|
NAHITAJI KUPUNGUZA UKUMBWA WA MATITI YANGU NIENDE WAPI?? |
|
Written by Mange
|
|
Tuesday, 03 August 2010 10:10 |
|
Mange na uturners naomba mnisaidie nimechoka kutukanwa matusi. mwanaume kila siku ananitukana nima maziwa makubwa mabaya na yamelala. kuniacha hataki. hivi jamani kweli inawezekana kufanya operation ya kupunguza maziwa? niko tayari kugharamia hela yoyote ile ili mradi niondokane na hii adha. naomba msaada wa kunieleza ni wapi naweza fanya hiyo operation, ikiwa nchi jirani na tanzania nitashukuru zaidi kama south africa, UAE, Kenya au kwingineko. ikinilazimu nitaenda hata mbali. ahsanteni.
mange usiweke email yangu
Kuwasiliana na uturn tuma email kwenda
This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it
|