!! HEAR ME
Anonymous   |2010-08-19 22:11:27
Oh honey.......why havent u done that till this minute....lmfao!!!!!!!!! N I
aint plannin on stoppin any time soon....lol. So U better find me and "fuck
my ass off"...lol, as u claim to...."whore"
judith   |2010-08-25 08:15:09
kingereza bila pesa ni sawa na kupiga kelele
Anonymous   |2010-08-19 16:38:10
mhhhhh makubwa haya madogo yana wenyewe sasa kumbe R alikuwa deported duuuuu
noma. Ndio maana siku hizi kakaa kimya sana. Jamani sasa mbona alikuwa deported?
Wambea leteni story basi
Anonymous   |2010-08-19 16:49:05
JEALOUSY CAN KILL
LMAO
Anonymous   |2010-08-19 16:50:27
UTAKUFA NACHO KIJIBA CHA ROHOO
UTAZIKWA NAYO ROHO MBAYA NA CHOYO

ETI
UMEPEWA?
MBONA WATAMANI VYA WENZIO NA MAISHA YAO PIA?
Anonymous   |2010-08-19 17:21:49
hahahahah......hata mie natamani kulitaja jina la huyu bibie.....hata mimi
alitakata kunikosanisha na swaiba wangu hivi hivi
mwa   |2010-08-19 17:21:59
unacheza wewe kwani mme wa mtu nikitu gani kwani huyo mme akujua hana mwanamke
nyumbani huyo mke anakasoro hata kama alitafuta watu wamfanyizie ni kwamba
hajatatua tatizo ni bwanake anajiangaisha kama sivyo na yeye atafute
king"ashi kimkaze auhajui kuukalia au kujiosha vizuri bwana anataka kuwa
kimeoshwa sio harufu ya samaki ataliwa vile vile na mwamake mwengine
Anonymous   |2010-08-19 17:29:33
Mume wa mtu mtamuuuuuuuuuuuuuuuuu!!! Mtajibeba mliolewa lazima waume zenu zenu
wachukuliweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Anonymous   |2010-08-19 17:57:41
WEWE NDO WALIO SOMEA KU-UGAWA HASWAAAAA.MPAKA UGAWE HOVYO NDO UME MAKE UR
DAY!
KWA SIKU UNAGAWA KWA WAUME ZA WATU WANGAPI? MANA UNASHADIDIA SANA KULALA NA
WAUME ZA WATU .HAYA KWA SIKU UNAGAWA KWA WANGAPI?.LAHANA BUKH WEWE.
Anonymous   |2010-08-19 18:56:52
Halo halo dada wape wape ukweli wanuka maziwa, mume wa mtu mtamu kama asali,
wera weraaa
Anonymous   |2010-08-20 01:36:20
at the end of the day he comes home. you are just a disposal. bado utalala na
baridi. you will always be behind the scenes never respected!
mimi   |2010-08-20 23:14:55
ahahahahah lol ur mad right?
ur kidding eti at the end of the day he comeshome
unaota wewe...nyie ndio wale mnaoficha vidonda kuna wanaume wanenda nyumbani
kupeleka pocket money ya watoto tu then umuoni week tatu alafu umeganda tu kisa
ana vijisent alalalala
i wont blame another woman kwa kutembea na mume wangu
cause mume ndio muhusika zaidi
i think ill sit down with huyo mwanamke awe
rafiki yangu nijue weakness zangu
Anonymous   |2010-08-21 06:59:00
Hahahahahaaa Umeyasema vizuri sana...
Anonymous   |2010-08-21 10:07:52
sometime hakuna hata weakness yoyote maana nobody is perfect hata huyo mwanaume.
ni tabia tu na tamaa
Anonymous   |2010-08-19 17:47:12
wanamme wanaridhika? kama mkewe ananukia marashi ataenda tafuta anae nuka,hawana
hata sababu za ku cheat ni sie tu wanawake tunataka kutoana roho kwanini
tunashindwa ku deal na hao waume zetu?mwanamke mwenzio anafanyiwa matendo ya
ajabu unashangilia ama kweli wanawake hatunazo!!!!!!!ningekua nimefanyiwa mimi
hivyo ningeakikisha justice inatendeka wangeozea jela na huyo aniewatuma,kama
mmeo hakutaki na kaanza na kutoka nje si umuache ujitegemee maisha single poa
tu,wanawake tujiamini!!!wanaume wanajua weakeness zetu ndio maana tunapingwa
dana dana.
Anonymous   |2010-08-19 17:55:11
yaani ananiudhi pale anapojipulizia perfume nyingi hadi inapalia hadi inanuka
kama uvundo. halafu ni mwizi,
Anonymous   |2010-08-19 17:55:32
mnasema kaacha tabia hii nani kasema......poleni, sasa hivi wameamua kufanya
mambo yao private....tena jamaa anamjengea na nyumba shauri yenu
Anonymous   |2010-08-20 06:13:58
Hahhahahahahah hiyo hata mie nimeisikia..
Anonymous   |2010-08-19 18:05:23
jamani unakuwa mwizi halafu na matusi juu? mi mwenzangu na heshima ile mbaya kwa
bi mkubwa. Na hivi anajua mi ni rafiki wa karibu tu wa mume kwa hiyo tukikutana
salam kwa sana vicheko lakini hajui kama ni bi mdogo na nina mtoto wa 4yrs na
mumewe.
Anonymous  - re:   |2010-08-19 18:06:28
Anonymous wrote:
Mume wa mtu mtamuuuuuuuuuuuuuuuuu!!! Mtajibeba mliolewa lazima waume zenu
zenu wachukuliweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


HATUKATAI LAKINI KUHESHIMIANA MUHIMU. MATUSI YA NINI???
Anonymous   |2010-08-19 18:59:14
Heshima wewe shangazi yangu matusi matusi tu panakua patamu mke anapojibu
mashambulizi
Anonymous  - re:   |2010-08-19 18:21:17
Anonymous wrote:
WEWE NDO WALIO SOMEA KU-UGAWA HASWAAAAA.MPAKA UGAWE HOVYO NDO UME MAKE UR
DAY!
KWA SIKU UNAGAWA KWA WAUME ZA WATU WANGAPI? MANA UNASHADIDIA
SANA KULALA NA WAUME ZA WATU .HAYA KWA SIKU UNAGAWA
KWA WANGAPI?.LAHANA BUKH WEWE.

Hata kama nagawa kwa waume 100 kwa siku haikuhusu, utajiju kama umeshindwa
kumpa malavi davi mumeo ndio huyo anakuja kwangu. Jamani eheheh tatizo
sio sisi bali ni hao waume zenu wanatufuata sasa nifanyeje na mie nipo
single? Hata mie nataka mtu wa kunikuna kama wewe
Anonymous   |2010-08-19 19:25:11
basi umekufa ganzi mana kwa siku mia bado tu unataka kukunwa! kati ya hao mia
hata mmoja Hajatulia na wewe au ajakuomba utulie nae! mwenzangu unabalahaaaa na
gonjwa lisilo kusikilizisha radha ya uume. si bure.
mie bwana wangu akitaka
kucheet itabidi acheet na mwanamke alienizidi mie sio changu kama wewe na kupata
alienizidi tabu sana HAMNA katulia wala ageuzi shingo.POLE SANA
Anonymous  - re:   |2010-08-19 18:25:41
Anonymous wrote:
jamani unakuwa mwizi halafu na matusi juu? mi mwenzangu na heshima ile
mbaya kwa bi mkubwa. Na hivi anajua mi ni rafiki wa karibu tu wa mume
kwa hiyo tukikutana salam kwa sana vicheko lakini hajui kama ni bi
mdogo na nina mtoto wa 4yrs na mumewe.


