MPO HAPO WAOSHA VINYWA????
Written by Mange   
Thursday, 29 July 2010 18:51


Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon! TwitThis Joomla Free PHP
Comments
Add New Search
Bijoux   |2010-07-29 14:12:25
Hii ni Bahati Yangu......
nana  - hi ni bahat yangu     |2010-07-30 07:57:47
have been visiting this site for quet long now but today i need to
ask...hiii site ni kwa ajili personal issues ,,your real luck to have what your
having but dont show too much....na aina haja ya kufumba fumbo kwa mtu
yeyote..if your happy be happy ,dont give people chances.thats all what i can
say..keep it up and all the best.cheers-
mTuKuTu  - GET A LIFE...HATERS   |2010-07-29 14:42:16
Hilo nalo NENOoooo msg sent, derivered..
Anonymous   |2010-07-29 15:20:58
HII NI BAHATI YANGU MUNGU KANIJALIA.......
Anonymous   |2010-07-29 15:55:31
aliye juuu mngoje chini mpo hapo lol!!!
Anonymous   |2010-07-29 16:16:34
Dont do that to Yourself, HUfananii Mpendwa!
Anonymous   |2010-07-29 17:35:23
UNAJISHUKUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!
OVYOOOOO!!!!U
Anonymous   |2010-07-29 19:17:50
Wera wera weraaaaaaaaaaaaaaaaa
Anonymous   |2010-07-29 19:22:27
NDIO MKE WA MZUNGU, FULL MAFUMBO YA KANGA KAMA JIRANI YANGU KIEMBE VUZI LOL!!
Anonymous   |2010-07-29 19:30:29
tutolee hapa mambo ya kiswahili ovyooo. ushajiona beyonce now
anony   |2010-07-31 07:07:36
HATER!!!
Anonymous   |2010-07-29 19:45:39
si tupo..yetu macho.mnakoelekea sasa mwisho mtauana.waswahiliiiii!!na elimu yako
we mange haijakukomboa.hovyo
Anonymous   |2010-07-30 06:34:04
wanapoelekewa WAKINA NANI?????msijifanye wazungu nyoo! khanga hazina class ni
utamaduni wetu watanzania waone hamna hata haya leo khanga mnaona uswahili
nyooo! wakati wenzenu wakina beyonce wameanza kuzivaaa mchewww
Anonymous   |2010-07-29 20:25:35
dada maneno ni kama mkanda mchana wavaliwa usiku wavuliwa ,chill tu
Anonymous   |2010-07-29 22:33:36
Too ghetto my dia. Chill up!
Anonymous   |2010-07-29 22:54:56
SUGGESTION to Mange- I think u should zawadia vistor # 1million....right now u
have almost laki 9 visitors visited.....just a suggestion.

If it is me i
prefer a burberry handbag ... yaani toka nimeanza kudunduliza fweza hazifiki na
wazungu wote naokutana nao ma-alosto tu
KATARINE   |2010-07-30 02:03:50
Hhahahaha KISEBU SEBU NA KIROHO PAPU
KATARINE 2   |2010-07-30 02:04:25
Addition - UNAKUFA NALO
KATARINE 3   |2010-07-30 02:05:11
PILIPILI YA SHAMBA YAKUWASHIA NINI
KATARINE 4   |2010-07-30 02:05:37
NI KWELI LAKINI HAYAKUHUSU!!!!!!
KATARINE 5   |2010-07-30 02:06:27
KIKULACHO KI NGUONI KWAKO !1

MTAJIBEBA MANZESE TYPE
KATARINE 6   |2010-07-30 02:07:10
HARUSI SI YAKO INAHU KUISHONEA SARE !!!!!!!
Anonymous   |2010-07-30 07:16:22
MTAA WA PILI MTANIKOMA

nyongeza tu
Mtoto   |2010-07-30 10:53:57
Hahahaa.. i like this one. u made my day!!
Mtoto   |2010-07-30 10:56:43
Hahahahaa..i like this one. U made my day!!
no name  - acha ushamba     |2010-07-30 03:28:54
ushambaaaaaaaaaaaaaa tu na sikingine ushamba ulio nao wewe kijana hata kama
ukaaaaaaaaaa uko uliko kwa miaka 20 utakua hivyo kwasababu ni mshamba sasa ni
vitu gani unatuwekea hivyo
JIBEBE   |2010-07-30 04:13:52
KISEBU SEBU NA KIROHO PAPO!!!!!!
Maua   |2010-07-30 04:14:52
Mume si wako wamvulia chupi Inahuuu!
mbagaraaaaaaaaaa   |2010-07-30 04:15:34
UTAJI JEI JEI
weraweraaa   |2010-07-30 07:19:29
ALIEKUPA MWIKO AKUPE NA SEFURIA YA KUPIKIA
Anonymous   |2010-07-30 04:24:44
wake wa wazungu wametulia huuu uswahili wa mitaani lol very strange !
Anonymous   |2010-07-30 06:14:28
IVI MAADUI ULIONAO HAWAKUTOSHI? NAONA UNAZIDI KUTAFUTA WENGINE. KILA LA KHERI
MAMA MZUNGU
Anonymous  - re:   |2010-07-30 06:17:59
Anonymous wrote:
IVI MAADUI ULIONAO HAWAKUTOSHI? NAONA UNAZIDI KUTAFUTA WENGINE. KILA LA
KHERI MAMA MZUNGU


kwani wewe umeshatosheka kutembea na waume za watu na kuzaa mtoto asie na
baba?
Anonymous   |2010-07-30 12:27:59
UTAJIJUAAAA
ULIONA WAPI SUPER STAR BEYONCE ANAULIZA WATU AFANYEJE VITU
VYAKE????? UNATAKA TUJUE ULICHONACHO???? HAIHUSU SHOST COOL DOWN WATU HAWANA
SHIDA YA HIVYO UNAVYOFIKIRI,
Anonymous   |2010-07-30 12:48:47
KILA MTOTO ANA BABA SEMA TU ANAKUWA HAKAI NAYE......NI KAMA VILE MTOTO WA FULANI
(jina kapuni) AMBAYE HAISHI NA BABA YAKE...WE ALL KNOW THAT
Anonymous   |2010-07-30 17:32:31
let a child be a child mnakuwa kama sio wanawake ndio nini kusakama watoto
wasio na baba.any way hamna mtoto asiye na baba kwani hiyo mimba ilitungwa na
mwanamke.shezi type nyie mnaosagia
SOLANGE   |2010-07-30 06:38:12
hii nayo kali..nakupeda lakini punguza uswahili.
Anonymous   |2010-07-30 07:25:42
baelezeee mtoto wa kimambi.
Nancy  - busy   |2010-07-30 08:02:25
Hivi mnaopost hii Blog huwa mnajuana eeh naona madongo mnayepeana ni kama
message sent kwa fulani
tetetetet mungu awaokeo
Anonymous   |2010-07-30 08:24:43
I'm Living my life not yourz.
Anonymous   |2010-07-30 08:45:07
ndioooooooooo tupoooo,juuu juu zaidi jeuri ya chama CCM CCM CCM.
Anonymous   |2010-07-30 12:19:43
Nimeolewa na mzungu lakini uswhahili sina japo ni pure tanzanian, weeee
Anonymous   |2010-07-30 12:21:59
Jamani natoka nje ya maada naombeni mtu anayejua mchora ramani za nyumba mzuri?
niko nje nataka kuja nyumbani kuanza kufanya mambo kidogo, au website zao
Anonymous   |2010-08-01 10:01:37
For ramani piga 0655075003/0754584099
Anonymous   |2010-07-30 12:37:04
kwani whats going on here? guys mnaniacha kwa mataa......inaonekana kuna bifu
linaendelea
Anonymous   |2010-07-30 15:21:22
mange message sent japo ujazitoa mimi niko palepale tuonyeshe maisha yako na
mtot wako miaka kumi iliyopita the tucompare na adelina
Anonymous   |2010-07-31 12:56:09
Uswahili manake nini? Naomba tuelezane.
Anonymous   |2010-07-31 13:06:19
Mhhh sasa hii jali mambe, kuna vingine unavipotezea...nakubaliana na Anony wa
pili....Mungu kakujalia mume na maisha mazuri bt dnt show too much coz si kila
mtu anakutakia mema...lol
sally   |2010-08-02 11:24:36
mdau kila mtu ana kipimo chake 4 too much or too little,mayb for mange ths is
not too much,akifany ivo naic uku hapatakalik
Anonymous  - re:   |2010-08-01 11:20:24
Anonymous wrote:
mange message sent japo ujazitoa mimi niko palepale tuonyeshe maisha yako
na mtot wako miaka kumi iliyopita the tucompare na adelina


miaka 10 iliyopita mange alikuwa hajazaa alikuwa anakula bata kwa mzee
kimambi, sio wewe adelina miaka kumi iliyopita tayari ulikuwa unatembea
na waume za watu ,yule lawyer wa zimbabwe, mpaka ikabidi uhame
zimbawe,, huwezi kulinganisha maisha ya bastard wako sallyrose na mtoto wa
mange, mtoto wa mnage alizaliwa marekani, sio wako umezalishwa na
wajinga hapo bongo kwenyew vumbi, mtoto wa mange kakulia london sio wako
kila siku anaonyeshwa baba mpya mara nicky,mara moses sarakikya sasa
ndo anakula good time?mtoto mpaka leo hamjui baba yake? pambaf wewe, besdei
za mtoto zenyewe zinakupelekesha mpaka ukatunywesha juice za
ndooo..lol
Anonymous  - re: re:   |2010-08-01 15:25:59
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
mange message sent japo ujazitoa mimi niko palepale tuonyeshe maisha yako
na mtot wako miaka kumi iliyopita the tucompare na adelina


miaka 10 iliyopita mange alikuwa hajazaa alikuwa anakula bata kwa mzee
kimambi, sio wewe adelina miaka kumi iliyopita tayari
ulikuwa unatembea na waume za watu ,yule lawyer wa zimbabwe, mpaka
ikabidi uhame zimbawe,, huwezi kulinganisha maisha ya bastard wako
sallyrose na mtoto wa mange, mtoto wa mnage alizaliwa marekani, sio
wako umezalishwa na wajinga hapo bongo kwenyew vumbi, mtoto wa mange
kakulia london sio wako kila siku anaonyeshwa baba mpya mara nicky,mara
moses sarakikya sasa ndo anakula good time?mtoto mpaka leo hamjui baba
yake? pambaf wewe, besdei za mtoto zenyewe zinakupelekesha mpaka
ukatunywesha juice za ndooo..lol


JAMANI MAMBO YA ADELINE SI YALISHAPITWA NA WAKATI. MBONA BA...
mashauzi kwa sana  - re: re:   |2010-08-01 15:28:38
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
mange message sent japo ujazitoa mimi niko palepale tuonyeshe maisha yako
na mtot wako miaka kumi iliyopita the tucompare na adelina


miaka 10 iliyopita mange alikuwa hajazaa alikuwa anakula bata kwa mzee
kimambi, sio wewe adelina miaka kumi iliyopita tayari
ulikuwa unatembea na waume za watu ,yule lawyer wa zimbabwe, mpaka
ikabidi uhame zimbawe,, huwezi kulinganisha maisha ya bastard wako
sallyrose na mtoto wa mange, mtoto wa mnage alizaliwa marekani, sio
wako umezalishwa na wajinga hapo bongo kwenyew vumbi, mtoto wa mange
kakulia london sio wako kila siku anaonyeshwa baba mpya mara nicky,mara
moses sarakikya sasa ndo anakula good time?mtoto mpaka leo hamjui baba
yake? pambaf wewe, besdei za mtoto zenyewe zinakupelekesha mpaka
ukatunywesha juice za ndooo..lol


Mara Joseph Kahama na shemeji yake Peter Rupia.
Anonymous   |2010-08-01 15:44:03
Kwani ukizalia Marekani huchaniki? Mbona mabinti mnababaika sana.
Anonymous   |2010-08-02 10:17:15
watu tumezaa europe na waeuropean mbona hatulingi na watoto wanaishi huku
forever, sembuse kuzaa marekani what??
Anonymous   |2010-08-01 15:26:38
fuck off u guys with these issues za watoto,tulishazimaliza zamani!!! watu
wazima hamjieshimu.midomo kama vuvuzela.who cares about mtoto kuzaliwa wapi or
wapi? so tuliozaliwa TZ sio watu? who ever wrote that shit hapo juu alaaniwe
Anonymous   |2010-08-01 17:02:01
mimi nazani mange kaweka tuu hii khanga kama wengine walivo taja zao sidhani
kama kamtumia mtu fumbo jamani .
ok mimi napenda hii "MAMA NIPE RADHI KUISHI
NA WATU KAZI"
au NANI KAMA MAMA?????

sasa na hizo pia ni uswahili????.mbona
musicians wanachambana kwenye nyimbo zao mafumbo kibao mpaka wa kizungu sasa
swahili cultural ni kwenye khanga msiponde uswahili limbukeni nyie.MAMA ZENU NA
BIBI ZENU WAMEZIVAA NA WANA ZIVAA KHANGA.
KATARINE   |2010-08-02 07:15:06
KULA TANO BEST
Anonymous  - re: re:   |2010-08-02 04:14:12
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
mange message sent japo ujazitoa mimi niko palepale tuonyeshe maisha yako
na mtot wako miaka kumi iliyopita the tucompare na adelina


miaka 10 iliyopita mange alikuwa hajazaa alikuwa anakula bata kwa mzee
kimambi, sio wewe adelina miaka kumi iliyopita tayari ulikuwa unatembea
na waume za watu ,yule lawyer wa zimbabwe, mpaka ikabidi uhame
zimbawe,, huwezi kulinganisha maisha ya bastard wako sallyrose na mtoto wa
mange, mtoto wa mnage alizaliwa marekani, sio wako umezalishwa na
wajinga hapo bongo kwenyew vumbi, mtoto wa mange kakulia london sio wako
kila siku anaonyeshwa baba mpya mara nicky,mara moses sarakikya sasa
ndo anakula good time?mtoto mpaka leo hamjui baba yake? pambaf wewe, besdei
za mtoto zenyewe zinakupelekesha mpaka ukatunywesha juice za
ndooo..lol





heeeeee aluuuuu, sema wewe kiazi nikisema mie muhogo naambiw...
Anonymous   |2010-08-02 04:52:00
Jamani, wamama chonde chonde ikiwa kama ulizaliwa na mwanamke, tafadhali
tusiingize mambo ya watoto humu nyie wenye mabifu yenu gombaneni wenyewe
waacheni watoto maana hao ni malaika hawajui chochote
Anonymous   |2010-08-02 06:27:45
Wadau wa UTURN (Wakina dada, mama, mabinti na n.k.)
MJADALA KUHUSU ADELINE ULIFUNGWA SIKU NYINGI SANA. NAOMBA TENA NAWAOMBA
NIKIWA NIMEPIGA MAGOTI SI VIZURI KUENDELEA KUMWANDIKA VIBAYA MTOTO
WAKE. HAKUNA MTOTO ASIE NA BABA WALA HAKUNA MTOTO HARAMU, WATOTO WOTE
NI WA MUNGU. MTOTO WA ADELINE HAKUPENDA KUKATALIWA NA BABA YAKE, NDIO
WOTE TUNAJUA NI UPUMBAVU WA MAMA YAKE JAMES KAMKATAA MTOTO, LAKINI
TUSIMHUKUMU MTOTO YY NI MALAIKA WA MUNGU HAJUI LOLOTE MASKINI. KUWENI NA
MOYO WA KIKE, SISI WOTE NI WAZAZI TUNATAKIWA KUWAOMBEA WATOTO WETU.
SIO KUWANYOOSHEA VIDOLE WATOTO WA WENGINE. MAISHA NI SAFARI NDEFU, WATOTO
WETU BADO WADOGO, JE! TUNAJUA WATOTO WETU HUKO MBELE WATAKUAJE?
MRUDIENI MUNGU, ACHENI KUMWANDAMA SALLY ROSE.
Anonymous   |2010-08-03 03:12:00
We mdada mimba-mate tutokee hapa, nenda kaboreshe blogu yako kule mana unauma na
kupuliza papo hapo.
Anonymous   |2010-08-02 06:33:38
Mbona mnamsingizia kaka wa watu Joseph Kahama? kwa joseph ninayemjua mimi
na dharau zake za kihaya hawezi kuwa na mtu kama Adeline. si
vizuri kusingizia watu. Peter nakubali anaweza kuwa walikuwa na
uhusiano.
Anonymous   |2010-08-02 07:35:24
Wanawake mkoje mbona mnatabia mbaya kiasi hicho, acheni ujinga wenu, hv mnadhani
sifa kubishana kwa mambo yasiyo na maana, mange huwa nafurahi sana kuingia
kwenye blog yako kila siku, hata kama nimechanganyikiwa nikipita humu nasahau
kila kitu ni kucheka tu, jinsi wadada wanavyo jiachia sidhani kama kuna blog ya
kushindana na hii kwa hapa tz jinsi inavyochangamsha, nyumbani sina computer
nategemea ya ofcn bas j1 na j2 huwa nakosa amani kabisa, lakini mada hii ya
watoto inamenikera sana naomba tuongee mambo mengine hii mada tuiache,
Anonymous   |2010-08-02 10:54:16
mi naona wote wanaomshutumu mange mswahili wao ndo waswahili. Mange kaweka
kipande cha khanga anadumisha mila yetu nyie tayari mshachukulia anamsema mtu
kwakuwa akili zenu ndivyo zilivyo.Mnawazakuchambana na kusutana day in day out.
Badilikeni

PS: its wonderful that mange kaolewa na mzungu na bado anadumisha
USWAHILI safi sana mange mambo ya kuwa limbukeni wa westerners is kutukuza
SLAVERY!
Anonymous   |2010-08-02 13:54:55
my son was born in America ila nimempeleka bongo ale vumbi kidogo na kujifunza
tradition ya kwao hadi imkolee ndo arudi. watoto wanaolelewa america or UK
hawana adabu kupita kiasi, mtoto wako mwenyewe anaweza kukuzaba kibao mbele ya
kadamnasi ukamwangalia tu maana ukimchapa unajikuta jela
Anonymous  - re:   |2010-08-03 03:17:26
Anonymous wrote:
mi naona wote wanaomshutumu mange mswahili wao ndo waswahili. Mange kaweka
kipande cha khanga anadumisha mila yetu nyie tayari
mshachukulia anamsema mtu kwakuwa akili zenu
ndivyo zilivyo.Mnawazakuchambana na kusutana day in day out.
Badilikeni

PS: its wonderful that mange kaolewa na mzungu na bado
anadumisha USWAHILI safi sana mange mambo ya kuwa limbukeni wa
westerners is kutukuza SLAVERY!


WANAMWONEA MANGE, WALA MANGE SI MSWAHILI WASWAHILI SIE TUNAOKURUPUKA
KUMPA ETI ANA MAFUMBO. Mama Cassandra uko juu, ebu ona watu wanavo
data usipo post kitu.
Anonymous   |2010-08-03 04:38:36
wanachizika kabisaaa wakati blogu ziko zaidi ya mia, lakini hii tuu ndo mama lao
funga kazi, kweli mti unaotupiwa mawe sana ndo wenye matunda ya ukweli!
Anonymous  - re:   |2010-08-03 04:35:44
Anonymous wrote:
my son was born in America ila nimempeleka bongo ale vumbi kidogo na
kujifunza tradition ya kwao hadi imkolee ndo arudi. watoto
wanaolelewa america or UK hawana adabu kupita kiasi, mtoto wako
mwenyewe anaweza kukuzaba kibao mbele ya kadamnasi ukamwangalia tu maana
ukimchapa unajikuta jela


mmmmh sema umemrudisha kulea majuu na box inakuwa ngumu na huna maid wa
kumlea tutokee hapa
Anonymous   |2010-08-03 06:32:35
ha ha ha haaaaaaa
Anonymous   |2010-08-03 06:34:51
sio lazima iwe ivo. Mi nina watoto 3 nina nany na sibebi box naishi UK usifikiri
watu wote wanashida jamani what the fuck?
Anonymous  - re: re:   |2010-08-03 07:59:22
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
my son was born in America ila nimempeleka bongo ale vumbi kidogo na
kujifunza tradition ya kwao hadi imkolee ndo arudi. watoto
wanaolelewa america or UK hawana adabu kupita kiasi, mtoto wako
mwenyewe anaweza kukuzaba kibao mbele ya kadamnasi ukamwangalia tu maana
ukimchapa unajikuta jela


mmmmh sema umemrudisha kulea majuu na box inakuwa ngumu na huna maid
wa kumlea tutokee hapa


Alikuambia hawezi kusaidiana na aliyetafuta nae huyo mtoto! kutokuwa na
maid na box alikuzuii kuwa na mtoto mbona wengi wanawatoto
wao wanafanyaje?
Anonymous   |2010-08-03 09:16:45
umrudishe basi US kama we kijike kweli usituchoshe hapa huna ishu kakushinda
umepeleka kwa bibi yake, na sio cha maadili wala vumbi mbona watoto wengi tu wa
kibongo wamezaliwa huku na wana adabu zao??? unaloooooo
Anonymous  - re: re: re:   |2010-08-03 09:17:19
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
Anonymous wrote:
my son was born in America ila nimempeleka bongo ale vumbi kidogo na
kujifunza tradition ya kwao hadi imkolee ndo arudi. watoto
wanaolelewa america or UK hawana adabu kupita kiasi, mtoto wako
mwenyewe anaweza kukuzaba kibao mbele ya kadamnasi ukamwangalia tu maana
ukimchapa unajikuta jela


mmmmh sema umemrudisha kulea majuu na box inakuwa ngumu na huna maid wa
kumlea tutokee hapa


Alikuambia hawezi kusaidiana na aliyetafuta nae huyo mtoto! kutokuwa na
maid na box alikuzuii kuwa na mtoto mbona wengi wanawatoto wao wanafanyaje?



HUWEZIIIII PERIOD!!!
Anonymous  - re:   |2010-08-03 09:12:42
Anonymous wrote:
sio lazima iwe ivo. Mi nina watoto 3 nina nany na sibebi box naishi UK
usifikiri watu wote wanashida jamani what the fuck?


utajinye!!
bianca   |2010-08-03 09:24:37

mange pliiz gurl..najua hapo juu watu wamesema khanga tradition,sijui
unaendeleza and bla bla bla....sawa but whats up na hiyo title "WAOSHA
VINYWA" inaletata utata.... i thought u said your 2010 resolutions ni hakuna
beef....but it SEEMS ndyo kwanza unaendeleza.... ACHA HAO HATERS WAONGEE TU MAA.
Write comment
Name:
Email:
 
Website:
Title:
UBBCode:
[b] [i] [u] [url] [quote] [code] [img] 
 
 
:angry::0:confused::cheer:B):evil::silly::dry::lol::kiss::D:pinch:
:(:shock::X:side::):P:unsure::woohoo::huh::whistle:;):s
:!::?::idea::arrow:
 
Please input the anti-spam code that you can read in the image.

3.26 Copyright (C) 2008 Compojoom.com / Copyright (C) 2007 Alain Georgette / Copyright (C) 2006 Frantisek Hliva. All rights reserved."

 
 
U Turn Polls
Wangapi mnapenda U-tun ibaki hivi hata kama Mama u turn akifungasha Virago?
 
ADS Only