wahenga walivo sema mwenye nacho anaongezewa wala hawakukosea na wamoja havai 2 na akivaa basi itamponyoka tu
namaanisha baba katoka mtoto anaingia gombea wewe mwenzngu na mie........................ hata kabla ya uchaguzi u can see MGOSI kashachukua jimbo ilo
kitabu kimeandikwa mgombea ubunge wa jimbo la bumbuli. kwani ccm wameshateua mgombea? na muda wa kampeni umeanza lini? swali ki-ccm na ki-tume ya uchaguzi.
wakipata hawarudi mpaka baada ya miaka 5,ndo zao tushawazoea,na wabongo bora wale siku moja na wakae na njaa miaka mitano(nadhani mmeelewa)mange husibane kisa kakaako