Bila aibu uko so proud utasema umefanya Jambo la maana huh? Just put
yourself in her shoes, how would you have felt if some cock monger is
after your Hubby? You should be ashamed of yourself mxsiii unatia
kinyaa.
Anonymous   |2010-08-19 19:26:10
well said
Anonymous   |2010-08-20 07:33:40
Anatia kinyaa mno, sijaolewa na sina mtu na wala sifikirii kuwa na mtu wa mtu,
ya nini kujitia nuksi na mabechelor wapo kibao, kuwa na mume wa mtu ni
kutojiamini kama you can find your own, nakusikitikia wewe dada kutesa kiumbe
cha watu ( huyo mtoto) kwa kumkosesha kuwa na baba huru
Anonymous  - re: re:   |2010-08-19 19:02:12
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
jamani unakuwa mwizi halafu na matusi juu? mi mwenzangu na heshima ile
mbaya kwa bi mkubwa. Na hivi anajua mi ni rafiki wa karibu tu wa mume
kwa hiyo tukikutana salam kwa sana vicheko lakini hajui kama ni bi
mdogo na nina mtoto wa 4yrs na mumewe.


Bila aibu uko so proud utasema umefanya Jambo la maana huh? Just put
yourself in her shoes, how would you have felt if some cock monger is
after your Hubby? You should be ashamed of yourself mxsiii unatia
kinyaa.


Sikumfata alinifata tena kwa kutumia mpaka dada zake na kaka zake. kwa
taarifa yako familia nzima inanijua kuanzia wakwe na ndugu zote. ambae
hajui ni bi mkubwa tu. na wala jamaa hajawahi mponda mkewe kwangu.
kama nampa heshima yakehuyo mwanamke tatizo liko wapi? sina kidumu wala
kindoo, nina huyo mume tu. U should be ashamed of
urself mxsiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...
Anonymous   |2010-08-20 06:15:53
Hahahahahahah... kesheshe..
Anonymous   |2010-08-20 07:41:04
Hakuna jastifications hapo umetembea na mume wa mtu NA HAIWEZI KUBADILIKA huna
haya kwa kuuchakaza usichana wako kwa mwanaume aliyeoa kisa ulifuatwa na dada
YAKE sijui whoever, u should be ashamed mwenyewe na kwa ujinga wako unasifia
hampondi mkewe kwako... LOL ni kwa sababu anampenda kuliko wewe na ndio maana
anamficha hataki kumuumiza.. wewe hapo ulichukuliwa KUZAA mtoto period I can see
that. hakuna cha kujieshimu wala nini wewe ni changu PERIOD kwa kitendi cha
kukubali kuchangia muhogo na mwenzio huna tofauti na wale wa meeda au kona bar
wasio na KINYAA.... NADHANI UMENIPATA
Anonymous   |2010-08-19 19:52:19
dawa ya moto ni moto. mie mume wangu anatoka na lijimama fulani hata kuoga
halijui, guess what, nimejitafutia mpopo ananilamba huko chini na kunikuna
vilivyo. mume akijifanya anaaga sijui anatoka au anasafiri yaani nafurahi hadi
basi namsindikiza na masmile na makiss....

i have been kunalwing na mpopo for
3 years mume wangu alivyo mjinga hata hajastuka.....ila inanisaidia sina haja ya
kugombana wala kuwa deprssed and am happy...AND PROUD
Anonymous   |2010-08-20 05:31:49
Yaani shost kama mm! umecopy kati kwangu nn? eeh mm nnkakijana kamenipita 2 yrs!
basi aka kijana ananikuna mpaka nalia! yeye anajifanya yuko bizy na kazi na
vikao kumbe ana yake,mm kimya nakula vyangu taratibu.
Anonymous   |2010-08-20 06:17:07
Hahahaha wewe dada Mke wa mpopo siku akikushika atakubalasa ipasavyo halafu huo
uchawi wao... ATAKUGEUZA MENDE..
Anonymous   |2010-08-20 07:43:13
My dia na wewe kama huyo mpopo anakupenda mwache tu huyo mwanaume na uwe na
mpopo hakuna haja ya kupretend achana naye aoe hilo jimama na ww na mpopo wako
huku kufake hakuna maana you 2 should be straight
Anonymous   |2010-08-20 21:56:09
Shosti nilifikiri niko peke yangu mwenye maisha kama yako na mimi nina jibaba la
visiwani nikiwashwa napanda boti au yeye apanda boti tunaliwazana kwishney, mume
wangu hajui ananiona happy kila siku, na mimi najifanya sijui kama ananyumba
ndogo, kila mtu kwa raha zake maisha mafupi raha ya uroda ni kupata uroda.
anon..   |2010-08-19 20:43:11
kwa kweli dunia hadaa,ulimwengu shujaa..wanawake sasa mmedata nimekubaki..swala
la ngoma wala sio tishio tena,watu very materialistic jamani..kuna raha ya kuwa
na wako bila kujificha,shoga yangu alitoka na mume wa mtu,ikifika saa 2 usiku
mwisho wa mawasikiano..kuna siku aliumwa usiku nusura afe,marufuku kumpigia
hawaraye mume wa mtu..yani mpaka kesho imefika mume wa mtu apata taarifa,bi dada
alishapata miled stroke..sasa ya nini uwe na mwanaume kwa vificho and when u
need him the most he can not be there with u?then what goes around comes around
kwa wale mnaoamini..ni laana na wewe kesho ukiolewa mumeo atakuwa
hashikiki,mtafuteni dada mmoja anaitwa flora kakulia tanga awape story ya maisha
yake..wanaume wazuri bado wapo jamani,wanawake tuache kukubali kuchezewa,maana
kama sio kwa juju na ndumba(uchawi which is very comon now a days)mume wa mtu
atarudi kwa mkewe tu,na one day atakumwaga tu..wanaume wengi wanasema wazi
wanahe...
VUVUZELA   |2010-08-20 06:03:10
NA HUYO NAYE KUBWA JINGA,,,,, CMU MWISHO SAA MBILI NI UTUMWA!!!!

MUME WA MTU
MTAMU BIBI EEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!! MIMI NINAYE SASA NI MIAKA MITANO NA
NNAMPENDA KUFA,, NASPEND NAYE 70% OF HIS FREE TYM,,,M HAPPY AND VERY COMFOTABO
WIT HIM CNA MWINGINE NJE NILIJARIBU HUKO NYUMA ALITAKA KUNIUA ALIVYOJUA MAANA
NILIPIGWA KARIBU YA KUFA NIKALAZWA WEEK NZIMA,,,,,, ILA ALIKUA HOSPITAL 24/7
CJUI KWAKE ALIAGAJE,,, SHURTI KINIPETIPETI...... NILIVYOPONA TUUUU NIKAAPA
CTARUDIA TENA KUMCHEAT NA TUMEDUMU HADI LEO.......... BI MKUBWA ANASIKIA TU ILA
HANA UHAKIKA KAMA NINAEXIST...... NA CMU INCASE OF EMERGENCE CNA MIPAKA MIE
NAPIGA HATA SAA NANE AU KUMI USIKU!! INGAWA KAMA NI ISSE ZA KAWAIDA SINA
UTAMADUNI WA KUMPIGIA HOVYO......HAS ALWAYS BEEN THERE FOR ME......

