Who's Online
We have 314 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6912
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6914
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53986
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933553
Login



BILAL MASHAUZI AKA BILAL SEDUCTION....
Written by Mange   
Wednesday, 04 August 2010 19:30

 

Mange, mie nilitaka kumuiintroduce bilal kwa wale wasiomjua.

huyu bibie hamkosi kwenye shughuli za kitchen party na vibao kata, wengi hupenda kumualika sababu anafurahisha sana genge, hata shughuli yako ya bridal shower alikuwepo.

Yani bilal ndio haswa kiongozi wa vijana wote wanaoishi maisha kama yake. Yuko juu ile mbaya!

Shosti huku kinondoni tunakufil mno na blogi yako yani internet  zote  huku page ya kwanza ukifuungua in uturni.

Dada aziza- kinondoni

Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-08-04 14:36:47
mh haya u turn ss imeingiliwa mhh hadi bilal kafika u turn basi na mm siingii
tena humu,ila nawe mange wampendea nn uyu kaka hadi mualika ktk shughul yako
mweee,ss wadada wa kawaida hawawezi changamka genge au shughuli hadi kumualika
huyu,na ukimualika watoa pesa au anakuja buree,mwee bado sijamualika mie
Anonymous   |2010-08-04 15:10:51
Hebu tutokee na ushamba wako.. Usipoingea wewe humu haipunguzi na bado kutakuwa
na million hits a day, sio kama kule kwengine hadi mtu aonyeshe vichupi na bado
namba hazigongi. Mange dadaangu umezaliwa na bahati yako. Ps: huyu mashauzi naye
si aolewe atulie, hebu Mange mtafutie mashoga wa uarabuni.
Anonymous   |2010-08-05 07:39:41
acha ubaguzi ndugu yangu. mchukulie mtu jinsi alivyo usiwe hivo siku unazaa
mtoto wa kiume anakuwa ivo utafanyaje?
KOKU   |2010-08-04 14:45:25
biashara matangazo jamani. wameshakwambia ni sista bilal,wewe unakazania
kaka.....
Anonymous   |2010-08-04 14:56:06
Astaghafirurah..dunia iko mwisho uso umemvimba!haya sister bilal kila la kheri
Anonymous   |2010-08-05 09:01:17
Ingekuwa imefika mwisho, ungekuwa kaburini sasa hivi.
Anonymous   |2010-08-05 11:50:45
ukome wewe mwanaharamu..domo lefu shezyyyyyy type
Anonymous   |2010-08-05 12:41:15
Mwanaharamu mama yako aliyekuzaa. N guess what that makes
u......................................hahaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaa!!!!!
Anonymous   |2010-08-05 13:26:27
Angekuwa mwanaume ningesema "son of a bitch".........heheheheheheheh
Anonymous   |2010-08-05 12:46:17
Na wewe je mwenye sura ndefu ka mkaratusi chunusi hazikuishi kama umepigwa
chuping shenzy mama yako mshewwwwwwwwwwwwwwwwwwwww!!!
Anonymous   |2010-08-05 13:29:23
Eti mwanaharamu.............wewe je!!!!!!!!!!! Muone kwanza hujui hata kuspell
shenzi, eti shezyyyyyy...inaonyesha jinsi gani wewe ndio mwenye domo lefu.
Anonymous   |2010-08-05 13:43:07
ukome wewe mwanaharamu..domo lefu shezyyyyyy type



Hahahahahahah. Mama nadhani umechokoza pasipo leo kwikwikwikwikwi
Anonymous   |2010-08-04 15:10:36
namtaka weekend embu nipeni namba yake walahiiiiiiii mama ntilieee
Anonymous   |2010-08-05 07:40:23
yani hata mimi. I love these type of men wako so friendly na wakweli kuliko hata
wasichana. my best friend is g..pia ii ivi hes so kul yani
Basha   |2010-08-04 18:37:30
Walahi mie nilichompenda mtoto natural si unamuona hakuna kitu cha bandia nywele
wala makeup amependeza sana
Anonymous   |2010-08-04 20:58:59
Achomwe moto hadharani shwain mkubwa.
Anonymous   |2010-08-05 09:00:24
Shwine mama yako mzazi aliyekuzaa. Ulishawauliza wazazi wako kama wako straight
ama lah!!! Msijiropokee tu hapa mijusi wakubwa nyie.
anonymous   |2010-08-04 22:09:13
duuu!!!!!dunia inaelekea kubaya kwakweli.
Anonymous   |2010-08-05 03:07:39
Sioni tatizo bilal kuwa the way he is. Atleast yeye hafichi and he is living his
life to the fullest. Kuna wangapi wako huko mitaani wamejificha wanaishi maisha
yasiyo yao hawana raha kisa wanaogopa kutengwa na jamii kwa sababu wame-reveal
their true sexuality???? Jamani sio wanaume wote wako ndani ya miili ya kiume,
na si wanawake wote wako ndani ya miili ya kike. Shukuru mungu kama ulipewa
vyote vinavyoendana, na usimkosoe mungu kwa kutowapa wengine visivyoendana.
Bilal ni mwanamke aliye kuwa trapped in a male body. It happens all the time na
wala si kwamba Mungu alikosea.
Hata mkinishushua, huo ndio ukweli, so suck it
up!!!!!!
Anonymous   |2010-08-05 09:02:45
Couldnt have been said better. Asante
Anonymous   |2010-08-05 10:44:36
ah na wewe bwana! si ungesema Cudnt have said it better sasa hiyo been ya nini
hapo
Anonymous   |2010-08-05 11:12:09
U need to take an English course for ur own benefit. Sentensi sio lazima ikae
unavyotaka wewe ili ilete maana. Kama umezoea english yako ya kukremua, to hell
with u n ur stupid english. Nyie ndio wale ambao mwalimu akiwaambia hii inaitwa
mavi, ukisikia mtu mwingine kasema kinyesi utadai kakosea...lmao.
Mkora   |2010-08-05 11:42:09
Sijaona kosa hapo you need to upgrade your English vyote sawa hajakosea sem
sababu wewe English yako ni Duni hujaelewa.
Anonymous   |2010-08-05 12:44:04
Hahahaha. Kweli hawa ni walewale walioambiwa huyu anaitwa nyau. Akisikia mtu
mwingine kasema paka, anasema kakosea hahahahaahahhahaaa.Hiyo "been" ipo
mwakemwake wala haijakosewa.
Anonymous   |2010-08-05 13:51:40
Couldnt have been said better = Cudnt have said it better

Hiyo been iko mahala pake, haijakosewa. Ni sawa na wewe ulivyoongeza hiyo
"it" but still sentensi ina maana.
Anonymous   |2010-08-05 09:03:17
WORD!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Anonymous   |2010-08-05 09:06:05
Sema wewe dada yangu. Pple need to be educated about being straight n not being
straight. Na si kwamba watu wanajitakia, ila ni maumbile tu kama watu
wanavyozaliwa vilema, vipofu, etc etc etc.
nembrice   |2010-08-05 10:16:37
Umeongea ukweli dada!!!

Kuna wanaume wengi sana hawawezi kureveal real
sexuality zao hadharani. Mi namkubali Bilayla na namuombea maisha marefu, aishi
apendavyo! Yuko hivi tangu Primary skul nimesoma nae Mbuyuni, na Kabula, na kwa
wale wasiomjua ni mstaarabu sana na mpenda watu, nilikaa nae cku moja nilicheka
sana na pia ana mashauzi ya ukweli,,, napenda ile style yake ya kupeleka mkono
kichwani anarekebisha nywele ka ndeefu vile alafu zinamsumbua huku anatingisha
kichwa ka wadhungu,,, u will love it!!! Kifupi ni intertainer bomba na ana moyo
wa huruma!!! Kazaliwa hivyo wadau muheshimu kazi ya Mungu!!!! Kama hamjazaa au
bado mnazaa, temeeni mate pembeni jamani!!
Mkora   |2010-08-05 11:39:34
Nakupa kura zote. Well said.
katarine   |2010-08-05 03:10:25
no comment !!!!
Anonymous   |2010-08-05 04:22:21
:cheer: HIVI HUYU BILAL NI SHOGA?
Anonymous   |2010-08-05 04:25:32
Jamani swali la kizushi - Hivi Wema amezaa na Chalz Baba? Nimemuona mtoto wake
kwenye FB jamani ni mzuri mno
Anonymous   |2010-08-05 04:42:33
mmmh..! haya kisa kusikia Mange anaishi huko arabuni mnaanza kuintroduce
mashoga hapa ili atafutiwe soko au?? pelekeni uchafu wa tabia hukooo.. kesho
huyo ndo atakuwa wa kwanza kuwaliza atakapo mpa tako bwana ako.. msonyooo..
Nancy   |2010-08-05 04:52:06
mmmmmmmmmmmmh mungu uwasamehe hawajui walitendalo..kuna kadada fulani hapa
kataingia tu kajifanyishe kila mtu na life style yake ..kanachangia kuharibu
jamii hako kadada mungu akaokoe popote kalipo .Amen
eshe   |2010-08-05 05:09:28
Hoooooooovyo! puuuuu! kweli dunia imekwesha.Haya nyie mnaomtete huyo kaka ebu
fikirieni angekuwa ndo mtoto wako ungefurahia? Au ndo tumeubwa kuiga tu basi
tunasahau ata utu jamani?Hatumuogopi hata mungu nduguzangu?Mbona tunashidwa hata
na wanyama?Ushawahi kumuona mbuzi akigeuzwa wewe?Eti dada Bilal Loooooh!!
Mkora   |2010-08-05 11:56:21
We nyau angekuwa mtoto wako akaoa mwanamke na kujenga familia na bado nyuma
anaenda na wanaume wenzie ingekupendezesha? Au ndo nyie wa kujificha ndani ya
suruali kumbe kisirisiri unavaa sketi. Chunga ndugu. Tena sababu huna elimu
ngoja nikueleze, ushoga haujaanza jana wala juzi ni toka enzi za yesu ña mtume
watu walikuwa wanazaliwa hivyo sasa sikuelewi. Wote ni wa mungu usiikosoe kazi
ya mungu. Ps: hata wanyama wanageuzwa na kugeuzana sema watu bongo hamjapata sex
edication.
Anonymous   |2010-08-05 05:18:58
Kaolewa tayari Temeke Mwembe Yanga!
solange   |2010-08-05 05:41:02
kwa hiyo hizo shughuli za kibao kata na ridal shower ndio zinamuweka mjini au
ana kazi nyingine ya kumuingizia kipato? yaani hapana kabisa haya maisha
khaa...watu wamejitoa mhanga kupiiliza.
Anonymous  - re:   |2010-08-05 08:49:11
Anonymous wrote:
Achomwe moto hadharani shwain mkubwa.


achomwe moto ? moto utaanza kuchomwa wewe mwanaharamu ulie na mabwana mia
moja kila mtu ana dhambi zake usimsema shonga yangu bilal tena umkome.
Anonymous   |2010-08-05 18:31:26
Katafute mwingine wa kumchoma moto huyu tuachie.Mimi huyu aunt nampenda sana,ana
roho nzuri mcheshi.mungu akupe uzima nikija bongo kuleta harusi ya mdogo wangu
nikulaike.Sio ndio unanitolea nje basi ujue wewe ni watu wanakupenda sana.
Anonymous  - re:   |2010-08-05 13:24:35
Anonymous wrote:
ukome wewe mwanaharamu..domo lefu shezyyyyyy type



Hahaaaaaaaaa.......asanteni wadau kwa kunisaidia kumchamba huyu
firauni.Siku nyingine uwe unakuja kwa nyuma usionwe. Sio unakuja
kwa mbele, utaumbuka mjini malaya wewe.
Anonymous   |2010-08-05 13:41:51
who are we to judge?
bidada   |2010-08-05 14:55:18
bilal mashauziiiiiiiiiiiii uko verevere softtiii ma'ashallah....
koku   |2010-08-05 15:06:02
mi siwachukii hawa mashoga...nina marafiki wa haina hii,na ambao tayari
wameshakata hizo dick zao na kuweka matiti fake.. ni watu warembo na
ma-fashionist..kwa ujumla wanajipenda kuliko maelezo..kudos to bilal
koku   |2010-08-05 15:08:31
Jamani swali la kizushi - Hivi Wema amezaa na Chalz Baba? Nimemuona mtoto
wake
kwenye FB jamani ni mzuri mno



UNAZANI KUZAA NI KAMA KWENDA KUHARISHA PORINI..KAMUULIZE MWENYEWE HUKO
HUKO FB. SI HAYATUHUSU...
Anonymous   |2010-08-05 15:12:51
Naongea kama mzazi mwenye mtoto wa kiume, ukimpata mtoto wa hivyo utamtupa?
ukiwa na ndugu wa hivyo utamtenga? nyie mnao hukumu achomwe moto mlimpa Mungu
nini mkawa kama mlivyo? Unajijua utakuwa wapi siku ya kiyama? Ukizaliwa na
hormones za kike nyingi au za kiume nyingi utamlaumu nani na kosa si lako. Mungu
ana makusudi yake ya kumuumba mtu jinsi alivyo hivyo sioni haja ya kukufuru na
kusema maneno ya hovyo. Watu hawa ni marafiki wa kweli tofauti na kinadada wala
kinakaka
sasa ni lanchi taim, tumbo lad  - he likes penis   |2010-08-05 19:13:47
he likes penis
Anonymous   |2010-08-05 19:19:18
seriously me i like gay and lesbians friends, wako very loyal. ukimpata rafiki
choko atakuthamini kiliko hata mwanamke mwenzio...habari ndo hiyo
Anonymous   |2010-08-06 07:23:50
i love bilali. hes so cool ana upendo mcheshi yani nampenda kweli. Mimi sibagui
mtu najua kuwa hakupenda kuwa hivyo na maybe aliteseka sana kabla ya kuamua
kutoka kwenye hiyo trap so kwahilo nampa pongezi kubwa atleast he is not living
a lie and not commiting any crime, nina mtoto wa kiume siwezi kumnyooshea mtu
kidole.
kaka  - kkkubwa     |2011-01-17 07:45:05
:X bilala unaswali,? au unasali? au una subiri ku swaliwa au kusaliwa?
C's mum!   |2012-01-11 10:22:14
jamani mi sio mkaaji napita tu! nikaona niwape big up
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook