|
MSAADA WA KUANZISHA BIASHARA... |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 17 August 2010 19:49 |
|
Mimi ni mama wa 2 kids nahitaji kuwa mjasiliamali .
Nina mtaji wa Tsh 5,000,000.00 tu nataka kuanza Biashara angalau na mie nijikwamue kimaisha
Nashindwa nianzie wapi hapa dar kupata kibanda gharama na Bei kubwa ambayo itanimalizia mtaji wote
Kina dada / mama / baba wenzangu nipeni mawazo nianzie wapi mie nimechoka kuwa tegemezi nahitaji kutoka natamani sana .
Dada mange usiweke mail yangu. Kama kuna mtu atahitaji kuwasiliana na mie nitampa
regards
|