HATA CKU
MOJA CJAWAHI KUINUA MDOMO KUMTUKANA MKEWE WALA KUMSEMA VIBAYA MI NAMUHESHIMU!!
INGAWA SIKU AKIINGIA KWENYE ANGA ZANGU AKANILETEA KUJUA NITAMJUZA MIMI NI NANI!!
NATAK...
Anonymous   |2010-08-20 13:03:54
jamani dada wewe nimekuvulia kofia, hivi kwanini tunakubali wanaume watutende
hivi? yaani yeye anacheat kutwa kwa mke wake na wewe, halafu wewe hawezi kukuoa,
halafu kakupiga nusu ufe alafu ndio unacommit naye???????? Who the hell does
this guy think he his? and you need big help my dear nafikiri you have major
self esteem issues you can seriously do better than that!
VUVUZELA - nanenepa kwa stress   |2010-08-21 09:22:42
HEEEEEEEEEE KOMA WEWE!! UNAULIZA NINI??? 4 UA IN4MATION THE GUY IS A REAL
MAN,TALL N HANDSOME,INTELLIGENT,HARD WORKING, THE BEST FUCKER, NI HAYO TU KWA
KIFUPI,,,,,,, NA NNACOMMIT NAYE KWA SAAAAAAAANA TU!!!! WEWE hUJUI ANANIKUNAJE
WEWE TENA KAA KIMYA NAMPENDA KUFAAAAA!! NA NANI KAKWAMBIA HANIOI,,,,,,,,
NINAMALIZIA KITABU(DIGIRII YA PILI) KWANZA NIPATE KAZI YANGU STABLE NA MIPANGO
YA NDOA IKO MBIONI JAMAA NI MUISLAMU KWA TAARIFA YAKO NA MIMI NI
MUISLAMU,,,,,,,,, NA NINAOLEWA KWA RAHA ZANGU KWA CHEREKO ZOTEEE DINI
INANIRUHUSU!!!! WEWE NINI KUNAKUUMA?? hakuhuuuuuuuuuuuuu bibi eeh! UKOME
KURUKIA MANENO YA WATU HATA HUJUI TUNAISHIJE UMETUMWA NINI?????????????????H EBU
NIONDOLEE KIWINGU HAPA SURA IMEKUSHUPAA KA NGOZI YA GOTI!!!!!!!!1 HIVI UMEWAHI
KUPENDA WEWE AU UNAFANYA MAIGIZO WEWE!!!!! CMUACHI HATA KWA NINI,,,,,,KIFO
PEKEAKE NDO KITATUTENGANISHA...... NIMEVUKA KWENYE MAPENZI YA KICHINA MIE
NYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO...
Anonymous   |2010-08-19 21:01:56
By Law...anaweza akamshitaki huyo Mke wa Mtu. Na kweli sisi wanawake tunakuwa
wajinga, sasa kamkomesha huyo kwanini asikomeshe mumewe. Ikiwa anakatabia hako
ka kutoka nje basi ataifanya na mwanamke yeyote yule, si lazima huyo dada
aliyetendewa kitendo cha unyama.

Bado hayakomesha the root cause.
Anonymous   |2010-08-20 06:20:18
Nashangaa mwenyewe anajiona kakomesha wakati mwanaume karudi pale pale.. na gari
kapewa na nyumba anajengewa.. Halafu hivi Bongo hatuogopi UKIMWI? Inatisha
sana..
Anonymous   |2010-08-20 08:59:31
sasa nyie mnaosema sijui kajengewa nyumba sijui kapewa gari, wanaendela..i huyo
mke wake akisikia this time si atauwawa jamani? halafu mbona hamuwataji hao mke
na mme ni akina nani mmemtaja tu huyo R tueleze kabisa na mke jina lake linaanza
na nini na mme wake pia? shame iwe kwa wote watatu!
Anonymous   |2010-08-20 07:45:48
hajakomeshwa kwa kutenbea naye, kakomeshwa kwa nyodo zake kwa mke wa mtu, hiyo
safi
Anonymous   |2010-08-19 21:14:13
Mambo ya uswahilini...

Umbeya ...kuibiana waume, kusutana, kuwekeana visasi,
unfaithful partners.

kweli tutaendelea........

Please do get me
wrong....this happens when someone is too desperate to remain married,
eventhough the things are falling apart. If I were the woman in question with
unfaithful hubby, I would just walk away. Causing harm to others in order to
protect the marriage its lame, illegal and totally insane.

The person thats
need a punishment is the HUSBAND. I rest my case.
Anonymous   |2010-08-20 07:47:45
husband hajaleta nyodo aliyeleta nyodo ni huyo bibie, mimi ningewalk away lakini
lazima nimkomeshe huyo mwanamke kwa nyodo zake kwangu... nyodo ndio huumiza
zaidi
Anonymous   |2010-08-20 09:03:45
hivi nyodo inauma zaidi ya baba watoto kwenda kutafuta visichana wengine nje
wakati you took a vow naye? wakati mna watoto anaweka familia at risk? hivi
kwanini wanawake tuko rahisi kusamehe wanaume kuwa ndio walivyo. Ukute huyo mume
ndio alikuwa anamfanaya huyo msichana wa nje awe na nyodo kwavile wenyewe waoga
I think a real man would leave his wife behind kuwa na huyo mwanamke wa nje
kuliko kuiba iba
Anonymous  - re:   |2010-08-19 21:17:12
Anonymous wrote:
jamani unakuwa mwizi halafu na matusi juu? mi mwenzangu na heshima ile
mbaya kwa bi mkubwa. Na hivi anajua mi ni rafiki wa karibu tu wa mume
kwa hiyo tukikutana salam kwa sana vicheko lakini hajui kama ni bi
mdogo na nina mtoto wa 4yrs na mumewe.


Hata ukiwa na watoto kumi nini mmoja, still utaendelea kuwa "the
other woman/cheater" au mwizi tu kwa kiswahili. Tena hao
watoto watabaki kuwa wako tu kamwe hawawezi kuwa wa mume wa mtu labda
siku hizi mnavyolazimisha kuwapa majina ya baba zao kinguvu nguvu lakini
still atakuwa "love child" hata iweje.
Anonymous   |2010-08-19 22:09:10
what if hao wanaume walioutumwa kubaka wana ukimwi then mume wa huyo dada
akirudi kwa uyo R akaambukizwa Ukimwi then nae akaurudisha kwa mkewe,wanawake wa
kibongo sometimes akili zetu hamnazo kweli sawa uyo dada ana makosa kutembea na
mume wako je ulichokifanya wewe ndio unaona haki kufanya mwenzio abakwe?hata
kama alikuwa anakutukana ilibidi udeal na mumeo na sio uyo dada,mimi bado
sijaelewa mentality za watu wa bongo kwa kweli and I never will I guess!!Lord
have mercy
Anonymous   |2010-08-20 06:23:49
Sio kwamba IF walikuwa na UKIMWI wabakaji.. Kumbe nyie bongo hamjasikia habari?
Hiyo mibouncer ilimuachia uchafu wa kila aina na mwanaume karudi hao hapo
hasikii haambiwi na BI MKUBWA aliyekusanya wanaume kumkomesha mwenzio siku
nzingine akikusanya pesa itakuwa kwenda kujinunulia dawa za UKIMWI manake hii ni
triangle mwanaume anarudi pale pale na we mwenyewe "mke halisi"
unaletewa mambo ya ajabu..
Anonymous   |2010-08-20 04:42:49
Mungu awahurumie wote, mume, mke, na dada R coz its a shame kwa mke kufanya
mambo ya kinyama kiasi hiki wakati si nafasi yake kuhukumu je alisali Mungu
ambadilishe mumewe akashindwa, huyu mke si ndo mumewe atapata mtoto nje aje
kutubu home na kuleta mtoto huyu si ataua mtoto kisa mumewe kazaa
nje.........mwanamke kuwa huna huruma hivi hapana hata kupenda nina wasiwasi
kama anampenda huyo mumewe. Sijui wanawake tunatumia akili gani kutenda unyama
kiasi hiki on behalf of a man.........fikirieni roho zenu kwanza hivi hata
watoto wako watakuonaje wakisikia? wajifunze nini? jamani kucheatiwa inauma ila
to go that far mmmmhhh tujifunze kusali na kumtegemea Mungu Jamani.
anonymous   |2010-08-20 05:11:28
wanawake tumezidi sana,wewe hutumii akili mme wa mtu kisa kakorofishana na mkewe
ndo anakutafuta,na unajiachia naye bila hata aibu,jamani imagine ni wewe
unafanyiwa hivyo!!
kama kuna shoga angu kazalishwa na mume wa mtu hivi
majuzi,kisa huyo mwanaume alikuwa kagombana na mkewe mwaka jana,akatembea na
huyu demu kama mara mbili,na huyo mume wa mtu hamtaki kabisa huyu demu na hataki
kusikia kuhusu huyo mtoto,kwani huyu shoga angu alijibebesha makusudi,akidhani
yule jamaa atamuacha mkewe,kumbe ndani ya miezi mwezi mmoja tu walirudiana na
mkewe,sasa anahangaika kulea mtoto wakati mwanaume hataki hata kusikia juu ya
hicho kiumbe,
sasa hapo ina maana gani??hebu tuheshimu ndoa za watu!!
tuangalie
na waume za watu wa kutoka nao,maana wengine ni NOMA,wanatoka tu pale amekuwa
stressed na mkewe ila wakipatana hakumbuki huko nje!!
mimi   |2010-08-20 05:11:30
mwacheni abakwe bwana...mnaujua uchungu wa mume nyie? mimi kuna katoto kako chuo
udsm law naona kameanza kuingilia anga zangu sasa nitakamaliza
kabisa..nitamfanyia mazito zaidi ya hayo ya R. wapumbavu sana wanaoiba waume za
watu. kazi kujitongozesha tu.mxsiiiiiiii
anonymous   |2010-08-20 05:16:46
why uhangaike kugombana?wewe mwanamke kama mumeo hajarudi kukuomba msamaha au
hajaacha ku-cheat si na wewe utafute mahali utulie?tafuta janaume tena
litakalokukuna haswa,hata huwezi kukumbuka mmeo,cha zaidi utaona anakukera
tu,
thats the only way ya kuwa happy!!
Anonymous   |2010-08-20 05:40:36
mume wa mtu au boyfriend:jamani nyie wanaume embu kidogo pevukeni naona sasa
kuuwana kutaanza,humtaki mkeo au dem wako mwambie,ukicheat kitachokukuta iwe
huyo dem kumtukana mkeo au girlfriend utajijua mana ye sio chizi kutukana tu
kanogewa na penzi ulilompa..acheni kama hamtaki visa...mwishowe mtang'ofolewa
vipumbu ivyo
wake:please kabla ya kufanya maamuzi fikirieni sana mana maamuzi
mengine yatarudi kukudhuru na wewe.
ma single nikiwa mmoja wao hawa waume za
watu ni watamu kwakweli ata vi boyfriend vya watu ila tuangalie sana tusitukane
wenye mali ata kidogo tena tuwaheshimu kwakuwavalisha na kuwaosha ndowakaja
kwetu wasafi lol.mie mwenyewe hapa ninamimba kubwa tu yaki boyfriend cha mtu
nazaa kesho km si leo..shida si kuzaa na huyo mtu ila muda umefika.
Anonymous   |2010-08-20 06:08:55
hahahahaaaaaaa waume wa watu watamu hatuwaachi na hiyo story imepitwa na fashion
sanaaaaa yani uzi ule ule tunakula nao sahani moja tunawapa mapenzi mpka wazimie
kudadadekiiiiiiiiiiiiiiiii walaiiiiiiiiiiiiiii
Anonymous   |2010-08-20 12:50:33
WAPE WAPE WAPE!!!!! HAACHWWI MTU HAPA NI KULA RAHA KWA KWENDA MBELE TUUUUUUUUUUU
NA KUPEANA RAHA ZA UKWEEEEEEHHHHHHH!!! WAWAFUNGE KAMBA WAUME ZAO AU WAKATE
NANIHII WAENDE NAZO KAZINI ILA LAZIMA TUWAPAGAWISHE WAKIRUDI HOME WANAJIDAI
WAGONJWA KUMBE WAMEKAMULIWA!!!!!!

MIMI KUNA SIKU NILIMPA MAMBO HUYU WA
KWANGU ALIPORUID KWAKE AKAJIDAI ANAOMBA FLAGYL KWANZA AKANYWA DAWA AKAKIMBILIA
CHOONI AKAKAA NUSU SAA NZIMA KUJIDAI ANAUMWA TUMBO KUMBE KAENDA KUTEMA DAWA.....
WYF ATA HAKUOMBA MAMBO CKU HIYO KUMBE JAMAA KAKAMULIWA HADI POVU!!!! SIMKOMESHI
ILA TUNAJIKUTA TUKIGANDANA HATUTAKI KUACHANA HADI HAMU ZIISHE BABU
EEEEEEEEHHHHHHH!!! iLA KIUKWELI VYA KUNYONGA VITAMU KWELI.........
Anonymous   |2010-08-21 09:01:20
u are used as a sex machine darling hujijui tuu. his heart, life and love is
back to the wife nakuhurumia kwa sababu you don't know that men can separate sex
and love, while most women think sex is love. pole weeee
Anonymous   |2010-08-21 11:43:35
NYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!! NANI KAKUDANGANYA KWAMBA NATUMIKA,,,,,
TUNATUMIANA BIBI WEEEEE!!!!!!!! AU WEWE NDO ULIMPA FLAGYL KIMEKUUMA UKAGUSWA
NINI??? HAHAHAAAAA UTAJIJU - HII NDIO U TURN,,, COZ MIMI NDO NNATAKA MAMBO ZAIDI
4 UA IN4MATION,,,,,, NAPENDA SAAANA GAME NDIO NILIVYOUMBWA EEEH,, NA YEYE LAZIMA
ANIFIKISHE TKT CLIMAX KAMA HUJUUUUUUUUUUUU!! WE LOVE EACH OTHER NA NDO MAANA
TUKADUMU SHENZI WEWE,,,,, TUMEANZA JAMAA HANA MBELE MIMI NIKIMPIGA TAFU SASA
HIVI HASHIKIKI KWA KISU KIKALI MJINGA WEWE,,,, NO ONE IS BEING USED HAPA,,,
NAHISI NDO NYIE NYIE MNAOKAA KUJITIA MNAPENDWA ETI LOOOVE UNABWETEKA {NINA
MUME},, HALAFU WAUME KUTWA NJE,,, NYUMBANI WANAWAONA KA DADA ZAO - FUMBUA MACHO
PUMBAAAAAFFF!! eHHHH SORRY NIMEJISAHAU NIKAKUTUSI.......

ILA UMENIKERA,,,,,
COZ NI MTU MZIMA NA I KEN TOFAUTISHA LOVE AND SEX!!

JIBEBE BIBI!!
Anonymous   |2010-08-21 18:26:00
Kweli unaonekana mtoto wa KIKOPO, maana hata unavyoandika unapigia watu
makelele, hata ettiquete za kuandika hujui utajua ettiquete za maisha duniani.
Eti atanioa, ndio atakuoa kwani ni wewe peke yako, utakua mke wa pili kisha
akishakuweka ndani atatafuta nyumba ndogo nyingine na yeye atamuoa awe mke wa
tatu, akishafikisha wanne, bado atakuwa na nyumba ndogo. Kwani mwenye asili yake
haachi wala usijione kuwa wewe ndio mwisho kwani umfanyiayo mwenzio na wewe
utafanyiwa hivyo hivyo ndivyo uduara wa dunia ulivyo.

