Who's Online
We have 316 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6912
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6914
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53986
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933553
Login



NIWEKE LACEWIG KWENYE HARUSI YANGU??
Written by Mange   
Wednesday, 11 August 2010 01:23

habari,

nategemea kuolewa harusi  mwezi wa 11 mwaka 2010,ila nina nywele  chache sn  pia zimekatika mbele,nahisi kama lace wig linaweza kunifaa ili hiyo siku yangu ya harusi  nikaiona ya tofauti,

naombeni ushauri wenu,

Sisy M

naomba email yangu usiianike

Comments
Add New Search
koku   |2010-08-11 03:23:07
muulize mumeo mtarajiwa. kama atakubaliana nawe then endelea. mi ushauri sikupi
kwani sijui sura yako kama inafaa kwa hilo wig. all the best .lol
Anonymous   |2010-08-11 08:38:53
hata kiswahili kinatushinda what is naolewa harusi?
Anonymous   |2010-08-11 11:18:57
wewe ndo hujamuelewa alichokosea hapo ni kutokuweka mkato kati ya maneno hayo
mawili. Pia inawezekana labda Kiswahili hakijui vizuri ni kawaida kama wewe
usipojua lugha au kitu kingine.
Anonymous   |2010-08-11 12:39:31
Anony namba moja amekuwa mwalimu au?!!!! Kwani hujaelewa alichotaka kusema...mtu
kaomba ushauri unaanza kuangalia alipokosea....muone kwanza
Anonymous   |2010-08-11 15:08:32
i say put on the lace wig at least a month bf ur wedding angalia linafananaje,
piga picha uliza advice bc the lace wig completely changes how u look like. And
just bc mange analivaa it doesnt mean na wewe utapendeza. so do ur hair and ur
makeup just how u want it for ur wedding day then see how it looks, there is
nothing worse than kua uncomfortable on ur own wedding day...Good luck!
Anonymous   |2010-08-11 17:46:31
lacewig plus km huna nywele is a no nooo ndo utakiwa kipara ongea na hairdresser
wako akushauri sisi hatuwezi kukushauri zaidi kwakuwa hata sura(umbo lake)
hatulijui
Anonymous   |2010-08-11 20:07:21
kipenzi labda uweke picha tukuone na kama mdau hapo juu alivyoshauri jaribu
mapema kama kama sasa hivi suka kaa nalo na jithaminishe wewe mwenyewe na maoni
ya watu unaowaamini je limekupendeza na je wewe mwenyewe utakuwa hujishtukii
basi weka kitu roho inapenda...

Ila ukiweka picha humu shostito kaa tayari
kuna watu hawatoi maoni bali wanahara tena kupitia vinywani usije ukapata
nshtuko wa moyo we mwali wangu
Anonymous   |2010-08-12 05:06:15
vaa wigi
DORIE  - trea ur hair 1st   |2010-09-22 12:49:18
DORIE   |2010-09-22 12:55:02
hny me naona its better ukamake treament ya ur hair mapema bse am sure 2 months
inatosha 2 mk ur hair an am sure u'll luk lvly on ur BIG day 4get dat lacewig
idea ryt.............................?
josephine gasule  - poa   |2010-11-05 11:08:05
Nina uhakika utapendeza ila uende ukashonee ktk salon professional kwa kazi hiyo
kama vile salon za wazaile na wakongo wanajua sana kuangalia aina ya wigi, aina
ya nywele na mkao wa kichwa. So utatoka bomba best! sure
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook