Who's Online
We have 339 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6851
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6853
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53925
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933492
Login



UTAMADUNI WA MTANZANIA NI UPI???
Written by Mange   
Tuesday, 10 August 2010 01:17

 

Hello mamii,

Mambo...?mimi ni mdau wa u turn na huwa sikosi kupitia na kuingalia blogu yako angalao mara moja kila siku..kwa ufupi i am very addicted to it...

Kumekuwa na mjadala kwa muda mrefu katika sehemu mbalilmbali kuhusu ni upi hasa utamaduni wa mtanzania/mu-afrika na hasa linapokuja suala la mavazi...kumekuwa na mabishano makali mara tu picha na hasa zetu wanwake nzinapojitokeza katika mavazi ambayo kwa maoni fulani ni ya kizungu mnoo...sasa hapo mi ndio huwa kila siku siachi kujiuliza maswali...hivi tuna khakika kweli na hicho tunachokisema au kukijadili...utamaduni wetu ni upi hasa? kuvaa nguo fupi ni utamaduni wa kitanzania/kiafrika au wa kizungu?

Mange hii ni picha ya ilipigwa wakati wa enzi za ukoloni katika mkoa mmoja Tanganyika ya enzi hizo na hawa katika picha ni wake za machifu wakiwa na mmoja wa wamisionari wakati huo....sasa wadau tuingalie picha hii na tujadili...naamini wadau watatoa mchango wao ili kuweka sawa the perspective kuhusu utamaduni wa mtanzania/muafrika na hasa linapokuja suala la mavazi

Picha kwa hisani ya blog ya swahilitime

Nakutakia kila la heri katika safari yako ya umama. be blessed mamii.

Yours Mama Jo.

P.S TAFADHALI ISIICHAPE ANUANI YANGU YA E-MAIL HEWANI.

Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-08-10 05:51:30
hapo sasa kazi ipo kuibwa...maana picha hii imenikumbusha tamaduni za wakazi wa
kusini mwa afrika yaahi botswana,swaziland,afrika kusini sina hakika kama na
namibia nao wana tamaduni hizo..hadi leo hii kunakuwa na sherehe ziloe za
wanawake /wasichana ambapo huwa wacheza ngoma vifua wazi.. na ukiangalia kwa
umakini ni kuwa karibu tamaduni nyingi za kiafrika ilikuwa ni mila kwa mwanamke
kutembea wazi mwili mzima na sehemu iliyokuwa imezibwa kwa kakitambaa kadoogo ni
katika sehemu za siri tu..kwa hiyo let us face it kujifunika au kuvaa nguo ni
utamaduni wa nje..maana wnen they came they made it thier mission to
"civilize" us....
Anonymous   |2010-08-10 12:53:02
vaa chupi katiza manzese uone...yani ni kweli kabisa watakusifia
sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Anonymous   |2010-08-10 08:16:17
Duh hii nilifikiri itakuwa kwetu lakini haiwezi kuwa usukumani wanawake wanasura
mbaya sana hao...
Anonymous   |2010-08-10 18:32:27
HAWA WANAWAKE LAZIMA WA UHAYANI, MANAKE KULE WAMEJALIWA MIGUU BUT SURA CHACHU
KAMA ZIMEKAMULIWA NDIMU
Anonymous   |2010-08-10 20:50:03
HONGERA KWA KUPEWA SURA NZURI NA MUNGU AKUBARIKI
Bianca   |2010-08-11 05:11:39
:woohoo: :woohoo: :woohoo:
:D :D :D
Anonymous   |2010-08-11 05:34:16
ndimu hizo umewakamulia wewe swani,muone miguu kama mkanga sumu.
anoni   |2010-08-11 11:44:08
:woohoo: :woohoo: :woohoo: :woohoo:
mwee u turn itatufukuzisha
vibarua wngine,,yan wadau hapa juu mmenivunja mbavu zote 12 sijui 21 lols
Anonymous     |2010-08-10 10:58:19
mdau ulietuma iyo picha nakusifu sn na umewaza mbali sn hongera.

Binafsi yangu naisi wabongo sie kuchonga tumezoewa yani tumezaliwa tunachonga
jamani utamaduni ulikuwa zamani na si sasa hata watu wa asia wahindi wana mila
ila yale mavazi si wote wanayavaa kwa sasa wachina km mlikuwa mnawatch Oshin
yale ndo mavazi yao ila sasa hawavai warabu toba siku izi hata nywele wanataka
ziwe blond na mavazi si wote wanava baibui
haya mbongo leo hii akivaa
kimini watu wanachonga huku mila ilikuwa kufunika nanihii tu matiti uwache wazi
sijui kosa la nani kwakweli utandawazi au adam na eva
Anonymous     |2010-08-10 14:09:46
wabongo tunapenda sn kuchonga yani tumezaliwa tunachonga ivo ndo tulivo hata
kwenye maswala ambayo yapo wazi km hili stil watu watasema. utamaduni ulikuwa
zamani na si sasa. tembea matit iwazi uone cha mtema kuni
Kufunika
naniii kidooogo ndo utamaduni wetu huku matiti yakiwa wazi asa sasa ivi m2
akivaa kimini watu wanachonga kitop ndo usiongee jamani mi naisi tuvae vile
tutakavo bora unafil comfortable
Anonymous  - re:   |2010-08-10 18:39:20
Anonymous wrote:
Duh hii nilifikiri itakuwa kwetu lakini haiwezi kuwa usukumani wanawake
wanasura mbaya sana hao...


Mshukuru muumba kamwe usikosoe kazi yake kwa matatizo yako binafsi
inawezekana unamchukia mmoja sasa inafikia mpaka unakufuru
Anonymous  - re:   |2010-08-10 21:14:15
Anonymous wrote:
HONGERA KWA KUPEWA SURA NZURI NA MUNGU AKUBARIKI




AMENNNNNNNNNN!!
Anonymous   |2010-08-11 07:05:47
unatafuta umaarufu kwa kamba POLE SANA
Anonymous   |2010-08-10 21:23:49
jamani enzi hizo ilikuwa ni vimini vya ukweli, yani mama'angu alivitinga hadi
akampagawisha dingi akavuta ndani ndo tukazaliwa kina sie, yani wamama wengi wa
zamani ukiangalia picha zao walikuwa wanaulamba vimini vya haja na mashuka
tubonge yao wanatoka chicha haswa, sasa siku hizi wamama hawa hawa ndo wamekuwa
mstari wa mbele kupinga vimini ati tunatembea uchi, si bora vimini vyetu vya
kishkaji vya kwao ilikuwa balaa!!
Anonymous   |2010-08-11 16:10:54
kipindi hichi mila zilitawala kuliko DINI.na hizo mila zilitungwa na machief
sasa kama walikuwa wanapenda kujionea chuchu sisi hatujui mana itakuwaje mtoto
wakike awe amekaa ukumbini na babake akiwa kifuwa wazi.watu wa zamani hawakujuwa
sana mambo ya vitabu vya mungu. especialy vijijini.vitabu vilishushwa kwa sababu
kama hizi na nyingine nyingi.
TICHA BWANA HARUNI  - utu bora   |2011-11-30 06:27:25
jamani tujadili vizuri kuhusu suala hili la utamaduni wa mtanzania hasa
tukizingatia kuwa ni makabila mengi yaliopo humu nchini, hivyo ucj uka2mia
ustaarabu wa single tribe kwa kusajest na kudisaid kwa watz wote. suala hili
linahitaji tafakuri kubwa cmchezo
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook