Kwakweli hata mimi nimechoka na ccm, kwanza wamezidii rushwa, wamezidi kubebana watu wanamakesi lakini hatuoni hata yakiisha.Ila upinzani nao mmmmmh! Hata wafanyeje ccm ndo washindi. Ndio maana mimi safari hii kura sipigi maana sioni faida. :X
Kaka Zitto nakutakia mafanikio mema ila nina ombi moja ..mie nakuzimia miaka nenda rudi kama hujaoa ukimaliza harakati za ubunge najua utashinda kwa nguvu za mungu..Uje kunichumbia
Kaka Zitto nakutakia mafanikio mema ila nina ombi moja ..mie nakuzimia miaka nenda rudi kama hujaoa ukimaliza harakati za ubunge najua utashinda kwa nguvu za mungu..Uje kunichumbia