Na hata huyo mkewe sio
bwege si kazi na yeye yuko anapojikunia basi ni full kuambukizana magonjwa ya
zinaa! Maana huo mzunguko wake hatari tupu, mke ana bwana wake na huyo bwana ana
msichana wake, na msichana ana bwana mwingine, na mume yuko na wewe, na pengine
ana mwingine, kwa kuwa umevaa miwani ya mbao (Mapenzi) hayo yote huwezi kuyaona.
Kama muoaji kweli angekuoa siku nyingi sio akuweke kimada!
Anonymous   |2010-08-23 09:16:35
WEWE NDI WALE WALE MUPE MURUKE TU!!!!!
Sitaki Milupo   |2010-08-23 20:27:44
Mimi naoa wewe, wala mimi sio demu na kamwe aiwezi kutembea na MLUPO kama wewe
full ushamba na uchafu mtupu, nina class sitembei na watoto wa vikopo! Inaelekea
hata maana ya mtoto wa kikopo hujui kaangalie kwenye dictionary ni kiswahil
sanifu!
IF   |2010-08-20 06:18:42
KUNA MSICHANA MMOJA ANAMFUATILIA SANA MUME WA MTU! HUYO MSICHANA ALIKUWA
MWANAFUNZI WA HUYO MWANAUME, TULIKUWA PAMOJA CHUONI LAKINI NILIKUWA
NIMEMTANGULIA NA MIE NIKAAJIRIWA HAPO HAPO CHUONI. HUYO MSICHANA AMESHAMALIZA
CHUO LAKINI KILA JIONI YUPO OFISINI KWA LECTURER!NATAMANI SANA NIMWAMBIE MKE WA
LECTURER YANAYOENDELEA MAANA NINAMFAHAMU DADA WA WATU! NI MPOLE, MSOMI NA MREMBO
VILE VILE!
Anonymous   |2010-08-20 12:52:46
NA WEWE UMEULIZWA?????????????????? KUJIDAI UMBEAYA TU KUPELEKA MANENO KWA WATU
AU WEWE NDO UNAMTAKA HUYO LECTURER????? MANAKE SHURTI MTT WA KIKE UNAWASHWA ETI
UKAMWAMBIE MKEWE ALAFU UKISHAMWAMBIA UNADHANI NDO WATAACHANA??? lIONE KWANZA USO
KA NINI CJUI!!!??????? HILOOOOOOOOOOOOOOOO
Anonymous   |2010-08-20 06:24:40
Mambo ya uswahilini...

Umbeya ...kuibiana waume, kusutana, kuwekeana
visasi,
unfaithful partners.

kweli tutaendelea........

Please do get
me
wrong....this happens when someone is too desperate to remain
married,
eventhough the things are falling apart. If I were the woman in
question with
unfaithful hubby, I would just walk away. Causing harm to others
in order to
protect the marriage its lame, illegal and totally insane.

The
person thats
need a punishment is the HUSBAND. I rest my case.

Well said my
dear...why hang on to man who does no respect and value you
Anonymous   |2010-08-20 06:32:59
nimekufagilia mdau hapo juu huyo mwanaume akirudi kwa huyo R then akute huyo R
ameambukizwa na hayo midume itakuaje? kuweni na akili sio unakurupuka tu! nahisi
hao wanaume uliowatuma kumfanyizia huyo R na wewe ulitembea nao kwanza sina
hakika kama ulikuwa na pesa za kuwapa zaid umewapa TAKO yani TiGo. mshamba sana
dili na mumeo! ukisema kuwafanyizia watu utawafanyizia wangapi! mwanaume
atulizwi kwa fujo rudi kwenu ukafundwe kiazi wewe.
Anonymous   |2010-08-20 07:02:55
jamani kuiba wanaume wa watu ndio hobby ya wadada wengi wa mjini sikatai lakini
wanajisahau sana.kwanini usitafute wako ukatulia?unaiba huku na wewe unatafuta
si unajenga kambi mpaka unzeeka unakosa wa kukuoa unaanza kutafuta mchawi,mimi
nimetoka na wanaume wa watu wengi tu lakini kwa sasa nimeacha maana hakuna
faida,kama navyoibia ndio na mimi navyoibiwa yaani wa mwisho kanipanga na mademu
kibao mjini kutwa vita wkati mke wake katulia mbaya zaidi vile sina uhuru naye
na kama nina uhuru ni kujichoresha maana hujui anachukua wangapi halafu kutwa
kuomba nimfanyie vitu vya ajabu jamani nimechok,kuna siku nilimuuliza haya
unayonifanyia mke wako unamfanyia akasema kwa kutahamaki "thubutu"tena
na tone ya sauti ikachange.jinsi anavyomthamini.mkew wake muda wote namuona ana
raha mimi kutwa stress na vicheche na kudanganywa,nilipata hadi dhambi za
kumroga,unajaribu vitu amabavyo vinapoteza ur dignity mara sijui nini inafanya
Anonymous   |2010-08-20 07:12:07
Tunadanganyana hapa mimi sina mume lakini wa mtu akuuu kwanza hiyo raha yenye
karaha wala sijawahi iona ni tamu, bora uwe na wakwako hata kama ni kadogo kama
cha Maria Carey unainjoi. ilala wewe dada ungemkomesha na mume wako hao wanaume
wamfungue njia ya nyuma aishi kwa mashaka. na huyo dada R alikazana kutafuta
midume kwenye net (bongo5) naona iliyomkuta iwafundishe maopportunist wengine,
kuna mmoja yuko Mbezi beach kapigwa stroke sasa mwaka wa 3 yuko kitandani
anahangaika na maombi wakati hajui kama anatakiwa maombi yafanye kazi ni vyema
aachane na huyo mume wa mtu aliye muiba na kujengewa nyumba ya kifahari
Anonymous   |2010-08-20 07:28:42
Jamani nimesoma hii story nimesikitika sana sana. Hivi ndio watu wanvyodeal na
conflict kweli. Hawa wote ni watu wazima! au? bado ni mateenager. Jamani
namfahamu R ana mambo yake lakini this is not the way to do your fellow human
being! Pole sana R na pole mama Kwa kuibiwa! huyo mama ingekuwa mimi ningemwacha
mme wangu wanini kumgombania such a hubby? desperation? huwezi kumchunga a human
being with their own mind let him goo mama! Na huyo R kama atarudi kwa huyo
bwana kweli? Mungu amsaidie eh! Women should learn to deal with their man if you
cant pack your bags and leave! Nothing gets to men like leaving them and moving
on! they like to be control way to much!
Anonymous   |2010-08-20 08:56:42
Mtajeni huyo aliyechukuliwa mme,R kwanini usimfungulie kesi huo ni
unyama.Mtafutie watu wamfanyizie pia!
Anonymous   |2010-08-20 09:01:48
my husband cheated on me with several women, i asked him politely to pack his
shit n get the f* out of my house. with the bit of respect he had he left now he
just visits his kids and thats it...why hurt yourself over a man. let him go you
made vows but he broke them u dont need to go screw up the chick he sleeping
with...if its his habit he will do it to you againg...women get a job if you
have kids arrange quallity time with them....live your lives if he hurts you let
him go.
Anonymous   |2010-08-20 12:53:56
God will truly bless your heart your story just touched me. You will find love
where you deserve iit girl just keep your head up and keep movin on. your
strength is to be admired!
ASHA NGEDERE   |2010-08-20 09:02:56
HALOOOW MIE NA MUME WA MTU NA SIMWACHI NG"OOOO, SIKUMWITA KAJA MWENYEWE TENA
AKIDAI MKEWE WALIOANA KWA MAKOSA, SASA MNAACHA KUWAKATA MADUDU WAUME ZENU,
MNATUFATA WAREMBO WA MJI HAPO SASA, MWANAMKE KAOLEWA KUTWA ANATEMBEA AMESUKA
MABUTU BARABARANI, NISIFWATEWE MIE KWA NIN?I MAAANA HUWA MNAJISAHAU, SASA
MTAKOMA, HAACHWI MTU NA BADOOOOOOOOOOOO MMEZALIWA NAO HAO, NIKIMUACHA NIMEMCHOKA
NA HERAAAAAAA NA NDO KAMA KAZI, LAZIME ALETE KULIKO HATA NYUMBANI
hoyraaaaaaaaaaaaaaaa
Anonymous  - re:   |2010-08-20 09:15:45
Anonymous wrote:
Mume wa mtu mtamuuuuuuuuuuuuuuuuu!!! Mtajibeba mliolewa lazima waume zenu
zenu wachukuliweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


ovyoooo mpumbavu mkubwa wewe,utabakia kumegwa na kuachwa.
Anonymous   |2010-08-20 13:02:10
haya wewe ucyemegwa unapata nini zaidi ya kula makombo yangu,,,,,,,,,,maana
mumeo kaliwa mchana woteeeeeeeeeeeee akirudi kwako anatimiza wajibu tu!!! POLE
weeeeee ka ulikua hujui hilooo utajibeba!!!!

Kwanza get a life
mxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx(msonyo huo)
Anonymous  - re:   |2010-08-20 09:22:06
Anonymous wrote:
for all those women who mess with other
girls BOYFRIENDS OR HUSBAND. Get your own stupid ass because if
i catch you with my booooo u will pay a price you can never forget. I
repeat IF I CATCH YOU WITH MY MAN OH LORD HAVE MERCY ON YOU.



hahahahaha unajuaje ka huyo wako anakudanganya yawezakuwa anae wake
pamanent Utajiju :cheer:
mtarimbo umelala doro   |2010-08-21 00:44:48
utaharisha ndugu wanaume wapo tushee me ndio yalishanikuta nilimpenda mwanaume
kuliko uhai wangu yakanikuta sasaivi ndio nishajiamulia na sio kwamba nina shida
hapana nina gari nzuri,nasoma shule nzuri maisha mazuri na ni mzuri akija mtu
hata kama ana watoto kumi me twende tu sema sina umalaya ndani yangu na hivi
sasa na mpenzi wangu ananipenda kuliko mama yake mzazi halafu huyo mwanamke wake
analeta kisebusebu me namlia chuma tu.Na wewe una bahati nimeridhika ningemjua
huyo boyfriend wako ningekufunza adabu watu wanazungumzia waume wewe unaleta
kiboyfriend usilete nyodo hao watu kama watoto pipi ya kijiti tu huyoo wewe
omba Mungu yasikukute
broken heart   |2010-08-20 09:24:04
jamani niliyosoma huku yamensikitisha and some comments zimenipa strength to go
on maana i recently broke up with my boyfriend coz alicheat na msichana,and the
gal had guts za kunitukana pia....
please gurls kama u cant handle your man
just move on...UKIMWI upo jamani!!
Asanteni kwa waliotoa comments nzuri za
kuelimisha.
Anonymous   |2010-08-20 09:25:38
Mnachekesha sana hawa wanaume wa kisasa wakifika mtaani wanavua pete za ndoa
wanaanza kutongo za ,,dada pole tatizo ulikosea matangazo hujui kula na
kipofu..wanaume wenyewe wachacde siku hizi tunagawana hivyohivyo

Ndimi Kuwadi
mzoefu
Anonymous  - re:   |2010-08-20 12:37:07
Anonymous wrote:
Mnachekesha sana hawa wanaume wa kisasa wakifika mtaani wanavua pete za
ndoa wanaanza kutongo za ,,dada pole tatizo ulikosea matangazo hujui
kula na kipofu..wanaume wenyewe wachacde siku hizi tunagawana
hivyohivyo

Ndimi Kuwadi mzoefu




he he heee uuuwiii, mie waume za watu utadhani nimeandikiwa ila niko na
mmoja huyu mwaka wa nne, simuaci eeee naye haniachi hata mkisema mimi
naye kupendana mwaona tunafaidiiii
Anonymous   |2010-08-20 13:17:32
mimi nafikiri tatizo wanawake siku hizi wamekuwa desperate kwa ajili ya pesa.
Wanawake wengi wanataka mwanaume mwenye pesa wa kumkomboa kimaisha na kula
starehe naye. Na mara nyingi mwanaume mwenye pesa keshaoa! maana wakati alikuwa
kijana na anajenga life yake alivyokuwa hana pesa ndio kaoa mke wake ambaye
alimpenda ukweli. Baadaye mambo yakiwe mazuri akipata pesa ndio anaenda tafuta
wasichana nje wakutanua nao huku kaacha mama nyumbani.
Anonymous   |2010-08-20 13:18:07
Na wasichana wengi wanapenda waume wa watu kwavile wanapewa hela na zawadi na
starehe mara nyingi hawataki mabachelor kwa vile hawataki kuspend a couple of
years kwenye shida waiting for the man to make the money wanataka good life rite
now!
Ugumu wa maisha watu wamekuwa desperate will do whatever sio kama zamani
siku hizi watu hawana conscious tena. Hapo mama hataki kumwacha mume wake maana
ukuta hawezi kustahimili gharama za maisha peke yake. Na mwanamke wa nje naye
hataki kuachia maana second income ni mme wa mtu.
Anonymous   |2010-08-20 15:50:23
Hata mie natoka na mume wa mtu, mwaka wa 7 huu mkewe wala hajui.Kanifanyia mambo
yote mazuri ambayo hata kwake hajafanya.
Anonymous   |2010-08-21 18:15:25
Duh hivi nyie wanawake wa Bongo huwa mnapima afya zenu kweli? Unatembea na mume
wa mtu KICHECHE, ambaye ana wanawake wengine including mkewe. Na hao wanawake
including mkewe anayelala naye bila kondom wana vibwana vingine. Mbona huu
mduara mkubwa? Na vipimo vyenyewe vilivyo wasi wasi atabaki mtu kweli? Ndio
maana UKIMWI hauishi Bongo, wakati nchi nyingine wanaanza hata kusahau kama
ulikuwepo!
Anonymous   |2010-08-21 18:18:37
Mkimabiwa mulelewe ukewenza kiislam hamtaki wakati wengine wenu mnapractice huo
ukewenza kwa kwenda mbele tena watoto wadogo masikini kweli dunia imeisha,
zamani wakutembea na waume za watu walikuwa ni mijibaba iliyoachika iliyokubuhu,
MIKURUMBEMBE, sasa siku hizi hata watoto wadogo wanakosa waume wa kuwaoa? Kweli
tumefika mwisho wa dunia!
Anonymous  - re:   |2010-08-20 21:52:50
Anonymous wrote:
mhhhhh makubwa haya madogo yana wenyewe sasa kumbe R alikuwa deported
duuuuu noma. Ndio maana siku hizi kakaa kimya sana. Jamani sasa mbona
alikuwa deported? Wambea leteni story basi



si alikuja kumzka babake? sasa wakati anarudi US walimzuia kuingia
manake alikacha school mwaka mzima na hakawa hana karatasi
yoyote inayomwonyesha kuwa aliruhusiwa na shule, pili alikuwa
amekamatwa month before hajaja bongo hivyo status yake ilikuwa nyeusi ka si
chafu, alirudishiwa airport
Anonymous  - re:   |2010-08-20 21:58:57
Anonymous wrote:
hahahahah......hata mie natamani kulitaja jina la huyu bibie.....hata mimi
alitakata kunikosanisha na swaiba wangu hivi hivi



tena story yake ilitoka hadi global publisher alivyotekwa then
wakazuga naona dada mtu alitoa mshiko isirushwe na vile alishatoka na
shigongo wakimute, ukiandika kwa google miss atekwa inakuja full data
na picha juu!
mtarimbo umelala doro   |2010-08-21 00:37:45
hehehehe jamani bora mume jamani unakuta wale waliozaa tu na wanaume halafu
wakakosea step wakaachwa hivi kwanini huwa hawakubaliani na hali we ushapulizwa
una mtoto kakitulize ukibanebane kirudi utafute mwingine utulie jamani muache
mpenzi aishi kwa raha zake kwani mapenzi si kusikilizana jamani wewe
amekushindwa muache atafute furaha ya maisha basi kuna dada yamemkuta kazaa na
mwanaume sijui kamfanya nini kidume cha mbegu kimetoa nje basi huyo dada kuja
kujua imekua Ishu hallo hallo basi na shoga aliyependwa ndio kaapa hamuachi
kidume maana kidume kimekufa kimeoza dada amebaki kuhaha tu na kutukana
hadharani halafu mbaya wake hana hata muda ndio mapenzi yamezidi yeye kajikalia
tu kama choo cha baa JAMANI WANAWAKE TUJIFUNZE KUKUBALIANA NA HALI HALISI
ANGEKUA AMEKUOA WATU SI WANGEJAMBA MAJIVU ME NAISUBIRI hewani maana kila mtu
anajifanya pesa anazo ukiachwa tulia elewa labda unaepushwa na jambo mtatokwa na
majipu ya uchi...
Anonymous   |2010-08-21 05:05:15
jina wadau,jina la huyo R malizieni basu..mana sasa mnatuyeyusha..kama mmeamua
KUJAMBA basi JAMBENI KINUKE...Toeni michapo na majina mbona mnamuogopa huyo
bibie simumtaje tu?silazma uandike weninani uliemtaja...tajeni jina lake bwana
Anonymous  - re: re:   |2010-08-21 07:14:04
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
mhhhhh makubwa haya madogo yana wenyewe sasa kumbe R alikuwa deported
duuuuu noma. Ndio maana siku hizi kakaa kimya sana. Jamani sasa mbona
alikuwa deported? Wambea leteni story basi



si alikuja kumzka babake? sasa wakati anarudi US walimzuia kuingia
manake alikacha school mwaka mzima na hakawa hana karatasi
yoyote inayomwonyesha kuwa aliruhusiwa na shule, pili alikuwa
amekamatwa month before hajaja bongo hivyo status yake ilikuwa nyeusi ka si
chafu, alirudishiwa airport





yani alivyokuwa anajidai na hiyo marekani vimemshuka shuuuu, kawa
mdogoo ka piriton manake alikuwa akijaga vacation full mashauzi na
kutoka na waume za watu ovyo kisha huyooo anatiamua akishaharibu, sasa
kaonja joto ya stone!!! hallloooo
Anonymous   |2010-08-21 11:48:50
ataishia kufanya kazi kwenye mahotelu hadi azeeke.
Anonymous   |2010-08-21 07:44:02
SENKYUUU MDAU, NIMEGOOGLE NIMEMUONA , LOO HUYU ALISHAWAHISHIRIKI MASHINDANO MISS
USA AFRICA 2007 AKAWA 4TH RUNNER UP
Anonymous   |2010-08-21 09:05:13
r. hakuwa deported mwaka jana ni mwaka juzi
Anonymous   |2010-08-21 17:49:59
WADAU WA UTURN THANKUUU NIMEGOOGLE NIMESHAMJUA HUYO DADA
Riyu   |2010-08-22 01:27:12
Habari hii imenisikitisha sana , nikajiulza kwanini hakuchukua sheria?.

Huyo mke aliye ibiwa mume ni yule former miss Temeke au ? maaana
najua R alikua ndio mpenzi wake before huyu ex Miss Temeke kuolewa
naye.

Kun stori kama hii jana imetokea, Kuna dada mmoja wa
hapo Jolly club, kafuatwa na taxi ndani ina watu watatu.wakamchukua
nakumpelekwa magomeni, kufika magomeni abira aliye kaa kiti cha mbele aka
hamia nyuma ghafla na kufunga milango, Binti huyu akawekw kwa kati
kati akaambiwa asipige kelele.

 Taxi ikasemekana ikapelekwa maeneo ya
Kiwalani, kufika hapo binti akaingizwa ndani ya ngumba  nakupelekwa
kwnye chumba, kufuka kwenye hicho chumba , akakuta watu watatu wamelala
kitandani wamejifunika shuka ambazo zina damu.

Waka we walio mteka
waka funua shuka huku wakimwambia , angalia hawa wezako tumesha wau na
wewe ni n...
Anonymous   |2010-08-22 04:27:07
mbona unabania comments za maisha yake na familia yake, achia bwana,na jina lake
unabania
Anonymous  - re:   |2010-08-22 06:46:15
Anonymous wrote:
WADAU WA UTURN THANKUUU NIMEGOOGLE NIMESHAMJUA HUYO DADA



umemjuaa eeeh, raha ya umbea umjue mlengwa wee inanoga kweli!! sawa na
mchuzi ukitia chumvi ladha kamili
Anonymous  - re:   |2010-08-22 06:52:20
Anonymous wrote:
jina wadau,jina la huyo R malizieni basu..mana sasa mnatuyeyusha..kama
mmeamua KUJAMBA basi JAMBENI KINUKE...Toeni michapo na majina
mbona mnamuogopa huyo bibie simumtaje tu?silazma uandike weninani
uliemtaja...tajeni jina lake bwana


tumetoa jina sana mama kitumbo anabania haswaa kashika koleo ha ha haa,
ndo mana tunatoa clue tu ingieni google kama wadau wanavyosema mtamjua
ni nani,andika miss atekwa ukurasa ukija jfungua mambo hadharaniiiiiii
Anonymous  - re:   |2010-08-22 06:55:35
Anonymous wrote:
Kweli unaonekana mtoto wa KIKOPO, maana hata unavyoandika unapigia watu
makelele, hata ettiquete za kuandika hujui utajua ettiquete za maisha
duniani. Eti atanioa, ndio atakuoa kwani ni wewe peke yako, utakua mke wa
pili kisha akishakuweka ndani atatafuta nyumba ndogo nyingine na yeye
atamuoa awe mke wa tatu, akishafikisha wanne, bado atakuwa na nyumba ndogo.
Kwani mwenye asili yake haachi wala usijione kuwa wewe ndio mwisho
kwani umfanyiayo mwenzio na wewe utafanyiwa hivyo hivyo ndivyo uduara wa
dunia ulivyo.

Na hata huyo mkewe sio bwege si kazi na yeye
yuko anapojikunia basi ni full kuambukizana magonjwa ya zinaa! Maana
huo mzunguko wake hatari tupu, mke ana bwana wake na huyo bwana ana
msichana wake, na msichana ana bwana mwingine, na mume yuko na
wewe, na pengine ana mwingine, kwa kuwa umevaa miwani ya mbao
(Mapenzi) h...
Anonymous   |2010-08-22 07:22:50
mdau jina tumeweka na story zingine kibao tunaweka mama uturn ana bana
comment,nashangaa!
Anonymous   |2010-08-22 07:23:24
WACHA KUBANA COMMENT.
Anonymous   |2010-08-22 07:38:36
ACHENI UMBEA NYIEKINA MAMAM, HAMUONA HATA AIBU, NGOJA KESHO WATAWEKWA MAMA ZENU
HAPA NA FULL SKENDO NDI MTAJUA KUMUOMBA MANE ABANIE KOMMENT, MNAUDHI SANA
VIHEHCE MNAOPENDA KUFURAHIA UBAYA WA WENZENU, PAMBAF.
RT   |2010-08-23 09:19:39
jamani mmenisema saaana kwani kosa langu nini,,, haya kanitumia wahuni na sasa
NIKO NAE KWAPANI!!! WANAUME WENYEWE WACHACHE MJINI TUBANANE IVYOIVYO!
Anonymous  - DEMU KIFAA BALAA     |2010-08-22 12:40:46
jamani nimemuona huyo Bibie ni Mzuri balaa acha tu mwenye mume
achanganyikiwe......
Anonymous   |2010-08-22 18:26:58
nimependa umekua mkweli!change is good!na u change for the best.bora umejua
mapema huo ndio ujanaja ukizeeka wanakimbia wanaume dogodogo siku hizi wamejaa
tena wazuri so ni makidamakida
Anonymous  - re:   |2010-08-22 23:22:32
Anonymous wrote:
ACHENI UMBEA NYIEKINA MAMAM, HAMUONA HATA AIBU, NGOJA KESHO WATAWEKWA MAMA
ZENU HAPA NA FULL SKENDO NDI MTAJUA KUMUOMBA MANE ABANIE
KOMMENT, MNAUDHI SANA VIHEHCE MNAOPENDA KUFURAHIA UBAYA WA WENZENU,
PAMBAF.



fala nini kwani wee unafanya nini hukiu?
Anonymous  - re:   |2010-08-23 09:16:15
Anonymous wrote:
haya wewe ucyemegwa unapata nini zaidi ya kula makombo yangu,,,,,,,,,,maana
mumeo kaliwa mchana woteeeeeeeeeeeee akirudi kwako anatimiza
wajibu tu!!! POLE weeeeee ka ulikua hujui
hilooo utajibeba!!!!

Kwanza get a
life mxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx(msonyo huo)


hahahahaha....mla makombo wewe but still atarudi kwa mkewe,wewe je
utabaki kuwa CHANGU wa kike mparamia waume za watu,unatabaki kuchezewa
tu na hatakaa akuheshimu milele.mxxxxxxxxxxxxx
Anonymous   |2010-08-23 09:59:31
Jamani nyie mliye comment kwamba anaitwa R tumeshamjua tupeni details za huyo
kibopa mwenye pesa basi tuone kama na sisi tutatekwa au mnampakazia tu mrembo wa
watu kumwaribia title. Leteni data za mwanaume nazo tuangalie kama ni kicheche
au kalengeshewa au ni stori za kutunga
Anonymous   |2010-08-23 10:43:28
Aliyekwambia wachache nani kasema hujatulia dada mwombe Mungu akupe wako , kwani
una kasoro gani hadi ung'ang'anie vya watu . tatizo mabinti mnajiweka soooooo
cheap hata vibabu mnavyo, unafikiri kijana gani atataka makombo ya vibabu .
wanaume wako tele babu wengine wanafunga wapate mke !!!!!. mtabaki ivyo hivyo
wanaume wachache kumbe wenyewe ndo hamfai kuwa mke . mke ana hadhi yake sio
kila mwanamke, anaweza kuwa mke , mtabaki kuwa vimada mpaka uzeeni , mnajidai
kwani nakosa nini ???? mnachokosa mnakijua sana chunguza moyo kama una amani
!!!!!!!! ... mnalo bib!!! . pesa kitu gani wanawake wengi siku hizi wana pesa
zao wala hawamtegemei waume zao , wenye shida ni hao wakusubiri waume za watu
ili ajengewe , cjui anunuliwe gari !!! halafu akishapata vyote hivyo bado
machungu pale pale ile raha kamili huna ya nini yote hayo ???? tafuteni wenu
wamejaatele , ebu fikiria ushatembea na wangapi , kwa nini hata mmoja asikuoe !!
Anonymous   |2010-08-23 11:13:47
mimi nashangaa sana wasichana wa siku hizi , yani kutembea na mume wa mtu
wanaona poa kabisa . mimi nilipokuwa naanza kazi nilipendwa na boss wangu ,
alikuwa yuko tayari kunifanyia lolote alitumia kila mbinu lakini alishindwa .

, naweza kusema ilikuwa jaribu kubwa sana kwagu lakini niliapa sitatmbea na mme
wa mtu maishani mwangu !!!!1 alinisumbua baadae alichoka , akaanza kunionyeshea
kwamba napoteza bahati , akwa anajisifu mi wanawake wananigombania !!aktembea
na msichna mwingine ofisini akamjengea nyumba akazanae !!! lakini wala msshipa
haukunigonga nimeoleolewa
na mume ninayempenda , nyumba gari ,vyote mungu
katjalia na sina majuto ndani yangu kwa maamuzi niliyochukua , watu walikuwa
wananicheka eti nachezeabahati , mwenzangu kaachwa tanzania kwani boss alikuwa
ni foreigner karudi kwa mke wake!!! maisha gani hayo
mabinti muombeni Mugu
atawapa wapo wengi lkn kukaa kumendea wa mwenzio utabaki ivyo ivyo baa...
Anonymous   |2010-08-23 14:43:52
NI KWELI JAMANI, HATA MIMI NILIKUWA NA MUME WA NTU FOR 9 GOOD YEARS NA NIMEZAA
NAYE MTOTO MMOJA, JAMAA ANANIPENDA NA MPAKA SASA HANA RAHA YA MAISHA KWA MKEWE,
NIMEMSHAURI MPAKA NIMECHOKA KWANI HANA MAPENZI NA MKEWE ILA ALIMUOA TU KWA
SABABU YA MIMBA, SASA SHUNZI LIMEJAA KWENYE NDOA, LAZIMA LINUKE BWANA ATOKE NJE
AKATAFUTE MAPENZI YA DHATI.

CHEZEA MAPENZI WEYEEEEEEE???????? UTAIPIGA
PICHAAAA!!!!
Anonymous   |2010-08-23 18:53:58
sasa na wewe pia atakuo kwa sababu ya mtoto?
Sitaki Milupo   |2010-08-23 20:41:37
Jinga wewe mapenzi gani 9 yrs bila kutangaza ndoa? Mwanaume akipenda anadata
hasikii wala haoni, asingekaa na wewe bila kukuoa ili kila siku asubuhi aamke
ubavuni kwake. Ukiona siku zote hizo zimepita jua hajafika bado kwako anajisuuza
tu hawezi kupaki gari na midam anaipata bure why not!

Inaelekea hamuwajui
wanaume nyie
Anonymous   |2010-08-23 15:34:23
tunaomba jina la huyo bi-mkubwa na yeye tupate kumchambua....na hilo dume vile
vile. the story must have two sides.....
Anonymous   |2010-08-24 05:43:17
kwa sababu ni yeye ndio anajibu hizi post zote hawezi kujitaja jina.
Tumekugundua sisi tulijua kuna wachangiaji kumbe tuko watatu. na wewe R keshajua
kama umeandika habari wewe mwenyewe kwa kujifanya kuficha jina alafu unajishaua
kutaja wewe mwenyewe, asante mama uturn maana tumeshagundua kumbe wapuuzi humu
ni wachache.
so called R   |2010-08-24 05:53:04
Kwataarifa yako andika stori maliza mumeo haachwi utaachwa wewe na familia yako
na ndoa yako uliyoilazimishia. Wasalimie wanauturn uliowaadithia kama wamekupoza
kwa maneno matupu. lakini na wewe utafanyiwa kama unavyowafanyia wenzio, mtanda
utendwa kwani ulipofunga naye ndoa alikuwa ni mchumba wako si ulimuiba na wewe
ndo ujue limbwata linamwisho utalia kilio cha mbwa mwitu
NIME   |2010-08-24 05:33:13
jamani mi mwenzenu mume wa mtu hapana nikikumbuka nilivyotolewa meno ya
mbele nilipofumaniwa na mume wa mtu akhaaa hata nyege zinipande vipi
sitaki tena mume wa mtu nimekomaaaaaaaa
Anonymous  - re:   |2010-08-24 09:26:08
Kwiii kwiiii...Pole mwanakwetu...ila umenivunja mbavu!
anonymous   |2010-08-25 16:24:00
lol.........
jamani u-turn imenipa raha leo..........uwii pole to the chick R
but what the wifey did was unnecessary.
Ms Ndalandefu   |2010-08-25 21:43:28
Jamani huu umbeya naona kama naanza kupata some clues , huyu bibie aliye tuma
hao ma bauncher kumfanyizia mrembo huyu si ni yule alikua kashiriki Miss
Tanzania alite pigwa chini na ushindi akachukua Faraja Kotta? Maana niliona
uchumba ghafla ndoa na huy Mrembo sindioalikua boifrendi wake before
hajaolewa au nakosea?
Ms Chupichafu   |2010-08-26 08:55:20
Nayeye wekeni hata initial yake jamani huyo ambaye alikuwa Miss tutamjua tu
wengine umbeya sunna, mbona mwamfichaficha
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook