Hivi ni nini hasa kitamanya Sir nature ajione yupo mbingu ya saba?. Ni kipi cha ziada alicho nachi Lil Kim mwanamke mwingine hana?. Au ana chambia maji ya almasi, haendi choo, hapandi Apolo 11, au ni nini hasa.
Ukiangalia hapo hakuna la ziada zaidi ya kuona wasanii waliobobea wakifanya kazi jukwaani. Sidhani kama tunatakiwa kuwaona kwa mtazamo huu wa kwako kana kwamba walikuwa chumbani bila nguo wawili tu. Tuache kasumba, Nature ni msanii mkubwa, sidhani kama tukio kama hili litamfanya awe ameingiza billioni tatu au zaidi.
Bila ya nature pale juu Lil alikuwa hana jipya na watu walikuwa wakimshangilia sana nauture kuliko Lil Kim ndiyo ujue kuwa watanzania wengi hawana mawazo kama haya ya kusema Nature alikuwa mbingu ya saba.
oh mai broda nature,,plz,,,i hop huja2aibisha,,,,na mapyumu ya bei poa kwa mangi,,,na winter la nini hapo stejini,,uliambiwa lil anakuja na snow mpaka stejini,,,,tembelea ma website za wakubwa huko majuu,,,..ujifunza kuvaa...sio kila unachopewa na machinga unavaa..acha ushambaa,,usha2aibisha kwa wifeyy...halafu kikwapa vipi hapo..nahisi kilikuwa kikali kidogo,,,maana demu alikuwa kama havutiwi,,ana kiss ana chomoa fasta..teh teh semejiiiiiiiiiiii
kwanza lil kim alaikuwa anatisha,,,ka jini,,,,,,,hata sir,,hajamfagilia kiivyo,,hajipendi,,wanatembea na virusi hawa....wanagawaga k kaa hawana akili nzuri,,,kwao its ze nature gift kuti..na kuliw...,,aaa eh eh
Jamani, jamani, Lil Kim inaonekana amemzimia sana Nature Sir mpaka basi, Nature kuwa makini usijebadilisha mwelekeo maana wabongo bwana kuwa na mahusiano na watu wa huku nje imekuwa kama fashion.
Kwanza Lil Kim amechoka sana cha zaidi atakufilisi bure, just let her be your friend if she like otherwise leave her along kama anataka mambo fulani siunajua tena. tehe tehe twi, twi, twiiiii,.,......
I like the kikwapa comment ,i was thinking the same ..lol hapo Lil Kim lazima alikuwa anasema saa ngapi tunamaliza?ze harufu..
Jamani Lil Kim kachoka wewe una nn?kazi kusema watu tu,wabongo wamejaliwa kusema watu sana,huo muda unaotumia kumsema mtu bora ungefikiria ufanye nini zaidi kuongeza kipatoo..acheni kuwa negative..