Who's Online
We have 386 guests and 1 member online
  • Fleetaves
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6711
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6713
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53785
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933352
Login



MAMA UTURN NA ZE MATE!!!
Written by Mange   
Wednesday, 11 August 2010 19:57

Ze matez

Nimeona comments nyingi zikiulizia kikopo…hehehehe…

Well, Mungu hakupi more than you can handle siku zote, manake sometimes huwa na complain sana inakuwaje mie bado nna tema mate mpaka leo,wakati kuna rafiki yangu wakati mimba zetu changa tulikuwa tunatema wote mate, mwenzangu ameacha zamani sana mimi sina hata dalili,as a matter of fact jinsi navyokaribia due date date yangu ndio jinsi yanavyozidi….

Nikajiambia nisikmkufuru mwenyezi Mungu manake kuna wengine naongea nao wananiambia wanasumbuliwa sana na CONSTIPATION sasa mdau kutema mate na constipation mara mia kutema mate manake haileti maumivu yoyote….

Anywaysm my 2 biggest problems through my pregnancy have been kutema mate na heartburnm,heartburn imepungua sana baada ya kufika abu dhabi nilipata doctor mzuri sana akanipa dawa nzuri ya kupunguza heartburn , kwa kweli nashukuru,manake nilikuwa silali kwa heartburn….

Mdau mmoja kauliza nalalaje je natema nikiwa nimelala?? Well, yes, nalala na kOpo next to me…hahahhaha…REALLY DISGUSTING I KNOW….ITS PURE TORTURE…

But Napata moyo sana napoongea na watu na wananiambia mara nitakapo jifungua na mate yanakatika hapo hapo….na nina ndugu yangu mmoja na yeye yupo in her last few weeks na bado anasumbuliwa na mate…

My biggest fear ni kuzaa alafu yasikatike…sijui ntaishije…another fear i had was how would i hubby handle it? but he is been wonderfully supportive,,

Mimba yangu ya kwanza sikuwahi kutema mate,wala kuumwa heartburn,yani I just cruised through it,was expecting the same thing this time…lol…anyways mimba za ukiwa in ur early 20s wanasema huwa nirahisi sana the older u get the more difficult it becomes……


Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-08-11 15:11:37
yaaaani mange nilivyo msubiri huyo 'SON WETU' yani basi tu! mambo ya kutema mate
ni madogo kulinganisha na zawadi that u will be getting.....ninge kua na add
yako ningekutumia zawadi ya mtoto...LOL
Anonymous   |2010-08-11 15:15:25
aiseeee pole Mama mtoto....good thing hubby hajamind sana. I'm not married to a
mzungu lakini I'm dating one right now and I’m telling u things are completely
diff compare to the TZ men that i have dealt with, yani sina mpango wakumuacha
huyu! LOL good luck mammiiiii!
Anonymous   |2010-08-11 15:17:13
Worry out Kipenzy mate yataishe ukisha delivery yanakata ila wengine zile 2weeks
or 1 week before yanakata mimi yalikata 1 week before OMG nikwambia siri ya
heartburn Mtt atakuwa na Minywele huyooo utaniambia .
angel   |2010-08-11 15:21:09
Hi, Mange kumbe hii ni mimba yako ya pili, sija muona mtoto wako wa kwanza.....


Au mi ni mgeni kwenye Blogg nadhani.



mdau,
stockholm.
ani   |2010-08-12 10:38:38
angalia old posts uko kuna picha kibao za mwanetu wa kwanza
Anonymous   |2010-08-11 15:23:13
Pole weeeeee!! Mimi nina mimba yangu ya kwanza miezi 7 sasa nipo 26 yrs old sina
tatizo la kutema mate na sijawahi kutema mate eti kwa ajili ya mimba.Hata hiyo
constipation wala sijawahi kupata katika kipindi hichi cha ujauzito. Mimba
ilivyokuwa na mwenzi 1 hadi 4 nilikuwa naumwa tumbo na kutapika balaa hilo tu
ndio tatizo nililoliona kwa hii mimba yangu ya kwanza...... ilivyofika miezi 5
hadi sasa 7 sina tatizo lolote na muda mwingine najisahau hata kama nina mimba
maana kila kitu kinanikubali bila tatizo lolote. Hivyo mimba zinategemea mtu na
mtu, mwingine anaweza kupata tatizo hilo mwingine wala hapati.
Anonymous  - re:   |2010-08-11 15:30:23
angel wrote:
Hi, Mange kumbe hii ni mimba yako ya pili, sija muona mtoto wako wa
kwanza.....

Au mi ni mgeni kwenye Blogg nadhani.

mdau,

stockholm.


kama humjui binti yangu basi wewe ni mgeni sana wa uturn...
ila ingia
kwenye hizi link utamuona
my first love

1.http://www.u-turn.co.tz/index.php/kwanza/7 91-mo
thers-day-weekend

2.http://www.u-turn.co.tz/ index.php/kwanza/229-red-ribb
on-childrens
3.
 http://www.u-turn.co.tz/index.php/kwanza/850-picha -nayoipenda-kushin
da-zoteday


na picha zangu za wedding utamuona, alikuwa flower girl...
Anonymous   |2010-08-11 15:58:55
we changudoa unaetaka kumuona mtoto wa mange ingia facebook yake, picha za
mwanae zimejaa album zaidi ya nne ni za mwanae, hata profile picha yake ya sasa
ni ya mwanae.
Anonymous   |2010-08-11 16:31:48
sasa facebook kwenye ameblock picha zake...angeacha wazi TUNGE FURAHI NA
KUAPRECIATE SANA....lol
koku   |2010-08-11 16:10:43
hayo mambo ya kawaida .kuna wamama wengine wana tapika hadi siku mtoto anatoka
humo labor ward.mimba yangu sijawahi tapika hata siku moja toka day one hadi
najifungua. mate hayakuwa mengi yaliishia kwenye chewing gums.ila nilikuwa
nachukia mume wangu akinibusu namwambia akapige mswaki.kulana denda ilikuwa
kazi, hiyo bado ipo ipo hadi leo..so nakuombea mate yakatike dear.la sivyo mume
atakukimbia...hahahaaa :kiss:
Anonymous  - re:   |2010-08-11 16:15:01
Anonymous wrote:
we changudoa unaetaka kumuona mtoto wa mange ingia facebook yake, picha za
mwanae zimejaa album zaidi ya nne ni za mwanae, hata profile picha yake
ya sasa ni ya mwanae.


hivi MABUSHA mengine mmkoje?? mtu kauliza vizuri unamwita mwenzio
CHANGUDOA! Huyo mama mtoto amejibu ustarabu inakuaje hapo ndio upungufu
wa heshma au?? hivi unavyotukana wenzio bila ya sababu ukiwa unatype
hujisiii aibu na midole yako mirefu kama(MABANIO YA SALAD)
Anonymous   |2010-08-11 16:20:13
POLE MI I SIKUPATA MATE KABISA, ILA KIUNGULIA ILIKUA KIBOKO, KIKAJA KUACHA
CHENYEWE MIENZI SABA NA NUSU BAADA YA KUMALIZA GALLON ZA MAZIWA,
ILA NIMEZAA
MTOTO ANANYWELE SANA SANA NA ROHO INAUMA KILA BAADA YA WEEK 2 YUKO KWA BARBER,
I WISH ANGENIPUNGUZIA MIMI KINYONYOKE MAMA YAKE.
Anonymous   |2010-08-11 16:54:48
pole masis...misijatema mate kabisa kuanzia mwanzo mpk leo na wala kutapika.then
kwenye old Midwives tales believes having heartburn is a sign of a baby being
born with a head full of hair.so congrats!!! :kiss:
Anonymous   |2010-08-11 17:43:50
mimba zangu zote 2 sikutema mate tatizo lilikuwa extreme mdomo kuwa mchunguuu na
kutapika ile morning sickness ilikuwa ni balaa yani natapika mpk nalazwa
nawekewa dripu bt aftr miez 4 nadunda mpk mwisho nasahau hata km nina
kimimba...heartburn nilikuwa nayo sana na babies wangu wanaminyweleeee

mother
of twin girls and a boy..
Anonymous   |2010-08-11 17:47:43
Pole dear, kutema mate si ajabu, ajabu ni hao wanaokushangaa unatema mate,
unashangaa vituko vya ujauzito? Basi mtu huyo hajawa mzazi bado. Tena shukuru
mungu unatema mate, je ungelimchukia mumeo ingekuwaje? Wengine hawataki hata
kuwaona waume zao, wengine wanatapika, wengine wanavimba miguu, wengine wanaumwa
mgongo na kiuno, basi ni tfarani mtindo mmoja. Ila hayo mate kamwe hayawezi
kuendelea kwa sababu yanatokana na mabadiliko ya hormones, kwa hiyo usiwe na
hofu yataisha tu. Na wala usiweke sana akilini kuwa mimi natema mate, jaribu
kama kusahau hivi!
Anonymous   |2010-08-12 05:50:52
kweli kabisa wengine wanapenda harufu ya choo tena kile cha shimo cha
uswahilini, kuna mama mmoja alikuwa anaenda na kastuli kake chooni anakaa huku
anafuma vitambaa vyake LOL!! wengine hawaogi mmmm basi vituko kibao vya ujauzito
angel   |2010-08-11 17:53:54
MADAM,
Asante kwa kunipa Link, nimemwona mtoto wako. Ana rangi kama
yangu...Huwa zinaitwa Rangi hadimu kwani ni wachache ulimwengu huu kwa rangi
hii......wengi wameishia cocktal za cream.


Huyo aliye tukana kweli namuonea
huruma kwani mimi nayajua matusi, ila ni mstarabu sana sana, huenda yeye ndio
CHANGUDOA ila halitambui hilo....

Pole dada.....nimekusamehee kwani najua
bidada upo hapa kutoa strace zako hasa ukata wa maisha.

Pole bidada
weee!!

Asante Mange kwa kunijulisha part of your Family.
Anonymous   |2010-08-11 19:36:34
umenifurahisha sana kwa ustaarabu wako wengine humu wanadhani wao tu ndio
wameumbwa na midomo yaani UBARIKIWE
Anonymous  - re: re:   |2010-08-11 22:53:01
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
we changudoa unaetaka kumuona mtoto wa mange ingia facebook yake, picha za
mwanae zimejaa album zaidi ya nne ni za mwanae, hata profile picha yake
ya sasa ni ya mwanae.


hivi MABUSHA mengine mmkoje?? mtu kauliza vizuri unamwita mwenzio
CHANGUDOA! Huyo mama mtoto amejibu ustarabu inakuaje hapo ndio upungufu
wa heshma au?? hivi unavyotukana wenzio bila ya sababu ukiwa unatype
hujisiii aibu na midole yako mirefu kama(MABANIO YA SALAD)



Mabanio ya salad uwiiiiii watu mna vituko nasubiri kula daku
nalitupia jicho banio moja kwiiii kwiiiiii
jjjjj   |2010-08-12 00:33:22
aiyyy mange yaani buibui hadi ramadhaani hebu vaa basi nahuo mtandio tuone ukiwa
umejisitiri namna gani unapendeza picha zoote na vimino mtoto akizaliwa hata
haomni picha mamae alivyo jisitiri .

ule mpango wetu tulioagana jana vipi(
piga maabaya ya nguvu madashdashi na madingi ya kiabushabi upige picha bwana
tuone unavyo upura.

hahhaah jamani mdau uliesema mtu anavidole kama mabani ya
salad yaani nimecheka saana hata sijui uliwaza nini ukasema hivyo ilove yo u
turn.

nawatakien ramadhaan njema mange inshaallah yote yataisha kutema tema
mate. mange aka kobe la mchana :*
jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj
BI KIROBOTO   |2010-08-12 04:40:35
Mange naomba unisaidie jina la Doctor mzuri wa wanawake na Hospital nzuri Abu
Dhabi. Nategemea kuhamia huko hivi karibuni, na mimi ni mama kitumbo kama wewe
Anonymous   |2010-08-12 05:03:02
Mama uturn pole ni mambo ya kawaida tu kutema mate na mwanamke ambae amezaa
sidhani kama anaweza kukuona wa ajabu au akakushangaa kwasabab mimba zina vituko
vingi na tofauti.....hakuna mwenye akili timamu atakae kuona kituko au mtu wa
ajabu....

Mungu akujali uzae salama, sikufahamu ila natamani kuja kumuona
kibaby chako mie ni moja ya hao watumwa wanaopenda mahalfcast lol..ila mie ni
mwafrica na mwanangu mwafrica loooooooool....mtzamao msiniue....SIKU UKIPELEKWA
HOSPITAL MWAMBIE HUBBY ATUFAHAMISHE KAMA UKO HOSPITAL GANI (Al waseel, dubai
hospital, American Hospital,) ILI TUJE KUKUANGALIA NA KUKULETEA
CARD/FLOWER/SWEETS lol...
Jaki   |2010-08-12 05:09:18
Pole hun...mi mate yaliacha kabisa lakini mpaka leo heartburn/acid ndo
kwao...napata acid mpaka natapika halafu naishia kutapika damu sasa,ndo patamu
hapo...maana mpaka vessels kwenye oesophogus zinapasuka...si raha hiyo...bado
weeks tuu lakini mpaka leo...so dont you complain, the grass is not greener on
the other side,it just looks so from the distance....love you hun!!
bidada   |2010-08-12 05:24:10
Kwakweli namshukuru mungu sijatema mate jamani,wala kutapika wala kichefuchefu
na sasa ni mwezi wa nane ila nachoka mwili ile mbaya na ugonjwa wangu mkubwa ni
baada ya kulala...yani nikizidisha tu muda wa kuamka nakuwa mgonjwa which means
natakiwa kuamka mapema kama si hivyo siku nzima nakuwa sina nguvu.halafu jamani
mbona mimi nalala sana yani nikiingia kitandani ni usingizi mpaka asubuhi
japokuwa naamka sana kwa ajili ya short call lakini nikirudi kitandani libeneke
linaendelea.Au ni matatizo? Halafu kitu kingine ni kulia bila sababu yani naamka
naanza kuona kama siku zimekaribia sana na sijajiandaa mara naogopa uchungu yani
haieleweki najikuta nalia tena kwa hasira kweli jamani mimba ni kitu cha
kipekee.All in all tumshukuru tu mungu kw akila jambo, mange hata kama unatema
mate mpaka saa hizi usijali bado kidogo sana yatapita na utakuwa happy tena...
ila nilisikia saa nyingine its more of a psychological thing yani ukiyawaza ...
Anonymous   |2010-08-12 05:59:30
HUNA LOLOTE ATTENTION SICKER !!
MI NILIVYOONA HIYO PICHA NA HILO KOPO NIKAJUA
UTATENGENEZEA STORY TU BAADAE!!
UMECOMMENT MWENYEWE NA KUJITENGENEZEA STORI

KALALE KULEEEEEEEEEEE
Anonymous   |2010-08-12 11:30:16
Mh! Jamani wewe mbona una roho mbaya hivyo????? Attention sicker kivipi,, wakati
kaulizwa na kajibu.

Kwanza Mange asante,,, mimi ndo nilikuuliza ukilala
inakuaje kuhusu mate. Nashukuru nimeelewa, coz cjawahi kuwa mjamzito ndio maana
nilikuuliza. Coz really nilikua najaribu imagine mate yanajaa mda wote au ucku
yanaacha na kama yanaacha kwa nini and so!!! Nimeridhika na nnakutakia Ramadhan
Njema, ujifungue salama!!!

Huyo anon kusema unaseek attention, i guess
attention Mange anapata kwa mumewe big tym,, sasa huku atafute nini jamani!!!
Watu hadi mseme tu!

Hayaaaa.
Baby mama.   |2010-08-12 06:04:33
Hi Mange...am a mother too and I feel you on the spitting thing totally gross I
knoe..atleast you are just spitting spit..I had a blocked throat and had to spit
makasi all the time it was sick...but I didnt go around with kikopo coz it was
as frequent...a friend of mine had a spitting problem as well and she went to
that natular healing, healing rays or somethingits by station and they gave her
some herbs and she stopped right away.
Anonymous   |2010-08-12 06:09:54
MANGE HUWA ANAPENDEZA NA BAIBUI NA USHUNGI. MANGE HEBU WEKA ZILE PICHA
ULIVAA BAIBUI INA MKANDA WA GOLD KATI. SIJUI ILIKUWA RAMADHANI YA LAST
YEAR?
Anonymous   |2010-08-12 06:49:47
Tena mshukuru Mungu , mate nini shoga yangu , siku hizi matatizo mengi kwenye
ujauzito ukimaliza salama shukuru ,hebu fikiri kuna wale wako bead rest mwanzo
mpaka mwisho , wengine pressure za mimba ambazo ni hatari sana , mtoto anafia
tumboni au mama na mtoto wote wanapoteza maisha , ambayo ni hatari sana kwa
kina mama sasa hivi , madaktari wenyewe wanakuna vichwa , its a silent killer .
Yaaani sis wanawake tumuombe Mungu sana !!!! Alll the best dear wala usijali
Yatapita tu ,ila never complain , just consider yourself as lucky .
Anonymous   |2010-08-12 08:04:56
jamani pole kwa yote..me huwa ni mtazamaji tu ila leo nimeguswa...
me nilivokuwa
mjamzito nilitema mate mpk siku ya mwisho nilivokuwa labour but huwezi amani
yalikata hapo hapo baada ya kutoka labour..usijali huwa yanaisha!goodluck!
Anonymous  - re: re: re:   |2010-08-12 08:13:22
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
we changudoa unaetaka kumuona mtoto wa mange ingia facebook yake, picha za
mwanae zimejaa album zaidi ya nne ni za mwanae, hata profile picha yake
ya sasa ni ya mwanae.


hivi MABUSHA mengine mmkoje?? mtu kauliza vizuri unamwita mwenzio
CHANGUDOA! Huyo mama mtoto amejibu ustarabu inakuaje hapo ndio upungufu
wa heshma au?? hivi unavyotukana wenzio bila ya sababu ukiwa unatype
hujisiii aibu na midole yako mirefu kama(MABANIO YA SALAD)



Mabanio ya salad uwiiiiii watu mna vituko nasubiri kula daku nalitupia
jicho banio moja kwiiii kwiiiiii


Hahahahahahaahaaaaaaaaaaaa...yaani nimecheka mpaka nimelia!! Piga picha
mabanio ya salad yalivuo...HAHAHAHAAA
Anonymous  - re:   |2010-08-12 08:19:55
angel wrote:
MADAM,
Asante kwa kunipa Link, nimemwona mtoto wako. Ana rangi kama
yangu...Huwa zinaitwa Rangi hadimu kwani ni wachache ulimwengu huu kwa
rangi hii......wengi wameishia cocktal za cream.


Huyo aliye tukana
kweli namuonea huruma kwani mimi nayajua matusi, ila ni mstarabu sana sana,
huenda yeye ndio CHANGUDOA ila halitambui
hilo....

Pole dada.....nimekusamehee kwani najua bidada upo
hapa kutoa strace zako hasa ukata wa maisha.

Pole bidada
weee!!

Asante Mange kwa kunijulisha part of your Family.


Mdau wewe ni mstaarabu sana, nimependa lakini naomba nikurekebishe
kiduchu; pale kwenye "strace" nadhani
ulimaanisha "stress" so ni STRESS na sio STRACE!!
hOPE HUTAMIND. ;)
Anonymous   |2010-08-12 11:34:15
duh U turn imegeuka shule cku hizi!! Ila wote tulielewa alimaanisha stress
NAMPENDA SANA MTOTO WANGU  - MY COMMENTS   |2010-08-12 08:59:47
My dia pole sana, kitema mate ni kitu cha kawaida sana na KITAISHA PINDI
UKIJIFUNGUA TU HUWEZI AMINI. Mimi nilikuwa nasumbuliwa na heartburn, mdomo kuwa
mchungu na nilikuwa sipati usingizi kabisa na ilikuwa ni mimba yangu ya kwanza
sikuwa nadhani kama nitakuja kuwa normonal nikijifungua but huwezi amini things
went fine na pindi mtoto ametoka tu hali yangu ya mwanzo ikarudi pale pale yaaan
jamani kwa watu ambao walishawahi kuzaa they know what i mean. Ila mimba yangu
ilinipendezesha sana i mean ilinipenda sana couse nilikuwa nakula kila kitu
isipokuwa vitu vya kukaanga, pilipilli, limao, ndimu, udongo ndio sikuwa hata
natamani kusikia harufu yake au kuviona. i was different from other prignati's
women.

usihofu mama K utakuwa sawa believe or not pindi ukishusha ENGENE.
LOL



have a nice time mama K.
Anonymous   |2010-08-12 12:22:37
Mange
(soma kinaigeria)

Be carefuloooooooooh. wanakuuliza doctor angalia
wasije wakakisnichi kitoto chako binadamu

Anahamia Abhu dhabi my fooooooooot.
Anonymous  - re:   |2010-08-12 12:23:46
Anonymous wrote:
HUNA LOLOTE ATTENTION SICKER !!
MI NILIVYOONA HIYO PICHA NA HILO KOPO
NIKAJUA UTATENGENEZEA STORY TU BAADAE!!
UMECOMMENT MWENYEWE
NA KUJITENGENEZEA STORI
KALALE KULEEEEEEEEEEE



huna lolote wewe ...unajua maana ya blog ?? kila mtu anaandika
anachotaka ..hata kama kaajiandikia comment kinakuuma nini ?? na
bado mtajibeba sana mwaka huu...mkishindwa tutawasaidia..ila mange
amewazidi kila kitu...shost unalo !! hhahahahahhahaha
Mkimuona mange
alivyo mnaumia eeh ???
Anonymous  - re:   |2010-08-12 12:30:48
Anonymous wrote:
HUNA LOLOTE ATTENTION SICKER !!
MI NILIVYOONA HIYO PICHA NA HILO KOPO
NIKAJUA UTATENGENEZEA STORY TU BAADAE!!
UMECOMMENT MWENYEWE
NA KUJITENGENEZEA STORI
KALALE KULEEEEEEEEEEE


Unamchokoza Mange wetu. tukikutukana watu wana tujia juu. endelea utakula
matusi yako sasa hivi. pambafuuuuu!!!!!
amor   |2010-08-12 12:46:05
jamani hata mimi hilo hijabu lenye gold na blue katikati lilinikuna please mange
ulinunua wapi? :(
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook