Who's Online
We have 350 guests online
Total number of Visitors
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday6809
mod_vvisit_counterYesterday8768
mod_vvisit_counterThis week6811
mod_vvisit_counterLast week82441
mod_vvisit_counterThis month53883
mod_vvisit_counterLast month319970
mod_vvisit_counterTotal No. since we started4933450
Login



STROLLING WITH BABY ASEEL....
Written by Mange   
Tuesday, 03 August 2010 10:32

Lance,his first cousin Marnie and her daughter Aseel....i love Aseel she is half American

half Iranian, the cutest baby ever....

Marnie, baby Aseel and i at the walk....

Comments
Add New Search
Anonymous   |2010-08-03 05:40:30
Mange you look wow! enjoy u r life babe :kiss:
Anonymous   |2010-08-04 08:02:59
mange umependeza! huyo anepita pembeni atakuwa mbongo tu hahahaha!
sexy   |2010-08-03 06:05:06
That baby is too cute. Mashallah. Mange when are u due?
koku   |2010-08-03 06:10:52
simple and cute...
Anonymous   |2010-08-03 06:30:00
nimefurahi leo nimeona picha yako. nilikumiss mama mdhungu. kusema ukweli toka
moyoni mwangu nisipokuta umepost kitu najihisi kama nimepungua kiungo kimoja.
wewe ni wa muhimu katika kufanya siku yangu iwe njema.
solange   |2010-08-03 06:43:04
imependa shemeji alivyoovaa...kapendeza esp na hizo sandoz.
Anonymous   |2010-08-03 08:46:06
MH uko wote wa kina lance utakua na half..kuanzia half tz,iranian,hadi half
wazaramo :D
Anonymous   |2010-08-03 12:27:39
ahaa wadau mliocheka na hii komenti yangu mwenzenu ndio nlivofikira atiii mana
now mange kaingia mtamboni watatoa half,mdogo wake lance nae akitembelea mbuga
za wanyama ataoa half mmasai..ukoo goes on and on ki half half kwi kwi ss mtoa
wao alie half half akikutana na half half sijui itaitwa qurter qurter :D jamani
mm mwenyewe naandika hivi mbavu sina
Mbogela upoooo apoo
Anonymous   |2010-08-04 19:18:11
Jamani mbavu zangu wee mwana taratibu babu niko kwenye period nisije haribikiwa
hapa
nana   |2010-08-03 09:21:54
wee uliesema wazaramo umeniua kwa kicheko lol....

wa-Iran wazuri na Dubai
ndio kwao
Mkora   |2010-08-03 09:38:42
Hahaha RUDI SHULE UKASOME or better yet, try google facts before you comment.
Iranian ni Persians na kwao ni Iran toka lini Iranians wakatokea Dubai?
mamu   |2010-08-04 07:59:07
.....LMAO!
Anonymous   |2010-08-03 09:56:46
jamani shem sandozzzzzzzzzz mhhhhhhhhhhhhhhh ni nail polish tu imekosekana hapo
Anonymous   |2010-08-03 11:34:26
unalo hilo utaguna sana ukimaliza fanya kuwahi mida inaenda na hujaenda kwenye
kibarua chako cha tatu cha leo bado ile night shift...heeeeeee LAKO HILO BIBI
umerpwelea kama uji wa jana kwa roho yako mbaya pa kusifia sifia bibi hukondi
enhnheeeeeeeee au ndo nyie ukikonda una ng.... ukinenepa umeanza
dozi...haaaaaaaaaa we guna wenzio rrrrrrrrrrrrrrrrrrhaaaaaaaaaaaaaa
Anonymous  - re:   |2010-08-03 10:00:41
nana wrote:
wee uliesema wazaramo umeniua kwa kicheko lol....

wa-Iran wazuri na
Dubai ndio kwao[/quote][quote=Mkora]Hahaha RUDI SHULE UKASOME or
better yet, try google facts before you comment. Iranian ni Persians na
kwao ni Iran toka lini Iranians wakatokea Dubai?


NAFIKIRI MDAU HAPO JUU AMEMAANISHA KUWA WAIRAN WAMEJAA DUBAI. SIO KWAMBA
NDIO WANAKOTOKA
.
Anonymous  - re:   |2010-08-03 10:03:50
Anonymous wrote:
MH uko wote wa kina lance utakua na half..kuanzia half tz,iranian,hadi
half wazaramo :D



nafwaaaa weee ha ha haaaaa watu mna mambo, da!!
Anonymous   |2010-08-03 10:09:28
Ndio maana mimi nisipoingia humu nakonda wada wa blog hii mpo juu kama mwashoki,
madongo yenu mimi hoi kwikwikwikw, natamani niwaone maana hapa mbavu zangu
zinachanika kwa kicheko
katarine   |2010-08-03 11:55:18
mimi nisipopata internet nakondaaa kisa u-turn
MARY   |2010-08-03 10:14:03
Cjui ni upenzi wa uturn au ushakunaku...

kila nionapo picha ya Mange lazma ni
inlarge niweze kumuona kwa karibu.

Mange japo ckujui ila napenda ur life
style bt uwezo wa mashauzi yako ndo cna.

nafikiri Lance kapata entertainment
ndani kama ww syo mkali na mbishi ndoani.
katarine   |2010-08-03 11:53:18
wewe kama mimi mdau we acha tu
Anonymous   |2010-08-03 10:26:57
Naona mlikwenda kujirusha wewe,shemeji na wifi Movenpic,manake kwa mambo ya
outing hapana chezea wewe.

Hongera na pole na zahama la kutema mate
manakekama ni kazi unayo
mtarimbo   |2010-08-03 10:45:56
:shock: kwanini shemeji hajavaa ring????
Anonymous   |2010-08-03 10:58:46
mbona unaonekana umechoka usoni mama mtungu
Anonymous   |2010-08-03 11:00:58
Kumbe kunawatu ambao hawajaona a movie called "not without my daughter"
shauri yenu!!!
Anonymous   |2010-08-03 12:49:38
hahahhahahaaa...I was thinking the same thing!!
Anonymous   |2010-08-04 19:27:02
Una maana Daughter wa Mange au?? msituwekee mafumbo humu semeni wazi, vipi nyie
:dry:
Anonymous   |2010-08-03 11:05:40
Umesema baba mtoto ni muiran?! Eh eh eh ngoja aone mtoto wake wakike kwenye ma
website, wote mtatolewa makamasi! LOL
Anonymous   |2010-08-03 11:07:56
jamani kwani amesema wairanian wanatoka dubai au? amesema tu ni half muiranian
and half mmarekani. i think wee ndo urudi shule coz i dnt see anythin wrong with
wat she said. looking good mama u-turn.

mungu akubariki wewe na familia yako.
Anonymous   |2010-08-04 19:29:39
Wamarekani sio 100% wala sio half ni nusu na robo hata shemeji Lance naye
atuambie robo yake na nusu ndio tupate koroboi moja
Anonymous   |2010-08-03 11:09:55
Hiyo familia ya mumemo is toooo excepting jamani! With what's going on bwtn USA
na hayo mainchi yaki Iran, Iraq Afghanistan bado wanaruhusu watoto wao waolewe
nao. Mungu awabariki sana. Wangekua watanzania bado watu wangekua masingle
single....haaahaaa
mange  - re:   |2010-08-03 11:20:31
mtarimbo wrote:
:shock: kwanini shemeji hajavaa ring????


doesnt fit him anymore, needs to be resized... mdau wewe noma unachunguza
ile mbaya...lol...

mange
Anonymous   |2010-08-03 11:30:38
lazima lol.... ndio raha ya kuwa super star tunapekua kila kitu
sally   |2010-08-03 12:18:37
aha mange naona imebidi hadi u coment mana ths is realy an unusual thng to
notice,mh mdau una2mia darubini nn,mhh hukawii sema mbona shem hajvaa
chupi

mange fanya mzee apate ring yake bwana,nayo ina maana yake na kazi yake
kua apo kidoleni bwan
Anonymous  - re:   |2010-08-03 11:23:11
Anonymous wrote:
mbona unaonekana umechoka usoni mama mtungu


kuliko wewe ulivyochoka kwa kuwa single mother? hahahaha
Anonymous   |2010-08-03 11:31:45
Lol! to be honest Lace wa miaka mitatu iliyopita sio wa leo.... I knew that guy
from Dubai when siku moja alikuja kumuona boss wangu

To be honest kapendeza
sana big up sis Mange, I luv u girl
sally   |2010-08-03 12:53:32
heeee na ww acha kumrusha roho mange wa watu lance ulimjulia wapi iyo 3yrs
ago?mhh na iyo 3yr ago he was stil wit mange as far as we knw..ww chunga sana
mange anajua ngumi asije kumaliza,muulzie A alivofanywa na apo alikua na tumbo
akiwa fiti cjui inakuaje
jasy     |2010-08-03 12:30:01
kwani familia yote ya mumeo inakaa dubai?hisijejuwa umeolewa na mwarabu
unatudanganya mmarekani..................................just kiding
Anonymous  - SHOPING MALSS IN DUBAI   |2010-08-03 12:47:49
JAMANI in a month time ntasafir kwenda dubai ila ntakua on transit for abt
10hrs,je mama u turn/any mdau unaweza niambia any affordable mall that i can go
atlst fanya shopin ya vitu kama viatu,nguo etc,ntafikia millenium hotel so any
mall close to ths hotel wil b apreviatd
Anonymous   |2010-08-03 13:32:57
Nimewasikia wabongo wanaokata book huku Ulaya na USA waliokuwa wanaplan kurudi
home via Dubai wanasema wanapita kwa Mange mi nikadhani wanakuja kwako, kumbe
wanamaanisha wako on transit via DuBAi,
Anonymous   |2010-08-04 10:01:47
hehe mdau hata mie dadangu alikwua anaenda holiday dubai akanambia naenda
holiday kwa mange sitaenda thailand nikapata mshtuko ehh unajuana na mange?mange
kakualika..kumbe dubai hhahaha
Anonymous   |2010-08-03 16:56:08
naona blog ya nani imeamua. wiki nzima tunaonyeshwa vichupi na mapozi.
Mbona wadau wote tumeng'ang'ania humu kule hatuendi kucomment. vibaya
hivyo nyie. tukamsifie nae kidogo.
NEMBRICE   |2010-08-04 09:35:04
Wewe mama Muthungu,,,,,jamani mbona hujapost vitu vipya,,,mwenzio niko adicted
na u turn kila dakika nachungulia kama kuna kipya umeweka,,,,,, alafu comments
za humu jamani mnatuvunja mbavuuuu!! Uwiiii,,,,, nikikosa internet najihisi
nimepungukiwa kitu flani,,, Ujue samtym nikilala mapema(B4 9pm) waga nakurupuka
usiku nawasha blackberry nacheki kama kuna kitu umeposti...... teh teh teh
tehhhhhh!!!!! But Kip dat intertainment up mama!!!!!! Hapa nawaza ukijifungua
cjui tutapata same service maana najua kazi ya kulea!! Ila yote heri tu,,,, pia
ol da best!!!!
Anonymous   |2010-08-03 17:03:45
eti half AMERICANS, half nanihiii! mmh slavery hautokaa uishe kwa dada zetu
wanaopenda wazungu
Anonymous   |2010-08-03 19:17:47
mange naona mtoto kashuka saa tisa na nusu,anakimbilia chini maana anakaribia
kutoka mmh cant wait to see chotara la kiu-turn.all the best dear
Rene   |2010-08-04 04:23:22
Anonymous wrote:
naona blog ya nani imeamua. wiki nzima tunaonyeshwa vichupi na mapozi.
Mbona wadau wote tumeng'ang'ania humu kule hatuendi kucomment. vibaya
hivyo nyie. tukamsifie nae kidogo.


Ni blog gani hiyo nami nakaangalie hivyo vichupi jameni haaa?!?!?!?
Muwe mnafikisha ujumbe kamili basi mkileta mafunbo mnaharibu
wengine tunakuwa hatuelewi.
Anonymous   |2010-08-05 16:28:47
WATANZANIA KAZI MNAYO.MANAPENDA MAJUNGU
Anonymous  - re: re:   |2010-08-04 04:40:05
Anonymous wrote:
[quote=Anonymous]mbona unaonekana umechoka usoni mama mtungu


kuliko wewe ulivyochoka kwa kuwa single mother? hahahaha[/quote


he!
Anonymous  - re: re:   |2010-08-04 05:32:02
Anonymous wrote:
nana wrote:
wee uliesema wazaramo umeniua kwa kicheko lol....

wa-Iran wazuri na
Dubai ndio kwao[/quote][quote=Mkora]Hahaha RUDI SHULE UKASOME or
better yet, try google facts before you comment. Iranian ni Persians na
kwao ni Iran toka lini Iranians wakatokea Dubai?


NAFIKIRI MDAU HAPO JUU AMEMAANISHA KUWA WAIRAN WAMEJAA DUBAI. SIO KWAMBA
NDIO WANAKOTOKA
.


asante saaana swiiti kwa kumfahamisha ..huyo Mora keshafika hata hio
Dubai?? tuulize sie  tunaoezeekea dubai ..acha kukurupuka na
kukosoa wenzio
Anonymous   |2010-08-04 10:26:15
tena waambie shostito weeee afike dubai mbona angepiga simu CNN hata kama anajua
maana ya hiyo cnn nini nini..heeee wapiiiiiiiiiiii..bora angekurupuka shoga..hao
ndio wanaooota wakatoka nje kukimbiza mwizi wakaanza kukimbizwa wao maana katoka
uchi watu wakajua mwanga....na si unajua charambe bora mbagara hapa nyumba mbele
jala...huyo mbele dampo kabisa...asiejua Napkin akafikri toilet
paper....weweiyaaaaaaaaa wapi mamaaa na ngai..NANA mama ya kipande..mamaa nanuka
pesa ile yenyewe sio kwa shilingi mwaita bali kwa Dirm hahahahahaha waelezee
wanuka mk...waso kitoko
Anonymous   |2010-08-04 13:16:51
Mnazeekea Dibai na umaskini mtupu maisha si kama ya Mange punguani we. Watu
tunamajumba Bahrain leo itakuwa Dubai. Dibai wenyewe mnatutegemea wa Abu Dhabi
ba waBahraini tuwakomboe. Na next time uwe unaandika vitu vinavyoeleweka sio B
halafu unamaanisha Z. Naona ndo nyie mlieozeshwa mkiwa miaka 11 hata shule
hukuwahi kwenda. Get your facts right nyamafu.
Anonymous   |2010-08-04 19:46:47
KWA TAARIFA YENU DUBAI SIJUI ABUDHABI SIO ULAYA HUKO NI USWAHILINI!! SORRY I
WILL BE THE ONE TO TELL YOU THE TRUTH, SO KOMENI KUJISIFIA NIKO ULAYA WAKATI
UKO UARABUNI, UARABUNI HATA KIINGLISH HAMUUONGEI UNAITA ULAYA HIYO HEBU
MSISHUSHE HADHI YA ULAYA KWETU UK, USA NA EUROPE. MPO HAPO!!! :angry:
Anonymous  - re:   |2010-08-04 08:55:24
Rene wrote:
Anonymous wrote:
naona blog ya nani imeamua. wiki nzima tunaonyeshwa vichupi na mapozi.
Mbona wadau wote tumeng'ang'ania humu kule hatuendi kucomment. vibaya
hivyo nyie. tukamsifie nae kidogo.[/color][/quote]

Ni blog gani hiyo
nami nakaangalie hivyo vichupi jameni haaa?!?!?!? Muwe mnafikisha
ujumbe kamili basi mkileta mafunbo mnaharibu wengine
tunakuwa hatuelewi.[/quote][quote=Rene][quote=Anonymous][co lor=blue]n
aona blog ya nani imeamua. wiki nzima tunaonyeshwa vichupi na mapozi. Mbona
wadau wote tumeng'ang'ania humu kule hatuendi kucomment. vibaya hivyo
nyie. tukamsifie nae kidogo.


Ni blog gani hiyo nami nakaangalie hivyo vichupi jameni haaa?!?!?!?
Muwe mnafikisha ujumbe kamili basi mkileta mafunbo mnaharibu
wengine tunakuwa hatuelewi.


Blog ya scandinavian
Anonymous  - re:   |2010-08-04 09:06:24
Anonymous wrote:
naona blog ya nani imeamua. wiki nzima tunaonyeshwa vichupi na mapozi.
Mbona wadau wote tumeng'ang'ania humu kule hatuendi kucomment. vibaya
hivyo nyie. tukamsifie nae kidogo.
[color=purple]
[b] nipe jina la hiyp blog jamni mimi zaidi ya uturn na ile ya zeze sina
blog nizijuazo ..jamani wadau wenzangu habr nimwagieni majina ya
mablog mengine pleaaase...[/b][/color
]
Anonymous   |2010-08-04 09:37:01
WEDDING FOR MILLIONER:::
CHELSEA CLINTONS AND MARC MEZVINSKY.(wedding dress
from designe of VERA WANG.)wedding dress cost 25,000 dollar!!!!!
uwiiiiiiiiiiiiii,
wedding reception cost 5million dollar!!!!!
nomaaaaaaaa
chezeaaaaaaaaa wewe, weraweraaaaaaaaaa.
CONGRATULATION CHELSEA.
Mtoto wa pekee everz
Anonymous   |2010-08-04 11:04:32
haya kazi kwenu waosha vinywa ujumbe mmeupata huo, mambo ya wedding
Anonymous   |2010-08-04 11:27:02
Nyoko we!!!!!
Anonymous  - re:   |2010-08-04 11:29:13
Anonymous wrote:
WEDDING FOR MILLIONER:::
CHELSEA CLINTONS AND MARC MEZVINSKY.(wedding
dress from designe of VERA WANG.)wedding dress cost 25,000
dollar!!!!! uwiiiiiiiiiiiiii,
wedding reception cost
5million dollar!!!!! nomaaaaaaaa
chezeaaaaaaaaa
wewe, weraweraaaaaaaaaa.
CONGRATULATION CHELSEA. Mtoto wa pekee everz





Mijitu mingine bwana. Fungua blog yako na wewe uweke haya maupuuzi
yako. Watu tunaongelea breask reduction wewe unatuletea kina Chelsea,
who cares??? Sura ka ngumi.
Anonymous   |2010-08-04 19:53:40
Shosti unakasirika kusifiwa Chelsea wedding kunaniiii??? dada wewe nungahembe
nini?? kuna mchina kapanga nyumba ya jirani yuko single tuambie
tukuonganishe tena kama umereduce matiti kwa mchina ni poa tuu dada.
Anonymous   |2010-08-05 16:32:50
ZA WENGINE HAPA bajeti milion 50 tu wanajishaua!na madeni kibao after that
Anonymous   |2010-08-04 20:20:23
wanawake wengi wanaenda dubai kujiuza!na wanajulikana sasa mange wape watu
maconection ya kupata mabuzi.
Anonymous   |2010-08-05 16:37:30
mdau umenena kama waarabu ndio wanaolipa kama yule demu wa salasala na mimaziwa
yake kutwa dibai but hajawahi hata kufikiria hao mabwana akiwapata wamafnyie
operation ya manyonyo.na anawauzaga wenzake kwa mabwana.alikua anatoka na mzee
wa itifaki sasa hivi balozi.majungu yaemjaa yule binti kila mtu kwake mbaya
halafu wana chama chaocha majungu na umalaya.
Anonymous   |2010-08-04 23:26:16
Na wewe umetuchocha na half half kila mtu half hey
Anonymous  - re:   |2010-08-05 03:57:22
Mijitu mingine bwana. Fungua blog yako na wewe uweke haya maupuuzi yako. Watu
tunaongelea breask reduction wewe unatuletea kina Chelsea, who cares??? Sura ka
ngumi.[/quote]

LOL!, jamani mbavu zanguuuu, I'd love to see that sura ngumi,
it must really hard!
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:confused:8):lol::x:P:oops::cry::evil::twisted::roll::wink::!:
:?::idea::arrow::blink::dead::coffee::karate::gossip::hahaha::newpost::love::lips:
:no::nono::rofl::shrug::stop::tape::thumbsup::wail::waves::yahoo::yes:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
Find U turn Blog on facebook